Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Tatu
CHOMBEZO

Ep 03: Mama Mwenye Nyumba

SIMULIZI Mama Mwenye Nyumba
Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Tatu

Chombezo : Mama Mwenye Nyumba

Sehemu Ya Tatu (3)

Huku Songea nako baba na mama Edgar nao mida hii walikuwa njiani kueleka mjini wakalipe pesa za watu, kwanza kabisa walishuka kituo cha dala dala cha soko kuu, wakiwa na mafurushi mawili yaliyo jaa matunda ya aina mbali mbali, wakabeba kila mmoja lakwake na kuelekea kwenye jingo la benk ya wananchi lililopo atua chache toka pale kituoni, walisimama nje ya jingo hilo ambalo pilika za watu zilikua nyingi sana kutokana na eneo hilo kupakana na soko kuu, mzee Haule akatowa simu yakekisha aka saidiana na mke wake kuitafuta namba ya Selina, walipo ipata wakaipiga, wakimweleza waponje wame mletea mizigo yake, dakika chache baadae Selina alitoka na kusalimiana na wazee awa ambao aliona ni watu wema kwake huku wakitawaliwa na ucheshi na ukarimu mda wote, hawakukaa sana akapokea mizigo yake na kuiweka kwenye gari lake, kisha wakaagana akiaidi kuwatembelea mala kwamala, pia akapanga kumpigia Suzan kumweleza juu ya ujio wa wakwe zake kama alivyo mtambulisha, pia alipanga kuweleza baadhi ya vitu ambavyo alipanga kumweleza toka jana, chuoni nako Joyce alihisi kukosa kitu flani maana toka asubuhi aingie hapa chuoni hakumwona Edgar mpaka wanaingia darasani hakwa ame wmona, alitamani amwulize Nancy lakini akakumbuka maneno yake ya jana usiku, akabaki ametulia akitazama nje kupitia dilishani pengine angemwona kijana huyu ambae alishaanza kuutea moyo wake, ilikuwa inaelekea saanne ndipo alipo mwona Edgar akiingia maeneo ya chuo, lakini hakuwa na mkoba wake wa daftari zaidi alishika chupa ya maji mkononi, hapo hapo kwa haraka sana akaomba luksa ya kwenda kujisaidia ili amwai Edgar japo akamsalimie, kumbe basi baada ya Suzan kuongea na mzee Mashaka huku Edgar akijuwa anaongea na boss wake, Suzan akamwambia Edgar kwamba wakisha maliza kupata supu yeye aende kwanza chuo, maana nyumbani kuna wageni toka kazini pamoja na boss wake wanamtembelea, kisha atampigia simu wakiondoka hili wake wapumzike, ndiyo maana baada ya kupata supu kwa pamoja mwisho wake Suzan akarudi nyumbani kuwai kuweka mazingila vizuri, huku Edgar akielekea chuoni huku kichwa chake kikianza kutulia lakini aliitaji kupumzika, lakini hakujuwa atapata wapi sehemu ambayo anaweza kujipumzisha kwa muda, akaelekea upande wenye maduka akaenda moja kwamoja kwenye viti vilivyopo nje ya saloon ya kina Elisha na kukaa, kiukweli asingeweza kuingia darasani , ukia kiachilia uchovu pia hakuwa na kituchochote cha kumsaidia kusoma, wakati ame tulia pale kwenye viti nje ya saloon, ndipo alipomwona Joyce akimjia kwa speed, huku uso wake ume tawaliwa na tabasamu mwanana, “mambo Eddy leo umechelewa” alisalimia Joyce mala tu! alipo mfikia Edgar, “daa! yani leo nimepitiwa nausingizi mpaka najishangaa,” alijibu Edgar akionyesha kuwa hakuwa sawa, “vipi Eddy, mbona kama umechoka choka, ulikuwa una fanya nini/” aliuliza Joyce akikaa kwenye kiti pembeni ya Edgar, “daaa yani hapa natamani kulala, ningepata sehemu ninge pumzika kidogo” aliongea Edgar akionyesha kweli kuitaji kupumzika, hapo Joyce alitazama kushoto na kulia kisha akamtazama Edgar, ambae likuwa ameinamia chini akijiegemeza kichwa chake kwenye mikono yake juu ya mapaja yake, kisha akamnon’goneza “mimi chumba changu nakaa peke yangu” hapo Edgar akainua kichwa akamtazama Joyce, huku akichambua wazo la kwenda kupumzika kwa Joyce “ningepajuwa ungenipa funguo nika pumzike” aliongea Edgar huku akiinamisha tena kichwa chake, “kwani si nitakupeleka” kiukweli Edgar pasipo kujuwa kuwa mwenzie Joyce anatamani japo apate nafasi ya kuwa nae chumbani, aliona hii ndio nafasi ya yeye kijipumzisha, “ok! poa twende zetu” alisema Edgar na wote wakainuka nakuanza kuonozana kuelekea kwenye nyumba waliyopanga wakina Joyce, wakigawana vyumba na kina Nancy wenzao, njiani Joyce alijisikia kuwa mwenye bahhati kwa siku hiyo, kumbe hakuwajuwa kama kuna mtu anawafwata, kwa nyuma ambae alikuwa Masoud Kasanzu, ambae alianza kumfwatilia Joyce toka anatoka darasani, nia ikiwa ni kwenda kumwomba msamaa, lakini alistuka baada ya kumwona ana mfwata Edgar, na kunza kuongea atimae akawaona wana elekea sehemu ambayo aliitambua maana ata yeye alishawai kwenda kule na kutafuta kitumbua cha Joyce,

Masoud alihisi hii safari ya Joyce nan a yule mwanafunzi mgeni ni nyumbani kwa Joyce, swali je wanaenda kufanya nini?, akazidi kua fwatilia huku akiwaona wana wanaongea hukuwakicheka , asa Joyce alie onekana akicheka kiaibu ahibu tana mala kwa mala, wakiwa hawajuwi ili wala lile Yoyce na Edgar walitembea wakiongea kwakujiachia, dakika chache walikuwa wameshafika kwanza Edgar alisimama mlangoni akimwacha Joyce akiingia chumbani lakini akagunduwa kuwa Edgar amesimama mlangoni, “mbona uingiindani sasa” auliuliza Joyce akimtazama Edgar kwa macho ya aibu “huko ndani akuna vitu vilivyo kaa vibaya?”aliuliza Edgar na wote wakacheka kidogo, maana ata Joyce alijuwa alicho maanisha Edgar, “ingia bwana mpaka watu wakuone” alisema Joyce akirudi na kumshika mkono Edgar na kumvutia ndani, kilikuwa chumba cha kike, kilicho pambwa kikike, pia macho ya Edgar ilikutana na vinguo vya ndani vya Joyce vikiwa vime tundikwa kwenye sehemu ya kutundikia nguo, “karibu kaa hapo mbona umesimama, mda wote una shangaa tu!” aliongea Joyce akijichekesha kwa aibu, akimwonyesha Edgar akae kitandani, “ vipi Joyce ulisha kula” hapo Joyce alikataa kwa kichwa, kwamba hajala, “ok! we nenda chuoni pia ukale, lakini lakini husi sahau kuja kuni amsha mchana nisije kupitiliza,”aliongea Edgar akimkabidhi Joyce elfu kumi ya noti, “sawa lakini naenda kula tu, nakuja sasa hivi nikuletee nini” aliongea Joyce akijiandaa kutoka nje, “chochote tu!” aliongea Edgar akiongoa ngoma juani, ili Joyce aondoke iliyeye apumzike, Joyce aliondoka na kufunga mlango kwa nje, sijuwi alikuwa na maana gani, dakika chach baada ya kumaliza kupanga vitu yanke nakufanya usafi ndani kwake, akaenda kuoga kisha akajilaza akijifunika gubi gubi, aikichukuwa ata dakika kumi mzee Mashaka aliingian Nyumbani kwa Suzan akiwa na shehena ya mazaga zaga mbali mbali, alimkuta Suzan akiwa amelala, akamstua lakini halikuwa amelala, Suzan akajifanya amelala fofofo, kumbe alikuwa anamsikia sana mzee Mashaka, lakini aliuchuna makusudi adi alipo mwita mala tatu huku ana mtikisa taratibu, ndipo Suzan alipo jifanya kuamka, “hoo umeshakuja baba, za toka jana?” walisalimiana nakutakiana pole kisha wakaanza kupiga story, wakati huo Sophia alikuwa anatoka kazini kwake kuelekea nyumbani ambako alipanga apumzike kidogo kisha aende kumwona Suzan ambae aliamini kuwa mpaka sasa atakuwa bado amelala, ilikuwa ni baada ya Sophia kufika kazini kwake na kumba luksa akidai bado hajapona vizuri, Selina alivutiwa sana na ucheshi wa wakwe zake Suzan kama alivyo fahamu, kiukweli hakulizika na madhingila aliyo yakuta kwa wazee wale wenye loho nzuri na moyo wa upendo, akiwa anawaza hayo alichukuwa simu yake nakumpigia Suzan, wakati huo Suzan alikuwa amekaa kwenye kitanda jilani na mzee Mashaka, ndipo wote wawili walipo sikia simu ikiita, mzee Mashaka akaihukua simu toka kwenye meza na kumpatia Suzan, Suzan akaitazama simu yake ‘Selina’ kiukweli akahisi mambo yanaweza kuaribika, maana alijuwa kabisa kuwa Selina hakuwa na habari nyingine, zaidi ya wazee wa Edgar, akaipokea huku mapigo yake moyo yakienda mbio, “hallow Selina za huko,” hapo mzee Mashaka alimwona Suzan akiwa kimya akisikiliza simu hile, huku mala chache akiitikia na kuchangi, “ok!.. sawasawa…. nitajitaidi.. nikweli kabisa … ok! sawa nikiwa tayari nitakujulisha.. asante sana best” alimaliza Suzan na kukata simu, “Selina ni yupi huyo, maana naona kama alikuwa anakupa taarifa muhimu sana?”aliuliza mzee Mashaka huku akiichukuwa simu toka kwa Suzan na kuirudisha mezani, “huyu ni mwetu tulisoma nae chuo, kwa sasa yupo mkoani Ruvuma” hapo akaanza kuongopa Suzan, kuwa Selina alikuwa amempa taarifa ya baba yae mdogo ambae anaishi huko Songea, sasa nyumba yake ime bomoka na anaitaji msaada wa haraka sana, “namimi kwa sasa ndo sina pesa sijuwi itakuwaje,” alimalizia Suza akijifanya kuwa anamasikitiko makubwa juu ya hilo, “ok! usijari mama ngoja nifanye mahalifa tujuwe inakuwaje, nitakupigia simu baadae kukujulisha tuna fanyaje,” aliongea mzee Mashaka nakumfanya Suzan atabasamu kwa fulaha, “asante kwakuni jari mpenzi,” nikweli lazima aseme asante maana yeye ndie anaye mwezesha kumpatia fulaha yeye na mpenzi wake Edgar, kimoyo moyo Suzan aliwaza, “sina budi kufanya hivi, najuwa una nijari, lakini mwenzio ana nifanya nione thamani ya kuwa mwanamke” wakati huo huo simu ya Suzan ikaita tena mzee Mashaka akainchukua toka kwenye meza lakini safari hii aka itazama mpigaji, ‘Sophia’ “mh! anataka nini huyu mtoto” aliuliza mzee Mashaka akimkabidhi simu, Suzan, “hallow Sophi, niambie best” aliongea Suzan huku mze Mashaka akifwatilia kwa umakini kabisa maongezi ya Suzan na mwanae, “ndiyo hee! kwanza nashukuru kwakupitia kazini kwangu,….he! atamwenyewe nilishangaa,… kumbe ata wewe… ok! poa mimi nipo utanikuta” hapo Suzan alimaliza maongezi na kumgeukia mzee Mashaka “Sophia yupo njiani ana kuja kunitazama” kusikia hivyo nikama kitand a kilikuwa na upupu, mzee huyo alinyanyuka upesi na kuaga, akisisitiza kuwa atampigia baadae iliwajuwe wanafanyaje juu ya fedha ya kukalabati nyumba ya baba mdogo, kisha akaondioka zake ** dada yake Edgar mida hii alikuwa amefika nyumbani kwa wazazi wake, akakuta mlango umefungwa ikionyesha apakuwa na watu akausukuma mlango maana kutokana na ubovu wake aukuwa na uwezo wa kumzuwia mtu kuingia ndani, mle ndani dada yake Edgar aliingia stoo nakuanza kupekua pekua, akikusanya kila alicho kiona kina mfaa kwa matumizi ya nyumbani kwake, kuanzia mahindi mahalage ufuta kunde n.k, akafungasha vizuri kisha akaanza kutoka, lakini alipofika sebuleni alikuta box la simu akalitazama vizuri akaona nisimu ambazo uwa anawaonanazo watu wenye fedha zao “wataweuka hawa wazee, wameanza kuokota mabox ya simu sikuhizi” alijisemea huku akiondoka zake, nje alikodi boda boda nauanza safari ya kurudi kwake* Masoud baada ya kusikia maongezi ya Edgar na Joyce, pia kumwona Joyce akitoka chumbani akajuwa kuwa hakukuwa na jambo lolote linaloendelea kwa wawili hawa, zaidi ya urafiki wa kawaidatu! hivyo akashikanjia yake na kuondoka akipanga baadae kumtafuta Joyce ana kuongea nae, kiuweli ni kama alivyo sema Joyce baada ya kumaliza alinunua maji ya baridi na kurudi nyumbani aliko mwacha Edgar, alifika nakufungua mlango nakuingia ndani, ambako alimkuta Edgar amelala fofofo utazani usiku wa manane, akaanza kujifanyisha shuguli za ovyo ovyo ili kumwamsha Edgar, lakini wapi kijana alisha pitiwa na usingizi, hapo Joyce sijuwi aliwaza nini, maana alivua nguo zote n kujifunga kanga kisha akafunga mlango alafu akapanda kitandani na kujilaza pembeni ya Edgar,

. Joyce pale kitandani siyo kwamba alikuwa na usingizi, aliamua tu kujilaza tena kiasara, kwaakili yake akidai anampa kampan mgeni wake, lakini haikumchukuwa dakika ata kumi aakapitiw na usingizi,**** Sophia alisha punguza wasiwasi juu ya alicho kifanya jana, maana alikuwa na wasi wasi pengine mchezo wake uligundulika kwa Suzan, lakini baada ya kuwasiliana naye akagunduwa kuwa Suzan haja stukia kitu, mida hii alikuwa anakata kona kuingia kibamba, akasimama kwenye ile bar kubwa nakushuka kidogo akaenda kununua ssoda ya baridi kwaajili ya kupunguza lock ambayo bado ilikuwa ina msumbua, aliponunua soda yake ya take away, akaanza kurudi nayo kweny gari lake, lakini kabla haja lifikia gari lake aliona gari la baba yake linakatiza, likitokea upande anao elekea yeye, akazai amelifananisha, akasoma namba za gari, akaona nilenyewe kabisa “mh! anatoka wapi saaizi huyu, au kwa Malaya wake,” aliwazaa Sophia kiukweli akuipenda tabia ya baba yake yakumnyanyasa mama yake kwa kutembea nje yandoa, akaingia kwenye gari lake na kuondoka zake kuelekea kwa Suzan, *** huku Songea nako mzee haule na mkewake mama Edgar walizpo maliza kulipa deni la shamba, wakaondoka zao nakuanza kuzunguka madukani, ila basi licha ya kufulahi kutokan na kutumiwa fedha nyingi kiasi kile na kijana wao , lakini wazee awa kila mmoja alikuwa na swali lake moyoni, “Edgar hizi fedha amezitoa wapi?” pia hawakuelewa vizuri kauri ya Selina kuwa anawaita wakwe, ikabaki wakikaa kimya huku kila mmoja akiwaza moyoni mwake, mida ya saa sita mchana ndicho kipindi ambacho walikuwa wana ruudi nyumbani, **** ok kuna kitu msomaji uja kifahamu ebe ni kudokeze ili twende sambamba, kipindi kile mzee Haule ana tafuta fedha kwaajili ya kumpeleka Edgar chuoni dar es salaam, alipata mkopo, uo mkopo ni wa laki nane kwa mwaka mmoja, kama angeshindwa basi mashamba yake kama ekali kumi hivi yange taifishwa, kitu ambacho uwezi amini shemeji yake yake, Edgar ambae amemuoa dada mkubwa wa Edgar ndie alie tangulia na kutoa mchongo huo wa wakopeshaji wakijuwa kuwa, atoweza kulipa nahivyo mashamba wamge gawana na pangine kuya uza kwa zaidi ya Tsh million zaidi ya nne, sasa leo shemeji huyu, akiwa ame tulia sebuleni kwake, akisubiri chakula ni baada ya mkewake kurudi toka luhuwila seko, alikoenda kukusanya chakula kwa wazazi wake, mala akasikia simu yake ikiita, kwanza moyo wake ulilipuka akazani ni wale wanawake walio msaidia kutumia fedha za vikoba za mkewake, lakini alipo tazama mpigaji, alikuwa ni mzee Kalolo, huyu nimtu anaye fahamiana naye sana, licha ya kutoka mkoa mmoja wa Rukwa, pia ndie mtu alie saidia kuwa kopesha wazazi wa Edgar fedha “hallow Kazole, unajuwa msini fanye mimi mjinga” shemeji ambae leo tuna fahamu jina lake kuwa Kazole, alikutana na sauti ya kufoka ya mzee Kalolo, “moja kwa moja akili ika mrudisha kwenye deni ambalo alijatimiza ata mwezi, “kwani vipi mzee wangu, atasalamu hakuna” aliongea Kazole huku akimtazama mkewake ambae alikuwa busy akiandaa chakula, “salamu? yani salamu umeona ni inshu sana, kuliko fedha yangu uliyo nishawishi niwape wakwe zako,? hapo kidogo bwana Kazole au shemeji, aka duwaa, “jamani si mpaka mwaka upite ndio una jichuulia chako, au maelewano yalikuwaje” aliongea Kazole kwa sauti ya msisitizo akiwa ana uakika na anachoongea, “ujuwi unacho kionge, mchongo ulikuwa ni kujipatia mashamba baada yamwaka, sasa leo ata mwezi bado, mkweo amelipa deni lote, kama lilivyo, kumbe ulini danganya bola ataungeniambia ukweli ninge weka riba” “hacha masihara mzee Kalolo,” aliongea shemeji uku akiwa ameduwaa kiasi cha mkewake kuona kitendo kile, dada yak e Edgar alistuka sana alipo mwona mume wake anashusha simu kiunyonge toka sikioni, “kuna nini, tena mume wangu?” aliuliza akimsogelea mumewake, “ni mambo tu ya kibiashara, ngoja kwanza nitaujuwa ukweli” aliongea bwana Kazoleakijiweka sawa juu ya kochi, “awa masikini wametoa wapi lakin nane mapema hivi, au mzee Kalolo anataka kunipiga changa” **** mama Sophia mida hii alikuwa anatoka kwake kuelekea mbezi kisha aende kibamba, maana siyo siri, aliona kabisa anaitaji dudu ya Edgar kuliko kitu kingine kwa siku hiyo, kiukweli alipanga kwenda kutega sehemu amsubiri Edgar mpaka amnase, maana ramani ya kibamba haimpigi chenga kabisa, ata chuo anacho soma Edgar anakijuwa kilipo ata nyumba ya Suzan pia anaijuwa ilipo, ivyo alikuwa na uakika wakutega mtego wake na kumnasa Edgar aka mkune, kiukweli leo mama huyu alijipamba akapambika, kila alie mwona alikubari kuwa mmama anazeeka na utamu wake, nusasaa baadae aalikuwa amesha kamata bara bara kuu ya morogoro, nakuelekea kibamba, * Edgar akiwa ndo kwanza anastuka tka usingizini, akashangaa kama kuna mtu amewekea mguu tumboni kwake, aka utoa ule mguu na kumtazama alie mwekea, alikuwa ni mwenyeji wake Joyce, ambae alikuwa amesha pitiwa na usingizi huku atakile kikanga alicho jifunga kikishindwa kubaki mwilini na kujikuta kikiwa kime jiondoa kabisa na kumwacha mtupu nusu nzima ya mwili, Edgar akashangaa, “hivi huyu ana akili timamu, sasa ndo nini hivi” aliwaza Edgar huku ana jiinua toka kitandani, “mh umesha amka?” ilikuwa sauti ya Joyce ambae nae aliamka nakukaa huku akijifunga vizuri nguo yake, “yaa nimelala sana, vipi hukwenda tena chuo” aliongea Edgar akiinuka nausimama akijiandaa kuondoka maana alishahisi kuingia majaribuni, kweli Joyce ni binti mrembo tena mzuri sana mwenye umbo lakuvutia, “sijaenda, nilijisikia usingizi,” aliongea Joyce akisimama nakuifunga nguo yake vizuri, sasa wakati anaifunga ndipo aliruhusu bahadhi ya sehemu flani flani kuonekana, asa sehemu za mapaja yake mororo, hapo dudu ya Edgar ika stuka kidogo, kiukweli Edgar akaona anaweza kuzama kwenye majaribu mazima, akajiweka sawa na kuanza kuvaa viatu, “vipi Edgar una takakuondoka?” aliuliza Joyce huku akikaa kitandani karibu na Edgar a,bae alikuwa anavaa viatu, “ndio naona kwa sasa nipo sawa” alisema Edgar huku akiitazama simu yake ambayo ilitoa mlio wa kuonyesha kuwa kuna sms imeingia, akaichukua na kuifungua, ianatoka kwa Sophia, “asante kwa jana, nime enjoy sana” kwakweli Edgar hakuelewa maana ya ile sms, maana kama mchana hawakufanya lolote sasa iweje aseme ame enjoy, akarudisha jibu, “kivipi, mbona sikuelewi?” hapo majibizano yakaanza “ina maana hukumbuki usiku ulivyo nifanya, ila hongera sana umejaliwa mashine yanguvu” “yaani unamaana jana usiku tulifanya mapenzi?” “usinitanie baba, inamaana mechi yote ile ulikuwa hujitambui?” “sikutanii, kama tulifanya na Suzan alikuwa wapi?” hapo walichaati kwa mda mrefu mwisho Sophia akaomba game ya marudiano, akiahidi zawadi nono kwa Edgar ambayo hakuitaja jina, hapo hapakuwa najibu toka kwa Edgar, “Joyce muda wote alikuwa anafwatilia ile charting ya Edgar, alibahatika kuona sms chache, “mh Eddy mpaka anakusifia hivyo, ulimfanyaje kwanza?” aliuliza Joyce aki mshika Edgar kichwani, “sijuwi nikujibuje, maana siwezi kuelezea, labda…” hapo Edgar alishindwa kumalizia, “labada nini… aua unataka kujaribu siumechoka sana” aliongea Joyce akipeleka mkono kwenye dudu ya Edgar, akakuta ime simama, “he! yani kuchat tu! imekuwa hivyo?”alistuka Joyce, huku akiutoa mkono wake kwenye dudu ya Edgar, “hapana imesimama kwaajili yako” alisma Edgar huku akianza uchokozi kwa kupeleka mkono wake kiunoni kwa Joyce, ambae alitulia pasipo kipingamizi chochote, “mh! muongo, kwani mimi nimefanya nini?” alisema Joyce ambae bado alikuwa jilani na Edgar, “si unaona jinsi ulivyo na ulivyo vaa” hapo Joyce akapanda kitandani akalala chali na kutanua miguu akiikunja, huku kanga yake iki funuka kidogo sehemu ya mapaja ambapo aliongeza kwa kuziba na mkono wake “haya sasa njoo” alisema Joyce kwasauti ya chini iliyo jawa na kaaibu flani, Edgar alibaki amemshangaa binti huyu kama hajasikia alicho ambiwa, “njoo basi au utaki”

hapo Edgar hakusubiri mala yatatu, akasimama na kutoa nguo moja baada ya nyingine, ile alipo malizia nguo nddogo ya ndani Joyce alishangaa kuona kitu bakola kikionekana kimesimama vibaya mno, “waw, ,bona kuwa hivyo?” alisema Joyce akionyesha mshangao, huku akinyoosha mkono wake aliozibia sehemu za siri, nakuigusa dudu kwa kidole kimoja kisha akaishika na kuijaza mkononi, “yule mdada anafaidi sana, ndiyo maana anampenda sana” Joyce aliwaza hayo akiichezea dudu, kisha aka mshika mkono Edgar anakumvutia kitandani, nayeye akipanu miguu ili Edgar aingize dudu, hapo Edgar aka mkatiza kwanza, “husiwe na haraka, ebu inama kwanza,” Joyce alitekeleza ombi ilo haraka sana, akainama na kuuachia msambwanda kwanyuma, nakufanya kitumbua kionekane vyema kabisa, aksubiri kuona dudu ikiingia, lakini cha hajabu akashangaa kuona Edgar akimsika makalio yake nakuya panua zaidi, alafu akaona akianza kumnyonya kitumbua, hapo kaanza kuona kautamu flani hivi, ambao ulizi zaidi baada ya Edgar kuanza kunyonya kikunde, Joyce alishindwa kuvumilia akaanza, “ hooo hapo hapo, yes yes tamuuuuu,” wakati mwingine alifichua na siri zake, sijawai kufanyiwa hivyo, kumbe tamu sana, usihache nasikia utamu” **** Sophia baada ya kuongea sana na Suzan pia alimsimulia kumwona baba yake akitokea mtaa ule, akilala mikia tabia ya baba yake ya kumsaliti mama yake tena na wanawake waovyo kabisa, Sophia alimwambia Suzan anaenda kupumzika kwenye chumba cha wageni, basi wote wakagawana vyumba, wakati Suan anakwenda chumbani kwake Sophia akaingia chumba cha wageni, huko ndiko aliko anza kuchat na Edgar, kisha akapitwa na usingizi, yeye Suzan alijilaza kitandani nakuanza kuwaza hili na lile, alikumbuka maneno ya Sophia jinsi anavyo mlalamikia baba yake kwa kutembea hovyo na wanawake tena wengine akiwaokota bar, “Ok! atajiju kwamiaka yote hii aliyo nifanya asitegemee tena” alimaliza kuwaza Suzan na kuzamia usingizini, **** mida hii ndiyo mida ambayo mama Sophi alikuwa amingia kibamba ccm na kupaki gari lake kwenye maegesho ya bar kubwa, ambyo niile ambayo wanafunzi wanaipendagasana kupata chakula, akachagua meza moja yakujificha, akiakikisha kuwa anaiona vyema barabara , ili Edgar akipita tu! amuone, akaagiza bia yake nakuanza kuinywa taratibu, kama alikuwa amepanga muda, maana dakika tano mbele alianza kuwaona wanafunzi wakikatiza kutoka chuo na wengine waliingia pale n kuagiza vyakula, **** inshu ilikuwaje, wakati mama Sophia akimsubiri Edgar, ndio wakati ambao Nancy na wenzake wawili walikuwa wamesimama mlangoni kwa Joyce, wakisikiliza mziki wa humo ndani, kiukweli hapo mlangoni walisha simama zaidi ya dakika kumi, na muda wote waliosimama hapo nje walisikia sauti ya Joyce, ikilalamikia kuteswa na utamu, “uwiiiiii tamuuuuuuu………. husihache kunyonya……. yes…. hapo hapo,….. nishike maziwa, ….. yes! yes!…. niminye chuchu.. yes…yes huuuuuwiiiii tamu jamani” kiukweli kama ungesikia kwa haraka haraka, ungezani kuna mtu anaangalia video ya ngono au anajifanyisha, lakini dakika kumi mbele, ndipo wakina Nancy walipo amini kuwa mwenzao alikuwa anafaidi mambo, ni baada yakusikia sauti ya kiume, “pinda mgongo kidogo” duuu kilicho fwatia hapo sasa, ni kwichi kwichi za kitanda, zikifwatia na amri kama zakijeshi kwenye gwaride, kushoto geuka nyuma geuka kulia geuka simama, lala inama, nyanyua mguu chuchumaa, ile parade ilitumia dakika ishirini nzima huku nje ikiwapa amasa wakina Nancy nawakuwafanya watamani kumwona mtu anaye mshughulisha mwenzao, huko ndani maana walikia akitangaza ushindi mala mbili “unakuja…. tena.. unakujaaaaa,.. mkojo unatokaaaaa” lakini jamaa akumpa Joyce nafasi ya kupumzika,mchezo uliendelea, “duu! huyo jamaa kiboko, yani amalizi tu!” walinong’onezana wakina Nancy, wakisikilizia miguno ya Joyce na kwichu kwichu ya kitanda, ***** bwana Kazole bado alikuwa hajaamini maneneno ya mzee Kalolo, kuwa wakwe zake wame shalipa zile lakki nane, tena wamelipa kwa pamoja, “haiwezekani, au ameuza mashamba yake?” aliendelea kuwaza Kazole, alipoona hakuwa na jibu akaamua kumwuliza mke wake, “eti wife, hivi ulipoenda kwa baba, uliwakuta?” aliuliza lakini kwa mitego, “hapana sikuwakuta nazani watakuwa wamejiimia shambani” alijibu mkewake ambae ni dada mkuwa wa Edgar, “ok! ila nazani mambo yao yatakuwa mazuri, maana sija waona mda mrefu wakija kuomba fedha” nikweli hawajawai kuwaomba msaada kwa mda mrefu sana, lakini siyo kwamba mambo yao yalikuwa ni mazuri sana, ila waliona kila walipoomba hawakupata kitu, zaidi ya kujichoresha tu!, dada yake Edgar alichekecha akili akitafsiri maneno ya mume wake, akaonganisha na matukio akapata jibu, “inaweze kana, maana nimekuta box la simu nzuri yakutachi nyumbani” hapo bwana Kazole aka patapicha flani, “watakuwa wameuza mashamba yao yakule makemba,” aliwaza bwana Kazole, hapo akachekecha akili, akiwaza na kuwazua, “lazima watakuwa nafedha zilizo bakia mkononi mwao, lazima nifanye kitu, siwezi kuacha mpango wangu uishie pa bule” ***** baada ya mizunguko ya mda mrefu sana, akipitia kwenye miladi yake, nakukutana na wafanyabiashara wenzake kutoka mikoani, waliokuja kufwata mizigo ya biashara, mzee Mashaka alipitia benk na kuchukuwa million hamsini, kisha akaelekea full dose pub kituo chake makini, alipenda kupaita hivyo maana alipata kila kitu anacho kiitaji, kumbe wakati yupo benk kua mtu alikuwa anamfwatilia kwamuda mlefu sana na mpaka anafika full dose bado alikuwa naye, pasipo yeye kujuwa kuwa anafwatiliwa, na sasa yule kijana ambae kwamwonekano ni kipande cha mtu kilicho shiba vyema, alikuwa amekaa meza ya nne toka kwa mzee Mashaka, akimshuhudia mzee huyu ambae amemwona akichukuwa fedha nyingi sana pale benk, akinywa bia huku akichezea simu yake, ***** siyo kwamba mzee Mashaka alikuwa anachezea simu ila alikuwa anatuma sms kwa Suzan, ambae alikuwa amepitiwa na usingizi mzito kutokana na uchovu wa pombe aliyo kunywa jana, sms ilipoingia ndiyo kama ilimstua Suzan toka usingizini, akaifungua ile sms na kuisoma, “niambie mpenzi huyo mtoto wako wakambo bado yupo?” mzee Mashaka alimaanisha kuwa ni Sophia, “bado yupo amelala chumba cha wageni, niambie baba hupo wapi?” alijibu Suzan, kisha akasubiri sms nyingine ambayo aikutumia ata kakika ikaingia, nipo mbezi hapa na mzigo wako, sijuwi utaupataje?” aliisoma ile sms Suzan kisha akaachia tabasamu laushindi, “unamaanisha zile fedha za kuwa tumia wazee?” “ndiyo tena nipo nazo hapa, kama vipi mtume yule mdogo wako aje azichukue kabla sija zidiwa na kilevi” alisoma ile sms toka kwa mzee Mashaka kisha akarudisha majibu, “ngoja ni wasiliane nae maana yupo chuo, nikimpata nitakujulisha” baada ya hapo, Suzan akatazama muda kwenye simu yake, ilikuwa saa sita na nusu, akajuwa ulikuwa ni muda wa mapumziko kwa kina Edgar, akatafuta namba ya Edgar na kuipiga, simu iliita bila kupokelewa akapiga tena na tena lakini wapi akatulia huku hasira za wivu zikianza kumpanda, “huyu mshenzi leo ataniambia kwanini hajapokea simu yangu”

aliwaza Suzan akiiweka simu yake ezani na kujilaza tena kitandani huku akisonya sonya, kabla hajasikia mlango wa chumbani kwake ukigongwa, na Sophia akaingia “vipi wangu atuli leo?” aliuliza Sophia huku akijikalisha kitandani kwa Suzan, “naona tukale pale bar maana …” kabla ata Suzan ajajibu vizuri akasikia simu yake ikiita, akaitazama kwa pupa tazama, akaona mpigaji ni Edgar, akaachia tabasamu, “vipi shemeji aanapiga nini?” aliuliza Sophia baada ya kuona tabasamu usoni kwa Suzan, “Edgar huyo, nataka nimtume sehemu” aliongea Suzan akiipokea simu, si ndio shemeji mwenyewe huyo” hapo Suzan hakuongea kitu zaidi ya kucheka akimwonyeshea Sophia ishala ya kukaa kimya, “mbona ulikuwa hupokei simu” lilikuwa swali la kwanza baada ya kupokea simu, **** siyo kwamba Edgar akuisikia simu wakati inaita, lakini alishindwa kuipokea sababu alikuwa kwenye mchezo mkali, akimpigisha kwata Joyce, ndani ya dakika ishilini na tano, kelele za Joyce zili tawala, ata wakina Nancy wali kubari kuwa huko ndani mchezo hakuwa wakitoto, ata walipo sikia wamemaliza mchezo huko ndani wakajiondoa haraka sana wakiogopa kukutwa pale mlangoni, lakini kwa upande wa Nancy alihisi moja kwa moja kuwa Edgar anaweza kuwa ndie mtu aliepo mle ndani kwa Joyce, hivyo akapanga kwendaa kujibanza sehemu ambayo ataweza kuona mtu atakaye tokea kule kwao akiwa na Joyce, na Edgar naye, baada ya kumaliza ile mechi akainua simu yake huku Joyce akijibwaga kitandani hoi bin taaban, akaipiga namba y Suzan ambayo aliikuta pale juu kama missed call, “nilikuwa darasani hapa nimetoka kidogo ili nikusikilize,” alijibu swali la Suzan lililo ulizwa mala tu baada ya kupokelewa kwa simu, baada ya hapo akaambiwa kuwa atapewa maelekezo, namna ya kukutana na mtu mmoja iliampatie mzigo, maelezo hayo angepewa kwa sms, Suzan alifanya hivyo akishindwa kutoa maelekezo mbele ya Sophia, hapo Edgar akajiandaa baada ya kujifanyia kausafi kidogo, kisha akasubiri maelekezo, ambayo hayakuchelewa, yakiambatana na namba ya simu ya mzee Mashaka yakisisitiza kuwa “yule ni boss wangu na mweshimu sana, jitahidi hasijuwe lolote kuhusu mimi na wewe, kumbuka wewe ni mdogo wangu, mtoto wa mama mdogo,” Edgar akajibu “sawa dada haina tatizo” Suzan akatuma sms nyingine “we jishauwe tu! dada yako ndo unge niingiza dudu lako ilo, ebu fanya haraka uje unipe haki yangu” alipo maliza kuisoma hiyo sms Edgar alimtazama Joyce ambae alianza kukoloma kwa usingizi, “mtaniua nyie wanawake wa dar” hapo akampigia mzee Mashaka, ambae alimsisitiza achukue boda boda kwamba yeye atalipa, Edgar akatoka na kuchukua boda boda safari ikaanza kuelekea mbezi, akimwacha Joyce anaoloma juu ya kitanda chake mtupu kama alivyo zaliwa, * Suzan akiwa na Sophia wakiwa ndani ya gari la Sophia wakitembea taratibu kuelekea bar kwenda kula baada ya kushauriana, ndicho kipindi ambacho Suzan alikuwa akitumia kucht na Edgar, kisha aka tuma sms kwa mzee mashaka “ kumbuka huyo ni kaka yangu mtoto wa baba mdogo, nimemwmbia wewe ni boss wangu, akijuwa ukweli itakuwa balaha kijijini “vipi huyu dogo anayaweza mambo lakin?i” aliuliza Sophia na kumfanya Suzan acheke kidogo, “mh! wenae mmbea” ilondilo jibu la Suzan, “au uanaogopa nitakuibia” alisema Sophia akionyesha utani, kisha wote wakacheka “mbona nita fulahi, maana kijana achoki, ananavyo ni kunja, mpaka nakuwa mdogo” hapo wakacheka tena, huku moyoni Sophia akipania siku atakayo rudia mechi lazima aakikishe anamtoa jasho Edgar, wakati wanakaribia kwenye ile bar ndipo walipo liona gari la mama Sophia likitoka pale bar kwa speed nakuingia barabara kuu likielekea mbezi kwa kasi ya hajabu, mpaka wao wakashangaa, * mama Sophia kumbe alimwona Edgar akikatiza aikwa kwenye boda boda, ndipo alipo kulupuka na kuanza kumfukuzia kwa nyuma na gari lake, huku mwili wake ukianza kuchemka na kusisimka, na kitumbua kutekenya, kwakujuwa kuwa muda wa kupata dudu umewadia tena mbuzi anajipeleka machinjioni, mida hii bwana kazole alikuwa ameshatoka nyumbani kwake na kwenda moja kwamoja mpaka luhuwila seko, nakujibanza kwenye duka moja llenye kigroser jilani na kwa wakwe zake, kichwa alivalia kofia kubwa sana ya mduara iliyo ziba nisu ya uso wake, kwaharaka husinge mtambua, akaagiza bia moja na kuanza kuinywa taratibu, macho kwenye nyumba ya wakwe zake, huku moyoni akijisemea, “leo lazima kieleweke,”

mama Sophia aliendesha gari kwa kasi mpaka alipoanzakuwa ona Edgar na mwendesha pikipiki, wakiwa wanaendesha pikipiki wakipita pembeni ya barabara, lakini walipo fika kwenye mpando wa luguluni, mama Sophi alizuiwa na gari moja kubwa lililokuwa lina panda taratibu, wakati huo aliwaona wakina Edgar wa kipita pembeni na kupotea machoni kwake, akagonga stering ya gali lake kwa hasira nakusababisha honi ilie kwanguvu sana, “pwaaaa”, lakini aikusaidia kitu, huku full dose bado yule kijana alikuwa ame tulia pembeni akimtazama mzee Mashaka akimwesbia jinsi ya kumvamia na kumpola lile begi la pesa, alimwona akiendelea kunywa bia huku mala nyingi akiwasiliana kwakutumia simu yake, unajuwa huyu jamaa ni kwanini aliweza kumfailia mzee Mashaka, ni kwasababu jana usiku aliuwa na binti wajana au unaweza kwumwita Queen baada ya kucheza mchezo kwanjia haramu, ndipo walipo anza story katika maongezi yao ndipo Queen alipo anza kujinadi kuwa analelewa na mzee mmoja akielekeza jinsi alivyo pamoja na gali lake, akimsifia kuwa anapesa nyingi sana, kwabahati mbaya yule kijana siku ya pili aka mwona mzee Mashaka, nadipo alipo amua kumfwatilia, ataalipo ingia benk nakutoa fedha nyingi sana, alikuwa anamwona, kiukweli eneo lile watu walikuwa wachache sana akaona bola atumie muda ule kucheza mchezo ambao uta mfanya aibuke na mkwanja, akapiga atua kumsogelea mzee Mashaka ambae alikuwa anaongea na simu “vipi umechukuwa begi …. ok pitiliza huku nyuma kabisa” hapo yule jamaa hakusubiri akate simu, akajifanya ame jikwaa nakuipamia meza yenye bia ya mzee Mashaka, nakwa umakini mkubwa akajifanya kuidaka bia huku akiisokumia kwa mzee Mashaka, da! bia yote ikammwagikia mzee Mashaka, yule kijana akamwona mzee Mashaka akistuka na kunyanyuka kwa haraka ili ile bia hisi endelee kuingia ndani ya nguo zake, “vipi kijana, mbona unatembea kama kipofu?” aling’aka mzee Mashaka, wakati huo Edgar alikuwa anaingia pale bar ni baada ya kwenda kwenye duka la jilani kununua begi dogo la mgongoni, kama alivyo elekezwa na mzee Mashaka, akimwacha dereva wa boda boda akimsubiri, nandicho ki[pindi ambacho alikuwa amemaliza kuongea na mzee Mashaka lakini kabla simu aijakatwa akasikia kama kuna kitu kime vurugwa kwakupitia simu yake, kisha akasikia mzee Mashaka akifoka, nasauti nyingine ika jibu, “we pumbavu unaniita mimi kipofu,?” hapo Edgar akajuwa kuwaa boss wa mpenzi wake hakuwa sehemu salama, akaongeza mwendo kuelekea kule aliko elekezwa, ile anatokea tu! akamwona mzee Mashaka akipigwa ngumi ya sahavuni nakuangukia kwenye kiti ambacho akikumsaidia kilimpeleka chini nakutua kama gunia, yule kijana aka mfwata nakumwongezea ngumi ya usoni, mzee Mashaka akapiga ukelele na kuziba uso wake, naam yule kijana akaona hapo ndipo alipo kuwa anapataka , kilicho baki ni kukusanya ule mkoba wa mzee mashaaka ambao alikuwa ameuweka chini kisha kuondoka maana mzee Mashaa alikuwa bado ame jiziba uso akisikilizia maumivu, yule kijana akaina makuchukuwa ule mkoba, lakini kabla hajaunyakuwa alishangaa akifyetuliwa miguu yote miwili nakupaa juu, kama mwana salakasi, kisha akajibwaga chini akifikia mgongo, yalifwatia maumiivu mkali sana, kiukweli hakujiandaa kwa tukio litakalo fwata baadaa ya kumshambulia mzee Mashaka, lakini yule kijana akaona lazima apambane ilikujiokoa, ikiwezekana kuondoka na mkwanja, baada ya kusikia kishindo cha mtu akianguka mzee Mashaka akatazama nakumwona yule jamaa alie mtandika akiwa chini anaugulia maumivu, ileanataka kuinuka tu yle kijana akashuhudia mguu wa Edgar ukija kwa speed usawa wa usowake, akajaribu kuukwepa, lakini alisha chelewa alishuhudia mguu mzima ukitua usoni kwake na kumfanya aone giza jeupe lenye nyota kazaa nyekundu, akajiinua nakutimua mbio akipishana nawatu waliokuwa wakishagalia “piga huyo mshenzi” akatokomea nje, kati ya watu walio sikia kelele nakuja kushuhudia, ni binti wajana, alistuka sana baada ya kumwona yule mwanamume alie kuwa nae jana, ndie aliekuwa ame mvamia mzee Mashaka, hao akajiondoa eneo hilo haraka sana, ktokana na tukio hilo mzee Mashaka akuwa na hamu ya kuendelea kukaa hapo akamkabizi Edgar ule mzigo ambao ulikuwa ndani ya bahasha tatu za kaki, Edgar akaweka kwenye begi alilotoka kununua, kisha akamwongezea laki moja, akimshukuru sana Edgar kwa kumsaidia kumwokoa kwenye mikono ya yule kibaka, wakati huo mama Sophia kumbe baada ya kuli over take lile gali kubwa aliongeza mwendo akijaribu kuwa fukuzia wakina Edgar lakini hakikuwa bahati yake, mapaka anafika mezi hakumwona Edgar wala ile boda boda, akajishauri bola arudi nyumbani akapumzike pengine aikuwa bahati yake, lakini wakati anajishauri kukata kona ya kuelekea msakuzi, ndipo alipo waona Edgar na yule mwendesha boda boda wanakuja upande wake wakikata kona kuelekea kibamba, akawasha taa za hishala ya kumsimamisha yule oda boda alie mbeba Edgar nayeye akasimama, kwanza kabisa Edgar alishangaa kuona yule boda boda anasimama, lakini akalipo mwona mama Sophia akagundua kwanini amesimama, maana macho yake yalikutana na uso wa mama Sophia ukiwa umechanua kwa tabasamu moja la nguvu, akimwonyesha ishala ya kuwa ashuke nakuingia kwenye gari , hapo Edgar akatoa not ya Elfu kumi na kumpatia boda boda, yeye aka ingia kwenye gali la mama Sophia, kitendo bila kuchelewa mama Sophia aka mtwanga busu la mdomo Edgar kisha akaendesha gari akikata kona ya kuelekea barabara ya zamani akipishana na gari la mume wake mzee Mashaka, wote wakiwa wameonana, na kupigiana honi, lakini mzee Mashaka akumwona vizuri mtu aliekaa pembeni ya mkewake, nakutokana na kumwamini mkewake akutilia mashaka yoyote, alichoamua ni kuondoka zake kuelekea mitaa ya karibu na nyumbani kwake maana aliona pale full dose, kwa leo apakumfaa, wakati kwa Edgar yeye alikuwa anawaza ni wapi anakopelekwa na huyu mama, kiasi cha kuto kumwona mzee Mashaka wakati wanapisha na mkewake,kwani Edgar alijuwa tu! akuna kingine, yule mama anachoitaji ni dudu! “mh! wataniua hawa watu,” aliwaza peke yake, “nili kumisi sana manangu, yani tokea jana nimeshikwa na nyege mpaka basi” duu! kauli hiyo ilimfanya Edgar aone picha ya kazi iliyopo mbele yake, mama Sophia aliendesha gari moja kwamoja mpaka makuti lodge nakuingiza gali ndani ya ukuta mkubwa wa hotel hiyo, nakuliegesha kwenye maegesho ya hotel hiyo, kisha wakaenda kwenye sehemu ya kupata vinywaji na chakula nakutafuta sehemu nzuri wakakaa, dakika chache muhudumu akaja wakaagiza vinywa vyao na chakula, huku mama Sophi akiomba aitiwe muhudumu wa vyumba, * ilikuwa saa tisa bwana kazole akiwa bado amekaa kwenye kigrocer akitazama nyumba ya baba mkwe wake, ndipo alipo liona gari ndogo la kukodiwa TAXI, likiingia kwa wakwe zake, nakusimama nje ya nyumba yao, ikifwatia na kushuka kwa baba na mama mkwe wake, wakiwa na mafurushi ya vitu ambavyo vilionekana wazi vimenunuliwa toka madukani, “wametowa wapi fedha hawa masikini?” bwana Kazole alijikuta akijawa na chuki ya hali ya juu, zidi ya mafanikio ya wakwe zake akisahau ata fedha ya mahali aliyoitoa kwa mke wake, ni juhudi za mkewake huyo baada ya kuuza mazao ya wakwe zake hao, licha ya hivyo pia ata kupata kwake kazi ya ualimu ambayo anaichezea kutokana na ulevi, alisaidiwa kwa fedha za wakwe hao kulipia chuo cha ualimu, “ngoja nita pata jibu tu! lazima nifanye kitu” aliwa Kazole akiendelea kuwatazama wakwe zake, ambapo sasa alimwona mzee Haule akitoa pochi mfukoni na kuchambua minoti ya elfu kumi kumi, kisha akatoa moja na kumptia yule dereva, ambae alimrudishia elfu tano, kisha gali likaondoka na wazee wale wakaingia ndani, “nitakupata tu wewe mshenzi” alijisemea Kazole akiagiza bia nyingine, **** Nancy alikuwa amekaa sana nje ya majengo ya chuo, macho yake yakiwa barabarani kumwangalia Joyce anapita nanani, huku mawazo yake yakiwa nilazima atakuwa ni Edgar, “huyu Joyce mshenzi sana, yaani hule upole ni wabule tu!” aliwaza Nancy akiendelea kusubiri, lakini mpaka muda wa darasani ulipofika akumwona Joyce wala Edgar, watu wakaingia darasani nayeye akaingia darasani, masaa yalisogea pasipo kumwona Joyce akirudi darasani, mpaka ilpo timia saa nane akaona bola aende kuwafwata huko huko nyumbani, aliomba luksa ya kwenda kujisaidia kisha aka chomoka na kuelekea nyumbani, alipofika akaenda kwenye mlango wa chumba cha Joyce akasikilizia, akaona kimya akaona hisiwe tabu akajaribu kufungua mlango ukakubari, akaingia ndani kwakunyatia, alipoingia nakutazama kitandani akamwona mwenzie Joyce akiwa ame lala chali miguu kaichanua, akiwa anaoneana wazi kupitiwa na isingizi mzito, Nancy alishuhudia kitumbua cha mwenzie kikiwa kina churuzika zile nanii alizo mwaga Edgar,

akaenda pale kitandani na kumtikisa kidogo, “wewe Joy wewe amka bwana” Joyce alikulupuka na kujifunika shuka, akiziba sehemu zake nyeti, akatazama pande zote pasipo kumwona Edgar zaidi alimwona Nancy, hakujuwa ameingia saangapi na Edgar ameondoka saangapi, hakujuwa pia kama Nancy alimkuta Edgar mle ndani au la, maana jana tu! ametoka kumweleza juu ya Edgar, na leo ameangukanae kitandani, “ebu kaoge kwanza ona ulivyo chafuka” aliongea Nancy, akimwonyesha Joyce usawa wa sehemu zake za siri, ambazo kwa sasa alikuwa amesha ziifadhi, na Joyce aka inuka na kuchukuwa ndoo ya maji kisha akaelekea bafuni, akimwacha Nancy chumbani kwake, “ mh! inamaana amenichungulia?” aliwaza Joyce wakati akiingia bafuni, dakia kumi baadae alikuwa amesha maliza kuoga, akarudi chumbani kwake akamkuta Nancy bado amekaa akionekana mwenye mawazo mengi sana, “hivi Joy saazile ulikuwa na mwanamume gani, humu ndani?” aliuliza Nancy nakumfanya Joyce astuke, “he! we umejuwaje?” kwani siri yani kila alipita koridoni alisikia kwamba unafanya nini, yani ulipigaje kelele” aliongea Nancy nakusubiri jibu la kwamba alikuwa na nani “ni mkaka mmoja hivi wa wa mwaka wa kwanza” jibu la Joyce siyo tu kumflahisha Nancy kwakupata uakia wakuwa siyo Edgar aliekuwa nae, pia alishangazwa sana, “ina maana Masoud ndo basi” aliuliza Nancy akimwangalia Joyce anavyo badirisha nguo, “yeye si anaifanya mjanja, aendelee na huyo mwanamke wake”alijibu Joyce akimalizia kuvaa kisha aka chukuwa fedha mezani, niile aliyobaki nayo baada ya kwenda kula, kisha hao wakatoka zao nakuelekea mitaa ya chuo * Edgar naoma namba yako ya simu, leo nimepata shida sana kukutafuta,” aliongea mama Sophi akinyoosha mkono kupokea simu toka kwa Edgar ambae alitoa simu na kumpatia bila kusema neno, mama Sophi aliandika nambayake kwenye simu ya Edgar nakujibip, kisha akaisave, ‘Edgar’ kisha akampatia simu yake, mpaka mida hii walikuwa wamesha kula na huyu mama alisha kunywa tatu, yeye Edgar akuwa anakunywa soda, waliendelea kupata vinywaji huku wakimsubiri mhudumu wa vyumba, ambae alishakuja mwanzo, na mama Sophi akatoa oda ya chumba, sasa walikuwa wana subiri aje awaambie kuwa chumba kipo tayari, muda wote Edgar alikuwa anawaza juu ya mambo yaliyo kuwa yana mtokea, maana wanawake walionekana kupenda sana kufanya mapenzi na yeyena mbaya zaidi alijikuta akishindwa kuikwepa mitego yao nakuingia mazima, “ona sasa nime toka kutomb..na sasa hivi nahuyu nae anataka nimtomb.., si wataniua hawa we unazani Suzan ataniachia kweli usiku waleo?” aliwaza Edgar mpaka alipo stuliwa na ujio wa mhudumu wa vyumba, “chumba kipo tayari, twendeni nika waonyeshe” hapo wakainuka na kumfwat nyuma, dakika chache walikuwa ndani ya chumba wao wawili tu! moja kwamoja Edgar alienda na kukaa kwenye kitanda, huku mama Sophi akiwa amesimama akaweka mkoba wake kwenye kochin dogo la mle chumbani, kisha akaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine adi alipo baki uchi kabaisa, akamshika mkono Edgar nakumvuta ainuke toka kitandani, Edgar alisimama huku akiweka lile begi lake mezani, mama Sophi akaanza kumvua Edgar nguo moja baada ya nyingine mpaka viatu, alipo maliza aka mtazama Edgar huku akimkumbatia, “Edgar mbona umekuwa mnyoge hvyo mpenzi, au upendi kuwa na mimi,” aliuliza mama Sophi baada ya kuona Edgar amekuwa mnyoge sana, “hapana, napenda” alijibu Edgar akijitahidi kutabasamu, “sasa mbona hupo hivyo, au juzi sikukufulahisha?” safari hii Edgar akakataa kwa kichwa, “sasa nini mpembezi mbona hupo ivyo? au sijuwi mapenzi kama Suzan, we niambie nikufanyie nini mimi nipo tayari” alisema mama Sophi akishika dudu ya Edgar iliyoanza kusimama, na kuichezea kidogo, “hapana, mbona unajuwa sana” alijibu Edgar akionyesha kuchangamka kidogo, “sasa tatizo nini Eddy, au kuna tatizo lina kusumbua, leo nime kubebea zawadi nzuri sana wewe mwenyewe utafulahi” aliongea mama Sophi akiachia dudu na kumshika mkono Eddy nakumvutia bafuni, Edgar akafwata kama kondoo wa sadaka* Suzan na Sophia walikuwa wamsha maliza kula na sasa walikuwa wana pata vinywaji taratibu hukuwakipiga story, wati Sophia akinywa bia Suzan alikuwa akinywa soda, “nikuambie kitu Suzie, leo wakati wakulala piga wine garass mbili utaamka vizuri kesho nakwenda kazini” alishauri Sophia, maana alijuwa mchezo alio mfanyia jana usiku, “eti hen, ngoja ninunue kabisa, pia itabidi na Edgar naye anywe maana na yeye ameamkaka na uchovu” aliongea Suzan akimwita muhudumu nakumwagiza wine nyekundu, Sophia yeye kimoyo moyo alisema “ungejuwa huy Eddy alicho nifanya jana sina ata hamu” wakati Sophia akiwaza hayo mala simu ya Sophia ikaita, bahati nzuri ilikuwa mokoni mwake, akaitazama, mpigaji aliuwa ni mzee Mashaka, “hallow niambie… weee! pole sana.. he! ikawaje?… hiiii maskini haja kuumiza, … jamani pole sana… sasa yeye yupo wapi?….. ok! asante sana.. nashukuru sana baba yangu, haya jioni njema, Suzan akakata simu, “nani tena huyo unae mmiminia mapole?” aliuliza Sophia, akiiweka bia yake mdomoni na kuigugumia, “ndugu yangu mmoja hivi amepata tatizo kidogo, ok lee story” alijibu Suzan kwakifupi na kuipotezea ile mada ya simu, “sotry zitoke wapi… ebu.. ona kule yule siyo yule binti tulie kuwa nae jana hapa?” aliongea Sophia akimwonyesha Suzan sehemu ya kuingilia pale bar, Suzan anayeye akaangalia upande ule, akamwona Joyce akiingia pale bar akiwa ame ongozana na wanafunzi wenzake wawili, mmoja wao alikuwa Nancy, mala macho yao yakagongana, Sophia akawapungia mkono, “bola upate kampani najuwa wewe uondoki hapa mpaka Edgar amefika hapa na mimi naondoka zangu nika jiandae na kesho kaazini” aliongea Sophia na Suzan aka unga mkono, na kupunga mkono akimwita Joyce,** nikweli kabisa Joyce alifika pale bar kwa lengo la kumvizia Edgar, baada ya kumkosa pale chuoni, upande wa Nancy yeye alifwata tu! pasipo kujuwa lengo la mwenzie, yeye alicho kifwata ni ile fedha aliyo iona kwa Joyce kipindi kile amemfwata chumbani kwake, adai walipo fika pale bar, na kuwaona wakina Suzan, Joyce akasema “mwanamke wa Edgar yuleee” wakati huo walikuwa wamepungiwa mkono, nadipo walipo gundua kuwa wanaitwa, Joyce akaongoza kuwa fwata wakina Suzan huku nyuma yake Nancy na mwenzie wakiliunga, Joyce aliisogelea meza ya wakina Suzan huku nafsi iki msuta, kwa tukio alilotoka kulifanya masaa machache yaliyo pita, walipo fika wote wakakaa nakusalimia, huku wakiambiwa waagize vinywaji, na haikuchukuwa muda mrefu kabla Sophia aja aga na kuondoka zake, akiwaacha Suzan Nancy Joyce na rafiki yao, wakiendelea kunywa soda huku wakiongea mawili matatu, wakati huo Suzan alituma sms kwa Edgar, “hupo wapi, nakusubir hapa bar,” * jioni ya leo mzee Haule alivaa nguo na viatu vyake vipya, kisha akchukuwa wallet yake yenye lakimbili na ishilini, zilizobaki kwenye manunuzi na malipo ya deni lao la pesa waliyo mlipia Edgar ghalama za chuo, simu yake ikiwa mkononi, akatembea kwa madaa akielekea kwenye klabu yao ya pombe za hasiri, pia na bia zilikuwepo lakini unyweka na wale wenye fedha za kufanyia hivyo, au pengine ungeanza na pombe za hasiri mwisho unge malizia na bia, wenyewe wanaita kusuuzia, “bwana Ngonyani, ebu! weka namba yako hapa,” ilikuwa kauli ya kwanza baada ya kufika na kumkuta mzee Ngonyani ambae ndo kwanza alikuwa anaingia kutoka Matimila, yani atakwake hakupitia, anakuambia yani kukosa kwa jana kunywa pombe alikuwa na kiu yanguvu, “he! ndo hiyo simu aliyo kutumiaa mwanao” alishangaa mzee Ngonyani akiipokea simu toka kwa mzee Haule, “ndiyo tena ame niletea na mihela bwelele, yani sikuhizi mimi ni mtu mkubwa sana,”alijinadi mzee Haule, huku mzee ngonyani pamoja na wenzake sita waliokuwepo pale, wakiendelea kuishangaa ile ile simu, balaha lika timka baada ya kuagiza kinywaji, “letee bia tano mbili mbili wote, kisha mimi na bwana Ngonyani tuletee tano tano na ulanzi wa kuchanganyia” wote wakapiga kelele za shangwe, wakimsifia mzee Haule, “yani sikuhizi mwanangu anafahamiana na watu wakubwa wa kwenye mabenki tu!” aliendelea kujinadi mzee haule dakika chache vinywaji vikaanza kumiminika maali pale, aliyafanya hayo mzee Haule masikikini mzee huyu hakuwa anajuwa kama kuna mtu anamfwatilia,

kule bafuni mama Sophi alipo maliza kuoga akaanza kwa kumwogesha Edgar akimsugua sehemu zote zilizo stahili, alipo fikia kwe dudu ambayo ilikuwa imesha simama, vyema akaipaka sabuni na kuanza kuichezea, kitendo hicho kili zidi kuamsha hisia kwa wote, maana wakati mama huyu ana endelea kuchezea dudu huku maji ya bomba la mvua liki wa mwagikia, Edgar naye akaanza kuzi minya chuchu za mama Sophi mwisho waka jikuta wkianza ku nyonyana ulimi, kabla mama Sophia haja chuchumaa na kuikamata dudu kisha akaidumbukiza mdomoni kisha akaaza kuinyonya huku akimwangalie Edgar usoni, wakati huo Edgar anaye alikuwa akiutazama mdomo wa mama Sophia jinsi ulivyo kuwa ukiingiza na kuitoa dudu yake, hapo Edgar alizidi kusisimka nakuanzanza kuchezea nywele za mama huyu, na dudu yake ikizidi ku tutumka nakujaa mdomoni kwa mama Sophia, mama Sophia alifanya hivyo huku wakati mwingine akijiminya chuchu zake, maana mzuka ulizidi kumpanda kila sekunde, “niingize kwanza Eddy” alisema huyu mama huku akisimama na kuinama akishikilia ukuta, hapo Edgar akaikama dudu yake na kuilegesha kwenye kitumbua cha mama Sophia, kisha akaingiza taratibu akisaidiwa na mama Sophia kwa kiji rudisha kwa nyuma “asante baba, “alisema mama Sophi alipoona mashine ime zama ndani, hapo ikaanza nje ndani huku mama sopia akisugua kisigino, mchezo ulidumu kwa dakika kumi huku mama sofia akipiga kelele na kuropoka maneno mengi sana, “una nitomb.. vizuri..mbo.. yako tamu sana..husi mtomb.. mwingine.. “mambo yalikuwa kama hivyo mpaka mama huyu alipo tangaza kufika safari ya kwanza, “husitoe nako..nako..nakoojoooaaaaa” aliyasema hayo, akiwa ameung’ang’nia mkono wa Edgar akiuvutia kwake, mwishoe akatulia huku akihema kwa fujo, mama Sophi akaikmata dudu ya Edgar, ambayo bado ilikuwa ime simama, na kuimwagia maji. kisha akaanza chuchumaa nakuinyonya, alifanya hivyo kwa dakika tano kisha akasimama hapo Edgar akamwambia akanyage ndoo kwa muu mmoja kisha wakiwa wametazamana, Edgr alibonyea kidogo, ni kutokana na ufupi wa mama Sophia kisha akaipenyeza dudu kwenye kitumbua cha mama huyu, kazi ikaanza, safari hii mama Sophia alisikia utamu mala dufu maana kilicho msababishia ajisikie utamu huo nihile stayle waliyo tumia, maana wakati dudu ikiingia ndani na kusungua kialage pia vinena vyao vyenye mauzi ya wastan vilisuguana huku matiti yake yakibanwa na kifua kipana cha Edgar, huku punzi zao zikimfika kila mmoja, kabla hawaja pea na modomo na kuanza kunyonyana mate kuna wakatai walitazamana, “we mtoto ulikuwa wapi toka zamani” aliongea mama Sophia pia hakuhacha kutoa miguno ya kimahaba, baada ya dakika kumi na tano mama Sophia alianza kuongeza kasi ya kukata viuno, akitangaza utamu kuongezeka, “tamu jamani we mtoto wewe, nitomb..jamani nitakupa unacho taka .. nitombe mpenzi” alizidi kumn’ang’ania kijana wawatu kisha akashusha mzigo huku akiona miguu ina legea na kukosa nguvu, akaanza kwenda chini taratibu kama ame poonza miguu, hapo Edgar akamdaka mama huyu kisha akapleka kitandani akamlaza chali kwenye kingo ya kitanda, akamtanua miguu, nakuikamata dudu yake kisha akaingiza dudu yske taratibu, akiwa ame simama chini “hapana baba yangu tupumzike kidogo, mwenzio nime choka baba” alilala mika mama Sophia huku akijaribu kumsukuma Edgar toka kwake, “subiri na mimi nimalize alafu tupumzike” alisema Edgar akianza ku pump nje ndani, hapo mama Sophia akatulia akimwangalia Edgar akiendelea kupump, kuna kipindi aliona Edgar aifanya kama kuitoa dudu mpaka kwenye mlango wa kitumbua chake, kisha anairudisha taratibu, baada ya kufanya hivyo mala nne, mama Sophia mwenyewe akajikuta akifumba macho nakuanza kuzingusha kiuno chake taraibu akifwata biti ya dudu ya Edgar, mama huyualiongeza kasi ya viuno huku akitoa miguno ya utamu iliyo anza taratibu mwisho ikawa kelele, “jamani wewe mbona mbo.. yako tamu hivyoo, asante Suzan kwakuniletea mtoto huyu” “nitomb.. baba .. niambie kama kum.. yangu tamu” hapo Edgar akatoa sauti yachini “tamu sana” “niambie kama tamu kuliko ya Suzan” hapo Edgar aliitikia kwakichwa, lakini aalijuwa kabisa kuwa Suzan kwake nizaidi kuliko vitumbua vyote alivyowai kuvitafuna, mcezo wa safari hii ulikuwa mrefu sana maana dakika ya ishilini, ndipo mama Sophia alipo jisikia kurudi mala ya tatu, “tukojoe wote mpenzi… mwenzio nakaribiaaaaa” nikweli wote wakakojoa kwa pamoja, hapo mama Sophia akabaki amelala vilevile juu ya kitanda, wakati Edgar akiingia bafuni, amba ko alijimwagia maji kisha akarudi nakumkuta mma Sophia bado ame jilaza kitandani macho ameyafumba, “mama naomba niwa maana nilikuwa nime tumwa” Edgar alimwambia mama Sophia baada ya kumaliza kuvaa na kuweka begi lake mgongoni, hapo mama Sophia akafumbua macho kiuvivu, akamtazama Edgar, akajichekesha kidogo, “naomba huo mkoba wangu” Edgar akampatia mama Sophia mkoba, “we mtoto hivi unakula nini, maana mh! yani mpaka uchiwote nahisi unaganzi” aliongea mama Sophia akiingiza mkono kwenye mkoba wake na kutoa bulungutu la noti, akamkabidhi Edgar, Edgar akapokea huku anacheka kwaile kauli ya mama Sophia, “mbona kawaida tu!” aliongea Edgarhuku akiweka zile fedha pasipo kuzi hesabu, kwenye mfuko mdogo wa pembeni wa begi lake, “haaa kawaida wapi, yani utazani umetoka jela, ila asante sana mpenzi, maana nime enjoy sana” waliagana huku mama Sophia akisisitiza kuwa jumamosi maapema wakutane wakale vyao, ilikuwa saa kumi nambili wakati Edgar alipoondoka pale hotelini, akimwacha mama Sophia akiwa amejilaza kitandani, na hakuchukuwa ata dakika kumi kabla ajapitiwa na usingizi nakulala fofofo, akiwa mwepesiiiiii,**** Suzan akiwa pale bar na wakina Joyce waliongea mengi sana huku wakipata soda taratibu pia chupa kubwa ya mvinyo ilikuwa mezani aijafunguliwa, licha ya kuongea mengi lakini Suzan alipatwa na wasi wasi sana, juu ya kuchelewa kwa Edgar, na pasipo kuona majibu ya sms yake aliyo mtumia Edgar, mida hii uzalendo uka mshinda aka chukuwa simu yake na kumpigia Edgar, simu iliita sana mpaka ikakata, hasira zili mkamata Suzan ikichanganyika na wasi wasi, akapiga tena, lakini wote wakasikia simu ya Edgar inaita pembeni yao wakatazama ilipo toke mlio wa simu ile wakamwona Edgar amesimama nyuma yao na begi dogo mgongoni, tabasamu likachanua usoni kwa suzan, akimwonyesha avute kiti pembeni yake, “utakuja kuni uwa, we mwanamume” aliongea Suzan akimpiga kikofi cha bega mpenzi wake, kisha wakapeana report za huko alipokwenda, akimsimulia tukio alilolikuta likimtokea mzee Mashaka, “mh! unataka kunywa pombe tena leo?” aliuliza Edgar kwa mshangao, baada ya kuona chupa ya mvinyo mezani, “kanishauli Sophia, anasema kesho tutaamka vizuri” walikaa kwapamoja wakiongea na kuchka pamoja na wakina Joyce na Nancy, japo muda mwingi Joyce alikuwa akiazama chini kwa aibu, kutokana na alichokuwa ametoka kukifanya na Edgar mchana wa leo, ilifikia mida ya saa moja nanusu, wakaagiza chakula suzan akiwalipia, wakala kisha mida ya saa mbili na nusu waka tawanyika, huku Edgar na Suzan wakielekea nyumbani kwao, njiani Suzan alipokea simu toka kwa Selina, ambayo ilikuwa inamkubusha kuwa saidia wale wazee kule Songea, ikiwa pamoja na kuwa boleshea mjengo, suzan akamwambia kuwa hasijari maana yeye na Edgar watakaa kisha watapanga wafanyaje alafu wata wasiliana naye kesho, Selina naye alisema kuwa kesho ataenda kuwa tembelea mchana mida ya chakula, **** wakati huo wakina Suzan na Selina wana panga kuyabolesha maisha ya wazee wao, ndiyo mida ambayo mzee Haule alikuwa pale kwenye bar ya kienyeji, akinywa bia mixer ya ulanzi, alikuwa amelewa vibaya sana sambamba na mzee Ngonyani , ndipo alipo shauliwa aende nyumbani akapumzike, uzuri wa mzee huyu hakuwa mbishi, aliinuka nakushika njia ya kwenda nyumbani, akaanza kutembea huku akiyumba njia nzima, lakini hakufika mbali sana, akastuka akifytuliwa miguu na kupaaa juu juu, kisha akatua chini akifikia kiuno, akaachia yowe, “mama nakufaaa”hapo akazimwa na ngumi ya shavu iliyo mtuliza mzee Haule, “kimya wewe”

hapo akamwona mshambuliaji akimsachi mifukoni akibeba simu nafedha zote zilizobaki, ambazo mzee Haule hakujuwa idadi yake maana alikuwa amelewa sana, hakuweza kumtambua yule jamaa kutokana na giza lililo kuwepo maali pale, alimtazama mpaka akamwona anatokomea kwenye vichaka, ndipo alipo jaribu kusimama lakini aikuwezekana, alisikia maumivu makali sana ya kiuno na mguu, akaanza kupiga kelele za kuomba msaada, kelele zilizo wafikia wakina mzee Ngonyani, pale walipo kuwepo wakinywa pombe, nao wakakimbilia mala moja na kumkuta mzee Haule akiwa amelala chini wakamwuliza kulikoni, mzee Haule akajieleza, nakusimulia yote yaliyo mkuta, na kwamba ameibiwa kila kitu, kilicho fwata wakina mzee Ngonyani waka mbeba mwenzao nakumpeleka nyumbani kwake, ambako walimkuta mke wake ambe baada ya kuona mumewake anarudi amebebwa, akajuwa ni ulevi lakini alistuka baada ya kuambiwa kuwa amevamiwa na mwizi ameibiwa kila kitu, hapo ndipo kilio kilipoanza, alilia kwa muda mchache akatulizwa na wakina mzee Ngonyani, baadae walimwingiza chumbani kwake na kumlanza kitandani, kisha wakaondoka zao, **** ilikuwa saa tatu kasolo, muda ambao mama Sophia alistuka toka usingizini, akatazama muda kwenye simu yake, “mama yangu nimeumbuka” alikurupuka toka kitandani na kuvaa nguo zake haraka sana, akishindwa ata kuoga, kisha aka chukuwa mkoba wake na kutoka nje, dakika chache akaingia kwenye gali lake na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwake mbezi msakuzi, njiani akiombea mume wake awe hajarudi nyumbani, “leo sijuwi imekuwaje, yani kujiegesha tu nimepitiwa moja kwamoja” njiani mama huyu alikuwa kama mweu kwa mwendo alio tembea nao, lakini moyo wake ukatulia baada ya kuliona gali la mume wake, likiwa lime egeshwa kwenye ki grosery jirani na kwao, yeye akaelekea nyumbani kwao, ile kufika tu moja kwamoja akaingia chumbani kwake na kupitiliza bafuni, akavua nguo zake zote nakuoga, alipo maliza akajiweka sawa na kwenda kupata chakula, alipo maliza akaingia chumbani na kujilaza kitandani, akaanza kutafuta usingizi huku akivuta picha ya tukio la kufanya mapenzi lililo tokea masaa machache yaliyo pita, adi alipo pitiwa na usingizi, **** nyumbani kwa Suzan yani mama mwenye nyumba, Suzan mwenyewe na Edgar walikuwa wame tulia waki panga mipango ambayo ilistua sana Edgar, maana hakujuwa kilicho kuwa kina endelea, ilikuwa ni mipango ya kuwa wekea wazee wake mazingila mazuri kule nyumbani Songea, huku wakinywa mvinyo mwekundu, Suzan alimwuliza Edgar, “eti muewangu, ukiachilia ukalabati wa nyumba, unazani nini kingine cha kuwafanyia wazee?” hapo Edgar hakujuwa aseme nini, akabaki ameduwaa akishangaa nkuutafakari upendo wa huyu mama mwenye nyumba, “Edgar mbona hujibu?, ok! nitawasiliana na Selina aangalie kitu gani kitawasaidia wazee” walipanga mengi sana ikiwa pamoja na yeye Suzan kesho akatume fedha kwa Selina, ili kazi ianze mala moja, baadae wakampigia simu Selina na kumweleza mipango yao nayeye akasema kesho angeenda kuangalia mazingila ya pale kwa wazee wa Edgar, ilikuju ni kitu gani kitafaa kuwafanyia wazee hao, mida ya saa tano ndio muda walio ingia chumbani kuoga kisha waka jibwaga itandani wakiwa chi kama wana ndoa, kiukweli ilikuwa ni wakati mgumu kwa Edgar maana ile kutazama ile mihips na mitako ya mama mwenye nyumba, toka wanaoga mpaka wana panda kitandani, dudu ika stuka na kusimama, kitendo cha kusimama kwa dudu yake akasikia maumivu ya dudu hiyo, ni kutokana na kutumika sana, kuona dudu ime simama Suzan akatabasamu na kupeleka mkono kwenye dudu, “mh! huyu nae anaga dogo kumwona mwenzake tu amesha mtamani” alisema Suzan akijiweka sawa na kuanza kunyonya dudu ya Edgar huku msamwanda wake ameutazamisha usoni kwa Edgar, hapo Edgar akajuwa anatakiwa afanye nini, nayeye aka jiweka uvunguni kwa mpenzi wake, na kuanza kutafuta dhahabu kwa ulimi wake, uku akisaidiwa na viuno vya mama mwenye nyumba ambae na yeye alikuwa ana endelea kunyonya dudu taratibu, wawili awa walionekana kuuelewa uu mchezo kwa muda mfupi sana nakuwa wazoefu, asa wanapoitaji kupeana utamu, * kiukweli usiku wa sikuhiyo usingizi ulikuwa adimu sana kwa mzee Haule na mkewake, ata ilipofika asubuhi ndipo walipo gunduwa kuwa mzee huyu alikuwa ameumia sana, maana alivimba usoni upende wa shavu la kusho, kiasi cha kusababisha ata jicho la upande uo kuto kuonekana, ukiachilia maumivu ya kiuno, pia mguu wake mmoja ulivimba sana kuanzia kwenye nyao mpaka usawa wa goti, “huyu mshenzi sijuwi ni nani?” aliongea mama Edgar akimtazama mume wake kwa uzuni kubwa, “anaonekana ni kijana kabisa, yani amenitwanga vibaya sana” aliongea mzee Haule kwa shida sana kutokana na kuvimba kwa savu lake, wakati huo huo wakasikia hodi, maana kunamtu alikuja kuwa tembelea, mama Edgar akaenda kumtazama huyo mpigaji wa hodi, alikuwa ni mzee Ngonyani, “karibu shemeji, pita ndani” alikaribisha mama edgar na mzee Ngonyani akaingia ndani, “vipi huyi bwana ameamkaje?” aliuliza mzee ngonyani akitaka kujuwa hali ya mgonjwa, “kwakweli hali ina zidi kubadilika, amevimba vimba mpaka inatisha” alisema mama Edgar akionyesha kwa mfano, “ingia ndani ukamwone” mzee Ngonyani kusiki hivyo akaingia chumbani, kwenda kumtazama rafiki yake, nikweli alimkuta akiwa katika hali mbaya, tofauti na alivyo mwacha jana, “shemeji huyu bwana anaitajika apelekwe hospitali haraka sana, na kwahali yake hatuwezi kutumia baiskeli , wala pikipiki, hapa ni gari tu!” aliongea mzee Ngonyani, nakumfanya mma Edgar apige kelele, “huuuwiiiiiiiiii, mao nene” ela yenyewe nitaitoa wapi mimi” hapo sasa ika ni kuzungu zungu, maana ni kweli fedha yote mzee Haule alienda nayo kwenye pombe, nailiyo baki ndiyo iliyo bebwa na yule mnyang’anyi, wote watatu walijadiliana kwa muda, wakaona bola wawapigie simu mabinti zake ili waje kutoa msaada, simu iliyo tumika ni ya mzee Ngonyani, maana simu mpya ya mzee Haule ilisha bebwa, wakwanza kupigiwa simu alikuwa ni dada mkubwa wa Edgar, ambae alikuwa ana andaa chai leo mume wake alikuwa ame wai kazini, alipokea simu na kusikia, tukio lililo mtokea baba yake, lakini jibu lake halikuwa zuri, “sina hela yoyote, ndo akome kwenda kulewa lewa” kisha akakata simu, wote wakatazamana, kisha wakawapigia simu wengine wawili majibu yakawa hayo hayo, nasalio a simu likawa lime kwisha “hivi hawa watoto ni wakwenu au mliwachukuwa kuwalea tu?” aliuliza mzee Ngonyani akishangazwa na tabia ya watoto wa mzee huyu, lakini mama Edgar akamkumbuka mkwe wake kijana Milanzi, ambae ame muoa binti yake wapili kutoka mwisho Faraja, ambae alikuwa anakaa mtaa wa pili toka kwao, ng’ambo ya barabara ya kwenda tunduru, japo walijuwa wasinge kuwa na msaada wa fedha lakini ange changia maalifa,* wakati Edgar akiwa chuoni darasani, Suzan alikuwa ofisini akifanya kazi, maana alikuta lundo kubwa la kazi, huku mala moja moja aki chukuwa simu yake a kutuma sms, au kusoma sms toka kwa Edgar, yani walikuwa wana chat, Suzan aliandika hivi “yani leo umenipa kitu kipya kabisa” Edgar naye akiwa anaificha simu chini ya meza akajibu, “mh! kitu gani hicho?” waliendelea kuchat huku kila mmoja akiendelea na kazi zake, “ile staili ya kulala kiubavu ubavu, uku tuna tazamana alafu nika kupandishia mguu mmoja juu yako,” edgar aliisoma hiyo sms kisha aka rudisha ya kwake, sasa kipya kipi hapo kilicho kufulahisha?” “jinsi ulivyo kuwa una nifanya, yani mpaka nikaona kizungu zungu, utamu ulikolea,” wakati wanaendelea kuchat kwenye simu ya Edgar zikaingia sms mbili tofauti na Suzan, yakwanza ilisema hivi, “asante sana kwa utamu ulionipa jana, mwenzio nili taka kupitiliza kwa usingizi” hapo Edgar akatambua ilikuwa inatoka kwa mama Sophia, akaijibu “pole sana mama, lakini si uliwai nyumbani,” jibu ilo lilimfulahisha sana mama Sophia nakuachia tabasamu pana usoni kwake kiasi cha kumshangaza ata mume wake ambae alikuwa anajitazama kwenye kioo anavaa kofia, akijaribu kuficha sehemu aliyo pigwa ngumi jana, pale full dose, “vipi una chati na nani?” aliuliza mzee Mashaka akiendelea kuiset kofia yake ya mduara (pama) mama Janeth anani simulia kuhusu kikundi chetu cha vikoba,” alizuga mama Sophia, huku mume wake akijiandaa kutoka, “bado huja koma tu! jana umenusulika leo unatoka tena?” aliuliza mama Sophia huku akiendelea kuandaa sms kwaajili ya kumtumia Edgar, “naenda kumwona yule dogo alie nisaidia jana, nika mpatie chochote, maana bila yeye ningeumbuka sana” aliongea mzee Mashaka akichukuwa lile begi lake, aki muaga mkewake nakutoka nje, hapo mama Sophia akatuma sms kwenda kwa Edgar, “asante mpenzi, husi sahau juma mosi nataka tena” alituma sms ile na kusubiri jibu ambalo lilichelewa kidogo, “poa tuta wasiliana, nipo darasani” Edgar baada ya kumjibu mama Sophia, akaisoma sms ya pili ilyo toka kwa Sophia, “najuwa juzi hukuwa una fahamu chochote wakati tuna fanya, ila nakuomba juma tatu tukutane mapema wakati Suzan akiwa kazini, ili unipe utaamu, tafadhari usi katae,” hapo Edgar akajisemea, “kazi hipo hivi mbona wana wake wamjini wana maajabu sana” alijisemea hivyo akiiandika sms na kuituma kwenda kwa Sophia, ilisomeka hivi, “lakini siunajuwa kuwa mimi nipo na Suzan?” akatega kusubiri jibu la Sophia , na wakati huo huo ikaingia sms toka kwa Suzan, “mume wangu, naomba tuku tane mda wa chakula cha mchana, kuna jambo la kuongea” nikweli muda ulikuwa umeshaenda sana, ilikuwa saa sita na nusu bado nusaa kutimia saa saba, muda wa chakula, “nikukute wapi mama?” aliuliza Edgar kwa sms, nakuja mwenyewe, nikukute pale bar usichelewe mume wangu?” sms hiyo ya Suzan iliambatana na sms toka kwa Sophia, ikisema “kwani yeye Suzan ananini cha ziada? we usijari nitakufanyia kila unachotaka, mladi uni timizie ninacho taka” hapo kikafwata kimya Sophia akiwa ofisini kwake ata kazi azikunoga akasubiri jibu,alipoona kimya akatuma sms nyingine, “plizzzz Eddy husika kimya, naomba uni jibu”

alisisitiza Sophia pasipo kujuwa mwenzie amevurugwa na sms ya Suzan, dakika chache baadae akapokea sms, “poa lakini iwe siri yako” hapo moyo wake uka lipukwa kwa shangwe akajibu faster, “husiwaze baby, sema usi saau kufuta sms ukimaliza kusoma” * bwana kazole akukaa sana kazini kwake, akaelekea dukani kwa mzee kalolo, kwenda kumwonyesha simu yake mpya kama angependa kuinunua, nikweli aka iuza kwa kiasi cha elfu amsini tu! tofaui ya laki moja nanusu iliyo nunuliwa siku mbili tatu zilizo pita, bwana kalolo akaziunganisha zile amsini na lakimoja na semanini aliyo mpola mzee Haule, akawa na jumla ya silingi laki mbili na selathini, huyo akaludi kazini kwake na kutoa udhuru akarudi nyumbani kwake, ambako alimkuta mkewake akiendelea na shughuli zake, kwanza alimpatia pesa za kwenda kulipia malejesho ya vikoba, huku mke wake akimpatia taalifa ya kuvamiwa kwa baba yake uku aki onyesha kuto kujari juu ya tukio ilo, “mzee nae anasema ameibiwa pesa amezitoa wapi yeye” aliongea bwana kazole kwa zalau ya hali yajuu, wakati akijuwa fika kuwa yeye ndie alie fanya ualifu huo, kiukweli siyo dada mkubwa tu ata hawa wengine walikuwa hivyo kasolo binti mdogo wa mzee haule, alie mwachia ziwa Edgar anaye itwa Faraja, yeye lichaya kuwa ndoa yake ilikuwa na umri mdogo wa mwaka mmoja, toka aanze kuishi na mume wake kijana Milanzi, lakini pia yeye na mume wake Milanzi awakuwa na kipato chochote zaidi walitegemea kufanya kazi dogo ndogo, za vibarua ilikuingiza kipato, kiukweli ilikuwa vigumu kuijuwa tabia yao, maana ata hicho chakuwaomba hawa kuwa nacho, **** mzee Mashaka alisimamisha gali lake kwenye maegesho yay a ben ya wananchi, nakushuka kisha akaelekea ndani wakati anaingia ndipo alipo kutana na Suzan akiwa anatoka mbio mbio, “he! wapi tena naona hupo mbio mbio?” aliuliza mzee Mashaka na Suzan akasimama na kusalimiana na mzee Mashaka, kisha Suzan akatumia akili akumdanganya mzee huyu juu ya sehemu anayo kwenda, basi mzee Mashaka akamkabidhi Suzan shilingi laki tano “kampatie yule mdogo wako, jana amenisaidia sana, poa basi tuta wasiliana baadae” wakaagana na kila mmoja akashika njia yake, ***** Edgar alistuka sana na kukosa amani moyoni mwake baada ya kusikia kuwa kuna jambo wana takiwa waongee, “jambo gani au amesha stukia kama na msaliti?” kiukweli Edgar alikosa amani, ata mda wakutoka darasani ulipo wadia alionekana mnyonge sana aki toka kuelekea kule bar, Joyce naye alikuwa ame wai kwenye mlango wa darasa la kina Edgar ili ampate Edgar, ambae akumwona asubuhi, nikweli alimwona akitoka nakushika njia kuelekea upande ambako wanafunzi wengi mda huo walikuwa wana elekea, ni kule bar Joyce aka mkimbilia “Eddy weee! eddy..nisubiri” Edgar akasimama na kugeuka akamwona Joyce akija mbio mbio, hapo mapigo ya moyo wake yakaongeza kasi, akona kati ya watu wanao taka kumwalibia huyu ndie mmoja wao, wakati Joyce akimkaribia ndipo Edgar alipo mwona Masoud akitokea mbele yake na kumshika mkono Joyce, “unaenda wapi?” aliuliza Masoud, na Edgar kuona hivyo akaanza kutembea kuelekea aliko kuwa anaelekea, “niache bwana,”aliongea Joyce kwa hasira, huku akijotoa mkono wake kwa Masoud, nakuanza kumkimbilia Edgar, “Edgar nisubiri bwana” aliongea Joyce, na Edgar akasimama, akamtazama tena Joyce, safari hii alimwona yule kijana alie jaribu kumzuwia akija nyuma ya Joyce, wote wakafika pamoja, “Joyce una jifanya mjanja siyo?” aliuliza Masoud mala tu alipo mfikia Joyce mbele ya Edgar, “najifanya mjanja kivipi, wewe sindo ulijifanya mjanja, endelea na kademu kako” alisema Joyce nakumshika mkono Edgar kisha wakaanza kutembea kuelekea kule bar, wakimwacha Masoud amesimama akiwatazama kwa hasira, walifika pale bar wakakubaliana watengane meza maana yeye alikuwa miadi ya kukutana na Suzan kwamba alikuwa na maongezi muhimu, hivyo Edgar akamlipia chakula Joyce, kisha kila mmoja akatafuta meza yake na kukaa mbali mbali, dakika chache baadae Suzan aliingia pale bar akione kana katika hali ya utofauti kidogo, walisalimiana huku kila mmoja akionyesha utulivu na kumtazama mwenzie kwa umakini sana, waliagiza chakula nakuanza kula, huku Suzan akijitaidi kumwongelesha Edgar ilikumchangamsha, ikiwa pamoja na kumpatia zawadi yake toka kwa mzee Mashaka, adi Edgar alipoone kana kuanza kuchangamka, ni baada ya kuona kuwa kumbe Suzan ajastukia lolote, kumbe moyoni suzan alikuwa anajambo la kumweleza Edgar, ndipo alipo sikia simu yake ikiita, akataza mpigaji alikuwa ni Selina **** wakati kijana Milanzi na mkewake Faraja dada mdogo wa Edgar, wakijianadaa kwedaa kwenye miangaiko yao ya kila siku, ndipo walipo mwona mtoto moggogo wa kati ya miaka nane akija na kuwa aambia kuwa wana itwa kwa mzee Haule walipo fika pale walikuta hali ya mzee Haule ina zidi kuwa mbaya, maana mguu ulizidi kuvimba, hapo hapo Milanzi akatoa simu yake na kumpigia mume mwenza bwana Kazole, simu iliita bila kupokelewa, akaamua ampigie shemeji yake, yani dada wa mke wake, simu ika pokelewa, hapo milinga akamsimulia kilicho tokea kama yeye alivyo simuliwana mzee Ngonyani, lakini yalikuwa ni marudio kwa mke wa bwana Kazole, “sasa meambiwa mimi mganga?, akachukue ela alizonywea mipombe zimpeke hospital” kiukweli siyo mala moja kwa bwana Milinga kusikia shemeji zake wakikataa kusaidia ndugu zao, lakini leo mzee Haule alikuwa anaitaji msaada, simu ilikuwa imesha katwa, lakini wakti huo huo aliliona gali moja dogo aina ya Toyota lav 4, likisimama kwenye uwanja wa nyumba ya mzee Haule, akashika mwana dada mrembo Selin, ambae alikuwa ame kuja na habari njema sana kwao, juu ya kuanza ukarabati wa nyumba yao na kufungua mlado utakao wawezesha kujiingizia fedha kwa matumizi ya pale nyumbani, lakini alishangaa kukuta watu wengine watatu tena wote wakiwa na sura za uzuni, alipata jibu baada ya kumwona mzee Haule ambae sasa alibebwa na kuwekwa sebuleni juu ya kochi chakavu, Selina alisimuliwa kilichotokea, na vitu vyote alivyo polwa, hapo hapo Selina aka shauri kuwa mzee Hule apakizwe kwenye gari kisha safari ya hospitari ianze, wakati mzee Haule akipakizwa kwenye gari yeye Selina alipigaa simu kwa Suzan ambae alitoka kuongea nae muda mfupi uliopita akimsisitiza kwenda kwa wazee wa Edgar ili ampe jibu wajuwe la kufanya, Selina alimpa taali fay a kilicho tokea kwa mzee Haule hapo hapo Suzan alituma fedha kwenye a/c ya Selina kiasi kama million moja, kisha akasisitiza kuwa awe anajulishwa kila kitakacho endelea, nusu saa baadae mgonjwa alikuwa kwenye hospital binafsi ya Baraka hospital yenye ma doctor bingwa ila ghalama yake uwa nikubwa sana sema cha msingi huduma zake za uakika, mzee Haule alikuwa amwsha patiwa chumba chakupumzika ambacho ni VIP, na sasa alikuwa anapatiwa matibabu ndani ya chumba kile, ambacho kilikuwa na kila kitu, ndani utazani analazwa raisi, kitendo hicho kili washangaza sana Faraja na mume wake ambao waliamua kuacha shuguli zao pasipo kujali watapatawapi fedha za kuendeshea maisha yao kwa siku yaleo, wakati wanajiuliza pesa ya kulipia ghala za hospital zitatoka wapi, mala wakashangaa yule mwana dada akiwa kabidhi lisiti ya laki sita iliyo fanyiwa malipo ya pale hospital, nakwamba mzee huyu ata pumzishwa pale kwa siku tano, akipata matibabu, na huduma nyingine kama chakula N.K. hapo ndipo waanza kunong’o nezana wakiulizana, huyu mdada ni nani?, ndipo walipo shangaa akimpatia mama yao fedha kiasi cha laki tano, “mama, hii fedha ametuma mkweo, kwenye a/c yangu nimeitoa ya watu nitaifidia nikisha itoa yakule benk nitakuja kuwaona nikitoka kazini, alisema Selina akiwaaga na kuelekea kazini, huku akipiga simu kwa Suzan kumjulisha alipo fikia, akiwa acha wakina Faraja wakishangaa, mkwe tena?, **** ok Suzan alikuwa amemaliza kumsimulia Edgar akilicho mtokea baba yake jana usiku, akaelezwa pia atua aliyo ichukuwa Selina ya kumpeleka hospital akaelezwa pia kuwa ameshanza kupata matibabu na yupo pale dada yake faraja na shemeji yake Milanzi, hapo Edgar alipiga simu kwa shemeji yake huyo maana namba yke ya simu alikuwa nayo, licha ya kuongea na Shemeji yake kijana milinga, pia alifanikiwa kuongea na mama yake baba yake na dada yake, wote walimsifu sana kwa kusababisha baba yake kupata huduma wakisifia Selina kwa moyo wa kujitolea, pia walimsifa huyo mkwe ambae hwakuwa wana mjuwa, huku Faraja akiomba kuongea na wifi yake, ambapo Suzan akaongea na Faraja kisha mama na kumalizia na baba, akiwa ahidi kwa tumia fedha kwaajili ya kununua simu nyingine, pia akiwa sisitiza kuw makini sana kwa matembezi ya usiu na wasionyeshe fedha zao kwa watu, wakikubaliana baba akipona aende kufungua a/c kwaajili ya kuifadhia fedha, ****** anaam siku tatu baadae mzee Haule akiwa bado hospital, hakuna ata mmoja kati ya watoto wake watatu wakubwa au wakwe zake, alie kuja kumtazama mzee Haule pale hospital, na hakuna alie wapigia simu tena, zaidi ni Milinga na mke wake Faraja wakisaidiwa na jilani mzee Ngonyani waliendelea kumuuguza baba yao ambae alikuwa ameshaanza kupata nafuu, akisubiri sikumbili mbele apewe luksa ya kurudi nyumbani, ambako kijana Milinga alikuwa ame pata kazi ya kusimamia ukalabati wa Nyumba ya wakwe zake na ujenzi wa chumba kimoja cha nje cha flame, kwaajili ya duka, akilipatiwa fedha kwaajili ya kuwa lipa mafundi na pia akapewa laki tatu kwaajili ya kuendeshea maisha yake, akiambiwa kuwa endapo atakuwa na tatizo amweleze Selina nayeye atawajulisha wakina Edgar, **** mambo yaliendelea kwa Edgar akiishi na Suzan kama mume na mke uku akiendelea kupanga ratba yake vyema akiwa shughulikia mama na mwana, pia Joyce kwa wakati wake, siku moja akiwaanatoka chuoni usiku akiwa ame toka kuachan ana Joyce alishangaa kuona vijana watatu wakitokea mbele yake “hoyaaaa kidume simama hapo” wote walikuwa wame shikili vipande vya vigongo mokononi mwao, Edgar akasimama na kuwa tazama usoni akawa gunduwa kuwa ni wanachuo wenzake, na mmoja wao ni yule anae msumbua sana Joyce Masoud, “vipi wakubwa kuna tatizo,?” aliuliza Edgar huku akijiweka tayari kwa lolote, mana alijuwa kuwa hapa kuwa na amani maali pale, “tatizo wewe ulioni, siunajifanya bingwa wakupola mademu wawatu”

aliongea Masoud akimsogelea Edgar huku akiwa ameinua gongo hewani akitaka kulishusha kichwani kwa Edgar, lakini zaidi ya umakini, Edgar aliwai na kulidaka, akampiga ngumi ya usoni na kumnyang’anya lile gongo, kisha kilicho fwata ni zaidi ya balaha, maana ndani ya dakika moja wote walikuwa wana kimbia huku wana chechemea, hapo Edgar aka timua mbio kurudi nyumbani kwao ambako alikuwa anaishi na Suzan kama mke na mume* kule nyumbani Suzan ambae alikuwa anamsubili Edgar ambae kwa sasa alikuwa kama mume wake, alikuwa jikoni ana anapanga vyombo kwenye kabati, ni aada ya uviosha baada ya kuvitumia usiku hule kwa chakula cha jioni masa mawili kabla Edgar ajaenda chuo kwa masomo ya jioni, wakati anapanga vyombo hivyo sijuwi kitu gani kili mkumbusha atazame kwenye droo ya chini ya kabati, akakuta chupa mbili za mvinyo mwekundu, akajaribu kukumbuka aliziweka lini hakupata jibu akazitoa na kwenda nazo sebuleni moja ilikuwa ime tumika na nyingine ilikuwa nzima kabisa, akaziweka mezani akipangakesho yake kwa kuwa ni juma mosi aklirudi kazini azitumie, pamoja na mpenzi wake, ata alipo ingia Edgar akamwuliza kuhusu zile chupa mbili za mvinyo mwekundu maana yeye hakuwa na kumbukumbu ya chupa zile nyumbani kwake. “itakuwa ni zile alizo kuja nazo rafiki yako Sophia,” nikweli maneno hayo ya Edgar yli mkumbusha jambo Suzan, kwamba siku ile alilewa sana baada ya kunywa pombe aliyo letewa na Sophia, pasipo kumweleza jambo Edgar Suzan akaziifadhi zile chupa pale pale alipo zikuta, kabla awaja ingia kuoga na kujibwaga kitandani, na kama destuli yao, walikuwa kama wapenzi wapya, kila siku lazima waliamshe dudu,** zilikuwa zimepia wiki mbili tokea mzee Haule atoke Haspital siku hiyo akiwa anatumia gongo maalum kwa watu wenye matatizo ya mguu, alikuwa amesimama nje sambamba na mke wake wakitazama jinsi nyumba yao ilivyo pendeza, huku chumba cha biashala kikimaliziwa kupakwa rangi inayo fanana na ile ya nyumba yao, na hapo ni jana tu Tanesco walikuwa wame unganisha umeme, mzee huyu ambae mguu wake ulikuwa ume viligiwa POP alifarijika sana, tena alijivunia kuwa na mtoto kama Edgar, yaani licha ya yote haya lakini leo, pia walikuwa wana subiri gari ambalo lilikuwa linaleta vifaa vipya vya ndani, kuanzia makochi mpaka makabati na meza za vioo, huku chini wakiwa wame wekewa tyles na kuta zime pigwa plasta na kusikimiwa nje na ndani na kupakwa rangi, mzee Haule na mkewake sasa walikuwa wanawasiliana moja kwamoja na mkwe wao Suzan, bila wasi wasi wowote, na sasa kila mmoja alikuwa na simu yake, *** Edgar aliendelea kutumia ratiba yake vizuri kuwa panga Sopia na mama yake, huku mama Sophia akizidi kuna wili wa furaha maana hakuitaji kumsumbua tena mume wake na hakuwa na mawazo yoyote juu ya kuchelewa kwa mume wake wala kufikilia ata kata wapi kiu yake, alicho akikisha ni kwamba anampatia Edgar mkwanja wa maana ili azidi kumpatia dudu bila kumbania, nisawa na Sophia yeye alisha wasahau wapenzi wake wote sasa alikuwa ni nyumba ndogo ya kijana mdogo Edgar, huku akiakikisha ana fanya kila linalo wezekana kumfulahisha kijana huyu ili aendelee kupata utamu, siku zika songa mbele, Edgar na Suzan waka shamili katika mapenzi yao huku akijitaidi kusoma kwa juhudi akifidia siku za mwanzo alizo zipoteza wakati alipo kuwa akianza mausiano na Suzan, Suzan licha ya kuendelea kutoa huduma kwa wazee wa Edgar pia hakuwa sahau wazazi wake na ndugu zake huko Iringa, * ilisha pita mwezi mmoja tangu, mzee Haule atoke hospital sasa aliweza kutembea, japo siyo vizuri lakini angalau alikuwa anauwezo wa kwenda ata dukani kwake, ambako alikuwa anauza binti yake Faraja, huku mkwe wake mume wa Faraja akikusanya mazao kwa kuyanunua toka vijijini na kuya leta pale nyumbani kwa mkwe zake, maisha yalikuwa mazuri sana, tena sasa mzee haule alipoitaji kinywaji alikunywa bia na rafikiyake mzee Ngonyani wakiagizia pale pale nyumbani, Selina akuacha kuwa tembelea mala kwa mala kuwa Julia hali,* ni mda mrefu sasa tokea alipo sikia baba yake ame vamiwa na vibaka, dada mkubwa wa Edgar au mke wa bwana kazole alishangaa kuto kupata simu yoyote zaidi ya ile iliyo toka kwa shemeji yake na kwa mzee ngonyani, “au walikuwa wana danganya ili niwatumie fedha, wame noa kwanza mimi mwenyewe na kiu ya fedha, tena safari hii sijuwi vikoba itakuwaje, maana wiki sasa sija peleka malejesho” aliwaza dada yake Edgar akizidi kutembea kuelekea dukani, alifika dukani na kununua maitaji yake kisha akaanza kurudi, kabla haja fika mbali toka dukani akasikia mama mmoja ana msimamisha “niambie binti Haule” walisalimiana kisha maongezi yakaanza, “kwanza ongeleni mwaya” alisema yule mama “ongela ya nini tena?” alisha ngaa dada yake Edgar, yule mama alimweleza kuwa, siku mbili zilizo pita alikuwa ametembelea luhuwila seko, akakatiza kwa mzee Haule amekuta mabadirio makubwa sana, alipo uliza mabadirko yale yame fanywa na nani, akaambiwa na watoto wake, na alisibitisha hilo kwa kumuta Faraja pale dukani, kiukweli dada yake Edgar mkubwa hakujuwa aseme nini, zaidi alipoagana na yule mama aka elekea nyumbani kwake nakuingia ndani, akaitoa simu yake na kuanza mawasiliano, kwanza alipiga simu kwa mdogo wake anaye mfwata, “we! mama semeni, hivi una taalifa yoyote ya kule nyumbani,” lilikuwa swali la kwanza mala tu baada ya simu kupokelewa, “ipi tena kuna zaidi ya ile ya baba kuumia?” aliuliza mama semeni kwa mstuko mkubwa “hapana, nazani baba ameuza mashamba mpigie mama tatu tukutane, ili tujuwe la kufanya” **** taalifa hizo zili samba mpaka kwa bwana kazole, akaduwaa “nimiujiza gani imetembelea kwa huyu mzee” alitaaruki bwana Kazole akipanga kujuwa chanzo cha fedha cha mzee Haule, ikiwezekana na yeye afaidike kupitia mke wake, kumbe mkewake alisha kutana na wadogo zake wawili, kujadiriana kwakile walicho kizani ni kwamba baba yao kauza mashamba na kukarabati nyumba pamoja na kufungua biashara, lengo likiwa ni kwenda kudai mgao wao,

atima ya kikao chao, kilicho fanyika nyumbani kwa dada yao mkubwa, nikwenda moja kwamoja nyumbani kwa wazazi wao, maana walidai hawazezi kuku bali kukosa fedha, ambayo wali dai wazee wao wame uza mashamba, hawa kupoteza muda safari ikaanza huku wakipania kuondoka na fedha nyingi kama mgao wao, * hukunako bwana kazole alipania kweli kweli kujivunia fedha za mzee haule kupitia mke wake, siku hiyo alirudi mapema sana nyumbani kwake, alikuta peupe, mke wake hakuwepo nyumbani, akampigia simu, ndipo mke wake akamwambia kuwa ameenda kwa wa zee wake luhuila seko, mke wake alifunguka sababu ya kwenda kwa wazee hao kuwa ni kwenda kufwata mgao wa fedha ambazo bado walikuwa na Imani wazee hao wame uza lasili mali zao, hapo bwana kazole akatabasamu akijuwa leo ata pata mkwanja wa maana, akatumie na kimada wake, siku hiyo mzee haule alikuwa ameamka vizuri zaidi, alikuwa ame toka nje ya nyumba yake, akaangalia dukani, akamwona mwanae Faraja ana endelea na biashara. ambayo kiukweli ilikuwa inamwendea vyema kabisa, maana ilifikia kipindi wateja wakawa wanagombaniana huduma, kutokana na wingi wao, kiukweli kwa sasa bahadhi ya bidhaa zilikuwa zime wekwa kwa nje ya duka kutoka na wingi wake, ndio maana kwa sasa ameamua kuje nga duka kubwa kwaajili ya kutanua biashara yake, baada ya kulizika na ukaguzi wa duka, mzee haule akazunguka nyuma ya nyumba yake ambako alimkuta mke wake, ambae kwa sasa alikuwa anapendeza pengine kuwazidi ata mabinti zake ambao sikuzote ujiona kuwa wamefanikiwa kimaisha, mzee haule alimwangalia mke wake, ambae alikuwa anaweka madhingira safi kwenye shamba la o la migomba kwa dakika kazaa, huku akitabasamu, ndipo mama huyu alipo gundua uwepo wa mume wake eneo lile, “hoo mbona ume duwaa alafu uana cheka peke yako” aliuliza mama Edgar, “unajuwa mke wangu siku nakuoa sikujuwa kitu kimoja” hapo mama Edgar akasimama na kumsikiliza mume wake, “kitu gani hicho?” aliuliza kwa shauku, “kumbe wewe ni mzuri bwana, yani natamani nikutungoze upya” hapo kicheko kika lipuka wote wakacheka, huku mzee huyu akijiunga na mkewake kuweka mazingira safi, wakati wao wana cheka na kufurahi hawakujuwa kuwa mabinti zao wamesha ingia pale nyumbani kwao, wapo dukani wanaongea na Faraja mdogo wao, “inamaana wewe wakutuficha jambo sisi, haya sasa kiko wapi ulizani hatuto juwa? tumejuwa sasa tuambie meuza mashamba yepi? na nishilingi ngapi?” alipayuka dada mkubwa huku wateja wakishangaa, “dada samahani bola mka mwulie baba mwenyewe yeye ndie atakae waeleza, maana mimi sijuwi cha mashamba wala hiyo ela mnayo taka kuijuwa” hapo uli fwatia msonyo mkali toka kwa mama Semeni, kisha wakatoka kwa hasira, waki elekea kwenye nyumba, ambayo ilikuwa tofauti na ile waliyo ishi toka wana zaliwa mpaka wanend kuolewa, “eti, hooo sijuwi” alisema dada mdogo kidogo, huku akiminya pua, yani yeye na mume wake kazi kula tu! ela za baba, si wakafanye vibarua vyao” “tena ona linavyo nenepeana” waliongea kwa hasira huku wakipokezana, wakaingia ndani bila hata kupiga hodi, mle ndani mcho yao yaka tawaliwa na vitu vigeni kabisa ambavyo kiukweli hawakuwai kuota kama wazazi wao wange kuja kumiliki siku moja, makochi ma kubwa ya kisasa sti mbili, yaliyo zunguka meza mbili za vioo, juu ya zulia la manyoya, lililo tandikwa kwenye malu malu (tayles) safi za ku ng’aa, tivi kubwa ya kisasa redio na mispeeker mikubwa ya kisasa, pia makabati mazuri ya vioo ya kuifadhia vyombo, na friji la vinywaji, huku pembeni meza kubwa ya chakula na viti vyake vyote vikiwa vipya kabisa, “karibu jamani samahani viatu tuna vua mlangoni” walistuliwa na sauti ya mschana mmoja ali valia nazifu kabisa, mavazi ya kufanyia kazi kama wahudumu wa mahotelini, wakajiangalia miguuni kweli walikuwa wameingia na sendo zao, ambazo zilikuwa zime jaa vumbi, kutokana na kuutwanga mguu toka mjini mpaka kwa wazee wao, “kwani wewe ninani?” aliuliza mama Semeni akiwa na wasi wasi pengine ata nyumba ilisha uzwa au kupangishwa ndio maana mle ndani wame mkuta vile, “mimi ni mfanyakazi wa humu ndani” hapo wote wakatazamana kwamshangao, “mfanya kazi?” wakauliza kwa mshao wao hule hule, “ndiyo, kwani nyie ni wakina nani?” alijibu yule dada, ambae nikweli ni mfanyakazi alie letwa kwaajili ya kusaidia kazi pale nyumbani, “makubwa, ebu tuitie mama mwmbie wanao wamekuja”alisema dada mkubwa, “mama yupo nyuma huku kwenye shamba la midizi” alijibu yule dada akionyesha kushangazwa na wageni hawa wanao jiita ni watoto wa boss wake, kusikia hivyo walitoka mbio mbi wakizunguka nyuma ya nyumba, ambako licha ya ile miti ya mitunda na midizi sasa waliona kuna jingo linguine kubwa likionyesha dalili yakuifadhiwa mazao, mzee haule akiwa na mkewake wakiongea na kucheka kwa furaha, hwana ili wala lile “shikamoni” walizikia salamu hizo kama tatu zikipishana pishana, wakageuka nakuwa tazama wasalimiaji, walikuwa watoto wao, “hooo malahaba karibuni” waliitikia kwa furaha wazee hawa, kitu kimoja walicho nacho wazazi hawa, licha ya watoto wao kuwa na loho ngumu juu yao, lakini kitu cha kushangaza wali wapenda sana mabinti zao. licha yakuchekwa na majirani na marafiki lakini wala hawakujali, “sisi siyo wakaaji” aliongea mama semeni akiwa ame shika kiuno, huku wote wame jinunisha na kukunja sura zao, “kama siyo wakaaji sasa kikubwa nini” safari hii aliuliza mama yao ambae siku zote ndie uwa makali kidogo juu yao, “tumekuj mtueleze ukweli, maana mala yakwanza me uza mashamba kisa Edgar anaenda chuo, safari hii meuza mashamba, tena bila ata kutuambia, tunaomba chetu, maana Faraja na mume wake ndie mme mwona wamaana, sisi wangine atuna maana” alisema dada mkubwa huku wengine wakitikisa vichwa kukubariana na dada yao kwamba anachosema nikweli, “nani ame waambia kuna shamba limeuzwa?” aliuliza mama yao wote wakatazamana, hakuna alie towa jibu, “au mmeona haya tunayo yafanya?” wote walikosa tena jibu, “kama ndo mna danganyana hiyvo basi mmenoa, tena kwa taalifa yenu mwaka huu tuta lima kwa trekta mashambayote, na lile mnalozani tumeliuza tumesha ligomboa” hapo wakazidi kushangaa, kabla dada mdogo kuuliza, “sasa hizi fedha mmezitoa wapi?” hapo mam yao akacheka kidogo, mge kuwa mna pokea simu zetu mnge juwa yote hayo, karibuni ndani mka pate ata soda za baridi,”aliongea yule mama akiwa kosha wanae makusudi, kisha akendelea na kazi zake, muda wote baba yao alikuwa kimya akiwatazama ma binti zake wakiongea na mama yao, “mama sisi tuna taka tujuwe fedha zote hizi mmezitoa wapi? kamsiyo mmeuza mashamba?” aliuliza mama semeni huku mke wa bwana kazole akidakia, “kweli siyo mna tuzuga tu! kwa soda baridi, mtuambie mliko zitoa” hapo mama yao alisitisha kidogo kazi yake, akawatazama watoto wake kwa zamu, “tulienda kuchukuwa fedha alizo nwea pombe mpaka akakabwa, si ndivyo ulivyo tushauri, kipindi baba yako ameumia?” aliongea mama yao kwa sauti tulivu yenye kusuta, akimtazama dada yao mkubwa, ambapo wote wakatazama chini kwa ahibu “mama Edgar yaliyopita yame pita, ebu usi waongelee watoto hivyo” aliingilia kati mzee haule, “weeeee usi nitanioe baba Edgar wakati mimi nalia peke yangu, wewe ulikuwa ume lala tu, awa nimesha juwa wanacho itaji, hawapati ata shilingi kumi yangu” hapo mzee haule akajuwa kweli mkewake anamaanisha maana kwa sauti ya uchungu aliyoitoa, mh akajikongoja na kusogea pembeni ambako aliendelea na kazi yake, huku mkewake pia akiachana na mabinti zake na kuendelea na kazi yake, “twendeni tutajuwa la kufanya, mpaka kieleweke” maneno ya dada mkubwa mama Edgar aliyachukulia kama ni maneno ya mkosaji, akawashuhudia watoto wake wakiondoka kwa hasirs na ghazab, *** maisha yali songa siku zika enda atimae ni miezi mitatu toka edgar aanze chuo pale kibamba, nijana tu alikuwa ametoka kumaliza taratibu za kumaliza chuo baada ya kumaliza mitihani yote ya mwisho, ilikuwa jumosi saa nane mchana, Edgar akitokea makuti lodge, ambako alikuwa ametoka kula kitumbua cha mama Sophia, walipana kwenye gari la mama Sophia Toyota vits, wakatembea moja kwa moja mpaka njia panda ya makabe, Edgar akashuka akisindikizwa na busu zito la mdomo kisha mama Sophi akashuka njia kuelekea kwake, Edgar akashika njia kuelekea benk ya wananchi tawi la ubungo kwa mpenzi wake Suzan, japo hakuwa ame mtaalifu kuwa ataenda huko lakini alijikuta ameamua kupitia kiwa hajuwi anaenda kufanya nini, ila kiukweli tokea jana jioni, wakiwa na Joyce wakipeana mautamu, chumbani kwa Joyce, ambapo Joyce alipozidiwa na utamu kaongea “mpenzi husiniache najuwa unamaliza chuo, lakini usinikimbie, bado nakuitaji” kiukweli kauli hiyo ambayo leo tena mama Sophia aliirudia wakiwa chumbani pale makuti lodge, “Edgar najuwa un maliza chuo unonaje niku amishe kwa Suzan nikupangie sehemu, nitakutafutia kazi au nikufungulie biashara” wakati huo Sophia week moja nyuma naye aliongea maneno ambayo, kiukweli yalizidi kumkosesha amani, “ilikuwa ni baada ya kugalagazana sana kitandani, nakuamua kupumzika “Edgar naona kila siku nazidi kuku penda unaonaje nitafute uamisho, niamie ata morogoro au kwenu Songea, ili unioe kabisa, uachane na Suzan” kauli hizo zote zili mfanya Edgar ajione ni mkosefu sana mbele ya Suzan, Edgar wakati anakaribia benk akakumbuka kupiga simu kwa mpenzi wake ambae anamweshimu na kumchukulia kama mtu muhimu sana kwake, asa kutokana na yeye Suzan anavyo mchukulia Edgar na kumjali, utazani wame zaliwa pamoja au mume wandoa, alafu yeye ni mume na Edgar ni mke, maana alimfanyia kila kitu, ikiwemo msaada mkubwa kwa wazazi wake, akapiga simu kwa Suzan kumjulisha kuwa anakaribi a pale ofisini, “hoo jamani Edgar nimetoka, njoo hapa tulipo kula sikuile, kwenye ile bar” **** Suzan akiwa na Monica mfanyakazi mpya wale kazini kwao, alikuwa amefika pale Full dose dakika chache zilizo pita, akipishana na gari la mama Sophia, japo akuwa nalo makini sana kutokana na yeye kuwa kwenye gari lake na walipishana mbali mbali wakizuiwa na magari mengine yaliyo kuwa kwenye foleni, leo aliondoka na gari tofauti na siku zote akiwa na lengo la kuondoke pale kwenda nyumbani ukizingatia ni nusu siku kwa wafanya kazi wa benk hivyo mala kumaliza kula mda utakuwa umekwisha, sasa wakati anatoka Monica akaomba lifti, nayeye alikuwa na safari ya kwenda kwenye lunch, kiukweli tokea Monica aingie nakuanza kazi pale benk kwenye kitengo cha keshia, watu wengi sana walimtolea macho kutokana na uzuri wake uliopambwa kwa uzuei wa sura pia rangi yake ya chocret,kwenye umbo ndio balaha, alikuwa mrefu alafu ame jazia hips wa na makalio wastan, kuanzia wateja adi wafanya kazi wenzake, walimsumbua kila siku wakitaka kuonja kitumbua cha mrembo Monica, lakini kutokana na umakini aliokuwa nao, monica aliishia kuwa piga chini, maana alijuwa kuwa akiwaendea kwa kupa ataishia pabaya, licha ya ahadi na offer mbali mbali lakini alifumba macho nakuwa piga chini, “nani huyo shemeji,?”aliuliza Monica wakati wana msubiri mhudumu kuja kuwasikiliza, “hapana ni mdogo wangu mtoto wa mama mdogo” alijibu Suzan ambae mpaka leo alikuwa anaficha mausiano yake na Edgar, kuepusha balaha litakalo weza kutokea endapo mzee Mashaka na Edgar wange gunduana, japo mzee mashaka kwa zaidi ya miezi mitatu akuwai tena kuingiza dudu kwenye kitumbua cha Suzan, aliishia kupigwa kalenda kwa sababu mbali mbali, “ok! kumbe unakaa na ndugu yako?”aliuliza Moica huku mhudumu alikuwa amesha wafikia, wakamwagiza chakula na vinywaji huu Suzan akitoa oda ya chakula cha Edgar pia, wakiwa wana subiri chakula huku wakiendelea kuongea mawili matatu, ambapo sasa walikuwa wanaongelea maswala yakazi, mala Monica akatuka, “mungu wangu, nina balaha gani mimi na huyu mtu?” kauli hiyo ili mstua sana Suzan akauliza, “vipi kuna mtu una ugovi nae?” kiukweli Suzan ni mwoga sana wa ugomvi, “hapana ni huyu kijana anaekuja, namwonaga mala nyingi sana pale benk” aliongea Monica akionyesha upande ambao watu wanaingilia pale full dose, Suzan akatazama lakini aliona watu wengi tu, wakiingia na kutoka macho yake yakakutana na macho ya mpenzi wake Edgar amba elikuwa anaangalia huku nahuku kumtafuta, akujuwa Monica anamaananisha niyupi kati ya wale, “yupi mbona wapo wengi?” aliuliza Suzan kwa kunong’ona huku macho yake bado yapo kule mlango wakuingilia, Monica akiwa bado ame tazama pembeni akimaanisha ataki kutazama kule mlangoni, akasema “mwangalie yule alie vaa tisheri nyekundu na jinsi, huyo mrefu” hapo Suzan akagunduwa kuwa mlengwa ni Edgar, moyo wake ukastuka, akiwaza lazima Edgar amemtongoza huyu mdada, maana alijuwa jinsi yule binti alivyo mrembo, na alifahamu jinsi wanaume walivyo shindaniana kumpata yule dada, lakini akajizuwia kuhamaki akauliza, “kwani ame kufanya nini” hapo Monica aligeuza uso na kutazama upande alipo mwona Edgar akamwona kwa mbali akija upande wao, akageuza tena sura yake, “yani sijuwi kwanini, nimetokea kumpenda sana huyu kijana, ila sijawai kuwa nae karibu, yani sijuwi nifanyaje kuna wakati najisikia ata nimfwate nika mwambie, yani bola atanisinge mwona huyu kaka”.

… kusikia hivyo Suzan alihisi mkojo una taka kumtoka. kwa mstuko, akamtazama yule dada usoni ndo “Edgar huyu” Suzan akajikuta amelopoka kwa kifupi, “kumbe ata wewe una mfahamu huyu kaka?” aliuliza yule dada Monica huku akimtazama Edgar ambae bado alikuwa mbali akijaupande walipo waohuku macho amewakazia wao, kisha akamtazama Suzan, “ndiyo si nime toka kuongea nae kwenye simu sasa hivi,” aliongea suzan wakati huo, muhudumu awa vinywaji alikuwa anaweka vinywaji mezani, “weee, usini ambie, kumbe huyu ni mdogo wako, yani una kaka mzuri sana” aliongea kwa kunong’ona Monica maana Edgar alisha karibia, hapo wote wakapoteze maongezi yale, “karibu Eddy, vipi mbona kama hauko sawa kuna usalama kweli?” aliongea Suzan akimkaribisha Edgar ambae alivuta kiti na kukaa upande mmoja na Suzan nawote wawili wakitazamana na Monica, uso kwa uso, “hooo nipo freshi tu sema sijuwoi kwanini, namejikuta nanyongea ghafla” aliongea Edgar akiinua macho yake kuwatazama wahudumu wawili wa chakula ambao walipeba tray mbili kubwa za vyakula vya watu watatu, wale wahudumu wakaweka mezani na kuwa karibisha, kisha hao wakaondoka zao, “naitwa Monica, nazani unifahamu ni rafiki wa dada yako” walistuliwa na sauti ya Monica iliyo mfanya Edgar akumbuke kuwa toka alipo mwona Suzan alimwona akiwa na mwenzie, kwaupande wa Suzan alijikuta akitoa kicheko kidogo cha mguno, “samahani mwaya kwa kusahau kuku tambulisha, Edgar huyu ni rafiki yangu anaitwa Monica ni mgeni pale kazini kwetu,” alitambulisha Suzan akishindwa atambulisheje kwa upande wa Edgar, maana aliona kuendelea kuficha italeta masala baadae, “ok! nashukuru kumfahamu” aliongea Edgar na wote wakaanza kula kila mmoja na chakula chake, ilikuwa ni kimya kimya ikionyesha wazi Edgar kuna jambo lina mkwaza, lakini muda wote Suzan alifwatilia macho ya Monic ambayo mala nyingi alikuwa akiibia kumtazama Edgar, “Edgar karibu kwetu kimara, siku moja moja week end” alivunja ukimya Monica, “unataka akatwe mapanga huko” alidakia Suzan, “haaa! dada Suzie mapanga yatoke wapi, Edgar husi msikilize huyo wala hakuna wakukukata mapanga” Edgar aliishia kucheka bila kuongea kitu, “au una mwogopa wifi yetu?” aliuliza Monica baada ya kuona hapakuwa na jibu toka kwa Edgar, ikawa kicheko tena safari hii alisaidiwa na Suzan, “haya mama atakuja kukutembelea”alisema Suzan akiondoa ngoma juani, lakini japo ilikuwa ni kuzuga kwa Monica ilikuwa kama nafasi muhimu kwake, aliachia tabasamu moja matata, huku akiinua macho yake kumtazama Edgar ambapo wakati huo Edgar anaye aliinua yakwake kumtazama mwanamke huyu anaebembeleza kutembelewa, macho yao yakakutana, Suzan alishuhudia tukio hilo, maana alimwona Monica akitazama chini kwa aibu huku akitabasamu, kimahaba flani hivi, “mh! huyu mshenzi nini, aje tu! hivi hivi nanguo zako” aliwaza Suzan “utakuja lini Edgar,” aliuliza Monica akishindwa kabisa kumtazama Edgar usoni, “atakuambia suzan,

Walikaa pale kwa muda wa nusu saa wakipata chakula, walipo maliza suzan ambae aliona mahali pale ni pachungu, aliwashauri wanzake wampeleke Monica ofisini, kisha wao waondoke zao kuelekea nyumbani, kweli walifanya hivyo wakaelekea kwenye gari lao, wakiwa wana elekea kwenye gari mala mzee Mashaka naye akawa anaingia na gari lake NISSAN SAFARI, akasimama nakuwafwata wakina Suzan ambao walikuwa wamesha fungua milango ya gari tayari kuingia, “ingieni tu ngoja nisalimiane na huyu mzee,”alisema Suzan akiwaacha Edgar na Monica wakiingia kwenye gari wakati monica akiingia siti ya mbele Edgar alikaa siti ya nyuma, yeye akapiga atua kumwai mzee Mashaka asiogee sana kwenye gari “niambie baba naona sisi tunatoka nwewe unaingia” alisma Suzan huku akiachia tabasamu, “nikweli tumekuwa tukipishana sana maali hapa, alafu mpezi unazidi kupendeza sikuizi” aliongea mzee Mashaka, akimaanisha anacho kiongea, “si una nipendezesha wewe mwenyewe baba angu” aliongea Suzan, alafu wote wakacheka na kugongeana mikono, “alafu nina mda mrefu sijaonja kitu, tatizo tumekuwa busy sana, leo nitakuja usiku unipe mambo” alisema mzee Mashaka, hapo Suzan akawaza jibu la haraka sana “ ata mimi nina hamu kweli kweli, sema leo nita chelewa kwenda nyumbani ya ni ivi unavyo tuona tuna enda kimara kwa yule dada, kuna inshu flani hivi ya huyu mdogo wangu” alidanganya Suzan na mzee Mashaka akaafiki, “ok poa, basi tutawasiliana kesho” hapo wakaagana kisha Suzan akarudi haraka haraka kwenye gari, masiwasi wake Edgar na Monica wasije wakatongozana, akawakuta wakiwa kimya, kila mmoja akiwa busy n simu yake, hapo akajuwa kuwa wamesha peana namba za simu na sasa wana chat, “samahani Eddy naomba simu yako mala moja” alionga Suzan akinyoosha mkono kwa Edgar nakupokonya simu, “haaa! umenivurugia gemu langu”alilala mika Edgar, Suzan akuyajali malalamiko ya Edgar, akaitazama simu ile, akaona Edgar alikuwa anacheza game nasiyo kuchat kama alivyowaza, akazuga kuangalia muda kisha aka mrudishia simu yake Edgar, “kumbe saa tisa, ngoja tuwai” aliongea Suzan akiwasha gari nakuondoka, **** ulikuwa umepita mda mrefu huu siku hiyo bwana Kazole alikuwa na mchepuko wake akipiga pombe mwembeni pub, akiwa ajaamini kama kweli mke wake ameshindwa kupata chochote kwa wazee wake, alisha jaribu kuvizia mala kadhaa kama angeweza kufanya kama alivyo fanya mwanzo, lakini ilikuwa ngumu maana sikuizi mzee haule alikuwa na nywea pombe nyumbani kwake sanasana alikuwa akimwalika rafiki yake mzee Ngonyani pale nyumbani kwake, na kilicho muumiza zaidi nijinsi mzee huyo alivyozidi kupata mafanikio, hapo bwana kazole alizidi kuumiza kichwa kwamba atafanyaje ili apilia pate kwa mzee huyu, kiukweli alikikuta akimchukia mzee wawatu bila sababu yoyote, kwa upande wa mkewake bado alikuwa ana jiuliza niwapi aliopo pata fehda za kuanzisha mambo yote yale, baada ya kuchunguza kwa mda mrefu ndipo siku moja akiwa anatoka kwenye vikoba, huku mawazo yakimlikita sababu sikuile hakuwa nafedha ya malejesho, mume wake alimnyima, akimtolea maneno ya kashfa “siumeamua kukubari uongo wa baba yako, sasa utajuwa mwenyewe kwakwenda kuchukuwa fedha ya vikoba” aliongtea hayo bwana kazole akisahau uwa fedha hiyo ni kati ya fedha aliyo itumia kufanyia starehe zake, alitembea kwa mguu miguu iliyo jaa vumbi nakajasho kanamtoka, “lakini huyu baba kwanini ana tufanyia hivi, siatupatie wenzie hizo ela” alisema dada yake Edgar kwa uchungu mkubwa, wakati anakatiza mbele ya bar moja kubwa ya mwembeni, “njoo uchuku epesa yako we mwanamke, kisha njoo na bia nyingin kama tulivyo” akaisikia sauti moja iliyo penya masikioni mwake, na aliitambua vyema kabisa hiyo sauti, ni sauti ya mume wake, mke wa bwana kazole alijikuta akishikwa na hamu ya kuchungulia mle ndani ilikuakikisha kama kweli sauti ile ni yamumewake….

akasogea karibu na maua, ambayo yalikuwa yame mtenga nisha na kumzuwia asiweze kumwona vizuri, huyo alie zani ni mume wake, alipo sogea na kuweza kuchungulia vizuri, kweli alimwona mume wake akiwa amekaa kwenye kiti sambamba na mwanamke mmoja kibonge, ambae alikuwa anamchezea chezea kichwani kimahaba, huku mbele yao palionekana chupa za ia zikielekea kuisha, na sahani zilizo jaa mifupa ya kuku zikwa chini ya meza, kwanza kabisa mke wa bwana kazole hakuamini kuwa yule ni mume wake maana alicho juwa yeye hawakuwa na fedha ya kutosha, ila macho yake yali mshawishi kuamini kuwa ni mume wake kwasababu nikweli alikuwa anamwona mbele yake, akiwa ameshikilia noti za elfu kumi kumi tatu, akiziitaji kumkabidhi mhudumu, ambae alikuwa anakuja mbele ya mume wake huyo, aliye onyesha wazi kuwa amelewa sana, “huyu mshenzi, yani mimi naangaika kutafuta pesa hapo hasira za ghafla zili mshika mke wa bwana kazole ambae ndie dada mkubwa wa Edgar, akachomoka mbio kumfwata mume wake, ile mhudumu anataka kupoke pesa toka kwa bwana kazole, akashangaa ile fedha ikipokonywa na mkono wa mtu mwingine, siyo yeye peke yake alie shangaa tukio lile la kunyakuliwa kwa fedha, ila ata bwana kazole na hawala yake nao waliduwaa wakizani ni mwizi au mtu mwenye upungufu wa akili, ndiyo amefanya tukio lile, lakini bwana kazole alipo tazama, vizuri alimwona mke wake akiwa amezikamata zile fedha elfu thelaathini, huku uso wake ameukunja kwa asira “inamaana kumbe, ndivyo unavyo fanya kila siku, kazi kumaliza ela na Malaya zako” aliongea kwa ukali mke wa bwana kazole, wakati huo kazole aki jichekesha kilevi, “we mwanamke tafadhari, nani Malaya?” aliongea yule mwanamke alie kuwa amekaa na bwana Kazole, akionyesha kuchukizwa na kauli ya mke wa kazole, “nani mwingine siwewe unae iba waume wa wenzio, tena utanitambua leo” aliomgea mke wabwana kazole ambae ndie dada mkubwa wa Edgar, huku akimsogelea yule mwana mke, na kumzaba kibao cha usoni, ambacho kili mpata vizuri yule mwana mke, kuona hivyo bwana kazole akainuka na kumkamata mke wake, hapo kili fwata kipigo kizito, “mshenzi wewe, nani kakutuma uje kufanya fujo hapa” aliongea bwana kazole huku akimshushia kipigo kizito mke wake, ambae alikuwa akiangua kilio watu wote pale bar wali inuka kwenye viti vyao na kusogelea tuki lile, huku wakipiga kelele za kushangilia vumanizi, wakiwa wamejiziuka kuangalia ule ugomvi, na kushuhudia bwana kazole akimwadabisha mke wake, huku yule mwanamke aliekuwa amekaa na bwana kazole aksimama akiiokota chupa moja ya bia kati ya zile zilizokuwa pale mezani, akawasogelea bwana kazole na mkewake, hakuna alie mwona yule mwanamke, bwana kazole yeye aliendelea kumtwanga mke wake, hakujari kilio chake ambacho kiliambatan na kuomba msamaha, mala ghafla akastukia chupa ya bia ikigonga kichwani kwa mke wake, na kupasuka kama bomu flani, pale pale mkewake alijishika sehemu aliyopigwa na ile chupa, akizuwia damu nyingi iliyoanza kuchuluzika, kama bomba la maji lililo pasuka, “mama yoyooo!, nisamehee mume wangu sitorudia tena, kama fedha yako hii hapa ichukuwe” zilikuwa ni kelele za mke wa bwana kazole, kama alie changanyikiwa na pepo la hasira, bwana kazole alichukuwa ile fedha mkononi kwa mke wake, na kumsukumiza kwa teke lililo mdondosha chini mke wake, mpaka hapo bahadhi ya watu waliokuwpo mahali pale, walienda na kumkamata bwana kazole hasi endelee kumtwanga mke wake, hapon mke wa bwana kazole aka jizoa zoa, na kwa msaada wa wahudumu waka mfunga kitenge chake kimoja kichwani, kuzuwia damu zisiendelee kumwagika, kisha mke wa kazole akashika njia kutoko mea zake, huku akipanga kituo cha kwanza ni nyumbani kwa wazazi wake, **** kiukweli mzee Mashaka pale Full Dose pub alipokuwa ame kaa akiendelea kupata moja moto, kuna vimawazo flani vilimjia, nikama mtu alie toka usingizini, kwanza ni juu ya mke wake kukataa kumpa unyumba, tofauti na zamani, ambapo ata akikaa mwezi mzima siku akitaka tu! anapewa, tena wakati mwingine yeye mwenyewe ndie alikuwa mchokozi pale anapoitaji dudu, lakini sasa ni muda mrefu sana, kila akiitaji utasikia visingizio, “mh! ndio kazeeka au kuna mtu ananisaidia?” alijiukiza mzee huyu, kabla haja ya potezea mawazo hayo na kuamia kwa Suzan, ni miezi mitatu sasa haja pata kitumbua, mala nyingi alizowea kuona suzan akimtumia sms ya kiuchokozi akiitaji dudu, lakini siku hizi angeweza kumaliza atasiku tatui bila ata kumtumia sms yakawaida, na inapo tokea yeye kuitaji anapigwa kalenda, “lakini ata yeye ajatiwa mda mrefu, maana ameniambia anajisikia hamu” alijiliwaza mzee Mashaka, akiichomoa simu yake nakuanza kutafuta namba ya mwanamke wakudondoka nae leo **** Suzan na Edgar baada ya kumwacha Monica pale benk, wakaelekea moja kwamoja nyumbani kwao kibamba, njiani Edgar alionekana kuwa na mawazo flani, japo Suzan alijitaidi kumwongelesha lakini aikusaidia kitu, atimae walifika nyumbani, ambako kwa sasa walishazoeleka kabisa kwa wapangaji, kuwa wanaishi kama mume na mke, walipo ingia ndani wakapitiliza chumbani moja kwa moja kilichofwata ni Suzan kusaula nguo zake zote tayari kwenda kuoga, wakti huo Edgar alikuwa amekaa kitandani akimtazama Suzan utazani ana mwona leo kwa mala ya kwanza, “jamani Edgar mbona uvui nguo tukaoge,” aliongea Suza akimsogelea Edgar na kuchuchumaa mbele yake, kisha akaanza kumfungua kamba za viatu alivyo vaa, tatizo la Edgar ni moja, licha ya kukaa na Suzan kwa miezi mitatu, kila siku wakioga na kulala pamoja, lakini uwaga anakosa uvumilivu anapo mwona Suzan akiwa uchi, “hivi Edgar unajuwa leo inabidi tukae sehemu ilitushelehekee kumaliza kwako chuo” kauli hiyo ya Suzan ni kama ili mtonesha tena Edgar na kumkumbusha maneno ya kina mama Sophia, “ndiyo kwani vipi” aliuliza Edgar kwa sauti tulivu na nzito, “nakuona kama umekosa amani, au kuna maneno umeyasikia?” aliongea Suzan akianza kumfungua mkanda wa suluali mpenzi wake, baada ya kumaliza kumvua viatu, “hapana, ila kuna kitu nawaza” alijibu Edgar akijiweka vizuri ili mpenzi wake aweze kumvu suluali, “kitugani tena mume wangu? niambie mimi nipo kwaajili yako mpenzi” alisema Suzan, akiimalizia suluali na kuiweka kitandani kisha akafwatia boxer, “tuta ongea mama, wala usiwe na araka” alingea Edgar huku Suzn akimalia kumvua boxer na kuamia kwenye tishert, “hanha nataka sasa hivi, sasa utakuwa hivyo mpaka saa ngapi, yani ata mimi naanza kingiwa na unyonge” alisema Suzan akimaliza kumvua tishert na kulitupia kitandani, kisha akamsukuma Edgar akajilaza kitandi na yeye kumlalia kwa juu nyama zao zikigusana, “ok! Suzan wewe ndei mwanamke wakwanza kukupenda na kajuwa samani ya mwana mke, wewe ndie mwanamke ulioni fanya nione kuwa nime pendwa na manamke” aliongea Edgar maneno yaliyo ugusa moyo wa Suzan kisha akatulia akimwacha Suzan ametega masikio kumsikiliza,…..

Edgar nae akaendelea “tume kaa kwa muda mrefu, japo kwangu nimchache sana” Suzan mapigo yake ya moyo yakaongeza kasi, huku shauku ya kusikia alichotaka kuongea Edgar ikiongezeka, “ebu, ngoja kwanza Eddy, mbona unazidi kuniweka njia panda mume wangu, kwani unataka kusema nini?” uvumilivu ulimshinda Suzan, “ok! Suzie, nilitaka kujuwa nitakuoaje tena baada ya mimi kurudi Songea?” aliongea Edgar kifupi, nakumfanya Suza ajiinue kwanguvu juu ya Edgar, “hooo Edgar usinitanie, hapana hapana Eddy, utaendaje Songea, alafu mimi nitabakije” aliongea Suzan akitembe kuanzia mwanzo wachumba mpaka mwisho wa chumba, kisha akarudi na kusimama mbele ya Edgar, huku macho yake tayali yalishaanza kutililisha machozi, “yani unataka kuni acha, kweli mume wangu?” hapo Edgar akainuka na kumkumbatia huku akimfuta machozi, kwa kiganja cha mono wake, “sina maana hiyo mama, ila nimesha maliza chuo, na mimi nilikuwa hapa kwaajili ya chuo, sasa nitabaki kama nanani?” aliuliza Edgar wakiwa bado wame kumbatiana, “kwanini unauliza hivyo una maana mimi nitakufukuza?” aliongea Suzan akizidi kujiegemeza kifuani kwa Edgar, “hapana Eddy usiondoke mume wangu, nitakupachochote unachoitaji, kama ni nyumbani Songea tutaenda nikichukua likizo” aliongezea Suzan, huku akihisi kitu kigumu kikijipenyeza kwenye mapaja yake, mwili uka msisimka, “ok! sawa mama, nakupenda sana, siwezi kukuacha, tutakuwa pamoja” aliongea Edgar akimalizia kwa kumbusu Suzan kwenye paji la uso, Suzan kusikia maneno ya Edgar moyo wake uka chanua kwa furaha, akamtazama Edgar usoni huku ameachia tabasamu mwanana, “unataka kuondoka unataka niku miss?, ona ata huyu mwenye amesha nimiss” aliongea Suzan akaupeleka mkono wake kwenye dudu ya Edgar iliyosimama tayari, akaishika na kuivuta taratibu, wote wakacheka kicheko cha kivivu, alafu wakaonganisha midomo yao nakuingiziana ndimi zao, wakanyonyana mate dakika kazaa kabla ya kusitisha zoezi na kuelekea bafuni, “Eddy unaonaje twende tuka tembee, tukale chakula cha jioni, maana atuja sherehekea kumaliza kwako chuo” aliongea Edgar wakiwa wanaendelea kuoga, “ok! nashukuru kwa kuni jari mpenzi wangu, tutaelekea wapi sasa a pale kwasik zote” aliongea Edgar aki mkumbatia Suzan huku maji ya bomba la juu yakiwamwagikia, “mhmmmwaaa,” kabla ajajibu Suzan alia chia busu moja la nguvu kwenye kifua cha Edgar ambacho kilikuwa kina mwagikiwa maji kwawingi, “naona leo tubadirishe sehemu twende pale tulipo kula mchana, maana pana chakula kizuri sana,” aliongea suzan akimaanisha full dose, “ok! nakuaminia mama, ujawai kukosea unapopanga kitu, mmmmwaaaa” aliongea Edgar aimalizia kwa kurudisha busu kwenye paji la uso la mpenzi wake, hapo Suzan akapeleka mkono kwenye dudu ya Edgar akiikagua utazani inaweza kuwa ime potea, aliishika huku akiusogeza mdomo wake kwenye mdomo wa Edgar wakaanza upya kupeana mate, huku mikono yao ikifanya uchokozi, wakati Edgar akiya minya makalio makubwa ya mpezi wake, Suzan aalichezea dudu utazani anakamua ng’ombe maziwa, Edgar akiamia kwenye maziwa suzan alimkubwa tia na kung’ang’ania ulimi utazani ana lamba kibuyu cha asari, dakikaa chache baadae Suzan mwenyewe akajisogeza ukutani na kuegemea akiunyanyua mguu mmoja, akimaanisha Edgar amsaidie kuushkilia, na mala Edgar anapoushika ule mguu na kuubania kiunoni kwake, Suzan akaishika dudu na kuilegesha kwenye kitumbua kisha akapeleka kiuno chake mbele, na dudu ikaingia maalipake taratibu kabisa, “hoooo tamu, jamani mume wangu usije kuondoka, ukaniahacha mwenzio nitapata wapi utamu kama huu” aliongea Suzan huku akikata viuno mzungusho kama vya kigugumizi hivi, sambamba na Edgar alipiga kiuno cha mkandamizo, * mama Sophia baada ya kumshusha Edgar pale njia panda ya makabe, aliendesha gali lake moja kwamoja mpaka nyumbani kwake, cha kwanza alicho fanya nikuoga, kisha aka akajilaza kitandani akiwa mwepesiiii, maana siku zote alizo kuwa anakutana na Edgar na kupeana dudu, alikuwa anafaidi na kujisikia mwepesi, kwa mziki aliokuwa anapewa na kijana huy mdogo, ndio maana akusita kumpatia kiasi kikubwa cha fedha mala kwamala anapo kutananae, fedha ambazo uomba kwa mkewake kwaajili ya matumizi yake binafsi, kwa haraka haraka mpaka leo hii amesha mpatia zaidi ya million kumi, mama huyu sasa alikuwa anapanga kumchukuwa Edgar moja kwa moja toka kwa Suzan, mama Sophia alipanga ayo pasipo kujuwa mida hii mwanae pia alikuwa anapanga kitu kama hicho unajuwa ni kwanini Sophia nae alipanga kumchukuwa Edgar toka kwa Suzan, ?* ebu kwnza turudi Songea, baada ya kupigwa na mumewe akisaidiana na yule kimada wake, dada yake Edgar alienda moja kwa moja nyumbani kwa wazazi wake, njiani aliwaza mambo mawili, moja aliwaza kuwa akienda nyumbni kwa mume wake, na mume wake akimkuta itakuwa balaha zaidi ya ile ilyo mkuta, pia akajuwa kuwa akienda kwa wazazi atapat atamsaada wa matibabu, lakini wakati akiwaza hilo akakumbuka jinsi mala ya mwisho alipo enda na wadogo zake kudai pesa za mgao, njinsi walivyo shushuliwa na mama yao juu ya kukataa kumsaidia baba yao pindi amevamiwa na vibaka, nakujeluiwa, lakini siku zote mtu mbaya uwa haonagi noma, yaani usije kutemea kuwa eti alie kufanyia ubaya, kunasiku ataona aibu, dada yake Edgar alinyoosha njia moja kwa moja mpaka nyumbani kwao na alipo karibia na kwao akaanza kuandua kilio upya huku akifungua ile nguo aliyo fungwa kichwani ili wazazi wake waione, ni kweli damu ni nzito kuliko maji, mzee Haule na mkewake wakampokea binti yao na kuingia nae ndani, hawakutaka kuhoji juu ya kilicho tokea, kwanza wakampigia simu Selina awasaidie usafiri, nusu saa baadaae Selina alifika na gari lake aka mchukuwa mgonjwa akiwa na mke wa mzee Haule wakaelekea BARAKA Hospital, ni ile ile ambayo baba yake alilazwa, licha ya kuwa katika maumivu, makali lakini alishangaa kuletwa pale, maana alisha wai kusikia juu ya ghalama kubwa ya uduma za pale, “usijari mwanangu utapona tu, maana hapa huduma zao ni nzuri sana nakumbuka baba yako alitibiwa hapa alipoumia mguu” aliongea mama Edgar akimpa moyo mwanae, “mh! kumbe ata baba alitibiwa hapa hapa?” alijiuliza kimoyo moyo mke wa bwana kazole, madaktari walimpoka haraka sana na kuanza kumhudumia ikiwa na kumpatia chumba cha kupumzika, na matibabu yakaanza, baada ya lisaa limoja tayari alisha shonwa nyuzi sita kwenye jelaha la kichwani na kupewa dawa kadha, wakishauliwa kuwa mgonjwa apumzike kidogo kisha ndio aende nyumbani, wakati wakisubiri mgonjwa apumzike kidogo kama walivyo shauliwa ndipo mke wa bwana Kazole akaanza kumsimulia mama yake kilicho tokea huku Selina akiwasikiliza, maana mda wote alikuwepo maali pale, akisaidiana na mama Edgar kumsimamia dada yake Edgar, * baada ya kufaidi kitumbua kwa nusu saa nzima kule bafunu, Edgar na Suzan walimaliza kwakuoga kisha waka ingia chumbani na kujibwaga kitandani, wakapitiwa na usingizi, kiukweli swala la kulala mchana kwa Suzan lilikuwa kama tabia toka wiki chache zilizo pita, wakati mwingine ata akiwa ofisini usingizia kuwa anamteja kisha ulala kidogo, wote wawili walistuka saa moja kasoro wakaamka nakujianda, baada ya dakika chahe walikuwa njiani wanaelekea Full dose pub pasipo kujuwa kuwa mzee Mashaka yupo pale toka walipo mwacha mchana, tena mida hii mzee Mashaka alikuwa amesha kutana na binti wajana, walikuwa me kaa kimahaba wakiendelea kupata kinywaji, napasipo kujari macho ya watu waliendelea kufanyiana michezo ya kimahaba, hii yote ni kutokana na kuzidiwa na kilaji, **** mida hiyo Sophia alikuwa njiani akitoka nyumbani kwake akielekea kibamba kwa Suzan lengo likiwa ni moja tu, kwenda kuongea na Suzan juu ya uusiano wake na Edgar, naakiwa na sababu muhimu za kufanya hivyo lengo lake likiwa ni kwamba Suzan amwachie Edgar, ili yeye aishi nae, sababu kubwa iliyo msukuma Sophia kufanya hivyo ni kwamba, kwa week tatu mfululizo sasa, Sophia alikuwa anajisikia tofauti sana kiafya, uchovu wa mala kwa mala, kujaa mate mdomoni, kuchagua vyakula maana kuna baadhi ya vyakula akila alitapika kabisa, nazaidi kilicho mshangaza hamu ya ngono kupita kiasi, yani muda wote alitamani awe karibu na Edgar, amwigize dudu, ndipo leo asubuhi alipo pata wazo, na kuamua kwenda kupima ujauzito, majibu aliyoyapata nikwamba yeye Sophia anaujauzito wa week sita, kwamujibu wa daktari ujauzito huo ulikuwa salama kabisa, kitu cha hajabu Sophia alifarijika sana asa akichukulia ule ujauzito ni wamwanaume anae mpenda sana, baada kurudi kwake na kupumzika mpaka jioni huku akiwaza ili na lile ndipo alipomua aende kwa suzan akamwambie alicho kifanya na Edgar na hali aliyo nayo, akijuwa kuwa kwa vyovyote vile Suzan ata mtimua Edgar na yeye atampata kiulaini kabisa, nakuishi naye, wakati ana katiza mbezi ndipo alipo liona gari la suzan liki kata kona kuelekea full dose, kwakuwa alikuwa upande wapili wa barabara, kuelekea kibamba, akashindwa kukata kona hivyo akapitiliza kwalengo la kwenda kugeukia pale stendi mpya alafu arudi tena, aje aingie full dose, akiona kuwa tena wakisha lew kidogo itakuwa lahisi kwa yeye kuongea yamoyoni, huku wakina Suzan na Edgar wakiwa hawajuwi chochote, walisimamisha gari kwenye maegesho ya ile pub na kushuka, lakini wakati wanashuka Suzan akaliona gari la mzee Mashaka, pale pale lilipo kuwa tokea mchana, kuna kitu kika mjia Suzan kichwani, ika mjia kumbu kumbu ya sikuile ya mzee Mashaka kuwepo maali pale na mwanamke mmoja wakifanyiana mambo ya kimahaba, “Edgar, ngoja kwanza, nisubiri kwenye gari nakuja sasa hivi, rudi kwenye gari” aliongea suzan akimshika Edgar mkono na kumrudisha ndani ya gari, kitendo ambacho kilimshangaza Edgar, lakini hakuwa mbishi, akaingia kwenye gari na kutuilia, akimwona Suzan akitembea kuelekea ndani ya ile bar, huku akilishangaa gari moja, ambali yeye Edgar alilitambua mala moja kuwa ni gari la boss wake Suzan, na lilisha mmwagia sana maji machafu, lakini wakati Suzan anaingia ndani ya ile bar, alishuhudia gari la Sphia nalo likiingia pale pub kwa speed kali sana na kusimama kwa bleck kali sana kisha Sophia aka shuka kwenye gari lake akiangalia huku nahuku, alipo tazama kwenye gari Edgar aka bonyea chini na kujificha, akimchungulia Sophia kwa kiio cha kati cha gari kijulikanacho kama back vew, alimwona Sophia akitazama kule kwenye lango wa kuingilia ndani ya bar, ambako Suzan ndiyo alikuwa na malizikia kuingia ndani huku akionekana kuwa amebadirika ghafla sana, nikama kuna kitu kime mchefua, Edgar alimwona Sophia akitimua mbio, kumkimbilia Suzan kule ndani alikoelekea, nikweli Sophia alimwona Suzan akienda na kusimama katikati ya ukumbi wa ile bar, akatazama huku nahuku,kamana mtafuta mtu flani, kisha aka tembea kuelekea upade wa nyuma wa ile pub, ambako yeye Sophia alikaa sikuile aliyo changanya dawa kwenye mvinyo alio wanywesha Edgar na Suzan, akaongeza mwendo kumfwat Suzan kule alikoeleka, akizani kuwa Edgar atakuwa kule ndie anaye mfwata Suzan

Sophia aka endelea kumfwata Suzan, akiongeza mwendo ili asimpoteze machoni mwake, akamwona akipotelea kwenye maua na kuzunguka upande wanyuma wa ile bar, nayeye akawai nakuvuka yale maua, akamwona Suzan akitembea kuifwata meza moja ambayo alikuwa amekaa mwanamume na mwanamke wakilana mate, Sophia akawoma Suzan akiongeza mwendo kuifwata ile meza, akazidi kusogea huku aki mtazama Suzan ambae alionekana kama anajambo ambalo siyo jema anaenda kuli fanya maana alimwona anatembea kwa haraka sana, Sophia akiwa ataua chache nyuma ya Suzan, akamwona akifika kwenye ile meza na kusimama mbele ya wale wapenzi wawili “inamaana ndiyo mchezo wako huu” alimsikia Suzn akiongea kwa sauti ya upole, na wale wapenzi wakastuka na kumtazama Suzan, hapo ndipo Sophia alipo iona sura ya baba yake mzee Mashaka, moyo wake uka piga paaa! kwa mstuko alioupata, akatulia tuliii kusikilizia tukio lile ambalo aliona lina weza kuwa zaidi ya anavyo lishuhudia, maana alicho kifahamu yeye ni kuwa baba yake mzee Mashaka na rafiki yake Suzan hawakuwa na mazoewea ya ukaribu wa hivi, sasa leo kulikoni, kiukweli mzee Mashaka akuamini macho yake baada ya kumwona Suzan amesimama mbele yake, “hooo! Suzie.. hooo! mmmh! karibu….” aliongea mzee Mashaka, pasipo kujuwa anaongea nini, “nauliza ndio tabia yako, unasingizia kuwa unavikao na wafanyabiashara wenzako, kumbe una yako” aliongea Suzan kwa sauti ile ile ya upole, “siyo hivyo mama, tuta yaongea, ebu wewe nipishe kwanza” alisema mzee Mashaka akimgeukia binti wa jana ambae alikuwa ametulia akiwa sikiliza, “eti nini?, nikupishe uongee na huyu Malaya wako, tena usinitibue nika mpasua pasua sasa hivi?” aliongea binti wajana akigonga gonga meza kwa hasira, kuona hivyo Suzan ambae ugomvi kwake ni kitu kibaya sana, akageuka na kuondoka zake, akiwa acha mzee Mashaka na binti wajana wakimtazama huku binti huyu akiachia msonyo wa maana, kwenda kwa Suzie, muda wote Sophia alikuwa akifwatilia maongezi yale, nakwamuda aliokuwa akiwasikiliza nakuwa tazama akamkumbuka yule mwanamke kwamba alisha wai kumwona baba yake siku za nyuma, alijikuta anapata furaha na hasira, furaha ni kwakugundua mchezo mchafu wa rafiki yake kutembea na baba yake, aliona itamsidia sana kama silaha kumpokonya Edgar ka Suzan, hasira alizo zipata ni kwaajili ya huyu binti anaye mchuna baba yake, Sophia alibaki akiwatazama baba yake na hawala yake ambao walikuwa wakimtazama Suzan akiondoka mbio mbio, nakupotelea kwenye maua, pale alipo ingilia mwanzo, Sophia akamwona baba yake akiinuka kama alie stuka toka usingizini, nakuanza kumfwata Suzan kule aliko elekea, huku yule mwanamke akijaribu kumdaka mkono bila mafanikio, “wewe unaenda wapi ebu rudi hapa” lakini mzee Mashaka alikuwa tayari amesha ondoka zake mbio mbio, hapo kitendo bila kuchelewa, Sophia aliinuka na kuisogelea ile meza aliyo kuwepo binti wa jana, kisha haraka kama umeme, aliinua chupa ya bia iliyo kuwepo mezani na kumpiga nayo binti wa jana usoni, ika sikika sauti ya puuu! chupa iki tawanyika vipande vipa na damu zika aanza kumwagika usoni kwa binti wajana, ambae aliachaia kilio chamaana, Sophia hakisubiri akashika njia yake na kuondoka zake, kuanzia mlio wa chupa na kelele za kilio cha binti wajana, zili mfikia mzee Mashaka ambae hakuwa amefika mbali ile kugeuka akamwona binti wajana akiinuka toka chini, mikono usoni huku analia, akuona kitu kingine zaidi ya watu waliokuwa wana sogelea pale alipo kuwepo binti wa jana, hapo mzee Mashaka akakumbuka uwepo wa begi lake la mamillloni pale mezani, akarudi haraka sana kulichukuwa, akimtazama binti wa jana ambae aliendelea kulia akivujwa na damu usoni, hapo kama hakuwanae mzee Mashaka akajindoa taratibu akijichanganya na mashuhuda watukio lile, kisha akatoko mea kumwai Suzana akayajenge yaliyo bomoka, kumbe suzan baada yakutoka kule nje, akatembea moja kwa moja mpaka kwenye gari lake akamkuta Edgar akiwa ametulia anacheza game kwenye simu yake, “vipi nishuke?” aliuliza Edgar akitaka kufungua mlango wagari, “hapana hapa hapajakaa vizuri twende turudi kibamba”aliongea Suzan akifungua mlango wa gari na kuingia kwenye gari, akambusu Edgar busu la mdomo kisha akawasha gari na kuondoka, kiukweli Suzan akuonyesha kama kuna tatizo lolote limetokea mle ndani ya full dose, alionekana katika hali yake ya kawaida huku tabasamu ilikishamili usoni kwake, kiukweli Suzan alijiona kuwa ni mshindi, kwa kitndo cha kumfumania mzee Mashaka kinge muweka huru yeye, kufanya lolote akiwa amesha achana na mzee huyu, huku nyuma Sophia akiwa amejibanza kwenye gari lake alimwona baba yake akiingia kwenye gari lake nakuondoka kwa mwendo wa haraka sana, lkini hakuwa ameliona gari la Suzan, lilikuwa limesha ondoka, mzee Mashaka alikamata uelekeo wa kibamba lengo likiwa ni kwenda moj kwamoja nyumbani kwa Suzan akayamalize na kuyaweka sawa na Suzan, lakini wakati huo hakuelewa kilicho mtokea binti wa jana akapanga kuto tembelea tena ile bar, Sophia yeye aliona amefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana, akapanga kuwa kesho yake akutane na Suzan amsomee mashitaka yake kisha mpe faini ya malipo ya kumkabidhi Edgar mikononi mwake, hapo alitabasamu menyeweeeeee, kisha akawasha gari na kuelekea nyumbani kwake mbezi kwa msuguri,**** njiani Edgar na Suzan waliongea mawili matatu mala sma ika ingia kwenye simu ya Suzan, Suzan akasimamisha gari kwenye kituo cha dala dala na kuifungua, akaisoma kimya kimya huku akicheka, “huyu mtoto mjinga nini” aliongea Suzan huku akicheka na kumtazama Edgar, “vipi ni Sophia nini huyo” aliuliza Edgar na suuzan hakujibu kitu akanyoosha simu kumpatia Edgar, “au mlikutana pale bar maana nilimwona anakukimbilia wakati una ingia ndani,” aliongea tena Edgar huku akipokea simu, “eti Sophia alikuwa anani fwata pale bar?” aliuliza Suzan kwa msangao mkubwa sana “yaaa nilimwona anakufwata mtakuwa mmepishana, ila alikuona” Edgar huku macho yake kwenye simu, hakuona jinsi Suzan alivyo hamaki, “mh! huyu nani tena” aliuliza Edgar akimaanisha yule mtumaji wa sms, akujibiwa akamtazama Suzan huku akimgusa kwenye bega, “eti Suzie huyu monica ndiyo yupi?” hapo Suzie alistuka kidogo toka kwenye lindi la mawazo, maana kama Sophia alikuwepo pale kuna uwezekano wakuwa ame sikia kila kitu nakushuhudia jinsi alivyo mfumania baba yake, kwahiyo fumanizi kwenye fumanizi, “niyule tulie kuwa ne mchana pale bar” alijibu Suzan akijitaidi kujiweka sawa, sms ilisomeka hivi “ dada Sizie nitumie namba ya Edgar nichati nae, maana naona nimekosa usingizi kabisa, tena ikiwezekana, mshawishi anitongoze” wote wakacheka kidogo, “hivi Edgar unaweza kunisaliti kwa kutembea na huyu monica?” alongea Suzan akipitisha mkono wake shavuni kwa Edgar, “mama nikuambie kitu,” aliongea Edgar kwasauti tulivu kabisa uku anamwangalia Suzan usoni, suzan akaitikia kwa kichwa, kwamba aambiwe, “yani kama kuna zambi nilisha wai kuifanya sitokaa nnikutendee kwa sasa, nita kupenda na kwaakika sito kaa niruhusu mtu akukoseshe amani,” hapo Suzan akaachia tabasamu pana huku aki sogeza modomo yake kwenye midomo ya Edgar na kumpiga busu zito sana, “asante mpenzi, asante mungu kwa kunipa mwanamume wa maish yangu” alisema suzani akiendelea kupapasa masavu ya mpezi wake, kisha akaingiza gia na kuanza kuingia barabarani, akisubiri magari mawili matatu yaliyo kuwa yakipita kwa speed, “hooo! gari la boss wako lileeee” alisema Edgar akionyesha gari la mzee Mashaka ambalo lilipita kwa kasi ya hajabu, likielekea upande ambao wao walikuwa wanaenda, ..

Suzan alipo liandagalia lile gari kweli lilikuwa la mzee Mashaka, akajuwa moja kwa moja mzee huyu atakuwa anaelelea nyumbani kwake, sezan akaingiza gari barabarani na kuendelea na safari, safari ambayo iliishia kwenye ile bar, wanayo pendaga sana kupaa chakula kama awajaandaa chakula nyumbani kwao, Suzan akapaki gari sehemu ambayo aliona mzee Mashaka atoweza kuliona gari hilo, kisha wakatafuta sehemu nzuri wakaa na kuagiza chakula navinywaji, kama kawaida yao waliagiza mvinyo mwekundu, huku Edgar akiagiza mchemsho wa samaki, na Suzan akaagiza kuku wa kukuchoma na ndizi, muda wote Suzan aliwaza juu ya Sophia kumfwatilia pale Full Dose, pasipo yeye kumuona, “inamaanisha Sophia ameshuhudia kila kitu” aliwaza Suzan kabla haja stuliwa na Edgar, “simu yako inaita” hapo Suzan akaitazama simu yake, nikweli ilikuwa inaita, na mpigaji alikuwa mzee Mashaka, Suzan akamtazama usoni Edgar, ambae alikuwa busy na chakula, kisha akakata mlio wa simu na kuiweka simu kwenye mkoba wake, kisha akaendelea na chakula, japo waliendelea kusemeshana na Edgar lakini mawazo ya Suzan yalikuwa mbali sana, maana aliona mda wowote mambo yake yanakuwa azalani, akichukulia kuwa Sophia anatambuwa wazi mausiano yake na Edgar, pia kuna uwezekano, kuwa leo amesha fahamu kuwa anatembea na baba yake, “itabidi nimweleze Edgar, ila sijuwi ata nichukuliaje?”aliwaza Suzan “lakini hakuna namna itabidi nimweleze tu!”aliendelea kuwaza na kuwazua, kabla Edgar ajakatisha mawazo yake, “Suzan nikuambie kitu” Suzan alistuka, utazani labda Edgar alifahamu alicho kuwa anawaza, “niambie tu mume wangu” aliongea Suzan akiidhibiti offu ya ghafla ilito mjia, “yani najishangaa sana, ujuwe kula siku nakuona unazidi kuwa mzuri machoni mwangu, tena unazidi kung’aa mke wangu, najivunia kuwa na wewe” wote wakaachia tabasamu, asa suzan ambae maneno yale yalimliwaza sana, “asante sana, nakupenda pia mume wangu” aliongea Suzan akichukuwa kipande cha nyama kwenye sahani yake na kumlisha mpenzi wake kisha akamalizia kwa busu la shavu, “asante sana mama leo nimesaau kuku lisha” alisema Edgar akichukuwa kipande cha samaki na kumsogezea Suzan mdomoni na Suzan akisogeza mdomo wake ilikupokea mnofu wasamaki, lakini kabla ata ajaweka mdomoni ghafla Suzan aka jiziba mdomo kizuwia kitu flani ambacho kilitaka kutoka bila iyali yake, kisha akakimbilia chooni haraka sana, huko chooni alikaa kwa dakika kadhaa akitapika, kisha akatoka “pole sana mama, vipi malaria?” Suzan alistuka baada ya kundua kuwa Edgar alimfwata nakumsubiri kwenye mlango wa choo cha kike, “hoooo! kumbe umenifwata, asante kwa kunijali mpenzi” aliongea Suzan wakarudi mezani kwao, ambako Edgar alikuwa ame muomba muhudumu awatazamie meza yao, “samahani Eddy naomba hiyo mcemsho wako huuweke mbali kidogo, yani hiyo arufu imenishinda” aliongea Suzan mala tu baada ya kukaa mezani, “kesho inabidi ukacheki malaria” alishauri Edgar, huku akisogeza sahani yake ya mchemsho wa samaki sato, “haa wapi unazani ni malaria, utakuwa ni uchovu tu!, maana sisikii dalili yoyote ya malaria” aliongea Suzan akichukuwa kipande cha limao na kukilamba kidogo, “Eddy, niombee malimao mengine, yana saidia kukata kichefu chefu” aliongea Suzan akiendelea kulamba kile kipande cha limao, “chukuwa na hiki chakwangu,” aliongea Edgar akimpatia kipande cha limao toka kwenye sahani yake, “hapana bwana icho kitanuka samaki” alikataa Suzan, hapo Edgar akaiuka mwenyewe na kuelekea upande wa jikoni, Suzan akatumia muda huo kuitazama simu yake, ilikuwa na missed call zaidi ya ishilini, na sms mbili, kati ya izo messed call, tatu zilitoka kwa Monica, moja kwa Sophia, na nyingine zote zilitoka kwa mzee Mashaka, akaachana nazo nakufungua sms, yakwanza ilitoka kwa mzee Mashaka, “naomba upokee simu yangu nataka tuongee” hapo suzan akapigia kabisa, akatumia dakika moja kuongea na mzee Mashaka, wakipanga kesho wakutane ili waongee kuhusu tukio la leo kule full dose, “ nitakuambia mahali pakukutana na muda wa kukutana” aliongea suzan na kukata simu, kisha akafungua sms yapili, ambayo ilitoka kwa Sophia, “mambo best, naona kimya, vipi kesho utakuwepo home?,” japo Sophia aliandika sms iliyoonyesha kuwa yupo kawaida tu! lakini Suzan alisha juwa kuwa kimenuka, “kesho naenda bagamoyo” aliandika Suzan nakuisend ile sms kwenda kwa Sophia, kisha akarudisha simu yake kwenye mkoba, maana Edgar alikuwa anarudi na saani iliyo jaa malimao kibao, kitendo kilicho sababisha Suzan aanze kucheka,* baada ya kumfukuzia Suzan mpaka kibamba na kumkosa, mzee Mashaka akaeudi zake mbezi, aliogopa kupitia Full dose, akanyoosha moja kwa moja mpaka mtaani kwao karibu na nyumbani kwake, ambako ata jana alikuwepo maali pale, aka tlia na kuagiza pombe, alizifakamia kiasi kwamba akajikuta akilewa sana huku mda wote akijaribu kupiga simu kwa Suzan pasipo mafanikio, adi baadae sana ndipo alipoona suzan mwenyewe akimpigia, baada ya kuongea na Suzan kidogo mzee Mashaka moyo wake ulitulia, “dawa ya kumtuliza huyu mtoto nimoja tu, tena sasa hivi na mtupia fedha ya kutosha kwenye account yake” alisema mzee Mashaka huku akitoa simu yake toka mfukoni, “ngoja kwanza nicheki salio mobile bank” mzee Mashaka alibonyeza simuyake akiingiza namba za kufungua huduma ya kibeki kwenye simu, kisha akafwata taratibu za kuanagalia account yake kuwa ina kiasi gani, alipo lizika na kiasi kilichopo, akafungua begi lake ambalo siku zote uwa ana tembea nalo, akatoa note book na kutafuta namba ya account ya Suzan, kisha akaanza fubonyeza simu yake kufwata utaratibu wa kuamisha salio,* baada ya kukaa sana pale bar Edgar ana Suzan wakainuka na kuelekea nyumbani kwao, safari hii gari aliendesha Edgar, awakuwa wamelewa sana, dakika chache walikuwa tayari wamejifungia chumbani kwao kama walivyo zaliwa, ndipo Suzan akakumbuka kuangalia simu yake, akakuta sms tatu, moja inatoka kwa Suzan, “ok nitakutafuta juma tatu, msalimie Edgar” yeye akajibu kwa kifupi, “poa” sms nyingine ilitoka kwa mzee Mashaka “mama umeiona hiyo fedha kidogo niliyo kutumia?” hapo Suzan akaifungua ile sms ya tatu ambayo alizan ndiyo ujumbe wa fedha aliyo sema mze Mashaka, nikweli ilikuwa n isms ya bank mobile, ikionyesha kwenye account yake kumetumwa million selathini, akamjibu araka sana mzee Mashaka, “nimeiona baba, nashukuru sana mpenzi wangu” muda wote Edgar alikuwa anachezea simu yake, “Edgar samahani baba angu, kuna kitu naomba nikueleze, maana sita huru, kama huja juwa ukweli” alisema Suzan akijinuka na kukaa akijiegemeza kwenye kingo ya kitanda, japo Edgar alistuka sana lakini akajikaza kiume, “niambie tu mama, wala usiwe na wasi wasi” japo jibu hilo lilikuwa jepesi lakini, aikuwa kazi lahisi, “naomba uni akikishie kuwa hauto kasirika wala kuni chukia, sababu ni mambo ya zamani” hapo Edgar akastuka kabisa nakuimtazama Suzan, “mbona kama una nitisha sana, ebu niambie, wala husiwe na wasi wasi” *** muda ulikuwa umesha tembea sana usiku wa leo, mama Sophi alikuwa ameshajilaza kitandani, ilisha timia saa tano usiku, ndipo aliposikia muungurumo wa gari la mume wake nje ya nyumba yao, “mh! mzimu unakuja” kiukweli mama Sophia alijikuta akimchukia sana mume wake, asa siku za hivi karibuni, ata yeye hakujuwa ni kwanini, japo alijitaidi sana kuto kumwonyesha mume wake kama ana mchukia, dakika chache baadae akamwona mume wake akiingia chumbani kwao, akionyesha amelewa sana, akajifanya amelala na kujifunika gubi gubi, kumbe alikuwa akimchungulia mume wake, ambae alimwona akiitazama simu yake ambayo ilionyesha kuwa inaingia sms, akamwona akiisomaile sms uku akitabasamu nakuonga maneno ambayo akuelewa anamaana gani, “kwisha habari yako, kinachofwata ni kukukarisha chini” mzee Mashaka akiwa anajuwa kuwa mke wake amesha lala, aliisoma sms ambayo alikuwa anaisubiri kwa muda mrefu sana toka kwa Suzan, nibaada ya kumtumia Fedha kiasi cha million selathini, na kujaribu kumpigia bila mafanikio, akamtumia sms kuulizia kama ameiona ile fedha, nayo ilikaasana bila jibu na sasa ndio jibu likaingia, akafarijika sana alipoona Suzan amejibu, tena akionyesha kama amesha aanza kulegea, ndipo alipo jiapiza kumkalisha chini, akiwa na maana dawa ya Suzan iliasimzingue tena, ata kama ata mfumania kama hivi, ni kumtundika mimba mapema iwezekanavyo, mzee Mashaka aliweka simu kitandani kisha na yeye akaa juu ya kitanda nakuanza kuvua viatu na nguo, kisha akajibwagaa kitandani, azikupita dakika chache akaanza kukoroma, hapo mama Sophia akaichukuwa simu ya mumewe na kuifungua, nakwenda sehemu ya sms, kwa bahati mbaya ya mzee Mashaka, leo alisahau kifuta ile sms ya suzan, ndipo mama Sophia akaiona sms ya kwanza kabisa yenye jina lililo andikwa ‘Arusha’ akimaanisha ni mfanya biasha toka Arusha, kwanza mama huyu akataka kuzarau, lakini akakumbuka jinsi yeye alivyo isave namba ya Edgar kenye simu yake ‘saloon’ akaona bola kwanza asome kilicho andikwa, akaifungu ile sms, alicho kiona kilimfanya amtazame mume wake kwa Hasira, “nimeiona baba, nashukuru sana mpenzi wangu” japo alisha zowea tabia ya mume wake maana kunasiku alikuja na uchafu kwenye dudu, lakini hakujali, ila leo alijikuta akiingiwa na hasira kari sana, ata yeye mwenyewe akashangaa, nitabia ambayo ameianza week kadhaa zilizo pita, mama Sophia aka chukuwa simu yake na kuingiza zile namba za simu, mpaka anamaliza kuingiza zile namba za simu jina la Suzan lilikuwa juu, ikionyesha huyu mwizi wa mali zake ni Suzan, mama Sophia akashusha pumzi kwanguvu, akiwa haamini alicho kiona,

“haaa! yani huyu mtoto.. haaa.. ata siamini.. ngoja” alisma mama Sophia kwa suti ya chini sana, akimtazama mume wake kwa hasira, mama Osophi akairudisha simu yamume wake pale alipo ikuta, kisha akatuma sms kwa mwanae Sophia, “kesho nakuja mapema sana, nina kitu nataka tuongee” kisha akaituma nakurudi kitandani, mpaka anapitiwa na singizi ile sms aikupata majibu, *** Suzan alimtazama Edgar, kisha aka vuta pumzi ndefu nakuishusha kama alivyo ivuta, kisha akajikooza kidogo, “Eddy mume wang kwanza samahani sana, nilipaswa nikuambie mapema sana, lakini tusinge ishi vizuri enda jambo hili ninge kuambia mapema,” hapo Suzan alitulia kidogo na kusikilizia jibu la Edgar ambae aliitikia kwa kichwa, kwambba yupo sambamba anamsikiliza, “kiukweli mpaka tunaanza kuwa wapenzi mimi nilikuwa nipo na mtu, tena huyo mtu ndie mtu wanga kwanza kufanya nae mapenzi na wewe ndiyo wapili,” hapo suzan akaweka tena kituo na kumwangalia Edgar jinsi anavyo msikiliza, akamwona yupo makini tena sasa alikuwa anamtazama usoni, “kiukweli niliingia kwenye mapenzi na mtu huyo kwa ushawishi wa fedha, naulaghai alio nifanyia, amekuwa msaada mkubwa sana kwangu na maisha yangu, licha ya kuwa nafanya kazi, lakini yeye amenisaidia sana, mtu mwenyewe ni mzee Mashaka na ndie baba yake Sophia,” hapo Suzan alimshuhudia Edgar akistuja na kujiweka sawa zaidi, ili kusikiliza vizuri, “Suzan alimsimulia kuanzia mwanzo kipindi yupo chuo CBE, alipoanza mausiano na mzee Mashaka, adi alipo mnnulia nyumba ile nakumtafutia kazi benki ya wananchi, pia alimweleza di walipo anza mapenzi nayeye, ikiwa na kumfumania siku ile, pale Full dose, nakuchukua uamuzi wa kwenda kupima HIV. yani ukimwi, nakujikuta yupo salama “lakini jambo moja mume wangu, toka nimeanza kuwa na wewe sija wai kufanya mapenzi nan a yule mzee, nandie mtu wa pekee nilie kuwa nae toka nianze kumjua mwanaume, na wapili ni wewe,” aliongea Suzan kwa sauti ya utulivu sana, akijuwa kuwa amesha mtibua mpenzi wake, ambae muda wote alikuwa akisikiliza kwa umakini sana mkasa huu wakimapenzi, “naomba ni samehe mume wangu, ila nakuaidi nita fanya kila mbinu niachane na mzee Mashaka, na hato wai kunigusa tena” aliongea suzan akianza kuvuta viji kamasi vyepesi vya machozi, akiamini kwa usikilizaji ule amesha mkosa mpenzi wake, lakini aka sahangaa mkono waEdgar akisogea usoni kwake nakuanza kumfuta vijimachozi vilivyo anza kutililika, najeje akajigeuza na kumkumbatia mpenzi wake, na Edgar akamkumbatia Suzan, “husijari mama, ni vyema kusameheana, maana ukisamhee una jipa nafasi ya kusamehewa” aliongea Edgar kwa sauti nzito na tulivu, “nashukuru mume wangu, nakuakikishia atoweza kuni gusa tena, na kwa kosa ili la leo, ndio naachana nae moja kwa moja” alisema Suzan, huku akiachia tabasamu na kujifutia machozi kwenye kufua cha Edgar, moyo wake ukiwa ume farijika na kujiona ameutuwa mzigo mkubwa sana, “ujanaipa leo usiku” aliongea Suzan akipeleka mkono wake kwenye dudu ya Edgarnakuiguza kiulaini kabisa maana walikuwa uchi wa mnyama, “niwewe tu mama kazi kwako, nilizani bado unajisikia vibaya,” aliongea Edgar huku akikamata nyonyo la mama mwenye nyumba na kubinya chuchu, “haaaa wapi? yani sijuwi kwanini ata nili tapika ghafla vile, maana sina ata dalili ya malaria”alisema Suzan akiachia dudu na kuivutia shuka pembeni yao, nakubaki watupu bila kinga yoyote, **** dada yake Edgar yani mke wa bwana Kazole baada ya kutolewa hospitali husiku ule, alirudishwa nyumbani, kwa wazazi wake yani Luhila seko, kwakuwa muda ulikuwa umeenda sana Selina aliona aitakuwa vyema kumsumbua rafiki yake kumjulisha juu ya tukio lile, la kupigwa kwa wifi yake huyu na mumewake, akapanga amjulishe kesho baada ya kuja kuangalia maendeleo ya mgonjwa, mke wa bwana kazole usiku waleo, alikuwa amelala kwenye chumba ambacho alishawai kukitumia toka utoto wake mpaka ana olewa na bwana kazole, nakuenda kuishi nae kwake kwenye nyumba waliyo panga mfaranyaki, lakini leo chumbahiki kilikuwa tofauti na zamani, kilikuwa chumba kizuri sana mfano wa chumba cha hotel yenye hadhi ya VIP, kiukweli mpaka sasa hakuwa anafahamu ile jeuri ya fedha, wazazi waake aliokuwa anawanyanyasa wameitoa wapi, aliwaza sana tata muda alio pitiwa na usingizi akuujuwa, alistushwa na sauti ya dada wa kazi, “ shikamoo dada” hapo akafumbua macho na kumtanzama, “malahaba, he kwani sahangap saahizi, maana naona kama juwa ilimeanza kukomaa” aliuliza mke wa bwana kazole, akijiinua toka kitandani na kuchungulia dirishani, “saa tatu sasa, nimeambiwa nikuamshe ujiandae ukanywe chai” hapo dada yake Edgar aliona amesha andaliwa kila kitu, kuanzia kandambili tauro mswaki na dawa yake, pia mafuta na kitenge vyote hivyo vikiwa ni vipya, “mh kweli wanazo” aliwaza huku akiji funga taulo na kitenge, akavaa nadala na kuelekea bafuni, nusu saa baadae alikuwa mezani pamoja na wazazi wake akipata chai, tena siyo ile ya kubabaisha aliyo izowea zamani, ilikuwa ni chai ya nguvu yenye vikolombwezo mbali mbali vya kutafunia, mke wa bwana kazole akapiga hesabu ya haraka haraka, akapata jibu kuwa ghalama ya ile chai ujumla wake, ninusu ya deni la marejesho ya vikoba anavyo daiwa, week hii, na jumatatu kesho kutwa anatakiwa apelike, nyingine zaidi ya hapo wana vikoba wenzake wangeenda kukomba bahadhi ya vitu na kuvipiga mnada, pasipo kujali deni lilikuwa dogo kiasi gani, aliwaza hayo dada mkubwa Edgar baada ya kuwa salimia wazazi wake, nakujuliana hali, muda mfupi baadae Selina akaingia pale nyumbani, akiwa na mazaga machache ya mgonjwa, akiwa kuta bado wana kunywa chai, “mimi ni mkulima jamani” alisema Selina akikaa upande wa makochi mwakubwa ya kisasa huku mzigo ukipokelewa na binti wakazi, “karibu mezani, mbona unakaa huko” aliongea mama Edgar huku dada yake Edgar akijiuliza juu ya Selina ni nani kwao, maana tokea jana alimwona pasipo kupata maelezo kamili, “amja weka mihogo siwezi kunywa chai” wote wakacheka, “wenzako mihogo tume ichoka wewe una ililia” aliongea mzee Haule wote wakacheka tena, hapo ukafwatia utambulisho, kwa Selina na dada yake Edgar, akianza kutambulishwa, mke wa bwana kazole kwa Selina, kisha akatambulishwa Selina kwa mke wa bwana Kazole, mtambulishaji akiwa ni mama Edgar, “huyu anaitwa Selina ni wifi yako,” hapo mke wa bwana kazole akastuka kidogo “wifi kwanani?” aliuliza hivyo maana yeye anakaka mmoja tu! na kaka mwenyewe ni Edgar, “tulia basi, utambulishwe, wifi kwa nani kwaniwewe huna kaka?” aliongea mzee Haule wote wakacheka, kisha mama Edgar akaendela, “ni rafiki wa wifi yako wa dar es salaam, anafanya kazi benki ya wananchi pale mjini…” “wifi wa dar yupi?” alidakia tena mke wa bwana kazole, “heee! hivi ujaha tu tabia ya kudandia dandia kwambele, aya jitambulishe mwenyewe basi” aliongea mama Edgar akisusa kuendela na utambulisho, hapo Selina alicheka kidogo,kisha akaendeleza utambulisho,”mimi ni rafiki wa mchunba wa mdogo wako Edgar, anaitwa Suzan, nilisomanae chuo, bahati nzuri yeye amepangiwa hapo hapo dar” utambulisho huo nusu umdondoshe mke wa bwana kazole, maana moja kwa moja, alifahamu chanzo cha fedha inayo wapa jeuri wazazi wake, pia akakumbuka uongo wa mume wake kuwa alimtumia Edgar pesa za matumizi, maana ni kipingi kile kile ambacho baba yake aliibiwa simu ya gharama na fedha taslim, na ndizo siku ambazo hakuwai kupokea simu ya mdogo wake, ataakipokea ilikuwa ni matusi kabla haja sikiliza chochote, hapo mke wa bwana kazole akajiona mjinga sana, ****

ITAENDELEA

Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Nne

Isikupite Hii: Dalili za Kuonyesha Mwanamke Anataka Umpeleke Chumbani

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment