Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Nne
CHOMBEZO

Ep 04: Mama Mwenye Nyumba

SIMULIZI Mama Mwenye Nyumba
Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Nne

Chombezo : Mama Mwenye Nyumba

Sehemu Ya Nne (4)

ilikuwa saa tau na robo ndio muda ambao mama Sophia alikuwa akisimamisha gari nyumbani kwa mwanae Sophia, alishuka kwenye gari akiwa na shahuku kubwa sana juu ya jambo alilo libaini jana kwenye simu ya mumewe, “yani mtu una mchukulia kama mwanao, anatembea na mume wako” alijiwazia mama Sophia akipiga atua kuufwata mlango wa nyumba ya mwanae “karibu mama” alipokelewa na binti wa kazi, “asante mwanangu ujambo?” alisalimia huku akivua viatu yake vya mikanda ‘sendo’ “sijambo mama za nyumbani?” “hukosalama tu, vipi yupo huyu?, maana atasimu yake aipatikani” aliuliza mama Sophia akiingia ndani, bado yupo chumbani kwake hajatoka toka asubuhi,” alijibu binti wa kazi, na mama sophia akapitiliza sebuleni na kuelekea chumbani kwa mwanae, akausukuma mlango wa chumba cha mwanae nakuingia ndani, alimkuta sophia amelala bado, mezani kuna chupa ya bia ipo nusu na chini vyupa vingi vya bia zilizo tumika, mama Sophia akajikuta akitikisa kichwwa kwa masikitiko huku anaemdela kutazama madhari ya chumba cha mwanae, ambacho uingia mala chache sana, katia kuangalia angalia, macho yake yalituwa kwenye meza ya vipodozi, ambapo aliona kipande cha limao na vipande viwili vya udongo ule unao uzwa, mmoja ukiwa ume megwa na kubakia kidogo, na pia cheti cha doctor “mh, huyu vipi tena” aliongea mama Sophia akinyoosha mkono kuchukua lile kalatasi la hospital, akalisoma kidogo nauamulia maneno machache, pregnance posteve, “mh inamaana..” hapo mama sophia akatazama tarehe iliyo andikwa kwenyeile card, akajikuta anatabasamu “wewe, mtoto ebu amka” aliongea mama sophia huku ana mtikisa binti yake kitandani, Sophia nae akaamka, akimkuta mama yake mwenye uso wa furaha huku amekamata kile kikaratasi, “ansante mungu kwa kunijaria mjukuu karibu naitwa bibi, ongra mwanangu,” alisema mama Sophia huku akinyoosha mikono juu, Sophia alielewa mama yake anamaanisha nini, baada ya dakika kumi natano za Sophia kuoga na kupiga mswaki, walikaa mezani nakuanza kupata supu, nandio mda ambao mama Sophia alitumia kumsimulia mwanae kuhusu mchezo wa baba yake na rafiki yake suzan, ambpo Sophia akamwambia ata yeye amegundua jambo ilo jana, nakupanga kwenda kuongea nae ili ahache mchezo huo mala moja, Sophia na mama yake wakakubaliana hivyo, “henhe niambia mwanangu, uomzigo ni wanani?,” aliuliza mama Sophia uku tabasamu likichanua usoni kwake, “mh! mama nae, yani nikikumbia uwezi kuamini,” alisema Sophia huku akijichekesha, “niambie nimjuwe mkwe huyo, au ni yule wakipindi kileeee, uliniambia nimfanyakazi mwenzio” aliuliza mama sophia akimkumbuka bwana mmoja ambae Sophia aliwai kumtambulisha, “hapana mama, ni mwanamume wa Suzie,” baada ya kusema hivyo Sophia aliushuhudia uso wa mama yake uki badirika rangi toka kwenye weupe wakawaida na kuwa weupe wa kung’aa, “yupi huyo?” aliuliza kwa hamaki mama sophia, “si yule kijana alie mtambulisha sikuile alisema ni rafiki yake amepanga nyumbani kwake” alisema Sophia hapo mama yake aka ganda kidogo kama anaye shangaa meli ikipita nchi kavu huku akinong’ona, “Edgar” “ndiyo mama, kwani kuna ubaya?” aliuliza Sophia, pasipo kujuwa anacho kiwaza mama yake, kumbe mama Sophia baada ya kumjuwa alie mpatia mwanae mimba, alipata kumbukumbu ya kuwa na yeye anamwezi mmoja haja pata siku zake, hapo Sophia akamshuhudia mama yake akiyumba kama mtu mwenye usingizi au alie lewa pombe kali, na kisha aka anza kwenda chini akiwa hana fahamu, kwakuwa alikuwa nae karibu, Sophia akamdaka na kumkokota pembeni, kisha aka mlaza chini, akimwita mdada wakazi amsaidie, **** mzee Mashaka alikuwa kimara akikamilisha mambo ya kibiashara na wafanya biashara ambao walitokea mwanza, baada ya kupewa fedha yake na kuwa taarifu vijana wake waliopo miji wapakize mzigo kwenye gari, ndipo alipo mpigia simu Suzan akimtaka wakutane kama walivyo panga, wakakubariana saa tano asubihi, hapo mzee Mashaka akaamua kusogea mitaa ya luguruni maana akuweza kwenda mbezi Full dose, kutokana na inshu ya jana usiku, ambapo mpaka sasa hakujuwa ni nani alie mtwanga chupa yule mwanamke wake, lakini wakati anajindaa kuondoka, akapigiwa simu na sophia kwa simu ya mama yake, nakupewa taarifa ya mke wake kuzimia, na kwamba wapo hospitari ya Dr Sterah pale mbezi kwa Yusuph, hapo mzee Mashaka aka ghairi kwenda luguruni akaelekea Hopital, ambako alimkuta mke wake ndo kwanza amepata fahamu, na madoctor wakiendelea kumchukuwa vipimo mbali mbali, **** huku kibamba mambo yalikuwa bam bam, Edgar na Suzan walikuwa wame kaa Sebuleni wakipata chai, nguo walizovaa sasa ni balaha tupu, wakati Edgar alikuwa ame vaa kibukta kidogo sana Suzan alikuwa ame vaa chupi na sidilia tu! “Edgar utanisindikiza nikamwone mzee Mashaka?” aliuliza Suzan wakati wanaendelea kunywa chai, “tena hapo umeongea la maana, ujuwe ninge jisikia wivu sana ungeenda mwenyewe” alijibu Edgar huku wote wakicheka, “Edgar bwana, akuna lolote mume wangu, nitafanya nini wakati kiu yote unaimaliza” alisema Suzan akichukua kipande cha chapati na kumlisha Edgar, “alafu mume wangu uta nikumbusha malimao, wakati wakurudi” aliongea Suzan wakati huo huo simu yake ikaita, alipo tazama alikuwa Selina, akaipokea “niambie wangu za Songea?” alisalimia Suzan, baada ya hapo ikafwatia “ndiyo …. weeee… jamani… sasa imekuwaje ….. ok! poa nita mjulisha… haya wasalimie” aliongea suzan huku usowake ukibadilika kila sekunde, kiasi Edgar akahisi kuna taharifa mbaya huko Songea, “vipi kuna jambo lime tokea Songea?, aliuliza Edgar baada ya Suzan kukata simu, “ni dada yako mkubwa, amepigwa na mume wake” hapo suzan akamwelezea kama wlivyo elezewa, “akome yani anamwende keza huyo mwanamume mpaka anamzarau baba” alisema Edgar akiinuka na kuanza kukusanya sahani pale mezani, “hacha mume wangu, nitatoa” alisema Suzan akimnyang’anya vyombo Edgar, “hapana pumzika maana bado ujakaa sawa” alisema Edgar akielekea jikoni na vyombo mkononi, huku Suzan akimfwata nyuma, “sijakaa sawa kivipi?” aliuliza Suzan akimkumbatia Edgar kwa nyuma huku wakiendelea kutembea kuelekea jikoni, “ume sahau jana usiku pale bar” alikumbusha Edgar, “mh! ndomaa leo ujanipa, sababu jana nili tapika?” aliuliza Suzan wakati Edgar akiweka vyombo kwenye sink na kuanza kuviosha, “ha! kuna kitu tuliaidiana?” aliuliza Edgar akigeuka kwa mshangao kumtazama Suzan, ambapo alikutana na kikofi cha shavu, “mi staki bwana, si hii hapa” aliongea Suzan akipeleka mkono kwenye dudu ya Edgar na kuibinya kidogo, huku akijiegemeza zaidi mgongonikwa Edgar, hapo kazi ya vyombo ika badirika, na kugeuka inshu nyingine kabisa, kule kule jikoni, **** baada ya kujilizisha na hali ya mke wake huku akipewa sababu za kuanguka mkewake nimstuko wakawaida tu, wakati huo Sophia akificha sababu za mama yake kupata mstuko, na kiukweli nayeye alikuwa anahisi tu, kuwa ni kitendo chake cha kutembea na mwanaume wa rafiki yake, mzee Mashaka alimwagiza mwanae Sophia, kumpeleka mama yake nyumbani atakapo ruhusiwa kutoka, kisha yeye akaondoka zake na kuelekea luguruni akipanga kuwai akawai kunywa pia kadhaa ata atakapo kutana Suzan aweze kuongeanae vizuri, ikiwa na kulainisha kwa kumwongeza donge nono, sikuzote mzee huyu aliamini kuwa hakuna mkate mgumu kwenye chai, ***** bwana kazole leo alichelewa kuamka, kutokana na uchovu wa pombe za jana, anakumbuka jana alikuja na hakumkuta mke wake, na sasa ndio akapata kumbukumbu ya alicho kifanya jana kule bar, akavuta kumbukumbu ya pesa aliyo itumia jana, aka simama na kwenda kuisachi suluali yake, haikuwa na kitu, akajikuta akichoka mpaka miguu, akajikalisha kitandani pwaaa! “nimeumbuka”

alijisemea bwana Kazole huku akijikuna kichwa, hapo ikamjia tena kumbukumbu ya kule bar, jinsi alivyo mchapa vibao mke wake, na hawala yake alivyo mtwanga mkewake na chupa kichwani, akakumbuka aliona kama mkewake alikuwa anavuja damu kichwani, “sijuwi hali yake ipoje” alijiuliza bwana Kazole, akapata wazo la kumpigia simu mke wake, akaikamata simu yake na kutafuta namba za mke wake, lakini kabla haja piga akajiuliza kuwa ata mwambia nini amuelewe, maana bado ni mapema sana, aka jiinua kitandani na kuelekea bafuni, wazo likiwa moja tu! kwenda dukani kwa bwana Kalolo, kukopa japo fedha ya kumsaidia kwa siku mbili tatu.**** Sophia alimpeleka mama yake nyumbani ni baada ya kuwa amesha pata majibu ya vipimo vya mgoniwa ambavyo vilionyesha mgonjwa amesha kuwa sawa, njiani mama Sophia alikuwa kimya kabisa, akione kana mwenye mawazo mengi sana, japo Sophia alijaribu kumweka sawa mama yake, “lakini mama kuna ubaya gani, kwanza yeye Suzan ni mwizi wa waume za watu, na mimi nime paga kumchukua Edgar moja kwamoja,” lakini mama ndo kwanza alitazama nje ya gari kwa kutumia kioo cha mlango wa gari, “ange juwa huyu mshenzi ata asinge ongea upuuzi wake,” alijisemea mama Sophi, safari iliishia nyumbani kwa wazazi wake Sophia, mbezi kwa msakuzi, mama akashuka kwenye gari na nakuingia ndani akimtaka Sophia aondoke mala moja pale nyumbani, kwamba wata tafuta siku ya kuongea juu ya jambo lile, pamoja na kumsisiiza kumletea gari lake, ambalo aliliacha nyumbani kwa Sophia, Sophia aliondoka nyumbani kwao huku njiani maswali mengi yaki mvuruga kichwa chake, maana mama yake ameonekana kustushwa na kitendo cha yeye kupewa mimba na Edgar, “ngoja tu! atatulia mwenyewe, maana niki mmiliki na kumtambulisha kuwa nimchumba wangu atokuwa na lakusema,” alisema Sophia akiendesha gari kurudi mbezi, huku nyuma mama yake baada ya kuingia ndani akamtuma binti wake wa kazi akamnunulie kipimo cha mimba, maana nikweli alikumbuka ni mwezi sasa ajaziona siku zake, ***** saa tano na nusu Edgar na Suzan waliingia ruguluni park na kuku tana na mzee Mashaka, ambae alikuwa amesha zitwanga bia kadhaa, kiasi cha kuanza kuchangamka, ni baada y Suzan na Edgar kupeana utamu kule nyumbani, wakianzia jikoni nakufwatia sebuleni, kisha wakamalizia chumbani, hapo wakaingia bafuni kuoga nakujiandaa kuja luguruni park, Suzan na Edgar walisalimiana na mzee Mashaka, kisha Edgar akaenda kukaa kwenye meza nyingine akiwapisha Suzan na mzee Mashaka waongee yao, “kwanza samahani sana kwa yaliyo tokea jana, mpenzi wangu” alianza mzee Mashaka, “sijuwi nishetani gani alinipitia” aliendelea mzee Mashaka na Suzan mbae hakutaa maongezi yawe malefu akadakia, “husijari baba, nilisha kusamehe toka jana usiku, najuwa ulibanwa, maana tuna mda mrefu sna atujafanya, ila usirudie tena” hapo mzee Mashaka aliachia zinga la tabasamu, “nakupenda sana Suzie unaufahamu wa hali ya juu, yani sijuwi aata kalitokea wapi kale ka mwanamke” aliongea mzee Mashaka pasipokujuwa kuwa Suzan alisha wai kumwona kwa mala ya kwanza pale pale akiwa na yule yule mwanamke, tena mchana kweupeeee, “husi jari baba siwezi kukuacha, tumetoka mbali sana” hapo mzee Mashaka akainua begi lake na kufungua zip kisha akatoa bahasha kubwa ya kaki, akamkabidhi Suzan, hii ita kufuta hasira za jana, mama maana ilikuwa balaha siyo kidogo, hivi ulikuja na nani mwingine?, maana yule mwanamke alipigwa na chupa aka…” aliongea nzee Mashaka na Suzan akadakia huku ana weka ile baasha kubwa iliyo tuna kwenye mkoba wake, “tena nime kumbuka, Sophia jana alikuwa ananifwatilia kwanyuma, yani ata sikujuwa kama anafanya hivyo” kusikia hivyo mzee Mashaka akastuka, “weee, una sema kweli?” aliuliza kwa mshangao, hapo Suzan akapata wazo la kwanza kumpa ujasiri mzee Mashaka, “he unamwogopa mwanao? si uka mwonye hasimwambie mtu” aliongea Suzan aktupia macho alipo kaa Edgar, japo alikuwa mbali alimwona akichezea simu, “hapa simwogopi, ila kunamambo yame tokea nahisi Suzan ana usika” hapo mzee Mashaka akamsimulia kilicho tokea jana baada ya yeye kuondoka, ni tukio la kupigwa kwa binti wajana, pia kupoteza fahamu kwa mkewake, “lakini mbona nilimwona yupo sawa tu!” aliuliza swali lililo kosa jibu, “sizani kama amemwambia, ngoja nitapata jibu” alijipa uakika mzee Mashaka, “mimi naona leo ukatulie nyumbani, alafu tupunguze mawasiliano tuongeze usiri” alishauli Suzan, na mzee Mashaka aka unga mkono, “ni kweli unachosema..” aliongea mzee Mashaka huku akiitoa simu yake mfukoni, nakuitazama, ni bahada ya kugundua kuwa ilikuwa inaita, “huyooo anapiga simu, ebu nimsiklize” alisema mzee huyu, akiipokea simu iliyo pigwa na mke wake, **** mama Sophia alikuwa amekaa chumbani kwake, kopo la mkojo pembeni na kipimo kidogo cha mimba mkononi, simu sikioni, “hupo wapi mume wangu?” aliuliza baada ya mzee Mashaka kupokea simu, “nipo kimara na malizia kikao, vipi nije nikuchukue Hospital” aliongea mzee Mashaka akijifanya kuongea kwa utulivu sana, kama kweli yupo kwenye kikao muhimu cha kibiashara,”nipo nyumbani mume wangu, nimesha toka hospital, madoctor wamesema sina tatizo lolote,” aliongea mama Sophia akiigiza sauti ya kudeka flani, ambayo mzee Mashaka aliisikia muda mtefu sana uliopita toka kwa mkewake, “ok! safi nikitoka huku nakuja huko nikubebee nini?” aliuliza mzee Mashaka kwa saui nzito iliyo jaa mapenzi kwa mke wake, “ngoja nita kutumia kwenye sms, ila husichelewe kurudi mume wangu, nikuambie walicho sema ma doctor,” alisisiiza mama Sophia, “ok usijari, nitumie hiyo sms alaka, maana nakaribia kumaliza kikao,” mzee Mashaka nayeye alisisitiza, hapo mama Sophia akaandika sms kwenda kwa mumewake akitaja kitu anachotaka aletewe, kisha akaituma kwenda kwa mume wake , akatabasamu na kukitazama kile kidudu cha kupimia mimba, “lazima nikukabizi kwa baba wakambo” aliongea mama Sophia akikiweka kile kidudu kwenye lile kopo la mkojo, kisha akalibeba kopo akaingianalo chooni, na kumwagia ule mkojo kwenye sink la choo, kisha akaflash ****Mzee Mashaka alipo maliza kuongea na mke wake, akamtazama Suzan, “hajuwi lolote huyu, japo izi siku mbili tatu alionyesha kunichukia sana, ila leo yupo kawaida tu” aliongea mzee Mashaka akiitazama simu yake ambayo iliingia sms, toka kwa mkewake, alipo isoma alicheka sana huku akimwonyesha Suzan nayeye alipoisoma akajiunga na mzee Mashaka kuangua kicheko, sms iliandikwa hivi, “kila kitu kipo ndani, ila umeondoka na mbo.., mnaomba uilete”, walicheka kwa sekunde kazaa, kisha mzee mashaka akaongea “si nilikuambia, ajuwi huyu, henhe! ebu niambie Suzie, hivi huyu mdogo wako, nayeye amemaliza chuo,” aliuliza mzee Mashaka, pia akamsifia kwa kitendo cha kumsaidia sikuile, akidai anataka ampatie kiasi kidogo cha fedha, kwa ajili ya maitaji yake muhimu kwa kipindi hiki ambacho atakuwa ana tafuta kazi, pasipo kujuwa knacho ongelewa, Edgar yeye alikuwa amekaa pembeni, mbali kidogo na wakina Suzan akichezea simu yake, mala ikaingia sms kwenye simu yake, ilikuwa inatoka kwa Sophia, “leo siku ya ngapi?” Edgar akajibu, “Juma pili” kisha akaituma na kuifutaile ya Sophia nayakwake akaendelea kuchezea simu yake, mala ikaingia nyingine “siyojumangapi bwana, nisiku yangapi ujanitomb..” hapo Edgar alitabasamu kidogo, “siku ya nne, vipi uana minyege” akaituma, nakuzifuta kama mwanzo, sasa wakawa wanachati, “tena nina nyege, mpaka kialage kimesimama” Edgar alicheka, “mwenzi mwepessss, Suzie ametoka kuzikamua sasa hivi,” Sophia akajibu, “weeee usinitanie niwekee za kwangu, bila vitatu sija kuachia leo” hapo Edgar akachekecha akili, “leo atuwezi kuonana, tume toka kidogo” aliamua kumdanganya, mala ikingia sms nyingine, “ok nimekumbuka, Suzan aliniambia kuwa mtakwenda bagamoyo, ok kesho uje uni tomb.. bwana mwenzio nina tani” kabla ajajibu Edgar akastushwa na mhudumu wa ile bar, “samahani kaka unaitwa paleeee” aliongea yule mhudumu akimwonyesha kuwa anaitwa na wakina Suzan, moyo uli mlipuka, maana alijiona mwizi, hapo akaandika sms alaka na kumtumia Sophia, “ok nitakutafuta kesho” kisha akafuta zile sms zote, nakuelekea kwenye meza ya wakina Suzan huku moyo ukidunda,

maana Edgar alitambua kabisa kuwa, maendeleo ya mama mwenye nyumba wake yanatokana na juhudiza huyu mzee, pia toka alipo ambiwa ukweli huo na Suzan jana usiku, alitambua kuwa amesha gonga mke na binti wa huyu mzee, yani sophia na mama yake, wakati huo Suzan alikuwa anamtazama Edgar kwa umakini sana akimsoma jinsi anavyo jisikia, akagungua hali flani ya wasi wasi usoni kwa Edgar, roho ika muuma Suzan, lakini wote wakajitaidi wasi onyeshe hali zao mbele ya mzee Mashaka, “kijana kwanza ongera kwa kumaliza chuo,” alisema mzee Mashaka baada ya Edgar kukaa kwenye kiti, “asante sana” aliitikia Edgar huku akianza kupunguza wasi wasi, hapo mzee Mashaka aka towa maburungutu ma tano ya noti za elfu kumi kumi na kumkabizi Edgar, “hizi zitakusaidia kipindi hiki unasubiri ajira, mimi mwenyewe nita kusaidia kutafuta kazi ya maana” alisema mzee huyu na Edgar akapokea zile fedha na kuzishika mkononi, akiwa hana pakuzi weka, Suzan akachukuwa bahash aliyo pewa na mzee Maashaka na kumimina maburungutu ya fedha ambayo alikuwa bado haja yahesabu, kwenye mkoba wake, kisha akampa Edgar ile bahasha, “asante sana mzee” alishukuru Edgar huku anaweka zile fedha kwenye bahasha, “ok! Suzie nazani wacha niwai nyumbani, nikakae namgonjwa,” aliongea mzee Mashaka wote wakainuka, “sawa ila husi sahau kumpelekea mzigo alioagiza mama” hapo mzee Mashaka na Suzan wakacheka, maana walifahamu alicho agiza mama Sophia, wote waliingia kwenye magari yaona wakwanza kuondoka mahali pale alikuwa ni mzee Mashaka, akiwaaha Suzan na Edgar wakiwa ndani ya gari lao, wakimtazama mzee Mashaka akikamata barabara ya kwenda mjini, nakutokomea, hapo suzan akapandisha vioo mpaka juu, na kuwasha a/c, kisha akamshika Edgar kichwani na kumsogeza kwake, nakukutanisha midomo yao, wakaanza kubalishana mate yao, kwa kunyonyana ulimi, walifanya hivyo kwa dakika kadhaa, kisha wakaachiana, “Edgar nakupenda sana,” alisema Suzan huku akipitisha kidole gumba chake kwenye midomo ya Edgar akifuta lip stick aliyoipakaza yeye mwenyewe wakati akimla mate mpenzi wake, “ata mimi nakupenda sana Suzan” alijibu Edgar na suzan akaachia tabasamu matata nakuwasha gari, sfari ikaanza kuelekea kibamba huku Suzan akionekana kuwa kimya kabisa, kama kunajambo anawaza, Edgar kuona hivyo akatoa siu yake mfukoni na kuanza kucheza game, lakini aiona kuna sms mbili juuya simu, moja ina itoka kwa mama Sophia na nyingine kwa sophia, ya sophia iliandikwa “sawa jitaidi tuonane hiyo kesho, sitoenda kazini” sms ya mama Sophia iliandikwa maneno ambayo yaliustua moyo wa Edgar, “mpenzi nanyege sana yani utazani jana uja nitomb.., tena nakakukuzalie mtoto” hapo akujibu kitu, akazifuta haraka kabla ata Suzan aja shtuka, “hivi huyo mgonjwa wa mzee Mashaka ni nani?” aliuliza Edgar, akimstua Suzan ali onekanaka kuzama kwenye mawazo mazito, “ni mke wake alipatwa na mstuko asubuhi, lakini yupo vizuri tu” alijibu Suzan wakati wanakata kona kuingia kibamba, “hoo! nimekumbuka, ebu simama” alisema Edgar wakati wana yapita magenge kuelekea kwao, Suzan akasimamisha gari, bila kuelewa alicho kikumbuka Edgar, zaidi alimwona anashuka toka kwenye gari na kuelekea kwenye genge moja na kununua malimao, Suzan akatabasamu kidogo, “ananifanya nimpende sana huyu mwanamume, ila kuna kitu inabidi ni mwambie, maana bila ya hivyo atuwezi kuishi kwa amani”, aliwaza Suzan wakati Edgar akiingia kwenye gari na kumfuko cha malimao, kama ulikuwa hujuwi mpaka leo Edgar alikuwa ana timiza million kumi na mbili na laki tano, ambazo alikuwa anaziifadhi kwenye begi lake dogo la mgongoni ndai yaa begi lake kubwa, fedha izo suzan akuwa anazijuwa, “asante kwa kunijari mume wangu” alisema Suzan akipokea ule mfuko na kuuweka vizuri, wakaondoa gari kupitia kwenye bucha la mnyama la ras, kwaajili ya kununua nyama ya kula siku yaleo, **** mama sophia baada ya kuakikisha ame weka mipango yake vizuri, akavaa kanga moja tena bila kuvaa ata chupi, akamtuma binti yake wakazi aende kwenye ile grosali ya jirani, akanunue bia za kutosha aziweke kwenye friji, maana anamjuwa mume wake uwa awezi kufanya mapenzi bila kunywa pombe, kisha yeye mwenyewe akaingia jikoni na kuanza kuandaa chakula mahalumu kwa yeye na mume wake, ata mzee Mashaka alipo fika pale nyumbani, alimkuta mke wake akiendelea na mapishi akisaidiwa na binti wakazi, alipo mtazama jinsi alivyo vaa akajikuta ata dudu ina sisimka, akizingatia mke wake amesha mwambia kuwa leo anatamani dudu, tena amebaniwa kwa miezi mitatu ukijumlisha na ile ambayo yeye alikuwa analeta pozi, ilikaribia mwaka haja gusa kitumbua cha mke wake, “hooo! mgonjwa anapika tena” alisema mzee Mashaka akiwa ame simama kwenye mlango wakuingilia jikoni, “mgonjwa nitakuwa mimi tena nimeagiza na bia za kutosha, maana sija pewa dawa ata moja” aliongea mama Sophia akiinuka nakumshka mkono mume wake wakaongozana sebuleni, baada ya kuakikisha mume wake ame kaa mama sophia aka chukuwa bia moja na kumfungulia mume wake akammiminia kwenye grass, kisha akmnywesha kidogo, mzee Mashaka alichanganyikiwa kidogo, kwa mapenzi ya ghafla aliyo yaonyesha mke wake, “hisije kuwa ananizuga, amesha sikia inshu ya Suzie sasa anataka kuni huwa,” aliwaza mzee Mashaka akaona boala aulize kilicho mfanya mke wake azimie, “hivi mke wangu kitu gani kilikustua asubuhi?” aliuliza mzee Mashaka akijuwa kuwa jibu lolote la mke wake lita mpatia ukweli wa mambo, “mwenzangu sijuwi niite furaha au nini?,” alijibu mke wa mzee Mashaka nakumchanganya mzee Mashaka, “ti furaha mpaka uzimie, ebu niambie na mimi nizimie” alitania mzee Mashaka akijaribu kuyasoma mawazo ya mke wake, “mwanao mjamzito” kauli hiyo ilipenya vizuri masikioni kwa mzee Mahaka, “wacha weeee kwahiyo nitakuwa babu?” aliongea kwa furaha mzee huyu aakiamini mwanae kwa mimba hiyo, atampa heshima ya kuwa babu, “tena je kuitwa bibi mchezo? yani leo nitakunywa mpaka nicheuwe na ole wako unibanie” aliongea mama sophia akichukuwa bia moja nakuelekea nayo jikoni, “ukimaliza niambie nije nikuhudumie mumewangu” alionngea mama Sophia na kumfanya mzee Mashaka atabasamu na kuwaza, “maisha yangekuwa hivi kila siku, si’ningesha pasuka kwa kunenepa,” ***** bwana kazole alikua ameshafika dukani kwa bwana Kalolo, “niambie Kazole, umekuja na dili gani leo” aliuliza mzee Kalolo baada ya kusalimiana na bwana Kazole, “dili litoke wapi bwana, nime kujana na shida tu leo niazime lakimoja inisaidie sikumbili hizi, nitakurudishia kwenye mshahara,” aliongea bwana Kazole na mzee Kalolo akuwa na kipingamizi, akampatia fedha aliyo itaka, hapo bwana kazole akaaga nakuondoka “huyu mjinga hachana naye wacha mimi nikale maisha na mtoto wa ukweli, tena leo sina haja ya ghalama za guest, na lala naye nyumbani” aliwaza bwana kazole akitoa simu yake mfukoni, nakumpigia yule mwanamke wake wa pembeni, *** huyu mwanamke alikuwa Siwema, mida hii alikuwa ame lala kwenye godoro lililotandikwa chini, huku mwenzake Hawetu akiwa amekaa pembeni yake akinywa chai na maandazi, “wewe amka upokee simu bwana wako anapiga” alisema Hawetu akiitazama simu ya Siwema, “mh, mtu mwenyewe leo anakitu jana alimaliza mkwanja wote” alisema Siwema akiikata simu na kuiweka pembeni, simu ikaanza kuita tena “tatizo wewe hujuwi mchongo, kama vipi wepokea simu alafu tumfanyie mchongo wamaana” alishauri Hawetu, na Siwema akapokea simu, “niaje we mtoto unahelewa kupokea simu,” kwa sauti hiyo nauongeaji wa bwana Kazole ilimjulisha Siwema kuwa bwana wake anafedha yakutosha, “nilikuwa nimelala, mwenzio nime choka”aliongea kwa sauti ya kishangingi akiigiza kudeka, hapo wakapanga kukutana jioni, wakibadiri eneo la kukutana waende bar nyingine, “tena sijuwi kwaini jana atukujuwa, kumbe amekimbilia kwao bwana, sasa leo tuta lala nyumbni kwangu,” aliongea bwana kazole kwa kujitapa, Siwema alimsimulia rafiki yake alicho ambiwa na mpenzi wake, “sasa je tumesha fanikiwa, mladi tukubariane tu!” alisema Hawetu nao wakaanza kupanga mipango yao, * Edgar na Suzan walikuwa wame tulia sebuleni huku Suzan amejilaza kwa kuegemea kifua cha Edgar, wakiwa juu yakocho kubwa wanatazama TV “Edgar mimi nina wazo moja mpenzi, sijuwi kama utanikubalia” aliongea Suzan akijigeuza na kumtazama Edgar usoni, “kwanini nikukatalie mama, we ongea tu” alijibu Edgar akichezea nywele ndefu za Suzan, “mimi nimepata wazo, naona kama hapa Dar atuta ishi kwa aman, asa kutokana na huiano wangu wana wakina sophia na baba yao, nataka niombe uamisho tuamie Songea, tukaishi huko

moyo wa Edgar uka stuka kwa furaha akiwa haja amini alicho kisikia, “kwanini tena mama,” aliuliza Edgar akiwa ame stuka kidogo, “tulia kwanza mpenzi, utanielewa tu!” aliongea Suzan akijiweka sawa, “unajuwa mume wangu, lazima tuwe huru, kumbuka jana nilipo mfumania mzee Mashaka Sophia aliona, kwa hiyo lazima atanichukulia vibaya, tofauti na mwanzo isitoshe atuta weza kuwa huru, endapo tuta kuwa karibu na mzee Mashaka, kumbuka amenighalamia vitu vingi sana, toka nikiwa chuo mpaka sasa, unazani nita mkwepa mpaka lini, au una penda adowee malizako” aliongea Suzan akionyesha kuwa hatanii, “ok! ni wazo zuri pia kule mkoani tuna weza kufanya mambo mengi sana ya kimaendeleo, sasa vipi kuhusu hii nyumba yako?” aliuliza Edgar akiendelea kuchezea nywele za mpenzi wake, “nyumba yangu au yetu, hii tuta ikodisha kwa benk yetu ili wakae wafanyakazi, nao wata tulipa fedha nyingi sana, ikiwa pamoja na kuifanyia ukarabati mala kwa mala, ila tuta bakiza chmba kimoja kwaajili ya kufikia pindi tunapotembelea huku” alisema Suzan na Edgar akaunga mkono, “hivi Edgar unajuwa huo mchezo unao ufanya ni hatari sana?” aliongea Suzan na moyo wa Edgar huka stuka nusu usimame, akijuwa kuwa amestukiwa mchezo wake anaofanya na kina mama Sophia, “mchezo gani tena?” aliongea Edgar akijitaidi kujizuwia hali yake ya mstuko isionyeshe wazi, “siivyo inavyo ni chezea nywele jamani, mwenzio nyege zina panda” kusikia hivyo Edgar akashusha pumzi, kwanguvu “kumbe hivyo tu!, kwani kuzishusha bei gani,?” hapo Suzan akujibu kitu zaidi aligeuka na kuingiza mkono kwenye bukta ya Edgar nakutoka na dudu, kisha akaichezea kidogo na kuanza kuilamba kwenye kichwa chake nakuidumbukiza mdomoni akiinyonya, sikuizi alikuwa mzoefu kwenye kunyonya dudu, *ilikuwa saa nane mchana mida ambayo, mzee Mashaka na mke wake walikuwa wamesha maliza kula, nasasa walikuwa wanaendelea kunywa bia, huku wame kaa kwenye kochi moja dogo la watu wawili, binti wa kazi alipewa luksa ya kwenda kutembea, baada ya kutoa vyombo vilivyo tumika na kusafisha meza, kwahiyo walikuwa wame bakia wawili tu, pale nyumbani, “mke wangu siku hizi unazidi kunawili, yani unarudi kama miakaile nakufukuzia, ulipo kuwa unakja dukani kwangu” aliongea mzee Mashaka ambae kiukweli leo alimwona mke wake kawa mpya kabisa, “alafu mimi nilikuwa mshamba kweli, eti ukanionga soda” wote wakacheka kidogo, wakionekana kilevi kime anza kuwa kolea, “alafu ulikuwa unazinywa, unajuwa nili kata mtaji wa soda kwaajili yako, ilibidi nikaazime fedha kujazia” walikumbushana mambo ya zamani wazee hawa, “baba Sophi mimi nime zidiwa bwana” aliongea mama Sophi, akianza kufungua mkanda wa suluali ya mume wake, “ok! atamimi nipo hoi hapa” aliunga mkono mzee Mashaka, huk akimsaidia mke wake kutoa mkanda wa suluali nakuishusha nguo yake kusanyia na boxer yake, alipo maliza akamwona mke wake, akiishika dudu yake, iliyo simama na kuichezea kidogo huku akiinamama uswa wa dudu, hapo mzee Mashaka akaduwaa kidogo maana toka miaka miaka ya tisini mwanzoni wafunge ndoa hakuwai kuona atasiku moja mke wake akiisogeza dudu karibu na uso wake, zaidi ilikuwa ni kifo cha mende ingiza, au kichuma mboga chomeka, aina mbwembwe kama za kina binti wajana, mshangao wa mzee Mashaka ulizidi baada ya kumwona mkwe wake akiisogeza dudu mdomoni na kuilamba kidogo kwenye kichwa cha dudu yake huyku akikiingiza mdomoni na kukitoa kidogo, kabla ajamshuhudia mke wake akiidumbukiza yote na kuanza kunyonya vyema, mzee huyu akijikuta akiaza kugugumia, kwa utamu alio upata, “mke wangu kumbe una weza hivi, sikuhizi sita chelewa kurudi nymbani,” alifunguka mzee Mashaka huku ake wake akiendelea kunyonya dudu kimya kimya, “utajiju kwani Suzan akunyonyi mbo…?” alijisemea mama sophia kimoyo moyo, mama sophia aliendelea kunyonya mpaka alioanza kuona chumvi chumvi inazidi kwenye dudu ya mume wake, sambamba na miguno ya utamu, “anaweza kukojoa kabla hajaingiza, alafu mpango wangu ukaishia njiani” aliwaza mama Sophia huki akiitoa dudu mdomoni kwake na kusimama, kisha akaitowa ile nguo aliyo jifunga akabaki uchi kabisa, akainama akiishikilia meza, hapo mzee Mashaka akajuwa anatakiwa afanye nini, akainuka na kumsogelea mke wake kwa nyuma, akaikamata dudu yake na kuilengesha kwenye kitumbua cha mke wake, kisha akaanza kupump nje ndani, alpiga kama la tano hivi, akaanza kuonge a maneno mfurululizo, “mke wangu kum.. yako tamu sana, yani kuliko zamani, alafu ina motooooo” wakati huo mke we bwana mashaka alikuwa anahesabu viuno vya mumewe, ile anafika cha nane, akahangaa mume wake ame ganda huku ame kandamiza dudu kwa ndani, “hooooo! hooo! hooooo!” mchezo ukashia hapo, “pole mume wangu jamani, leo ume jitaidi, yani nisu unitoe loho, unaona tatizo la kukaa muda mrefu, yani ume kuwa nanguvu mala dufu” alisema mama Sophi akiifuta dudu ya mumewe, kwa kitnge alichokuwa ame kiva mwanzo, “tena na jinsi ulivyo mtamu jioni tena” aliongea mzee Mashaka baada ya kupewa sifa na mkewe, pasipo kujuwa mke wake alikuwa anawaza yake moyoni, “imekula kwako, umesha nitia mimba, alafu unge juwa, ata uja nistua mshipa ata mmoja zaidi ya kunichafua, alafu huyu sophia mshenzi sana jakuona wanaume wote mpaka amfwate Edgar,” mama sophia alitembea kuelekea chumbani akimwacha mume wake ana pandisha suluali, “yani yule kijana simuachi, atakama atakuwa mume wa sophia,” aliendelea kuwaza mama Sophia, akiwa chumbani anajifunga kitenge kingine **** kwa upande wa Sophia alikuwa ame jilaza kitandani kwake, chupa za bia za kutosha chini yameza na moja iliyo funguliwa juu yameza, akipanga mchongo wake jinsi ya kutumia fumanizi la jana la Suzan na baba yake, kumpata Edgar, wakati mwingine alivuta picha ya baadae akiwa na Edgar, akama mke na mume huku wapo na katoto kao katakako zaliwa, picha hiyo ilifanya atabasamu kidogo, “we ngoja kesho ndio kesho, kwanza na lialibu kwa Edgar, kisha nakisanua kwa baba, alafu yeye atanipa majibu” aliwaza sophia akiendelea kujimiminia bia, “kuhusu mama, ataelewa tu! sijuwi anamwona mtoto, yani ange juwa mh!” **** masaa yalienda mida ikapita jua likazama, atimae saa moja ..mbili… tatu za usiku.. ndiyo mda ambao bwana Kazole na hawala yake Siwema, walipo ingia nyumbani kwa bwana Kazole mtaa wa mfalanyaki, wakiwa wamelewa sana wakiwa wamesha tumia elfu alobaini na kubaki na elfu sitini, ambazo bwana kazole alikuwa ameazima kwa mzee Kalolo “karibu sana mama, jisikie hupo nyumbani, tena ukiweza kesho amia na mizigo yako,”aliongea bwana kazole, wakiingia ndani huku wana yumba yumba kwa ulevi, “asante baba, mbona mimi ni wako tu!” walikokotana mapaka juu ya makochi yale kizamani, wakajibwaga juu yake, “yeye sianajifanya ameondoka ngoja sasa niweke kitu, maana watu wana semaga, toa kitu weka kitu” alisema bwana Kazole akijizoa zoa kuelekea kwenye TV, kwalengo la kuiwasha, lakini kabla hajaifikia TV maali hilipo, akasikia mlango huki gongwa, “mh we Kazole, umesikia hodi hiyo” alisema siwema akitaka kwenda kufungua mlango, “we mwamke umesha chelewa, nenda uliko lala jana, mwenzio amesha wai” aliongea bwana Kazole, akiwai kumzuwia Siwema asifungue mlango, akizani ni mke wake, hapana shemeji nimimi Hawetu,” ilisikika sauti ya Hawetu toka nje, ambae walitoka kuachana nae mda mchache huliopita baada ya kuwa wamesha piga bia za kutosha, “hoo! shemeji vipi tena mbona…?” hapo bwana kazole akaufwata mlango nakuufungua, ile anafungua tu! alikutana na ngumi nzito ya usoni, iliyo mtupa chini akifwatia na teke la ubavuni, “mama nakufa” yowe lili mtoka bwana kazole, huku akishuhudia njemba kama tano hivi zikiingia ndani, “hooo! mumewangu jamani, naomba unisamehe” bwana kazole akashangaa akisikia Siwema akiongea maneno hayo, akajuwa amesha fumaniwa, kitu ambacho hakikitegemea nikwamba Siwema ni mke wamtu, maana toka wame anza mapenzi yao alijuwa anakaa chumba kimoja na Hawetu, sasa huyu mume wake kivipi?

kabla hajapata nafasi ya kuhoji bwana, Kazole alistukia akikanyagwa usoni, “mtaniua jamani” alipiga kelele Kazole, “weeee kimya” jamaa mmoja kati ya wale watatu, alimwambia bwana Kazole huku akichomoa kisu alicho kuwa ame kiweka kiunoni mwake na kumtishia Kzole yani shemeji yake Edgar, hapo bwana kazole akatulia, kilcho fwata ni kumfunga kamba bwana kazole, ikiwa ni mikononi na miguuni, pia waka mziba mdomoni kwa kumfunga nguo, baada ya hapo akawashuhudia wale jamaa waliodai wana kuja kumfumania , wakisaidia na na wakina kidawa kufunga vitu vya mle ndani kama vile anataka kuhama, huku wakiwasiliana na mtu ambae hakumjuwa anausika nini na tukio hili, baada ya dakika chache akapata jibu, ni baada ya kushuhudia gari aina ya fuso liki paki mlangoni kwake kwa kuegesha mlango wa body kwenye mlango wa nyumba yake ya kupanga, lile gari lilikuja na vijana wengine wawili, ambao walijiunga na wakina Hawetu, nakuanza kubeba vitu vyote na kuvi pakiza kwenye gari, mwisho wasiku alisachiwa mifukoni akachukuliwa na ile elfu sitini iliyobaki, kisha wale jaamaa pamoja na wakina Siwema waka ingia kwenye gari nakuondoka zao wakiwa wame beba kila kitu mpaka nguo za bwana kazole na mkewake, wakimwacha bwana kazole akiwa na nguo alizo bakiwa tu! huku ndani ya nyumba mkionekana kama nyumba mpya ambayo bado aija anza kukaliwa na mtu, kiukweli bwana kazole hakuamini macho yake japo alikuwa amelewa lakini alianza kulia kilio cha kimya kimya, nimachozi tu ndiyo yaliyo onyesha kuwa huyu mtu alikuwa analia, **** usiku huo nyumbani kwa mzee mashaka mambo yalikuwa moto moto, asa baada ya kupiga mechi yapili usiku huo, “mke wangu huja niambia kama una mfahamu huyo kijana, aliempa Sophia ujauzito” aliuliza mzee Mashaka akiwa kitandani na mke wake, “sikuwai kumwuliza, ila ngoja nimpigie ili kesho aje alete gari na uweze kuongea nae” aliongea mama sophia huku akichukuwa simu yake na kutuma ujumbe kwa mwanae Sophia, akitumia ujanja mume wake hasione anacho kiandika, “kuhusu ujauzito nime furahi sana mwanangu tena, jitaidi huyo Edgar uishi nae, kwa namna yoyo teile, pia kesho mapema njoo na gari langu, na baba yako anataka kuongea na wewe” akaituma kwa Sophia, baada ya hapo kila moja akajiweka tayari kulala akiwa na furaha tele moyoni, mzee Mashaka alifurahi kupata vitu ambavyo hakutegea kama mke wake angekuwa anaviweza, “sina haja ya kuangaika sasa, nitabaki na Suzan na mke wangu tu,” wakati mzee Mashaka akiwaa hayo, mkewake aliwaza yake, “sasa huyu mtoto atalelewa na mzee Mashaka, Edgar yeye atakuwa anamkuza mwanae tu!, huyu sophi ni kimbelembele chake mwenyewe, ata akiolewa nae kanisani, siwezi kumwacha yule mtoto, navile anavyo juwa kuing’ang’ania kum..” **** siku ya pili saa kumi nambili asubuhi, watu wakiwa katika pilka za kwenda makazini, ndipo jirani mmoja ambae jana aliona pilika pilika za kuamisha mizigo, akijuwa labda jilani yake anataka kuhama, nayeye kwakuona bwana Kazole ameamua kuhama bila kuaga, akaamua kutulia bila kwenda kumwuliza kulikoni, mida hiyo alikuwa anapita mbele ya nyumba ya bwana kazole, na ndipo alioona kuwa mlango hupo wazi, alipo angalia akaona kama kuna mtu mle ndani amelala chini, akachungulia vizuri na kumwona bwana Kazole akiwa amefungwa kamba na kuzibwa mdomo, “haaaa kumbe alivamiwa” **** siku hiyo ya jumatatu Suzan alimwomba Edgar ampeleke kazini kwa gari kisha aludi nalo nyumbani, maana kwa muda walioishi pamoja, Suzan alifanikiwa kumfundisha mpenzi wake kuendesha gari, na akaweza vizuri tu, saa moja nanusu walikuwa wameshafika maeneo ya benk ya wananchi, Edgar alisimamisha gari kisha Suzan akampiga busu Edgar akisha akashuka toka kwenye gari na kuelekea kwejengo la ofisi huku Edgar akigeuza gari na kuondoka zake, wakati Suzan anaufikia tu! mlango wajengo la benk, akastuka akiguswa begani, akageukakumtazama aliemgusa, “dada Suzie, mbona huja mwambia Edgar aje anisalimie?” alikuwa ni Monica, hapo Suzie akabaki ame tabasamu, “unge nistua ninge mwambia aje akusalimie basi utamwona jioni,” alijibu Suzan huku wakiongozana kuingia ndani, yani nimependa mnavyo ishi na kaka yako, yani mnachumiana wenyewe” aliongea Monica wakati Suzan anaingia ofisini kwake, wote wakacheka, Suzan akaingia ofisini kwake na kurudisha mlango, akimwacha Monica akienda sehemu yake ya kazi “sasa si ndio ujuwe kuwa kuwa mume wangu we uliona wapi kuwa mtu anamchumu kaka yake mdomoni?” aliwaza Suzan akiiweka vizuri vitu vyake na kukaa kwenye kiti chake cha ofisini, baada ya kukaa aikupita ata dakika tano, akasikia mlango wa ofisi yake ukigongwa, “ingia” alikaribisha Suzan, mlango ukafunguliwa akaingia Sophia, huku tabasamu likiwa lime tawala usoni kwake, moyo wa Suzan ukalipuka ‘paaa’, kumbe basi Sophia aliamka asubui na kukuta sms toka kwa mama yake, ikimpongeza juu ya ujauzito na ikimtaka apelike gari mapema ikiwa pamoja na kuongea na baba yake juu ya ujauzito ule, lakini alishindwa kujibu sababu hakuwa na kifurushi chochote hivyo akapanga atajiunga baadae ila ataenda tu kwao kukutana na wazazi wake, lakini akaona bola apitie kwanza ofisini kwa Suzan akaongee nae kuhu su Edgar, “mambo Suzie, hatuonani siku hizi” alisalimia Sophia huku akikaa kwenye kiti kilichopo mle ofisini, “safi tu! naona hupo busy mwenyewe siku hizi” wali ongea hli nalile huku bado Suzan akijuwa kuna bomu lina fwatia, “hen hee!, niambie wangu maana asubuhi kama hii, siyo mchezo, lazima kuna inshu” aliongea Suzan akimtazama Sophia usoni, kweli wangu, nina mambo mawili madogo yakuelewana, ila uelewa wako uta fwanya yasiwe makubwa” aliongea Sophia nakumfanya Suzan ajuwe kinacho endelea, ni kuhusu yeye kutembea na baba yake mzee Mashaka, “mh! best mbona unanitisha, kuna nini tena?” aliuliza Suzan, hapo Sophia akafunguka, “kwanza kabisa ngugu yangu, licha yakuishi vizuri kama ndugu, kumbe una tembea na baba yangu, kiukweli hilo swala lime niuma sana, nime shindwa kukufanyia kitu kibaya kwkuwa wewe ni rafiki yangu, ila yule mwanamke ulie mkutanae baba nili mpasua kichwani kwa chupa,” hapo Sophia akatulia nakumtazama Suzan ambae aliuwa ame inammisha kichwa chini, akaona ime mkolea, akaendelea, “pili unakumbuka mwanzo ulinitabulisha Edgar kuwa ni mpangaji wako,?” Suzan akakubari kwa kutisa kichwa, “basi mimi nika tembea nae,ata nilipo kuja kuja kugundua kuwa ni mpenzi wako, sikuwa na lakufanya” maneno hayo yalimstua sana Suzan nusu mapigo ya moyo wake ya simame, “Sophia naomba uniachieEdgar wangu tafadhari sana Sophia” aliongea Suzan akimtazama Sophia huku machizi yakianza kumlenga lenga machoni mwake, “lakini Sizie, tatizo ni ujauzito nilionao, mimi nakuomba tukubaliane jambo moja” aliongea Sophia, “ok! sawa kuhusu uja uzito siyo tatizo, wewe niachie, Edgar wangu, mimi nita mle mwanao” alisema Suzan akitoa kitambaa kwenye mkoba wake na kuji futa machozi yaliyoanza kutililika mashafuni mwake, “tatizo siyo kulea, wewe mwenyewe una juwa kuwa nina uwezo wakulea atamwenyewe, ninacho taka mimi ni baba wa mtoto, naomba uniachie Edgar, pamoja kukuaidi kukutunzia siri yako na baba, pia nita kupachochote unacho kitaka” alionea Sophia akimkazia macho Suzan, “Sophia kama ni baba yako kiukweli toa nime anza kuwa na Edgar sikuwa na mpango nae nanilikuwa natafuta sababu ya kuachana nae, naile juzi niliipata, kwahiyo mimi na baba yako hatupo pamoja tena, pia baba yako alini baka kwa kuni nywesha pombe toka tupo chuoni, kama wewe ulivyo mbaka Edgar kwakutuwekea dawa kwenye pombe” hapo Sophia akastuka kidogo, maana ulisha pita mda mrefu tokea afanye kitu hicho, hakutegemea kama itabainika kuwa alifanya hivyo, akabaki kimya kabisa, “kwa hiyo Sophia nakuomba niachie mume wangu” aliongea Suzan kwa sauti ya msisitizo, ambayo ili mfanya Sophia ajuwe kuwa mwenzie hakuwa nautani, “unazani kulahisi tu naweza kukubari kumkosa Edgar?”…….

Aliongea Sophia akiinuka nakuufwata mlango wa ofisi ile, alipo ufikia akasimama na kumtazama Suzan “poa tutaona” aliongea Sophia na kufunua mlango akatoka nje na kuondoka zake, akiufunga mlango, Suzan akatafakari kidogo, kisha akatabasamu “kumbe ni kweli alituwekea dawa kwenye ile pombe aliyo kuja nayo sikuile, mshenzi sana huyu, sasa hiyo mimba atailea mwenyewe, ngoja nimwamishe kabisa Edgar wangu,” hapo akakumbuka sikuile anajifanya anataka kwenda shambani na Edgar, “mshenzi sana huyu,” alisema kwa sauti ya chini Suzan huku ana chukuwa simu yake toka kwenye mkoba wake na kumpigia Edgar, *** wakati huo Edgar alikuwa ndio ameingia nyumbani, baada yakupak gari akaingia chumbani kwake, kile alicho panga, moja kwa moja aka chukuwa begi lake na kuanza kuhesabu fedha zake, ambazo alikuwa ana zikusanya kwa wakina sophia na mama yake pia na mzee Mashaka, wakati anaendela kuhsabu ndipo alipo isiia simu yake ikiita, mpigaji alikuwa Suzan mama mwenye nyumba, akaipokea “hallow umesha ni miss?” alitania Edgar pasipo kujuwa kuwa bomu limesha lipuka, “sanaaaa mume wangu, vipi umeshafika nyumbani?” aliuliza Suzan kwa sautiambayo Edgar akufahamu kama kuna bomu lime lipuka mida hiyo hiyo, “ndo naingia vipi nikufwate nini, maana mimi mwenyewe nipo hoi hapa” aliongea Edgar kisha wote wakacheka, “mh! hupo hoi kivipi, mwenzio bado nasikilizia utam wa asubuhi, sasa njoo basi baadae kwenye saa tano hivi ili tukapate chakula cha mchana,” aliongea Suzan akiwa na lengo moja tu, kuwa anatakiwa awe jirani zaidi na Edgar, ili Sophia asiweze kumnyapia, “ok! poa mama saa tani kamili nitakuwa hapo, ila kuna kitu sija kuambie,” ile kusikia hivyo Suzan mapigo ya moyo wake yakastuka kidogo, “nini tena mpenzi?” aliuliza kwa kiholo Suzan, “ujuwe nini mama, siku hizi umekuwa mtamu zaidi, yani kila siku zina vyo enda nakuona unazidi unoga, mpaka natamani kila saa tuwe tuana gongana tu” wote wakacheka kisha wakaagana, hapo Suzan akatoka ofisini kwake na kuelekea ka manage wake, bahati nzuri hakukuwa na mztu mwingine mle ofisini zaidi ya manage mwenyewe, baada ya kumsalimia Suzan akaanza kumwelezea nia yake ya kuhamia Songea, akitoa sababu zakuwa anaitaji kaka karibu na wazazi wake, akidanganya kuwa ni wazee sana wanaitaji uangalizi wakaribu, “ok! tena una bahati sana kulikuwa namaitajio ya mwasibu huko Songea, ebu andika barua ya maombi wakati mimi na wasiliana na akao makuu kujuwa ama hiyo nafasi itakuwepo bado,” alisema manage, na suzan aka mwelea pia kamaatafanikiwa basi ataomba awapangishie nyumba yae hiliyopo kibamba kwaajili ya wafanyakazi, manage wake akamuunga mkoo kwahilo pia, Suzan akarudi ofisini kwake, akiwa na furaha moyoni mwake, “sasa huyu mshenzi anae mvizia mume wangu atajijuwa na baba yake,” alijiwazia Suzan akiwa anaelekea ofisini kwake, **** dada mkubwa wa Edgar alichelewa sana kuamka siku hiyo, na baada ya kuamka akabaki kitandani akiwaza aende nyumbani kwake akachukue nguo zake, maana hakuwa na nguo za kubadirisha zile alizo kuja nazo zilikuwa zime tapakaa damu na hizi alizovaa, alipewa na mama yake, lakini wakati anajishauri kuamka mala akasikia mlango wa chumba chake ukigongwa, “ingia” alikaribisha mke wa bwana Kazole, mlango uka funguliwa akaingia binti wa kazi, “samahani dada unaitwa na mama kuna mgeni wako” alileta ujumbe yule binti wa kazi, “sawa nakuja” alisema mke wa bwana Kazole na yule binti akatoka kisha dada yake Edgar akaamka na kujiandaa kwa kunawa uso pekee kisha akatoka kwenda kusikiliza wito, naam ile anatoke zea Sebuleni aka kutana uso kwa uso na mume wake, akiwa amevimba usoni vibaya sana, pembeni yake akiwa amekaa jirani yao wa kule mfaranyaki, pamoja na wazazi wake, yani mzee haule na ke wake, “karibu shemeji” alikaribisha mke wa bwana kazole akimkaribisha yule Jirani yao, “asante sana shemeji” aliongea, dada ake Edgar akaa karibu na mama yake, “haya mwanangu nazani umemwona mumeo jinsi alivyo?” aliongea mzee Haule, “nikweli nime mwona” aliitikia mke wa bwana Kazole, “nakuomba umsiklize mwenzio anachosema” alimaliza mzee Haule kisha bwana Kazole akaanza kusimulia kilicho mtokea jana usiku, akidanganya kuwa baada urudi kwenye matembezi yake usiku akiwa peke yake, ndipo alipo vamiwa na wezi na kupolwa kila kitu mle ndani pamoja nafedha, ikiwa pamoja na yeye kupigwa vibaya sana na wezi hao, kiukweli bwana Kazole aliiweka vizuri story yake kiasi kwamba ikawa ya kuuzunisha, na ili muuzunisha kila mtu mle ndani, kisi kwamba ata msa maha kwake ulikuwa ni mwepesi, aka karibishwa na kuelekezwa chumbani kwa mkewe, pamoja na mzee Haule kumkabidhi shilingi laki moja wakanunue nguo yeye na mkewe, akiahidi kuwa saidia kuanza upya, “ina mana auna simu? maana nime kutumia ujumbe toka usiki kimya, yani bahati yako baba yako alipanga kutoka saa nne, vinginevyo usinge mkuta” mama sophia alikuwa anaongea na mwane mala baada ya sophia kufika nyumbani hapo, “yani mama huwezi amini, sms nimeiona asubuhi, sina ata dakika wala sms, na mpaka sasa sijaweka vocha, hivyo utaniazima simu yako niwataalifu kazini kuwa nitachelewakidogo” aliongea Sophia wakati huop baba yake alikwa anatoka chumbani amesha jiandaa kwa kutoka, “shikamoo baba,” alisalimia Sophia, “malahaba mwanangu, ongera sana mama yako ame nidokeza kidogo, nashukuru kwa kuniletea mjukuu” aliongea baba Sophia huku anakaa kwenye kochi, na mke wake anasimama na kuacha simu mezani, na kuelekea chumbani akienda kujiandaa ili ampeleke Sophia kufwata gari lake aana alikuja na gari la mama yake, “ok niambie mwanangu huyo mkwe ni waukweli lakini?” aliongea mzee Mashaka, na Sophia akaona hiyo ndiyo nafasi pekee ya kuli kologa na kusababisha mvurugano ambao uta mtoa Edgar kwa Suzan, “mh! baba nae, kuna kijana mmoja hivi ni mpenzi wa yule rafiki yangu Suzan ana itwa Edgar, anaekaa nae kwake” kusikia hivyo moyo wa mzee Mashaka nuu uchomoke, kiukweli hapo hakuweza kuskumbuka alikuwa anaongea nini na mwanae, “ok! sawa .. ok! tuta ongea baadae” mzee Mashaka aliongea hivyo akionekana kabisa amechanganyikiwa, Sophia alimwona baba yake akiinuka nakuelekea chumbani, kisha akatoka haraka haraka na begi lake mkononi, “mama yakoanaoga, akitoka mwambie nime toka nitarudi mapema” aliongea mzee Mashaka akifungua mlango na kutoka nje, dakika chache lika sikika gari lake liki washwa, na kuondoka, sophia aka jipiga kifuani, “tuone sasa kama patakalika huko” alisema Sophia akichukua simu ya mama yake na kuifungua, kisha akatoa simu yake na kutafuta namba za simu za manage wake wa tanesco, alipo zipata akiaziandika kwenye simu ya mama yake na kuipiga, baada ya mda mfupi ili pokelewa kisha akaongea na boss wake , akimambia kuwa atachelewa kidogo, maana amepata taalifa kuwa ,mama yake anaumwa sana hivyo amepitia kumwona kidogo, alipo maliza hilo akakumbuka kuwa haja wasiliana na Edgar, akaona bola atumie simu ya mama yake kumpigia Edgar, Sophia aka bonyeza namba za Edgar ambazo alikuwa ameziifadhi kichwani, passipo kuangalia kwenye kioo chasimu akabinyeza sehemu ya kupigia, simu ikaanza kuita, iliita sekunde chache ikapokelewa, “niambie mke wetu, pole sana kwa kuumwa jana” Sophia alistuka na kuitoa simu sikioni mwake akaitazama kwenye kioo, jina liliandikwa saloon, akakata simu, akizani kuwa amekosea na kuupigia mchepuko wa mama yake, safari hii akaichukua simu yake na kuitazama namba ya Edgar, kisha akaiandika kwenye simu ya mama yake kwa umakini sana, huku mapigo ya moyo yakimwenda mbio, “naoba ile ya kwanza niwe nime kosea,” alijisemea Sophia huku akimaliza kubonyeza namba za Edgar kwenye simu ya mama yake, lakini jina lilikuja Saloon, hapo aka waza sekunde chache kisha akaipiga tena, lengo likiwa ni kusikiliza sauti ya mpokeaji, safari hii haikuchelewa kupokelewa, “niambie mmama mbona una kata simu au mzee yupo” kiukweli ilikuwa ni sauti ya mpenzi wake Edgar, wakati anawaza amjibu nini Edgar, mala akasikia sauti ya vishindo vya mama yake akitokea chumbani kuja sebleni, akakata simu faster na kuifuta ile namba ya edgar kwenye orodha ya watu waliopigiwa, “haya twende mwanangu,” aliongea mama sophi, na Sophia akainuka na kuongozana na mama yake huku akimpatia simu yake, “umesha wataalifu?” hapo Sophia aliitkia kwa kichwa maana ange toa sauti inge ambatana na kilio, mzee Mashaka akiwa mwenye jazba kali, aliendesha gari lake mpaka magomeni kagera njia panda ya kwenda mbulahati, akaingia kufwata njia ya kwenda mbulahati, huku anwasiliana na jamaa yake mmoja hivi, akidai anaitaji vijana wawili wakazi, akisisitiza wawe na uwezomzuri wa kumwazibu mtu, baada ya kutembe kwa kilomita mbili mbele mzee Mashaka akaimamisha gari wakaingia vijana wa tau walio shiba utazani myule bouncer wa diamond kisha safari ikaanza, akipiga u turn kurudi aliko toka, **** ilisha timia saa tano kasolo midaambayo Edgar aliacha shuguli zake za kupanga vizuri fedha zake ambazo aliamini zita msaidia kufungua ofisi ya Sanaa aliyo somea, watakapofika Songea na mpenzi wake Suzan, akaandika mahesabu yake kwenye ki note book chak na kukiweka mfukoni pamoja na peni yake, hapo aliingia ndani ya gari la Suzan na kuanza safari ya kwenda mbezi kwa mpenzi wake kama walivyo panga, wakati anasubiri kuingia bara bara kuu, akamwona Joyce akija mbio huku anamwita, “Edgar nisubiri kidogo” aliongea Joyce huku akongeza mwendo kumfwata, “nita kuja kwako baadae” aliongea Edgar akiondoa gari, Joyce alitabasamu akionyesha kulizika na jibu la Edgar, **** kiukweli bwana kazole alishangaa maendeleo ya mzee Haule, maana pale je alikuta duka kubwa na jinsi alivyo iona ile nyumba, ilikua tofauti na alipoiacha sikuile alivyo mkaba mzee Haule ambae ni baba mkwe wake, “hapa lazima ni niondoke na faida” aliwaza bwana kazole ****saa tano kasolo mzee Mashaka na watu wake watatu walikuwa wanakaribia kibamba ccm, ndpo alipo liona gari la Suzan likielekea mbezi, huku ndani yake akiwa Edgar peke yake “huyo huyo., amepita hapo, aliongea mzee Mashaka akitafuta sehemu nzuri ya kugeuza, akapiga u turn na kuanza kuli fukuzia gari la Edgar, **** wakatii huo Suzan alikuwa ofisini akifanya kazi zake, huku akisubiri majibu ya barua yake ya kuomba uamisho, mala akaingia manage wake, “ongera Suzan umefanikiwa, una uamisho wa kwenda Songea, unatakiwa ulipoti ndani ya siku saba, sasa fanya makabiziano ya ofisi ukimaliza upewe form ya uamisho” aliongea manage huku aimkabidhi barua toka makao makuu ya benk yao, hapo Suzan akaachia tabasamu moja matata sana, “asante mungu kwa kufanya kila nianalo lipanga liede sawa,” alisema Suzan akipokea barua huku boss wake akitoka ofini, na kupishana na monika, “dada Suzan mdogo wako,”aliongea suzan kwa pupa hisiyo na mfano, Suzan akamtazama Monica kwa hasira, pasipo kusema lolote, “dada suzie Edgar amekamatwa kwa nguvu na watu flani hivi” aliongea tena Monica, baada ya kuona Suzan amwelewi, hapo Sophia akastuka kidogo, “unasemaje monica?” aliuliza Suzan akisimama na kumsogelea Monica, “wakati natoka kwenye chai, nikamwona Edgar anangia hapo nje yupo na gari lako, nikasema nimkimbilie nika msalimie, mala ghaafla likaja gari moja hivi naliona mala nyingi hapa benk, lika simama waka shika na kumfwata Edgar ambae alikuwa bado yupo kwenye gari ameshika simu mkononi, wakamnyanganya simu na kumvuruta wakingia nae kwenye gari lao,” alimaliza kusimulia Monica, Suzan akajihisi kuchanganyikiwa, “gari la nani tena hilo” alijiuliza Suzan kwa kunong’ona “hen heee! nime kumbuka unakumbuka juzi kuna mzee ulikuwa unasalimiana nae pale bar,” Suzan akaitikia kwa kichwa, “basi gari lake ndo lina fanana na la yule mzee” hapo Suzan alijiona akilegea na kuona giza usini mwake, na kizunguzungu kikitawala kichwa chake, kisha taratibu akajikuta akienda, huku Monia akijaribu kumdaka pasipo mafanikio,

“da’ suzie , da! Suzie,” aliita Monica akimtikisa Suzane, lakini Suzane akuitikia, hapo Monica aka timua mbio kutoka nje na kuomba msada kwa wenzake, nao wakaja haraka na kujaribu kumwamsha Suzan pasipo mafanikio, wakaona bola wampeleke hospitali iliyopo jirani, nao waka mpeleka kwenye hospitali ya Dr Stellah, shangazi yake Jayde, (msome kwenye mkasa wa SHANGAZI ANATAKA) wakitumia gari la kwake yeye mwenyewe Suzane, ambae alikuwa amekata moto ajitambui, walipo fika pale hospital, walipokelewa haraka sana, na mgonjwa ambae ni Suzan akaanza kuchukuliwa vipimo kuakikisha kama mapigo ya moyo yana fanya kazi, maDr walipo jilizisha kuwa mapigo ya moyo wa Suzan yana dunda, waka sema mgonjwa anaitajika kupumzika, mpaka fahamu zitakapo mjia, basi Suzan aka pelekwa kwenye chumba ambacho alitakiwa kulazwa, akalazwa kwenye kitanda maalumu kwaajili ya wagonjwa wasio jitambua kama yeye, akaja Dr Stellah na kutoa maagizo kuwa mgonjwa apimwe, kwanza kama anatatizo jingine au kitu chochote mwilini mwake, kabla ya kumtundikia drip za dawa mbali mbali, ambazo zingemsaidia kumwongezea uwezo wa kurudisha fahamu, hapo mala moja vipimo vikaanza kuchukuliwa ikiwemo na vipimo nya ultrasound, hk wafanyakazi wenzake wakiondoka wakimwacha Monica akimuuguza Suzan, akipanaga kuto mwambia mtu yoyote kilicho tokea, mpaka Suzan atakapo amka, maana hakujuwa undani wa tukio lile, akichukulia ni kama watu wanao fahamiana *** Taalifa za kuanguka kwa Suzane zilimfiia manage wa Suzan, mwanzo manage alizani kuwa ni matatizo ya kifamilia ndiyo yanayo mchanganya Suzan, akikumbuka kuwa leo hii mapema alimwambia kuwa anaitaji kuamia Songea kutokana na jukumu la kuwatunza wazai wake, “wacha tumsaidie aende haraka huko Songea, akipaa nafuu aje achukuwe form yake ya uamisho, maana nazani atokuwa na deni lolote”aliwaza manage akikagua kwenye computer yake, akikagua mambo yanayo muusu Suzane, alipo lizika akanyanyua mkono wa simu ya mezani na kupiga, “hee hallow, ebu andaa form ya suzane ya uamisho, kamahiyo barua ilivyo sema, usiandike tarehe kwanza,” kisha boss akakata simu **** kiukweli Suzan alistuka sana, alipo sikia kuwa Edgar ametekwa, na moja kwa moja akajuwa kuwa mtekaji ni mzee Mashaka na si mwingine, na kama mzee Mashaka ndie aliemteka Edgar, wahiyo mzee huyu amesha fahamu mchezo mzima, na wakumweleza ukweli ni mwanae Sophia, mstuko mkuba ulimpata Suzan na kuanza kuona kuzungu zungu, huku mwili hukikosa nguvu na kuona macho yake yakitanda giza nene, na kuanguka chini kisha taratibu akaanza kuona manga usoni kwake ukianza kujitokeza, na lile giza likitoweka, mala akaanza kuon taswila ya eneo aliopo, kadri sekunde zilivyo enda ndivyo alivyoweza kujitambua kuwa yupo ndani ya chumba kimoja chenye kuta nyeupe, zenye picha mbali mbali, zilizo ashilia kuwa ni hospital, akajitazama alikuwa ametundikiwa drip akaangalia pembeni, akamwona Monica ame kalala kwenye kitanda kingine kilichopo jirani yake, akakumbuka atamala yamwisho alikua nae ofisini akimsimulia kukamatwa kwa Edgar na watu watatu, wakiwa na gari la mzee Mashaka, hali ya nje ilionyesha kuwa ni usiu sana, hapo alijikuta machozi yakimtanza machoni mwake, “sijuwi yupoje jamani?” alisema Suzane kwa sauti ya chini iliyo ambatana na kilio, sauti iliyo mfikia Monica pale kitandani, akaamka na kumsogelea Suzane alipo lala, “afadhari umeamka, yani umelala toka jana saa tano mpaka sasa hivi” aliongea Monica na kuangalia saa kwenye simu yeke, ilsha timia saa tisa za usiku, inamana Suzane alizimia muda mrefu sana toka saa tano asubuhi mpaka saa tisa za usiku “simu yangu hipo wapi?” aliuliza Suzane, na monica aka chukuwa simu kwenye mkoba wa Suzan na kumpatia, Suzane akaitazama aikuwa na missed call wala sms akatafuta namba ya simu ya Edgar, alipo ipata akaipiga na simu ikaanza kuita, iliita kidogo ikapokelewa “hallow mke wa mzee Mashaka hapa naongea, nikusaidie tafadhari” hapo Suzan alistuka kidogo akaitazama ile simu labda alikosea kupiga namba ile, lakini jina lilikuwa ni mpangaji mpya, ilikuwa ni auti ya mama sophi, akionyesha mwenye uchovu na usingizi Suzane akajiuliza “inamaana sophia na mama yake ndio wame mteka Edgar?” akaiirudisha simu sikioni, “mimi suzane, samahani mama naomba kuongea na Edgar tafadhari”aliongea Suzan kwasauti tulivu na ya pole pole sana, hapo alihisi kabisa mama sophi akipatwa na mstuko, baada ya kuachia mguno “we mtoto una wazimu, Edgar nitakuwa nae ipi huku?, au ume changanyikiwa?, au ulikuwa una mpigia huyu hawala yako?” Suzane alisikia sauti ya mshangao ya mama Sophia iliyo changanyika na hasira, wala hakushangaa maneno yake maana alisha juwa kuwa mambo yamesha bumbuluka, “utakosa vipi kuwanae kama simu yake upo nayo” hapo mama Suzan akasikia tena mguno mwingine, kisha kika pita kimya kidogo, “nasema naomba uniambie Edgar yupo wapi?” sasa Suzan aliongea kwa sauti ya juu kwa ukari sana, “sikia Suzie, atamimi sielewi hii simu nime ikuta kwenye gari la mume wangu, nipo nae hapa hospital hajitambui, maana leo mchana yeye nawenzake walivamiwa kwenye gari nakushambuliwa na mtu ambae mpaka sasa hajajuliana, yeye na wenzake wawli wapo hapa hospitali ya tumbi huku kibaha, na wenzake mmoja amepoteza maisha,” taalifa hiyo ili mstua sana Suzan, “hapana mama hapana, mwambie mume wako amwachie Edgar” aliongea Suzan kwa sauti ya ukali kama mwanzo akiwa ayaamini maneno ya mama Sophia, wakati huo alikwa anaingia muuguzi, ni baada ya kusikia sauti ya Suzan, “sikia Suzane, yani hapa tunapo ongea mzee Mashaka yupo hoi amevuja damu nyingi sana, ukiachilia kupigwa vibaya sana pia ametobolewa nakitu chenye ncha kali kwenye shavu lake, yani amevunika mguu kabisa, hivi navyo kuambia tupo hapa toka mchana, ameibiwa fedha nyingi sana” Suzan alitulia akimsikiliza mama Sophia huku Monica na muuguzi wakimtazama, Suzan ambae alionekana kuanza kupunguza jazba, “samahani dada, naomba upumzike kwanza mpaka asubuhi ndipo ufanye mawasiliano mengine, maana unaitaji kutuliza akili” aliongea yule muuguzi akiichukuwa simu toka kwa Suzane nakuikata, Suzan akamtazama monica, “una uakika kuwa Edgar alichukuliwa na watu watatu kwenye gari ulilo sema?” aliuza Suzane akiwa bado amemtazama Monica,

“ndiyo da Suzie, nalikumbuka sana lile gari, isitoshe nimesha liona mala kadhaa likija benk” alijibu Monica, na kumfanya Suzane aanze kuwaza “sasa Edgar atakuwa wapi?” alijiuliza kimoyo moyo, “mh! lakini….” hapo Suzane alikumbuka siku ile yapat miezi mitatu nyuma, alipo mwona Edgar akipambana na mwendesha boda boda pale kibamba, “inawezekana kweli?” ali maanisha Edgar kupambana na watu watatu ongeza mzee Mashaka, maana alikuwa na uakika kuwa lazima Sophia amesha bumbulua kila kitu, sababu alikuwa anafahamu yote kuhusu yeye Suzane, na uusiano wake na baba yake na Edgar, “mtoto wa watu sijuwi atakuwa wapi saa hizi” **** wakati Suzan anajiuliza kuwa Edgar atakuwa wapi, kumbe mwenzie alikuwa mbali sana akiitafuta Songea,

ilikuwa hivi, baada ya kumwona Joyce anamfwata Edgar alijuwa kuwa mschana huyo ana hamu ya dud utu! nasiyo kingine, maana ilisha pita karibia week hawaja peana mambo, akaamua kumdanganya kuwa atamtafuta baadae, kisha yeye akaondoa gari na kuelekea zake mbezi aliko itwa na Suzan wakapate chakula cha mchana wahehe wanaita lunch, aliendesha gari mpaka maeneo ya benk akasimamisha gari kisha akatoa simu yake, nakuanza kuandika ujumbe kwa Suzan akimtaalifu kuwa amesha fika, lakini kabla haja maliza kuandika ujumbe huo, akashangaa watu watatu wanaume walioshiba, wakizunuka gari lake na kusimama kwenye milango ya mbele, na mmoja akafungua mlango wa dereva alio kaa yeye, nakumnyanganya simu, “dogo tulia, husilete fujo ya aina yoyote zaidi ya hao utaumia vibaya sana” alisema yule alie mnyang’anya simu. kisha akamshika mkono na kumvuta kuelekea kwenye gari ambalo Edgar alilitanbua kuwa ni la mzee Mashaka, nandio gari ambalo alisha wai kuliona malakadhaa mtaani kwao, kabla ya kumfahamu mzee Mashaka mwenyewe, nandio gari pekee lililowai kumwagia maji machafu, pia ndilo gari pekee ambalo mwenye gari amesha mpatia fedha nyingi sana zaidi ya million sita, na ndilo gari pekee ambalo mwenye gari hilo amesha mfanyia zambi kubwa ya kutembea na mke wake hawala yake na mtoto wake, ikiwa na kutumia fedha nyingi sana za milikiwa gari hilo, kupitia nyumba ndogo yake na mke wake, “yametimia kama yalivyo nenwa, mke wamtu sumu” alijisemea Edgar kwa sauti ya chini kama ananong’ona, wakati mlango wa katika wa gari ukifunguliwa na kusukumiwa ndani, hapo jamaa mmoja aka kaa kusho kwake na mwingine kulia kwake moja aka kaa mbele na mzee Mashaka ambae ndie aliekuwa anaendesha gari, kitendo bila uchelewa gari likaondolewa “mzee simu yake hii hapa” alisema yule jamaa alie mnyang’anya simu Edgar, huku akimkabizi mzee mashaka ile simu, na mzee mashaka akaiweka kwenye mkebe wa gari pale kwenye dash board, “huyu ndie mshemshenzi anae jifanya kidume, yani demu amebadilika kishenzi, ata utamu ana nizungusha kwasababu yake” alisema mzee mashaka akikamata bara bara ya morogoro na kukanyaga mafuta kama gari la police lina fukuza mwizi, “ukaona aitoshi uka mcnganya na mwangu, yani wewe mb..o yako ina simama sana au?” aliongea tena mzee Mashaka kwa hasira kari, huku amekanyaga mafuta vibaya sana, gario lilikuwa lina karibia speed mia ishrini kwa saa, “jibu wewe mjinga,” alisema yule jamaa wa pembeni kushoto kwake, akimzibua na kofi la utosini, hapo Edgar alihisi maumivu makali sana, “anajifanya bubu siyo” alisema yule alie kaa mbele akiinuka kidogo na kujigeuza, kisha aka rusha ngumi akiulenga uso wa Edgar, lakini Edgar akawa mwepesi na kukimga mikono yake yote miwili, akafanikiwa kuzuwia ngumi hisi tuwe usoni, “haaa aanajifanya kukinga siyo”alisema yule wakushoto akaanza kushusha makofi ya utosi mfurulizo, kwenye kichwa cha Edgar, “jamani mtaniua bule kwani kosa langu nini?” aliongea Edgar kwasauti iliyo jaa uoga, ni baada ya kuona hasipo tumia akili wata muua kweli, “wewe unazani kinachofwata nini?, hapa safari ni msitu wa kisopwa, tuna kufukia mzima mzima” aliongea mzee Mashaka, alafu wote wakacheka kwa kebei, “hapa inabidi nifanye kitu ili kjiokoa” aliwaza Edgar akimtazama mmoja moja jinsi alivyo kaa, sasa walikuwa wamesha fika kibamba ccm wanakata kona kuifwata bara bara ya chuo cha sayansi natiba cha muhimbili, tawi la mloganzila, akajipapasa mfukoni, akaina kuna peni pekee, ‘inaosha” alijisemea kimoyo moyo, huku jamaa wakipokezana kumtwanga makofi ya kichwani, ikafikia kipindi akaanza kuona kichwaa kizito, “vijana fanyeni kazi, msijali ilibegi lina fedha nyingi sana kwaajili yenu kwanza wote mna kula million kumikumi, alafu malipo mengine atajuwa boss wenu” aliongea mzee Mashaka akiwasisitiza wale vijana, “kwani mimi kosa langu nini?” aliuliza Edgar akipiga mahesabu ya haraka, huku wa usiri mkubwa akijaribu kuichomoa ile peni mfukoni mwake, nakujaribu kuwa jaza hasira wale watu, asa mzee Mashaka ambae ndie dereva, maana aliona wanazidi kusonga mbele, tena kwenye eneo asilo lijuwa, “we msheninzi mkubwa yani ume tembea na mwanamke wangu, uka tembea na mwanangu, bado unauliza kosa lako nini?” aliongea mzee Mashaka akionyesha kushikwa na hasira, “kwani mzee mimi niliwatongoza?” aliongea Edgar makusudi akitafuta maneno ya takayo muumiza mzee Mashaka, “mbwa mkubwa wewe sasa kwani uliwabaka?” alidakia yule jamaa wakulia kwa Edgar akishusha kofi kikichwani kwa Edgar, “sikia mwe fala siyo una nipiga tu mimi sijawai kutongoza” alisema Edgar kwa sauti ya ukali, “ok! sophia sawa, unataka kusema atasuzane alikutongoza wewe?” aliuliza mzee Mashaka akijaribu kuzuwia hasira zake, maana alijuwa jukumu alilonalo lakuendesha gari alitaki hasira, hapo Edgar alijuwa mpango wake unaweza kufeli, na walisha karibia maeneo ya shule ya msingi mloganzila akakulupuka na nakauri moja matata, “siyo Suzane tu! ata mama sophia pia alini lazimisha mwenyew…” kabla ajamaliza alistukia breck za ghafla, na lile gari liki yumba yumba kukosa mwelekeo, lika seleleka na kuelekea pembeni ya barabara, ikitaka kuvaa nguza za umeme kuu ziendazo mikoani, “yap hii ni saa ya huko mbozi” alisema Edgar kwa sauti kubwa, jamaa wa wa kushoto kwa Edgar baada ya kusikia kauli ya saa ya ukombozi, akamwona Edgar akiwa ana nyoosha mkono kufungua mlango wa gari, akamshika mkono, nakurusha ngumi usawa wa uso wa Edgar, laki aikiwa bahati yake maana ngumi iliishia njiani baana ya kuona mkono wa Edgar ukifyetuka na kutuwa usoni kwake usawa wa jicho lake la kulia, hapo yule jamaa akahisi kitu makama sindano kikiingia kwenye jicho lake, ikifwatia na maumivu makali sana, “mama nakufaaa” huku wengine wakiwa wana mtazama mzee Mashaka akijitaidi kuliweka gari vizuri akisimamisha bembeni ya barabara, waliisikia sauti ile ya mwenzao, mwanzo wakazani ni uoga wa hajari, laki walistuka baada ya kuona Edgar akifungua mlango wa gari, “kamata huyu mshenzi anashuka” aliongea mzee mashaka, na yule jamaa wa kulia kwa Edgar akamdaka mguu Edgar, huku alie kaa mbele akifungua wake na kuzunguka gari kuwai ule mlango alio taka kutokea Edgar, hapo Edga ali jigeuza kigogo na kuachia teke moja languvu lililo tua usoni kwa yule jamaa aliemshika mguu, ambae alienda na kujibamiza kwenye kioo cha dirisha lililo pasuka kiasi cha kichwa chake mpaka maeneo ya shingo yapitilize na kuchungulia nje, na kusababisha vipande vya vioo vimchane chane huku kimoja kikizama kwenye shingo yake na kumkata kolomeo, hapo hapo huyu jamaa akapoteza maisha, pasipo kuangalia kilicho mpata huyu alie mtwanga teke Edgar aligeuka na kumtazama yule aliekuwa amekaa mble, akamwona amesha karibia kwenye mlango aliotak akutokea, Edgar akarukia kiti chambele, alicho toka yule jamaa, nakusababisha awe jilani na mzee Mashaka, ambae alimshika Edgar kwenye shati na kumvutia kwake Edgar akamwona yule aklie zunguka kumzuwia akija mbio kule aliko yeye, hapo Edgar aka mgeukia mzee Mashaka, “niache mzee sipendi, nikuchafue” aliongea Edgar kwa sauti ya kirafiki kabisa, lakini mzee Mashaka hakuonyesha kutii amri “fanya haraka mshenzi huyu nime mkamat..” kabla ata mzee Mashaka hajamaliza alistukia ngumi nzito ikitua shavuni kwake, lakini kwa machungu aliyo nayo, akutaka kumwachia Edgar, tena ukizingatia ametamka kwa mdomo wake kuwa ametembea na mke wake pia, “bahati yako mbaya mzee”aliongea Edgar huku aki mkamata mzee Mshaka kichwani na kumpagza kwenye kioo cha mbele mala mbili mfululizo, nakummalizia kwenye kioo cha pembeni ambacho kilipasuka navipande vika tawanyika hu kimapomo kikimchana kwenye shavu, kisha akashindilia teke moja languvu lililo mkusanya mzee mashaka na mlango wa gari, wakatoka nje, na Edgar akifwatia, kwabahati mbaya wakti anatuwa akamkanyaga mzee Mashaka kwenye mguu na kufwatia sauti kama ya mti mkavu uki katika, yani mguu wa mzee mashaka ulivunjika pale pale, wakati Edgar akishangaa tukio la kutua kwenye mguu wa mzee Mashaka, akastukia ngumi nzito ikituwa shavuni kwake ..

ile ngumi ilimpata Edgar barabara nakumrudisha ndani ya gari, na kujibamiza kwenyestearing (mshikanio) akasikia maumivu makali sana, usawa wa mambavu zake, akajaribu kujiinua, kabla ajafanya lolote, yule jamaa alikuwa amesha mfikia na kumkaba shingoni kwamikono yote miwili, hapo Edgar akajuwa hasipo fanya juhudi ataumia, maana alianza kuisi macho yake yakitaka kutoka nje huku punzi zikizidi kumkauka, Edgar akajaribu kuikamata mikono ya yule jamaa nakujipapatua lakini ata aikuonyesha dalili ya kupapatuka, hapa Edgar akaona kifo kipo nje nje, akatawanya mikono yae kama mtu anae tapatapa kwa kutaka kukata roho, bahati ikakawa kwake, maana mkono mmoja ulipapasa kwenye kipande cha kioo, alicho kivunjwa mzee Mashaka ambae kwa sasa alikuwa chini anagaragara kwa maumivu makali ya shavu na mguu, Edgar alikikamata vizuri kile kioo na kukipeleka kwanguvu usoni kwa yule jamaa alie bakia, ambae alikuwa ame mng,ang,ania shingoni, na kioo kile kika pita pembeni kidogo yam domo wa yule jamaa na kuchana shavuni “mama..” jamaa alipiga kelele akishuhudia damu zikimchuluzika kama bomba lililo pasuka, huku akishuudia Edgar akijirusha mzima mzima kuelekea kwa yule jamaa, na kwa kutumia miguu yake yote miwili alituwa kifuani kwa muuaji wakukodi wa mzee mashaka, ambae alijibwaga chiniakimwangukia mzee mashaka, ambae alikuwa anagaa gaa pale chini nakumwongezea maumivu mala dufuyule jamaa akajaribu kuya shinda maumivu, nakujaribu kuinuka, lakini alikutana ngumi mfululizo zausoni, ambazo hazikuchagua pakutua, nyingine zili tuwa kwenye kidonda kpya kabisa cha jamaa huyu, hapo alijikuta akienda chini kama gunia akitua tena kwa mzee Mashaka na kumsababishia mzee wawatu apoteze fahamu, huku jamaa nae licha ya kiwili wili chake kutuwa juu ya mzee mashaka, lakini kichwachake kiligonga chini na yeye akapoteza fahamu, hapo Edgar aka angalia huku na huku, pamoja na kuwaangalia watekaji wake, akaona wame tulia hawana atauwezo wakumsogelea huku mmoja alie jibamiza dirishani, akiwa katika dakika za mwisho za kukata roho, hapo Edgar akaingia kwenye gari na kuchukuwa mkoba wa mzee Mashaka wenye fedha, kisha akaanza kuondoka taratibu akiifwata barabara waliyojia, huku nguo zake zikiwa na matonye machache ya damu, baada ya kutembea kama kilomita moja toka alipo liacha gari, akakumbuka simu yake, akaanza kurudi kuifwata, lakini alipo karibia akakwaona watu wamesha zunguka eneo la tukio, huuku wengine wakipiga simu polisi, kutoa taalifa ya tukio lile ambalo awakuli fahamu vizuri, maana watu wote walikuwa wana hali mbaya, wakati mmoja ambae alikuwa anaugulia maumivu ya jicho lake lilo toboka, wenzake walikuwa wame lala kimya, na mmoja wao amepoteza maisha kabisa, Edgar akaona bola asamehe simu aishie zake “hapa ni kuondoka kabisa Dar,” aliwaza huku akigeuka na kuanza kutembea kwa haraka sana, wakati ana karibia barabarani yani kibamba ccm, umbali wa kilometa mbili toka eneo la tukio, alishuhudia gari la polisi likipita kwa speed kuelekea alikotoka yeye, hapo Edgar akavuka barabara na kuelekea nyumbani kwa Suzan, alipo fika aliingia moja kwa moja chumbani kwake, kile alicho panga, akabadiri nguo zake haraka sana, kisha akatafuta peni na karatasi, kisha akaandika maneo fla ni kwa haraka sana, akaweka juu ya kitanda chake akawasha taa ya ndani, kisha akafungua begi la mzee Mashaka, nakuanza kuamisha mabulungutu ya noti za elfu kumi kumi na kuweka kwenye begi lake dogo la mgongoni, ambalo aliifadhia fedha zake nyingine, pasipo kuesabu yale maburungutu yafedha ambayo yalifikia kama hamsini hivi, aliyaamisha yote na alipo maliza akaweka nguo chache na viatu pea moja, ndani ya begi lile begi, akalifunga na kutoka nje akiwa na begi lake na begi la mzee Mashaka, ambalo lilikuwa na makaratasi muhimu ya mzee huyu, alitembea mpaka, kwenye kiuo cha daladala za kwenda kibaha, yani upande wa morogoro, akaingia kwenye gari (coster) la kwenda msata, akakaa kwenye siti yap eke yake, na kuliweka lile begi la mzee Mashaka chini ya siti, dakika kumi natano mbele alikuwa amesha fika mzani wa zamani, wa kibaha maili moja, akashuka baada ya kulipa nauli kwa kondakta, nakulitelekeza lile begi la mzee Mashaka, ilisha timia saa saba kamili za mchana, hapo Edgar akasogea pembeni kabisa ya barabara pana ya eneo lile, na kutulia macho akiwatazama polisi ambao walikuwa wame tanda pale wakikagua magari yenye makosa, Edgar aliwatazama wale polisi akijaribu kumchagua ambae angeweza kumsaidia kumtafutia usafiri wakumfikisha Songea, akiamini anaweza kupata atakama ni gari kubwa la mizigo, maana kwa bus mida hii ata kwabahati mbaya usingeweza kulipata, mabus ya Songea uwa yanapita kuanzia saa kumi nambili na nusu adi saa moja kasolo asubui, macho ya Edgar yalituwa kwa mmama mmoja polisi, alie onyesha kuwa na mtumima wa kuweza kuwa mama yake kabisa, “yule anaweza kunisaidia” aliwaza Edgar huku akitembea taratibbu kumfwata yule mama mtu mzima, “shikamoo mama,” alisalimia Edgar baada tu ya kumfikia yule mama” kabla hajaitikia yule mama akageuka kwanza, nakumtazama msalimiaji,” malahaba mwanangu vipi unashida” aliuliza yule mama kwa sauti ya upole, hapo Edgar akaanza kujieleza, kuwa yeye anaitaji usafiri wa kwenda Songea mana alikuwa anasoma chuo, amesha maliza mitihani, na amesha kabidhi chumba alichokuwa anakaa, kwasababu kodi ilisha kwisha, sasa ameona bola asafiri mchana hule, “ok mwanagu kakae bale kwenye benchi, tubahatishe” aliongea yule mama akimwonyesha Edgar kwenyebenchi moja pembeni ya barabara chini ya mti, “asante sana” alishukuru Edgar akienda kukaa kwenye bechi,

Hapo sasa Edgar alishuhudia magari yakipita, na masaa yakienda aliona yule mamama akijaribu kuomba mala gari hili mala lile lakini yote haya kuwa na safari ya Songea, toka saa saba msaa tisa kasolo, huku mda wote akiwa ame jawa na hofu ya tukio alilo toka kuli fanya maana taswila za wale watekaji wake zilikuwa mbaya sana, aliwaacha wana fanana na mazombi, ndipo alipo shuhudia gari moja ndogo aina ya Toyota harrier likisi mama karibu na yule mama tena bila ata kusimamishwa, kika shushwa kioo cha upande wa habiria, pasipo kusikia sauti ya yule mama, lakini alimwona akiongea kwa kufurahi na vicheko vidogo vidogo, akionyesha kufahamiana na mmiliki wa gari ambae alikuuwa bado ajamwona, maongezi ya yule mama polisi na mwenye gari yali dumu kwa dakika tano, kisha akamwona yule mama akimwonyeshea ishara ya kumwita, hapo Edgar akusuburi aitwe mala mbili, maana hofu yake kubwa ilikuwa ni kulala dar, alipaona ni pachungu sana, aliinika haraka na begi lake na kukimbila kwenye lile gari “haya ingia muwai maana Songea ni mbali sana” aliongea yule mama HUKU Edgar akikfungua mlango wakati kati wa lile gari, “hapana ingia huku mbele, tena afadhari maana ningekuwa peke yangu mpaka Songea” Edgar alistuliwa nasauti tamu yakike tena ilipenya vizuri masikioni mwake, Edgar aka funga mla ngo alio ufungua na kufungua wa mbele, akaingia nndani ya gari nakufunga mlango, “asante mama” alishukuru Edgar huku gari likiondolewa, “funga mkanda anko” ile sautiya kike ili penya tena masikioni kwa Edgar, hapo akakumbuka kumtazama dereva wake, “mama yangu” alilopoka Edgar alihisi mapigo ya moyo wake yakisimama kwa sekunde chache, kutokana na uzuri wa mschana alie kaa pembeni yake, tena alionekana mrembo aswaaa, na mbaya zaidi Edgar alishusha macho kutazama jisi alivyokuwa amekaa kwenye kiti cha dreva na kusaba bisha msambwana uenee kwenye kiti chote, huku hips za wastani zilizo fichwa kwenye jinsi la brue lakubana, alilo vaa binti huyu zikionekana vyema, “anko umenisikia?, funga mkanda” aliongea yule binti akionyesha kugundua kuwa abilia wake anamshangaa.

maana yule mschana alimwona jinsi Edgar alivyo kudoa macho, kutazama majaliwa yake, ambayo kila wakati anashuhudia midume yenye uchu iki mkodolea macho, asa anapo pishana nao, lazima wageuze shingo zao kuangalia mgongo wake, lakini licha ya kumwona Edgar alivyo kodoa macho, ila aliona wazi kuwa kijana huyu ambae anakaribiana nae umri, akiwa na dalili za uoga wakuto jiamini, “ume ssema una enda Songea, kwani nikwenu huko?” aliuliza yule mwanamke huku Edgar akifnga mkanda wa kiti cha gari, (seat belt) “ndiyo ni nyumbani, huku nilikuwa nasoma” alijibu Edgar akitazama mbele kuangalia wanako elekea, alifanya hivyo kwa sababu mbili, kwanza nikuepusha tamaa ya mwili wake maana kilicho mkuta ilikuwa sili yake, pili kwa mwonekano wa yule binti alijuwa hakuwa na uwezo wa kumchukuwa, maana licha ya kuwa mrembo kama Suzan, lakini kutokana na muonekano wake alionekana kamabinti mdogo, alafu mwenye uwezo mkubwa wakifedha, na matumizi mengi sana ya fedha, ukimtazama alivyo vaa kuanzia viatu vilivyoonekana vina samani kubwa sana, tishert na jinsi, pia shingoni alining’niza cheni ya dhahabu, na vidoleni ndiyo husiombe kasolo kkidole gumba tu vidole vingine vyote vili tawaliwa na pete za dhahabu tupu, hivyo akaona atajitesa bule nafsi yake bola atazame mbele, kuangalia maloli makubwa na ma bus toka morogoro yanavyo ingia mjini dar kwa mbwembwe, “ok! ameniambia yule afande, hivi ulikuwa unasoma chuo gani?” aliuliza yule dada huku akikanyaga mafuta, nakulifanya Toyota Harrier lizidi kutimua mbio kuiacha kibaha, “likuwa nasoma chuo cha habari pale kibamba” alijibu Edgar, huku bado akiwa ametazama mbele, kukwepa asimtazame huyu dada, “ok! kwahiyo wewe ni msanii?” aliongea yule dada mwenye mwonekano kama watu flani hivi wa kaskazini, wanaitwa wa Iraq, kama sija kosea, huku akicheka na kmtazamakidogo Edgar ambae alikua ametazama mbele, huku akiachia tabasamu kidogo, “siyo msanii, mimi naitwa mwana Sanaa” alijibu Egar kwa sauti ya upole, na yule binti akacheka tena, huku na yeye anatazama mbele kuangalia barabara, “ok! sawa mwana Sanaa, sasa wewe Sanaa yako nini,” aliuliza huku akimtazma kidogo Edgar kisha akatazama mbele, “nina fani tatu, kwanza nimsanifu wa michoro mbali mbali, kama majengo, ramani za garden, pia michoro ya nguo zakike na kiume, mabago ya matangozo na elekezi, fani ya pili nimwongozaji filamu, na fani ya tatu na buni visa na kuchora katuni” alieleza Edgar kwa sauti ile ile ya upole, “nikipajiau umejifunzia chuo hapo hapo?” aliuliza yule binti mrembo, mwenye umbo matata, huku akinyoosha mkono wake mmoja kwenye redio ya kwenye gari na kubonyeza kidude flani, kuruhusu mziki uanze kusikika, mle ndani yagari, “nime jifunza tokanikiwa shule, nikaendelea seminalini, ambako nili pata msaidizi mmoja shilikani kwetu, alinielekeza mengi sana, huku chuo nime kuja ku tafuta cheti tu” alisema Edgar bado macho yapo mbele, “he! kwahiyo nipo na padre mtalajiwa?” aliuliza yule dada akionyesha mshangao, “hapana nimwezi wa tatu sasa toka nimeachana na mambo ya upadre” alijibu Edgar kwa sauti yake tulivu, “ok! naona ata upadre bado aujakutoka, maana unaonekana mpoleee, mimi naitwa rose wewe je unaitwa nani?” alijitambulisha yule mdada huku wakicheka kidogo, “naitwa Edgar” alijibu Edgar na Rose akaomba asimuliwe mkasa ulio mtoa Edgar seminalini, hapo Edgar akaanza kusimulia kile kisa cha kupigana na mwanafunzi wa chuo cha ualimu, huku safari ikishika kasi na mziki mzri uki wa sambamba na sauti ya mwanamziki wa reggae, Don Carlos kwenye wimbo wake wa seven day a week, ukiwaburudisha, * huku kimbamba mloganzila nako, kumbe baada ya Edgar kutimka na kuishia zake baadhi ya wananchi wa eneo lile walisogea kwenye tukio, wapo walioona tukio la ngumi, lakini walikuwa mbali kidogo hivyo hawakuweza kuelewa vizuri kilicho tokea, hapo kila moja alikuwa anaongea la kwake, huku wengine wakipiga simu kituo cha polisi ilikuja kutoa msaada wa haraka, baada ya mda mfupi polisi walifika eneo la tukio nakuanza kuwa kagua majeruhi, wakakuta mmoja tayari amesha kufa, na mmoja anaangaika na jicho lake nan die aliekuwa na uafadhari, wengine wawii walikuwa wamezimia, hapo wale polisi wakawaachukuwa wale watatu akiwemomzee Mashaka, na vijana wawili na kuwa pakiza kwenye gari lao huku malehemu akilaazwa nyuma kabi na polis wawili waka baki na lile gari la mzee Mashaka kwaajili ya kufanya utaratibu wa kulipeleka kituoni, mpaka mwenye atakapo pona au ndugu na jamaa watakapo patikana, waje kuli chukuwa, njiani wale polisi waliwakagua wakina mzee Mashaka kama kuna kitu kitakcho weza kuwa saidia kumpata mtu wa karibu wa watu wale, ndipo kwenye mfuko wa suluali wa mzee Mashaka wakakuta simu, wakatafuta namba simu adi walipo mpata mkewake wakampigia simu kuwa alipoti kituo cha polisi kimbamba kwa maelekezo zaid, huku wakimpa maelekezo ya mwanzo kuwa mume wake inaisiwa mume wake akiwa na wenzake amevamiwa na watu wasio julikana na kufanyiwa shambulio baya sana, maana aikuwa hajari kutoka na na mwone kano wa gari, ila ni kipigo kitakatifu, aikuchukuwa ata nusu saa mama sophia alikuwa kituo cha polisi kibamba akilikagua gari la mume wake, jinsi lilivyo chakazwa vioo, nakutapakaa damu kama bucha la ng’ombe, hayo yalikuwa ni maelekezo ya mkuu wakitu baada ya mamasophia kufika na kujitambulisha, akaambiwa alikague gari ili kuakiksha kama vitu vilivyomo vinaifadhiwa vizuri na vinavyo bebeka aondoke navyo baada ya kupekua pekua, alifanikiwa kukuta laki tano kwenye mkebe wa gari pamoja na simu, ambayo aliitambua mala moja, akizani amesha wai kumwona nayo mume wake, lakini ikweli ni kwamba alimwona nayo Edgar, mume wake mdogo, baada ya kuakikisha ame sha maliza kukagua, akaanza safari ya kuelekea Hospital, huku njiani akimpgia simu mwanae Sophia, kumweleza kilicho tokea, nayeye akaaidi kumfata mida hiyo hiyo huko Hospital, naam mama Sophia alifika hospital salama na kukuta mme wake akiendelea kupatiwa matibabu, baada ya kuwa amesha pata fahamu kwa msaada wa mashine za kubust (jina la kitaalamu silijuwi), masaa matatu baadae mgonjwa alitolewa kwenye chumba cha upasuawaji akiwa amesha shughulikiwa vyema, mguu uli shonwa naukiwa umesha wekewa vyuma vya kusaidia, pia shavuni napo alishinwa, akapatiwa kitanda kwenye chumba kimoja chenye hadhi ya VIP, kwa maelekezo ya mkewake, pia na wale vijana wawili walipatiwa matibabu, kama ilivyokuwa kwa mzee Mashaka, nao wakalazwa kwenye chumba chao wawili, nayule mwingine nae akiwa amelejewa na fahamu lakini bado hajitambui, mzee Mashaka ile kutambua tu uwepo wa mke wake pale, akiwa ame kaa karibu yake kabisa kwenye kitanda, akamwonyesha ishala ya kumwita kwa mkono, maana hasinge weza kuongea kutoka na ganzi ya kushona shavu lake, ambalo lilikuwa na zinga la kidonda, mke wake akamsogelea zaidi, lakini mzee mashaka akashindwa kusema chochote, “ngoja nikachukuwe peni na kalatasi” alisema mama Sophi akiinuka na kutoka nje, ya kile chumba alicho lazwa mume wake, ikapita dakika kadhaa akarudi akiwa na peni na karatai mkononi mwake, akampatia mume wake, mzee Mashaka ambae licha ya mwili mzima kuuma, kunakitu alitaka kumwambia jambo mke wake, mzee Mashaka kwa shida sana akaandika maneno flani kwenye lile karatasi kisha akampatia mke wake, ile kuangalia tu mama Sophi aka tumbua macho kama kama mwizi alie ibiwa, “mbona nimekagua kwenye gari lakini sijaona kitu, na polisi wanasema hakuna kitu walicho kitoa kwenye gari” aliongea mama sophia akionyesha kuchanganyikiwa, “au polisi watakuwa wame litoa wakasahau kuni julisha” aliongea mama Sophia, akivuta kumbukumbu kama kuna sehemu mle ndani ya gari haku mserch, kile kikaratasi kili andikwa hivi “ nenda kwenye gari popote lilipo kachukuwe begi langu, lina feza, na anamjuwa mume wake kwa kutembe na fedha nyingi kwenye begi lake, “basi ngoja Sophia afike, maana yupo njiani anakuja” aliongea mama Sophia akimtazama mume wake ambae alikuwa bado amelala pale kitandani, lakini safari hii alikuwa amefumba macho, “mh! huyu nae vipi tena” aliongea mama Sophia akijaribu kumtikisha mume wake, ambae alisha zimia tena baada ya kupata mstuko wa kupotea kwa fedha zake, kama million hamsini, “doctor! doctor!” alipiga kelele mama Sophia huku anatoka nje mbio mbio, akipisha na mwanae Sophia mlangoni akiwa anaingia, nayeye akajiunga na mama, yake kutafuta doctor wa kumwangalia mzee Mashaka **** ilikuwa imetimia saa kumi na mmbili na lobo, Edgar na Rose ndiyo kwanza walikuwa wanaikaribia misitu ya mikumi, “yani hiisafari imekuwa ya ghafla, ingekuwa hiyali yangu ningeondoka kesho” alisema Rose na wakati huo huo simu yake ikaita, “nani tena huyu?” aliongea Rose akipapasa kwenye dash board kutafuta simu, huku macho yake yapo barabarani na stearin game ikamata kwa mkono mmoja, Edgar ambae aliiona ile simu akaamua kumsaidia, ile ananyoosha kono mahali ilipo simu mkono wa Rose ulituwa yuu ya mkono wa Edgar

Rose akautoa mkono wake haraka juu ya mkono wa Edgar, “mkono wako unajoto” aliongea Rose huku Edgar naye akiwa ame sisimka kwa kuguswa na na mtoto Rose, “atawewe mkono wako una joto” aongea Edgar akiichukuwa simu na kumpatia Rose “ hoo! asante, au kwa sababu ya kiyoyozi ndo maana kila mtu anaona mwenzie anajoto” alisema Rose akicheka cheka, nakuipokea ile simu, nakuiweka sikioni, ‘hallow niambie boss…. ndiyo… mh! kwa leo sidhani, aina shida nitaripot ata kesho kutwa” alimaliza Rose na kukata simu, nakuendelea na safari, kiukweli mawazo ya Edgar bado yalikuwa kwenye tukio la mzee Mashaka na wenzake, na jinsi alivyo bahatika kuwa shambulia na kuweza kuwakimbia,”sijuwi yule mmoja kama atapona,” aliwaza moyoni mwake Edgar, masikini Rose sijuwi atani kumbuka tena au atatokea mtu mwingine wakapendana?” mawazo hayo yali ambatana na wivu, “mbaya zaidi ata namba yake ya simu sija ikalili, ila ngoja nikifika nita mtafuta yule rafiki yake, anipe namba yake ya simu” muda wote aliwaza na safari ikiwa inaendelea, huku mziki uliopo ndani ya gari ukiwa burudisha, na wimbo ulio kuwa ukipigwa ni, turn your light down low, wa bob marley, “sasa kama ameshajuwa nilicho kifanya, itakuwa balaha, sijuwi kama atanitamani tena, atampango wake wa kuamia Songea ataghaili” Edgar aliendelea kuwaza na kuwazua, kabla Rose aja mstua, “vipi Edgar mbona kama una waza sana? au ume wamiss wazazi” aliuliza Rose huku akizidi kukanyaga mafuta, na gari likiwa limeshika ndani yam situ wa mikumi, “haaa hapana, ni uchovu tu!” alijibu Edgar, “ok! ila ukitaka safari hisiwe ngumu lete story” alisema Rose wote wakacheka kidogo “story kama zipi?” aliuliza Edgar akimtazama Rose na wakati huoRose alikuwa anamtazama Edgar, macho yao yakakutana “mh! huyu demu ni mkali” aliwaza Edgar wakati anageuza uso wake kutazama mbele, Rose kama aliusoma uso wa na mawazo ya Edgar alitabasamu kidogo, “nipe story za huko kwenu, nasikia uwa mna jipozea kwa ma sister” hapo wote wakacheka ataEdgar alicheka kwanguvu sana, “inatokea ga ata wengine wana pata ujauzito na kufukuzwa shirikani,” story ziliendela hukusafari ikashika kasi, saa moja kasoro usiku walikuwa wameingia mikumi, nakufanya wabakize kama kilomita miasaba nakitu, jamani, tutafika kweli, yani saa hizi ndo tupo hapa, yani ninge kuwa peke yangu sijuwi inge kuwaje” alisema Rose huku wana uacha mji wa mikumi na kulianza poli la ruaha, “Edgar unaweza kuendesha gari?” aliuza Rose huku ana punguza mwendo akionyesha anataka kusimama, “naweza lakini siyo sana” alijibu Edgar wakati Rose akiliweka gari pembeni kabisa ya barabar na kusimama, “ok! nisaidie kidogo, na mimi ni pumzike” aliongea Rose akifungua mkanda na kisha mlango, akashuka toka kwenye gari nakuzunguza gari upande wa Edgar, ambae anae alifanya kama Rose na kuzunguka upande wa dereva akaingia ndani, akiwa amelirushia begi lake siti ya nyuma na kua juu ya mabegi kibao ya Rose, akafunga mlango, na kutulia amkisubiri Rose aingie kwenye gari, lakini Rose akuingia kwenye gari, hapo Edgar aka tumia site morror ku tazama kwamnini Rose aingii kwenye gari, ndipo alipo mwona ame chuchumaa karibu na taili la nyuma huku ameisshusha suluali yake ya jisi na kuruhusu msambwana wote kuwa nje, na alama ya chupi nyeupe ikione kana kwenye mviligo wa jinsi, Rose alikuwa ana kojoa, hapo aikuwa na ubishi Edgar alihisi koo lake liki kaukakwa kiu ya maji, na dudu ika stuka na kuaza ku jitutumua kwenye suluali yake ya jinsi alito ifaa waka ti anatoka kibamba, akayaondoa macho yake kwenye ile site mirror, haraka sana, zika pita dakika mbili, akamwona Rose ame simama kwenye mlango wa abiria akifunga zipu ya suluali yake, huku ikionekana sehemu ya chupi yake nyeupe, kish akafunga na kisikizo chake, akaingia kwenye gari, “hapo sasa hafadhari, maana mkojo ulini bana tokea kwenye ifadhi, nikaogopa wanyama” allisema Rosse huku akifunga mkanda, na wote wakacheka kidogo huku Edgar akiliondoa gari nakuendelea na safari, sasa Edgar ilkuwa ina mjia taswila ya makalio ya Rose, na kusababisha dudu yake iwe ina simama mala kwamala, na kwabahati mbaya katika kuangalia angalia Rose akagundua kuwa dudu ya Edgar ilikuwa ime vimba kwa kusimama, waswahili wanaita kudinda, “vipi wewe mkojo hauja kubana?” aliuliza Rose huku, akimtazama Edgar usoni, “hapana labda huko mbele ya safari, mimi nauwezo wakukaa namkoja ata masaa sita” alisema Edgar akiendelea kukanyaga mafuta, kwa kutumia uwezo aliopewa na mama mwenye nyumba, na kufanya gari litembee speed mia kwa saa, mapaka themanini kwenye kona, kuna wakati alipo pta sehemu iliyo tulia alifikisha mpaka 140, “weee usiniambie, yani una vumilia tu!” alishangaa Rose huku macho yake mda wote yana badiridha sehemu za kuangalia mala mbele wanakoelekea ambapo kwa sasa walikuwa wana tumia taa baada ya giza kutawala, mala amtazame Edgar usoni, kisha ashushe macho kwenye dudu, “nasikia wanaume wanaoweza kubana mokojo muda mrefu, uwa nihatari sana kitandani” alisema Rose kisha wakacheka, “hapo mimi sijuwi, mimi naona kawaida tu” aliongea Edgar huku bado wanaendelea kucheka, walionekana kuzoweana kwa mda mfupi sana, kutokana na ucheshi wa binti huyu, dada Rose hupo tofauti sana” aliongea Edgar kwa sauti ya upole na utulivu sana, “kwanini Edgar, ninatisha hen?” aliuliza Rose huku akipandisha mguu mmoja kwenye kiti, na kumtazama Edgar, “unajuwa wanawake wazuri kama wewe uwa wana kuwa wabinafi sana, awapendi kuongea na wenzao, wanajisikia sana, ila wewe hupo tofauti sana” aliongea Edgar na kumfanya yule dada akunje sura kwamshangao, huku tabasamu liki chanua usoni kwake, “ina maana mimi ni mzuri hen?” aliuliza Rose kwa sauti ya swaga flani hivi, hapo Edgar akacheka kidogo, kama anaona ahibu hivi, “inamaana wewe ujijuwi?” aliuliza Edgar bila kumtazama Rose, “mimi nitajijuwaje, kwani wewe unajijuwa kwamba ni handsam?” hapo Edgar akachcheka kidogo, huku ikimjia sura ya Suzane, siku aliyo kuwa anamchua mguu mpaka wakaangukia kwenye mapenzi, akishindwa kumjibu Rose, “au demu wako haja kuambia?” hapo akacheka tena bila kujibu kitu, “au ndiyo maana wakina mama Sophia walikuwa waana ning’ang’nia?” aaliwaza Edgar huku safari ikiendelea, story ziliendelea huku muda mwingi wakicheka na kwa furaha, saa tatu na nusu walikuwa wanaingia ruhaha mbuyuni, “Edgar ingiza gari hapo hotelini, tupate chakula mana toka nime kula Dar” alisema Rose akimwonyesha Edgar hotel kubwa iliyo kuwa upande wake wakulia, nikweli ata Edgar alikuwa na njaa lali sana maana toka ame kula asubuhi, ikiwa ime zungukwa na ukuta mkubwa sana katika eneo la mita kama mia moja hivi, ambayo Edgar ndiyo alikuwa anaanza kuivuka, hapo Edgar akapunguza mwendo na kukata kona kuingia kwenye gate kubwa la wazi kati ya mawili ya kuingilia pale hotelini, ndani walikuta magari mengi sana makubwa, yaliyo sheheni mizigo kwenye matela yake, nawao wakatafuta sehemu nzuri ya kuli weka gari lao kisha waka simama, wote wakashuka huku Edgar akiakikisha kama mfukoni ana fedha ambayo ita msaidia kwa chakula pale Hotelini, akaona fedha yake ilikuwepo ndani ya mfuko wake mala ya mwisho aliweka kama lakimoja hivi kwaajili ya njiani maana hakutaka kulifungua fungua begi lake la mgongoni mala kwamala kutokana na mzigo uliokuwepo mle ndani ya begi lake, akalitazama maana alikuwa ameliweka kwenye siti ya nyuma, alipo liona akalizika na kushuka kuungana na Rose ambae alikuwa amesimama akimsubiri, huku mkononi alikuwa ameshika mkoba wake wa mkononi, waka llock milango ya gari kisha wakaanza kutembea taratibu kulifwata jego kubwa la Hotel, ambalo lilikuwa lime changamka sana kwa uwingi wawatu, asa upande wa bar, ambao wengi wao ni madereva wa maloli, ambao wame amuwa kupumzika hapa ili kesho mapema waendelee na safari, wao walielekea moja kwa moja upande wa sehemu yakupata huduma ya chakula, “ningekuwa peke yangu sijuwi inge kuwaje” alisema Rose wakati wanaingia mle ndani na kuchagua sehemu nzuri ya kukaa, na kuagiza chakula, **** Tumbi hospitali Sophia alikuwa anarudi toka kibamba kituo cha polisi, baada ya kuagizwa na mama yake aende akaliangalie begi la baba yake, akiamini kuwa yeye akuweza kuliona labda ni kwasababu alikuwa amechanganyikiwa, lakini Sophia nayeye hakuliona kabisa ilo begi, ambalo analifahamu vizuri sana, akiwa anaingia pale hospitali taratibu huku akitafakari kilicho mtokea baba yake huku mawazo ya kuwa mama tyake pia ametembea na Edgar yakimjia kichwani, kiukweli alizidi kuchanganyikiwa binti huyu, anakujikuta akimvaa mgonjwa mmoja aliekuwa anapishana nae, “we! dada vipi ebu tazama mbele bwana”alifoka dada mmoja ambae alikuwa na mgonjwa alie mgonga Sophia, bila kusema kitu Sophia aka mtazama yule mgonjwa alie msukuma, alikuwa ni mwanamke ambae alionekana kupatwa na hajari, au kupigwa usoni, kutokana na bandeji alizo zilibwa kwenye paji la uso, na kwenye pua “samahani dada, ilikuwa bahati mbaya” alisema Sophia kwa sauti ya upole huku bado amemtazama yule mgonjwa, ambapo yule mdada aliyekuwa nae, alimshika mkono na kuanza kuondoka zao, “mh! kama namfahamu huyu dada,” aliwaza Sophia kisha akawasoglea, “samahani dada,” alisema Sophia akimtazama yule alie mshika mgonjwa, nao wakasimama, “eti huyu dada kama na mfahamu, lakini sikumbuki nilimwona wapi?” alisema Sophia akijaribu kmtazama yule dada mgonjwa, “mh! kwani wewe unakaa wapi?” aliuliza muuguza mgonjwa, “nakaa mbezi” alijibu Sophia, “ok na sisi tuna kaa mbezi, inawezekana ulituona hapo asa kama unapenda kutembelea full dose” alisema yule dada muuguzaji, nakumfanya sophia astuke kidogo, “ok! inawezekana, maaa hapo natembeleaga sana, poleni sana” alisema Sophia huku akiaga na kuondoka zake, akajichekea moyoni, “shenzi kabisa Malaya we!” alikuwa ni queen au ni binti wa jana, ambae alilazwa pale hospitali, baada ya kupigwa na chupa usoni, nampigaji akiwa ni Sophia mwenyewe, Sophia alienda moja kwa moja mpaka kweny chumba alicho lazwa baba yake, akamkuta mama yake akiwa na mgonjwa lakini mgonjwa bado alikuwa ame kata moto, kutokana na mituko ya mala kwa mala, walicho amua madoctor ni kumvizia atakapo zinduka wa chome sindano ya usingizi, maana ile kuzimia zimia ni hatari sana kwa mgonjwa, Sphia akatoa riporti yake kuwa hakuna kitu kwenye gari, **** leo usiku bwana kazole na mke wake walikuwa wamelala kwenye chumba ambacho miaka iliyopita kilikuwa cha watotot wakike, bado walikuwa wanaongea ili na lile, huku bwana Kazole akijitahidi kumuweka sawa mke wake na kumsaaulisha kipigo na usaliti wa siku tatu zilizopita, “hivi mzee ameuza mashamba ya wapi?” aliuliza Bwana Kazole wakiwa wame jilaza kitandani na mke wake, “mashamba wapi? ni Edgar huyo nasikia amewatumia mifedha mingi, ameoa mwanamke mwenye mihela mingi sana, tena anafanya kazi benk” hapo bwana kazole akawa amepata jibu la swali lake, “umewai kuongea na Edgar siku mbili hizi,” aliliza kwa shahuku bwana Kazole, haaaa! wapi, nitaanzaje kwanza, yani atakurudi hapa nyumbani ilikuwa ni bahati mbaya tu, naonaje aibu” alisema mke wa bwana Kazole akivuta shuka safi na zuri lililopo pale kitandani, nakujifuika mpaka kifuani, “weweeee ukiendekeza aibu, utakufa masikini, changa mka, kumbuka vikoba bado unadaiwa” alisema bwana Kazole huku mke wake akijigeuza na kumwonyea mume wake mgongo, kichwani mwake akitafakari maneno ya mume wake, huku ruhaha Edgar na Rose walikuwa wamesha maliza kupata chakula, na Edgar akalipa chakula cha wote wawili, “hivi Edgar, unaonaje tuki lala hapa, maana kusafiri usiku nivibaya” alishauri Rose, na Edgar akaunga mkono, “ni kweli alafu kesho saa kumi namoja tuna endelea na safari” baada ya makubaliano hayo, “Rose akashauri waamie kwenye bar, wakachangamke kidogo, wakiwa wana fanya utaratibu wa kupata vyumba vya kulala, walielekea upande wa bar, na kutafuta sehemu nzuri wakakaa, sehemu hiyo ilikuwa ime changamka sana, watu wengi walikuwa wakipata vinywaji, huku wakiudumiwa na waschana warembo, kama mmoja aliewafwata mala tu baada ya kukaa, “ni wahudumie tafadhari,” hapo wakwanza kuagiza alikuwa Rose naomba bia ya.. light., wewe Edgar utakunywa nini?” aliuliza Rose baada ya kutaja kinywaji anacho kiitaji, “mimi naomba mvinyo mwekundu,” alisema Edgar akiingiza mkno mfukoni akitaka kutoa fedha, “hapa Edgar, zamu yangu,” alisema Rose akimzuwia Edgar kutoa fedha, kisha yeye akafungua mkoba wake na kutoa pochi ndogo alafu akatoa elfu kumikumi tatu, akampa yule dada, “achana na light, lete huo mvinyo chupa mbili, alafu tuitie na mhudumu wa vyumba” alisema Rose kisha akamtazama Edgar, “kwanini unapenda mvinyo mwekundu?” aliuliza Rose bado amemtazama Edgar huku akitabasamu, “ndiyo pombe yangu ya kwanza kuanza uinywa” nime jikuta naizowea hiyo hiyo” alijibu Edgar akikwepesha mcho yake yasi kutane na macho ya Rose, ambe alikuw amekaa upande wapili wa meza nakuufanya watazamane, “mh! unaijuwa kazi yake?” aliuliza Rose, “si kilewa? au kuana nyingine” aliuliza Edgar huku pembeni yao akisimama mwana dada, akiweka tray yenye chupa mbili za mvinyo, na grass mbili tupu mezani, “wa vumba anakuja” aliongea yule dada akifungua chupa moja ya mvinyo, “ok! asante” alijibu Rose na yule dada ondoka zake, na kabla hajafika mbali alipishana na kijana mmoja ambae aliongoza moja kwa moja, kuifwata meza yao, alipo fika aka wasalimia na kujitambulisha kuwa yeye ndie msimamizi wa upande wa uduma za vyumba, “ok! tunaitaji vyumba viwili, mna fanyaje” aliongea Rose, huku Edgar akimimina mvinyo kwenye grass yake na kisha kwenye grass ya Rose “kwanza kabisa poleni sana, chunba kilicho baki ni kimoja tena singo, yani cha kitanda kimoja, nachumbachenywe tulimwekea mteja mbae, alikuwa anatokea arusha, sasa ameghairi amepitia dar usiku huu, na mkichelewa kinaweza kuchukuliwa” alongea yule kijana akionyesha msisitizo, Rose akatabasamu na kumtazama Edgar usoni. Edgar akakwepesha macho yake, Rose akamtazama yule kijana na kumwambia

eti! akuna guest nyingine ya jirani?” yule kijana mhudumu wa vyumba aliwatazama kwa zamu, “ vyumba hapa ni mpaka comfort, hukoooo kitonga, kwani nyinyi siyo wa penzi, mpaka mna tafuta vyumba tofauti?” aliongea yule kijana akiendelea kuwa tazama kwa zamu, Edgar na Rose wakacheka kidogo, “kwani unatuonaje anko, tuna endana?” aliuliza Rose huku akiinua grasi ya mvinyo, na kuiweka mdomo kupiga funda moja laini, “mh! yani nilivyo waona nika shangaa sana, lakini uwezi kujuwa labda…” alishindwa kumalizia yule kijana, Rose akacheka kidogo na kumtazama Edgar, “eti! Eddy una semaje, utaweza mzungu wa nne” aliuliza Rose na Edgar akajibu, “husijari nita lala kwenye gari” alisema Edgar akiinua grass nay ye na kuiweka mdomoni, “ok! anko bei gani?” aliuliza Rose akifungua pochi yake, “elfu hishilini na tano tu!” Rose alitoa fedha hiyo na umpatia yule kijana ambae aliondoka akiagiza kupitia ufunguo mapokezi na kusaini kitabu cha wageni, “unaogopa nini kulala chumba komoja na mimi?” aliuliza Rose baada ya kuakikisha yule kijana amesha ondoka, “mh! unazani ni kazi lahisi kulala na mwanamke mlembo kama wewe,”alijibu Edgar na wote wakacheka, “kwani nikiwa mrembo ndio nini, si tuna lala na nguo zetu” alisema Rose, huku wakiendelea kunywa mvinyo mwekundu, “au unaogopa nita kubaka?” aliuliza Rose wakacheka tena, “unibake au ukibake kibakio?” alisema Edgar huku wakiendelea kucheka, “ok! kama auogopi kitu basi mimi sikupi ufnguo wa gari, tuna lala wote chumbani” alisema Rose akitazama chini, akishindwa kumtazama Edgar ambae sasa alikuwa anaweza kumtazama Rose, sijuwi kwaajiri ya kinywaji, “Rose utanitafutia kesi, kwa jinsi ulivyo mzuri alafu tulale chumba kimoja, lakini poa mimi nitalala chini” aliongea Edgar huku wakiendelea kupiga kilaji chao taratibu, kwakifupi maali hapa watu uwa wanakesha wakipiga mtungi na wengine lala kwenye magari, wakiwa wame opoa wanawake ambao walikuwa weni sana pale mbuyuni, ukiachilia wahudumu wakike pia kuna wana dada ambao walikuwa wana kuja kwa kuatafuta watu wa kuondoka nao, wakiwa na nia ya pata fehda toka kwa madereva hao wengi wao wakiwa ni wa magari makubwa, “kwahiyo tume kubaliana tuta lala wote, alafu itakuwa lahisi kuamshana mapema, kesho asubuhi” aliongea Rose akijaribu kumtazama Edgar usoni, “poa aina tatizo,” alijibu Edgar akiendelea kukamua mvinyo, Rose akaachia tabasamu, **** Tumbi hospital Sophia na mama yake walikuwa wame kaa pembeni ya kitanda alicho lala mzee Mashaka, ilikuwa saa tano za usiku mama Sophia alikuwa anasinzia, japo Sophia alikuwa anajitahidi kumsemesha semesha, ili mama yake asilale asilale, “Sophia bola ungeenda kupumzika alafu mimi kesho, uni letee chakula asubuhi” aliongea mama sophia na Sophia akaunga mkono, japo moyoni alikuwa anajambo ambalo lilikuwa linamsumbua sana juu ya namba ya Edgar kuseviwa saloon kwenye simu ya mama yake, nambaya zaidi alipoipiga, Edgar alipokea na kumuita mke wetu, njiani sophia alikuwa akiwaza “kwa maana hiyo Edgar anatembea na mama, ebu ngoja” alisema Sophia huku akichukuwa simu yake kwenye dash board na kuitafuta namba ya Edgar kisha akaipiga, simu iliita kidogo ikapokelewa “hallow sophi vipi kunakitu ume sahau?” mh! sauti aikuwa ya Edgar , ilikuwa ni sauti ya mama yake, “haaaa, mama nimekosea, kunamtu nilikuwa nampigia” aliongea Sophia akakata simu, “mbona nashindwa kuelewa, inamaana atasimu yake anayo mama, au amesha fukuzwa kwa Suzan?” alijiuliza Sophia wakati akiwa anaendelea na safari yakeakataka kupitia kwa Suzan akajuwe kulikoni, lakini akaona itakuwa ngumu sana kutokana na yaliyotokea asubuhi, akaona labada ampigie simu, akaona ndiyo kabisa aitapokelewa, akaamua kuendelea na safari, *** mam Sophia baada ya kupokea simu ya sophia, kwenye simu aliyozani ni simu ya mume wake, maana ata jila mwanae lilikuwa lime andikwa Sophia, aka iweka simu kwenye mkoba wake, kisha akenda kukaa kwenye kiti cha mataili maalumu kwa wagonjwa (wheel chair) kilichopo mle ndani akaa na kuanza kupitiwa na usingizi, **** ilikuwa saa sita usiku, ndipo Edgar na Rose walipo shauliana wakapumzike chumbani, maana mida ilisha watupa mkono na safari yao bado ilikuwa ndefu sana, wakiwa wamechangamka kwa mvinyo wakainuka na kuelekea mapokezi wakaandika majina yao nakuchukuwa ufunguo, wakaelekezwa chumba walicho takiwa kuwepo usiku ule, dakika chache baadae wakawa ndani ya chumba kile huku chupa mmoja ya mvinyo wakiwa nayo mkonono mzima kabisa aijafunguliwa na chupa nyingine ime baki kidogo sana, safari hii awakuwa na grasi, ile kuingia chumbani na kufunga mlango tu kosa, Rose akafungua mkoba wake na kutoa chupi moja nyekundu aina ya bikini akairushia kitandani, kisha akatoa kanga na kuirushia kitandani, hapo akaanza kuvua viatu vyake vya visigino vilefu vyenye mikanda kisha akavua tishert yake nakubaki na sidilia, akiruhusu tumbo lake dogo kuonekana, kisha akakamata kisikizo cha suluali yake na kuaza kukifungua, akifwatia na zip, kisha akakamata suluali yake na kuanza kuishusha, hapo Edgar akageukia pembeni, hasione kinacho endelea, Edgar alisikilizia dakika kazaa vurugu za uvuaji wa suluali ya jinsi ya kubana ya Rose, “wewe Edgar nisaidie kufungua hapa,” aliongea Rose akimtikisa Edgar ambae alikuwa ametazama hukoo hasione utamu wa binti huyu, maana mpaka hapo alisha jitaidi sana kumvumilia, Edgar akageuka na kumtazama Rose naam Rose alikuwa amw bakia na ile sidilia (yani yakwenye maziwa) na kichupi cha mikanda cheupe kilicho kaavyema kwenye kiuno cha Rose na kushindwa kuficha makalio na mapaja ya Rose huku kwenye kitumbua ikifyata kidogo nakupita pembeni, “duuu lewoooo, kazi hipo”alinongona Edgar kwa sauti ya chini iliyo mfikia Rose, “kwanini Edgar” aliuliza Edgar huku akigeuza mgongo kumuhusu Edgar afungue ile sidilia, Edgar bila kujibu akafungua ile dilia na kuitupia kitandani, hapo akamwona Rose akichukuwa ile kanga pale kitandani nakujifunga kisha akaelekea bafuni, “mh! kikombe hiki akiepukiki” alijisemea Edgar, na dakika chache akaanza kusikia maji yakimwagika bafuni, dakika tano baadae Edgar akiwa ame jilaza pale kitandani, na Rose yupo bafuni, mala akasikia simu ya Rose ikiita toka ndani ya mkoba wa Rose mwenyewe, “simu yako inaita” alisema Edgar nakumfanya rose atoke bafuni akichuruzikwa na maji huku akiwa anaata kipande cha nguo, Edgar akishuhudia jinsi kifua na msambwana vikisaidiwa na hipsi vikiwa vina cheza cheza kwa namna flani ya kupendeza, ata kama wewe mdau wakiume lazima dudu ingestuka, “naomba tauro Eddy” alisema Rose akiufwata mkoba wake akaitoa simu na kuipokea, hapo Edgar alitungua Tauro na kumrushia huku yeye akiingia bafuni na kuanza kuvua nguo tayari kuoga, wakati anavua nguo huko huko bafuni alisikia maongezi ya Rose kwenye simu, “ndyo … tatizo siwezi kuendesha gari mbio sana.. alafu usiku… pekeyangu … jamani… atakesho kutwa nita report.. ok poa” maongezi yaliishia hapo, huku Edgar akiwa anaanza kuoga baada ya kuwa amesha maliza kuvua nguo zake na kuzitundika kwenye vitundikio vilivyomo mle bafuni, na viatu akivirushia chumbani, “huyu demu mkari ila, anataka kuni bebesha lawama” aliwaza Edgar taratibu huku maji yakimwagikia kuanzia kichwani nakushuka mpaka miguuni yakipitia maeneo yote yamwili, huku Edgar akuipata picha ya mwili wa binti huyu wakati anavua nguo, na wakati ana toka bafuni, taswala hiyo ilisababisha dudu ya Edgar isimama, nakuchuruzikiwa na maji nakuwa kama anakojo, wakati anawaza hayo akastuliwa na Suti ya nyayo za Rose alie kuwa anaingia bafuni, ambako yeye alikuwa anaoga, “kwani nime kuambia mimi nimesha maliza kuoga?”

aliongea Rose akijisogeza kwenye bomba na kugusana na Edgar, “hoooo! jamani una Mb..o nzuri…. alafu….” alisema Rose akiitazama dudu ya Edgar, kisha aka mtaza ma Edgar usoni. ambae muda wote alikuwa ametulua akiduwaa, kumshangaa huyu dada anacho taka kusababisha, “Edgar .. naomba niishike kidogo” alisema Rose akijiegemeza kifuani kwa Edgar, huku mkono mmoja akiupeleka kwenye dudu ya Edgar, nakuikamata “uogopi kuigisa” alisema Edgar kwa sauti ttulivu na nzito huku akitabasamu, sauti hiliyo msisimua Rose ambae alikuwa anaicheazea dudu ya Edgar taratibu, “niogope wakati inaonekana tamu” alijibu Rose kwa sauti legevu na yakivivu, huku akizidi kujikita kifuani kwa Edgar, na Edgar akamshika kidevu Rose na kuuinua uso wa binti huyu, kisha akasogeza midomo yake kwenye midomo ya Rose, Rose naye aka legeza midomo yake na kuachia dudu ya Edgar, akamsika Edgar mashavuni, midomo yao ikakutana, wote wakafumba mcho nakuanza kunyonyana ndimi zao, wakati wanaendelea kubadirisha mate huku awakimwagikiwa na maji, Edgar alishusha mikono yake nyuma ya mgongo wa Rose na kukama msambwana wa Rosie, na kumvutia kwake kama anambana hivi, Rose akajikuta anaachia mashavu ya Edgar, nakuzungusha mikono yake mabegani kwa Edgar, moono ya Edgar ilia chia msambwana wa Rose na kuamia kiunoni, akapapasa kwa kutekenya hivi, hapo wote wawili walikuwa wanahema kiasi cha kila mmoja kuisikia pumzi ya mwenzie kwa ukaribu, Edgar wakati anaanendelea kula mate ya binti mrembo Rose mwenye umbo matata, ilimjia kumbukumbu ya mama mwenye nyumba wake, maana licha ya kuwa mfupi kidogo wa huyu Rose ile yeye alikuwa na mapaja pamoja na matako makubwa zaidi ya Rosie, hapo Edgar akauikia mkono mmoja wa Rose huki ama toka shongoni na kuamia chini, uka shika dudu yakae huku Rose alifanyahivyo akitanua miguu yake kisha akailengesha ile dudu kwenye kitumbua chake, nakuanza kuichezesha kwenye mdomo wa kitumbua chake, alifanya hivyo kwa sekunde kadhaa, uku bao wana endelea kunyonyana urimi, Edgar akaamishia mkono wake kwenye ziwa moja la Rose na kuanza kuichezea chuchu, hapo akamwona yule binti akiongeza kasi ya kuisugua dudu kwenye kitumbua chake, “tuamie kitandani miguu ina kosa nguvu” alisema Rosie akijitoa kwenye mwili wa Edgar kisha akamshika mkono Edgar na kumvuta kuelekea chumbani, moja kwa moja Rose akapanda kitandani na kujilaza chali, akitanua miguu na kuikunja kwa juu, Edgar akatazama kitumbua cha yule mdada aliekutana nae safarini, kitumbua kilikuwa kimetulia kikipambwa na mavuzi machache mafupiii, yaliyo kuwa yanaanza kucomoza baada ya kunyolewa siku chache zilizo pita, Edgar akapanda kitandani na kuinamia kitumbuaa mdomo wake ukienda moja kwa moja kwenye kitumbua, hapo Rose akisi urimi wa kijana huyu alie kutana nae safarini, kijana ambae miezi michache alikuwa akiesabika kama padre mtarajwa, uki gusa kitmbua chake kuanzia chini kabisa mpakani na jirani yake dada tigo, na kuanza kuparuza taratib ukipanda juu kwnye kialage, hukiwa una ya paluza mashavu ya kitumbua chake na kuya tekenya kwa namna flani iliyo mlet a uloda, “haasss! mhhhh!” alisikia Rose huku akiyakamata maziwa yake na kuzivuta chuchu zake, wakati akifanya hivyo Rosie alishuudia Edgar akikidumbukiza kilaghe chake mdomoni na kuki nyonya kama vile mtoto anavyo vyonya chuchu za mama yake, utamu ulimfanya Rose ajikuta anakata viuno taratibu akiachia ziwa moja na kumkamata Edgar kichwa akimsaidia kukandaimizia kwenye kitumbua chake, “tamu… tamuuuuu… una weza kunyonya kum…” aliongea Rose uku akizungusha kiuno taratibu, kabla awaja geka na Edga kulala chali kisha Rose akipanda juu yake akitazama kwenye miguu ya Edgar na msambwanda wake ameuonyesha usawa wa uso wa Edgar, ikwa wakati Edgar akimnyonya kitumbua Rose naye alinyonya dudu, japo akti mwingine Rose alikuwa akizidiwa na utamu, na kusaau kumnyonya Edgar dudu yake, kama siyo kumng’ata dudu yake kwa bahati mbaya kutokana na msisimko, Edgar alipoona hajari za meno ninyingi, akamwinua Rose na kumlaza chali, kisha yeye akapiga magoti mbele ya Rose na kumwekea Rose mto chini ya kiuno che, nakusababisha kiuno kiinuke, akamtanua miguu kisha akaikamata dudu yake na kuisogeza kwenye kitumbua cha mtoto mrembo huyu alie mpa lift ya kwenda kwao Songea, huku mkono mmoja akitumia kutanua kitumbua cha Rose sehemu ya juu kwenye kialaghe, Edgar akaichomeka dudu taratibu kwenye kitumbua cha Rose, nakuichomoa “mhhhhhh!” ilisikika sauti ya Rose, hapo Edgar akiwa ameikamadudu na kikitanua kitumbua cha Rose, akatumia kichwa dudu kusugua kialaghe cha mdada huyu, ambae mpaka sasa walikuwa hawaja fahamiana vizuri, kilicho kuwa kinaonekana vizuri, kutokana na Edgar kuutanua uke wake, Edgar alisugua kialaghe mala kadhaa, wakati mwingine aki fika mpaka kwenye mashavu na nakuichomeka kidogo nakuichomoa kisha akaipiga kwenye kialaghe “hoooo!” ilisikika sauti ya Rose, na sasa Edgar akaongeza kasi ya kusugua kialaghe cha rose ambacho sasa kilizidi kujaa ute ute, mpaka uka wa una wamwagikia mapajani, uku unatoa sauti ya “pwa! pwa! pwa!” hapo Rose alikuwa anatikisa kiuno na mikono ame kamata mapaja yake na kuya nyanyua juu akisababisha kitumbua kipanuke zaidi nakuruhusu kialaghe kionekane zaidi na kuchomoza nje kama dudu ya sungura, hapo Edgar akuwa na aja ya kutanua kitumbua kwa mkono wake aliendelea kuijechea ‘K’ ya Rose kwa dudu yake na kuipiga piga kwenye kialaghe huku mokono wake mmoja akichezea chuchu za mrembo wenye gari zuri, aliempa lifti, “mama ..mama… utamu utamu… Edgar… utamu unakuja.. “ aliongea Rose akianza kukakamaa na vibret (kutetemeka) akiwa bado ameyang’ang’ania mapaja yake, mda mfupi baadae akatulia na kujilaza, akiwa amefumba macho huku anahema kwanguvu kama aele toka kufanya kazi ngumu, baada ya sekunde kama 30, Rose akamwona Edgar akiinuka na kuingia bafuni, kisha akasikia sauti ya mkojo ukimwagika, alafu akamwona Edgar akurudi toka bafuni hapo alipata nafasi ya kuiona dudu ya abiria wake, naam bado ilikuwa ime simama, “leo kazi hipo” aliwaza Rose, ambae bado alikuwa anamwona Edgar akija kitandani pale alipo lala, akamshika na kumgeuza hapo Rose mwenyewe akajuwa anachotakiwa kufanya, akainama na kuachia msambwanawake uki ning’nia kwanyuma, akasubiri kinacho fwata, akasikia dudu iki chezeshwa kwenye kitumbua chake, ambacho kilikuwa kinaonekana vizuri kwa nyuma, Edgar alifanya hivyo asa akichezea maeneo yay a kialghe na kwenye mlango, wakitumbua huku mkono mmoja akiupapasa kiuno chembamba cha biti huyu wakati mwingine akitembeza vidole vyake kwenye uti wa mgongo wa Rose kuanzia maeneo ya shinngo mapakwenye mfrlrji wa makalio, hapo Rose akahisi mtekenyo ambao uliambatana na utamu ulio samba kuanzia kwenye utosi mpaka kwenye nyayo zake, nakutamani kuingiziwa dudu mida hiyo hiyo, “ingiza Eddy … ingiza baba…” aliongea Rose akipitisha mkono wake uvunguni kwake nakuipokonya dudu kwenye mkono wa Edgar kisha akaichomeka kwenye kitumbua, akaanza kutikisa kiuno huku akiushika mkono wa Edgar ana kuuleta kwenye ziwa lake, hapo Edgar akaanza kupump akisaidiwa na Rose aliekuwa akiendelea kutikisa kiuno na kufanya makalio yake yacheze nakutikisika kwa namna ya kuamsha mzuka, huku pumb.. za Edgar ziki piga na kusugua kwenye kialaghe ambacho kili kuwa kina pata shida ya kusuguliwa na dudu na hizo kegere, “tamu jamani… Edgar nakesho tena.. unajuwa kutomb.. mpenzi wangu” alibwabwaja Rosie huku akiendelea kukatika kiuno cha mzungusho, mchezo uli endelea huku Edgar wakati mwingine akiisimamamia, au kupiga goti moja, akiizamisha dudu mpaka akawa anahisi anaguza kitu ndani ya kitumbua, “Eddy … Eddy.. ume… mefika… hapo hapo patamu husitoe mwenzieo nasikia …nasikia utaaaamuuuu” dakika kumi na tano mbele Rose alijibwaga jkitandani nakusababisha dudu ya Edgar ichomoke kwenye kitumbua “tupumzik kidogo baby,” alisema Rose akiwa ame jilaza kifudi fudi kitandani, “naomba hiyo chupa ya mvinyo” Rose alimwambia Edgar, anayeye akatoka kiatandani nakuifwataile chupa iliyo kuwa na mvinyo mwekundu iliyo kuwa imefunguliwa tayari, akaichukuwa na kumpatia Rose, ambae aliiweka mdomoni na kupiga funda moja languvu, “najisikia kiu mwenzio “aliongea Rose akimpatia ile chupa Edgar, ambae nae aliinywa kidogo na kuiweka mezani, “twende tukaoge” aliongea Edgar akijaribu kumshika mkono Rosie, waende bafuni “unataka ukani tomb..e bafuni?” aliongea Rose akiudaka mkono wa Edgar akakuinuka wakingia bafuni, huku wanacheka, ndani bafu wakiwa wana mwagikiwa na maji ya bomba la mvua, Rose alianza kwa kuichezea dudu ya Edgar ambayo ilikuwa ime simama bado, aka chuchumaa huku bado anaichezea dudu ya Edgar “nikikuumiza na meno niambie, maana mh!” aliongea Rose huku akimtazama Edgar usoni, kisha aka ilengesha mdomoni na kuidumbukiza, akaza kinyonya, safari hii Rose alijitahidi, baada ya dakika kama kumi na za kumnyonya dudu, Rose akasimama na kujisogeza karibu kasa na Edgar hapo Edgar akamshika mguu moja Rose na kuupandisha kwa juu akikumbuka stayli moja aliyo wai kuifanya na Suzan, tena walikuwa bafuni kamavile, kisha akaipenyeza kwa chini dudu yake, nayo ikateleza nakuingia ndani kazi ikaanza taratibu, sekunde chache baadae Rose alionekana kuzidi kunogewa na dudu, maana alianaza kuhema pumzi nzito na kamguno ka utamu wa dudu kwenye kitumbua chake, huku akisogeza midomo yake kwenye midomo ya Edgar, nakuanza kunyonya urimi wa kijana huyu matata, ambae akujuwa alicho toka kukifanya huko Dar mcha wa uliopita, dakika tatu mbele wakasogelea ukutani, hapo Edgar akambana Rose kwenye kona moja ya bafu lile nakumnyanyua miguu yote miwili, akiyakamata makalio ya Rose, huku Rose mwenyewe akizungusha mikono yake shingoni kwa Edgar, dudu ikiwa ndani ya kitumbua, hapo Rose alikuwa akinesa nesa, nakuipanya dudu iwe ina piga nje ndani “unanifanya nikupende weee Eddy weweee, unajuwa kuto..” alipiga kelele Rose huku kazi ikiendelea, kazi ambayo aikuchukuwa mda refu sana, kutokana na uzito wa Rose, walibadiri na sasa Rose alishikilia ukuta akiwa amesimma na kurudisha kiuno chake nyuma, kisha Edgar akaingiza kiulainiiii kama ananawa, kazi ikaendelea, dakika kumi mbele wotw kwa pamoja wakatangaza ushindi, hapo kilicvhofwata nikuoga na kwenda kulala Rose akiwa hoi, Edgar akimalizia ule mvinyo uliokuwa kwenye chupa iliyo funguliwa, ilsha timia saa tisa na nusu *** mida hiyo ni mida ambayo mama Sophia alikuwa ametoka kupokea simu ya Suzane, iliyo pigwa kwenye simu ambayo mwanzo alizani ni yamume wake, “nikweli hii ni simu ya Edgar” alisema mama Sophia akiwa anaigeuza geuza ile simu, “inamaana aliefanya haya ni Edgar, na alifikaje kwenye gari la mume wangu?” aliongea mama Sophia akichukuwa simu yake na kujaribu kipiga namba ya Edgar, kweli simuile ikaita na jina likaonekana ‘mama Sophi’ “makubwa inamaana huyu mzee na awa vijana, walitaka kumdhuru Edgar” aliwaza mama Sophi, “kwahiyo Edgar akajiokoa” aliendelea kuwaza nakuwazua mke wa bwana Mashaka, “au atakuwa amegundua kuwa Edgar nime tembea nae, au amendundua kuwa anatembea na Suzane, maana awezi kukasilika kwa kumpa mimba mwanae” aliumiza kichwa mama sophia, “ngoja ukweli utajulikana tu, sasa Edgar yupo wapi” **** saa moja nanusu za asubuhi, ndiyo mida ambayo Sophia alikuwa anaingia maeneo ya benk ya wananchi tawi la mbezi kwa lengo la kuonana na Suzan kumweleza kuhusu Edgar kutembea na mama yake pia wakati yeye anaujauzito wake, akitokea nyumbani kwake akiwa na hot pot lenye supu pamoja na mfuko wa chapati pembeni, akiwa ame viweka kwenye seat ya mbele ya abiria, alisimamisha gari lake nakushuka kisha kuelekea ofisini kwa mhasibu msaidizi, lakini leo alimkuta mtu mwingine kabisa, lakini ana mfahamu, “karibu dada poleni na kuuguza” aliongea kijana alie mkuta mle mle ndani, alikuwa anamfahamu, “asante sana’ vipi huyu nimemkuta?” aliuliza Sophia pasipo kujuwa kuwa yule kijana alkuwa anamaanisha kuwa mgonjwa ni Suzane, na siyo baba yake, “bado haja toka hospital, tume pata taalifa kuwa ame zinduka saa tisa za usiku” alisema yule kijana ambae alikuwa anajuwa kabosa kuwa Sophia ni rafiki wa karibu wa Suzane, hapo Sophia akaduwaa, lakini akachezesha akili ya haraka sana, nakujifanya anajuwa kuwa rafiki yake alilazwa, “unajuwa jana nilisafiri kidogo, sasa nime ipata hii taalifa juu juu, kwani Suzane alilazwa?” aliuliza Sophia kwa mshangao, na yule kijana aka msimulia kuwa, Suzane alipata mstuko wa ghafla na kuzimia, akakimbizwa hospital ya Matumaini ya Dr Stellah, hapo Sophia akaondoka kuelekea Hospital kumtazama Suzan akiwa na uakika atakuwa amepata mstuko baada ya kusikia kuvamiwa kwa mzee Mashaka, “na sasa atazimia tena akisikia mpaka mama keshaliwa na Edgar, lazima ata mtimua” aliwaza Sophia huku akikata kona ya kuingia Matumaini Hospital…

Sophia alimwona Suzan akiwa ameshika karatasi mkononi mwake, lkini kitu cha hajabu, alimwona Suzane na mwenzake, wakionyesha kuwa na furaha sana, licha ya kuwa aliambiwa kuwa Suzan alikuwa ame lazwa kwa patwa na mstuko, tena toka jana saa tano, na kuzinduka manane ya usiku, lakini alimwona Suzane akiitazama ile karatasi na kuendelea kushangilia kwa kuruka ruka, huku akitembea kwa speed kuelea kwenye gari lake, “mshenzi wewe, ngoja nikuletee na hili la mama, ufe kabisa” kitu chakushangaza Sophia ambae alitegemea kumkuta Suzane kitandani akiwa na hali mbaya, alijisikia kuchukizwa na ile furaha ya Suzane, ambae ni Rafiki yake wa toka chuoni, Sophia alisimamisha gari na kushuka, akatembea kumfwata Suzane na mwenzake, ambao walikuwa wanafungua gari tayari kuingia ndani, “Suzane nisubiri kidogo” alisema Sophia akiongeza mwendo kumfwata Suzane ambae alisimama baada ya kumwona Sophia, “mambo jamani” alisalimia Sophia akijitaidi kuficha haliyake ya chuki zidi ya Rafiki yake Suzan, “poa zakwako?” alijibu Suzan akimtazama Sophia usoni, huku tabasamu likichanua usoni mwake, “nimesikia ulizimia, mbona naona kamaaaaa….. ni tofauti na nilivyosikia” aliongea Sophia akishindwa kumtazama Suzane usoni, “nikweli nilipatwa na mstuko baada ya kusikia Edgar ametekwa, na mpaka sasa sijuwi yupo wapi, nikipiga simu yake anapokea mama yako anasema alikuwa nayo baba yako,” aliongea Suzane akianza kubadirika usoni na kuwa na uso wa uzuni, huku Sophia akishangaa kwa maneno ya Suzane, hapo akaanza kupata picha ya kwanini mama yake anasimu ya Edgar, “Sophia najuwa umemwambia baba yako kuhusu mimi na Edgar, ndiyo maana baba yako amemteka Edgar, naomba kaongee na baba yako, amwachie Edgar aje tulee ujauzito huu pamoja, asimdhuru ili amwone mwanae akizaliwa” maneono hayo licha ya kumstua Sophia, lakini pia yalimstua Monica, kwamala ya kwanza akafahamu kuwa Edgar ni mpenzi wa Suzane, na siyo kaka kma alivyo tambulishwa, “mimba! ina maana na wewe una mimba?” aliuliza Sophia akionyesha mshangao mkubwa wa wazi,

Kumbe ilikuwa hivi, ilipoingia asubuhi najuwa kuchomoza, alikuja Dr Matrida, moja wa maDoctor ambao wana fanya kazi kwenye Hospital ya Matumaini, inayo milikiwa na Doctor mrembo na tajili Dr stellah, Dr Matrida alimkagua mgonjwa ambae Jana alimwacha amezimia, akaona mgonjwa anaendelea vizuri kabisa, hapo hapo akamwita ofisini na kumsomea majibu ya vipimo vyake, ambavyo walimpima toka jana nakushindwa kumpatia majibu, kutokana na kuwa amezimia, vipimo vyote vilionyesha kuwa yuposawa, zaidi kipimo cha ujauzito ambacho kilionyesha kuwa Suzane au mama mwenye nyumba ni mjamzito, wenye umri wa miezi miwili, akishauriwa kuanza clinic mala moja, hapo ndipo Suzane alipo toka ofisini kwa Dr Matrida, wakati anatoka pia akakutana na manage wa tawi lao la benk ambae alimjulisha kuwa uamisho wake unaendelea kushughulikiwa, hivyo kwa sasa aende nyumbani akapumzike, huku anajiandaa na safari, atakapoona yupo tayari aende kuchukuwa form yake ya uamisho aende Songea, wakaachana na manage akienda kulipia ghalama za matibabu, huku yeye ana monica wakienda kuchukuwa gari waondoke, * kiukweli Sophia aliachana na Suzane akiwa amevurugwa kichwa chake, maana aliona kuwa ujauzito wake ndiyo fimbo ya kumtandikia Suzane na kumpokonya Edgar, yani mpaka anafika tumbi kule Hospital, bado akili yake ilikuwa imesha hama kabisa, mpaka anaingia kwenye chumba alicho lazwa baba yake, Sophia alikuwa ame tulia kama mzimu uliofufuka, mama sophia alistuka sana kumwona mwanae akiwa vile “mwanangu nilitegemea unge furahi kumkuta baba yako amepata nafuu, kwanini hupo hivyo?” aliuliza mama sophia akimtazama mwanae na kumshika bega, “mama yani mimi sielewi, sijuwi ata kwanini nili mwambia baba,” hapo mzee Mashaka ambae alikuwa bado hawezi kuongea alitoa macho kumtazama Sophia, huku mama yake akijuwa anachotaka kuongea mwanae, nadicho ambacho mzee Mashaka alijuwa anacho maanisha mwanae Sophia, “kumbe kweli aliniona sikuile, nan die alie mpasua binti wa jana,” aliwaza mzee Mashaka, “Sophia umekutana na Suzane?” aliuliza mama Sophia akitaka kuakikisha jambo flani, “ndiyo nilienda kumuona hosptal, na yeye alilazwa baada ya kupata taalifa ya kutekwa kwa Edgar” hapo mzee Mashaka akashindwa kuvumilia, akaona asipo liweka sawa jambo hili anaweza kuishia jela, na kuivuruga familia yake, akaonyesha ishara yakuomba peni na karatasi, dakika chache baadae aliletewa, akaandika maneo flani flani, nakumpa mke wake, ‘Edgar ni mzima, mwiteni Suzane tuongee nae vinginevyo mambo yata fikia pabaya, mimi na wewe mke wangu tutaongea’ **** Ilisha timia saa mbili na nusu, pale Ruhaha mbuyuni Edgar na Rose walichelewa sana kuondoka, nikutokana na Rose kuchelewa kuamka, akidai amechoka sana, maana Edgar aliamka toka saa kumi na moja na dakika 45 akaoga na kuvaa nguo zake za jana, huku kila mala akimwamsha Rose, “bado bwana kwani tuna haraka gani?” hayo ni baadhi ya majibu ya Rose, Edgar akatoka nje, akakuta magari yame baki machache sana pale nje, mengi yalisha ondoka, akaenda moja kwa moja kwenye gari la Rose, akiwa na funguo za gari lile Toyota Harrer jeusi, aka akikisha kama gari lipo salama, pia alifungua nakuingia ndani na kuangalia mizigo, huku lengo likiwa ni kukagua kama begi lake la fedha lipo salama, alipo akikisha kuwa kila kitu kipo salama Edgar akarudi ndani, akipitia upande wa hotel na kuagiza supu ya kuku na ndizi za kuchemsha, zipelekwe kwenye chumba walicho lala, akiwa anaongozana na mhudumu aliebeba supu mbili alizo nunua, aliingia chumbani na kumkuta Rose akiwa ametoka bafuni kuoga, dakika chache baadae Rose alikuwa amesha vaa nguo zake zile za jana, alicho badirisha ni chupi tu!, wakakaa na kunza kupata supu, taratibu kabisa mpaka saa mbili asubuhi, ndiyo mda walioanza safari ya kuelekea Songea dereva akiwa Edgar, safari ilianza kimya kimya, huku mda mwingi Rose akiwa anachat na simu yake, akitumiwa sms na kurudisha majibu, wakati huo Edgar naye alikuwa akiendesha gari huu mawazo yake yakiwa yana waza vitu vingi sana, kwanza aliwaza sana tukio la jana la mzee Mashaka, akustuka kujuwa kuwa mzee Mashaka amefahamu kuwa yeye anatembea na Suzan, kilicho mshangaza mzee huyu kujuwa kuwa anatembea pia na mwanae sophia, Edgar aljikuta anatabasamu baada ya kukumbuka alivyombia kuwa ata mkewake anaweza kumsibitishia kuwa yeye akumtongoza, “vipi Edgar mbona kama na furahi mwenyewe?” aliuliza Rose, ambae licha ya kutumia simu yake kutuma na kupokea sms, lakini mala kwa mala alikuwa anamtazama Edgar, huku akivuta picha ya tukio la jana usiku ndani ya chumba cha Hotel, maana asubuhiyaleo alijisikia vizuri sana mwilini mwake, utazani amezaliwa upya, “nimekumbuka wakati nakuamsha eti una sema atuna haraka, wakti unajuwa tunako kwenda ni mbali” alisema Edgar wakendelea na safari yao, “kwani wewe hujuwi kuwa mwenzi nilikuwa nime choka” alisema Rose akinyanyua mkono na kumpiga Edgar kwenye bega, huku wote wakicheka kidogo, “ila Edgar asante sana mpenzi, yani nime enjoy sana, namshukuru yule afande kwakutukutanisha” alisema tena Rose baada ya kimyakifupi, “na wewe pia Rose, nimefurahi sana kuwa na wewe”alisema Edgar huku Rose akiandika ujumbe kwenye simu, alipo maliza akamtazama Edgar huku akiunyanyua ,kono wake wa kulia na kuulaza kwenye bega la Edgar, “nawewe ulienjoy hen? aliuliza Rose akijichekasha, zaidi ya ninavyoweza kuelezea, “mh! kweli? kwani wewe ulipenda stsili gani?” aliuliza Rose huku akifungua ujumbee ulioingia kwenye simu yake, “nilizipenda zote, lakini ile ya kuinama niliipenda zaidi” aliongea Edgar, wote wakacheka, kumbe unapenda kuangalia matako yangu yanavyo tikisika” alisema Rose huku wakiendelea kucheka, “sana yani, dah nahivyo ulivyo jaliwa mh!” hapo wkacheka tena huku Rose akiandika ujumbe nakuutuma kisha akaweka simu kwenye dash board, “sasa sijakuumiza pumb.. zako maana nilisikia zina nigonga gonga kwenye kialaghe, ila nilikuwa najisikia utamu” aliongea Rose akikaa vizuri nakupandisha mguu moja juu kiti, nakujigeuza kidogo akitazama upande wa Edgar, “haaa! wapi, tena nikikimbuka natamani usiku urudie tena” alisema Edgar akiendelea kukanyaga mafuta na sasa walikuwa wanakaribia comfort, “inamaana wewe ujachoka?” aliuliza Rose akimtazama Edgar kwa umakini huku mkono wake mmoja akiuweka shavuni, “mh! yani nichoke tokea jana mpaka leo?” alisema Edgar akimaanisha kuwa yupo vizuri, “kwahiyo ataleo unaweza kunifanya kama jana?” aliuliza Rose akionyesha mshangao wakuto amini, “siyo leo ata jana ungetaka tuendelee, mbona tungekesha” alisema Edgar na sasa walikuwa wakipita hotel ya Comfort na kuelekea milima ya kitonga, kwa jibu hilo Rose akatabasamu na kukaa vizuri, akishusha mguu chini na kutazama mbele, “kama ndo hivyo basi raha” alisema Rose akilaza siti na kujilaza, ***** saa tano asubuhi maeneo ya Tumbi Hospital kwenye kimgahawa komoja kilichopo nje ya Hospital hiyo shemu ya kulia chakula, walikuwa wamekaa mama Sophia, Sophia mwenyewe na Suzane, maongezi yalikuwa yana endelea, mama Sophia akimweleza Suzane kilakitu alichoambiwa na mume wake,n huku Suzane akiomba msamaha kwa kutembea na mzee Mashaka, akitoa sababu ya kushawishiwa na mzee huyo kwa kunyweshwa kilevi, “pamoja na kuwa ume tembea na mume wangu, mimi nime shakusamehe, ila tunaomba haya mambo yasifike mbali” alisema mama sophia akiendelea kusisitiza kuwa Edgar aliwatoroka wakina mzee Mashaka, na kwamba atakuwa mzima wa afya pia akmwambia kuwa inawezekana Edgar akawa ametoroka na fedha za mzee Mshaka, “kwanza kabisa kama mnataka haya mambo yasifike mbali, kuna mambo matatu myafanye, moja mpaka nimpate Edgar ndiyo nitaamini kuwa ni mzima, pili Sophia acha kunifwatilia, kama ni ujauzito wako mimi nipo tayari kulea mwanao, tatu naomba simu ya Edgar” hayo mengine yali kuwa mepesi ka wakina Sophia na mama yake, lakini la kuonekana kwa Edgar itakuwa ni shida sana kwao, “sikia Suzane tume toka mbali sana mwanangu, pamoja nakwamba Edgar nimchumba wako, lakini kumbuka tuliko toka, kuhus Edgar atakuwa mzima,” aliongea kwa msisitizo mama Sophia, akitowa simu na kumpa Suzane ambae aliipokea “mama kweli tumetoka mbali, lakini kwa hili natoa siku moja tu! mpaka kufika kesho mida kamahii Edgar hajaonekana naenda kutoa taalifa polisi, na mtekaji na mtaja mumeo, alionekana na bahati nzuri pale benk kuna camera za ulinzi, naimani amerecordiwa wakati wakimchukuwa, na bahati nzuri alitumia gari lake” alisema Suzane akiinuka na kuondoka zake akienda kupanda kwenye gari lake nakutimua mbio kuelekea barabara kuu ya morogoro, akiwaacha Sophia na mama yake wakimkodolea macho, “tume kwisha mwanangu” alisema mama Sophia akimtazama mwane ambae bado nia yake ikiwa kuishi na Edgar, huku akimtazama mama yake nakuwaza, “hivi huyu Edgar aogopi kweli, yani ukutazama uchi wa mama kama huyu, sibalaha hii” ***** saa saba kasolo iliwakutia Edgar na Rose wakiwa Iringa ipogoro, wakipata chakula cha mchana, kwenye Hotel moja iliyopo pembezoni mwa barabara kuu, huku wakipulizwa na kabaridi kwa mbariiii, “edgar nikuulize kitu?” aliongea Rose wakiendela kula, pasipo kumtazama Edgar, “niulize tu!” alijibu Edgar nayeye akiendelea kula, pasipo kumtazama Rose, “umesha wai kutembea na mke watu?, na kama ndiyo ilikuwaje maana najuwa lazima alikung’ang’nia” aliuliza Rose swali ambalo lili upasua moyo wa Edgar, akimkumbuka mama Sophia, Edgar akavuta pumzi ndefu, kisha akaishusha, “hapana” alijibu kwa kifupi na kumfanya Rose atabasamu “mbona kama ume stuka sana?, ila Edgar kitu nataka nikuombe, je utakubari?” Rose alimwambia Edgar, huku safari hii akiinua usowake uliotawaliwa na tabasamu nakumtazama Edgar usoni kwa macho ya kulegea, “niambie Rose, naimani utaniomba kitu ambacho ninacho” alisema Edgar akiacha kula na kumtazama Rose usoni, “naomba leo tulele Njombe, mwenzio nimeshakuzowea” alisema Rose akinyoosha mkono wake na kumshika Edgar kwenye bega na kufanya kama anampooza flani hivi, kwa kukichezesha kiganja chake cha mkono, …….

hapo Edgar alitulia na kumtazama Rose ambae alikwepesha macho yake na kuinamia sahani yake, akiendelea kula, Edgar alijaribu kutafakarikama kweli biti huy alikuwa anaongea kwa kumaanisha au alikuwa ana tania, lakini kiukweli Rose hakuwa na dalili ya utani, “kwanini tusiende kulala Songea,” aliuluza Edgar, akiwa ameacha kula anamtazama Rose, “mimi nataka tulale Njombe bwana, au unakawai kademu kako ulikamisi” alingea Rose kwa sauti ya kudekea huku nisu ya sauti hiyo ikipitia puani, “hapana Rosesiyo hivyo, ila nakufikilia wewe, nimeona unaongea kwenyesimu unaema uta report kesho” Edgar alimwambia Rose ambae muda wote alikuwa anamtasmini kuwa kama siyo mtoto wa tajiri mmoja pale Songea basi atakuwa ni mfanya biashara au mfanyakazi anaelipwa vizuri, “hiyo haina shida, we! niambie tu! kama tutalala au utaki” sasa Rose alikuwa ana ongea kwa kulalamika, akiwa ame mkazia macho yaliyo anza kukata tamaa, Edgar ambae nayeye alionekana kuwaza kidogo, “kwani una haraka gani, Edgar bwana, tulale Njombe, kama gharama nitalipia mwenyewe” aliongea tena Rose, baada ya kumwona Edgar akiwaza juu ya ombi lake, kiukweli Edgar alitafali mambo matatu, la kwanza ni kuhusu, penzi la ghafla la binti huyu mrembo tena kijana kama yeye, alafu mwenye mwonekano wa maisha bola, na mwenye kiu ya mapenzi, mwisho wake nini, pia alitafakari sana kuchelewa kwake kufika Songea, kunge wapa wakati mgumu wazazi wake, maana hakuwa na mawasiliano yoyote, pia kufika kwake Songea angeweza kuwasiliana na Suzan, maana wazazi wake walikuwa na namba ya suzane, pia ata rafiki yake Suzan aliepo Songea, yaani Selina, pia angeweza kumpatia namba ya mama mwenye nyumba wake, nakuwasiliana, sasa hii kulala lala njiani inge mweka pabaya asa endapo uzan ataamua kuulizia Songea kwa wazazi wake na kuambiwa hayupo, Edgar aliwaza hayo akiamini kuwa Suzan bado hajajuwa kuwa yeye yupo wapi, “lakini leo tuki lala Njombe, kesho mapemaaa tupo Songea” aliwaza Edgar huku akiachia tabasamu panausoni mwake, nakumfanya Rose nayeye atabasamu, huku akiona kiaibu cha kike, “unanicheka bwana mistaki” aliongea Rose akimtishia kumpigaEdgar, “hapa siku cheki, nilikuwa nakushangaa unavyo lalamika, unazani mwanaume anaweza kukukatalia mwanamke mrembo kama wewe” Rose alipo sikia hivyo akaachia tabasamu kamili, “kwahiyo tume kubaliana?” aliuliza kwa shahuku Rose, pigia mstari tena tuwai mapema tuka faidi baridi” alisema Edgar, huku Rose akionyesha kuchangamka alichukuwa simu yake kwenye mkoba, na kuanza kuandika ujumbe, ‘yani sijuwi kama nita weza kuingia Songea leo, maana gari lime zima ghafla hapa iringa wakati nakula, ndio natafuta mafundi’ aliituma sms hiyo nakuirudisha simu kwenye mkoba wake, wakaendelea kula mpaka walipo tosheka, kisha safari ikaendelea kuitafuta mafinga. Ophia na mama yake walirudi ndani na kumsimulia mzee Mashaka jinsi maongezi yao na Suzane yalivyo kuwa, wakimweleza jinsi Suzane alivyo pania kulifikisha lile swala polisi kwa kutegemea ushaidi wa mtu aliewaona wakimteka Edgar, na camera za benk, hapo mzee Mashaka ambae alikuwa hawezi kuongea, akaandika kwenye karatasi maneno marefu hivi, kisha akamkabidhi mke wake, mama Sophia akaisoma ile karatsi, iliyo mwelekeza kuwa, apekuwe kwenye ssuluali yake yliyo kuwa ame ivaa jana achukuwe simu yake na pia kuna kinote book, kwenye mfuko wa shati akiviona amletee, lakini mama Sophi akamwambia vitu vile vipo kwenye meza iliyopo pembeni yake, maana vilitolewa jana wakati walipokuwa wanamtibu, na simu ilizimwa baada ya yeye mama sophia kufika Hospital, basi hapo mzee Mashaa akamwonyesha ishala ya kuomba simu na note book, wakati huo Suzane alikuwa anaingia nyumbani huku simu na ya Edgar ameshazizima kabisa, na hakutaka mawasiliano na wakina sophia na mama yake, maana alijuwa fika Edgar atakama ni mzima hakuwa na mawasiliano kabisa, japo alitamani sana asikie neno ata moja toka kwa mpangaji wake huyu wa zamani, ili ajuwe kama bado anampenda au la, maana alijuwa wazi kuwa, lazima mzee Mashaka amesha ambiwa, juu ya uhusiano wake na Edgar, na ndio maana alimteka kwa nia ya kumduru mpenzi wake huyo, sasa wasi wasi wake nikuwa, kama Edgar amenusulika, je atakubari kuendelea na yeye kama wapenzi?, naukweli nikwamba hakuna kipindi alichokuwa anmwitaji Edgar kama hiki, ukiachilia kuimisi dudu, lakini pia alitamani kumweleza kuwa anaujauzito wake, Suzan aliingia ndani mwake na kuangalia mle ndani, akaona nguo zote za Edgar zipo vile vile, ikimaanisha Edgar akuingia kuchukuwa chochote mle ndani, akiwa mwenye mawazo mengi na mkosefu wa hamu ya kula Suzan alijilaza kitandani nakupitiana usingizi mzito sana, huko Songea mzee Haule yani baba Edgar, alishangaa kuona mwanae toka jana hakuwa ame pigia simu, naata mkwe wake ambae bado hajawai kumwona atamala moja, naye pia aikuwa kawaida yake kuto kupiga simu japo mala moja kwa siku ili kumjulia hali, yeye na mamayao, akaona hisiwe shida akachukuwa simu yake na kuipiga, kwa lengo la kumsalimia na pia kumjulisha uwepo wa shemeji yake bwana kazole pale nyumbani, lakini simu ya Edgar aikuita ilkuwa aipatikani, akajaribu simu ya mkwe wake nayo hivyo vyo, mzee Haule akaamua kuachana na mawasiliano kwa muda hule, nakupanga kuwa tafuta tena baadae, japo ule ndio ulikuwa muda mwafaka wayeye kuongea na mwanae ili amsimulie ubuyu ulio tokea kwa dada yakre na shemeji yake, bwana kazole alikuwa ameenda mjini na mke wake ambae alikuwa amejifunga kilemba kichwani kuficha jelaha lililo bandwa bandage, lengo la safari hiyo ni kwenda kufanya manunuzi ya nguo ambazo zinge wa saidia, maana hawa kuwa na nguo baada ya kuibiwa, kama anavyosema bwana Kazole, uku kificha yakuwa alikamatwa ugoni fake, “yani jitahidi uongee na baba, naimani atatusaidia , anaonekana anafedha nyingi sana, ona alivyo kusanya mazo, ona duka lake lilivyo kuwa kubwa, au tuongee na Edgar ndio itakuwa vizuri” aliongea bwana kazole akionyesha anania ya dhati kabisa kuomba fedha kwa baba mkwe wake, ambae licha ya kumkaba usiku, pia hakuwa anamjari kabisa mzee huyu ambae malanyingi sana, wame chukuwa chakula kwa mzee Haule, na awakuwai kuchangia ata shilingi kwenye kilimo cha jembe la kono cha mzee huyu, “ilo la kuongea na Edgar ndio gumu sana, maana…” alishindwa kumalizia mke wa bwana Kazole, kiukwelidada yake mkubwa Edgr kila alipo kumbuka jinsi alivyokuwa anamsemea mbovu mdogo wake huyo, “labda wewe uliewai kumtumia ela” aliongea mke wa bwana kazole akijuwa kabisa mume wake alimdanganya, ni kweli bwana kazole nafsi ilimsuta, akajichekesha kinafiki bila kujibu, safari yao ilifanikiwa wakiwa wame nunua nguo na viat, pia waka pitia shule ya mfaranyaki ambayo bwana kazole alikuwa anafundisha, japo mauzurio yake hayakuwa mazuri huku mwalimu mkuu wa shule hiyo, akijitaidi kummfichia madhambi bwana Kazole, hapo shuleni bwana kazole alisimulia mkasa liompata uku akificha baadhi yamambo, nakusema kuwa alivamiwa na wezi, na siyo fumanizi fake, basi mwalimu mkuu akampatia mapumziko ya wiki mbili, ili aweze kutatua matatizo yake, hapo safari ya nyumbani kwa mzee Haule ilianza, huku njia nzima bwana Kazole akiwaza namna ya kufanikwa kujipatia fedha kwa mzee Haule ili kuwa saa moja usiku, ndiyo mda ambao suzane alistuka toka usingizini, ni tangia alale mchana mda aliotoka Tumbi kuongea na wakina mama Sophia, akiwa ametawaliwa na unyonge Suzane aliinuka toka kitandani na kuelekea sebuleni, ambako akukaa sana, maana aliione ile sebule ni kubwa sana, “Eddy baba utakuwa wapi?” alijisemea Suzan wa sauti ya chini, huku akielekea jikoni, akasimama dkwenye sink la kuoshea vyombo, akitazma nje, kupitia dirishani, ghafla suzan aliachia tabasamu la matumaini, huku akitoka mbio kuufwata mlango wa kutokea mle jikoni na kisha mlango wa kutokea nje, ilikuwa ni baada ya kuona taa ina waka chumbani kwa Edgar, chumba kile alicho mpangishia, alipo ufika mlango wa chumba kile akaufngua, nao ukafunguka kuashiria kuwa upo wazi, Suzan akiwa na imani kuwa Edgar yupo mle chumbani, aliingia ndani ya chumba kile kwa speed na vurugu, lakini alicho kitgemea akikuwepo, zaidi Suzan alikuta kuna karatasi yenye maandishi kitangani, akaisogelea taratibu na kuiokota huku mapigo ya moyo wake yakimwenda kasi, Suzan alianza kusoma kilicho andikwa, huku hofu ikiwa ime mtawala, lakini kadili alivyo kuwa akisoma, ndipo uso wake ulipo anza kubadilika na kuwa wenye furaha, ‘suzan mpenzi naimani utauona huu ujumbe, mala tu utakapoingia humu chumbani, ndio maana nili acha taa inawaka, usiwe na wasi wasi na mimi, kwani mimi ni mzima, najuwa uutakuwa umesikia kilicho mtokea mzee Mashaka’ suzan alisoma ule kwa umakini sana, akaelewa kuwa mzee Mashaka alimteka Edgar kwa leno la kwenda kumpoteza maisha, lakini Edgar akafaniiwa kuwa toroka,pia ule jumbe wa Edgar uli msisi tiza Szane kuendelea kufanya mipango ya kuhama dar, akiamini aikuwa sehemu salama kwao, ‘hisasa unapousoma huu ujumbe naimani nitakuwa nimesha pata gari, kwani naelekea kudandia magali ya izigo yaendayo songea’ nikifika nitakujulisha, nakupenda sana Suzane’ ujumbe uliishia hapo, wakati Suzane anamalizia kusoma ujumbe huo, akasikia sauti ya mwanamke kwambali ikibisha hodi, akatoka haraka nakuufwata mlango wa nyumba kubwa anayo kaa yeye, kweli mbele ya mlango huo aalikuwepo Joyce, “hoooo Joyce karibu ndani, karibu sana umenikumbuka leo” aliongea Suzane huku akiingia ndani akifwatiwa na Joyce, ambae alimtambua kama wanafunzi mwenzie wa Edgar, sekunde chache walikuwa wamekaa kwenye makochi, “niambie Joyce utakunywa nini” aliuliza Suzane, huku akimtazma Joyce ambae alionekana kukosa amani, “hapana da’suzie mimi nime kuja kumwona mala moja Edgar, nina shida nae,” alisema Joyce akionyesha hali flani ya uoga na unyoge, “hoooo jamani Edgar ameondoka toka jana mchana kuelekea Songea, kwani vipi kuna tatizo?” aliongea Suzane akimtazama Joyce, ambae alionyesha kuzidi kubadirika sura akikaribia kuangua kilio, “sijuwi nita fanya nini mimi masikini

aliongea Joyce nakumfanya Suzan azidi kushangaa, “kunatatizo Joyce, au ulikuwa una mdai?” aliuliza Suzan kwa sauti ya upole na yakubembeleza, hapo Joyce akazungusha akili, maana tatizo lake ni kuwa, juzi asubuhi alijisikia utofauti kidogo, akaenda kwenye dispensal ya jilani na chuo chao kupima malelia pamoja na UTI, lakini vipimo vikasoma tofauti, ndipo walipo mpima ujauzito, ni kweli Joyce alikuwa anaujauzito, ndipo alipo anza kumtafuta Edgar iliamweleze swala lile lakini tatizo lake likawa moja atampataje, maana chuo alisha maliza, na simu ya Joyce ilikuwa mbovu, sasa jana alibaatika kumwona Edgar akiendesha gari la Suzan ambae ni mpenzi wake, na Joyce alikuwa anafahamu swala hilo, ndio maana alishindwa kumfwata nyumbani na kumweleza, lakini pia ata alipo mwona awakuweza kuongea maana Edgar alikuwa na haraka zake, akamwahidi kumtafuta baadae, lakini mpaka giza linaingia akumwona, akapiga moyo kode akipanga kutumia hakili kumfikishia ujumbe Edgar , pindi atakapo mkuta yupo na Suzane, akaamua kwenda nyumbani kwao, lakinihakukuta mtu, licha ya kurudia mala mbili, lakini ilikuwa vile vile, siku ya pili Joyce akukata tamaa, alikuja asubuhi na mapema lakini hakukuta mtu, ata mchana pia na jioni akabaatisha kumkuta Suzane, “simdai chochote …ila .. ila nina tatizo naitaji msaada wake” aliongea Joyce kwa kusita sita, kama kuna jambo zto anashindwa kulieleza, hali hiyo ili mtisha Suzane, “nijambo ambalo lazima litatuliwe na mwanaume, au atamimi naweza kuitatua?” aliuliza Suzane akionyesha nia ya dhati ya kutaka kumsaidia Joyce, hapo Joyce akaanza kueleza shida yake, lakini akificha ukweli halisi, alielez kuwa yeye amepewa ujauzito na rafiki yake Edgar, ambae alikuwa anasoma darasa moja na Edgar, na huyo mtu alie mpa uja uzito ameondoka kabla yeye kujuwa kuwa anaujauzito, tatizo ni kwamba huyo mtu akujuwi kwao nayeye simu yake imearibika, “yani hapa sina ata shilingi, yani ninge itoa,” alimaliza Joyce kusimulia, “pole sana,” alisema Suzane nakutulia sekunde kadhaa hapo suzan akakumbuka kitu, “tena nime kumbuka ebu ngoja nikachukuwe simu ya Edgar tuitafute namba yake,” hapo Joyce akajuwa kuumbuka inausika, “unazani anasimu, ameibiwa kabla hajaondoka” alisema Joyce haraka sana akimwai uzan alie kuwa anainuka kuelekea chumbani, hapo Suzane akaanza kuona mapicha picha, nakuhisi kuwa uenda anadanganywa, akawaza mawili matatu na kupat5a picha flani, kwanza kabisa alikumbuka jinsi huyu binti alivyo kuwa anamshobokea Edgar, kila mala anapo wakuta, pia anafahamu kuwa Edgar hakuwa na Rafiki wa kiume zaidi ya rafiki wa kike tena ni huyu Joyce pekee, “sikia Joyce huna haja ya kuitoa hiyo mimba, chakufanya mimi nita kusaidia kuilea, nakulea mtoto, mpaka utakapo maliza chuo, ikiweze kana mpaka utakapo pata kazi au kumpata baba wa mtoto, pia nita mwambia Edgar amtafute, huyo kijana” alisema Suzane kwa sauti ya uturivu kabisa akihisi kuwa Edgar alisha vuruga na hapa kwa Joyce, “nitakupatia chumba kimoja hapo nje, utakaa mda wote utao itaji kukaa, naia nita kutumia fedha za matumizi mala kwa mala, ukiwa na tatizo niambie mimi, hua haja ya kuwasiliaa na Edgar,” aliongea Suzane akiwa katika hali ya kawaida tu, ata Joyce hakuhisi kitu zaidi ya moyo wake kupata faraja, Suzane alim[atia Joyce namba zake za simu, aka mpatia fedha laki moja akimwagiza kesho akanunue simu, pia alienda kumwonyesha chumba kile kilicho kuwa cha Egar kwamba muda wowote anaweza kuamia, baada ya kufanya hivyo Joyce aliondoka akimwacha Suzan amesimama akimwangalia, “Seline” aliwaza Suzane akimkumbuka Rafiki yake Seline ambae yupo Songea anako elekea Edgar, Suzan alikimbila ndani nakuingia chumbani kwake kisha akatoa simu yke kwenye mkoba wake akaiwasha, “nikizubaa nitamkuta amesha muoa kabisa” alingea Suzan akiwa na wasi wasi yasi jirudie yaliyo tokea Dar kwa Rafiki yake Sophia, * Edgar na Rose mida hii walikuwa wana tembea kwamiguu kwenye viunga vya stendi ya njombe mjini, wakiwa wamevalia majacket makubwa na kofia za sweta (mizura), huku wakiwa wameshikana mikono, walizunguka huku nahuku wakiangalia mji hule ambao kwao ni mgeni, kwasababu siku zote walikuwa wakipita njiani tu’ ni masaa matat sasa toka walipo ingia njombe na kufikia kwenye Hotel ya Selena, mbapo ndani ya masaa hayo matatu walisha fanya yao, maana ile kufika tu! wali parck gari lao sehemu salama ya maegesho ya Hotel hiyo na kuingia kwenye chumba walichoonyeshwa, walipo ingia ndani tu! Rose alinza kuvua nguo haraka haraka utazani zinaupupu, yani ile Edgar anamaliza kufunga mlango anakuta Rose akimalizia kuvua suluwali yake ya jinsi,

.

ITAENDELEA

Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Tano

Isikupite Hii: Dalili za Kuonyesha Mwanamke Anataka Umpeleke Chumbani

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment