Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Tano
CHOMBEZO

Ep 05: Mama Mwenye Nyumba

SIMULIZI Mama Mwenye Nyumba
Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Tano

Chombezo : Mama Mwenye Nyumba

Sehemu Ya Tano (5)

kisha akafwatia bikini, alipo maliza akamsogelea Edgar, ambae alikuwa ame simama akiusanifu mwili mzuri wa binti huyu, alie kutananae safarini, Rose akaanza kufungua mkanda wa suluali ya Edgar nakufatia zip, sekunde hache panda e tayari suluali na boxer ya Edgar ilikuwa magotini, dudu ikiwa ime simama tayari kwa kazi, Rose akaikamata na kuichezea kidogo, huku anamtazama usoni Edgar, “nikikuumiza niambie” alisema Rose kama kawaida yake, huku ana sogeza dudu mdooni kwake na kuilamba kichwa ya dudu, kama anaijaribu, kisha akaanza kuuzungusha ulimi wake akiutembeza kwenye kichwa cha dudu ya Edgar, wakati mwingine akiupeleka ulimi wake mpaka kwenye shingo ya dudu, muda wote alikuwa akimtazama Edgar usoni, akamshuhudia akifumba macho hishala ya kusikilizia utamu, Rose akazamisha kichwa chote cha dudu mdomoni mwake na kuanza kuki mun’unya kama analamba pipi kijiti, zoezi hilo lili dumu kwa dakika tano hivi, huku wakatimwingine akiizamisha dudu mdomoni mwake na kuitoa, “vipi baby, una enjoy?” aliuliza Rose na Edgar akajibu “yes” Rose akaidumbukiza tena mdomoni, nakuendele kunyonya, baadae kidogo Rose aka simama na kwenda kujilaza kitandani, akitanua miguu, hapo Edgar nae aka msogelea na kuzama mgodini kutafuta dhahabu kwa ulimi, kwaakika shuguli iliendelea kwa dakika 45 ndipo walipo maliza mchezo wao, huku wote wakiwa wame lizika na matokeo, ndipo walipo oga nakujiandaa kisha wakatoka nakuelekea mtaani, kuu tazama mji wa njombe, walizunguka mitaa ya stendi ya Njombe, wakitembea huku wameshikana mikono, kiasi kwamba kila alie waona alitambua kuwa ni wapenzi tena walio shibana, kuna kipindi simu ya Rose iliita akaitoa kwenye mfuko wake wa jaket nakuitazama mpigaji, kisha akapokea, hapo Edgar akusikia maongezi ya upande wapili, ila aliweza kimsikia Rose, ambae alikuwa nae karibu kabisa, “poa kabisa … nipo Njombe……. yani hachatu kuna baridi….. nazani kesho mapema sana nitakuwa nimefika….. ndiyo nipo mtaani, kuna vitu nimekuja kuchek… poa… ila simu yangu karibu inakata chaji, nitaizima kidogo ili niichaji… poa poa” maongezi ya isha kisha simu ikakatwa, ** huku nakop Suzane alipiga simu kwa Seline, “niambie best za Songea,?” aliongea Suzan mala tu baada ya Seline kupokea simu, “huku poa kabisa, ila best wewe nimtu mbaya sana, kumbe unaamia huku ata biala ukuni julisha” alilalamika Seline, Suzane akushangaa kwa Seline kujuwa juu ya uamisho wake, maana inapotokea mfanyakazi kuamia kwenye tawi Fulani, lazima taalifa zake zitumwe mapema kule anako amia, “haaa best si’ndio maana nime kupigia” alisema Suzan kisha wakaanza maongezi, Suzane alitumia hakili nyingi sana kumpanga Seline asikutane na Edgar, alimweleza kuwa kwa siku hizi mbili hasiende kwakina Edgar mpaka yeye atakapofika Songea, kwa ni kkuna jambo anaitaji kuli fanya kabla ajampeleka huko, Selina ambae alipo sikia kuwa Suzan anaamia Songea alifurahisana alipo sibitishiwa na Szan mwenyewe, pia akakubariana na Suzan kuhusu swala la kuto kwenda kwa kina Edgar mpaka yeye atakapofika Songea, “hapo afadhari ila sasa lazima kesho ni kamilishe utaratibu wa uamisho, alafu kesho kutwa niondoke na ndege kutangulia Songea mizigo itaondoka kesho hiyo hiyo” aliwaza suzan baada ya kumaliza kuongea na Seline, wakati huo akaona kibahasha kwenye kioo cha simu yake, kinachoashilia kuwa kuna ujumbe kwenye simu yake tena ilionyesha kuna sms mbili, akafungua zile sms, yakwanza ilikuwa inatoka kwa mzee Mashaka, ‘Suzane tume toka mbali sana, kumbuka yote niliyo kutendea kwa wema kabisa, namimi naomba unisaidie, usiende polisi, naakika Edgar nimzima kabisa, nimekutumia na hizo million thelasini zikusaidie, mengine tutaongea tukikutana’ baada ya kumaliza kuisoma sms ya kwanza, Suzane akaifungua ile ya pili, ilikuwa ni sms ya huduma za kibenk, ikimweleza kuwa amepokea tsh million thelasini toka kwenye a/c hiyo (ikionyeehs namba) hapo hakumaliza kuisoma ile sms, “yes, mambo yanazidi kuwa mazuri, lakni mzee Mashaka siwezi kuendela kukudanganya, nimesha mpata wangu, wewe tulia na mke wako” alisema kwa kunong’ona Suzan, hukutabasamu lime chanua usoni kwake, akaachana na zile sms nakutafuta namba ya baba yake Edgar, kisha akaipiga. ilisha timia saa mbili na nusu za usiku*** mida hiyo nyumbani kwa mzee Haule, ilikuwa ni mida ya chakula cha usiku mzee Hule, akiwa na mke wake mwanae yani mke wa bwana kazole na azole mwenye walikuwa wameizunguka meza kubwa, huku kila mmoja akiwa na saani yake akiendela kupata chakula kizuri cha maana, tofauti na walivyo zowea bwana Kazole na mke wake, walendelea kula huku macho yao yakiwa kwenye TV wakitazama taalifa ya habari, mala simu ya mzee Haule ikaanza kuita, akaichukuwa na kuitazama “hooo hao wamesha washa simu” alisema mzee Haule na kupokea simu, “hallow mkwe habari za huko” aliongea mzee haule kwa uchangamfu, maana alingaika sana mchana kuwa tafuta bila mafanikio, baada ya kusalimiana Suzan alimweleza mzee Haule juu ya ujio wa Edgar huko Songea, akieleza kuwa Edgar amesahau simu yake wakati anaondoka, pia suzane alimwambia mzee Haule kuwa nayeye mda wowote anaanza safari ya kuja Songea “jamani Edgar yupo njiani, anaweza kuingia leo usiku au kesho” alisema mzee Haule akioyedha kuwa na furaha baada ya kumaliza kuongea na Suzane mkwe wake, “we baba Eddy usiniambie” aliongea mama Edgar akiachia vigere gere, “anakuja na mke wake?” aliuliza mama Edgar, “hapana ila mkwe naye muda wowote atakuja huku” aliongea mzee Haule kisha bwana Kazole akadakia, “afadhari maana nilitaka nimpigie simu anisaidie fedha” aliongea bwana Kazole bila ata chembe ya aibu, wote wakamshangaa bwana Kazole, **** baada ya kumaliza mizunguko yao, Rose na Edgar walirudi Hotelin na kuingia sehemu ya kupata chakula, walikula taratibu huku wakiongea hili na lile, wakifanyiana michezo ya kimapenzi, walipo maliza wakaingia kwenye chumba walichofikia, chakwanza kabisa walitoa ile chupa ya mvinyo walito inunua jana ruhaha mbuyuni, toka kwenye mkoba wa Rose, wakaanza kuinywa taratibu huku waki fanyiana michezo ya kimahaba, adi mwisho walipo jikuta wakianza kufanya kale kamchezo ambako kame mfanya Rose amshawishi Edgar walale Njombe, ambapo walijikuta wakitumia masaa matatu, wakirudia mala kadhaa kwenye ulingo kiasi kwamba wakaanza kuhisi viungo vyao vikiwaka moto, ndipo saa nane usiku walipo amuwa kulala * siku yapili Suzan aliamka mapema sana, alijiandaa na kwenda mbezi kazini kwake, huko alitumia masaa mawili kukamilisha taratibu za uamisho wake, kisha akachhukuwa barua na form ya uamisho, pia akapewa fedha ya safari pamoja na mizigo, kisha akaaga na kuondoka zake akielekea air port, mpala saa nne alikua amesha fika uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere telminal two, akakata tiket kwenye kampuni moja ya ndege binafsi, ambapo alitakiwa kesho saa sita mchana aanze safari ya kuelekea Songea, baada ya hapo Suzan akaelekea buguruni, kwenye kampuni moja ya usafirishaji, alitumia lisaa limoja ku fanya makubaliano ya kumsafirishia gari lake Toyota Lav 4, pamoja na mizigo yake yote ya ndani ya nyumba yake, baada ya kumaliza maongezi hayo akalipakiasi alichotajiwa, kisha akaongozana na gari moja kubwa truck long vehcle aina ya Volvo, wakielekea Kibamba kwenda kupakiza mzigo wakwenda Songea, ilikuwa saa saba nanusu ndipo Suzan alipo sikia simu yake ikiita, alipo tazama aliona mpigaji ni baba mkwe, yani baba yake Edgar ……

mapigo ya moyo ya Suzan yalienda mbio kidogo, akaitazama ile simu mala mbili mbili akishindwa kupokea, maana alijuwa ile simu inge mletea taarifa nzuri ya kuwasili kwa Edgar Songea au inge mvunja moyo kama ange ambiwa kuwa Edgar hajaafika Songea, hapo Suzan akaipuuzia mpaka alipo fika nyumbani , kwanza kabisa alisimamisha gari lake nje kabisa ya fenzi yake, akapiga ile namba ya baba kwe, “shikamoo baba” alisalimia Suzan baada tu ya simu kupokelewa, “balahaba mama mwenye nyumba ujambo” ilikuwa ni sauti ya Edgar, “hapo Suzan aka piga kelele kwa furaha “waoooooo, umeshafika salama, nashukurusana mumemwangu , mimi kesho nakuja huko huko huko,”alisema suzan kisha akamwambia Edgar kuwa wataongea baadae, ngoja kwanza amalize kupakiza mizigo kwenye gari, Suza akashuka kwenye gari na kuongozana na watu waliokuja na gari la mizigo wakaingia ndani na kuwaonyesha mizigo inayotakiwa kusafiri, kazi ikaanza mala moja, wakati huo akawaita wapangaji wake na kuwaaga kuwa anasafiri kikazi zaidi ya hapo, akawasisitiza kuwa waaminifukwenye utunzaji wa nyumba na ulipaji wa kodi ya nyumba, bahati nzuri Joyce naye aka amia sikuile ile, mizigo iliendelea kupakiwa kwenye gari pamoja na gari la Suzan nalo lika pakizwa kwenye lile Volvo truck, nikweli E3dgar alikuwa ameshafika Songea saa sita za mchana, wakiwa wameondoka Njombe saa moja asubuhi, njiani walifanyiana michezo ya kimahaba, lakini Rose alionekana kuwa mnyonge kidogo, maana alitamani kuendelea kukaa na Edgar kwasiku nyingine zaidi, licha ya Edgar kuendesha gari taratibu, lakini Rose aliona kama gari lina tembea kwa speed sana kuwai Songea, kiukweli aliona kama ndio mwisho wa kuwa pamoja na Edgar “hivi baby, toka tume anza safari sijakuona ukishika simu atamala moja” aliuliza Rose huku akitoa simu yake kwenye mkoba na kuiwasha, maana tokea alipoizima jana,“daaa simu yangu imeibiwa juzi wakati najiandaa kuondoka pale chuo, hapo nime panga nikifika Songea ninunue nyingine” alisema Edgar wakikatiza Mlilayoyo ni kilomita chache toka mjini Songea, huku simu ya Rose ikiingia sms mvfululizo, “kwanini ukuniambia mapema tunge tafuta simu atandoo pale Njombe,?” aliongea Rose akisoma ujumbe kwenye simu yake, kisha akajibu ujumbe mmoja wapo, “usijari nikifika Songea nitanunua” alijibu Edgar huku safari ikiendelea na kuzidi kuukaribia mji wa Songea, “nisijali? sasa nitaipataje namba yako?” ailongea Rose huku akiwa anamtazama Edgar kwa macho yaliyo kata tamaa, lakini akashangaa kumwona Edgar anatabasamu, “mbona lahisi tu, we niandikie namba yako sehemu mimi nikinufika mjini nanunua kabisa simu, alafu wakwanza kumpia niwewe” maneno hayo yalimfanya Rose atabasamu, huku anatoa note book na peni kwenye mkoba wake, Edgar akaitazama ile Note book, ili mfanya ambambue kuwa Rose ni mtu wa namna gani, maana ilikuwa ni nyeusi yenye picha ya ngao ya taifa, (uhuru) “kamasiyo mfanya kazi wa serikali, basi wazazi wake ni wafanyakazi wa serikali” aliwaza Edgar huku Rose akiandika namba ya simu kwenye Note book, kisha akachana kile kipande cha karatasi na kumwekea Edgar kwenye mfuko wa Suluali yake, “yani usisahau kuni pigia babay nitakumiss sana” aliongea Rose akiwa anachukuwa simu yake nakutazama ujumbe mpya ulioingia mda huo huo, “husijari Rose, yani ukitaka ata leo tuna wweza kulala pamoja” aliongea Edgar wakati anapandisha mpando wa kuingia msamala, Rose akastuka baada ya kuusoma ujumbe kwenye simu yake, “samahani Edgar tafuta sehemu nzuri usimamishe gari gari, kunawatu wananisubiri hapo mbele, niliwaambia nipo peke yangu,” alisema Rose hku akiandika ujumbe na kuutuma, “hivi Rose uja niambia unafanyia kazi wapi?” aliuliza Edgar huku akipunguza mwendo na kusogeza gari pembeni ya barabara sehemu yenye maduka, hapo Rose ak tabasamu kidogo, “nitakuambia tukikutana tena kesho, maana leo itakuwa ngumu kukutana” alisema Rose akifungua mkanda wa seat na kujisogeza kwa Edgar na kumpa ulimi paipo kujari kama kuna watu watawaona, wakapeana ulimi na kunyonyana mate kwa sekunde kazaa, “nita kumiss sana baby, nakuomba husisahau kuni tafuta mpenzi wangu, alafu uwe una tuma sms mana nikiwa ofisini uwa simu naitoa sauti” alisisitiza Rose akifungua mkoba wake na kutoa pochi, ksha akaifungua na kutoa note tatu za elfu kumikumi, “kodi Taxi, pole sana kwa usumbufu baby” aliongea Rose akimpatia Edgar zile fedha, “hapana Rose usijali, ela ya taxi ninayo” alijibu Edgar akichukuwa begi lake la mgongoni nakufungua mlango na kutaka kushuka, lakini Rose akamshika mkono, “kwanini unakataa ela yangu basi ongezea kwenye simu,” hapo Edgar akapokea japo alikuwa nazaidi ya miilionihamsini kwenye begi, “ok asnate sana baby, nitakucheck nikisha nunua simu” alisema Edgar huku akushuka toka kwenye gari la Rose, huku Rose akimsisitiza kumtafuta kwa kupitia ujumbe wa maandishi, Edgar simama pembeni akimwona Rose akiingia upande wa dereva na kuondoa gari, huku akimpungia mkono, nakumwonyesha ishala ya kumtafuta kwa simu, hapo Edgar alitabasamu huku akionyesha ishala y adore gumba kuwa poa, atimae gari la Suzan lika potelea mbele, “mh! japo ni mrembo huyu dada, lakini hapana wacha ni wasiliane na suzan mpenzi wangu, sijuwi kama atachukuwa uamisho tena” aliwaza Edgar akimsogelea mwendesha pikipiki mmoja kati ya wengi aliokuwepo pale msamala, mama sophia na mwanae Sophia walikuwa wamekaa nje ya Hospital wakipumzika kwenye viunga vya hospital teule ya Tumbi, “mpaka hapo Suzie atakuwa amesha mpata Edgar, maana naona yupo kimya kabisa” alisema Sophia akimwambia mama yake, “nazani itakuwa hivyo, au labda baba yako amesha mtumia sms ya kumtuliza” alijibu mama Sophi, lakini yule mtoto siku mtegemea kabisa, yani na uzuri wake wote hule anatembea na mzee kama huyu?” aliongeza mama sophi, “yani mimi mwenyewe nime choka..” Sophia alisita kuongea, akamtazama binti wa jana akiwa na subira wana pita mbele yao, “zatoka jana dada” alisalimia Subra baada ya kumkumbuka Sophia, “safi tu! vipi hali ya mgonjwa” aliitikia Sophia, kih yle binti yaani Subira akajibu, “anaendelea vizuri, shikamoo mama” Subira alimsalimia mama Sophia kabla hawaja endelea na safari yao, “mama unakumbuka nilikuambia kuwa nilimkuta Suzane akimfumania baba?” aliuliza Sophia, “ndio, si ulisema full dose, alaafu ukampasua yule dada” alisema mama sophia, hapo akamweleza kuwa yule dada alie fungwa bandage kichwani die alie mpasua kwa chupa, “huyu mzee kweli ameishiwa, sasa kwa mwanamke gani pale, wakuchepukanae, si bola ata Suzie jamani na yale makalio,” alilalamika mama Sophia, “nawewe kilicho kufanya uten=mbee na bwana wangu nini” alijisemea kimoyo moyo Sophia, “tuya hache hayo tupange namana ya kumpata Edgar” alisema Sophia akimtaka mama yake aache kulalamika, * toka jana usiku bwana Kazole alijawa na furaha sana, juu ya ujio wa Edgar, siyo kwamba anampenda sana Edgar au anaimani akimwomba fedha atampatia, hapana bwana Kazole alijuwa fika kuwa Edgar asinge msaidia sababu ya mambo waliyo mfanyia yeye na mke wake, lakini alijawa na furaha, kwasababu alijuwa kuwa Edgar lazima takuwa amekuja na fedha ya kutosha, hivyo akili kichwani lazima aondoke na kiasi adhaa cha fedha ya Edgar, kwa njia yoyote, aliwaza na kuwazua bwana kazole huku akipanga mipango yake, akiamini lazima afanikiwe tena kabla ata huyu kijana hajapoa, **** Edgar alikuwa juu ya piki piki aliyo ikodi, akielekea mjini, njiani alitazama manzali ya mji wa Songea ambao aliuacha miezi mitatu iliyo pita, kilicho mfurahisha Edgar ni wanawake maana aliona wanawake mwengi walio valia vizuri na kujazia vyema ma hips na makalio, hapo Edgar akaaza kusaminisha maumbo ya wanawake hao na umbo mpenzi wake Suzane, lakini hakuweza kuona wakufanana nae, wakati wana pita sehemu moja mtaa wa bombambili, mala akamsikia mwendesha piki piki akimsifia mwanamke, “daa! yule demu anafiga bomba, alafu waukweli kishenzi, du! kuna watu wanafaidi” Edgar nae kusikia vile akageuka na kutazama alikookuwa anatazama mwendesha boda boda, akamwona huyo mwanamke anaye sifiwa na mwendesha boda bda, kweli alikuwa mzuri tna mzuri wa umbo na Sura, “Rose” alinong’ona Edgar, huku akimtazama Rose ambae alikuwa amesimamisha gari lake pembeni, ya barabara, huku akiwa anaongea na polisi wa usalama barabarani wanne, ambapo mmoja wao alioekana kuvaa sale za kaki, tofauti na wenzake walio vaa sale nyeupe, alafu yule mwenye sale za kaki alikuwa ananyota mbili na ngao kwenye mabegayake, huku pembeni yao licha ya gari la Rose pia kulikuwepo na gari nyingine Toyota v8 Lenye namba za kipolisi na ndani yake alikaa polisi mmoja wenye seat ya dereva, mpaka Edgar anapita eneo lile alikuwa hajaelwa kwa nini Rose amezuiliwa na polisi.

“daah! au taalifa za dar zimesha fika huku” alijiuliza Edgar na hapo ika mjia kumbukumbu ya matukio ya mwisho ya Dar, akajawa na wasi wasi juu ya kuzuiliwa kwa Rose na polisi, “boa sikuwa na simu maana angeipata namba yangu wange niwekea mtego, alafu wang nikamata kiulaini, kabisa” alijipongeza Edgar, “lakini uhakika nitaupata baada ya kuongea na Suzane,” dakika kumi baadae Edgar alkuwa ameshafka mjini akamlipa yule deereva wa boda boda na kununua simu pamoja na chip yani sim card (line ya simu kisha akapanda dala dala, na kuelekea kwao Ruhuwila seko, akizani kuwa nyumbani kwao awatakuwa na taalifa juu ya ujio wake, nusu saa baadae alikuwa ameshashuka kwenye kituo cha daladala, kilichopo mita chache toka nyumbani kwao, baada ya kushuka kwenye daladala Edgar akatazama upande ilipo nyumba yao, alishangaa sana baada ya kuona nyumba yao imezibwa na maduka matatu makubwa, huku wateja wakiwa wame zungka maduka hayo wakiitaji bidhaa, hapo Edgar ndipo alipo ishuhudia nguvu ya Suzane kwa macho yake, maana kila alipo piga atua kuisogelea nyumba yao ndipo alipoona abadiliko makubwa katika eneo lile, “masikini Suzane nitakulipa nini mimi” alijisemea Suzane, “ kaka huyoooo” Edgar alistuliwa na sauti ya dada yake mdogo toka ndani ya duka moja, ambae nae alikuwa amebadilika kimwonekano, nakuwa mschana wa maana “hooooo! dada habari za masiku?” alisalimia Edgar akiwa amesimama kwenye kundi la wateja, “safi tu! Edgar, wacha niwahudumie wateja kwanza tutaongea baadae” alisema dada mdogo wa Edgar, huku anaendelea kuwa hudumia wateja walio jaa pale dukani, “he jamani kumbe huyu ni Edgar, mbona amebadilika sana” aliongea mmoja kati ya wateja waliokuwepo pale wakisubili huduma, nawengine wakaanza kageuka na kuanza kusalimiana na Edgar, Edgar alipo maliza kusalimiana na wateja wale, akaelekea kweny nyumba kubwa, ile anatokeza tu akakutana uso kwa uso na baba yake, “pole sana kwa safari ya siku tatu” alisema baba yake Edgar huku wana shikana mikono, “he! umejuwaje kama nime safari siku tatu?” alishangaa Edgar, mkwe ame piga simu, vipi salama lakini huko” aliongea mzee Haule ma ndipo walipo salimiana na Edgar kuchukuwa simu ya baba yake na kumpigia Suzan kabla ata ajaingia ndani, na Suzan alipo mwambia kuwa atampigia baadae kidogo anamalizia kazi, ndipo Edgar alipoingia ndani na kumkuta bwana Kazole ame jaa tele sebuleni, “hoooo bwana shemeji karibu sana” alisema bwana Kazole, huku akiinuka kumfwata Edgar akita kumpokea begi lake dogo ambali muda wote alikuwa ameliva kwa mbele, “usijali shem, shikamoo,” alisalimia Edgar na bwana Kazile akaitiia kwa shangwe, “safi sana bwana shemeji, yani tokea jana tuna kungoja kwa hamu sana vipi ulisafiri kwa usafiri gani?” aliongea bwa na Kazole, akionyesha furaha kubwa sana kiasi cha kumshangaza Edgar, asa akikumbuka jinsi alivyoongea siku ile aliyo mpigia simu kumweleza kuwa kuna mzigo una kuja waka msaidie mzee Haule kuupokea, “usafiri wa kawaida tu!” sauti za shwangwe zili wafikia mama Edgar, na dada yake Edgar ambao walikuwa kwenye vyumba vyao, mama akatokaharaka sana na kwenda kumkumbatia mwanae, “jamani mwanangu, umerudii” aliongea mama Edgar kwa shangwe huku akiwa bado ame mkumbatia mwanae, dada yake Edgar abado alikuwa chumbani anaendelea kusikilizia sauti hizo za shangwe za kumpokea Edgar, lakini hakutaka kabisa kunyanyuka na kwenda kumwona Edgar, sababu aliona ahibu kutokana na mambo aliyo mfanyia, baada ya kusalimiana na wazazi wake na na shemeji yake, Edgar aliinia chumbani kwake na kujilaz kitandani huk miguu ikining’inia, mawzo yake yakaanza kuvuta picha ya tukio la kutekwa kwake na kuwavuruga wakina mzee Mashaka, alikumbuka pia jisi alivyopata wazo la uondoka na begi la feza za mzee Mashaka, akauvuta mkoba wake na kuchungulia ndani yake, akaona zile noti zikiwazina mchekea, mwisho akachukuwa simu yake na kuchomeka kwenye chaji, maana ilikuwa mpya kabisa aina chaji, kisha akajilaza tena kitandani na kuanza kupitiwa na usingizi ikiwa ni sehemu ya uchovu wa safari, maana jamaa usingizi alikuwa anautafuta kwa tochi ****baada ya kumaliza shuguli zote za kupakia mizigo pamoja na gari la Suzan kwenye Volvo truck, Suzan akalishuhudia gari ilo kubwa likianza safari ya kuelekea Songea, akiwa amesha toa maagizo kuwa watapokelewa na Seline, baada yahapo Suz akampigia simu Seline akamwambia kuwa mizigo yake hipo njiani na kwamba yeye anakuja kesho yake kwa usafiri wa ndege ya saa sita mchana, hivyo ajiandae kuja kumpokea air port, na aanze kumtafutia nyumba kubwa (nzima) nzuri ya kupanga, alipo maliza kuongea na Seline, Suzane akawaaga wapangaji wake pamoja na Joyce, akiwongezea shiling laiki mbili na kumsisitiza kuto kuitoa ile mimba, pia akiwa na tatizo ampigie mala moja, Suzan alichukuwa begi lake dogo lenye nguo zake na, mkoba wake kisha huyooo akaelekea kwenye kituo cha daladala kutafuta usafiri wa kuelekea mjini akatafute sehemu ya kulala nzuri iwe jirani na air port, pia akanunue na zawadi za wakwe zake, mda mchace baadae alikuwa ndani ya daladala akielekea mjini, ndipo alipoitoa simu yake na kupiga namba ya baba mkwe, simu iliita kidogo kisha ika pokelewa, “hallow mkwe ujambo” ilikuwa ni sauti ya mzee Haule “sijambo shikamoo” alisalimia Suzan na mzee haule akajuwa anachoitaji Suzane, ngoja nimpelekee simu mwenzio maana amingia chumbani kwake mda kidogo,” aliongea mzee Haule akisikia jinsi anavyotembea, na mala akasikia akigonga mlango “onge na mkwe amepiga simu” alisikia Suzan baada ya kusikia mlango ukifunguliwa, “hallow mama, niambie habari za huko” alisalimia Edgar kwa sauti nzito iliyo ashilia kuwa ametokea kwenye usingizi, “safitu baba, pole sana na safari, vipi baba hawakukuumiza wale washenzi” aliuliza Suzan kwa sauti ya chini huku akiachia tabasamu languvu, “hawa kuwai kuni dhuru, japo vibao nimevionja sana” aliongea Edgar akiaza kuchangamka, “jamani pole sana, lakini uliwakomesha hen?” aliongea Suzan akiangua kicheko, Edgar naye akacheka “hahahahaha! kidogo tu! vipi kwani ulienda kumwona?, maana mzee wako ameshtukia kuwa mimi na wewe tupoje” aliongea Edgar huku akijiinua toka kwenye kitada na kuelekea alio iweka simu yake ikichajiwa, “si demu wako Sophia ame mwambia” kauli hiyo ya Suzane ilimstua sana Edgar “nani demu wangu” nikweli Edgar alistuka sana mana hakujuwa demu yupi, kati ya Sophia na mama yakealie fichua siri, maana alicho juwa yeye ni kwamba, baba Sophia alikuwa anajuwa kuwa yeye Edgar ameshatembea na Suzane na Sophia, japo alikumbuka wakati alipo mwambia kuwa atamkeo siku mtongoza, lakini alijuwa bado hawajapata muda wa kulizungumzia hilo, “we ngoja tuta yaongea huko huko nikifika, ila husiwe na wasi wasi baba tumesha yamaliza” aliongea Suzane hapo kidogo Edgar akashusha presha, kikapita kimya kidogo “mwenzio nime imiss, mpaka najihisi homa, alafu sijala tokea jana” alisema Suzan ambae kweli tokea apate taalifa ya kutekea kwa Edgar hakuwa amekaa chini na kupata chakula, “kwanini sasa?” aliliza Edgar kwa sauti ya mshangao na kubembeleza, “nitaanzaje kwani, yani hapa nataka nikajaribu lakini nazani kesho tukikutana ndio nita kula vizuri”alisema Suzan na kumshangaza tena Edgar, “kwani safari yako ni kesho?” aliuliza Edgar akiwa aamini anacho kisikia, “ndio! we unazani mchezo?, tena nakuja na ndege ya saa sita,” aliongea kwa sauti ya kudeka, flani, hukumuda wote akiongea kwa sauti ya chini akiwa ameinamia chini, suzan aliweza kuisikia sauti ya kicheko cha furaha cha Edgar, “inamaana baba hakukuambia?” aliuliza Suzan huku akisikia Edgar akifurahia, “nime furahi sana Suzie, sasa jitahidi kula ili ukija usije ukazimia kitandani,” aliongea Edgar akionyesha furaha ya wazi ambayo ilimfanya Suzane ajihisi kuwa anapendwa, “tena Edgar kunakitu kizuriiiiii, nikija nitakuambia..” waliongea mengi sana suzane Edgar. tena sio mala moja atausiku Suzane alipo jifungia Hotelini waliongea sana wakipeana mipango na malengo ya maisha yao, pia ahadi nyingi nyingi tena sasa Edgar alitumia simu yake mpya, waliongea kiasi cha kujikuta wakilala saa saba za usiku, asubuhi pia walisalimiana mida ya saa mbili na simu ya Edgar ambayo ilionyesha kuto kutunza vizuri chaji, iliishiwa kabisa umeme, na kuzima, Suzan akazunguka kwenye maduka ya karibu na Airport, kutafuta zawadi za wakwe zake, pia akaenda kunywa chai ambayo leo ili panda kidogo, mwishoe mida ya sa saa tano na nusu akawa Airport akisubiri kupanda ndege, saa sita kuelekea Songea, ***** mzee Mashaka kiukweli alianza kujisikia kama bado yupo duniani, licha ya kuwa mguu wake ulikuwa bado ume tundikwa juu na maumivu shavuni lakini alianza kuongea taratibu akisaidiwa na dwa za kuuliza maumivu, juu ya Suzane kwenda kuriport polisi alisha pata matumaini, maana zilisha pita siku tatu toka asema atakwenda polisi, “nikitoka hapa kitu cha kwanza ni kuakikisha huyu kijana anapoteza maisha kwa njia yoyote” aliwaza mzee Mashaka, wakati huo mke wake alikuwa pembeni akimtazama mume wake, “mshenzi huyu unasababisha mpaka zime pita siku tatu sija pata dudu ya Edgar” aliwaza mama Sophia, huku akiji fanya kutabasamu, “naona ume pata nafuu sasa,” alisema mama Sophia aki mshika mume wake kichwani” mzee Mashaka akatabasamu kidogo, “shenzi kabisa sijuwi kama huja tombw.. na yule mbwa” alijisemea mzee Mashaka akiunda taba samu la uongo usoni mwake, “lakini kosa langu, nilikutelekeza san mkewangu” aliendelea kuwaza, “mkewangu inabidi kesho ushughulikie ruksa, ma doctor watakuw wanakuja nyumbani kunisafisha kidonda,maana inabidi niendelee na usimamizi wa biashara, na sasa nitakuwa na fanyia shughulizangu pale pale nyumbani” aliongea kwa shida mzee Mashaka, ****** ilikuwa mida ya saa tano saa saba na nusu, mida mbayo bwana kazole alikuwa sebuleni akitazama TV,ndipo alipo mwona Edgar akiingia bafuni kuoga, “yes, golden chance” alijisemea bwana kazole akihesabu atua kuufwata mlango wa chumba cha Edgar, nibaada tu ya Edgar kuingia bafuni, akwa tahadhari kubwa bwana Kazole akafungua mlango wa chumba hicho na kuzama ndani, huku nje binti wakazi wa mama Edgar alikuwa anaelekea bafuni ambako hakujuwa kama Edgar wakati hule alikuwa huko wakati ana pita Sebuleni, alimwona bwana Kazole anaingia chumbani kwa Edgar kwa tahadhari kubwa sana, moyo wake ukastuka, maana alihisi yule mbaba hakuwa na nia njema na chumba kile, lakini akapotezea na kuelekea bafuni kwa makusudi ya kuingia upande wachoo, ambapo mlango ni mmoja, Edgar akiwa ndani ya bafu hilo ambalo ni mala ya pili sasa anaoga, toka arudi toka Dar, mala zote uwa anasahau kufunga na komeo la ndani, kutokana na kuzowea kule nyumbani kwa Suzane huwa bafu alina mlango sababu lipo chumbani, mazowea yana tabu, Edgar akiwa amesha jipaka sabuni kichwani sasa akiangaika kufungua bomba la maji ili aanze kuondoa lile povu kichwani na usoni, akastuka kusikia mlango wa bafuni ukifunguliwa, “kunamt…” lakini alikuwa amesha chelewa, “hooo samahani kaka Eddy, kumbe ujafunga mlango” Edgar alisikia sauti ya mschana wao wakazi, Edgar pasipo kujuwa kuwa yule binti bado yupo mle ndani, ameganda anashangaa dudu, akasikia mlango ukifungwa, akajuw yule binti ame toka, yeye akapapasa mlango na kuuakikisha kama umesha fungwa vizuri, kisha akaanza kupapasa ukutani kutafuta koki ya kufungulia maji, lakini kabla hajaipata akashangaa kuona maji yakianza kumwagika hapo akahisi mauza uza, akajisafisha uso haraka sana na kufumbua macho yake, akakutana uso kwa uso na binti yao wa kazi akiwa ananza ku pandisha gauni lake juu na kuiruhusu chupi yake nyekundu kuonekana,

Edgar alishikwa na mshangao, “wewe! unataka nini ebu toka” alisema Edgar, kwa sauti ya chini, huku anachukuwa tauro na kujifunikia sehemu zake nyeti, “kaka kidogo tu! mwenzio sijafanya mda mrefu” aliongea yule binti wa kazi, kwasauti ya chini pia huku akizidi kupandisha gauni lake na kuanza kuivua chupi yake, hapo Edgar akaona kitumbua cha yule binti kilicho funikwa na nywele nyingi sana za kikubwa,

Ukweli ni kwamba huyu binti wakazi wa mama Edgar, alikuwa na kiu kali sana ya dudu, maana toka ameajiliwa kwenye nyumba hii ni miezi miwili na kidogo, hakuwai kuipata dudu, sasa toka jana alipo mmwona Edgar akajuwa mkombozi ame fika, maana kwauzoefu wake kwa sehemu zote tatu alizowai kufanyia kazi, uwa watoto wa mabos zake lazima wale kitumbua chake, nakama siyo watoto basi boss wake wakiume, sasa leo alipo mkuta kwa bahati mbaya Edgar huku bafuni akaona ndiyo nafasi ya pekee ya kupata dudu, “ok baadae chumbani kwangu sawa?” hapo Edgar alisema hivyo akijuwa kabisa mda mchache ujao atakuwa na mama mwenye nyumba, nakumfanya yule binti akose muda, “sawa usichelewe,” alisema yule binti akisogea kwenye sink la choo na kuchuchumaa kisha akaanza kukojoa huku Edgar akishuhudia na dudu yake ika simama, kwa matamanio, lakini akajiwazia yeye mwenyewe, “wacha nimtunzie mwenyewe” Edgar alimshuhudia yule binti akishusha gauni lake huku bado hupi ameishika mkononi, akafungua mlango wa bafuni nakutoka nje, hapo Edgar akaufunga ule mlango na kuweka na komeo kabisa, “mshenzi sana huyu mtoto” alijisemea Edgar, ambae mpaka sasa alikuwa haja onana na dada yake mkubwa, uso kwa uso zaidi walipishana pishana, mle ndani huku dada yake akishinda chumbani masaa yote, Edgar alimaliza kuoga na kutoka bafuni, alipita pale sebuleni hakumwona shemeji yake bwana Kazole, ambae alimwacha hapo sebuleni wakati anaingia bafuni, lakini TV bado ilikuwa ina onyesha, akaelekea chumbani kwake lakini ile anafungua mlango tu! akasikia vishindo ya mtu akitoke kwenye kolido la upande wa humba cha dada yake akasimama na utazama akijuwa ni dada yake, lakini akuwa yeye, alikuwa ni bwana kazole amesha valia vizuri nguo alizo nunua jana yake kwa fedha alizopewa na mzee Haule, “naona unatoka kidogo” aliongea Edgar akifungua mlango wa chumbani kwake, huku akimshuhudia shemeji yake akistuka kidogo, kama hakutegemea kukutana na Edgar, “yaaaa! kunamtu naenda kumwona kidogo, huko mjini” alijibu bwana kazole huku akikwepesha macho yake yasikutane na macho ya Edgar, “ok! ningekuwa nime jiandaa tunge ongozana, poa baadae shem” aliongea Edgar huku akuingia chumbani kwake, lakini alishindwa umwelewa shemeji yake kwa hali aliyo mwona nayo, maana alionekana kama ni mwenye wasi wasi sana, ile Edgar anaingia tu chumbani akatazama kitandani, macho yake yaka mshuhudia yule binti wa kazi akiwa ame lala chali kitandani huku gauni lake amelipandisha mpaka kifuani na miguu kaitanua, nakuruhusu kitumbua kionekane waziwazi, “unafanya nini huku?” aliuliza Edgar huku akijitahidi kkupambana na kishawishi kile, maana alijuwa endapo ata mgusa yule mwanamke, itakuwa chanzo cha kuendelea kuitaji dudu mala kwamala, na ukizingatia Suzane yupo njiani anakuja na amesha msomea mashtaka ya kuwa anademu mwingine ambae mapaka sasa haja juwa analengwa nani, kati ya sophia au mama yake, “si ulisema tuje tufanyie chumbani? alisem yule binti akiwa bado yupo kitandani, “siyo sasahivi baadae bwana ebu toka watakukuta wazee” alisema Edgar huku akitama pembeni akikwepa kutanza lipyanda, la binti wa kazi, “ingiza kidogo bwana alafu baadae tutamalizia” yule binti aliongea kwa sauti ya kubembeleza, “nimesha oga bwana, alafu mda umeenda, tutafanya baadae” aliongea Edgar kwa sauti ya kubembeleza huku akielekea kwenye meza aliyo weka simu yake, ilikutazama mda, lakini simu akuwepo, ata chajapia aikuwepo, na pia kulikuwa na elfu hishilini na saba pale mezani nayo aikuwepo, Edgar akamtazama yule binti, akataka kumwuliza, lakini akasita kwanza akapepsa macho sehemu zote mle chumbani wakati mwingine akitafuta kwenye mifuko ya suluali, lakini hakuona simu wala chaja, “kwani unatafuta nini?” aliuliza yule binti, ambae alikuwa anajiinua toka kitandani, nakusimama chini, “simu yangu siioni niliiweka hapa” aliongea Edgar akionyesha juu yameza, akamtazama yule binti, “mh! ulipo toka kwenda bafuni uliiacha hapo hapo?” aliuliza yule binti akivaa chupi yake mbayo muda wote alikuwa ameishika mkononi, “ndiyo kwani wewe huja ikuta hapa mezani?” aliongea Edgar akiwa anamtilia mashaka yule binti, “nilijuwa tu! maana uingiaji ule si wakawaida” aliongea yule binti akimtazama Edgar, “unasema kuna mtu aliingia huku chumbani?” aliuliza Edgar akimkazia macho yule binti ambae alikuwa anatazama chini kwa kiaibu flani, kwa kitendo alicho fanya cha kuanika kitumbua pasipo kuliwa, “nikikuambia tuta fanya” aliuliza yule binti, “yani ata husipo niambia lazima baadae tutafanya,” aliongea Edgar kwa msisitizo na kumfanya yule binti aanze kuropoka, akisimulia jinsi alivyo mwona bwana kazole alivyo kuwa anaingia chumbani kwa Edgar, “ok! poa we nenda nikirudi tuta fanya au sio” aliongea Edgar akimtoa yule bunti tika chumbani kwake, alipo akikisha amesha toka akajifungia chumbani kwake na kuinama chini, pembeni ya kitanda chake, akaingiza mkono chini ya kitanda na kuibuka na begi lake la mgongoni, akainuka nalo na kulifungua akachungulia ndani yake, akaona nguo zake zipo pale juu akatoa nguo zote zilizopo ndani ya begi, akatazama tena ndani ya begi huku mapigo ya moyo yakimwenda mbio, nikweli bwana kazole aliingia kwa lengo la kufwata fedha mle chumbani kwa Edgar akiamini kuwa lazima huyu dogo atakuwa amekuja na fedha ya maana, pasipo kujuwa kuwa yule binti wakazi anapita pale sebleni, bwana Kazole aliingia chumbani kwa Edgar nakuanza kuangaza macho kuangalia lile bego alilokuja nalo Edgar, lakini hakuliona, alichoambulia ni fedha zilizo kuwa juu ya meza kisi cha Tsh elfu ishilini, sambamba na simu na chajiyake, “vinatosha, mpaka nitilie mashaka hapa amesha chelewa, kwani shemeji yake anaiba?” alijisemea bwana Kazole, huku akipata tamaa yakuendelea kutafuta zaidi lile begi la Edgar, lakini akastuliwa na kelel za kufungwa kwa mlango wa bafuni, akatoka haraka sana, kisha akaelekea chumbani kwake, akajiandaa haraka kwaajili ya kutoka, lakini akashangaa kumwona Edgar ndio kwanza alikuwa anatoka bafuni, “mh! sasa nani yule alitoka mida hile” alijiuliza Bwana kazole uku wasi wasi wake isije kuwa amesha mwona, lakini kwajinsi walivyo agana aligundua kuwa Edgar hakujuwa lolote juu ya uaribifu alioufanya, hapo bwana Kazole akaanza safari kuelekea kwa mzee Kalolo kwenda kuuza ile simu, “ bada ya kuakikisha kuwa fedha zake zipo Edgar akachomoa fedha kiasi cha laki moja toka kwenye fedha zake za kwenye begi lake kisha akalirudisha uvunguni, “mh! inawezekana kwli shem akawa ameniibia imu yangu,” aliwaza Edgar wakati anavaa, maana alimwona yule binti wakazi akitoka chumbani bila kitu chochote, “ila kama ni yeye, sijuwi nitamfanyaje?” alisema Edgar akiwa amejaa kwa hasira, “ndio maana alikuwa tofauti sana nilipo kutana nae hapo kwenye korido” alikumbuka Edgar, ambae baada yak umaliza kujiandaa alitoka chummbani na kuwaaga wazazi wake kisha akasogea kwenye kituo cha dala dala, tayari kuelekea airport kumpokea Suzan, **** saa nane na robo Seline alikuwa maeneo ya Air port ndani ya gari lake akisubiri ndege kutoka Dar iliampokee Suzan, pale uwanjani kulikwa na watu wachache ambao walikuwa wanawasubiri wageni wao, Seline akiwa ndani ya gari lake anachezea simu yake, akiwasiliana na rafiki zake aliendelea kusubiria ndege, wakti mwingine alikuwa ana tazama huku nahuku kuwaangalia wenzake ambao wamekuja pia kuwapokea wageni wao, wakati anapepesa macho huku nahuku, mala akamwona kijana mmoja alie valia kikawaida tu, lakini alivutiwa na umbo lake, likuwa mrefu kidogo mwenye kifu kipana na sura ya tulivu, japo yule kijana alionekana kuwa mwenye mawazo mengi sana, alikuwa amesimama karibu kidogo na gari lake, Seline aka inua simu yake na kuweka upande wa camera kisha akai zoom huku akiielekezea alipo simama yule kijana, “mh! nimzuri yule mkaka” aliwaza Seline ambae ni mwezi wa nne sasa ajamwona mpenzi wake wala kupata dudu, kutokana na mchumba wake ambae ni mwanajeshi, wa kambi moja pale mmjini Songea, kusafiri kiazi nje ya nchi kwenye shughuli za ulinzi wa amani, “mbona kazi hipo mpaka mwaka uishe nimesha nyooka” alijisemea Selina aiitoa simu yake kwenye camera bilakupiga picha atamoja, mala mlio wa ndege ukaanza kusikika, na watu wakaanza kusogea sehemu ya mapkezi karibu kabisa na kituo cha daladala na Taxi, Seline akiwa ametulia ndani ya gari lake alimwona yule kijana akisogea kwenye kundi la watu, akionyesha kuwa nayeye alikuwa anamsbubiri mtu, mala yule kijana akapotea machini mwake, akiwa amesha potelea kwenye kundi la watu, Selina aliendelea kusubiri palepale akiishuhudia ndege ikianza kugusa ardhi na kutililika usawa wa barabara za kurukia, kisha ikapunguza mwendo na kusimama, ilitumia dakika kama kumi hivi mpaka abiria kuanza kushuka, kwambali alimwona, Suzan japo ni mdamrefu ulikuwa umeshapita toka waonane na Suzan kubadirika sana nakuzidi kuwa mzuri kuliko alivyo kuwa chuo, lakini alimtambua haraka sana, hapo hapo Selina akabonyeza simuyake na kuipiga kwa Suzane ambe alishindwa kwenda kumpokea begi lake dogo, na mifuko flani flani aliyoibeba sambasamba na kimkoba cha mkononi, (hand bag) kutokana na askari kuzuwia watu wasi vamie uwanja nkusubiri kule kule pembeni hii kutokana na uwanja huu kuwa umejengwa kienyeji sana, Suzan alipokea simu na Selina akamwelekeza gaari lake lilipo, Suzan akaliona na kuli fwata, elina akashuka kwenye gari na kwenda kumsaidia mizigo, nibaada ya kuvuka uzio wa polisi, “waooo atmae umefika best” walikubatiana kidogo, wakaongea mawili matatu huku wanapakiza mizigo kwenye gari kisha safari ikaanza, lakini wkati wanaanza kuondoka wakilivuka kundi la watu, Seline akameona tena yule kijana “da Suzie umemwona huyo kijana?” alisema Seline akionyesha kwenye kundi la watu, Suzan nayeye akatazama na kumwona yule kijana, moyo wake ukapiga ‘paaa’ “yani umbo lake lime fanana na mchumba wangu,” alisema Selina huku akitabasamu, huku wanapita nakukamata barabara ya kuelea mjini “Edgar yule” alisema Suzan, kama anaota vile, “unasema yule ni Edgar mchunba wako?” aliuliza Seline huku akisimamisha gari kwa ghafla, “sasa una simama kwaajili gani?” aliuliza Suzane kwa mshangao, “si tumfwate mchumba wako” alisema Seline akijiandaa kugeuza gari, “hapana tutakutana nae jioni tukienda kwao,” alisema Suzane akitoa simu yake na kumpigia Edgar, lakini simu aikupatikana, “unaona sijuwi anamaana gani kuuzima simu” alisema Suzane akirudia kupiga simu ya Edgar mala kadhaa bila mafanikio, “labda itakuwa imeisha chaji” aliongea Seline akijaribu kumpooza rafiki yake, alieonyesha kunyongea kwa kiasi flani, “ameichaji tokea asubuhi, sasa imeisha saangapi?, si asemetu kama ataki niende kwao” alisema Suzane kw manung’uniko, “tena nikuambie best wanavyo kutamani kukuona, yani kila siku nikikutana nao, watakuja lini kutusalimia” aliongea Seline akijaribu kumchangamsha mwenzie, nikweli akafanikiwa Suzane akabadirika na safari yao ikaendelea huku wanaongea mambo mbali mbali, ikiwemo nyumba ambayo Seline ali ambiwa imepatikana mitaa ya seed farm, hivyo wataenda kuinagalia watakapokuwa wanatoka kwa kina Edgar, maana ni upande huo huo, pia kuhusu mizigo gri lilikuwa bado njiani, kumbe Suzane akutaka kurudi kumfwata Edgar akiogopa kumweka karibu na Seline ambae alionyesha dalili za kumtamani **** baada ya kumkosa Suzane pale air port Edgar akuwa na namana akaingia kwenye daladala na kuanza kurudi mjini, akipanga aende akanunue simu nyingine ili awasiliane na Suzane ajuwe kama yupo wapi, na kwanini haja safari, “yani huyu jamaa ni mshenzi kabisa, ame sababisha nime shindwa ku kumpigia Suzie, yani niki juwa kama kweli amechukuwa yeye, atanitambua, hakuna cha ushemeji hapa” aliwaza Edgar akiwa njiani anaelekea mjini kutokea air port, nusu saa baadae alikuwa anashuka kwenye daladala kati kati ya mji, akatazama kushoto na kulia, akitazama aanzie wapi kutafuta duka zuri la simu, akakumbuka jana alinunua simu kwenye duka moja mtaa wa pili toka pale alipo, akaanza kutembea taratibu kuelekea mtaa huo, lakini waati anakatiza kwenye duka moja, akamwona shemeji yake bwana kazole akiongea na mzee moja alie kuwa ndani ya duka hilo, huku akiwa ame shika simu kama ile ya kwake iliyo potea na chaja yake ikiwa juu ya meza kubwa ya pale dukani, hapo hasira zika mpanda mala mbili, akawafwata kwa mwendo wa Nyati, …….

“shem tabiagani hiyo, ya wizi?” aliuliza Edgar baada ya kuwafikia wakina kazole na mzee Kalolo, bwana Kazole akaishikwa na mshangao, huku mzee Kalolo ambae alisha mkumbuka Edgar, maana limwona sikuile ana wekewa bondi ya shamba nyumbani kwa mzee Haule, akajaribu kumtisha Edgar kiutu uzima, “we kijana jaribu kuwa na adabu, nani mwizi” aliongea mzee Kalolo akimkazia macho Edgar, “unaazani hiyo simu uliyoishika ni yanani?” aliongea Edgar kwa sauti kubwa iliyowafikia watu waliokuwepo eneo lile, kuona hivyo mzee Kalolo akataka kuificha ile simu, “unauakika kuwa hii simu ni yako, ondoka kabla sija kuitia mwizi sasa hivi”aliongea mzee kalolo, akipiga atua kuelekea kwenye makabati yaliyopo ndani ya duka lake, “shem naomba simu yangu, Edgar alimgeukia bwana Kazole ambae mda wote alikuwa kimya, “simu, simu gani?” aliuliza bwana Kazole akijifanya kushangaa, ni baada ya kuona mzee Kalolo amesha ificha ile simu, hapo Edgar aka baki kimya akimtazama bwana Kalolo, huku ana tabasamu, ni tabasamu lililojaa uchungu, “bwana Kalolo hee, tutaonana baadae,” aliongea bwana kalolo akianza kuondoka baada ya kuona Edgar yupo kimya akizani amesha amesha kubari matokeo, kabla hajapiga atua yapili bwana Kazole alistuka akifyetuliwa miguu na kupaa hewani kisha akatuwa chini na kujipigiza kwenye ngazi, akifikia kiuno ‘pwaaaa’ “mamaaaaa kiuno changu” alipiga yowe bwana kazole, huku akimshuhudia Edgar yani mdogo wa mwisho wa mke wake, akimfwata pale chini na kumkamata, shati lake maeneo ya kifuani, kisha akaanza kumshushia mvua za ngumi, usoni kwake, Edgar alimpiga bwana Kazole ngumi mfululizo za usoni, bila kuacha, huku watu wakisogea pale walipo na kushangilia ugomvi wasio hujuwa, “utaniua shemeji, kama simu yako nenda kachukuwe” alilalamika bwana Kazole huku bado mvua za ngumi ziliendelea kushuka usoni kwake, “shenzi kabisa, ume sabbibisha mpaka sasa sijuwi Suzie yupo wapi” aliongea Edgar akiendelea kushusha ngumi zilizo tuwa sawia usoni kwa shemeji yake, na kusababisha damu kuanza kuchuruzika sehemu mbali mbali za bwana Kazole, ikiwepo mdomoni na puani, pia kuna bahadhi ya sehemu alipasuka nakutoka damu nyingi zilizo tapakaa usoni kwake na nyingine ziki mrukia Edgar kwenye tishert yake, Edgar alipoona amelizika akainuka na kumzibua teke la ubavuni bwana kazole, “mwizi mkubwa wewe, tafuta kwakwenda” aliongea Edgar akimwacha bwana Kazole, na kumfwata mzee Kalolo ambae aliuwa bado ndani ya duka, akimwacha shemeji yake bwana kazole akiwa chini huku watu wakianza kumzonga, “mwizi ! mwizi! piga mwizi huyo… piga” kelele hizo za watu ziliambatana na kipigo cha taratibu kwa bwana Kazole,.. edgaqr hakujali aliendelea kumfwata mzee Kazole “we kijana usini sogelee mimi siyo lofa kama huyo ndugu yako…” mzee Kalolo akuwai kumalizia maneno yake alistuka ngumi nzito ikituwa kwenye shavu lake, nakumpeerusha mpaka kwenye ma shelfu yakupangia bidhaa nayo yaka mdondokea huku baadhi ya vitu viki mwangukia sehemu mbali mbali za mwili wake, mzee kalolo huku akivuja damu mdomoni sambamba na kutema jino lake moja, alimwona Edgar akimfwata pale alipo, “chukuwa kwenye lile kabati” alisema mzee Kalolo akionyesha kabati aliloweka simu, Edgar akataka kwenda kumwongezea angalau ata ngumi mbili mzee yule, lakini akaingiwa na huruma, akamwacha na kuliendea kabati, akafungua na kutoa simu yake ile anageuka kutoka nje akashangaa kuona vurugu kuwa ikiendelea pale nje, hujku bwana kazole akiendelea kupewa kupigo, “msala huu” alijisemea Edgar, akijiandaa kuondoka zake, lakini aikuwa jambo lahisi kwake, mala akasikia ving’ola vya gari la polisiambalo lilisimama pale huku watu wakitawanyika na kuwa kimbia polisi sita walio shua kwenye gari hili aina ya land rover one ten, Edgar alibaki ame duwaa hasijuwe la kufany, aka shuhudia polisi wakimkama tayeye pamoja na wakina Kazole na mzee Kalolo, wakaingizwa kwenye defender, huku bwana Kazole akiwa hoi bin taaban kwa kipigo alicho kipata toka kwa wananchi, “jamani sisi wawili siyo waalifu mwalifu ni huyu hapa” aliongea mzee Kalolo, akimwonyesha Edgar kuwa ndie mkolofi, “kelele wewe, utaenda kujieleza kituoni” dakika chache alikuwa wenye kituo cha wilaya, jilani kabisa na uwanja wa mpila wa miguu wa majimaji, wakaingizwa ndani na kukabiziwa kwa polis constebo wawili wakiume na wakike ambao walianza kuwa chukuwa maelezo, huku bwana kazole akiandikiw pf 3 nakupelekwa hospitali ya mkoa, kwa matibabu, katika maelezo yake bwana kazole akaeleza kuwa, akiwa na dkani kwake na mteja wake (yani bwana Kazole) walivamiwa na kijana huyo (yani Edgar) nakuanza kuwa shambulia akifanya ualibifu mkubwa sana pale dukani, napia hakujuwa kama kuna hasala aliyo msababishia mwenzie yaani mteja wake bwana Kazole, “ kwa upande wa Edgar yeye hakueleze kwa kilefu, alieleza kuwa watu awawawili ni wezi na pale alikuwa amewakamata, wale polisi wawili walimshikilia Edgar huku wakimwandikia pf 3 mzee Kalolo aende akatibiwe na kesho airport pale kituoni, wale polisi waka msweka Edgar mahabusu, “huyu aingie mahabusu, na report hii tumpatie afisa wa zamu nazani atakuja mida ya saa moja” aliongea yule polisi wa kiume, huku waki mtoa vitu muhimu kama simu fedha na mkanada pia viatu na shati, “samahani braza, naomba niwasiliane na nduguzangu niwajulishekilicho tokea” aliongea Edgar kwa sauti ya upole sana, wakati akifungiwa mahabusu, mpaka mida hiyo tayari ilisha timia saa kumi na moja na nusu, “ok sawa utawasiliana na mtu mmoja tu muhimu, tena dakikamoja tu!” aliongea yule polisi wa kiume huku akimpatia simu yake Edgar, Edgar akaiwasha na sms zikaanza kumiminika kwenye simu yake zikitokea kwa Suzie, lakini hakuwa na muda wakuzisoma, mtu ambae angeweza kumpigia simu ni baba yake ambae alikuwa na uakika kuwa yupo hapa Songea, maana Suzane akujuwa yupo wapi kwa sasa, akaitafuta namba ya baba yake na kuipiga, bahati nzuri simu aikuita sana ikapokelewa na baba yake, “baba naomba mje hapa kituo cha polisi uwanja wa maji maji, haraka sana nime pata tatizo” aliongea Edgar bila ata salamu, kisha akakata simu, nakumpatia yule polisi ambae alimtazama sana Edgar, ambae sasa alikuwa ndani ya mahabusu akiwa amefungiwa kwenye geti kubwa la nondo, pamoja na watu wengine kama saba hivi “mbona hufanani na ualifu we dogo, tena ombea ndugu zako waje kukutoa kabla report aija chukuliwa maana ikisha chukuliwa kesi mahakamani” aliongea yule polisi huku akigeuka na kuondoka zake kuelekea mapokezi, lilipita lisaa limoja Edgar akiwa ndani ya mahabusu bila baba yake kuja pale polisi, atimae likapita lisaa la pili llika kaktika ikawa saa moja usiku, akawasikia wale polisi wakiambizana “nenda kawahesabu wa kiume mimi nawahesabu wakike, ofisa wa zamu karibu anakuja, kuchukuwa riport” aliongea yule polisi wakike, kisha Edgar akamwona yule polisi wakiume akija na kuaanza kuwa hesabu, idadi yao walikuwa nane, “samahani brother, naomba niongee nao tena” aliongea Edgar akimwambia yule polisi, ambae alimtazama kwa sekunde kazaa kama kuna jambo anawaza, kisha akamwambia “subiri kwanza afande aje uchukuwa report, kisha taongea nao” alisema yule polisi na kuondoka zake, Edgar aliona mahakama inamwita, aikipita mda refu akasikia muungurumo wa gari likisimama nje ya kituo cha polisi, “mungu wangu nime kwisha” aliwaza Edgar huku akisikia mlango wa gari ukifunguliwa na kufungwa ikafwatia salamu za kijeshi, “Jambo afande” kishaakasikia afande alie salimiwa akiitikia, alikuwa mwanamke, aligundua baada ya kusikia sauti yake, kisha akasikia maongezi ya kupewa riport, wakati wanaendelea kupeana riport Edgar alisikia muungurumo wagari linguine liki simama pale kituoni, baada ya dakika chache akasikia sauti za wanawake zikisalimia, “habari zakazi jamani,” ilisalimia sauti moja ya kike, “nzuri wakina dada tuwasaidie nini?” alijibu yule polisi wa kiume huku yule wakike akiendelea kutoa riport kwa afande wao, “tumepigiwa simu kuwa kuna shemeji yangu yupo hapa amepatwa na matatizo” ilisikika ile sauti ya kike iliyo salimia, anaitwa nani na shemeji yako kivipi” aliuliza yule polisi wakiume akionekana kama anaandika maali, “anaitwa Edgar ni mchumba wa huyu rafiki yangu anaitwa Suzie” hapo moyo wa Edgar ukalipuka kwa shangwe na msisimko wa hajabu, akaachia bonge la tabasamu, “anaitwa nani?” ilisikika sauti ya polisi wkike ambae ni afande wao alie kuwa anapokea polisi, anaitwa Edgar ni huyo wamwisho kuletwa?” alijibu yule polisi wakiume, kikapita kimya kidogo, “umesema ni mchumba wa nanini?” aliuliza tena yule afande mkubwa wakike, “nimchumbawangu mimi, amekuja jana toka dar, namimi nimekuja leo kwandege,ata sijamwona, ndio baba mkwe ame nipigia simu kuwa yupo…” aliongea Suzane kwa mfurulizo, kiasi kwamba yule dada afande akamkatisha, “subiri kwanza dada…” aliongea yule kubwa wao, “wewe nifwate” alisikika tena yule poisi wakike, hapo Edgar akasikia vishindo vya watu wawili vikitembea kuja usawa wa chumba walichowekwa yeye na wenzake, sekunde chache akaanza kumwona yule polisi wakiume akifwatiwa na polisi wakike alie valia sale zake zilizo mkaa vyema nakuonyesha umbo lake zuri sana huku mabeganimwake ziki ning’inia nyota nbili kila upande, Edgar akamtazama usoni yule dada afande, naam moyo wake ulilipuka kwa mshangao, alijikuta akitoa macho kama kamwona nyoka amebeba chungu, “kumbe ni polisi” alinong’ona Edgar akiwa aamini macho yake, alikuwa ni Rose, Edgar ndiyo nani kati yenu?” aliuliza Rose akiwa amekunja sura kikamanda akuwa atanachembe ya tabasamu usoni mwake, Edgar alishangazwa na swali la Rose, “inamaana amenisaau au?” alijiuliza Edgar akimkodolea macho Rose, ambae urembo wake leo ulionekana kuzidi mala dufu, “wewe mpumbavu siunaulizwa?” alifoka yule polisi wakiume, “mimi.. nimimi hapa” alijibu Edgar akiinuka na kusimama, kama aliekurupuka ktoka usingizini, “unakiburi sana we! mjinga, sasa utalala humu mpaka kesho uamkie mahakamani” aliongea Rose na kuondoka zake akifwatiwa na yule polisi wakiume, akimwacha Edgar akishangaa, hasiamini macho yake, akabaki ame simama na kushikilia nondo, “wakina dada nyie nendeni, kesho saa nne mtajulishwa kinacho endelea” Edgar alisikia sauti ya Rose ikiongea bila chembe ya utani, “tafadhari dada yangu naomba utusaidie” alisikika Suzane akiongea kwa bebembeleza, atuwezi kumwachia huyu, sijuwi ndo mchumba wako sijuwi.. sababu amepiga.. mtu bwana ..Kazole… nasasa yupo hospital” alisema Rose akionekana kusoma maelezo ya kosa la Edgar, “hisitoshe anakiburi sana huyu kijana wacha ajifunze adabu” alisisitiza Rose, ikifwatia na sauti za wakina Suzane wakiaga na kisha kuondoka zao, *** ilikuwa hivi, baada ya kutoka airport Suzane na Seline walielekea moja kwa moja nyumbani kwa Seline, ambako waliandaa chakula cha mchana na kula kisha wakapumzika kidogo wakipena story za zamani, kipndi wkiwa chuo, Seline alimwulizia Sophia maana pale chuo watu wengi wali ujuwa urafiki wao, lakini Suzane akuonyesha kama ametofautiana na huyo Sophia akawambia kuwa yupo, mda huo waliutumia pia kuwa siliana na dereva wa gari la mizigo wakaambiwa wapo Njombe wanatarajia kuingia Songea kesho yake, nao wakapania kukamilisha mapema taratibu za nyumba hili mizigo ikifika ifikie moja kwa moja kwenye nyumba hiyo, atimae saa moja kasolo ndipo Sline alipo pigiwa simu na mzee Haule, akiomba Seline aende kituo cha polisi kwamba Edgar yupo hapo amepatwa na tatizo, pasipo kueleza tatizo lenyewe, ndipo nao walipo enda kituoni huku Suzane akijiona kuwa mwenye bahati mbaya sana, …

Suzane na Seline walipo toka kituoni wakaelekea moja kwamoja luhuwila seko kwa mzee Haule, nako walipokelewa vizuri sana na mzee Haule na mke wake, ambao walikuwa wanameona kwa nala ya kwanza mkwe wao, bahati nzuri maandalizi ya chakula kwa mgeni yalisha fanyika, maana walisha juwa ujio wa mgeni huyo, mapokezi yale mazuri yalimfanya Suzane ajione kuwa anapendwa sana na familia ya mchumba wake ambae kwasasa yupo kituo cha polisi kwa kosa la kupiga watu wawili na kuwa jeluhi vibaya sana, mbaya zaidi alikosa ata nafasi ya kumwona mpenzi wake huyo, familia nzima iliyo kuwepo pale walisalimiana na wageni hao, akiwemo binti wakazi, na dada mkubwa wa Edgar, yani mke wa bwana Kazole ambae alikuw ajuwi kilicho mpata mume wake, “karibu sana mwanangu vipi huyo mwenzio ume mkuta huko polisi?” aliongea mama Edgar akiwa anamkaribisha mkwe wake ambae alikili kuwa mwanae ame pata mwanamke mzuri, “tumemkuta lakini wame kataa kumtoa, wanasema mpaka kesho asubuhi ndio tutajuwa kinachoendelea” aliongea Suzane akionyesha wazi kukosa amani moyoni mwake, “kwani amefanya nini huyu mtoto?” aliuliza mzee Haule kwa shahuku ya kutaka kufahamu, “kwani humjuwi mwanao, sidhani kama kunakosa jingine zaidi ya kupigana” alidakia dada mkubwa, ambae alipata nguvu ya kutoka chumbani baada ya kusikia mdogo wake amekamatwa na polisi, “umaanisha nini wewe, wagani waeleweje sasa?” aliuliza mama Edgar kwa sauti ya ukali, huku amemkazia macho mwanae huyo, ambae aliangalia pembeni, huku akibetua midomo kwa dharau, Suzan na Seline wakapatwa na mshangao, “nikweli amepigana, sijuwi ame mpiga nani yuleeee” alisema Suzane akimtazama Seline kama atakuwa analikumbuka jina la mtu ambae wame ambiwa kuwa Edgar amempiga, “anaitwaaaa..Ka.. Kanani vileee” aliongea Seline kwa kuangaika huku, huku akitazama juu kama kunasehemu liliandikwa ilialisome, “kwani shemeji anaitwa nani?” aliuliza binti wakazi, kwa kukulupuka kama vile ame toka usingizini, akimtazama mke wa bwana Kazole, wote wakashikwa na butwaa, mke wa bwana kazole akibaki mdomo wazi, “inamaana unataka kusema Edgar ame mpiga shemeji yake Kazole” aliuliza mzee Haule kwa sati ya chini iliyo ambatana na mshangao, “yes ni Kazole, kwani ni shemeji yake?” aliuliza Suzane, akimtazama baba mkwe, “ndio amempiga mume wangu, mimi sikubari, mna mwendekeza sana mtoto wenu, sijuwi kamkosea nini?” alilupuka mke wa Kazole huku akijitembe huhu nahuku pale sebuleni, mikono ameiweka kichwani, “shemeji ameiba simu ya kaka Edgar pamoja na ela zake elfu ishilini na ngapi sijuwi” hapo ika sikika sauti ya ‘haaaaaaaa’ ikiambatana na mshangao, “weee! koma, tena ukome kabisa, kama umepanga nahuyo mshenzi mwenzio msingizie hivyo, sasa utakuwa shahidi mahakamani” aliongea mke wa bwana kazole akimtazama na kumwonyeshea kidole binti wa kazi, kisha akainia chumbani kwake na kujifungia, na kuchukuwa simu yake kisha akaanza kuwa tumia sms wadogo zake wawili ambao aliamini watamsaidia katika kulisimamia swala hili, hukuseuleni maongezi yakaendelea, kujadiri juu ya atima ya Edgar, kwa upande wa Suzane ilikuwa ni changamoto juu ya wifi zake ambao alisha aanza uwa sikia toka akiwa dar, **** kituo cha polisi nako baada ya kusikia gari likiondoka kika pita kimya kidogo, kisha Edgar akasikia wale polisi akiwemo Rose wakiongea kwa sauti ya kunong’ona, mwisho wake akasikia Rose akiwaaga na kuwaambia kuwa kama kuna lolote wampigie simu yake ya mononi na siyo redio call, wakati akisikia Rose anatoka na kufunga mlango wa gari, huku akasikia sauti za viatu zikija usawa wa mahabusu aliyopo yeye, mala akajitokeza yule polisi wakiume, akafungua lilegeti la nondo “wewe nifwate,” akasema yule polisi akimwonyesha kidole Edgar, kitendo bila kuchelewa Edgar akainuka haraka na kutoka nje ya chumba kile kidogo che harufu ya mikojo, yule polisi akafunga lile gate kisha akaanza kutembea kuelekea counter Edgar akimfwata nyuma, walipo fika pale hakumwona Rose zaidi alimwona yule polisi wa kike akimtazama kwa tabasamu la kiumbea umbea, “haya baba, kumbe una kula na wakubwa” alisema yule dada akimpatia Edgar vitu vyake alivyo kuwa ameviacha pale mapokezi, fedha mkanda viatu simu chaja, na shati, Edgar alishindwa kuyaelewa maneno ya yule polisi, “ebu nenda kavalie hukounamchelewesha afande” aliongea yule polisi wakiume akimsukuma Edgar ambae alitaka aanze kuvaa viatu vyake, hapo akagunduwa kuwa Rose alikuwa nje anamngoja, nikweli Edgar alipotoka nje akaliona gari la Rose lilelile Toyota Harrer walilo safari nalo kutoka dar, huku Rose akiwa ame kaa kwenye seat ya Dereva mlango ameuacha wazi na mguu moja ume ning’nia kwa chini, tabasamu lime shamili usoni kwake, Edgar akiwa umbo wazi huku amekumbatia vitu vyake kifuani, alisogelea gari kwa mwendo wataratibu, akiwa aamini kama anweza kuingia kwenye lile gari, maana alisha anza kumwogopa binti huyu, asa kutokana na hali aliyo ionyesha mda mfupi ulio pita mle ndani ya kituo cha polisi, “Edgar bwana ebu ingia twende, au umepapenda hapa niwaambie wakurudishe?” aliongea Rose huku akiachia kicheko cha furaha ya ushindi, Edgar anaye aka ishia kutabasamu tena tabaamu la uoga, akamwona Rose akishuka kwenye gari na kumshika mkono, akamwongoza upande wapili wa gari kisha akamfungulia mlango Edgar akaingia kwenye gari Rose akafunga mlango na kurudi upande wa dereva akaingia ndani ya garinakufunga mlango, hapo akamshika Edgar na kumvutia kwake kisha aka anza kumnyonya mate, japo Edgar mwanzo alikuwa anakauoga flani, lakini baadae alianza kuona kuwa akukuwa na tatizo akaanza kumuunga mkono Rose katika swala zima la kubadirishana ulimi, walitumia kama sekunde ishilini hivi, wakaachiana kisha Rose akaondoa gari, “mchumba wako mzuri sana, ndio ulikuwa nae dar?” aliuliza Rose akionyesha dalili flani ya wivu, ndiyo nilipanga kwakwe wakati nilipo amia chuo cha kibamba” alijibu Edgar huku anavaa tishet yake, akifwatia mkanda, “ok! kwahiyo ukaanza kutembea na mama mwenye nyumba wako?” aliuliza Rose maswali ambayo Edgar akuyapenda, maana aliona kabisa Rose alianza kushikwa na wivu, “ndio lakini…” aliongea Edgar huku wote wakicheka kidogo, kisharOse akamkatisha, “kwahiyo ameifwata mb..o mpaka huku?, sasa leo zamu yangu” aliongea Rose wote wakaendelea kucheka, huku Rose akinyoosha mkono wake wa kushoto na kuulaza kwenye dudu ya Edgar ambayo ilistuka kidogo baada ya kupeana mate, pale kituo cha polisi, “nimeimisije hii kitu, yani kaka yako alinichokoza na kuniacha nipo hoi, hivi kwanini huku nitafuta jana kamaulivyo sema?” aliongea Rose mkono wake bado ukiwa bado uki chezea sehemu dudu hilipo, “simu sindio hiyo iliyo sababisha haya yote, kuna mjinga mmoja aliniibia bahati nzuri nika mfuma nayo” Edgar alimsimulia kisa chote cha pale dukani kwa bwana kalolo, mpaka alipo kamatwa na polisi, “kwa hiyo alie kuibia simu ni shemeji yako?” aliuliza Rose kwa mshangao, “ndiyo nishemeji yangu, tena ni mjinga sana huyu jamaa” alisema akimalizia kufunga kamba za viatu vyake, “ok! basi ngoja nitapo enda kuchukuwa riport ya pale tukaangalie hali yake kama ni nzuri basi mtaenda kumalizia kesi ki family, kama ni mbaya tunaipotezea maana kule nimesha waambia wakfute taalifa yako yote” aliongea Rose akisimamisha gari nje ya jingo la benk ya wananchi na kushuka akiwa na note book yake ile aliyo kuwa nayo safarini, pamoja na karamu akawafwata polisi walio kuwa wanalinda benk hile, Edgar akawaona wale polisi wakimpigia salute Rose, naye akaitikia kwa kupiga salute, kisha akaona wanaongea maneno flani flani huku Rose akiyaandika kwenye ile note book yake, baada ya hapo akamwona askari mmoja akiiga salute na Rose akaitikia kisha Rose akarudi kwenye gari, “hongera sana yani unaonekana mdogo, alafu unacheo kikubwa sana” alosema Edgar akijaribu kuzigusa nyota za Rose kwenye mabega yake, huku gari likiondoka na kuendelea na safari zao “ongera wewe kwa kumpagawisha afisa wa polisi” aliongea Rose wote wakacheka, ***** Sophia akiwa njiani akitokea Tumbi hospital akielekea nyumbani kwake mbezi kwa msuguri, na sasa alikuwa mitaa ya Kiluvya gogoni wengi wanapenda kupaita njia panada ya kawawa, Sophia aliona kabisa akili zake zinaanza kuvurugika, kutokana na mambo yanayo mkabiri, ukiachilia kutomwona mwanaume aliempa mimba, kwa muda wa siku zaidi ya nne, pia aliwaza juu ya kuchangia mwanamume na mama yake, huku bado baba yake akiwa hospital, japo alikuwa amesha pata nafuu, namama yake ameomba aruhuiwe akajiuguze nyumbani, lakini baba yake angeendelea kutembelea magongo kwa muda wote wa maisha yake, kitokana na mfupa wa mguu wake kuvunjika mala kadhaa, lamwisho lililo msumbua ni Suzane Rafiki yake wa muda mrefu kutembea na baba yake pengine na kusababisha matatizo yote haya, “yani leo silali naenda kwake, japo nimwone Edgar, najuwa atakuwa amemficha ndani anamwogopa mzee Mashaka” aliwaza Sophia huku akipandisha daraja la kwa bi mtumwa, na kuingia nja panda ya shule, atuwa chache mbele akaingia kibamba ccm na kukata kona kushoto, kisha akapaki gari kwenye ile bar, ambayo walisha wai ukaa na Suzane na Edgar, kisha akashuka na kwenda kukaa kwenye moja ya meza, zilizopo ndani ya hile bar, wazo lake likiwa ni kunywa bia kadhaa zakutolea uoga ndipo aende kwa Suzane, dakika chache baadae alikua amesha hudumuwa na kuanza kukandamiza bia, akiwa ajafikisha atanusu ya bia akasikia sauti ya kike ikimsalimia, “shikamoo dada Sophi,” Sophia aliitambua sauti ya Joyce mala moja, akatabasamu akijuwa kuwa ameha mpata Edgar wake, baba kijacho ……..

Sophia akageuza shingo kumtazama Joyce, “hooo marahaba mdogo wangu za kupoteana,” aliongea Sophia akimtazama Joyce na tabasamu aliachia, “yani umepotea dada sophi, vipi tena leo hupo mtaani kwetu” aliongea Joyce akivuta kiti na kukaa, “nime amua kuwa tembelea sija mwona Sizie mda refu, nimeona leo nije ni mwone” aliongea Sophia huku akimtazama Joyce usoni, lakini akastuka kuona Joyce akionyesha kushangaa, “inamaana haja kuaga?” aliuliza Joyce kwa mshangao, Sophia naye akashangaa, “kuniaga kwani ameenda wapi?” aliuliza Sophia huku akijiweka sawa kuksikiliza Joyce, na Joyce bila kinyongo akamza kumsimulia kuwa, Suzan ame ama kikazi na kuelekea Songea yeye na mpenzi wake Edgar, “napengine kesho kuna mtu amweza akaamia, maana ile nyumba ameipangishia benk ya wananchi” alimalizia Joyce, na kumfanya Sophia aonekane kuchanganyikiwa, “huyu mshenzi kumbe alikuwa na mipango yake kichwani, hahahahaha, Suzane kweli kichwa” alisema Sophia na kumalizia kwa kicheko, akimwacha Joyce akiwa ame duwaa “huyu naye vipi, mbona simwelewi” aliwaza Joyce kwa mapicha picha ya Sophia, “usi shangae mdogo wangu hayo ni maisha tu, asa unapo mpenda mtu ambae anapedwa na mwingine” aliongea Sophia na kuikamata chupa ya bia akaiweka mdomoni na kuigugumia kwa fujo kisha akiweka chini ikiwa tupu, akainuka, “ok! my tutaonana” alisema Sophia na kuondoka zake, Joyce alimshuhudia Sophia akiingia ndani ya gari lake na kuondoka kwa fujo nusu akanyage meza za wamama wauza samaki, “makubwa kumbe tulikuwa wengi” alijisemea Joyce nakuinuka zake, * Suzane na Sline walikaa pale kwa mzee haule huku wakijadiriana kuhusu sakata la Edgar kumtandika shemeji yake, “ sasa huyu shemeji yake atakuwa wapi?” aliuliza mzee Haule, “polis wamesema yupo hospital ya mkoa,” aalijibu Suzane au mama mwenye nyumba wa Edgar, wakati huku sebuleni wakiendelea na majadiriano, huku chumbaninako mke wabwana kazole aliendelea kutumiana sms na wadogo zake wakina mama semeni, wakipanga mipango ya kuendesha kesi, pamoja na kuwa julisha kuwa mchumba wa Edgar amekuja, “tena anajifanya ana fedha nyingi sana” nao wadogo zake waki mshauri kudai fidia pamoja na kumchaji fedha za matubabu na kumtibu mume wake, pia walipanga kesho yake wakutane, lakini muda wote hawakujuwa bwana Kazole yupo wapi, **** bwana kazole alikuwa Hospital, amelala kwenye kitanda ndani ya hodi moja ya wanaume, huku pembeni yake ame kaa bwana kalolo akimtazama jamaa yake ambae alisha anza kupata nafuu, usizani huyu bwana kalolo alikuwa hapa bule bule, “sasa ndio muda wa kumfilisi mzee haule yani nikusingizia ghalama kibao na hasara alizo ziingiza mwanae, yeye si alijifanya mjanja kunilipa fedha za shamba mapema, bwana Kalolo aliwaza huku akitoa simu yake na kutazama muda, niile simu aliyo uziwa na bwana Kazole miezi michache iliyo pita, “mh! hisjeuwa na hii alikwapua huyu mshenzi” aliwaza mzee huyu akiwa amesha tazama muda kisha akairudisha simu mfukoni, saa tatu usiku ndio muda ambao bwana Kalolo aliaga na kuelekea nyumbni kwake, **** Rose ni mschana mrembo sana ambae alikuwa na miaka miwili tu! kazini, baada ya kumaliza mafuzo ya uafisa pale chang’ombe dar es salaam akapangiwa Songea, kwenda kufanyia kazi namaelekezo yakiwa kwamba Rose na wenzake kumi natano waliopangiwa huko mwanamke akiwa peke yake, wapangiwe vijijini, ambako kulikuwa na askari wengi wenye vyeo vya chini kuanzia sajenti na koplo au constebo, kiukweli kitendo cha kupangiwa Songea tu! ilikuwa adhabu kwake sasa apangiwe tena vijijini, Rose akaiona kazi kuwa ngumu, lakini alipo fika pale Songea na kulipoti kwa afisa utawala wa polisi mkoa, na kukutana afisa utawala afande Mgige Chacha , walipo ripoti hapo mkoani, wakaambiwa wasubiri baadae kusomewa post zao, huku Rose akaambiwa asubiri humo humo ofisini asitoke wakati wenzie wanatoka, baada ya kubaki na kusubiri alicho bakiziwa, ndipo yule afisa wangazi za juu za kiutawala polisi mkoa akamwuliza Rose, “hupo tayari kwenda vijijini ukafubae mtoto mzuri” hapo Rose akauona msaada una kuja lakini, ulikuwa unakuja kwa mambo mazito zaidi, “hapana afande, naomba uni saidie nibaki ata hapa mjini” aliongea Rose kwa sauti flani ya kuliamsha dudu, “ok! najuwa wewe ni kijana tena msomi, unajuwa kumsoma mtu sasa tukutane Nyumbani Lodge tukaongee vizuri, wewe ni wa hapa hapa mjini” alionge kamanda MAGIGE CHACHA, “sipajuwi hapo nyumbani lodge,” aliongea Rose huku akaijuwa kabisa kuwa anaitiwa kwenda kupewa dudu na siyo kingine, “ok! andika namba yako ya simu hapa, nitakupigia jioni” aliongea Magige akimkabidhi peni na karatasi Rose, hivyo ndiyo Rose alivyo bakia mjini Songea na kuwa mpenzi wa bwana Magige mkuu wake wakazi, mwanzo Rose alizani itakuwa ni mala moja ja tu! kisha kila mmoja angeshika hamsini zake, lakini alishangaa maze huyu mkubwa kiumri akimng’ang’ania mazima na kumfanya ndie nyumba ndogo yake, maana alikuwa ana famila ya mke na watoto wa tano, huku Rose akilingana na mtoto wa pili wa mzee Chacha, kuna jambo lili mpa wakati mgumu sana Rose, maana aikuwai kutokea siku atamoja mzee Magige akamkoleza kiasi cha yeye kuona kuwa amefanya mapenzi, zaidi mzee huyu alikuwa akifika pale nyumbani kwake aliko mpangishia na kumvamia, wangetumia dakika mbili au pengine ange jitaidi ata tatu alafu alafu ange mwaga mzigo game lime kwisha, hapo Rose ange baki na utamu wake, kiukweli mzee Magige hakuitendea haki fedha nyngi aliyo ighalimia kwa penzi la huyu mwanamke, maana licha ya kumpangia nyumba na kumweke a kila kitu ndani, pia alimnunulia gari Toyota harrier na kumfungulia duka la vipodozi maeneo ya soko kuu, eti akifika kitandani anapapasa kama kuku “hivi kwaniini anani ng’ang’ania kama mambo hayawezi” aliwaza Rose sikumoja, akiwa hajuwi kuwa yule boss wake hyo ndiyo ilikuwa tabia yake, kila anapoamia mwanamke mrembo mkoa hule lazima ammiliki atakwa mwezi mmoja ndiyo amwache na wengine waendelee, lakini kwa rose aliganda na sasa alikuwa anfunga naye mwaka, mmoja kati ya wanawake waliowai kutembea na kufaidi fedha za mzee huyu, ni WP Anifah, ambae aliachwa na Magige baada ya ujio wa Rose, japo baadae Anifah ali pata mume na kuolewa, lakini bado alikuwa anaumia sana kwa kukosa huma ya mzee huyu ambae alikuwa aionei huruma fedha yak, labda kwasababu alikuwa anazipataa kwa njia hisiyo alali, tena ukichukulia ata kitumbua chenywe ukitafuna kwa kichovu sana na akisha kula leo ange kaa atawiki mbili ange ombatena malamoja na asinge tumia ata dakika tatu kula kitumua dudu inge cheuwa na kulala mazima, “henheee amekwisha” alisema Aifah dakika chacehe baada ya Rose kuondoa gari lake akiwa ame mchukuwa mahabusu anaye julikana kama Edgar, huku akiacha maagizo kuwa maelezo ya mahabusu huyo yafutwe, kilicho mfanya Anifah ajuwe kuwa Edgar ana afande wake Rose ni watu wano fahamiana na wanahuusiano wa kimapenzi, ni pale Rose alipo kataa kuwa sikiliza wale wanawake waliokuja kumtaazama Edgar mmoja wao akisema ni mchumba wake, ndio maana akamwambia Edgar kuwa “haya baba kumbe unakula na wakubwa” japo Edgar akuelewa lakini yule dada alikuwa anamaanisha, ile gari linaondoka tu! polisi Anifah aka chukuwa simu yake na kutuma sms kwa mpenzi wake wa zamani, kamanda Magige Chacha,‘haya sasa, mrembo wako huyoooo anaenda kuliwa, we lala tu!’

Sms hiyo ilimkuta mzee Magige akiwa metulia sebuleni kwake sambamba na mke wake, macho kwenye TV, magige alijikuta kajasho kakimchuruzika baada ya kuisoma ile sms toka kwa WP Anifah, mpenzi wake wa zamani, akamjibu haraka sana ‘mbona sikuelewi, au umeanza utani?’ alipo ituma sms hiyo akaanza kutafuta majina kwenye phone book yake akalipata jina la dereva wake wa kazini aitwae koplo Said, akaipiga ile ndamba yasimu, ikaita kidogo kisha ikapokelewa, hapo akasikika afande magige akiongea na huyo dereva wake, na kutoa maagizo “hupo wapi Said… ok! fanya haraka chukuwa gari mfwatilie Afisa wa zamu… kisha niambie yupo wapi …. maana nasikia anataka kufanya mambo tofauti na maadili ya kazi.. fanya haraka sana” alisema bwana Magige akiwa na uakika kabisa mke wake hato elewa kitu, huku ana fungua sms nyingine toka kwa Anifah, ‘sijawai kukutania toka ume nisusa, lakini ukweli ndio huo, demu wako kicheche,’ alimaliza kuisoma na kuifuta, huku moyoni akiuguria maumivu ya wivu akiisi kuwa mida hiyo Rose ana shughulika na mtu mwingine, yani wivu ulio mpata kuliko angekuwa amesikia kuwa mke wake ndie anamsaliti ***Baad ya pewa maagizo na mkuuwake wakazi, moja kwamoja Said akaelewa mkuu wake huyo anamaanisha nini, maana alikuwa anaujuwa huusiano haramu wa mkuu wake na mrembo Rose ambae kwa upande mwingine nayeye ni afande wake pia, Said ambae mida hiyo alikuwa ndani ya nyumba yake line Polisi quarters (kotaz), akaondoka mala moja akiwa amevalia kptulah yake ya kaki, na tishert ya man chester united, akaenda kituoni aliko liweka gari la boss wake, safari za kumsaka Rose ambae ndie afisa wa zamu, kituo cha kwanza kabisa kilikuwa ni polisi wilaya, jirani na uwanja wa maji maji, akashuka kwenye gari na kuwa kuta wakina Anifah na mwenzie wakiendelea na kazi, ambapo zamu yao ingeisha saa nne usiku, na hao wote ni askari wa chini yake, wakamsalimia kijeshi, na yeye akaitikia, “vipi jamani asfisa wa zamu waleo amesha pita hapa?” aliuliza Said, “amesha pita nazani ameelekea benk, maana ailtokea upade huu na ameelekea huku” alijibu yule askari wa kiume, huku Aifah akiwa kimya anafurahi kimoyo moyo akijuwa kuwa Saidi amesha tumwa kumfwatilia, “ok! nina maagizo yake wacha nimfwate” alisema Said akitaka kuondoka, “yupo na gari lake lile jeusi, ukiliona tu ujuwe kuwa ni yeye” aliongea Aifah akiwa na maana ya kumpa msaada zaidi Said wa kumpata afande Rose, hapo ndipo Said alipo ondoa gari kuelekea benk, dakika kumi mbele alikuwa anafika benk, akumkuta Rose wala gari lake, akaulizia akaambiwa kuwa ametoka mda mfupi ulio pita, wakimwonyesha njia aliyo elekea, kitendo bila kuchelewa Said akaondoa gari, na kendelea kuzunguka kumtafuta afande wake Rose, ambae ni nyumba ndogo ya afande Magige Chacha, huku njiani akipokea simu na sms toka kwa boss wake akiulizia maendeleo ya msako wa Rose, baaada ya kuzunguka vituo vitatu vya ukaguzi wa afisa wa zamu, Saidi wakati ana elekea kituo cha nne ambacho lazima afisa wa zamu akitembelee, ikulu ndogo ya mkoa, atua chake kabla ajakifikia aliliona gari la afande Rose, likitoka maali hapo na kurudi katikati ya mji, akaanza kuli fwatilia Toyota Harrer, kwa umakini mkubwa, kule liliko elekea, huku Said akitoa taalifa kwa boss wake kuwa amesha liona gari la Rose na sasa analifwatilia, “yupo na nani?” aliuliza afane Magige, “bao sija mwona mtu alienae kwenye gari na sija juwa kama anamtu, lakini nalifwatilia” aliongea Said, “ok! akiksha una fwatillia kila kitu” alisisitiza boss Magige, Said aliendele kulifwatilia gari la Rose, kila lilipo elekea, wakikata kushoto nayeye anao , wakikata kulia yumo, mpaka alipo waona wana ingia kwenye viwanja vya hotel moja kubwa Nyumbani Peace Lodge, ni sehemu iliyo changamka sana, upande wanje walionekana watu wengi sana wakiwa wame kaa kwenye viti vyao wamezunguka meza zilizo tapakaa vinywaji mbalimbali, Said aliliona gari la Rose likisimama kwenye maegesho ya hotel hiyo yeye akisimama upande wapili wa barabara, nakushuka kishaakaelekea kwenye ile hotel, macho yake yakiwa kwenye gari la Rose, akaona mlango wa upande wa abiria ukifunguliwa na akashuka kijana mmoja mdogo, na kuufunga ule mlango kisha akaelekea ndani ya ile hotel, said kwa kujificha sana asionekane na Rose, alimfwatilia yule kijana kule ndani, bahati ikawa upande wake, alimkuta yule kijana akiulizia vyumba “kuna vya elfu ishilini na tano, na vya hamsini elfu, nani kunakila kitu, na asubuhi una pata kifungua kinywa” aliongea dada muhudumu wa vyumba, huku Said akiwa amesha sogea karibu kabisa, kama vile na yeye ni mteja, “vya elfu hamsini vipoje, na vya elfu ishilini na tano vipoje?” said alimsikia yule kijana akiuliza, “vyote vina vitu vinavyo fanana, tofauti ni kwamba, cha elfu hamsini, kina chumba na sebule” alijibu yule dada huku akimgeukia Said “samahani anko wacha nimalizane na huyu nitakusikiliza” alisema yule dada, “hakuna shida dada, endelea nae mimi nasubiri” alisema Said akijiwa anesimama pamoja nao, pasipo Yule kijana ambae ni Edgar kujuwa kama anafwatiliwa, “ok! naomba cha elfu ishilini na tano” aliongea Edgar, kisha akaingiza mkono mfukoni na kutoa kiasi cha pesa za kulipia chumba, huku yule dada akitoa kitabu cha kuandikisha wageni wanao lala hotelini hapo, “ok! anko nawewe unaitaji cha bei gani?” aliuliza yule dada akimwambia Said, huku anapokea fedha toka kwa Edgar, kisha aka mpa kiabu aandike, “ngoja amalize ksha tutaongea maana mimi naitaji shot time” aliongea Said akitazama kwa makini sana maandishi ya Edgar, “hapa kwenye namba ya chumba niandikeje?” aliuliza Edgar akimtazama dada mhudumu, “ebu kwanzaaa… andika namba sita B,” alisema yule dada huku akiangalia kwenye sehemu ya kutundika funguo, kisha akaitoa funguoa moja yenye kibao kido kilicho andikwa 6 B, juu yameza kubwa ya pale mapokezi, mala simu ya Said ikaanza kuita “nakuja mala moja dada yangu” alisema Said akitoa simu yake huku akiogea pembeni, ambapo aliona Edgar asinge sikia maongezi yake, “ndio boss… ndio nipo hapa Nyumbani peace… ndio wanachukuwa chumba, ndiyo ndiyo… nakuja sasa hivi kukuchukuwa.. nimeishika mpaka namba ya chumba… nakuja sasa hivi sawa boss nawapitia.. we wapigie kabisa..” alimaliza kuongea Said, nakukata simu, kisha akaanza kurudi mapokezi “samahani dada nakuja nime pigiwa simmu naitajika sehemu mala moja,” alisema Said huku akimshuhudia yule dada mhudumu, akichukuwa funguo za chumba kutoka mezani, nakuongozana na Edgar kwenda kuonyeshana chumba, said akaondoka zake na kuelekea nje, akitokeza kwenye sehemu ambayo watu walikuwa waejaa wakiendelea na starehe zao, akanyoosha moja kwa moja kuelekea nje ya eneo ilo akilifwata gari leke alipo liegesha, ***** mida ya saa nne za usiku Suzane na Seline walikuwa wamesha maliza kula mapocho pocho waliyo andaliwa nyumbani kwa mzee Haule na mkewake, japo haya kunoga sana kutokana na tukio la Edgar kukamatwa na polisi, Suzane na Selina wakaaga huku mzee Haule akisisitiza kuwa wasubiri hiyo kesho wajuwe kinacho endelea, ikiwezekana waende wakambe shauli hilo liwe la kifamilia zaidi, na kuliondoa polisi, nusu saa baadae Suzane na Seline walikuwa wamesha fika nyumbani kwa Seline, huku mda wote Suzane akinung’unika juu ya matukio yanayo mkuta mpenzi wake, huku akizingatia alitegemea sku waleo kufaidi dudu aliyo ikosa si zaidi ya tatu, maana toka akutane na Edgar Suzane hakuwai kuikosa dudu atasiku moja, tena alikuwa anapewa zaidi ya mala moja kwa siku, ukiachia siku tatu alizo wai kuingia kwenye sikuzake kabla hajashika ujauzito, “ngoja kesho nikatoe kisi chochote cha fedha wamwachie Eddy wangu” aliendelea kunung’unika Suzane, “tena yule mwanamke mwenye vinyota ana roho mbaya yuleeee, yani nimemchukia ghafla” aliongea Suzane kabla ajastuliwa na simu yake iliyo ita, akaitazama namba iliyo mpigia ilikuwa ngeni, akaipokea “hallow..” aliongea Suzane baada ya kupokea na kuweka simu sikioni, “shikamoo dada Suzie” ilikuwa ni sauti ya Joyce, “malahaba Joyce mambo?” walisalimiana vizuri kisha Joyce akamsimulia Suzane kuwa amekutana na Sophia na Sophia anaonekana kuchukia kuondoka kwao yeye na Edgar, huku Joyce akificha wasi wasi wake juu ya Sophia kumtaka Edgar, “achana nae huyo, wewe ukiwa na lolote nijulishe nahii namba yako nina isave” **** Sophia kiukweli taalifa ya Suzane kuama dar ilimchanganya sana, “inamaana ndio na mkosa Edgar hivi hivi?” aliwaza Sophia akiwa chumba kwake amekaa kitandani huku meza ndogo ya chumbani kwake ime zungukwa na chupa nyingi za bia juu na chini, na chupa kadhaa zikiwa zimesha nyweka, “lakini atakama nikiwa nae si nitakuwa na share na mama” aliendelea kuwaza Sophia, “lakini bola alivyo ondoka, maana mwisho wasiku mimi na mama tunge kuwa vimada wa mwanaume mmoja, na kwanjisi mtoto alivyo mtamu yule sidhani kama mama ange kubari kuniachia” aliwaza Sophia huku akichukuwa simu yake na kuandika ujumbe, ‘Edgar na Suzane wame amia Songea’ kisha akaituma kwa mama yake’ ……

sms hiyo ilimkuta mama Sophi akiwa pembeni ya kitanda cha mumewe pale Tumbi Hospital, “pumbavu, huyu Suzie anawazimu nini? kwanini ame amkimbiza Edgar, anataka sisi wenzake tukose utamu, ngoja nitajuwa lakufanya” aliwaza mama Sophia baada ya kuisoma sms ya mwanae Sophia, mama Sophia ambae alikuwa anasubiri asubuhi ifike amchukuwe mume wake waondoke kuelekea nyumbani, ambako ane uguziwa hapo, aliendelea kuwaza namna atakavyo weza kuonana na Edgar, “nita mpata tu” liwaza mama sophi akimtazama mume wake ambae alikuwa amejilaza kitandani amepitiwa na usingizi, * Said baada ya kutoka ndani ya Hotel na kuingia kwenye gari, mala simu ikaita akaitazama alikuwa ni mzee Magige, akaipokea, huku macho yake akielekeza kule Hotelini, akamwona Rose akishuka kwenye gari na kuelekea ndani ya Hotel huku akiwa kwepa watu wawili mschana na mvulana waliokuwa wameshikana kimahaba, huku wakiyumba kwa ulevi “naam boss” aliitikia na mzee magige akamwambia kuwa amesha wataalifu askari watano kule line polisi, awapitie atawakuta kituoni wakimsubiri, “sawa boss, tena namwona Rose anaingia hotelini, wacha nifanye haraka ni wa pitie kisha nije nikufwate”, aliongea Said huku akimwona Rose akipotelea ndani ya jengo la Hotel, huku akizibwa zibwa na wapenzi wawili ambao nao walikuwa wananaingia humo ndani huku wakiwa wame shikana mikono wakipepesuka kwa ulei, lakini aikumzuwia Saud kumwona Rose alie kuwa amevalia sale za kazi, akakata simu na kuwasha gari kisha akaondoa gari kwa fujo akinusulika kuligonga gari moja Toyota Harrer jeusi kama la Rose lililo kuwa linataka kuingia Nyumbani Lodge, nusu saa baadae alikuwa pembeni ya kituo cha polisi cha wilaya akiwa chukuwa askari watano wenye maumbo ya ki bouncer kweli kweli, walio vallia sale zao za polisi, bila kuchelewa wakajaa kwenye Land cruzer V8, safari ikaanza ya kuelekea nyumbani kwa mzee Mgige, *** wakati huo bwana magige alikuwa sebuleni na mke wake, “haaaa kazi nyingine hizi ni usumbufu sana” alisema mzee Magige akisimama huku akijisonya sonya, “vipi tena mwnzetu?” aliuliza mke wake ambae alikuwa nae pale sebuleni waki tazama Tv, “kuna zarula huko kazini wacha kwanza nika waskilize mala moja” alisema mzee Magige akiinuka na kuelekea chumbani, ambako alibadilisha nguo na kuvaa nguo nadhifu za kiraia na viatu vyeusi, pia akachukuwa basora ya ke aina ya revolve, akatazama kama ilikuwa na Risasi, akaziona zipo kumi, akaisundika kwenye kiumo chake usawa wa lisani, akachukuwa kifia yake kubwa ya muara, waswahili wanaita pama, alaiweka kichwani likifunika nusu ya uso wake, kisha aka akatoka chumbani na kuaga kwa mke wake, alafu akatoka nje, ilikuwa ina elekea saa tano na nusu za usiku, wakati huo huo gari lake la kazini lilikuwa linaingia kwenye uwanja wa nyumba yake kubwa ya kisasa, liliposimama na yeye bila kuchelewa akaingia ndani yagari, akatazama nyuma ya gari, akaona vijana watano wakiwa wame Valia sale zao za kazi tulia kwenye siti zao wapotayari kwa kazi “amjambo vijana?” aliwasalimia, kisha wote kwa pamoja wakaitika, “atujambo afande” kisha mzee Magige Chacha akaendelea, “tuna elekea Nuymbani Lodge, pale kazi ni moja tu, kuna kijana anacheza na demu wangu, nacho itaji ni kumshikisha adabu,” aliongea bwana magige kwa uchungu mkubwa sana huku akikumbuka ghalama anazo tumia kwa mpenzi wake Rose, tena Jana tu ametoka ughalamia safari yake ya Dar es salaam alikuwa ameenda likizo, ilimtoka zaidi ya million kumi, “kwanza mkifika mna mlegeza huyo kijana alafu mna mpakiza kwenye gari alafu tuna ondoka nae, kitakacho mkuta huko, ata mimi bado sija kijuwa” aliongea bwana chacha huku akichukuwa simu yake na kumpigia Rose, “niambie mama hupo wapi?” aliuliza Magige baada ya simu kupokelewa na Rose, ndiyo na malizia mizunguko ya kukusanya Report kisha nika pumzike, vipi unaongea mida hii umwogopi mkeo?” aliuliza Rose huku mzee Magige akizuwia hasira zake za wazi zilizo zidi kipimo, “ok! poa nita kupigia” mzee Magige akakata simu, maanaamnge endelea kuhoji zaidi Rose ange stukia kuwa ame jaa hasira, “malaya mkubwa unachukuwa riport guest” alisema Mzee Magige akijisonya sonya kwa hasira, “mkuu we tulia tunachoomba usituwekee mipaka juu ya uyo kijana, kuhusu shemeji atuto mgusa” aliongea mmjoa kati ya wale askari, “hapo ume nikumbusha jambo, Rose msi mguse yeye nita malizana nae mwenyewe,” alisema mzee Magige huku Said akiendesha gari kwa speed ya zima moto, kuelekea Nyumbani Lodge huku Said akiendelea kutoa maelekezo, ya chumba walicho chukuwa na mwonekano wa Edgar, baaada ya dakika kumi na tano gari hilo linalo tumiwa na makamanda wapolisi wenye mamlaka kama ya bwana Magige Chacha , Tanzania nzima, lilisimama kwenye viwanja vya hotel hii ya Nyumbani Peace, na milango ya gari ikafunguriwa mala moja, askari wepesi wa vitendo walitumia sekunde tano kuwa wamesha shuka toka kwenye gari hilo wakimsubiri boss wao ambae alikuwa anashuka taratibu, kutokana na unene alionano, baada ya kushuka tum zee Magige kitu cha kwakukiona ni Toyota Harrer , alikuwa analifahamu vizuri sana akuwa na haja ya kulikagua au kuulizia maana yeye ndie alie enda kulichagua Dar es salaam na kumnunua kwa million 25, akimnunulia mpenzi wake huku akilisajili kwa jina la mpeziwake huyo ambae leo mida hii, alikuwa ndani anasaliti penzi lao la siri, “ok! mmoja abaki hapa asiingie mtu kwenye lile gari, tulio bakia twendeni ndani, watatu wapite mlango wa nyuma saidi na mmoja wenu aje na mimi” alisema bwana Magige akiongoza kuufata mlango wa Hotel huku uso wake ame uziba kwa kofia lake pana, Said na askari mmoja wakimfwata hukuwengine watatu wakieleka upande wapili wajengo ambako kuli kuwa kuna mlango mdogo wa kutokea, askari mmoja akabaki amesimama kwenye gari walilo kuja nalo huku macho yapo kwenye Toyota Harrer, kuakikisha hakuna mtu anaye ingia kwenye gari hilo, “Karibu anko naona umesha rudi” alisikika yule dada mhudumu wakati wanakatiza mapokezi, lakini akashangaa kuona akujibiwa kitu na wale watu wakikatiza huku mmoja akiwa ame valia sale za polisi, “mh! kumbe huyu kaka ni polisi?” aliwaza yule mhudumu huku akishangaa kuona polisi wengine wakitokea kwenye mlango unao okea upande wanyuma, ‘leo kuna nini.. au niwalee..” aliwaza yule dada mhudumu, akiwa shuhudia wale polisi waliougana na kufikia idadi ya sita, wakikatiza kwenye kolido huku wakitazama kwenye milango kukagua namba ya chumba, akawaona wakiendelea kukagua milango mpaka walipo potelea kwenye kolido la upande wapili, akiwa bado ame duwaaa, mala yule muhudumu akasikia mlango wa chumba kimoja ukigongwa kwa fujo sana, dakika chache baadae akasikia kishindo cha mlango ukivunjwa, hapo akatimua mbio kumfwata manage wa ile hotel, lakini kabla haja fika mbali akasikia mlipuko wa risasi, hapo zilisikika kelele za watu wakitawanyika na kukimbia vibaya sana eneo lote la bar na wengine wakitoka kwenye vyumba vyao na nguo mkononi huku bahadhi wakijifungia ndani kuogopa kutoka wakizani majmbazi wame vamia,…

Kiukweli pale hotelini palikuwa ni patashika.. watu walikimbia na wengine wakihacha magari yao, hapo wakaonekana polisi wanne mmoja wao ameshikilia bega akifuja damu, na wengine walio valia nguo za kiraia wawili wakitoka ndani ya hotel mbio mbio na kuingia Toyota V8 walilo kuja nalo, “tuondoke haraka tumesha, hapatufai hapa, elekea hospital ya polisi haraka” aliongea mzee Magige aliekuwa amevalia kofia yake kubwa ya pama, “sijuwi walicheza mchezo gani wale maana nili waona wakiingia kabisa” alisema said huku akiondoa gari kwa speed ya hajabu akiwa kosakosa watu walio simama nje ya eneo la Hotel wakishanagaa tukio la kusikika kwa mlio wa risasi, ilikuwa laima washangae wakina Magige, sababu walicho tegea ni tofauti na walicho kikuta , kumbe walipo fika kwenye mlango wa chumba namba mbili ‘B’ kwanza wakapokelewa na miguno ya kimahaba iliyo ashiria kuwa watu humo ndani wana peana dudu kisawasawa, tena sauti ya kike iliongoza kwa kupiga kelele, hapo Roho ya mzee Magige ililipuka kwa wivu na kuongezka kwa uchungu mala dufu, hapo mzee Magige akashika kitasa cha mlango na kuki nyong kwa nguvu, akitaka kufungua mlango, lakini mlango ulikuwa ume fungwa na zile kelele za kusikilizia utamu kwa sauti ya kike, zikiendelea kusikika, “huyu jamaa anajifanya fundi sana” aliwaza mzee Magige ambae ni afisa utawala wa jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma (kwa kipindi hicho) akukumbuka kuwa aijawai kutokea Rose kutoa sauti kama hiyo, atasiku moja wakati waifanya mapenzi, akaugonga mlango mala tatu mfululizo, kimya kimya akitumia ngumi, baada ya kwenzi kama tulivyo zowea, mala sauti za minung’uniko ya kimahaba zikakata, kimya kika tanda, mzee Magige akaginga tena kwanguvu sana huku akiwa ameshikwa na hasira utazani ame bakwa yeye, akika hawala anauma kuliko mke, “lazima alipie huyu mshenzi, leo na mgonga mwenyewe, huku Rose anashuhudia” aliwaza Magige Chacha, huku akirudia tena kugonga kwanguvu mlango namba mbili ‘B’ “nani wewee” ilisikika sauti ya kiume iliyo zidiwa na ulevi, “nime sema fungua we mshenzi, lasivyo tuna vunja mlango” alisema mzee Magige huku akigonga tena mlango kwa fujo, “vunja tu kwani nime jenga mimi?” kauri hiyo ili mchukiza zaidi Afande magige ambae alirudi nyuma kidogo na kumwonyesha ishala askari mmoja kwamba auvunje ule mlango, bila kuchelewa askari mmoja akarudi nyuma kidogo, kisha akaufwata ule mlango na kuukandamiza teke moja la nguvu, na mlango uka salimu amri, na kufunguka, wote wakazama ndani lakini ile wanaingia tu! askari mmoja ambae ndie wakwanza kuingia mle ndani, ali stuka akipigwa ngumi nzito ya shavu, kuona vile mzee Magige akachomoa bastola yake na kumlega kijana mmoja, ambae alikuwa huchi kabisa, alie mshambulia askari wake kisha akavuta kifyatulio kwa kidole chake, wakati anafanya hivyo akastuka akimwona yule kijana akimvuta yule askari alie pigwa ngumi na kujikinga, kitendo kilicho sababisha risasi ituwe kwenye bega la askari yule ambae mzee Magige alikuwa amekuja nae, hapo Magige akaona amesha aliibu kwa kumpiga askari wake mwenyewe nasiyo mgoni wake, akiwa bado ameshikwa na hasira Magige alimtazama tena yule kijana, huku ame nyooshea bastol, ambae, alimwona yule kijana akiwa uchi kabisa, huku bado alikuwa ame mshikilia ule askari kwa kumkaba shingo, wakati mzee Magige anajiandaa kufyetua risasi ya pili baada ya kupata malengo sahii, hapo akili ikamtuma atazame kitandani, ‘mala paaa’ akamwona mwanamke ambae mda wote, alikuwa anaamini kuwa ni mpenzi wake, alikuwa ni mwanamke mwingine tofauti, hapo akageuza shingo a kumtazama Said, macho yao yaka gongana, nili waona wanachukuwa chumba hiki, niliona kabisa yule kijana akiandika jina lake kwenye kitabu” aliongea Said huku uso wake umeshikwa na aibu, hapo Magige aka mtazama yule kijana ambae bado alikuwa ame mng’ang’ania yule askari, akamkodolea macho ya bumbuawazi, huku akishusha chini bastora yake taratibu, “tuondokee haraka” alisema Magige, kisha wakaanza kuondoka, huku yule kijana alie kuwa uchi, akimwachia yule askari ambae alikuwa ameshikilia begalake lililo kuwa lina vuja damu kwa wingi, wakaondoka zao, “washenzi kabisa hawa jamaa, watakuwa wametufananisha, na wale walio tuachia chumba”aliongea yule kijana akigeuka kumtazama mwanamke wake ambae alikuwa amesha mwaga mikojo mingisana pale kitandani, tuondoke hapa tuka tafute sehemu nyingie ya kulala?” alisema Yule mwana mke akitoka kitandani na kuzi fwata nguo zake, Unajuwa ilikuwaje,? kumbe Rose baada ya kumtuma Egdra aingie ndani ya Hotel akatafute chumba, na yeye kubaki ndani ya gari lake, alikaa sana akiona kuwa Edgar anaachelewa ni kutokana na kushikwa na hamu ya dudu, ambayo jana alichezewa tu!pasipo kulizishwa na mzee Magige,ambae wakati yupo safari alikuwa anachati nae akimsisitiza kuwai kurudi, akidai kuwa nahamu sana, lakini ile kukutana jana usiku alimgusa gusa tu kisha akamwaga mzigo akaaga na kwenda kwake, Rose alisubiri sana simu ya Edgar bila mafanikio,ataleo alipo kutananae alijiona kama yupo ndotoni, nandio maana akutaka kumwachia Edgar aondoke na yule mdada wanguvu alie jitambulisha kuwa ni mchumba wake, “lakini yule dada anafaidi mweee! lakini siyo mbaya nika kuwa mke mwenzake” aliwaza Rose huku macho yake yapo kwenye mlango wa hotel, akitalajia kumwona Edgar akija kumwita wakapeane dudu, lakini akastuka kumwona Said akitoka kwenye ile hotel, “mh! huyu amefwata nini hapa” Rose anamfahamu vizuri sana said, kwani Said licha ya kuwa dereva wa mzee Madige, pia ndie kibasha wa mzee Magige pale anapotaka kumpelekea mzigo wowote kwa Rose, kwahiyo Rose pia alikuwa anafahamu kuwa Said anafahamu yote kuhusu mahusiano yake na afande wake Magige, “atakuwa ameshtukia huyu, lazima atamwambia Magige,” alijisemea Rose akimwangalia Saidi akitembea haraka haraka kutoka nje ya Hotel, Rose alipotazama mbele ya Said yangi ng’ambo ya barabara, akaliona gari la boss wake ya afande Magige Chacha, hapo Rose akajuwa hakuna usalama, maana Said asinge weza kutumia gari hilo usiku namna hii bila kibari toka kwa mzee Magige, “ametumwa, huyu ebu kwanza” alisema Rose akifungua mlngo wa gari na kushuka kisha akaanza kutembea haraka kuelekea ndani ya hotel, nusu awakumbe wapenzi wawili, mwanamke na mwanamume vijana kabisa, walio onekanakuzidiwa na kilevi, “he! afande vipi kuna wezi nini nikusaidie kuwakamata” aliongea yule mwanaume, kwa sauti ya kilevi, wakati Rose akiwakwepa ili asiwasukume kutokana na haraka zake, “nawewe unajishaua tu hapo, basi umesha mtamani dada wawatu” aliongea yule wakike, “weweeee! lazima ni mwulize kamanda mwenzangu, kama kuna tukio je?” alijinadi yule mwanaume, huku Rose akiwasikia maongezi yao na kucheka kimoyo moyo, “awa wanajeshi wanapenda kulewa, lakini kazi zao ngumu” aliwaza Rose akitembea kuelekea ndani, huku wale wapenzi wawili wakifwatia nyuma yake, “hapana kamanda mwenzangu, nina zarula tu” alijibu Rose huku akitazama kwenye kolido na kumwona Edgar akija usawa wake, ameongozana na mhudumu wa vyumba, “vipi ume shindwa kuni subiri?” aliuliza Edgar akiwa ameshikilia fungua mkononi, “si’unajuwa tena nimeogopa nitaibiwa, eti! ume mwona mkaka mmoja hivi amevaa jezi ya machester?” aliuliza Rose huku akiwaona wale wapenzi wawili waki sogelea sehemu ya mapokezi, “yule mbabahishaji, alikuwa hapa ametoka sasa hivi?” alijibu yule mhudumu wa Vyumba akionekana kukelwa na Said, “ok! kamanda mwenzangu” aliongea Rose akichukuwa funguo za chumba mkononi mwa Edgar, huku yule kijana mlevi aliekuwa na mpezi wake, akigeuka na kumtazama Rose, “unaniita mimi afande?” alisema yule kijana, “ndio hapa tupo wawili tu makamanda, ebu kamata funguo hii, kapumzike na wifi yangu” aliongea Rose akimpatia funguo yule kijana, kisha akusubiri swali wala mshangao, akamvuta mkono Edgar, “pamesha chafuka hapa, tuondoke haraka,” alisema Rose huku wakitembea nakufuatwa na Edgar aliekuwa amemshika mkono, “poa poa afande salute kwako” alisema yule kijana mlevi, kwa sauti yake ya kilevi, kisha akamshika mkono mpenzi wake, “we dada chumba nambaaa…. mbili ‘B’ kipo wapi?” yule kijana alimwuliiza mhudumu, ambae alikuwa ameduwaa, Edgar na Rose walielekea kwenye gari, huku Rose akiangalia gari la mzee Magige la kazini, akuliona, akajuwa tayari mpambe amesha ondoka, nawakaingia ndani ya gari lao kisha Rose, akaliwasha gari na kuanza kuondoka, huku wakiliona garo jingine kama lao, Toyota Harrer jesi likisogea pale walipotoa gari lao, “wajinga kweli awa ime kula kwao” alisema Rose huku akiingia barabarani, nakukanyaga mafuta nagari kuongeza mwendo, “unajuwa ujaniambia yule jamaa ni nani?” aliongea Edgar ambae alikuwa amejawa na wasiwasi sana, “wala usijari baby, nimjiinga mmoja hivi anataka kuaribu siku yetu” alijibu Rose kimasihara, “laini hyo jamaa nilimwona kweli tena alisogea pembe kuongea na simu kabla ajaondoka” alisema Edgar huku bado akionyesha wasi wasi sana, punguza wasi wasi mwanaume, unawanawake wawili wazuri alafu unaanzaje kuwa muoga” alisema Rose akiusogeza mkono mmoja kwe dudu ya Edgar ilyo kuwa ndani ya suluali na kuibinya binya, “mh! ndo ume legea hivyo punga wasi wasi ukanipe utamu” Rose aliongea huku akipunguza mwendo na kukata kona ya kuingia mtaa wa mahenge kisha akaenda mbele kidogo, akakata tena kona ya kulia akaingia mtaa ulio onekana kuwa tulivu sana, na wenye nyumba kubwa za kifahari, hapo akazipita nyumba kama tatu zenye fensi kubwa, alafu aka paki gari pembeni ya bara bara, sehemu ambayo ilikuwa na giza na kuzima taa za gari “nyumba yangu ile pale” alisema Rose akionyesha nyumba moja iliyopo ndani ya fensi moja kubwa ya ukuta wa tofari, ulio zunguwa na taa juu yake, na gate kubwa la chuma, nalo lilikuwa na taa mbiili kubwa, kushoto na kulia, ilikuwa umbali wa mita kama ishilini toka pale walipo simamamisha gari lao, mala Rose akasikia simu yake ikiita, ndicho kipindi alicho pigiwa na mzee Magige, akimwuliza yupo wapi, “yupo njiani kwenye gari, nazani anaenda pale Hotelini” alisema Rose akiamia siti ya nyuma na kuibetua siti yambele aliyo kuwa mekalia wakati akiendesha gari na kuilaza kwa mbele, kisha akaibetua ya Edgar na kuilaza kwa nyuma, na kumfanya Edgar ambae akularajia kitendo kile ajikute amelala chali akiegemea kile kiti, hapo Rose akaanza kuufungua mkanda wa suluali wa Edgar, “lakini Rose unge juwa kwanza kinachoendelea, ndio tunge anza haya mambo” alisema Edgar ambae wasi wasi ulimzidi sana, lakini Rose haku yajali maneno ya Edgar, akaendelea kumfungua mkanda kisha zip alafu akaitoa dudu ya Edgar na kuitikisa kidogo, akahiona ikianza kustuka kidogo lakini tofauti na siku zote uwa ina sttuka mala moja, “punguza wasi wasi mpenzi mbona hivyo” alilalamika Rose huku akipanda kaa vizuri na kuchuchumaa kwenye siti ya Edgar akimweka kati kati huku akiipandisha sketi yake iliyo mbana mapajani mpaka ilipo panda mpaka kiunoni, alafu akaipeke nyua chupi yake kwa mkono wa kushoto huku wakulia uki ikamata dudu na kuanza kuipitisha pitisha kwenye kitumbua chake, “usiwe hivyo bwana mwenzio nina hamu” aliongea Rose kwa sauti ilio toyokea puani, “usijali Rose utachoka mwenywe, lakini ujuwe jamaa yako akitukuta hapa ni hatari” alisema Edgar ambae sasa alianza kuhisi mtekenyo kwenye kichwa cha dudu yake ilyo kuwa ikipitishwa pishwa kwenye mdomo wa kitunbua cha Rose, “wala usijari kwanza natamani kuachana nae aamishwe kabisa, alisema Rose ambae baada ya kufanya kusugua kitumbua chake kwa kichwa cha dudu kwa sekunde kadhaa, akaanzakuona dudu ikisimama, akaikamata vizuri na kuilengesha kwenye kitumbua chake kisha akaanza kujishusha taratib akiikaria, mala akasikia redio call ikiita, “hallowa oscar ascar, meseji toka Charle Papa over,” ilisikka sauti ya kike kwenye Redio, hapo Rose akajuwa kuwa niyeye ndie anaye takiwa kujibu, “haaaa! wamesha anza awa wajinga” alisema Rose ambae alikuwa yupo juu ya Edgar dudu ikiwa ndani yakitumbua, huku akiichukuwa radio call kwenye dash board, Edgar yeye alikuwa anafungua kishikizo kwenye shati la Rose la kipolisi na kulichomoa ziwa moja kwenye sidilia ya Rose na kuidimbukiza chuchu mdomoni mwae na kuanza kuimung’unya, Rose huku akisikilizia mteenyo wa mdomo wenye joto, akabonyza kitufe kinacho mruhusu kuongea “Charle Papa, send over” alisema Rose, kisha aka achia kidude cha kuongealea nakuanza kuzungusha kiuno chake taratibu, huku Edgar akiemdelea kumung’unya chuchu ya Rose, “Oscar kunatukio lime tokea hapa mjini, location ni east, sielar tango mapambano, katika hoteli ya nyumbani peace, narudia nyumbani peace” kuna watu wame vamia na kushambulia kwa risasi, tumesha toa askari waende huku taalifa mgao kwqa fierd office na RCO” iliongea ile sauti ya kike kwenye Radio call, hapo Rose huku bado anakata kiuno tarabu juu ya Edgar, na Edgar akiendelea kunyonya ziwa lake, akabonyeza kitufe cha kuongelea “Charle meseji copy naelekea huko, over and out” hapo Rose akaiweka Redio call pembeni na kuanza kunesa nesa juu ya Edgar akifanya dudu ya Edgar ifanye nje ndani, Rose akaona aitoshei akainamisha kichwa chake kawa Edgar na kulengesha midomo yake kwenye modomo ya Edgar, kisha wakaanza kupena mate, huku Rose akianza kutoa miguno ya utamu, “mhhh asante Eddy, nilikumiss baby..”ghafla wakastuka baada ya kuona mwanga mkali wa taa za gari ukija upande wao …

wakasitisha zoezi lao, wakaganda utazani movie imewekwa pause, Rose akiwa ameikalia dudu iliyozama ndani ya kitumbua chake, alibonyea kidogo ili ule mwamga wa gari ambalo lilikuwa lina kuja upande wao likitokea kule walikotokea wao , na kuli mulika kidogo gari lao kutokea nyuma, kutokana na kuwa walikuwa wameliegesha pembeni kidogo, wakatulia huku kila mmoja akisikia mapigo ya mwenzake, sambamba na pumzi, wakaliona lile gari likiwasogelea zaidi na huku likipunguza mwendo, kila lilivyozidi kuwasogelea, atimae liliwapita na kuongeza mwendo, awakuwa na haja ya kuliangalia uwa ni gari gani, hapo Rose akajiinua kidogo na kuifanya dudu itoke kwenye kitumbua chake , “mh! baby muhoga, yani imesha nywea” alisema Rose na kucheka kwa sauti ya chini, akaishika na kuanza kuichezea ile dudu, “una zani Rose inaonekana huyo jamaa yako nihatari sana, maana jinsi ulivyo nifwata ndani ya hotel, ulionekana kuwa na wasiwasi sana” alisema Edgar huku akipeleka mikono yake yote miwili kwenye mashavu ya Rose na kumshika maka ame ya kummbatia, “Rose mama, kwanini usiende kwanza huko ulikosema hupo njiani unaenda, kisha tutafute sehemu tuenjoy mpaka asubuhi?” alisema Edgar, lakini Rose kama ajasikia kitu, akaendelea kuandaika na dudu ya Edgar, baada ya akikipekecha kichwa wazi, cha dudu kwa mda wa dakika mboja na sekunde kadhaa, dudu nayyo ikaitikia wito, na kusimama, hapo utazani baiskeli ime fika mtelemkoni, Rose akaikengesha dudu kwenye kitumbua na kuikalia, kisha akaanza kujipump, akinesa nesa, kama vile anatakakuruka kichura chura, walitumia dakika saba nzima wakiwa vile huku Rose akibadirish mapigo, mala chuchumae mala akae nakuzungusha kiuno mala ajibinue na kupiga mapigo ya michomo ya nyigu, yani dondola linavyo choma sindano, licha yakuwa Edgar alikosa amani moyoni mwake, lakini alijitahidi kumsapot mpenzi wake wa siri, iliwawai kumaliza mchezo “nishike kiuno baby “alisema Rose wakatti Edgar alipokuwa ame shika mabega ya Rose, Edgar aliamisha mikono toka mabegani kwenda kiunoni kwa Rose, “ huuu! haaaa! mhh! mhh! nishike kwanguvu baby, hen!heeeee hivyo hivyo” alisema Rose akiongez kasi ya kuzungusha kiuno, “tugeuke ili tumalize haraka” alisema Rose huku akijiinua toka kwa Edgar kisha akampisha Edgar ambae aliinuka na Rose aka jiegemeza kwenye kile kiti akitazama siti akawa amebong’oa, huku kiuno amekibinya kwa chini na kubinua makalio yake Rose akaivuta chupi yake pembeni na kuacha wazi kitumbua chake, hapo Edgar akaikamata dudu yake na kuilengesha kwenye kitumbua cha Rose, akaichezeasha kwenye mlango wa kitumbua kwa kuipaluza mala kadhaa kabla ya kuiingiza dudu ndani kabisa ya kitumbua, ikifwatia na sauti ya Rose, “hoooooo! asante baba” **** huku nako kiukweli kabisa Suzane hakupata usingizi kabisa, mda wote alkiwa macho akiwaza juu ya mpenzi wake kulala kituocha polisi, pasipo kujuwa kuwa mwenzie anakibarua kizito zh kukata kiu ya Rose, yeye alikiona kitanda kikubwa kuliko kawaida, “yani saa hizi ningekuwa nimesha pata vyakulalia , na hivi atuja fanya siku ya nne leo” aliwaza Suzane hku akijigeuza guza pale kitandani, kwenye chumba cha wageni nyumbani kwa rafiki yake Seline, “kesho mapema Suzane ani peleke kwanza nyumbani kwakina Eddy ndio aende kazini, mimi nitaenda kulipot baada ya kwenda kituo cha polisi na wazazi wa Eddy” aliendelea kuwa Suzane, “wacha ni katoe kiasi chochote cha fedha, Eddy atoke polisi, alfu huyu Seline amesha anza, asije kuni fanyia kama Sophia” mawazo yalimsonga Suzane, “ila yule dada yeke anaoneka mtata sana” **** masaa mawili nanusu yalikuwa yamesha katika, toka tukio la kusikika mlio wa Risasi litokee pale Nyumbani lodge, polisi wa doria walisha fika eneo la tukio saa limoja na nusu lililo pita, na sasa walikuwa wamesha maliza kufanya uchunguzi katika eneo la tukio, pamoja na kuchukuwa maelezo kwa wahudumu na manage wa Hotel, ndie aliepiga simu polisi, sasa polizi wale walikuwa wawe kaa nje ya jengo la poli wakimsuburi afisa wa zamu ambae waliambiwa mda mrefu kuwa yupo njiani anakuja, atimae saa saba na robo ndipo walipo liona gari aina ya Toyota harrier jeusi likiinia pale hotelini, lika simama na akashuka Rose, moja kwa moja akawasogelea wale askari sehemu waliyo kuwepo, mkubwa waoakawaamulu kusimama na kutulia kisha akamsalimia kwa salamu ya salute, Rose naye akaitikia, kisha yulealie mpigia salute akaanza kumpa report, ambayo ilieleza kama ifwatavyo, mteja wa hotelini hapo, alie jandikisha kwa jina moja la Edgar alikodi chumba namba mbili B, akiwa na mpenzi wake, ndipo walipo tokea watu walio valia kipolisi na kuvamia bila kutoa taalifa kwa uongozi wa haotel wakavunja mlango wa chumba hicho namba mbili B, na kufwatia na mlio wa risasi, mteja wa chumba hicho pamoja na mpenzi wake wametoweka aada ya tukio, almaliza mtoaji report, “ok! katika mlijaribu kuwa hoji wahudumu” aliuliza Rose akiwa na wasi wasiwakuusishwa na tukio, “kiukweli afande kunakitu ambacho kime andikwa kwenye maelezo ya wahudumu kina tuchanganya jidogo” alisema yule askari na kutulia kidogo, kisha akaendelea “inasemekana kuwa polisi wale, waliondoka na gari la polisi lenye namba PT….” alisema yule polisi huku akizitaja namba za gari la polisi, “namba zilizo tambuliwa uwa ni za gari linalo tumiwa na admin officer” hapo Rose akamkatazama yule askari ambae alionyesha kugundua mausiano yake na mzee Magige, maana alionekana kusita sita kulitaja jina la mtumiaji wa gari hilo, “ok pelekeni taalifa sehemu usika, na mimi yakwangu nitaitoa asubuhi” alisema Rose na kurudi kwenye gari, akafungua mlango nakuingia ndani ya gari akafunga mlango, “ok! niambie baby wapi sasa kwao au kwangu?” aliuliza Rose, akimtazama Edgar ambae alikuwa ame kaa set ya pembeni akiona mapicha picha, “mimi na kaa kwa wazazi sina kwangu” alisema Edgar ambae alionekana kuzidiwa na usingizi, “kwako unako sana, sema mchumba wako amekuja, ebu ngoja” aiongea ROSE akichukuwa simu yake na kuipiga, baada ya sekunde kadhaa ikapokelewa “AO Maguge hapa, nikusaidie tafadhari,” ilisikika sauti ya mzee Magige akongea kwa utulivu kama vile ni simu ya kazini, “habari za jioni afande” alisalimia Rose, akijuwa kabisa kutokana na uongeaji ule mzee huyu alikuwa nyumbani kwake mida ile, “safi kunalolote?” aliitikia mzee Magige, “ndio afande, niliitwa hapa Nyumbani Lodge kuna tukio la shambulio la Risasi lime tokea, una juwa lolote maana gari lako lina usishwa” alisema Rosenia yake ikiwa ni kutaka kujuwa kama huyu mzee yupo nyumbani, iliyeye akakeshe na Edgar, pili amvurge akili aspate wazo la kumfwatilia usiku ule,”ok! tutaongea kesho mapema” aliongea mzee Magige na simu ikakatwa, “mmmmmmwaaaaaaa, twende kwangu ukanipe tamu tamu” aliongea Rose baada ya kumpiga busu la mdomo Edgar, kisha safari ikaanza* ilikuwa saa kumi nambili na nusu asubuhi, ndio da ambao Seline alimshusha Suzane kwenye uwanja wa nyumba ya mzee Haule kuleLuhila seko, kisha Seline akigeuza gari huku akimwambia rafiki yake suzane kuwa anaenda kuomba luksa ili awafwate waende kituo cha polisi,alafu wakaikague nyumba aliyo mtafutia, kisha ampeleke kuripot, nampaka hapo mizigo itakuwa imesha fika kutoka dar, Suzane alimshuhudia Seline akiondoka zake, huku akipishan na Toyota harrier likija na kusimama karibu yake,

Suzane akasimama na kuliangalia huku akivuta kumbukumbu kwamba aliliona wapi, akaona milango yote miwili ya mbele ikifunguliwa upande wake alishuka Edgar, hapo Suzane alakumbuka kuwa gari ilo aliliona kituo cha polisi jana usiku, hapo Suzane alitokambio na kwenda kumrukia Edgar ambae alimdaka Suzane juu juu,huku akiyumba kutokana uzito wa mpenzi wake huyo ambae ukiachilia kuisikia sauti yake akuwa akuwa amemwona kwa siku tano , “pole baba, jamani umeachiwa” alisema Suzane huku akining’inia kwenyekifua cha Edgar, na mikono ame izungusha shingoni kwa mpenzi wake huyo, Suzane alimtazama Edgar usono na kumlamb abusu la mdomo, “nimetoka mama, nime furahi kukuona alisema Edgar waiwa bado wame kumbatiana huku watu waliokuwa wakipita njiani wakiwa angalia, ilibakia kidogo Suzane alambe ulimi wa Edgar, lakini akakumbuka kuwa Edgar alikuja na mtu mwingine ambae ndie mmiliki wa gari walilokuja nalo, Suzane akatazama pembeni ya gari upande wa mbele, akamwona yule afande wakike alie mkatalia kumwachia Edgar jana, “karibu dada, karibu sana” alisema Suzane akimwachia Edgarna kumsogelea yule polisi, ambae naye alimfwata Suzane, “asante sana dada yangu,, ulisema unaitwa nani vileee” alisema yule polisi huku wakipeana mikono, “naitwa Suzane, karibu sana” alisema Suzane bado wakiwa wameshikana mikono, “asante sana dada Suzie, mimi naitwa Rose,” alisema Rose huku Edgar amesimama pembeni akiwa tazama, “nimefurahi kuku fahamu Rose, “henhee! inakuwaje kuhusu Edgar, ndio ame rudi moja kwa moja, au ndio atatakiwakwenda kituoni tena?” aliuliza Suzane wakiwa bado wame shikana mikono, “hapana dada Suzie, wala husiwe na wasi wasi, kwanza naomba usi nielewe vibaya kuhusu jana, sababu nilishindwa kumwachia wakati hule mme kuja, sababu wale askari mlionikuta nao wange waomba lushwa, nikaona niwai asubuhi kabla awaja pelekwa nahakani, ila chakufanya ongeeni na huyo jamaa aliepigwa ili muongee kifamilia, maana Edgar amesema ni mume wa dada yake, nakama akikataa kwasababu yeye ni mwizi mkamripot kituoni, lakini msi ende kituoni pasipo kuni julisha” alisema Rosekisha wakaongea mengi sana ikiwa ni kupeana namba za simu Rose na Suzane, kisha wakaagana huku Suzane akimshukuru sana Rose, ambae nae alionyesha uchangamfu wa hali yajuu, akaingia ndani ya gari lake na kuondoka kuelekea mjini, “Edgar ana mchumba mzuri,” aliwaza Rose akiwa njiani anaelekea kwa kamanda msaidizi wa polisi mkoa, kutoa Repot, “mh! alivyo changanyikiwa huyu dada, lakini lazima achanganyikiwe maana sio kwa shughuli ile ya Eddy” alisema Rose, huku akikata kona ya mahenge akiiacha bara bara kuu ya kwenda Dar es salaam kupitia mikoa ya kusini, nakuingia makumbusho ya mashujaa wa majimaji, akanyoosha kuelekea idara ya maji mkoa, “wacha nika malizie kutoa repot kisha nika lale yani hapa nnajihisi kama jana nililewa, ila huyu Magige atajibeba, mimi naaenda kutoa repot kama nilivyo pewa,” aliwaza Rose akiwa anaikamata tena barabara kuu iendayo Iringa, na kukata kushoto, kuelekea polisi mkoa, **** usiku m0zima uliopita bwana kalolo alikuwa anawaza namna ya kufaidika kutokana na vurugu za Edgar, akiamini kwamba endapo ata dai fidia kubwa toka kwa mzee Haule kwa kisingizio cha kumtoa Edgar polisi, lazima atapata yale mashamba ambayo mzee Haule aliyagomboa kutoka kwake baada ya kulipa fedha alizo mwazima, kwaajili ya Edgar kuendea chuoni, “lakini sito fanikiwa pasipo kumshirikisha Kazole, maana yeye ndie alie umia zaidi,” aliwaza bwana kazole ambae alikuwa ame amka mapema sana na kumwamsha mke wake ili aandae chai kwaajili ya kumpelekea mgonjwa, maana alikuwa na uwakika kuwa ata familia yake aijuwi yupo wapi, siyo kwamba bwana kalolo alikuwa anampenda sana Kazole hapana, lengo ni kumtumia kazole ambae alimfahamu vizuri yeye na mkewake, wasivyo na upendo na familia ya mke wake, dakika kumiaadae mzeee Kazole alikuwa kwenye boda boda akielekea Hospital, ambapo alichukuwa kama dakika kumi na tano tu! kufika Hospital, ambapo alimkuta bwana Kazole akiwa ndio anaonyesha uafadhari kidogo, “pole sana bwana Kaozole” alisema mzee Kazole, “nisha poa kaka, vipi umeenda kurepot kituoni?” aliuliza Kazole, “sikia wewe bwana, achana na mambo ya Polisi, kwanza kesi inaweza kukugeukia, hapa ni kumalizana kinyumbani, tuyachukuwe yale mashamba” alisema kwa msisito bwana kalolo, “tena walisema yule mchumba wake angekuja jana, kama amekuja itakuwa safi sana, maana yule mwanamke wake ana fedha ya kutisha, kwajinsi aliyo papendezesha kwa mzee Haule, we fikilia ile kufika tu kwao, nikapewa fedha ya kutosha mimi na wife tukafanye shoping” alisema kazole huku akikumbuka jambo, “henee ebu ni pigie simu mke wangu maana toka jana hajafika kuniona, najuwa awajuwi nipo wapi” alisema Kazole akiomba simu kwa mzee Kalolo, ***** saa limoja baadae toka Edgar na suzane aingie nyumbani kwa mzee Haule, nakupokelewa nabinti wa kazi, tayari Edgar alikuwa ameshaoga maji ya uvugu uvugu na sasa walikuwa wana kula viazi vitamu ya kuchemsha na maziwa yang’ombe, huku wakitazma Tv habari za matukio katika television moja ya pale pale mkoani, iliyo andaliwa na Suzane, wakiwa mezani wana pata supuwawli tu! mala wakamwona dada mkubwa wa Edgar akitoka chumbani huku akiwa amevalia gauni lake pana lamoja kwa moja, huku amejitanda upande mmoja wa kitenge alicho pewa na mama yake, “habari wifi,” alisalimia Suzan lakini dada yake Edgar akapita kimya kimya, bila kuitia, kwamwendo wa fujo huku akiliza sendo zake, paa! paa! paa! nusu amgonga binti wakazi alie kuwa anatokea nje kuja ndani, “utazani huoni, mama akiamkamwambie mume wangu amenipigia simu kumbe yupo Hospital nimeendea kumwona”alisema mke wa bwana Kazole na kutoka zake nje, Edgar akujali sana ila Suzane alishangaa sana, “usijari Suzie, nime mzowea huyo” alisema Edgar huku akiendelea kula viazi vya kuchemsha na maziwa, “mh! lakini inapendza sana pale mtu anapoelewana na ndugu wa mume wake” alisema Suzan huku kwenye Tv walikuwa wakitangaza tukio lililo tokea jana usiku Nyumbani Lodge, “mh! kumbe na huku Songea kuna matukio hen?” alisema Suzane wakiendelea kusikiliza habari, ambapo kamanda wa polisi mkoa alikuwa anaongea na waandishi wa habari “na pia mdafupi uliopita tume pokea taarifa ya tukio jingine la kukutwa mwili wa askari wetu wakike akiwa amefariki kwa hajari ya kugongwa na gari, ambae jana usiku alikuwa kazini,

Taalifa tulizo zipata nikwamba, WP Anifah usiku wa kuamkia leo, baada ya kumaliza zamu yake alipigiwa simu na mtu ambae ajafaamika mpaka sasa, akimtaka wakutane wa lengo la kumpeleka nyumbani,” mpaka hapo Edgar na Suzane waka shusha pumzi, baada ya kusikia jina la askari elie patwa na hiyo ajari na kupoteza maisha, maana wote waliofia asije akwa Rose, ambae kila mmoja wao alimchukulia kwa namna yake, wakati Suzan akimchukulia Rose kuwa ni mtu wenye upendo na huruma kwa kumtoa Edgar kituo cha Polisi, lakini Edgar alimchukulia kama mwanamke wake wa siri, “unajuwa miminilizania nyule afande Rose aliekutoa kituoni,” alisema Suzane, “atamimi nlizani kuwa ni yeye, dah! ila inauzunisha sana” alisema Edgar huku mama yake akiingia sebuleni akitokea chumbani kwake, “hoo wanangu mekuja, vipi mama uli enda kumtoa usiku ule ule?” mama Edgar alishangaa kuona Edgar yupo pale asubuhi ile wakati anajuwa anashikiliwa na polisi, kwakosa la kumpiga shemeji yake, “ametolewa na polisi mmoja hivi, shikamoo mama” alijibu Suzane akiinuka na kusalimia kwa kukunja goti kidogo, kamaulivyo utamaduni wetu washwahili wengi, “malahaba mwanangu He! ndiyo mme amkia makaba (viazi vitamu) wenzenu tullivyo yachoka” aliongea mama Edgar huku akitafutasehemu ya kukaa, “viazi ndiyo vita mwongeza nguvu, maana jana sijuwi kama alikula jioni,” hapo Edgar aka kumbuka haraka haraka, nikweli jna hakukiona chakula cha jioni, hapo akatabasamu kidogo, “shikamoo mama” alimsalimia mama yake, “malahaba mwanangu,” aliitikia mama Edgar wakat huo baba yake yani mzee Haule alikuwa anaingia subuleni kama kawaida anavuta mguu wake, japo kwa sasa alikuwa atembei na fimbo, “nime sikia sauti yako Tayson, vipi sasa huyoo mwizi mwenyewe yupo wapi?” aliuliza mzee Haule akiingizia utani, “shaulizako akusikie mke wake” alisema mama Edgar kwa sauti ya chini, wote wakacheka kicheko cha chini chini, “ametoka hapa kimya kimya, suzan ame msalimia lakini yeye ame kaa kimya” alisema Edgar kisha akasalimiana na baba yake, wakati huo huo simu ya Edgar ika iua kuangalia alikuw Rose, kwanza alisita kupokea, lakini baadae akajikaza na kupokea, “hallow habari za kazi, dada Rose” alisalimia Edgar baada ya kupokea, na kumfanya Rose acheke kidogo, kwa ungeajiule wa Edgar Rose alijuwa kabisa kuwa Edgar alikuwa jirani na Suzan, “safi tu! eti unamkumbuka yule dada aliekuwepo pale kituoni?” aliuliza Rose, “ndiyo nakumbuka,” alijibu kwa mkato Edgar, akiofia kuongea sana asije kuharibu mambo, “amegongwa na gari jana usiku, tena nahisi ndie alie toa taarifa ya kuwa nime kutoa mahabusu, kwa yule mzee Chacha,” alisema Rose, “wewe umejuwaje, kuwa yeye alitoa taalifa kuwa ume nitoa kituoni?”aliuliza Edgar, kwa mshangao, akianza kuona hatari iliyopo mbele yake, huku Suzan pamoja na wazazi wake wakimsikiliza pasipo kusikia muongeaji wa upande wapili, “ lazima itakuwa hivyo maana, maana hap anime sikia story za watu wanasema kuwa alikuwa anatembea na mzee Chacha, kabla yangu” hapo Edgar alishindwa kuongeza neno, maana ange onekana, anahuusiano zaidi ya ule wa kawaida, unao fahamika, “ok! kazi njema” aliaga Edgar, kisha akakata simu, “Suzie una mkumbuka kuna dada mlimkuta pale kituoni?” aliuliza Edgar huku akiendelea kula, mama Edgar mdawote alionekana kumtazama sana Suzan kamakuna kirtu anachukunguza, toka kwa mkwe wake, “namkumbuka sana yule dada, amefanyaje?” aliuliza Suzane “kumbe ndie huyo walie kuwa wanatangaza kuwa amegongwa na gari,” maongezi yakaendelea huku Suzane na Edgar wakiendelea kunywa maziwa na viazi vitamu, * wakati huo kweli Rose alikuwa yupo kwenye jengo la mkoa akiwa anajindaa kuondoa zake aende akapumzikenyumbani kwake, baada ya kkesha usiku kucha kwa kazi na michezo yao na Edgar, kiukweli Rose alistushwa sana na taarifa ya kugongwa na gari, kilicho mfanya astuke ni kwamba, alikuwa anausisha kifo cha dada huyo na tukio la jana usiku, ni baada ya kugundua kuwa Anifah alishawai kuwa mpezi wa mzee Magige Chacha, kwahiyo taalifa ya jana kuwa yeye yupo na Edgar aliitoa yeye kwa mzee Magige, na mzee Magige alipoona kuwa ameingizwa kwenye matatizo akaamua kumwangamiza mwanamke ambae amemsababishia, kweli kabisa mzee Magige ame mwacha ameitwa kwa RPC. akienda kuojiwa juu ya gari lake napolisi kuonekana kwenye tukio, huku maagizo yakitolewa kuwa atafutwe dreva wake, Said iliawataje walio usika na tukio hilo, shaulizake nani alimwaambia aning’ang’anie” aliwaza Rose ambae hapo alikuwa na ratiba ya kwenda kupumzika, kisha aende kuangalia maduka yake ya vipodozi, kisha akajiandae kwaajili ya mazoezi ya jioni maana ndio starehe yake kubwa sana , ukiachia hii aliyo iongeza kwa sasa ya kupeda dudu ya Edgar, “huyo nita mtafuta siku mchumba wake akianza kazi,” aliwaza Rose akiingia kwenye gari lake na kuondoka zake, *** huku na ko numbani kwa Maee Haule Edgar na Suzan waliingia chumbani kwaajili ya kujiandaa kwa safari ya mjini ili Suzane akaripot kazini, wakipitia kuangalia nyuma ambayo Selina aliitafuta, Suzan alimpigia Seline simu awafwate na kwamba wao wana jiandaa, lakini mambo yaka badirika baada ya kuingia chumbani, baada ya kujiandaa kazi ikaanza, wakaanza kufanyiana michezo ya kimapenzi huku, mpaka walipojikuta wameangukia kwenye mchezo wa kuingiziana dudu, ambapo walijikuta wakitumia lisaa lizima pasipo kujuwa kuwa mzee Haule amepigiwa simu na mzee Kalolo akimtaka wakutane ili wazungumze juu ya Edgar kufanya fujo na kuharibu vifaa dukani kwake, wakapanga jioni maana Edgar na mchumba wake wanatoka, baada yahapo mzee Haule akamwagiza mkwe wake, alie muoa binti yake mdogo, bwana milinga, aende kwa mzee Ngonyani akamwambie aje jioni, kwaaajili ya kuliongelea swala hilo la Edgar, Huku wakiwa bado chumbani Edgar na Suzane wakiendelea na yao, iifikia kipindi Suzane alijikuta akiongea “usiingize sana utanuumiza mtoto” mwanzo Edgar akuelewa, lakini baada ya kumaliza, hku wakistuliwa na mschana wakazi, kuwa Seline amesha fika, “eti Suzie ulisema kuwa nitamuumiza mtoto?” aliuliza Edgar wakati wanajiandaa baada ya wote kutoka kuoga kila mmoja akioga peke yake kutokana na kuogea bafu la wau wote, “Eddy nlikuwa sija kuambia, kwa sababu atukukutana tokea nilipo juwa kuwa nina ujauzito ambao una karibia miezi miwili sasa” alisema Suzane , hapo ulifwatia ukelele wa shangwe toka kwa Edgar, “inamaana nitakuwa baba” alisema Edgar” huku akimkumbatia Suzane na kumbusu Suzane kwenye paji la uso, “siyo baba wa mmoja, kuna watoto wengine wana kungoja,” aliongea Suzan akimtazama Edgar usoni, wakiwa bado wamekumbatiana, “lakini hao wengine simiaka hijayo, maana lazima watoto wapishane angalau miaka ata mitatu,” alisema Edgar huku akibiga tena busu la kwenye paji la uso, mpezi wake Suzane, “mh! wapishane, Sophia ana mimba Joyce ana mimba, sijuwi wengine” maneno haya ya Suzane yalimstua sana Edgar, nusu aanguke kwa kohoro, lakini Suzane akamdaka, “he! vipi tena we Eddy,” alisema Suzane, huku akimshikilia Edgar alie anza kustuka na kujiweka vizuri, akasogea kwenye kitanda na kukaa “samahani sana Suzane, kiukweli sikujuwa nifanye nini pili uliniingiza wewe mwenywe kwenye mitego ya sophia na Joyce” aliongea Edgar na kumsimulia jisi Sophia alivyo mvullia nguo sebuleni, siku ile ambayo Suzane alimwambia Edgar aende akamsindikize shambani, akaeleza jinsi Sophia alivyo shindwa kutimiza dhamila yae baada ya mama yake kuja kwa Sophia, pia akaeleza jinsi Sophia alivyo tembea na pasipo kujielewa baada ya kilevi kuwazidia sikuile nyumbani, alieleza pia jinsi alivyo lala na Joyce sikuile baada ya kumkimbia mzee Mashaka nyumbani na kwenda kulala kwenye chumba cha Joyce, huku Edgar akificha kuhusu mama Sophia, Suzane naye alimweleza Edgar nakmsimulia mkasa wote,ulio mkuta siku ile aliyo tekwa na mzee Mashaka pia akamweleza juu ya Joyce na huduma alizo amua kumpatia Joyce, akisema yeye ananeno kwasababu anaanini kuwa lilikuwa kosa lake, kuficha uusiano wao siku za mwanzo, “naamini kwa sasa hakuta kuwa na tatizo tena, au sio mume wangu?” mwonekano wa Suzane wa uchangamfu, ulimfanya Edgar arudi kwenye hali yake, ya mwanzo, dakika kumi baadae walikuwa njiani na Selina wakielekea mjini, kupitia seed farm kuiangaia nyumba, huku mzee Haule akiwa amesha msisitiza Edgar, ajitahidi saa kumi jioni awe nyumbani kwaajili ya kukutana na bwana kalolo waongee swala la uu8alibifu wa malizake dukani, pia na matibabu ya bwana Kazole, ***** mwanzo akili ya bwana kalolo ilikuwa ni kujipatia mashamba ya mzee Haule, niyale aliyo yakosa mwanzo, lakini baada ya kukutana na mke wa bwana Kazole ambae ni binti wa kwanza wa mzee Haule, na kumweleza kuwa amekuja mchumba wa Edgar alie saidia kubadirisha maisha ya wazazi wao na kwamba atakuwa na fedha nyingi sana, hivyo ipangwe mipango mizuri ya kuwakamua fedha, kiukweli mzee huyu ambae alimwona binti wa mzee haule kuwa hajitambui, na niwatu ambao anaweza kuwa dhurumu fedha zote watakzo jipatia kwa wazazi wao, “kama mtu anataka kujipatia fedha kiudanganyifu kwa wazazi wake, anajitambua kweli huyo,?” aliwaza bwana Kalolo, ambapo walisisitizana kuwa saa kumi wote wawe nyumbani kwa mzee haule, kasolo bwana Kazole ambae atakuwa Hospital, mida ya saa sita mchana mke wa bwana kazole yani dada yake Edgar, alitoka na kuelekea kwa wadogo zake wawili akiwa taka kuhudhuria kikao cha familia kitakacho amua atima ya matibabu ya mume wake na malipo ya bwana Kazole, akiwa sisitiza kuwa wawai saa kumi kamili, ***** Suzane Edgar wakiwasaidiwa na Seline walifanikiwa kupokea mizigo na kuhamia kwenye nyumba yakupanga, kwa msaada wakukodi watu wakushusha na kupanga vitu ndanihuku gari lake likiwa salama kabisa, mpaka saa kumi na nusu ndipo walipo maliza kupanga vifaa ndani ya nyumba, “he! jamani saa kumi nanusu, ebu tuwai kwenye kikao, mamaa ona missed call kwenye simu yao” alisema Suzane huku akimpatia Edgar simu yake, “nani aliwaambia waniibie,” alisema Edgar wakati wanaingia kwenye ari la Seline na kuanzakuondoka wakiwa wamesha funga mlango wa nyumba yao, “alafu usisahau kufanya kama alivyosema afande Rose,” alikumbusha Suzane hku gari likiondoka kuelekea ruhuhila seko, ambapo ni umbali mchache sana toka seed farm, nimitaa iliyopakana, **** huku wa mzee haule watu wa nane walikuwa wame kaa kwenye viti mbele ya nyumba ya mzee Haule, huku wakijadiliana kuhusu ghalama za ualibifu alioufanya Edgar na matibabu ya Kazole, ni baada ya kuona Edgar na mchumba wake wame chelewa, japo mzee Haule aliomba sana wamsubiri Edgar, “kiukweli ghalama ya milioni kumi uliyo isema bwana Kalolo ni kubwa sana, na atuwezi tuka sema aambiwe mgeni kuwa tuna takiwa tulipe fedha kamahiyo, na biashara yangu bado sija ipeleka sokoni,” alingea mzee Haule, “tatizo bwana haule yani nikikuonyesha picha nilizo piga wakati nakuja huku uwezi kuamini ualibifu alio ufanya kijana wako, sasa mimi nitashije?” alisema bwana kalolo, akiitoa simu yake ya kisasa aliyo uziwa na bwana Kazole miezi mitatu iliyopita, huku akionyesha kuto elewa maneno ya mzee Haule, mzee Haule aliiona ile simu nikama ina fanana na ye aliyo ibiwa miezi mi tatu ilyo pita, “bwana Kalolo unataka kusema duka lakolina thamani ya milioni kumi?” aliuliza mzee Ngonyani ambae alialikwa na mzee Haule ili aweze kuongoza kikao hicho, hapo mzee Kalolo akaonyesha amstuko kidogo, “ndyo kwanini nidanganye” alisema mzee Haule akinyesha kama kajazba kidogo, “sasa tuta juwaje, au tuta thibitishaje kama kweli hilo duka lako lina thamani hiyo?” aliongea tena mzee Ngonyani, kwa sauti ya taratibu kama mwanzo, “kama vmna taka uthibitisha basi tuende mahakamani, ebu nikuonyesha hizi picha” hapo mzee Kalolo aliongea kwa jazba kali, akibonyeza simu yake kutafuta picha alizo piga dukani kwake mda mchache uliopita, mzee Haule bado macho yake yapo kwenye simu ya bwana Kazole, akamnong’oneza kitu mke wake, wakati huo huo dada mkubwa wa Edgar, yani mke wa bwana Kazole, akadakia “kwanza huyu mwalifu mwenyewe yupo wapi, siunaona alivyo na zarau, ata simu ataki kupokea” hapo ika fwata maongezi yasiyo na mpangilio kutoka kwa dada zake Edgar, “ela za watu zilipwe, na shemeji atibiwe, aiwezekani mtu afanye vurugu kamahizo, kisa ati anamchumba sijuwi anaela, sisi atuelewi hilo”kelele hizo zili kwama baada ya kuona gari la Seline likisimama pale nyumbani, pembeni kidogo na walipokuwa wame kaa wakiendeleza maongezi yao, “huyooo, anakuja afadhari” aisema shemeji yake Edgar bwana milinga, wote walikuwa wame geuza shingo zao ata bwana Kalolo aliacha kuchezea simu yake ambayo mpaka dakika hiyo hakujuwa kama nisimu ya mzee Haule, ambayo ilimsababishia kuumizwa mguu na kulazwa hospital, wote kwa pamoja wkawaona Edgar Suzane na Seline wakishua toka kweny gari, kwa wale dada zake wawili wa Edgar walishangaa kumwona Edgar jinsi alivyo nawili, pia walinong’onezana kuonyeshana mchumba wa Edgar, yaani wifi yao, ambao waliwaona wakija mpaka walipo kna kuanza kuwa salimia mmoja baadaya ya mwingine, japo tofauti zilikuwepo walipo kuwa wakiwasalimia wakina dada, walionekana kutazama pembeni, huku wakibetua midomo, mambo yali geuka zaidi, baada ya kufika kwa mzee Kalolo, Edgar alipoiona simu ya mzee Kalolo, kengere ya tahadhari ikagonga kichwani mwake, kile kitendo hakikuwa kwake pake yake, ni kwa Suzane na Seline, ambae alikaa akimfundisha mzee Haule jinsi ya kuitumia, Selina akamng’oneza jambo Suzane, wakati wakikaa kwenye viti vyao, wakati huo Edgar akwaza na kuwazua, kwamba ile simu ina fanana kabisa na simu ambayo alinunuliwa baba yake na ikaibiwa mala moja, huku baba yake akiachwa na maumivu ya mguu, na kwa jinsi alivyo msoma mzee Kalolo ni mtu wa kununua vitu vya wizi, “kwanza samahani sana jamani kwa kuchelewa, tulikuwa tunapokea mizgo toka dar” aliongea Edgar na mzee Ngonyani akamtoa wasi wasi, na kwamba ame fika kipindi kizuri kabisa, akamweleza jinsi walivyo kuwa wanazungumza, na madai yamilioni kumi ya mzee Kalolo, yakiwa ni malipo ya duka lake, ikibaki ghalama za matibabu ya bwana Kazole, “ok! hyo fedha ni ndogo kabisa, naina weza kupatikana” aliongea Edgar na woe wakashangaa kso;o Suzane peke yake ambae alikuwa anafedha nyingi sana benk na taslimu , huku mzee Kalolo akiachia tabasamu pana la ushindi, “ila kabla ya yote, kunakitu naomba nikuulize mzee Kalolo, hiyo simu ume itoa wapi?”

Hapo mzee kalolo akastuka kidogo, akaitazama simu yake kanakwamba ajuwi ameshika simu gani, “nini hii simu?, nimeitoa wapi kivipi wakati siu yangu” alisema mzee kalolo huku akiwa amesha kumbuka wazi kabosa kuwa simi ile aliuziwa na bwana Kazole, “hivi hapa tume kuja kuulizana habari za simu au, ebu ongea vitu vya maana?” aliuliza mama Semeni ambae ni dada wapili wa Edgar, kisha akadakia dada watatu wa Edgar, “alafu amekosa heshima kabisa, muone kwanza, lazima vitu vya watu vilipwe” alimalizia kwa kusonya na kubetua midomo, hapo Edgar aliwatazama dada zake hao kwa macho makavu yaliyojaa hasira “samahani dada sijawai kuwa kosea adabu ata siku moja, ila nyie siku zote ndio mnanikosea, akika msije kuombea niwakosee adabu” wote wali tulia wakimtazama Edgar ambae kila mmoja alikili kuwa hakuwai kumwona Edgar akiwa na hasira kiasi kile, “ilesimu ina fanana na simu ambayo tulimtumia baba, akaibiwa kwa kupigwa na kuumizwa mguu, mlifurahi kwa sababu kuna mlicho kipenda zaidi ya wazazi wenu, maana mlishindwa kwenda kumwona baba Hospital” alisema Edgar kwa sauti kavu yenye kila dalili ya hasira kali, walikuwa kimya wakimsikiliza, huku bahadhi ya watu wakitikisa vichwa vyao kukubaliana na Edgar, kasolo dada zake watatu wakongozwa na mke wa bwana Kazole, wao walitazama pembeni huku wakibeza beza kwa kubetua midomo kwa zarau, huku bwana Kalolo alikuwa anatetemeka, akiona kile ilichomtokea kazole jana kinafwata kwake, ikiwa bado haja sahau maumivu yakungoka kwa jino lake bila ganzi, “nakuuliza tena mzee kalolo, hiyo simu umeipata wapi?” aliuliza Edgar, akiwa amemkazia macho mzee kalolo ambae alikuwa anajitaidi kujizuwia hasionekane wazi, jinsi anavyo tetemeka, “inamaana mimi nimeiba simu ya baba ya yako?, we! kijana chunga mdomo wako, mi naona bola iliswala tukaliongelee mahakamani,“ alisema mzee kalolo kwa hasira, huku akiinuka na kutaka kuondoka, “samahani baba kabla ujaondoka, tunaomba tuitazame kwanza hiyo simu, kuna majina nili ya save kwe simu, ata kama imebadilishwa line yale majina yatakuwepo, na pia nili andika jina la baba mzee Haule, kwenye creen seva, kama ni yenyewe tuta juwa tu,“ alisema Seline, huku tayari Edgar alikuwa ameinuka kutaka kumzuwia mzee kalolo asiondoke, “jamani heee! kwani simu kitu gani?, mpaka kivuruge kikao?” aliuliza mke wa bwana kazole , “mwanangu najuwa uwezi kujuwa maana yake, kwasababu ujuwi maumivu niliyoyapta baada ya kumizwa mguu wangu” alisema mzee Haule kwa mala yak kwanza huku akimtazama binti yake, Edgar alimsogelea mzee kalolo na kuchukuwa simu, akampa Seline, “jamani samahani, naomba niongee ukweli, hii simu aliniuzia bwana Kazole” alisema mzee Kalolo kwa sauti tuliivu iliyojaa uoga, wote wakaduwaa na kumtazama mzee Kalolo, “weeee! baba we! usimsingizie mume wangu, sema hiyo simu ulikoitoa” aling;aka mke wa bwana Kazole, “sija danganya, wala sija msingizia, ukweli ni kwamba aliniuzia hiyo simu miezi mitatu iliyo pita, kiipindikile mmekuja kunilipa lile deni langu” alisema mzee Kalolo huku dada zake wawili Edgar wakiwa weme duwaa, wakimtazama mzee Kalolo na ku,tazama dada yao, “inamaana dada una fahamu tabia ya mumeo, ebu ona ulikuwa tayari baba avunjwe mguu pengine auwawe kabisa, kwaajili ya fedha na simu” alisema Edgar, na mama yake akadakia, “tena tuna wapigia simu wanasema ende akachukuwe fedh alizo nywea pombe zika mtibu, kumbe nyie ndio me mkaba baba yenu, kweli mwanangu, atakama anakunywa pombe si’fedha zake, kwanini mkampole?” alisema mama Edgarv kwa sauti ya uchungu, akimtazama mwanae mke wa bwana Kazole, “lakini mama kweli mimi sijuwi lolote,” alijitetea dada mkubwa wa Edgar, “hapana lazima unajuwa, na wewe ndie ulie shilikiana na mumeo, mtoto umekosa huruma na kwa baba yako, tena mkatoa na maneno ya kashfa, sasa huyo mwizi wako simtaki hapa nyumbani kwangu, akitoka huko hospital mtajuwa pakwenda, na wewe mzee, tukutane mahakamani, tuka pambane huko huko mwizi mkubwa wewe, tena Edgar ukumkomesha na wizi wake” alimaliza kuongea mke wa mzee Haule kisha akasimama, akawatazama mabinti zake wawili walio akiwemo mama semeni, ambao walikuwa wame tulia wakitazama chini kwa aibu, “na nyie inukeni muende majumbani kwenu kama mlipanga kugawana million kumi, sasa zamu ya huyu mwizi kutia hiyo fedha ya kushiriki kumkaba babayaenu, muondoke na nisi waone tena hapa, mitoto hisiyo na huruma” alipomaliza mama Edgar akamtazama ESzane ambae alikuwa amekaa, karibu na Seline na Edgar, mama pole kwa majanga haya, karub ni ndani mkale maana tuliwaandalia chakula toka mchana,” alisema mama Edgar, wakina Edgar wakainuka na kumfwata mama, lakini kabla awajafika mbali, mzee Haule akasema “sasa mama Eddy tumtambulise kwanza mgeni kwa mzee Ngonyani” wote wakasimama, “ngoja kwanza watoto wakale, alafu tutawatambulisha, nyie kaeni pale kunyweni bia inakuja nyama ya mbuzi, “ alisema mama Edgar kisha akawatazama mabinti zake, nyie visilani ondokeni sie tuendelee na sherehe zetu za kukaribisha mkwe wangu,” alisema mama huyu kisha akaelekea kwenye mlango wanyumba kubwa akifwatiwa na wageni wake, **** naaaam maisha yalianza hivyo kwa Suzane baada ya kufika Songea, ilikuwa nizaidi ya changamoto, baada ya kushuhudia ndoa ya wifi yake na bwana kazole ikivunjika huku wifi zake wakirudi kwa mama yao na kuomba msamaha, wakati huo huo mzee Magige na vijanawake waliamishwa sehemu mbali mbali, huku mzee Magige mwenyewe akiamishiwa Tabora, ikiwa ni msaada wa RPC akiwaokoa kwa kesi ya uvamizi wa hotel,

ilisha pita miezi saba na week kadhaatoka Suzane aamie Songea licha yakufungua ofisi zao binafsi za usanifu wamajengo na kununua nyumba yao na mashamba makubwa ambayo wali weka mifugo mingi sana kuanzia kuku bata ng’ombe mbuzi nk. pamoja na kuongeza gari jingine moja aina ya Toyota wish, pia Suzane alichukuwa likizo ya mwaka na kwenda Iringa kwa wazazi wake kumtambulisha mume wake mtarajiwa, wakiongozana na mzee Ngonyani kama mshenga, posa ilipokelewa, vizuri bila pingamizi, Suzane aliendelea kuwasiliana na Joyce huku akimtumia fedha za matumizi kila mala, akuruhusuwa kuwasiliana na Edgar, Joyce ambae na yeye ujauzito wake uliendelea kukua vizuri pasipo matazo yoyoye alikubariana na shalti la kuto kuwa siliana na Edgar,

Edgar aliendelea na shughulizake za kutengeza ramani za majengo makubwa ya serikali na taasisi binafsi, pia alijitaidi sana kumwonyesha upendo wa hali ya juu mke wake, na kumfanya suzane au mama kijacho ajisikie furaha muda wote, tatizo la Edgar aliendelea kuwasiliana na Rose kwa siri ambae alikuwa ni fafiki mkubwa wa Suzane na Seline ambae ali wakutanisha Suzane mwenyewe, pasipo kujuwa kuwa Rose na Edgar ni wapenzi wasiri,

Siku moja suzane akiwa katika matazamio ya kujifungua, alikuwa ame kaa sebuleni huku Edgar alikuwa jikoni ana mkaangia mayai, mala Suzan akaona simu yake ikiita, akaitazama iliuwa namba ngeni, akaipokea, “hallow habari” alisalisalimia Suzane mala baada ya kupokea simu, “mambo Suzie,”ilisikika sauti ya kike upande wapili, aikuwa ngeni masiikioni mwake, akajaribu kuikumbuka niyanani “poa habari za wapi?” aliuliza Suzane kwa mtego, pengine ange nge fahamu ninani, “haaaa! best ume nisahau, Sophia hapa, habari za Songea” hapo mapigo ya moyo ya Suzane yaka ongeza speed kwa mstuko, lakini akajikaza, “safi tu za dar,?” aliongea Suzane akihisi kijasho chembamba kiki mtoka, “huku safi nilitaka nikujulishe mambo mamwili, mwenzio nime pata mtoto wakiume, pia mama yupo Hospital amejifungua mtoto wa kike,” taalifa hiyo ya Sophia aiku mstua sana Suzane, japo ilimshangaza kidogo, “he ina maana mama alikuwa mjamzito?” aliuliza Suzane wakati huo Edgar alikuwa anakuja sebuleni na saani ya mayai ya kukaanga na grass mbili za maziwa, “ndiyo tume pishana siku moja kujifungua, sasa nilikuwa naomba uni saidie kitu kimoja” alisema Sophia, “wala usijari best, sema tu nikusaidie nini?” aliongea Suzan akitaka Edgar asijuwe anaongea nanani, “msaada mdogo tu best, nitafutie nyumba, nime amishiwa Songea mjini” kiukweli hapo Edgar ambae alkuwa ajuwi Suzane anaongea na nani akashangaa mpenzi wake akikata simu na kuiweka kwenye kochi, akajishika tumbo na kiuno huku akikunja sura, kuonyesha kuwa alikuwa katika maumivu makali.“mume wangu nipeleke Hospital”

Alisema Suzane huku akiendelea kujishika tmbo na kiuno upande wa mgongoni, “vipi tena Suzane, kuns nini?” Edgar aliongea kwa huku akionekana kustushwa na tukio lile, “chukuwa lile begi langu lenye vitu vya kujifungulia twende unipeleke Hospital Eddy, uuuwwwwiiiiiii jamani mimi leo” hapo Edgar akamnyanyua mpenzi wake utazani mtoto mdogo, akamwingiza ndani ya gari, kisha akarudi ndani na kuchukuwa ule mkoba ambao mke wake aliununua mwezi mmoja uliopita, na fedha kiasi cha laki tano, alafu akaichukuwa simu ya mke wake akaizima kisha akaenda kwenye gari, hapo safari ya Hospital ikaanza, huku Edgar akipiga simu kwa mama yake na pia kwa Selina na Rose ambae sasa alikuwa rafiki wa karibu wa Suzane, **** Saa nane mchana ndani ya Hospital ya Pelamiho iliyopo nje ya mji wa Songea, ndani ya mji mdogo wa pelamiho, ndani ya Wadi moja ya VIP, walionekana ndugu jamaa na marafiki wa Edgar na Suzan, wasio pungua ishilini, huku wengi wao wakiwa wame valia sale za wafanyakazi wabenk, na zawadi zao mikononi, walikuwa wamezunguka kitanda cha wagonjwa, kilicho laliwa na Suzane ambae alionekana akiwa amemshika mtoto mikononi mwake, kila mmoja akimsifu mtoto yule kuwa kiume kuwa ni mzuri,, kwa maana hiyo Suzane alijifunguwa salama kabisa mtoto wa kiume aliepewa jina la Eric.

Licha ya kuwepo kwa watu kama mzee Haule na mke wake, mzee Ngonyani kijana Milinga Shemeji yake Edgar, Seline na Rose, lakini dada zake Edgar alikuwepo mmoja tu ambae ni yule dada mkubwa aliekuwa mke wa bwana Kazole, wale wengine awakuwepo, kwani bado walikuwa na kitu mioyoni mwao, japo mwenzao alikuwa amegutuka toka upumbavuni, wao waliendelea kumchukia Edgar na mke wake wakidai anamajivuno anajiona sana nk. Siku ya pili mchana, Suzane aliluhusiwa na kurudi nyumbani, wakiwa ndani ya gari wanarudi nyumbani, mtoto akiwa ame pakatwa na suzane mwenyewe licha ya uweo wa binti wa kazi mle ndani ya gari, ndipo Edgar au baba Eric akakumbuka jambo, “hivi kabla ya kushikwa na uchungu ulikuwa unaongea nanani kwenye simu?” aliuliza Edgar, “haaaaa naomba usini kumbushe tena ebu ngoja kwanza naomba simu, Yangu ” alisema Suzan akionyesha kuingiwa na unyonge wa ghafla, Edgar akampa simu Suzane, Suzane akaiwasha maana toka jana Edgar aliizima simu kuofia kusummbuliwa kwa mama mzazi “yani huyu mshenzi anataka namie Nachingwea” alisema Suzane huku akitafuta ile namba ngeni iliyo mpigia jana, alipo ipata akaipiga, na baada ya mda mfupi ika pokelewa, “hahahahahahaaa niambie best” alipkelewa na sauti ya Sophia iliyo ambatana na kicheko, nikicheko kilicho kuwa kelo kwa Suzane, “eti ulisema unaamia wapi?” aliuliza Suzane bila kuitikia salamu ya Sophia, “hahahahahaaa wacha unikatie simu best, hahahahahahaha” Sophia aliendeleza kicheko ambacho kili mwambukiza Suzane na yeye akajikuta akicheka, kicheko kilicho ambatana na hasira, “besti nilikuwa naakutania, siwezi kukufanyia hivyo wangu, kilichobaki tulee watoto,” kauli hiyo ili mfanya Suzane aachie tabasamu la matumaini, “asante Sophi kweli ume amua kitu kizuri, na mimi nimesha jifungua mtoto wa kiume” alisema Suzane sasa akionekana kurudi katika hali yake ya kawaida, “fungua data ni kutumie picha za mwanangu na mdogo wangu, yani mtoto wa mama” alisema Sophia, “ok poa ila mwambie mama miezi mitatu mbele tuna tarajia kufunga ndoa, huku huku Songea” alisema Suzane, siyo kwamba ali mshangaza Sophia peke yake, alimshangaza na Edgar pia, ambae akuwaza kama kuna kufunga ndoa, hapo wakaagana na kukata simu, “afadhari, dah! alitaka kuni changanya huyu kichaa” alisema Suzane akimwambia Edgar, ambae mda wote alikuwa anaendesha gari huku akifwatilia maongezi ya mke wake, “nani huyo sophia?” aliuliza Edgar, “ndiyo eti alisema anataka kuamia Songea,” hapo Edgar na yeye aka cheka kidogo, una cheka unazani mazuri hayo?” alisema Suzan akimpiga kikofi kidogo Edgar, kwenye bega lake la kushoto, Edgar akaachia tena kicheko “kwahiyo mwezi wa tano tunafunga ndoa?” aliuliza tena Edgar baada ya kumaliza kucheka, “ndio, una taka mpaka tupate mtoto mwingine akute bado atujafunga ndoa, alafu mwanamke wako amejifungua mtoto wa kiume” aliuliza Suzane huku akifungua data, kwenye simu yake, zikaanza kuingia messeji za whatsap kwenye simu yake, akaanza kuzi soma na kuzi jibu, nyingi zilikuwa za kumpongeza, kutokana na kujifungua, kasolo moja tu! ilitoka kwa Joyce, ikimjulisha kuwa amejifungua mtoto wa kike, Suzane akaisoma kimya kimya pasipo kumjulisha Edgar, zaidi ya hapo mpaka wanafika nyumbani Suzane alikuwa ajapokea messeji ya picha toka kwa Sophia, nyumbani walipokelewa vizuri pia walikuta seline amesha wapokea wazazi wa Suzane, waliotokea Iringa kuja kumtazama mjukuu wao,

Wazazi wa Suzane walikaa hapo siku tatu yanne wakaondoka kurudi Iringa wakipanga kurudi miezi mitatu ijayo kwaajiri ya kudhuria sherehe za harusi ya binti yao Suzane, kutokana na kuwa busy na mtoto Suzane akajikuta akikosa mda wa kutumia simu, na kutoka na utokuwa na tabia ya kuingia sana kwenye internet akuwa ame washa data kwa mda wa siku zote nne tokea atoke Hospital, siku hiyo baada ya Edgar kurudi stend kuwasindikiza wakwe, akamkumbusha jambo Suzane “hivi Sophia alikutumia picha?” aliongea Edgar akionyesha shahuku ya kutamani kumwona mwanae alie zaa na Sophia, “ok! ngoja niwashe data, alafu unajuwa kuwa Joyce amjifungua mtoto wa kike?” aliongea Suzane huku akichukuwa simu yake na kuwasha data, “mh! kwa huyo.. mefukuzana,” aliongea Edgar kwa mshangao, huku akikumbuka kuwa mama sophia nae alisha waiuanguka nae mala kibao, lakini akuwa na taalifa nae, “sasa je? unzani mzigo ulio utunza miaka yote hiyo utamwacha mtu salama?” alisema Suzane huku messeji za whatsap zikiingia mfurulizo mpaka kale kamlio kaka taka kustuck, hapo Suzane akaanza kuitafuta namba ya Sophia, akaipata akaona kuna picha nne zimetumwa, akazifungua, macho yake yakakutana na picha ya watoto wawili wanaofanana sana huku mmoja akiwa amevalishwa kigauni cha pink, kuonyesha ni wakike, na mwingine akiwa amevalishwa kikaptula na tishet “mh! kwani amejifungua mapacha?” aliuliza Suzane, huku Edgar akichungulia zile picha, ni watoto wawili waliofanana na mwanae aliezaa na Suzane, huku picha nyingine pia wakiwa moja moja wame shikwa na mzee Mashaka, “ebu subiri” aliongea Suzane akionekana kubadirka sura, na kuwa mwenye wasi wasi, akapiga simu kwa Sophia, “hallow kwani ume jifungua mapacha” aliuliza Suzane bila salamu, “mh! best ata salamu, huyo mwingine ni mtoto wa mama” hapo suzane akamtazama Edgar usoni, huku simu bado hipo sikioni, “hallow, hallow Suzie unanisikia?” ilisikika sauti ya Sophia, huku Suzane akiwa bado ame iwka simuyake sikioni anamtazama Edgar, kisha akamtazama mtoto wao ambae alikuwa amelazwa kwenye kakitanda kake kenye neti, alafu akamtazama tena Edgar, huku macho yame mtoka kama ameona kitucha hajabu usoni kwa Edgar, “ina maana mama nayeye….” aliongea Suzane, na Sophia akadakia, “ndiyo amejifungua, si’nilikuambia” Suzane akuwa na maana hiyo, “sawa msalalimie mpe hongera yake, alisema Suzane kwa sauti ya unyonge, “tena amesema tuta ongozana wote kuja kwenye harusi ya yenu” kauri hiyo ilimchanganya sana Suzana, japo aliji taidi kujibu, “karibuni sana” hapo Suzane akakata simu huku anamtazama Edgar kwamacho yaliyo jaa uzuni, alifanya hivyo kwa sekunde kazaa, kisi cha kuanza kumwogopesha ata Edgar mwenyewe, lakini ghafla Edgar akamwona Suzane akingua kicheko kikubwa sana, Suzane alicheka kama dakika nzima hivi na kumfanya Edgar anayeye atabasamu, lakini tabasamu la wasiwasi, mwisho suzane akatulia kidogo, “samahani kama nitakuwa nime kukosea mume wangu, hivi ulilala na mama Sophi,?” aliuliza Suzane, akimtazama Edgar usoni, hapo Edgar akaitikia kwa kutikisa kichwa juu chini, akimaanisha kuwa ndiyo, “mh! hivi awa ni vichaa kweli, kwahiyo walikuona wewe ndie mtuwao wakuwaburudisha?” alisema Suzane huku akitikisa kichwa kwa masikitiko, “lakini sizani kama itajirudia tena, sasa siwezi kuingia kwenye mitego kizembe zembe” alijibu Edgar kwa sauti nzito yenye utulivu, happo Suzane akamkumbatia Edgar “nakuamini mume wangu, lakini husiwe lege lege mpaka ile mimama inakubaka” wote wakacheka kidogo, “ila wewe unge kuwa padre unge wabaka masister, siyo kwa usongo huo, ulio kuwanao” alisema Suzane kisha wote wakacheka sana**** Naam miezi mitatu mbele Edgar na Suzane walifunga ndoa, katika kanisa la mtakatiffu Teresia la Matogoro mjini Songea, ikifwatiwa na sherehe kubwa sana, iliyo fanyika katika ukumbi wa NYUMBANI PEACE VILLAGE, iliuzuliwa na watu wengi sana, wakiwepo wakina Joyce na Rafiki yake Nancy, Sophia na mama yake, ambao wali fikia nyumbani kwa Suzane huku Suzane na Edgar wakiamia kwa mda nyumbani kwa mzee Haule, pia waliudhuria wakina Rose na polisi wenzake wengi sana ambao kwa kiasi kikubwa walishirikiana na wafanya kazi wa benk, ya wananchi, walio ongozwa na Seline, kufanikisha sherehe hii kwa michango na mauzurio ukumbini na kanisani, ***** upande wa mzee Mashaka ambae alikuwa anampango kabambe sana wa kulipiza kisasi kwa kijana Edgar, alishindwa kufanya hivyo baada ya kupata tatizo la kudumu la mguu, na kugunduwa kuwa Suzane na Edgar wame amia Songea, japo baada ya mke wake kujifungua na mtoto kufanana na mtoto wa Sophia, alianza kuisi kuibiwa, maana mwanzo kabisa mke wake alimjulisha kuwa amepata ujauzito wake, kutokana na tendo walilo fanya siku moja kabla ya siku ya balaha, lakini akajipa moyo kuwa kufanana mtu na mjomba wake siyo vibaya kwasababu ni damu yake, mzee Mashaka akawa mtu wa kutembelea magongo na kiti cha matairi, huku ofisi zake akiamishia nyumbani, akuweza tena kwenda Full dose kumvizia binti wajana, ambae na yeye baada ya kutoka Hospital, alipata bwana ambae alimpatia mtaji wa ubuyu na bisi, sasa anauza pale mbezi mida ya jioni, lakini siku moja moja akipata bwana anamshughulikia, ***** , Edgar na mke wake wana ishi vizuri na kwa amani kubwa sana, huku wakipeana mapenzi ya mke na mume, dada zake wawili Edgar mwishoe walkubari matokea, na kuishi vizuri na kaka yao na wifi yao, Bwana kazole alifukuzwa kazi kutokana na ulevi wakupindukia na kurudi kwao Rukwa, Sophia alipata mume na kuolewa huu mwanae akimwacha kwa bibi yake, akicheza na mama yake mdogo, Joyce alimaliza chuo na kuajiriwa, na sasa ana mchumba na wanatarajia kufunga ndoa, Rose yeye ataki kuolewa wala mchumba, bado anadowea ndoa ya Edgar na Suzane, **** nime lazimika kukata baadhi ya matukio kutokana na urefu wa hadithi, lakini hipo siku utaisoma vizuri katika mwonekano mpya kabisa HAPO NDIO MWISHO WA KISA HIKI CHA MAMA MWENYE NYUMBA NA MPANGAJI WAKE,

MWISHO

Isikupite Hii: Dalili za Kuonyesha Mwanamke Anataka Umpeleke Chumbani

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment