Mtaa wa Tatu Sehemu ya Nne
CHOMBEZO

Ep 04: Mtaa wa Tatu

SIMULIZI Mtaa wa Tatu
Mtaa wa Tatu Sehemu ya Nne

IMEANDIKWA NA : HAFIDHI J IKRAM


Chombezo : Mtaa Wa Tatu

Sehemu Ya Nne (4)

Basi Kessy taratibu alimwingiza dudu lake kubwa

lenye stamina yani

sio mpaka lishikwe au libustiwe.

Ambapo Salma kwa mbwembwe alikuwa akitikisa matako yake laini huku akighuna kimahaba kulipokea dudu hilo.

Taratibu mpaka Dudu lote lilizama kwenye kitumbua hapo Salma akaanza kuonyesha ufundi wake kwa kuzungusha kiuno chake kulikatikia dudu

mmmmh,,asssss,oooooouushiiiiiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaah,,,,alisikika akilalamika kwa utamu baada ya kukunwa kiarage chake ipasavyo,mtoto aliinamisha kichwa chake chini kabisa na kujibinua matako yake huku akimpa mauno ya nguvu Kessy aliyekuwa anapampu kwa kasi hasa

,,,mmmh,,,,ahaaaa,,,uwiiiiiiii,aaaaaa­aaaaaaah,,mmmmmmmmmm­mmmmmmmmh,,,oooooshiiiiiiiiiiiiiii,,,,aa­aaaaaah,, Kessy nae alilalamika bila kutarajia kama safari yake ingeishia pale,utamu ulikuja kwa ghafla ambapo mtoto hakukoma.

Aliendelea kulikuna Dudu kwa kulikatikia mpaka Mwanaume alimwaga bao lake lakini alijua fika bibiye hajamwaga,hivyo hakumwaga ndani ya kitumbua alichomoa Dudu lake na kumwagia Nje

“mmh baby mbona umemwagia nje Mpenzi wangu?” kwa sauti ya kimahaba alihoji Salma

“jamani,ungelea Mtoto peke yako unajuwa mie sio wa kuishi hapa milele” Kessy akajibu hivyo.

“ndiyo ningelea peke yangu tena mtoto anayepatikana kwa utamu hivi,anakuwaje Mzuri”…..

“acha maneno yako wewe!”

“sasa hutaki au?”

“we unaongea tu,

ila mtoto una kitumbua kizuri hadi raha!”

Basi bibiye

Aliposifiwa hivyo alitingisha matako yake kwa kumringishia nae aliyapiga makofi kichokozi

“aaaah jamani wewe unanipiga,ntakuwa sikupi tena”…..basi Mtoto wakike baada ya kuongea hivyo alijinyanyua na kulibana dudu lililokuwa limelegea kwanye matako yake kisha akaanza kuyatingisha matako yake huku akilibana bana

Taratibu Dudu lilianza kuvimba,ukubwa uliongezeka huku likiendelea mpaka alipoona hawezi tena kulibanabana kwani lilikuwa limedinda barabara,limenyooka kama Gobole “Mpenzi,naomba uingizee tenaaa!!! mtoto alipanua tena.

Yaani yale matundu yote mawili yalionekana wazi

Mwanaume hakumchelewesha,aliingiza dudu lake tena ambapo kwa muda huu alipania kumsugua hasa mpaka akome kumshobokea na kumfuata Chumbani kwake, Kessy alienda na Salma mpaka Chini kabisa bila dudu kuchomoka,yaani alilala kifudifudi kwa kunyooka kabisa huku Kidume akiwa juu yake,Miguu yake iliibana miguu na kufanya kama anaivuta kwa chini,Mikono ilikuja mgongoni na kuanza kumshikashika mpaka matakoni,Kichwa kilikuwa kisogoni huku akimhemea na kuzidi kumsisimua,kwenye Shingo alianza kuinyonya ambapo alionekana kama anamnong’oneza kitu Fulani sikioni

Taratibu kiuno cha Kessy kilianza kucheza,

Juu chini chini juu,yaani ni kiuno pekee kilichokuwa kinacheza hivyo,yaani ilikuwa raha hata kuangalia tu jinsi Kessy alivyokuwa akimshughulikia bibiye.

Mikono ya Kessy ilimshika Salma Mabega yake ambapo wakati anamwingiza dudu,alimvuta mabega yake chini ili Dudu lifike kule kwenyewe kwenye utamu madhubuti

,,aaaaaaaaaaaaaaah,,Babiiiiiii utaniuaaaaaaaaa babaaaaa,,,mmmmmmmmm­mmh,,,,aaaaaaaaaaaishiiiiiiiiiiii,,,nasikia utamuuuuuuuuuuuuu,,,­aaaaaaaaaaaaaah,,rah­aaaaaaaaaa,,Mwanaume unajua kusugua wewe,,,,,aaaaaaaaaaaaah,,,,alilalamika Salma ambapo dudu lilizidi kuongeza kasi ya kuingia na kutoka

Tukija kitaa cha Yombo Hafidhi alikuwa amekaa maskani akiosha viatu vya mteja

“oyaa Eddy kimbia mwamba cheki wale mateja wamekamatwa wanakuja huku.

Hafidhi akataka kukimbia

“wee simama hapohapo si unajifanya kidume wewe unataka kukimbia nini?”

Ilikuwa sauti ya mkwewe ikimtaka asimame”….

Baada Hafidhi kuambiwa vile akaona sio mbaya wacha asimame tu, kikundi kikafika huku Taqawa akimsindikiza kwa teke yule mshikaji aliyemkamata

Akaenda chini huku akilia,

“sasa baba huyo Eddy mwenyewe ndio huyu”…mtoto mshenzi sana huyu,

Taqawa akamsogelea karibu zaidi na kumkunja

”wewe ndio pusi unaejifanya kuwatishia watu maisha sio? Sasa kwa taarifa yako hapa umeingia choo cha kike bwege wewe!”

Hafidhi akatabasamu tu pasipo kuongea chochote Mwajuma akaja kuingilia kati kwa kumsihi Taqawa amuachie mwenzake

“please wee kaka muachie mwenzio

“baby embu tulia kwanza

Wanaume

tuonyeshane kazi

wewe si umewapiga hawa wajinga sasa naitaji tufanye kitu,

Tuandae mechi ya fighting.

Nikikupiga unahama mtaa huu ukinipiga nitaondoka Mimi”

Hafidhi akaongea hivyo na kumfanya

Taqawa acheke kumbe hakuweza kufahamu huyo ndio Hafidhi ni kijana hatari sana, basi uringo ukaandaliwa saini zikawekwa

Wanaume wakaingia kati

Wengi walikuwa upande wa Taqawa huku upande wa Hafidhi akiwepo

Pengo na Mwajuma tu kuna style

Taqawa alikaa na kumkumbusha mbali sana Hafidhi ndipo akaweza kumkumbuka Taqawa na akajuwa bila shaka baba yake kaandaa watu wa kumsaka yeye

Akajisemea kila atakaye ingilia hili swala lazima afe akiwa kwenye dimbwi la mawazo akashtukia akipigwa mateke ya uso tena faster faster na kupigwa la kifua

Mwanaume akayumba na kwenda chini,

“Duhuu jamaa anapiga mateke kama Vann damme ehee”

Hafidhi baada kudondoka chini akajishika mdomoni kuangalia mkononi damu

akapandisha hasira na kuinuka pale chini kwa style ya pekee kabisa,

“ebwanaee jamaa kainukaje sijui? Mwanaume akakaa style ya Chyko na kumwita

Taqawa kwa madoido.

Nae akamdharau akaenda kwa mwendo wa kibabe zaidi kufika akafanya kama kupiga ngumi kama mbili za haraka haraka

Hafidhi akarudi nyuma kidogo

katika stence ya kuzikwepa

ikawa kila Taqawa akipiga ngumi au mateke

Mwenzake anapanchi na kukwepa

tu. Hakutaka kujionyesha sana

“mbona Eddy hapigi ngumi

anakwepa tu kwani vipi?”

“mi sijui labda master wake kamfundisha kukwepa kupiga ngumi

bado hajajuwa”..

Huku nnje kwa watizamaji wa show ile ya bure kila mmoja akasema lake,

Taqawa akachukia zaidi kwa kufanywa kama mtoto yani kila akipiga zinatolewa tu,

Akachenji style na kuja kivingine zaidi

ikawa anapiga style za fighting chicken

Ni mapigo ya kuku

Hafidhi akajikuta anakwanguliwa usoni

na kucha za Taqawa huku T-shirt yake ikichanwa vibaya mno

Damu zikamtoka usoni na sehemu za mabegani

Akaona isiwe shida akakimbia huku akiacha vicheko na kuzomewa

“huyoo anakimbia huyoo pyee eti vikarate vyako vya kucheki chideo unataka kupigana na mtu spesho

Katizame tena Jack Chen anafanya nini

Hahahahaha”…

ilikuwa kauli ya Aisha na mwenzake

Asha,

Binafsi Mwajuma aliweza kuchukia

kupita kiasi.

Hafidhi baada kukimbia akaingia chumbani kwake ajabu maumivu hakuweza kuyasikia tena, akajicheki majeraha hana

Akazidi kujikagua.

kila sehemu ya mwili wake hakuona kitu akavuwa nguo zote na kujitizama

hakuweza kuona kitu.

Akaanza kucheka tu, na kujiuliza yeye ni nani

“ha!ha!ha! Mimi ni nani?”

nauliza mimi ni nani!!!….

Akapiga kelele kujiuliza hivyo na kujibwaga kitandani usingizi ukampitia,

Kesho yake asubuhi na mapema tukija pande za Mji mwema tunamuona kijana

Boyka akiwa anaongea na simu

“ndio boss kuhusu hilo swala haina shida kabisa huyo

Binti nimeweza kumuona yupo maeneo ya Mtaa wa tatu,

Ndio yeye kabisa sema anaonekana yuko mzima wa hafya anafanya biashara ya mama ntilie pale,

Ok! sasa naitaji vijana kama wanne hivi na gari aina ya Noah tuweze kumteka vizuri”

Sauti ya upande wa pili haikuweza kusikika zaidi ya kumsikia Boyka akiongea tu.

Kisha akakata simu na kuondoka zake

Ghafla mwanaume akachumpa baada kupigiwa honi kali ya gari huku sauti ya muungurumo wa gari ile ukisikika

Na kufunga bleak.

Dereva akashuka akiwa na hasira akamfata Boyka na kumsukumiza huku akifoka

“mshenzi mkubwa nyau mweusi wee

Mtoto wa malaya pumbavu zako

yani bange zako unataka kunipa kesi ya kuuwa hapa”……ogh!!!,,yalaaa

Dereva akatoa sauti ya kilio baada kupigwa ngumi nzito ya mdomo aache kuchonga

Damu zikamtoka kabla hajakaa sawa

akasindikizwa na teke

akaenda chini hakika kakutana na chuma cha pua akaitaji kujibu mapigo

akainuka na kurusha ngumi mbili tatu akadakwa na kupigwa kichwa kitu kikalia tihii kule

Ndani ya gari ile kulikuwa na mabinti watatu hapa namzungumzia bibiye

Mariam – Yusra – Vivian.

Wao walikuwa kimyaa wakitizama jinsi dereva wao akipewa kichapo

Yusra akataka kushuka,

“embu tulia mama niende mimi huyu mtu anaonekana yuko juu zaidi yako,

Mariam akashuka na kumfata Boyka

wakati huo alikuwa anamchimba biti yule Dereva

“pumbavu zako kuanzia leo uwe na adabu

kwanza urudi tena Veta,

Nae akashtukia akipigwa mateke na ngumi za haraka haraka akashindwa hata kujizuia

Mariam alikuwa ni mwepesi

Katika kupiga free Dongchar

Mapigo hatali sana kutoka kule nchini Filipinos.

Boyka akadondoka chini kisha

Mariam akamshika dereva na kurudi zao kwenye gari

Vivian akakamata usukani na kuondoka zao

Boyka hakuweza kuamini

Aisee kapigwa na mwanamke mbona dharau,

Akajiinua pale chini kwa mwendo wa kuchechemea akaondoka zake.

Yapata majira ya saa nne usiku

Taqawa akiwa chumbani kwake amelala akasikia mlango wake kubishwa hodi basi akainuka na kwenda kuufungua na kukutana na sura ya binti mmoja hivi

“wewe ndio ulimpiga Eddy ile

Mchana?”

“ndio mimi vipi amekuja kusema kwako au”…

“sio amekuja kusema kanipa ujumbe huu”

Taqawa akakabidhiwa bahasha akaifungua na kuisoma ile barua iliyokuwa ndani na kuuliza

“kwani uwanja wa shule upo wapi pande hizi?”

Upo kulee bondeni kama vipi twende nikupeleke”

Mwanaume akarudi chumbani kwake na kutoka huku akisema haya twenzetu.

Kwa upande wa kijana Kessy alikuwa yupo chumbani na bibiye

Zay wakipiga story mbili tatu.

“sasa unataka kufanya nini jamani?”

Zay alianza kuleta pozi la kichokozi

kama hajui kinachoendelea.

Tena alihoji kwa sauti ya kumbembeleza hasa

“tulia bibiye ngoja nipime mafuta kwanza tusihangaike kusonga na safari wakati wese litakata njiani,aliongea hivyo Kessy kimafumbo ambapo Zay alielewa,muda huo walikuwa wamekaribiana sana.

Kiasi kwamba,kila mmoja mwili wake ulikuwa ukichemka kwa joto la mahaba

Kwa aibu bibiye alijificha kifuani kwa Kessy ambapo nae alimkumbatia kisawasawa na kuanza kuyashikashika matako yake akipandisha juu kama anataka kuyapandisha na kuyashusha chini,mpaka bibiye alikuwa akitabasamu kwani kuna raha utamu alihisi.

Sio kwamba alikuwa mjinga kujifanya kama ndio mara yake ya kwanza kufanya hayo kwa jinsi aibu ilivyomtawala,akiwa amemkumbatia Kessy aliishusha mikono yake na kuipenyeza kwenye shati kisha kuipandisha juu,ambapo ilikuwa ikipita ndani ya shati alilovaa Kessy, mwanaume ndani hakuvaa Vesti hivyo bibiye alikuwa hura hasa,vidole vyake viliwasili kwenye kitovu na kukishikashika,hakuk­aa sana eneo hilo alipanda juu mpaka kwenye Chuchu za Kessy,kila mkono ulishika Chuchu yake,akaanza kuziminyaminya kimahaba ambapo Kessy wawatu alianza kusisimka japo hakutoa mguno wowote

Hapo ndipo waliinua Vichwa na kutazamana Zay hakuwa na aibu hata chembe kwani alijua kuwa hawatapoteza muda kurudisha vichwa vyao chini. Taratibu bibiye ndiye aliyekuwa mchokozi,aliusogeza mdomo wake kuufuata Mdomo wa Kessy denda lilianza kutawala ambapo wote wawili walishiriki kikamilifu huku wakipapasana sehemu za miili yao

Tayari mkono wa bibiye ulikuwa ushafika kwenye ikulu na kumtoa Askari Kipara nje ya Nyumba yenye mlango aina ya Zipu,kweli Kessy alidindisha hasa dudu lake ambapo alikuwa akilishikashika kichwa chake taratibu kimahaba,naye Kessy mkono wake ulishafika ikulu kwa bibiye.

Taratibu dole lake lilianza kupenya kwenye kitumbua chake na kukisaka kiarage,aaaaaaaa­aaaaaaaaaaah,,,,,aaa­aaaaaaaaaaasssssssss­ss,,,aaaaaaaaaahmmmm­mmmmmh,,,,alilalamika Zay tena sauti nyingine akiongeza ili kumkoleza nyege alimtamkia maneno ya kupandisha nyege ambapo ni kama alikuwa anaitwa aanze shughuli.

Alijiandaa yeye kama yeye kisaikolojia,hivyo haikuwa kazi kwake kuwa tayari kwa ajili ya kusuguana

“mpenzi nikwambie kitu”….liongea kwa sauti ya kuzidiwa kimahaba mtoto wa watu

“niambie mpenzi,alijibu Kessy kwa sauti nzito huku akimwangalia usoni mtoto huyo aliyekuwa na sura Fulani ya upole iliyokwenda kinyume na mwili wake.

“twende paleee”,alionyesha kwa kidole cha mkono mahali alipopataka waende kwa ajili ya hiyo shughuli ambapo Kessy hakuwa na kipingamizi,aliiweka kwenye akili kuwa Mchezaji hachagui kiwanja,kwahiyo kwa tathmini za haraka,alianza kumwona bibiye sio mjuvi sana wa hayo mambo

Wakati wanaelekea kwenye hiyo Meza,mtoto alitangulia mbele,na matako yake ya wastani,aliyatikisa makusudi ili kumwongezea muwashawasha wa kusuguana,mpaka wakati huo wote walibaki kama walivyozaliwa,walishasaulana kila kitu,dudu la Kessy lilinyooka kama Askari wa Nchi ya khuba akiwa gwaride

Basi Mtoto huyu jamani alivyo na makusudi nyegeshi,alipofika kwenye Meza kwani alipanda juu basi!,alichokifanya alishika Meza kwa mikono yake miwili na kuinama ambapo aliyaacha matako yake wazi huku mpododo na kitumbua kikionekana laivu,mtoto alikibinua kiasi kwamba hakuwa na haja ya kuuliza lakini alipomfuata kwa karibu huku akiwa ameshikilia dudu lake kwa lengo la kulichomeka.

“vizuri sana umekuja kijana

Welcome nikuonyeshe show ile mchana sikutaka kujionesha Mimi ni nani

Siwema unaweza kwenda, tuache peke yetu”.

Mwanaume akaongea hivyo baada kumuona

Taqawa kafika nae akacheka kwa

Dharau

“hahahahaha hakika unaonekana ni kijana mbishi sana usiekubali kushindwa sasa basi

hata mimi nimefurahi pia kwa kutaka kuonyesha umwamba wako, Mwanaume akadank kwa style ya kuzunguka kama vile pangaboi

Taqawa akarushwa hewani

Kabla hajatua

Mwanaume akamfata huko huko na kumpiga kifuti cha mbavu,

Hakika ilikuwa balaa kwa mbabe Taqawa kupigwa kwa style ambazo hakuwai kuziona katika maisha yake.

Akadondoka chini akiwa hoi

Na kubaki kuhema tu yani alishindwa kutikisa hata mkono

“nadhani umeweza kujionea show ya kibabe iko vipi nakupa masaa machache tu ndani ya chumba kile utoke,

Mwanaume akaondoka zake akimuacha

Taqawa haamini yani,

Usiku ulikuwa mchungu kwa Taqawa kwani alikuwa akitapika damu hakujiweza kabisa hata kujivuta kuelekea kwake kumbe wakati yote yanatokea

Aisha hakuwa mbali alikuwa kabana sehemu kwa kujificha aliweza kushuhudia kipenzi chake akipigwa teknik za ajabu

Na shemeji yake basi baada kuona

Hafidhi kaondoka akaenda mbio kumuwai kipenzi chake,

“baby inuka twende kabla yule jambazi hajarudi hapa”

“Aisha kusema kweli siwezi kuinuka kabisa kuanzia kiunoni kushuka chini sijihisi kitu chochote baby.

Tafadhali chukuwa simu yangu angalia kwenye majina utaona jina Scott mpigie huyo

mwambie kuhusu hali yangu please fanya hivyo!”

Mwanaume alilia aisee

Hafidhi si mtu mzuri kabisa basi Aisha akafanya kama alivyoambiwa na kupiga simu,

Ndani ya mtaa wa tatu kipute kilikuwa kinaendelea baina ya Kessy ukipenda muite Scott akiwa na bibiye Zainabu au Zay

Embu tupige chabo ya kiutu uzima,

hakika bibiye alikuwa amekunjwa kama vile samaki chuchunge

Mpaka kitundu kile kimoja kilikuwa kinapwita,

,,,aaaaaaaaaaaaaaaaa­aaah,,,,,,,mmmmmmmmm­mmmmmmmmmh,,,aaaaaaa­aaaaaaaaah,,,alilia kwa utamu Zay ambaye alizibana lipsi zake na meno kisha mikono kushika

Shuka

kwa nguvu lililotandikwa kitandani hapo,utamu wa kichwa cha dudu jinsi kilivyokuwa kinamsugua hapo kwenye kiarage chake aliusikia mpaka utosini mwake,,,aaaaaaaaah,,,ssssssssssssssssss,,,,,,,unajuaaaa,,,aa­aaaaah,,,,,nisugueee­eeeeee,,,mmmmmmh,,,,­ingizaaaaaaaaaa,,,,,ingizaaaaaaaaaa yooo,,ooo,,teeeeeeeeeee,,,,,alilalamika kwa utamu na kutaka aingizwe dudu kwani tayari alihisi anahitaji kukojoa bao lake.

Simu ya Kessy ikawa ikiita sema yeye hakuijali kabisa,

“baby pokea simu basi kisha tuendelee”..

Zay akamwambia hivyo,

“ahaa baby achana nayo usiku wote huu anapiga simu kwa kutaka nini embu panua niweke,

aaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiissssssss­sssssssssssss,,,aaaa­aaaaaaaaaaah,,,,mmmm­mmh,,,,,nisugueee kwa ngu,,,vuuuuuuuuuuuuu­uuuuuuu,,,aaaaaah,,aliongea hivyo

Zay baada kuingizwa dudu.

“Baby simu yenyewe haipokelewi!”

Aisha aliongea hivyo baada kurudia kupiga zaidi ya mara tatu simu haikuweza kupokelewa,

“basi mtafute Boyka mpigie huyo

Simu ikapigwa na kupokelewa,

“vipi chief naona unapiga simu usiku wote huu salama lakini!”

Boyka alianza kuuliza swali,

“tafadhali ndugu yangu naomba uje mwenzako nina majanga mazito,

“samahani sana Chief sitoweza kuja kwa usiku huu maana hapa nilipo mguu unaniuma kishenzi yani mcheki

Scott”

Kisha akakata simu na kuizima kabisa mpaka hapo Taqawa hana msaada tena.

Akaona wacha ajikaze tu

Aisha akaenda kuomba msaada kwa vijana fulani, Taqawa akapakizwa kwenye bajaji na kupelekwa hospitali

“mbona yule kijana anapiga mapigo ya hatali namna ile inamaana kajifunza kwa kuangalia movie,

Hapana kuna sehemu atakuwa kapitia

sasa basi itabidi niongee na master Dennis tuweze kumchukuwa huyu kijana

Awe mwenzetu

tuweze kumnasa Hafidhi”….

Yote yalikuwa mawazo ya Taqawa baada kufikishwa hospitali na kupatiwa huduma.

Kesho yake asubuhi radio one ikatangaza juu ya kifo cha

Mfanyabiashara maarufu kutoka mkoani Arusha amekutwa kanyongwa

kwenye hoteli ya

Moven punk iliyoko maeneo ya

Ubungo jijini Dar es salaam ikiwa ni moja kati ya mission za muuwaji,

“kudadeki upumbavu huu yani kila kukicha mauwaji utasema tupo kwenye nchi ya

Syria watu tunaishi kwa mashaka makubwa”

“wewe unaongea nini wewe kwanza huyo muuwaji anauwa watu matajili na wale kutoka serikalini sio kwa kapuku kama wewe,

Tambua kitu kimoja kila kitu kina sababu,

“wee Mkude acha upimbi unataka kusema kifo kwa matajili tu”

Yalikuwa maongezi baina ya vijana wa kitaani wakiwa kwenye kibanda cha mama ntilie wakipata supu Asubuhi ile

miongoni mwa wateja Hafidhi nae alikuwepo

akipata kifungua kinywa.

Nae akauliza

“sasa Mkude naomba nikuulize swali moja tu huyo muuwaji amekosewa kitu gani

mpaka anafanya kitu kama hicho?

wakati tunaambiwa samehe saba mara sabini, mbona sisi binaadamu tunakosea mambo mangapi lakini Mwenyezi Mungu anatusamehe”….

“ehee subiri nikujibu Mimi kuhusu swali lako

Kwanza inawezekana muuwaji amefanyiwa kitu kibaya sana katika maisha yake

Aidha kuuliwa kwa wazazi wake, au kipenzi chake, sasa anachokifanya

Ni kulipiza kisasi tu.

Kuhusu Mungu anasamehe huwezi kusamehewa pasipo kufanya toba au kuungama, ndio utasamehewa dhambi zako.

Cha umuhimu kila anaejijuwa basi

Akili makosa yake inawezekana muuwaji

akarudisha moyo wake nyuma!”

Kila mmoja akapiga makofi ya pongezi kwa jibu zuri kutoka kwa kijana yule.

“safi sana brother Noely yani umeongea ponti tupu,

Wakati wakiwa wanaongea huku wakipata supu, ndipo wakaingia vijana kama wawili hivi wakiwa wameongozana na mtu mmoja wa makamu

Hafidhi baada kumuona yule mtu akashtuka alikuwa ni master wake

Ambaye ni Dennis basi kila mmoja akatowa salamu na kutafuta benchi

la kukaa, “jamani karibuni sana

Sehemu ya kukaa ni hii hapa, mama ntilie akawalibisha wateja wake.

Nao wakakaa na kuagiza oda zao,

“huu ni uzembe wenu nyie hivi wewe

Boyka na ujuzi wako wote unapigwaje na mwanamke”…

“sio hivyo mwalimu alinifanyia Attack ni shambulio la kushtukiza tu.

Mimi sikutegeme kabisa akili yangu ilikuwa kumpiga sijui mumewe yule nikashtukia napigwa mateke na ngumi za haraka haraka,

Nikajikuta nadondoka chini na kuteuka mguu”

Kessy akabaki kucheka tu, na kusema

“yani wewe bwege kweli utapigwaje na Mwanamke bwana”…

Yule mama ntilie akadakia kwa kusema

“wee kaka embu acha kutudharau wanawake kwani hatuna mikono au miguu

Tofauti yetu sisi na nyie ni ndogo tu, sisi tumepewa mashimo

Mawili nyie shimo moja na rungu lakini

Kazi tunaziweza hivi ujawai kumuona yule Mwanamke wa shoka sijui anaitwa Thanthia Roth rock au yule Anjela Mao

Na Thenthia Khan

jinsi wanavyopiga Wanaume basi hata bongo tunaweza wanaume kitu gani tunapiga tu”

Akamaliza kuongea hivyo.

“embu mwambie huyu ajielewi kabisa mbona kuna mdada sijui alikuwa demu wa Hafidhi kule dojo kila ukicheza nae sparring anakupiga”

“ahaa wapi nilikuwa namuachia tu mtoto mrembo kama yule kingine

Sikutaka kugombana na Hafidhi ni mshikaji wangu”

Kessy akaongea huku akiinuka na kuvuta kisahani cha chumvi na ndimu aweke kwenye supu.

Kisahani kilikuwa kalibu na Hafidhi,

“kumbe nyie wapiganaji ehee na huyo

Hafidhi mnaemtaja ndio kijana anetafutwa au?”

Ni swali kutoka kwa mama ntilie.

Hafidhi akaona bola aondoke haraka ndani ya kibanda hicho maana aliweza kugundua kitu kimoja Master wake alikuwa akimtupia jicho la kiwiziwizi yani

Kama kumtilia mashaka fulani hivi.

“kabla sijajibu swali lako naomba nikuulize kitu Dada yangu kama hautojali kuna kijana anaitwa

Eddy sijui kama unamfahamu?”

“Eddy si huyo katoka sasa hivi”

Kitendo cha kujibiwa tu

Dennis akatowa Wallet na kuchomoa noti ya shilling Elfu kumi na kusema

“vijana twendeni hakutaka hata chenji safari ilikuwa kumfata Eddy,

“Boyka na Scott naomba mtambuwe kitu kimoja huyu mtu tunaemfata sio

Eddy wala nini ni Hafidhi j Ikram kuweni makini”….

“mmh! Master acha kutufanya sisi watoto wadogo inamaana sisi Hafidhi hatumjui au”…

Basi ulikuwa mwendo wa harakaharaka kufika mbele kidogo wanamkuta

Mwanaume kasimama,

Sehemu ambayo ilikuwa kama imezungushiwa ukuta hivi hakuna watu watakao weza kuona kitu.

“kwanza nashukuru sana kwa kuweza kukutana nawe kijana wangu

Hafidhi tambua hatukuja kukusaka wewe kwa shari”

Dennis akaanza kuongea hivyo,

“sikia nikwambie kitu Master kwanza mkataba wa Mimi na wewe umeisha tokea kipindi kile sasa basi shika yako nishike yangu sihitaji kukuvunjia heshima”

“shatapu funga domo lako mjinga wewe usithubutu kuongea kitu kama hicho mbele ya Master kwanza wewe bado ni mtoto mdogo sana kwetu.

Hapa utake usitake utaenda kwa baba yako!”

Kessy akaongea hivyo huku akimsogelea

Hafidhi hakujuwa kama anafanya kosa kubwa sana mbele ya

mtu hatali kama huyo kitendo cha kumkalibia tu akajikuta anarudishwa sehemu aliyotoka kwa mateke ya Gojoruu

na kuanguka miguuni kwa master wake

“sikieni nyie wajinga kama mmetumwa nendeni mkampe jibu huyo boss wenu

Mwambieni hivi

Hafidhi kwasasa yuko kikazi zaidi”…

Ghafla Boyka na Kessy wakajipanga na kuja kumshambulia kwa pamoja ilikuwa hatali tupu, basi Boyka ni mkali wa mateke wakati

Kessy ni mkali wa ngumi ikawa

Hafidhi akikwepa huku anapigwa kule akapigwa kama mtoto mpaka master wake akasema,

“Kessy Boyka inatosha vijana embu mfungeni kamba tuondoke nae

Wakati huo mwanaume alikuwa yupo chini akicheuwa damu.

Kessy si akaenda kumshika kwa nia ya kumfunga kamba wee nani kasema,

Hafidhi akachenji Kessy akajikuta anadakwa mkono ukavunjwa

mwanaume akainuka kama mzimu vile,

ilikuwa ajabu kwa wote baada kuona kitu ambacho hakiwezekani kwa macho ya kawaida baada Hafidhi kuchenji mavazi na kuwa Ninja Shorten ni moja kati ya

Viumbe mwenye kuwakawaka mwilini

yani kama shorti ya umeme ikisambaa ndani ya mwili wake.

Kessy akiwa bado yupo chini akainuka

na kuanza kurudi nyuma

Dennis akamshika begani na kumwambia

“kijana hutakiwi kuogopa vitu kama hivi ni kawaida kutokea kwa mpiganaji kama wewe”

“sasa Master style gani ile mbona sisi hukutufunza tuwe vile”

Boyka akiwa na hofu akazungumza hivyo huku Mwanaume akianza kupiga hatua kuwafata wao.

Dennis hakutaka kuogopa wala kuhofia chochote akiwa kama

Master akasimama imara kupambana na mwanafunzi wake.

mkono ukaanza hapo kati ya Mwalimu na mwanafunzi ilikuwa piga nikupige

funua nikufunuwe, Boyka na Kessy nao wakaingilia ikawa mtu tatu kwa mmoja

Hafidhi nae aliweza kuwadhibiti kila nyanja Boyka akapigwa Jeb moja tu na kuvunjwa mguu,

Wakati Kessy anajikaza kiume ukizingatia kashavunjwa mkono

Siku zote master ni master tu alikuwa akipiga teknik za power of mind.

Huku Hafidhi akidank na kuchumpa ukutani na kutua nyuma yake mara mbele yani alikuwa akimpiga chenga za mwili tu

Dennis ujanja ukamuishia

Akashikwa mkono na kuvutwa

Kohoo ndio sauti iliyoweza kusikika baada

Dennis nae kuvunjwa mkono,

Mpaka hapo akabaki akiwa hoi mwanaume akaruka juu na kutokomea zake gizani

japokuwa ilikuwa yapata kama saa tano hivi ya Asubuhi

Vijana na master wao wapo chini wakiugulia maumivu,

Ikabidi Kessy apaze sauti kuita watu

ikiwezekana wapatiwe msaada,

“jamani ehee tunakufa hukuu”

Dakika si nyingi watu wakajazana eneo hilo na kuanza kuulizana kuna nini.

Mbona hawa watu wapo humu sehemu ya Godauni ikabidi wabebwe na kuwahishwa hospitali

Kikundi cha nyonya

Mavi kata funuwa nao walikuwa kwenye mawindo ya kumsaka Hafidhi wakati 3Sisters madada watatu

wakizidi kuumiza kichwa,

Basi polisi wakapata taarifa kuwa muuwaji kawajeruhi watu watatu wakafika hospitali na kuchukuwa maelezo ndani ya Mabibo kukavamiwa na kikosi cha FBI polisi na 3Sisters

Ulikuwa msako wa nyumba hadi kichochoro.

Wakaingia ghetto kwa Hafidhi na kukutana na ujumbe mzito umeandikwa ukutani kwa damu tena ilikuwa bado mbichi kabisa ikionyesha mwenyewe hayupo mbali kama kutoka basi katoka sasa hivi.

(MAISHA NI SAFARI NDEFU SANA SIKU ZOTE MTAZIDI KUISHA NA KUPUKUTIKA KAMA KUKU WENYE MDONDO HILI NI JESHI LA MTU MMOJA TU

NITAUWA KILA MTU SITOJALI NINI WALA NANI”…..

Kila mmoja akabaki kukodolea macho pale ukutani kwani ujumbe ulikuwa wa kutisha embu tuendelee kuusoma

NIMEANDIKA UJUMBE HUU KUTOKANA DAMU YANGU MIMI MWENYEWE IKIMAANISHA NISHAJITOLEA KUMWAGA DAMU KWA YEYOTE YULE

NITAUWA FAMILIA ZENU NA NYIE WENYEWE NITAKA VIUNGO VYENU KISHA NIVITAFUNE VIBICHI”…..

Mariam akashindwa kuendelea kusoma akatoka zake nnje huku akijifuta jasho na kusema

“huyu mwana haramu anataka kutushika mapembe sio,

siku akiingia mikononi mwetu atajuta kutufahamu”…simu yake ikawa inaita kwa wakati huo hakutaka kupokea simu akaiyacha iite tu,

“Mariam usikii kama simu yako inaita hiyo?”

Vivian akamuuliza hivyo na kuichukuwa ile

simu sauti ya kilio ikasikika ikitokea upande wa pili

“hiii msaada please nimevamiwa huku”

“wapi???

Vivian akauliza kwa sauti kubwa na kupiga hatua kutoka nnje kabisa

“huku maeneo ya Jangwani”

Vivian akakata simu na kuingia ndani ya gari akaondoka kwa speed yote, akiwa maeneo ya Ubungo kumbe nyuma yake alikuwa akifatiliwa bila yeye mwenyewe kufahamu,

Akafika Jangwani na kupaki gari akatizama huku na kule

hakuweza kuona mtu zaidi ya kila mtu kuwa bize na mambo yake, akaitoa simu

Apige akahisi mikono ikimtambaa kwa nyuma yani akishikwa kiuno akageuka kwa hasira huku akitukana tusi. Uso kwa uso

na Hafidhi hakuweza kumtambua kabisa

“embu niachie kwanza mshenzi mkubwa umeona hii shepu ya kudandia dandia nitakuchakaza ohoo kwanza nani wewe?

Mtoto wakike akauliza hivyo huku akiwa katika hatua ya kupaniki.

“mtoto mzuri tulia basi usitake kunijuwa mimi ni nani

kwa wakati huu naitaji twende sehemu tukapate moja moto moja baridi.

Hakika nimetokea kuvutiwa nawe ghafla jamanii!!!

Mwanaume akaongea hivyo kwa kujiamini sana,

“hivi wee mwehu ehee yani hunijui sikujui unakuja tu kunidandia na kushika kiuno changu je nikiwa mke wa mtu?”

“ushasema je lakini sio mke wa mtu

Please nikubarie basi naitaji kampani yako mrembo”

Mwanaume akaanza vituko mara apige pushap akavua T-shirt yake na kuifuta saitmira ya gari akajicheki na kuuliza

“binti mbona mi handsome tu kwani nina kasoro gani mpaka utaki kunielewa”…..

Akaenda kumpigia magoti

na kumshika miguuni.

Yani ilikuwa kama vile mazoezi ya kuigiza bongo movie, Vivian akabaki kucheka na kutabasamu akajiuliza kumbe duniani kuna wanaume wa ajabu ehee

yani kampenda ghafla tu, hakuweza kutambuwa kama mwenzake yupo katika mbinu ya kumteka kimapenzi aweze kumtumia vile anavyotaka yeye.

“ok! Nimekuelewa je unaweza kunisaidia kitu?”

Vivian akamuuliza Hafidhi na kumwambia kamuelewa ikimaanisha yupo tayari kuwa nae kimapenzi.

“nashukuru sana mrembo yani imekuwa kama bahati nimeokota Dhahabu

ndani ya uwanja wa mpira watu kibao hawakuweza kuiyona tena ilikuwa ni kubwa thank you,

Hafidhi akaongea hivyo huku akimkumbatia Vivian.

“mpenzi nimekuuliza je unaweza kunisaidia kitu?”

“ndio naweza niambie unataka niibebe hii gari au nilime nyasi zote zilizoko Jangwani

Niambie mtoto mzuri mbele yako sitoweza kushindwa chochote kile”

Vivian akamuona jamaa ni bonge la Komedian yani full vituko,

“sio hivyo bwana nilipigiwa simu na shogaangu akisema ametekwa na yupo maeneo haya ya Jangwani ajabu nafika hapa simuoni”…

“Duhuu pole sana mpenzi ushatowa taarifa polisi au bado?”

“hapana huu sio muda wake wa kutoa taarifa kwa polisi maana mtekaji alinitaka nifike mimi mwenyewe,

“basi mpigie simu inawezekana kajificha sehemu baada kuona tupo watu wawili hapa”…

“inawezekana ikawa hivyo

Tatizo katumia simu ya mezani ni ngumu Mimi kupiga kwa kutumia simu ya mkononi

haina shida ingia kwenye gari twenzetu baby”

Vivian akaongea hivyo na kuingia ndani ya gari

Safari ikaanza sijui kwenda hotelini au wapi,

“kwanza nikuombe samahani kwa kutibua mipango ya kumfatilia mtu wako, nahisi uwepo wangu pale ndio maana mtekaji akashindwa kujitokeza”

“usijali wala nini hili swala nitalifikisha sehemu husika mmh!

Samahani unaitwa nani maana nimetokea kukuzoea ghafla pasipo kulifahamu jina lako!”

”Naitwa Richard Jones wengi hupenda kuniita Richi sijui wewe unaitwa nani”….

“Mimi naitwa Vivian James ukipenda niite Vivica, kwakifupi ni mwanafunzi kutokea pale mzumbe nachokuwa kozi ya Market and Based

Sijui nawe Richi unajihusisha na nini?”

:binafsi mimi ni mfanyabiashara wa vipuri vya magari hapa nchini. Ofisi yangu inapatikana karibu kabisa na jengo la shopaz plaza pale Ubungo”

Hafidhi akaongea hivyo kwa kudanganya tu. Wakati bibiye nae kaongea uwongo wake pasipo kufahamu kuwa mwenzie anamfahamu vyema yeye ni nani.

Basi ndani ya gari ilikuwa ni kupiga stori tu mpaka wakafika maeneo ya Mwananyamala bibiye akapaki gari sehemu ya maegesho kisha wakashuka na kuingia moja kati ya hoteli zilizopo maeneo hayo kwa Komakoma.

“nilihitaji aje bibiye Mariam ajabu amekuja huyu hata hivyo sio mbaya wacha nimteke huyu kisha wengine watafata, yalikuwa mawazo ya Hafidhi kuhusu ujio wa Vivian na sio yule aliyemrenga yeye.

Basi muhudumu akafika na kuwauliza awasaidie nini kwa wakati ule

“mimi niletee chipsi na mayai pamoja na redblue ya baridi”

Vivian akaagiza vile vinavyo mfaa

Hafidhi nae “mimi niletee maji ya Kilimanjaro ile chupa kubwa yawe ya moto”….

“ahaa baby mambo gani unataka kufanya tena yani nile peke yangu wewe unywe maji tu nionekane mimi mroho sana eheee?”

“sio hivyo baby mimi nilishakula tokea nikiwa kazini”,,,

“mi staki bwana kama vipi agiza chochote tuonekane tunakula wote

Bwana”…

Vivian kwa sauti ya kudeka akaongea hivyo kumbuka ni Mwanadada Commando wa maana lakini mbele ya huyu kiumbe nusu Jini nusu Binaadamu kawa kama zuzu vile.

“basi sister niletee kama alivyoagiza wifi yako”.

Muhudumu akaondoka mwanaume akaanza kuzishikashika nywele za bibiye huku

Akimsifia

“hakika duniani nimeona watu wengi sana lakini sijawai kukutana na binti mrembo kama wewe nabaki kujiuliza hivi

umeshushwa au umezaliwa”…..

“mmh! Rich embu acha kuning’ong’a kisogoni bwana hivi katika warembo watoke mbele Mimi naweza kutoka kweli

Ujawaona kina Wema sepetu au Lulu

Wolper mbona warembo wapo wengi tu”

Vivian akakana yeye sio mrembo

“nikwambie kitu baby siku zote binaadamu anatakiwa kujikubari yeye kwanza kabla ya kuwakubari wengine

kama itatokea siku kuna shindano la warembo wewe ukawa mmoja wa washiliki baby utakabidhiwa taji kabla ya mashindano

Wallah tena”

Vivian akabaki kucheka kwa kujiziba mdomo

“wacha wee yani nipewe taji kabla ya shindano kivipi hapo maana sijaelewa kabisa”

“yani kwajinsi umrembo na kuonekana hakuna wa kushindana nawe

Majaji watakukabidhi tu maana wataona ni usumbufu kupoteza muda”

“Haya bwana umeshinda wewe yani sijawai kukutana na mtu mwenye maneno mengi kama wewe

Yani unaongea wewe kama muuza shanga”…

Hafidhi akacheka na kuuliza

“kwani shanga ndio nini na huyo muuza shanga anakuwaje?”

Wakati Vivian anataka kumpa majibu yake muhudumu akaja na kuweka oda zao

“karibuni sana kila kitu tayari”

Kisha akaondoka

Hafidhi alikuwa wakwanza kuzifakamia chipsi, tena kwa fujo.

“Mmh!”

Vivian akaguna baada kumuona kipenzi chake yupo faster katika kula

“baby mbona unakula kwa fujo hivyo si ulisema umeshiba wewe”

“unajuwa nini baby ukiwa umeshiba ukipewa chakula kingine kifakamie haraka haraka usije ukabakisha kwanza kuongea wakati wa kula ni vibaya

So tukae kimyaa”…

Akaendelea kuzifakamia chipsi mayai

“mmh! Mwanaume una vituko wewe huna lolote ulikuwa na njaa huko ukajifanya kuzuga kuagiza maji ha!ha!ha!”……

Zikiwa zimepita siku kama nne hivi tokea Mahasimu wawili wakutane na kujenga uhusiano wa kimapenzi.

Hasimu mmoja tu ndio anetambua kama yule ni adui yake.

Wakati bibiye Vivian hatambui chochote basi

Siku hiyo walikutana ndani ya chumba fulani hivi na ilikuwa mara ya kwanza kupeana vitu.

“hapo hapo Mpenziii,,,aliongea kwa sauti ambayo hata Mwanaume mwenyewe ilimfanya asisimke,kwa muda huo alikuwa ameketi kwenye sofa ile sehemu ya kuwekea mikono,basi mkono wake ulikuwa hapo kwenye kitumbua cha Vivian na kufanya kama anavivuta vile vinyweleo na kukipigapiga kiarage cha bibiye

“yeesssss bebiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaah,,,ingiza kidole eeee mpaka ndani“…. aliongea maneno hayo kwa hashki kubwa ambapo Hafidhi alizidi kupagawa, Vivian

Aliona haitoshi,alikuwa akihema kwa kasi huku akimwingizia ulimi masikioni kama ujuavyo tena ulimi balaa lake uwapo sikioni tena umpate anayejua kucheza na masikio kama bibiye Vivian ambapo kuna muda analing’atang’ta Sikio taratibu bila kumuumiza.

Yani kwa anayesema sikio halina raha,yawezekana hajawahi kunyonywa masikio na mtaalamu,pengine huwa anapakwa tu mate.

,,,aaaaaaaaaaah,,,,s­sssssssssssssssssh,,,aliguna hivyo Hafidhi ambapo Vivian alikuwa speed zaidi ya kimbunga alishusha mkono wake na kushika dudu la Hafidhi lililokuwa limesimama imara,Alilishika likiwa ndani ya suruali na kufanya kama analikandamiza kwenye mpododo hivi huu ni mtindo ambao mwanaume husikia raha Fulani ya muda mfupi.

Ila hutakiwi kufanya kwa nguvu kuna upindaji Fulani wa dudu unasababisha utamu ndio maana unakuta mtu anabambia mpaka anamwaga……

Hafidhi hakuwa nahali alianza kutoa ushirikiano wa nguvu

“huo ndio uwanaume tena leo nataka unisugue mpaka nisikusahau katika maisha yangu yote aliongea hivyo Vivian akiwa amejilaza kihasara huku umbo lake likivutia hasa

“umeyataka mwenyewe lazima nikusugue mpaka ukome!”

Aliongea Hafidhi huku akivua nguo zake haraka na kumrukia Bibiye pale kitandani.

“aaahiiiii”…..jamani Mpenzi utaniumiza!”

Kwa sauti ya kudeka aliongea hivyo bibiye baada ya Hafidhi kufika kifuani kwake

Mashambulizi ya kwanza yalianza kwenye matiti ya Vivian yaliyokuwa na ukubwa wawastani. Japo hayakulala kama

Mwanamke

anayenyonyesha,alianza kuyanyonya kwa ufundi ambapo bibiye alianza kutoa miguno kama vile demu Malaya,,,aaaaaaaaaaa­aaaah,,,,aaaaaaaashiiiiiiiiii,,,hapo hapoooo babaaaaaaaa,,,aaaaaa­aaaaaaaah,,,alilalamika kwa sauti hasa,kwavile alijua nyumba nzima yuko peke yake

Wakati kipute cha mafahari wawili kikiendelea ndani ya hospitali ya muhimbili kulikuwa na ugeni wa ghafla juu ya ujio wa mzee J Ikram kila mmoja alishangazwa na ujio huo, basi akafika mapokezi na kuelezea shida yake.

“ndio wapo mkuu twende nikuongoze njia”

Aliongea hivyo Dada wa mapokezi tena kwa heshima na taadhima japo si kawaida kwa kufanyiwa kitu kama hicho.

Mzee akaongozwa mpaka chumba kimoja hivi na kukuta Dennis na vijana wake wamelala vitandani wakiwa wamefungwa piop akabaki kusikitika tu,

“shikamoo mzee imekuwaje umekuja mpaka huku baba?

Hukuwa na haja ya kuja kutuona mkuu”

Dennis aliongea mfurulizo huku akikaa sawa pale kitandani.

“Dennis kijana wangu embu tulia usiangaike wewe ni mgonjwa tambuwa kitu kimoja Mimi ndio msababishaji wa yote na jukumu langu kuja kukuangalia kijana”

Mzee J Ikram akaongea hivyo huku akiwa kasimama pembeni ya kitanda cha Dennis

“hapana mzee usiseme hivyo hii ni ajali kazini tu,

“sawa kijana sasa hivi sina budi kuongea na Walimu wake wote tuangalie ni jinsi gani tutaweza kumdhibiti huyu

Mtoto kwanza anatupa jamba jamba tu”….

“haina haja ya kukusanya kikosi kikubwa wala nini

Kwajinsi nilivyoweza kumuona kusema kweli Hafidhi yupo kawaida tu, nikipona nitaingia tena kumsaka,

So tuvute subira mzee wangu”

“nitavutaje subira wakati kijana anazi kuichafuwa nchi

Aiseee”

Tukirudi huku

Hafidhi akiwa kifuani kwa bibiye akizinyonya

Chuchu kwa ustadi wa hali ya juu yani zilinyonywa kwa ufundi ambapo hakutumia meno hata kidogo.

Ilikuwa ni nyama kwa nyama Vivian nyege zilianza kumpanda na kusema

“babiii nataka dudu

Yani alipotea kwenye ramani ya kujitambua akawa haelewi anafanya nini.

Mtoto wawatu Alipanua mapaja yake na kukiacha kitumbua chake kilichokuwa ndani ya chupi iliyetengeneza ramani ndogo ya mkoa wa Utamu raha kusuguana”…

Basi Dole la Hafidhi lilifika kwenye kitumbua cha bibiye na kuanza kufanya kama analiingiza ndani bila kumvua ile chupi hapo mtoto alisikika akiguna kwa utamu huku akiinua kiuno chake juu kama analifuata dole aaah,,,sssssssssssssssssss,,,,aaaaaaaaah,,,alilalamika hivyo Vivian ambapo alimwachia kila kitu akifanye Hafidhi vile atakavyo.

Basi kwa kutumia mikono yake miwili,aliishika chupi na kuanza kuivua taratibu kimahaba huku kucha zake ndogo zikimkwangua kiunoni hapo kwa makusudi,,,mmmmmmmmm­h,,,aliguna mtoto alipohisi utamu baada ya kukunwa na kucha

Chupi ilirushwa kulee.

Ambapo sasa kitumbua kilikuwa wazi kabisa na mtoto alivyo na makusudi alipanua kabisa mapaja yake ili asimpe shida Mwanaume kucheza na maungo yake

“beby hapa panawasha jamaniiiiiiii”…,Vivian alikuwa na makusudi huyu. Aliongea hivyo huku akionyeshea mkono wake kwenye kitumbua,basi Hafidhi hakufanya makosa, aliingiza kidole chake na kuanza kucheza na kiarage,aaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaah,,,mmmmmmmmh,,,ohoooooo,,,,,,,asssss,alilalamika bibiye huku akijipindua pindua mpaka Hafidhi alipohakikisha ameshamchezea vya kutosha naye ndio akaja juu yake

Ila akaona mtindo mzuri wa kuanza nao ni kiubavu.

Basi alimweka kiubavu na kumpanua mguu mmoja kisha akamwingiza dudu lake,,,,,aaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiii,,mmmmh,,,,waliguna hivyo wote huku kila mmoja akilalamika kwa utamu aliouhisi,pindi Dudu lilipokuwa linaingia kwenye kitumbua

alianza kupampu ambapo mguu mmoja wa Vivian aliushikilia kwa juu,mgongo wake aliupinda kidogo na kutaka kama kukutanisha sura zao ilikuwa ni kama amembana hivi. Kisha akaanza kumsugua bila huruma hapo bibiye alilia kama mtoto kwanza kitumbua chake,kilikuwa kimebana zaidi ya, yaani ni kama Hafidhi alikuwa anamsugua binti mdogo na kitu hiki ni kwa wengi sana wanaume huwa wanakipenda kutoka kwa wanawake,wakikikosa kama mtu akupendi kweli,utasikia tu kauli kama hizi

“aahaa demu mwenyewe maji kweli ana bwawa yule Manzi yaani ukipiga tu utasikia pwa,,,,pwa,,,,,pwa”,,,,maneno kama hayo hutumika kuwadharau wanawake wenye kutokwa na maji mengi wakati wa kufanya mapenzi,na vitumbua kama kitumbua cha Vivian huitwa mnato.

Utamsikia mwanaume akisema “daah, Aisee yule mtoto kitumbua chake mnato kishenzi yaani”…..

Tukija pande za Posta town

Tunamuona bibiye Yusra akiwa pamoja na kijana mmoja hivi mwenye asiri ya kama muhindi au muarabu.

Wakiingia duka hili na lile,

Simu ya Yusra ikaita basi akaitowa mfukoni na kuipokea

( Are you my sister) habari yako dada yangu?” Sauti upande wapili ikasikika kijana wakiume akisalimia kwa English,

( I’m fine my brother) nzuri tu kaka yangu ehee nikusaidie nini nawewe ni

nani?”

Yusra akaitikia kwa kizungu na kuuliza swali,

( my name is Martin Joseph

I live in mbezi beach) jina langu ni Martin Joseph naishi mbezi beach”

“mmh!

Yusra akaguna na kumuuliza

(I’m sorry you I speak with kiswahili)

Samahani kwani wewe huwezi kuonge kiswahi?”

“naweza sana kwani vipi Dada yangu”….

“kumbe unaweza ehee ok niambie nini shida yako Martin?”

Ukimya kidogo ukatawala kabla ya

Martini kuzungumza kwa kusema

“binafsi nimeipata number yako kupitia kwa jamaa yangu mmoja hivi ambaye ni afande naitaji kukwambia kitu je tunaweza kuonana?”

“mmh!”

Yusra akaguna tena na kumjibu

“kusema kweli haitowezekana kwanza mimi sio kiumbe cha kukutana na watu wa kawaida unaweza kuniambia hicho kitu kwenye simu ehee ongea!”

“basi sio mbaya Dada yangu nilitaka kukwambia kuhusu kufahamu sehemu anapoishi

Hafidhi j Ikram tena kama ingewezekana ningekupeleka mpaka nyumbani kwake”….

Simu ikakatwa huku Yusra akibaki kusema halloo,,,,,,,,,hallooo wee mkaka”

Akaitizama simu na kuona ishakatwa kitambo tu akaamua kumpigia

Sekunde si nyingi jamaa akapokea

“ok! Nipo tayari kukutana nawe niambie tukutane wapi?”

“kama hutojali njoo maeneo ya Kinondoni

Studio utanikuta Dada yangu,

Yusra akampigia simu Vivian

Basi simu ilikuwa inaita tu wakati huo

mambo yalikuwa mazito hasa tayari Hafidhi alishamwaga bao lake kutokana na kitumbua cha Vivian kuwa mnato,hakuchelewa kumwaga.

Na muda huo alikuwa amemkunja mtoto wa watu akilitafuta bao la Pili kama ujuavyo cha pili ndio heshima ya ndoa,basi alimsugua mpaka mtoto wa watu alikuwa anaomba mapumziko,,,,aaaaaaaaaah,,,bebiiiiiiiii,,,tupumziiiiikeeeeee­e,,,uuuuwiiiiiiiii,,,aaaaaaaaashiiiiiiii­iiii,,,alikuwa akisuguliwa kwa kasi hasa

Mtindo waliokaa ndio ulikuwa wa aina yake,ilikuwa ni ubavu,ila miguu ya Vivian ilikuwa begani mwa Hafidhi ambapo mikono ilikuwa mgongoni mwa bibiye kupitia makwapani.

Tena Hafidhi alifanya kama anamvutia kwake kwa nguvu,na kumkandamizia dudu lake ambapo Vivian alikuwa akiugulia utamu hasa,,,aaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaashiiiiiii

“huyu nae keshaanza umalaya yani kupiga simu kote huku apokei kudadeki zake’ usikute kakunjwa hapo anashindwa hata kujisogeza.

Yusra akaongea hivyo na kumfanya yule kijana akicheka mbavu hana,

“Subiri nimcheki huyu mashauzi”

Akampigia simu bibiye Mariam kwa wakati huo alikuwa yupo kwenye mazoezi ya hatali akijiandaa kwa kila hali aweze kumkamata muuwaji.

Simu yake ikaita na kuipokea pasipo kuchelewa

“halloo niambie Nunga yembe”…

“Nunga yembe baba yako mpumbavu wee”…

Yusra akachukia kuitwa Nunga yembe na kumtukana Mariam

“acha kupaniki bibiye ehee lete mpya Nunga yembe”….

“Mariam embu acha uchizi wa kuniita majina ya ajabu ajabu sasa kwa taarifa tu yule muuwaji nishaweza kufahamu wapi anaishi jiandae faster uje

Kinondoni studio”..

Simu ikakatwa

Mariam hakutaka kujiuliza sana akatinga mavazi yake ya kazi akatoka mbio na kuingia ndani ya Gari safari ya kwenda Kinondoni ikaanza,

“Sasa Sukhair wewe endelea kutafuta hizo bidhaa huku madukani wacha Mimi niwai mission”

Yusra akaongea hivyo na kuingia ndani ya gari.

“sasa kaka kitu kimekubari kasema anakuja akifika tu pale mi nitampokea kisha nije nae chemba Wanaume tufanye yetu au sio

Ndugu zangu?”

“hapo ndipo penyewe tena naskia mtoto bado bikra kabisa nitakuwa wa kwanza kuivunja”

“ahaa wapi mipango yote nimeisuka Mimi yani wewe kiuraini uvunje ngome

Nitaitowa mwenyewe hiyo bikra”..

Simu ya mmoja wao ikaita kucheki akaweka kidole cha kati mdomoni

Ishara yakwamba wenzake wanyamaze.

“ehee niambie Dada”….

“nishafika hapa wewe upo wapi?”

“nisubiri nakuja sasa hivi my!”

Sekunde si nyingi jamaa akafika na kumuona Yusra kaegemea gari

“Mambo vipi?

Bila shaka wewe ndio Kamanda Yusra?”

“Ndio mimi”

“basi tusipoteze muda tunaweza tukaenda chemba nikupe fomosheni nzima kuhusu

Hafidhi, ikabidi waongozane wakaingia mitaa ya kinondoni kichochoro hiki na kile Mwisho wakatokezea sememu moja hivi

Ghafla bin Vuu

Yusra akiwa hana hili wala lile akajikuta anavishwa wavu kufumba na kufumbua kafungwa kamba za mikono hakuweza kuamini

Aisee akajiwazia kumbe ni moja kati ya mbinu za mtekaji na ndio kaingia mikononi

Mwake

“Dahaa kumbe

Yusra kanipigia simu sikuweza kupokea yani sijui nitamjibu nini

Vivian akaongea hivyo huku akiingia bafuni kuoga

Akaita

“baby njoo unisuguwe basi”….

Richi embu njoo bwana”

Japokuwa alimwita mpenzi wake kwa wakati huo alikuwa katoka kuna sehemu kaenda

“sijui kaenda wapi huyu Mwanaume yani kuingia bafuni tu mara hii kaondoka”…

Vivian akaichukuwa simu yake baada kuona inaita,

“Niambie

Shost kipapatio”

“nyoko zako kipapatio bibi yako mzaa bibi yako”

“hahahaha Mariam bwana basi usitokwe povu bure ehee niambie

Kipapatio!”

“yani wewe na Yusra nawachukia mjuwe mpaka natamani mngekuwa majambazi nikate vichwa vyenu kwa taarifa tu Yusra kanipigia simu kaniomba tukutane hapa Kinondoni

Studio tukamkamate muuwaji, ajabu nafika hapa nakuta gari yake tu yeye mwenyewe hayupo

Nampigie simu imeita Mara moja ikakatwa na kuzimwa kabisa”,,,

(What!

Itakuwa katekwa au?”

“mi sijui”

“ok! Nisubiri nakuja sasa hivi siko mbali na maeneo haya”

Vivian akakata simu

“jamani nyie kina nani mnataka nini kutoka kwangu”..

Yusra akiwa na hofu akauliza hivyo

Wanaume wakaanza kucheka lakini kicheko kikazimika ghafla baada mmoja kati ya kukatwa kichwa

Damu zikaruka yani kichwa kule kiwiliwili huku

Wakashikwa na kiwewe mshituko fedheha na kubaki kukodoa macho tu

Mbele yao Ninja Short kasimama

Hapana chezea”….

Kila mmoja akauliza “nani wewe???

Ninja Short hakutaka maswali yasiokuwa na majibu akapiga hatua za kuwafata mkononi kashika visu vyake aina ya mundu, nao wakaona kama wakizubaa watakufa tena kifo cha kuchinjwa kama mwenzao. Kila mmoja akatimuwa mbio Yusra akiwa bado kafungwa kamba yupo pale chini akaitaji kujifunguwa aweze kupambana na kile kiumbe

Hafidhi kama aliweza kufahamu kuhusu adhma ya bibiye akamtupia kisu kidogo hivi

Kisha akachumpa na kupotea maeneo hayo.

Yusra mpaka anafanikiwa kufungua kamba kwa kuzikata na kile kisu kuangalia huku na kule haoni mtu zaidi ya kile kiwiliwili kikizidi kuvuja damu kichwa hakionekani,

“vipi tena Mariam ina maana hukuweza kumkuta maeneo haya?”

Bibiye Vivian akauliza hivyo baada kufika maeneo ya Kinondoni studio.

“yani hata sijui atakuwa wapi? Embu twende tukaulizie kwa yule muuza vocha pale”.

Wakaongozana mpaka kwenye Kiosk kimoja hivi.

“za saa hizi kaka yangu?”

“nzuri tu Dada yangu sijui wewe?”

“mi niko powa samahani kaka yangu kuna kitu naitaji nikuulize”….

“uliza tu wala usijali”

“umeiyona ile gari pale?”

“ndio nimeiyona ile kuna mdada mmoja hivi wakipemba ndio kaja nayo dakika si nyingi akaja Mshamu na kuondoka nae”..

Mariam na Vivian wakatizamana na kusema ehee mambo si hayo,

“umesema kaondoka na Mshamu watakuwa wameenda wapi?”

Kijana yule bila kusita akajibu lile swali kwa kusema

“itakuwa kaenda nae kwake”..

“je unaweza kutupeleka kama hautojali”….

“dahaa kusema kweli itakuwa ngumu kufanya hivyo ukizingatia nipo kwenye biashara hapa

Na boss wangu yulee kule nikitoka itakuwa soo!”

Baada kijana yule kusema vile

Vivian akapiga hatua kadhaa kumfata huyo boss sekunde si nyingi akarudi akiwa kaongozana na huyo boss.

Akasema

“Benjamin kaka sio mbaya wapeleke tu mi nipo hapa”…

Benjamin hakuweza kuamini yani boss wake kampa ruhusa leo

Au sababu ya kupewa maneno matamu na huyu mrembo nini

Basi wakaongozana kwa kupita njia za mkato waweze kufika nyumbani kwa

Mshamu lakini wakashtushwa baada kufika sehemu ya tukio na kukuta umati wawatu umejazana yani wameweka kitu kama duwala hivi katikati kukiwa na kiwiliwili cha mtu.

Nao wakaitaji kufahamu kunani

“Mungu wangu huyu sio Mshamu?

Benjamin akajiuliza japo kimoyomoyo

Wakati umati wawatu ukiuliza maswali ya hapa na pale polisi nao wakaingia.

Mmoja kati ya vijana waliokimbia eneo la tukio baada kushindwa kutimiza lengo lao la kumbaka Yusra.

Alizidi kukimbia yani alikimbia wee mwishoe akachoka na kuamua kusimama ghafla

Ninja Short yupo mbele yake

“wee nani kwani? Unataka kitu gani kwangu kama yule binti si tumemuacha!”

Kijana aliongea hivyo huku akitetemeka na kuhisi haja kubwa na ndogo zinataka kutoka kwa pamoja,

Ninja Short mara nyingi huwa hapendi kuongea sana yeye yupo kivitendo akachumpa kwa kasi na kucheza na tumbo la kijana yule

Siraha yake ikachana tumbo la kijana utumbo ukamtoka akajitahidi kuushika kwa mikono yake miwili usiweze kutoka nnje zaidi.

Akashindwa damu zikabaki kumtoka akadondoka chini na kuwa kimyaa.

“Mbona mimi sikuwa mbali na maeneo haya”

Vivian akajiuliza swali

Mwili ukachukuliwa pasipo kichwa kupatikana,

Sijui muuwaji kaondoka nacho

”huu sasa ni ushirikina yani kaondoka na kichwa sijui kaenda kukifanyia kazi gani?”

“kwani marehemu alikuwa na kiubaraza kichwani?”

Mmoja kati mwana mama akauliza swali.

“hapa hakuwa na kiubaraza marehemu alikuwa kafuga nywele kuna muda alikuwa akisokota tried au anasuka ni mmoja kati ya Madanca katika maeneo yetu,

Kuna msichana akajibu lile swali

Wakati

Ninja Short akifanya mauwaji kwa kulikata tumbo la yule kijana akajiandaa kuondoka akashtushwa na sauti ya kike ikimuamrisha Asimame

“wee hapohapo ulipo weka mikono yako juu ole wako ukaidi amri hii tupa siraha zako haraka”….

Alikuwa bibiye Yusra kumbe nae alimfatilia na kumkuta ameshauwa. Bastora ikiwa mkononi kwa tahadhari zaidi akamsogelea akifahamu tayari kamuweka chini ya ulinzi hakuweza kufahamu kama kiumbe hicho kinakuwa kibaya zaidi pindi akiwa katinga mavazi hayo,

Yusra kwanza akaitaji kumvua mask bora angeanza kumfunga pingu.

Kitendo cha kumkalibia tu akajikuta anadakwa mkono na kupokonywa bastora yake huku yeye akisukumizwa mbali na pale Ninja Short akaruka juu na kutokomea zake gizani.

Yusra akabaki kukodowa macho tu kwanza akajiuliza mbona kama hiki kiumbe amenisaidia mimi

Inakuwaje hapa, kwanza ameweza kufahamu vipi kuhusu tatizo hili

Au kaamuwa kuwageuka wenzake?”

“uwiiiiii jamani kuna mauwaji hukuu muwajiiii!!!

Kuna mtu akapaza sauti baada kuona mwili wa mtu umelala chini damu zikimvuja pembeni yake kukiwa na binti akajuwa ndio muuwaji.

Basi wananchi wakafika na kuitaji kumkamata Yusra wakati mwenzao kavurugwa hapo ikawa ndipo pabaya,

“mkamateni huyo Dada ndio kauwa ikawa kila anaemshika anapokea ngumi vifuti mateke viwiko yani bibiye alitembeza kichapo mpaka wananchi wakajuta kumshika

“vipi kaka mbona unatoka mbio huko utokako kuna nini?

Mariam akamdaka kijana mmoja aliyekuwa anakimbia huku damu zikimtoka kichwani.

“msiende huko kuna muuwaji wakike anapiga kila atakayetaka kumshika ni hatari huyo.

Kijana akachomoka kutoka mikononi kwa Mariam na kuendelea kutimua mbio,

Benjamin akawaambia “achaneni nae twendeni hiyo sehemu kwa mwendo wa haraka wakaongozana,

Wakati huo bibiye Yusra umati umezidi kumuandama Hakika alikuwa ni mwanamke wa shoka kwa kupambana na watu hao.

Mwenye nondo mwenye Panga na kisu yani kila aina ya siraha za jadi alikuja nayo kwa nia ya

Kumuuwa bibiye.

Miongoni mwa kikundi cha watu Hafidhi nae alikuwepo katulia pembeni akimsoma bibiye,

Dakika si kina Mariam wakaingia na kumkuta mwenzao yupo katika timbwili la Asha ngedere.

Nao wakaingia kati

Vivian akatowa kitambulisho na kupaza sauti kwa kusema wao ni

Ma agent responsible kutoka kitengo maarumu kwakifupi ni kitengo cha wale wazee wa Suti yani kuanzia POLICE, JWTZ, FBI, Wote wapo chini yao kwa kifupi wanatisha, kila mwananchi akaogopa na kutimua mbio wakiwa na dhana zao,

“Asante sana kaka shika hii ukapate soda”

Mariam akampatia Benjamin kuasi cha pesa kama shilling elfu hamsini hivi eti ya soda.

Benjamin hakuweza kuamini aisee yani anapewa elfu hamsini ni sawa na mshahara wake wa miezi miwili pale anapofanya kazi.

Team nzima ya 3Sisterz wakaondoka pasipo kupoteza muda huku

Hafidhi akipiga hatua za haraka kuwai sijui,

Taarifa zikaweza kutangazwa kuhusu mauwaji yaliyoweza kufanyika maeneo ya kinondoni baada muuwaji kuchinja watu wawili mmoja tu ndio kaondoka na kichwa chake

Wakati tukio la mauwaji likitokea

Mmoja kati ya Ma agent akaweza kufika eneo la tukio ajabu

Wananchi wakajuwa yeye ndio muuwaji na kuanza kumzonga kilichowatokea Mungu mwenyewe anajuwa

Kwani walifinywa na kufinyangwa, embu oneni tukio zima la kitimutimu cha wakazi wa Kinondoni.

“duhuu kumbe bongo kuna watu wanapiga kiasi hiki tena mtu mwenyewe Mwanamke mbona hatari”…

“wee unashangaa kuona hivyo usikute muuwaji kakimbia baada kuona mambo sio”

Yalikuwa mabishano baina ya vijana fulani wakiwa hotelini

Kupata msosi,

“hawa ndio watu wanaoitajika ndani ya nchi hii

Maana wakipatikana kama watatu tu shuhuri kwisha kazi”..

Polisi walizidi kusambazwa kila kona wakafanya kazi usiku na mchana.

Lakini haikusaidia kitu ndio kwanza mauwaji yakazidi kuongezeka,

Kijana hakuweza kukumatwa kabisa yani akawafanya polisi kama vitoi fulani

kwa kuwachezea vile alivyotaka yeye.

Ilikuwa ni siku ya j.pili ndani ya ukumbi mmoja hivi kulikuwa na

Happy birthday ya bibiye Vivian

watu wengi waliweza kualikwa ndani ya ukumbi huo kwanza kila mtu aliweza kupendeza wanaume kila mmoja alitinga suti,

Wanawake nao walipendeza kwa namna zao huyo bibiye Yusra utasema malaika

Kwa jinsi anavyong’aa

Mariam nae usimpimie wanaume wakwale wakabaki kuwakodolea macho ya matamanio tu.

Tatizo mabinti hao si rahisi kuingilika.

Ndani ya mtaa wa tatu kulivamiwa na wababe sijui kutoka wapi,

Tena mchana kweupe

Kikundi cha watu wapatao kama sita hivi

wakaingia ndani ya nyumba kwa kina

Salma wakapiga kila mtu

Kisha wakaondoka na bibiye Habiba.

Salma huku akilia damu zikimchuruzika kwenye paji lake la Uso akampigia simu

Hafidhi,

Ndani ya ukumbi mziki ulikuwa mzito kitendo kilichopelekea Mwanaume asiweze kuisikia simu yake kama inaita basi

Vivian akakata keki wakwanza kumrisha ni kipenzi chake,

“mmh! Mariam hivi huyu

Vivian atakuwa kachanganyikiwa au?”

Yusra akauliza swali.

“unamaanisha nini kuuliza hivyo?

“nauliza hivyo kwasababu yeye ni Agent responsible haifai kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi”…

“mmh! Yusra embu acha kunichekesha kwani Agent responsible ni robot au binaadamu tambuwa kitu kimoja hata yeye anahisia ikiwa ni binaadamu.

Hapa nilipo mi mwenyewe natafuta wangu nikimpata tu mbona raha,

Mariam akaondoka zake kwenda chooni

wakati anatoka

Ghafla akajikuta anashika mkono

Na kuvutwa mtoto wakike akapepesuka na kujikuta anatuwa kifuani kwa kidume

Akabambanishwa ukutani.

“shemeji nini bwana embu niache!!!

Akatekenywa kwenye chuchu basi akaruka

Ahaaaa,,,,mi staki hivyoo

Akapewa mdomo yeye mwenyewe akafumba macho na kuachia kinywa chake wazi

Assess,,,,ohoooo

Denda lilikazana huku wakigombaniana ndimi zao Hafidhi aliona kama vile hafaidi kushika matako ya bibiye maana alishaanza kuyashikashika na kuyaminya.

Wakati huo

yalikuwa ndani ya gauni jepesi.

Alilivuta kwa juu na kumbakiza na chupi aina ya bikini

Mariam

aliyekuwa ameshapanua mguu mmoja kwa utamu aliouhisi,wakati denda linaendelea ikabidi Mwanaume amsaidie ile kazi aliyokuwa anajifanyia yeye mwenyewe ya kijiingiza vidole kwenye kitumbua chake. Mariam mzuka ulimpanda si kidogo.

Dole la Hafidhi lilishuka chini na kuingiza kwenye kitumbua cha bibiye kilichojaa nyama na kutuna mashavu yake,aaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaah,,,,,,sssssssss,,,,,aaaaaaaah,,,,alilalamika Mariam huku mdomo wake ukishindwa kushiriki vizuri tendo la denda kwa utamu wa kuingizwa dole basi Dole la Hafidhi lilimsugua bibiye kiarage chake kilichosimama kwa nyege,,,mmmmh,,aaaah,,masikini wa watu Mariam alikamatika hasa,alipiga kelele za utamu huku akijitahidi kukikatikia kidole cha Hafidhi basi alichokifanya Mwanaume alilitoa dudu lake kupitia hapo kwenye tundu la zipu kisha akaliingiza haraka kwenye kitumbua cha Mariam kilichokuwa kimelowa hasa,akamshika vyema huku wakiwa wamesimama hivyo na kuanza kumsugua,,,,aaaaaaaa­h,,,,aaaaaaaaaaaiiiiiiiissssssss,,,aaaaa­aaaah,,,mmmmh,,,,alilalamika kwa utamu wa dudu lilipoingia ndani ya kitumbua chake

Dudu lilianza kumsugua ambapo lilizama lote na kutoka kwenye kitumbua hicho kilichokuwa na joto wastani lililomsisimua zaidi mikono ya Hafidhi ilikuwa ikiyashika matako ya bibiye yaliyokuwa laini na makubwa kwa kuyaminyaminya kama anakanda unga wa ngano,pia mikono ya Mariam ilikuwa shingoni akimshika hasa na kumpapasa kichwa chake mguu mmoja wa Mariam ulinyanyuliwa kwa pembeni na Hafidhi ili apate nafasi nzuri ya kumsugua hasa bibiye mwenye nyege za kutosha.

Mtoto wawatu alilalamika kwa utamu wa dudu lililokuwa linaingia na kutoka kwenye kitumbua chake ilikuwa mwendo wa wimawima hiyo akuna kuchutama wala kuchuchumaa. Hafidhi alishindwa kujizuia bao lilipokuwa linakaribia naye alianza kuweweseka kwa utamu,,,aaaaaaah,,,oossssssss,,,aaaaaaah,,,hapo Mariam hakuwa mjinga,naye aliyakata mauno na kumkumbatia huku dudu lote likizama kwenye kitumbua chake kinono chenye mashavu laini.

Alianza bibiye kutoa uji wake huku akifuatiwa na Hafidhu aliyejikaza hasa miguu yote ilikaza ambapo kufumba na kufumbua alijikuta anakojowa, aaah,,,aaaaaaah,,alimalizia utamu wake kwa kugugumia hivyo ambapo dudu lake lilikuwa limeshachomoka nje ya kitumbua,kweli nyege mwanaharamu,walipomaliza kusuguana ndipo, wakabaki kutizamana tu Mariam akabaki kuona aibu akavaa faster bikini yake pasipo kuaga akaondoka zake tukirudi ukumbini Vivian kuna Mwanaume alikuwa akicheza nae.

Sema akili haikumpa kabisa mawazo yake yalikuwa kwa kipenzi chake Rich

“sijui huyu Mwanaume atakuwa wapi muda huu ahaa mi nimeboreka tu, kwa mbaali akaweza kumuona Mariam akitokea chooni

Dakika si nyingi na Rich nae huyo

Akabaki kujiuliza mbona kama wameongozana vipi kunani tena, sema akaweka wivu pembeni kuwa hakuna chochote kilichotokea baina yao.

Hafidhi baada kutoka chooni akatoka nnje ya ukumbi na kuitowa simu yake,

Kutizama kuna miss call kama hamsini sms

Sijui ngapi akaifunguwa moja kuisoma na kusema shit!

Akarudi ndani mbiombio na kumfikia Vivian akiwa anacheza akamshika mkono na kumvuta kwenda nae nnje

Yule jamaa aliyekuwa akicheza na Vivian alichukia si mchezo maana alikuwa kakamatia Toto la nguvu akibambia,

“baby nini kwani mbona tunavutana hivyo?”

Vivian akauliza swali huku akijitowa mikononi mwa Hafidhi.

“sikiliza nikwambie kitu baby kuna ndugu yangu amepatwa na tatizo so naomba ufunguo wa gari niwai kumcheki hospital”…

“Atakuwa kapata ajali au kama vipi twende wote”

“hapana baby hatuwezi kwenda wote usikute baba na mama watakuwepo huko

Haitopendeza kukuona katika mavazi haya.

Wacha mi niende kisha nitakujulisha uje

Please nielewe my dear”….

Vivian japo kwashingo upande

akampatia funguo japokuwa nae

alitamani kwenda kuwaona

Wakwe zake mawifi zake

au Shemeji zake sema hakuwa na jinsi kumuacha kipenzi chake aende kwanza,

Mwanaume baada kuingia ndani ya gari akaondoka kwa speed ya hatari

na kuacha maswali kwenye vichwa vya watu kama ataweza kufika

Salama,

Hafidhi ndani ya gari alikuwa akiupigapiga usukani kwa hasira yani speeds yote

akaona kama gari haitembei

Kwenye mataa akasimama kisha kuendelea na safari.

Hatimae akaingia Mtaa wa tatu

Yani aliposhuka tu kila aliyeweza kumuona moyo wake ukashituka

Hafidhi j Ikram amerudi

vijana wazee kwa watoto wakakusanyika kutaka kumuona japokuwa wanatambuwa anatafutwa na jeshi la polisi kwa kosa la mauwaji.

Mbele ya shujaa wao hawakutaka kusikia chochote,

“vipi Ankor mbona hivyo kitu gani kimewatokea?

Nani katenda yote haya? Habiba yupo wapi?”

Hafidhi akauliza maswali mfurulizo baada kuingia ndani ya nyumba hiyo

Hakuna aliyeweza kuamini kumuona tena

Hafidhi karudi ndani ya nyumba hiyo

Ankor wake mchozi ukamtoka na kuuliza

“Hafidhi ni wewe mwanangu”….ndio wewe kijana wangu”

Akamkumbatia na kumwambia

“laiti kama ungekuwepo haya yote yasingetokea,

Kuna kikundi cha vijana sijui wametokea wapi wamevamia ndani ya nyumba hii na kuanza kupiga kila mtu.

Tulijitahidi kupambana nao wakatuzidi nguvu na kujikuta tukipigwa kama vile watoto wadogo baada kututembezea kichapo mmoja kati yao akaitowa picha ya yule binti aliyekuja nae Joyce.

Na kutuuliza yuko wapi huyu binti?

Hakuna aliyekuwa tayali kutaja

kumbe Habiba nae alikuwa ndio anarudi kutoka kwenye biashara zake,

Pasipo kufahamu akafunguwa mlango aingie ndani.

Ndipo wale majangili yakaweza kumuona

Kwanza walimpiga na kuondoka nae, yani walikuja na gari aina ya Noah.

Yenye number za usajiri

99TZ00 ndio kilichotutokea

My Ankor!”

Baada Hafidhi kusimuliwa vile akasema

“Ankor na wale wote mliopigwa nina hakika nitawalipia hiki ni kidogo

nitakata mikono yao wacha niende”

Akatoka mbiombio na kuingia ndani ya gari

Kabla hajaiwasha kuna

bajaji ikaja kupaki pembeni yake na kushuka

Kessy akabaki kumtizama tu mkononi kafungwa Hogo,

Hafidhi akashuka na kumfata

“Kassim”

Kessy akashtuka kuitwa jina lake ikabidi ageuke kumtizama huyo anaemwita

Ni nani.

Akashtuka zaidi baada kugunduwa anaemwita ni mbaya wake kwa wakati huo mkono wake mmoja ni mbovu, ikabidi awe mpole tu, akajichekesha

“ohoo kaka mkubwa naona leo uko huku vipi tena”…

“sikia nikwambie kitu Kassim siku zote sinaga muda wa kuongea sana

Ukiwa kama ndugu yangu naomba unijibu hiki nitakachokuuliza

Je huyu mzee unamfahamu?”

Hafidhi akauliza swali huku akimpatia simu Kessy sema Hafidhi anamwita

Kassim.

Nae akaipokea na kuitizama hiyo picha kwenye screen ya simu

Kisha akamrudishia kwa kumjibu

“hapana ndugu yangu simfahamu kabisa cha kukusaidia huyo

Mzee nishawai kumuona sehemu akiwa na Boyka huwenda wanafahamiana”

“ok! Ndugu kwajibu lako je Boyka naweza kumpata wapi kwa wakati huu yani anaishi wapi”…

“anaishi mtaa wa pili hapo ukitoka huu wanyuma yake nyumba number

Sita”….

“ahaaa unataka kusema kwa mzee

Simba sio au sio kule”..

“ndio hukohuko ndugu kumbe unapafahamu ehee?”

Hafidhi akaingia ndani gari na kuondoka zake,

Kessy akavuta pumzi nzito na kuzishusha

“opsiii”

Maana alikuwa anaongea na mtowa roho

kwakifupi anatisha kama

faya,

“vizuri sana vijana kwa kuweza kufanikisha hii kazi sasa basi

Huyu mbwa wangu ameweza kunenepa na kunawili hakika anapendeza sana embu mvueni nguo zake zote”

Vijana wakafanya kama walivyoagizwa na boss wao

Habiba aka chaniwa mavazi yake hadi

Chupi akabaki mtupu mbele ya baba yake

Sijui kamuokota au kamzaa maana dahaa

kisha vijana wote wakaamrishwa kutoka nnje mzee Khatibu alitaka kumbaka mwanae wa kumzaa,

“tafadhali baba yangu usifanye hivyo kumbuka Mimi ni mwanao wa kunizaa”

Habiba aliongea hivyo huku machozi yakimtoka sema haikusaidia kitu

Akajikuta anashikwa na kutupiwa kitandani katika kukuru kakala kitu kikapenya

na kuanza kupigwa pampu,,,

Akatulia kimyaa machozi yakidondoka na kurowanisha shuka

“Kaka Hafidhi popote ulipo naomba uisikie sauti yangu hii ni sauti ambayo

Hutoweza kuisikia tena kama Mungu akipenda tutakuja kuonana mbele ya haki

siku ambayo tutaisabiwa kwa yale tuliyoweza kuyafanya hapa duniani.

Kwaheli kwaheli ya kuonana,

Nilitamani kuweza kuziona harakati hizi za mapambano juu ya mafisadi wanyang’anyi matapeli

Na wote wenye tabia za kishenzi kama huyu Baba yangu leo hii ananibaka,

Uwiiiiiiiiiiii,,,yalaaaaa!!! Habiba alipiga kelele mwishoe akawa kimya.

Huku mzee Khatibu bila hoga wala haya akizidi kumpampu mpaka akaweza kukizi haja zake akainuka kutoka maungoni kwa mwanae akiwa na furaha,

“ahahaha baby haya inuka nikupe pesa yako ya malipo, yani sijawai kulala na Malaya mtamu kama wewe”….

Mzee Khatibu akaongea hivyo huku akimtupia noti za shilling elfu kumi pale kitandani,

Lakini Habiba alikuwa yupo kimyaa.

“wee Malaya inuka bwana unataka tena au?

Akafanya kumtekenya sema bibiye hakutikisika hata kidogo,

Akapaza sauti kuita walinzi.

“Walinzii!!!

Khatibu akaanza kudata aisee mapigo ya moyo yalikuwa yapo kimya kabisa,

Walinzi wakaingia na kuuliza

“vipi mzee mbona huko hivyo shukhuri ilikuwa nzito nini?”

“nzito wapi huyu Malaya kawa mzoga aisee embu ubebeni huu mwili mkautupe huko”

Kumbe Habiba alikuwa tayali ameshafariki, na Yale ndio yalikuwa maneno yake ya mwisho hapa Duniani, tuseme kauli ya mwisho.

Mwili ukabebwa na kwenda kutupwa

“please niache mi sijui chochote

Mdogo wangu, yalaa!!! Unaniumiza mguu”….

Zote zilikuwa kelele kutoka kwa Boyka baada kunaswa na Hafidhi yani ataje

Habiba kapelekwa wapi

Ghafla Hafidhi akaacha kumtesa

Macho yake yakatuwa kwenye flat screen iliyopo chumbani kwa Boyka

“Habari tulizoweza kuzipokea hivi punde kuhusu kutupwa kwa mwili wa msichana na watu wasioweza kufahamika

Maeno ya Manzese darajani mwili wa marehemu umehifadhiwa chumba cha maiti katika

Hospital ya taifa Muhimbili.

Hafidhi hakutaka kujiuliza sana akatoka mbio

Na kuingia kwenye gari safari ya kwenda Muhimbili hiyo.

Ndani ya hospital ya Muhimbili

3Sisters nao wakatia team ndani ya Hospital hiyo,

Hafidhi nae akafika na kwenda moja kwa moja mapokezi.

“za saa hizi Dada yangu nilikuwa naulizia kuhusu mwili wa marehemu uliookotwa leo mchana?”

Kabla ya kujibiwa akaguswa begani

Kugeuka ni

Vivian – Yusra – Mariam wakiwa katika mavazi yao ya kazi

Kitendo cha Hafidhi kuwaona 3Sisters wapo maeneo yale kilimshangaza sana na kubaki kujiuliza

maswali mengi kuhusu ujio wao, “vip baby mbona naona kama huamini hivi kutuona maeneo haya”, kwa kifupi

tuliweza kuziona taarifa hizi tukiwa kule kwenye sherehe, ndipo nikawaomba marafiki zangu tuje huku

nikiwa nishafahamu atakuwa ni ndugu yako. Pole sana mpenzi”, bibiye Vivian aliongea hivyo huku

akimshika Hafidhi begani basi wakakumbatiana kidogo jamaa moyo wake ukashuka maana alijuwa

washaweza kumshtukia kumbe sivyo, basi wakaongozwa mpaka monchwari kwenda kuuwona mwili wa

marehemu. Hakika Hafidhi alidata si kidogo machozi yaliweza kumtoka pindi alipoweza kuuwona mwili

wa Habiba. Akazidi kulia utasema mtoto mdogo aiseee,

“Ni kitu gani umewakosea walimwengu mpaka wamekutendea kitendo cha kinyama kama hiki ewe Dada

yangu mpendwa’’,,,,,Habiba tafadhali amka uniambie nani kakutendea hivi ‘’ Wakina Viviani walikuwa na

kazi ya kumbembeleza tu, dakika si nyingi kina Salma nao hao wakafika huku wakilia baada kufanya

taratibu kadhaa mwili ukachukuliwa yani kesho yake Habiba akazikwa kwenye makaburi ya mtaa wa tatu

kwa heshima zote za dini ya kiislamu, watu wakaweza kutawanyika huku Hafidhi akipotea kwenye

mazingira ya utata. Walijitahidi kumtafuta huku na kule hakuweza kuonekana, kumbe mzee J Ikram

alipigiwa simu akaja na kikosi kizima cha kata funuwa nyonya mavi.

Wakati ndani ya mtaa wa tatu wakimtafuta Hafidhi kumbe mwenzao kwa wakati huo alikuwa yupo

pande za Bagamoyo kwenye kijipoli fulani hivi kuna mtu kamning’iniza kichwa chini miguu juu mtu

mwenyewe hakuwa mwingine ni Boyka.

“sikia nikwambie kitu Boyka wewe ni kama ndugu yangu nakumbuka ulinisaidia vitu vingi sana kipindi

kile wakati naingia dojo, ukaweza kuniongoza vyema kwenye mazoezi yangu mpaka siku ambayo

nikaweza kufuzu, sasa basi kuitunza heshima yako sitaki nikuuwe. Nitaweza kukuacha hai iwapo tu

utajibu maswali yangu kiufasaha, kwanza kabisa wewe ni nani?’’

Boyka huku akitetemeka akajibu

“tafadhali usiniuwe mimi naitwa Afred Boyka nitakueleza kila kitu kuhusu huyo mzee, kuna siku alikuja

kwenye Camp yetu kule Upanga na kudai kupotelewa na mwanae akaomba kama kuna yeyote

atakayeweza kumuona amkamate kuna kiasi cha pesa akaweka mezani!” “ok mpaka hapo nimeweza

kukuelewa je unaweza kunitajia hao walioweza kumteka Habiba nitaweza kuwapatia wapi?’’

“ndio nafahamu sehemu walipo kama vipi nikupeleke ndugu’’

“sitaki kupelekwa wewe nitajie tu wanapatikana wapi nitaenda mwenyewe’’,,,,Hafidhi aliongea hivyo

kwa sauti ya ukali huku akimchapa Boyka mkia wa taa uliotuwa moja kwa moja mgongoni, “yalaa!!!

Please nitakwambia wapo kule Tandale mitaa ya kwamtogore, kuna kijiwe kimoja kinaitwa New black

scorpion king ndipo wapo hapo!” “shukrani ndugu kwa majibu yako sasa nakutuma uwende kuzimu kwa

kazi moja tu nenda kamlinde Habiba’’ kitendo cha kufumba na kufumbuwa Boyka akachinjwa kama

mbuzi kisha mwanaume akasepa kwa kutumia simu ya Boyka akawapigia polisi na kuwapa taarifa kuhusu

mauwaji yaliyoweza kufanyika polisi wakafika eneo la tukio na kubaki vinywa wazi. Hakika muuwaji

anatisha si kidogo taarifa zikaweza kutangazwa juu ya kifo cha kijana kukutwa amechinjwa na

kuning’inizwa kama vile mbuzi anataka kuchunywa ngozi “Mungu wangu si Boyka huyu masikini kijana

Wangu dahaa”…

Deniss aliongea hivyo kwa hasira na kujiandaa kutoka kwenda hospitali kuuwona mwili wa Boyka. “kwa

mwendo huu mbona binaadamu tutakwisha wengi, yani jana tu kuna binti kauwawa kinyama na

kutupwa katikati ya soko kule Manzese, leo hii tena kijana wakiume kachinjwa mbona huyo muuwaji ni

hatari tupu’’…..

“nikwambie kitu Beny huyo muuwaji ndio homa ya jiji kwa wakati huu. Usikute kuna mauwaji mengine

hata hausiki kuyafanya yeye sema kuna mijitu imeweza kujichomeka hapo kutafuta kiki! Tu’’

“kumbe hata wewe umeona mbali ehee’’…. Yalikuwa mazungumzo baina ya konda na dereva wake

wakiwa kwenye kibanda cha mama ntilie wakipata msosi wakati wananchi wakiitupia lawama serikali

kwa uzembe wa kutoweza kumnasa muuwaji au wauwaji hata mmoja.

Tukija pande za Upanga siku hiyo kulikuwa na mashindano ya fighting baina ya team hiyo na vijana

kutoka dojo fulani kutokea huko Mbagala basi mashindano yalinoga si kidogo ukumbi ulifulika watu ni

wiki moja imepita tokea Boyka apoteze maisha, basi ilikuwa piga nikupige. Wakati watu wakiwa bize

kucheki burudani ya kufa mtu ghafla akaingia kiumbe kimetinga mavazi ya kininja yenye rangi nyekundu

kila mmoa akasimama na kukitizama kiumbe hicho basi kama aliweza kuwasoma vile akaingia uringoni

na kuomba sparingi na watu kumi, kila mtu alicheka kwa dharau maana ni kitu kisichowezekana mtu

mmoja kwa watu kumi hawakuweza kufahamu kama mwenzao kaja kwa kazi moja tu kuwapeleka wao

kuzimu kwa dharau zao wakaingia vijana wawili sekunde si nyingi kavunja shingo zao. Yani alikuwa yuko

faster mwepesi mno vijana kama kumi wakaingia ndani ya dakika sita kila mmoja akawa kimyaa

“jamani mbona kama yule Ninja anauwa kiukweli watu wakashtuka kumbe wamevamiwa wakaitaji

kumkamata milango ikafungwa kila mmoja akaitaji kujitolea kumbe walikuwa wanafanya makosa

makubwa sana kiumbe hicho sio cha kutaka kumbipu ni moto zaidi ya faya.

Mwanaume akawekwa mtu kati sema hakutishika wala kuteteleka ndio kwanza akakaa stance na kuanza kutembeza mkono yani ilikuwa balaa ndani ya ukumbi huo

Mwanaume alikuwa akipiga zile free kick za ajabu yani mtu anapigwa teke na kutupwa nnje ya uringo.

Hafidhi akazidi kucharuka si kidogo huku miili ya watu ikizidi kurundikana pasipokuwa na dalili za uhai baina yao.

“pigaa!!! Usiogope mkamate”…..

Master wa dojo hilo akazidi kuhamasisha vijana wamkamate Ninja huyo hakika ikashindikana wakazidi kupotezwa mpaka wengine wakaamuwa kukimbi

Hafidhi ni shida tupu.

Taarifa zikafika kituo cha polisi nao wakaja faster na kukuta muuwaji kashaondoka,

“shenzi zake mtoto wa Malaya huyu

mbona anauwa watu hovyo hovyo

pasipo sababu yeyote ile.

sijui kakosewa kitu gani huyu panya?

Yalikuwa maneno ya Gadhabu kutoka kwa bibiye Yusra binafsi muuwaji

Anatia hasira vibaya mno yani ndani ya dojo hilo kauwa watu ishillini na nne si kitu kidogo hiki.

Ndugu jamaa na marafiki waliweza kufika eneo la tukio waweze kuitambuwa miili ya ndugu zao,

Vilio vilitawala kwa wale walioweza kushuhudia miili ya ndugu zao.

“nilikwambia mimi Tuwa kuwa kujifunza mapambano si kitu kizuri sasa umeona eheee

Washakufanya ulale embu amka sasa!”

zilikuwa kelele kutoka kwa mama yake Tuwa akitaka mwanae amke kutoka usingizini ni usingizi wa kifo.

kijana Tuwa hakuweza hata kujitikisa tu,

“Afande embu shika huu mkanda uweze kuona tukio zima kwa kifupi tuliweka camera kwaajili ya kushort mashindano yetu,

Kwa bahati mbaya ikatokea kitu kama hiki”

Yusra akawai kuupokea ule mkanda na kuondoka nao

Vivian na Mariam wakabaki kushangaa tu.

Mbona Yusra kafanya kitendo ajabu kama kile.

Pande za mbagala maeneo ya Zakhiem tunamuona Hafidhi akiwa beneti na binti mmoja hivi.

“kwahiyo kaka yangu ulikuwa unatafuta chumba sasa kiwe cha umeme au cha Giza?”

“chochote tu Dada yangu nina hakika kitanifaa”…

“basi sawa kule bondeni sijui Maji matitu kuna vyumba vingi tu

Tatizo kuna vibaka yani ikifika saa tatu usiku huwezi kukatiza zile, yani kama ujaporwa basi utabakwa ukijifanywa mjuwaji

Utachanwachanwa na viwembe

kwa kifupi kunatisha ndugu”…

“kuhusu hilo wala usijali Dada yangu cha umuhimu mimi naitaji chumba tu, ehee umesema kule Maji matitu chumba cha umeme naweza kupata kwa shilling ngapi yani kodi kwa mwezi?”

“sawa nimekuelewa kama hautojali

kuhusu vurugu za kule cha umuhimu sitaki lawama, sijui yule dalali kanipeleka sehemu mbaya ohoo sijui nini

Tambuwa kitu kimoja kuishi kule inaitaji moyo kuhusu bei chumba kuanzia elfu kumi na tano mpaka elfu thelathin wewe tu na uchaguzi wako kama vipi tunaweza kwenda kuvitizama.

Hakika alikuwa dalali wakike mwenye maneno mengi sana cha kwanza kumtahadhalisha mteja wake kuhusu maeneo anayoyataka, basi wakaingia kwenye mitaa hiyo

kulikuwa na pilikapilika za hapa na pale

Sijui mafundi wedding yani wachomolea mageti,

Kuna mafundi majiko sijui bajaji na bodaboda yani ilikuwa full kelele tu,

Huku watoto wakicheza mpira

Kuna madada fulani wakikubwa walikuwa wakicheza Rede sasa kwa bahati mbaya mmoja akarusha mpira na kwenda kumbabuwa Hafidhi,

“Ahaa wee Mary umembabuwa kaka wawatu embu muombe msamaha”

Mmoja kati ya wasichana akaongea hivyo.

Lakini huyo Mary wala hakujali ndio kwanza akasonya na kusema

“nyoo nimuombe msamaha kwani yeye nani kwanza alitumwa kupita njia hii aende zake huko!”

“hata kama kaka zako wababe wa maeneo haya huna budi kuomba msamaha pindi ukimkosea mtu”…

Mwingine akamsisitia Mary kuwa mstaarabu pindi anapokosea,

Wakati huo Hafidhi na yule Dalali washaondoka zao,

“nafikilia kaka yangu umeweza kujionea hali

Harisi jinsi ilivyo yule binti kakupiga na mpira baada kukuomba samahani ndio kwanza kakusonya!”

“mbona vitu vidogo sana kwa watoto wakike kama wale kuhusu hilo ondowa shaka kabisa”

Wakaingia ndani ya nyumba moja hivi na kuanza kukikaguwa chumba,

Basi walipita huku na kule kukaguwa mwishoe

Hafidhi akaridhika nacho

Akafanya malipo ya mwaka mzima, na kusema atahamia baada wiki moja,

“baby mbona kama sikuelewi?”

Ni usiku mmoja bibiye Vivian akiwa kitandani na kipenzi chake yeye anamfahamu kwa jina la Rich sisi tunamfahamu kama

Hafidhi j Ikram muuwaji wa kutisha nae akauliza

“unielewi kuhusu nini kipenzi

Changu?”

“sikia nikwambie kitu siku ile kwenye mazishi ya Dada yako kule mtaa wa tatu

Nilisikia kama watu wakimzungumzia

Hafidhi eti wakasema kama wamemuulia Dada yake ndio wameuchochea moto.

Sasa nikawa na shahuku ya kutaka kufahamu huyo

Hafidhi yuko wapi niweze kuonana nae”….

“ha!ha!ha!ha! Sasa baby unataka kuonana na Hafidhi kwa ishu gani au unataka kunimwaga nini?”

“hapana baby si unajuwa tena”,,,,ahaaa,,,,opsiiiiiiii,,,,,,,assssssssmmmmm,,,,,mtoto wakike akaanza kugugumia kwa utamu baada kushika chuchu yake ya kulia huku kidole kikiwa ndani ya kitumbuwa chake,,,

“assssss,,,,,baby fanya,,,taratiiiiiiii-bu

Uwiiiiiiiii,,,,,,Nina mimba yako,,,ni kauli ambayo ilimfanya Hafidhi asitishe shukhuri nzima na kuuliza

“baby unasemaje?”

“nimesema nina mimba yako baby nilienda kupima juzi baada kujihisi sipo sawa sikutaka kukwambia mapema

kuogopa mambo fulani”

Hakika Hafidhi hakuweza kuamini Aisee yani tokea aanze mahusiano

ya kimapenzi na wasichana tofauti hakuwai kutamkiwa hata mimba ya kusingiziwa leo

Amempa mimba Mwanamke

Commando kama huyu hakika furaha iliyoje

“Vivian unasema mpenzi yani hata siamini kama ni kweli eti ni kweli au?”

Yani furaha ya Hafidhi ikapitiliza mpaka kujikuta akitaja jina harisi la

Vivian, mpaka yeye mwenyewe akabaki kushangaa amelijuwaje jina

Lake mwishoe akakumbuka ile siku ya

Happy birthday yake liliandika jina lake harisi yani Vivian Jackson

Basi wakakumbatiana kwa furaha na kupeana mate

ghafla Hafidhi alimpindua bibiye na kumlaza kifudifudi ambapo Vivian kwa makusudi, Alijibinua matako yake na kuyapanua,kwanza tayari alishakaa mtindo wa Mtaka cha uvunguni,,,ingizaaa mpenziiiiiii,,aaaaaa­aaah,,,,mmmh,,,aliongea na kuugulia kwa utamu akionyesha hamu yake kubwa ya kutaka kusuguliwa,jinsi uhemaji na ukunjaji wake wa sura ulivyokuwa Vivian alionekana kama mtu aliyelishwa pilipili nyingi

Basi taratibu alimwingiza dudu lake kubwa ambapo kwa mbwembwe alikuwa akitikisa matako yake laini huku akiguna kimahaba kulipokea dudu hilo.

Taratibu mpaka Dudu lote lilizama kwenye kitumbua,hapo Vivian akaanza kuonyesha ufundi wake kwa kuzungusha kiuno chake kulikatikia dudu

,,,mmmmmmmmh,,,ooooo­ooooooooouushiiiiiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaa­aaaaaaaaah,,,,alisikika akilalamika kwa utamu baada ya kukunwa dudu lake ipasavyo,mtoto aliinamisha kichwa chake chini kabisa na kujibinua matako yake huku akimpa mauno ya nguvu Hafidhi aliyekuwa anapampu kwa kasi

“jamani baby taratiiii-bu usije ukamtobowa mtoto utosi,,,,,ahaaaaaa,,,,assssssss,,,

Vivian aliongea hivyo huku akinung’unika kwa utamu wa andunje ikawa kama vile kamwambia ongeza kasi, speed ikaongezeka mikalio ikasikika ikilia pwahaa pwahaa baada kujipigiza kwenye mapaja ya Hafidhi

Vivian alikuwa akinesanesa tu kama vile sitaki kwenda mi narudi ntaenda,,,,”

Yusra baada kuuchukuwa ule mkanda hakuweza kuutizama mapema akauweka kabatini sijui kwanini kafanya hivyo.

“Yusra uliona kitu gani baada kuutizama ule mkanda wa Dojo?”

“sijaona kitu chochote kwani vipi”….

“embu nenda kaulete basi niweze kuutizama na Mimi

Mariam akauhitaji huo mkanda

“kusema kweli shost huo mkanda baada kuona hamna kitu nami sikuwa na haja ya kukaa nao nikautupa tu”…

Yusra akazidi kuongea uwongo mbele ya Agent mwenzake,

“sawa haina shida binafsi kuna kitu kingine naitaji nikueleze kuhusu Kamanda mwenzetu yani bibiye Vivian kwakifupi hivi sasa yeye ni mjamzito!”

“what?…..unasema kweli Mariam au unatania tu?”

“siwezi kutania hiyo ndio hali harisi na inavyoonekana hatoweza kuendelea na hii kazi itabidi akae pembeni mpaka pale atakapojifunguwa ndipo arudi kazini”..

Ghafla bibiye akatoka mbio huku mkono kajiziba mdomoni

Mpaka kwenye sink akaanza kutapika

Yusra akamfata na kumuuliza

“vipi tena shost! Mbona hivyo unaumwa au”….kama vipi twende hospitali!”

Mariam hakujibu kitu akajisafisha na kurudi sebuleni

na kukaa kwenye sofa

Hakukaa sana akatoka tena mbio kwenda kutapika mpaka hapo hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali kwenda hospitali

“ongera sana binti”.

Baada ya vipimo kufanyika huku Daktari akiwa na uso wa furaha wenye tabasamu mwanana akampa hongera bibiye Mariam.

Kwa upande wao hawakuweza kuelewa chochote mtu na shogaake ikabidi watizamane

“unamaanisha nini Daktari mpaka unipe pongezi hizo je umependa mimi niumwe?”

Mariam akauliza kwa shahuku ya kutaka kufahamu kwanini kapewa pongezi.

Daktari akaweka miwani yake sawa huku akiendelea kutabasamu akamjibu,

“hapana binti sina maana hiyo eti kupenda wewe uumwe ichi ulichonacho wewe si ugonjwa ni hali harisi kwa kila Mwanamke itamkuta haijarishi ni tasa mgumba au nani

Kusema kweli una mimba ya wiki tatu”…

“stop!!! Please ishia hapohapo Daktari unataka kusema mimi nina nini???

Kwanza Daktari akashikwa na mshangao mbona binti kawa mkali ghafla baada kuambiwa ana mimba why?”

“sikia nikwambie kitu binti nipo katika kazi hii takribani miaka tisa sasa nina uzoefu mkubwa wa kazi yangu kwa kifupi wewe ni mjamzito

Kabla Daktari ajamalizia kuongea zaidi akashtukia akipigwa kibao cha kerbu

“shatapu!

Pumbavu zako hivi inawezekana vipi kwa Agent responsible kama Mimi nishike mimba haiwezekani kamwe”….

Daktari akabaki kimya kusikia kumbe huyu binti ni Agent

Akaona asije akauliwa bure,

“inawezeka ukashika mimba tambuwa kitu kimoja Agent responsible si robot ni binaadam mwenye hisia ukizingatia wewe ni Mwanamke mbona hata Simba juu ya ukali wake wote anazaa punguza hasira tuangalie ni jinsi gani unaitowa hiyo mimba”…..

Yusra akaongea hivyo huku akimpigapiga begani kumtuliza hasira zake.

“hivi wewe chizi au kichaa mwehu au nani? Yani mimi nikiwa kama Agent mwenye kupambana kuhusu

swala zima la kuzuia mauwaji alafu leo hii nishiliki kukiuwa kiumbe kisichokuwa na hatia embu nipishe

na upuuzi wako’’

Akampushi shogaake na kutoka nnje ya wodi hiyo hakika alikuwa na maswali mengi sana yenye kuumiza

kichwa, akaitowa simu yake na kumpigia sijui nani. Akasikika akiuliz “ehee upo wapi wewe tafadhali

naomba tuonane sasa hivi, njoo hapa viwanja vya Biafra ufanye haraka sana’’ kisha akakata simu na

kuingia ndani ya gari yake,

“sasa huyu mwehu naitaji nimuuwe kimya kimya, haiwezekani kumpa penzi siku moja tena kwa dakika

chache kama zile leo hii aikatishe ndoto yangu kizembe. Wacha nikutane nae kisha nitumie mbinu ya

kummaliza. ipo siku mwanangu atakuja kuniuliza Mama baba yuko wapi nitampa jibu zuri tu kuwa baba

yako amekufa akiwa vitani katika nchi ya Uganda,

Mariam hakika aliwaza mambo mengi sana huku machozi yakizidi kumtoka pia akamkumbuka na Vivian

nae ana mimba ya mwanaume huyo itakuwaje siku akigunduwa kuwa yeye ndio muhusika wa mauwaji

ya baba watoto wake si vitazuka vita sema akajiambia potelea mbali,

Tukija upande wa Vivian wakati simu inapigwa aliweza kusikia kila kitu sema akajifanya kutulia kimya

kwa kuzuga eti amelala. Hafidhi nae akiwa hana hili wala lile akatoka zake kwenda kuonana na mariam

hakuweza kutambuwa kama kaandaliwa kifo. Akiwa ndani ya gari ghafla kwenye siti ya pembeni kukaanza

kufuka moshi kwanza alishtuka tena akashtuka zaidi baada kutokezewa na kiumbe chenye sura ya baba

yake yani Mzee J Ikram, akafunga breaki ya gari ajabu gari haikuweza kusimama mwanaume akatamani

hata kuruka sema mlango wa gari haukufunguka wala vioo kila kitu kilijilock,

“Hafidhi kijana wangu embu punguza presha tambuwa kitu kimoja mimi ndio Baba yako wa ukweli ndio

ninae tumia nguvu zangu na maarifa yangu siku zote kukulinda wewe popote ulipo nimeweza kuifanya

sura yako isiweze kutambulika mbele ya wabaya wako, na wakutambuwe wale wenye nia nzuri tu juu

yako, Hafidhi naomba nikwambie kitu kimoja tu huyo binti alie kupigia simu anaitaji kukuuwa kisa na

mkasa umempa mimba nae hataki hicho kitu sasa basi kuwa makini huko uwendako’’……

Baada kuongea hivyo kiumbe kikapotea Hafidhi akajalibu kufunga blek gari ikasimama akatesti

kufunguwa mlango ukakubali.

Mwanaume ikabidi avute pumzi na kuzishusha “opsiii’’ na kuona kumbe ni kweli yeye si kiumbe cha

kawaida akaitowa simu yake na kumpigia Mariam na kumwambia “kusema kweli mpenzi huko sitoweza

kufika maana gari yangu imechemsha hapa Kigogo njia panda hapa. Kumbe ulikuwa uwongo mtupu yeye

katokea Kinondoni studio na hapo alipo yupo Kinondoni (B)

“please Rich naomba ufanye kila njia uweze kufika hakika nina shida muhimu sana na wewe!!!

Mariam akasisitiza zaidi akitaka Hafidhi afike viwanya vya Biafra.

Hafidhi akakata simu kwa kusema neno moja tu siwezi kufika”….

Mariam baada kuona simu imekatwa akaitaji kumpigia sema haikuweza kupatikana

Akabaki kusema ohoo shit! Huyu mpumbavu amekataa kuja ipo siku yake shenzi

time”…..

“Mariam kwanini unataka kumuuwa Rich hivi hujui au hufahamu kama yule ni kipenzi changu mume wangu mtarajiwa

Baba wa mtoto wangu, ni kitu gani kakukosea?”

Binafsi Mariam akashtuka si kidogo baada kumuona Vivian kafika pale na kuongea maneno hayo kwa uchungu huku machozi yakimtoka,

Akashindwa amjibu kitu gani,

Akabaki kuweweseka,

“nijibu kitu gani amekukosea Niue mimi kwanza kisha yeye ndio afate niambie kosa lake huwenda nitaweza kukusaidia kumuuwa niambie please mdogo wangu!!!

Vivian akamkunja na kumtikisa Mariam nae akaanza kulia

“nisamehe Dada yangu ni kweli naitaji kumuuwa Rich na hakuna chaguwo lingine lazima afe!!!

“ndio afe kwa kosa gani sasa niambie niweke wazi kwanini afe”….

Mariam akabaki tena kimya

Vivian akaona kule kumtikisa haitoshi akaanza kumchapa vibao

Yani alimpiga makofi ya maana,

Umati wawatu ukajazana kushuhudia jinsi ugomvi wa mabinti hao

Yusra nae akafika na kuja kumzuia Vivian asiendelee kumpiga mwenzake kwa kifupi

Mariam alibaki kama zezeta fulani hivi hakuitaji kumzuia wala kumrudishia

Hafidhi nae akaingia kwa style ya kishindo ilikuwa ni mbinu moja wapo ya kuwakumbusha wao ni kina nani

Yani upepo ulivuma kila kona vumbi likatimka, huku watu wakiwa hawaamini kukiona kiumbe

Yule yani Ninja Short wakashikwa na taharuki hata Mariam akashtuka kutoka kwenye kutojielewa na kukaa sawa,

Kwa sauti ya kicheko na dharau kubwa

Hafidhi akaongea

“ha!ha!ha! Vivian- Yusra- Mariam nyinyi ni Wanawake mashupavu sana sijawai kuona mfano wake lakini mnataka kuipoteza sifa hiyo kwa vitu vya kipumbavu msijisahau

Kazi bado mbichi come on watoto wazuri njooni kwa mpenzi wenu niwanyonye midomo”……

Yani lilikuwa bonge la tusi kuambiwa vile kila mmoja akanyoosha mikono yao kumuelekezea Ninja yule

Bastora zikiwa mikononi mwao

“nyamaza mpumbavu mkubwa wewe ushatuona sisi mabibi zako mpaka umeanza kututania sio na huu ndio mwisho wako nyoosha mikono yako juu”….

Vivian kwa sauti ya ukali akazungumza hivyo na kutowa amri,

Hafidhi kwa upande wake hakutishika ndio kwanza akazidi kucheka

3Sisters wakatizama na kuamuwa kufyatuwa Risasi vyuma vya moto vikaanza kumfata Mwanaume akachumpa na kufanya kuzikwepa risasi zile kimbembe kikawa kwa wambea kama kule Kariakoo”…

Risasi zikatuwa miilini mwao

Wakati mrengwa akizikwepa na kupotea katika eneo hilo baada kupora pikipiki aina ya boxer Vivian nae akaiwai pikipiki yake aliyokuja nayo,

Wakati Yusra na Mariam wakiingia kwenye gari moja aliyokuja nayo Yusra ndani ya wilaya ya Kinondoni kulikuwa hakutoshi kabisa,

Hafidhi akiwa na ile pikipiki akachanja mbuga mpaka JKT na kutokea Kawe ukwamani akanyoosha na kuingia Lugalo

Tena ilikuwa siku ya Ijumaa jeshini kuna usafi,

Mwanaume akaingia kwa speed ya ajabu na kutokezea geti lingine yani karudi tena Kawe sokoni

Wanajeshi wakaona wee usitutanie umekuja kufanya fujo ndani ya kambi utajuta kutufahamu

“Yusra kwani huyu Hafidhi j Ikram amewezaje kutufahamu majina yetu maana ametutaja pale?”

Mariam akauliza swali sema hakuweza kujibiwa kwani mwenzake alikuwa makini kwenye usukani baada kutokezea geti lingine.

Hafidhi kwa speed ya ajabu akazidi kuchanja mbuga

Ghafla kitu kama bomu hivi kikaweza kusikika huku Hafidhi akirushwa hewani

yani pikipiki

Akatupwa kule baada taili ya mbele kupasuka Mwanaume akaenda kujibamiza kwenye ukuta wa nyumba moja hivi

Akaanza kuona kizunguzungu sijui kihindi hindi

Mwishoe akapoteza fahamu

Wanajeshi wakafika kina Vivian nao hao

wakamuweka mtu kati wakati mwenzao hajitambui kabisa

Hakika ajali kazini mwanaume leo kanaswa

Vivian ndio akawa wa kwanza kumsogelea akihitaji kumvua mask,,,,,,

Vivian akaweza kukisogelea kile kiumbe na kuishika ile Mask na kuivuwa.

Kila mmoja akashikwa na mshangao, kisha wakaanza kufurahi kwa pamoja.

Nikweli alikuwa ni yeye Hafidhi j Ikram huku sehemu ya kichwani kukivuja damu,

Wanajeshi wakataka kumchukua ili waende kumshukhulikia wao.

Sema kikosi cha 3Sisters wakapinga vikali kuhusu swala hilo yani haiwezekani waondoke nae polisi nao kutoka kituo cha Kawe wakafika eneo la tukio kwa mbwembwe zote, na kutaka kuubeba mwili wa Hafidhi uliokuwa umelala chini

Sijui amekufa au laa,

Kukawa na utata fulani hivi kila mmoja akihitaji kuondoka na mtuhumiwa

“embu tuacheni mzozo usiokuwa na faida cha umuhimu naomba tuwe makini

Na huyu kiumbe hatari sana

kwanza tumpeleke hospitali

Kisha tutajuwa nani wenye haki ya kubaki na huyu mtu”….

Vivian akatowa wazo hilo

kitendo bila kuchelewa Hafidhi akafikishwa ndani ya hospitali ya Lugalo akiwa hajitambui kabisa

Akapatiwa kitanda na kufungwa pingu kama akizinduka asiweze kukimbia.

Yani taarifa za kukamatwa kwake zilisambaa kama vile umeme au upepo wa kimbunga

“Ibnuwasi mwanangu nini unafanya wewe imekuwaje ukamuacha mjukuu wangu akaingia kwenye mikono ya watu wabaya?”

Bibi yake Hafidhi upande wa Ujinini akuliza hivyo kwa hasira

maana mjukuu wake kashikiliwa na serikali.

“hapana Mama, mjukuu wako

hakupata ajali ile kwa bahati mbaya ile ajali kajitakia mwenyewe”….

“Ibnuwasi unamaanisha nini kusema hivyo hivi kuna mtu anaependa ajali za kujitakia hakuna kitu kama hicho ndio kwanza nakusikia wewe ukisema kuna ajali za kujitakia”…

Yani bibi mtu alikuwa anaongea kwa kubwata huku macho yake yakifuka moshi yani yamekuwa mekundu si mchezo

“Mama naomba nikwambie kitu kimoja mjukuu wako

Ajali ile kajipangia kwa nia ya kuwapa heshima wazazi wenzie tu”…..

“wazazi wenzie kivipi embu niweke wazi”

“Hafidhi kuna mabinti kama wawili kaweza kuwapa mimba na hao mabinti ndio wapo serikalini siku ya tukio walikuwa wakimfukuza yeye akajifanyisha kupata ajali na kuzimia kumbe hakuna chochote

Anawachora tu!”

“hahahaha kweli mjukuu wangu ni Kommando naomba nikuulize kitu Ibnuwasi nilikupa kazi gani na unafanya nini mpaka unamuacha

Hafidhi anatia mimba binaadamu?”

“nakumbuka ulinipa kazi ya kuchukuwa vizazi vya wanawake wote atakao tembea nao Hafidhi nina hakika kazi hiyo niliweza kuifanya vyema

kwa kuchoropowa mimba za wanawake wengi tu,

Mpaka ikafikia kuondoka na uhai wa binti mmoja anaeitwa Amina, nikaona kuanzia sasa inatosha wacha azae na binaadamu tu”.

“sitaki kusikia kitu kama hicho yani haiwezekani azae na binaadamu wakati yeye ni Jini,

“hivi mama umesahau kama yeye ana homoni nyingi za kibinaadamu kuliko za kijini wacha nikampe msaada huko hospitali”

Kisha Ibnuwasi akapotea

Pembeni kidogo ya hospitali ya Lugalo

3Sisters walikuwa wamekaa wakiongea hili na lile kikubwa kuhusu kufanikisha kazi yao ngumu maana walishaanza kukata tamaa,,,,,”

Kuhusu kumnasa mtuhumiwa.

Vivian akatowa simu yake na kumpigia sijui nani

Ghafla simu nyingine ikaita nayo ilikuwa mfukoni mwake.

“Mbona nampigia simu Richard ajabu inaita hii ya muuwaji”

Vivian akaongea akiwa haamini kabisa akaitizama vizuri ile simu na kutaka kuanguwa kilio

“hapana haiwezekani yani huyu mshenzi awe kamuuwa Rich wangu kipenzi changu, baba watoto wangu, kisha kaichukuwa simu yake kudadeki wacha nikamtwange risasi”….

Vivian akaichomoa Bastora yake na kuanza kupiga hatua kadhaa kulisogelea jengo la hospitali, Yusra na mwenzake wakawai kumshika na kumzuia huku wakimsihi

Asifanye kitendo kama hicho kwani wapo kwenye imaya ya watu wengine,

Wasije wakafanya uvunjifu wa amani na kupindisha sheria

Vivian akatulia kimya huku akipanga kitu ndani ya moyo wake

Magari sijui bajaji na pikipiki ziliweza kupishana wote ulikuwa umati wawatu ukitaka kumuona huyo muuwaji kina Salma nao wakafika

sema hawakupata hata nafasi moja ya kumuona Hafidhi, kwani mwenzao alikuwa chini ya ulinzi mzito

wanajeshi walijazana mpaka utasema hiki nini kuna magaidi au,

“Beatrice shogaangu sasa itakuwaje juu ya shujaa wetu kunaswa”

Zay aliuliza hilo swali

“mi hata sijui cha kufanya hapa nilipo nimechanganyikiwa na huu mtumbo wangu”

“hivi Beatrice unataka kusema hii mimba ya Kambona kweli au?”

Salma nae akamuuliza swali Beatrice

“mmh! Kambona wapi hii mimba ya Hafidhi kwani aliweza kunipa mimba hii miezi kama miezi saba kabla hajaondoka kule mtaa wa tatu

Nikaona nimbambikie nani aweze kulea huu mzigo ndipo nikampata kambona.

Nikafanya haraka kukutana nae kimwili baada wiki nikamwambia Nina mimba yake basi akafurahi huyo

na kuahidi kunijengea nyumba kumbe kweli Wanaume wengine mazuzu”…

Kila mmoja akaanguwa kicheko cha kishambenga

“ha!ha!ha! Hallooo,,,hallooo endelea kushika mapembe maziwa anakamuwa mwingine

Hahahaha”….

Sauti nzito ndio ikawashtuwa ikiwaambia

“nyie mabinti acheni kelele zenu za uswahili tambuweni mpo wapi hapa shenzi zenu

Kisha yule mjeshi akaishia zake,

“mmh Salma umeona sura ya yule mkaka imekaa kama

Makalio yako ehee huwo mdomo kama mpododo wako unataka kunya eheee”

Zay alianza kumchokoza Salma

“Zay tuheshimiane ohoo mbona usemi buti lake kama ngozi ya kikwapa chako

mifuko ya shati lake imeshuka kama kitumbuwa chako”…..

“ohoo bibiye inatosha mimi nimekutania mawili tu wewe unataka kuchambuwa kila kitu kiwe mwili wangu”…

“ahaa kunya anye kuku akinya bata kaharisha nenda zako huko

Basi kila mmoja akanyamaza

Hatimae kesho yake asubuhi ikafika

Salma akaleta chai ikatupwa huku Wanajeshi wakisema

Muuwaji kama huyo hastahili kula chochote

“nani kasema mwanangu asile?

Mbuzi gani kasema hivyo nauliza

nijibuni haraka nani kamwaga hii chai?”

Kwanza kila mtu akabaki kimya wanajeshi wakakakamaa kwa kupiga saruti

Baada kuona mkuu wao kafika hapo kwa kushtukiza

Akaomba ongozwe njia kwenda kumuona mwanae,

hakuweza kuamini baada kumkuta mwanae kajilaza kitandani huku akiwa kafungwa bandeji kichwani mkononi ana pingu

Akakaa karibu yake pale kitandani na kuanza kuongea kwa uchungu

“Hafidhi kijana wangu mtoto wangu wa pekee nakumbuka mambo mengi sana kuhusu wewe, hasa kipindi kile

Wakati mama yako aliposhikwa na uchungu

nilipigiwa simu nikiwa vitani

huko Mozambique niliweza kupambana huku nikiomba nikiomba duwa

Juu ya mama yako aweze kujifunguwa salama.

Vua ikanyesha sauti ya kitoto kichanga ikaweza kusikika kwenye ngome ya masikio yangu hakika nilifurahi sana.

Unaweza

Ukajiuliza inawezekana vipi mimi niwe vitani kwenye nchi nyingine

Wakati mama yako yupo ndani ya hospitai ya nchi nyingine nilisikiaje sauti yako.

Ni simu ndio akanitambulisha kila kitu

Hafidhi mwanangu sikutaka uwonewe katika maisha yako sikutaka udhurumiwe ndio sababu ya mimi kukupeleka ukajifunze

Mapambano kwa kila mwalimu.

Lakini leo hii mwanangu nafsi inanisuta kwa kile unachokifanya

Hafidhi umekuwa muuwaji nini shida nini

tatizo,

Wallah siwezi kukuacha uendelee kufanya kitu kama hiki tena nimekuja hapa kwa nia moja tu kukuchukuwa twende nyumbani.

Kabla hajaongea zaidi sauti ya kicheko ikaanza kusikika

“hahahahaha,,,,,,ha!ha!ha!ha!,,,,,tehe!tehe!tehe!

Alikuwa Hafidhi yani ile kufumbuwa macho tu akaanza kucheka mpaka Baba yake akabaki kushangaa na kuhisi mwanae kashikwa na ukichaa au.

“Assalam alaykum yaa Abii?”

Baada kunyamaza kucheka akasalimia hivyo

“waaleykum ssalam yaa Ibnaiya vipi umzima wewe?”

“mimi ni mzima ewe baba yangu mbona uko hapa umekuja kufanya nini

Mama hajambo?”

“ndio Mama yako hajambo japokuwa yupo kwenye sononeko la kutoweza kukuona mwanae na kanituma nije kukuchukuwa turudi nyumbani ewe mwanangu”…..

“hapana sio kwa sasa siwezi kurudi nyumbani naitaji kuikamilisha kazi niliyoianza nataka kumuuwa mke wa Raisi na vibaraka wake wote”…

“what! Kwanini unataka kumuuwa mke wa muheshimiwa

Kakukosea kitu gani niambie tuweze kumtangaza vyombo vya habari vipo sheria ipo itafata mkondo wake

Wakati anaongea kumbe mwanae ameshakata pingu kitambo tu na kuchomoa dripu akatoka ndani ya chumba alicholazwa

Akiwa hataki mchezo wala maskhara na mtu yeyote

Madaktari wakajishauwa kuja kumshika

kwanza aliwatembezea kichapo na kuwatupa huku na kule Mwanaume akaambaa na ukuta kwa kuruka huku na kule yani kama popo akatoka nnje wanajeshi wakajipanga

Kumdhibiti

Hafidhi alikuwa na nguvu ambazo hata yeye hakujuwa kazitowa wapi yani

Akipiga mtu ngumi au teke huyo mtu

arudi tena.

Mshikeni msimuumize ohoo”…

Mzee J Ikram akapaza sauti kina Salma wakabaki kushangilia tu

“wewee waonyeshe hao na mivazi yao kama ukoko wa kikwapa ndio wape!!!

Psiiiiiiii,,,wakapiga na miruzi kabisa

Hafidhi alikuwa anapiga fight for Grain

yani mapigo ya upepo

Wanajeshi wakazidi kupambana

Mzee J Ikram akabaki kutabasamu na kujisemea kweli mwanae Commando

Ghafla akakwea moja ya pikipikia na kuondoka nayo kwa speed

Kuna mjeshi mmoja akiwa na bunduki akamrenga Hafidhi ilikuwa siraha ya Snipe

yani ile ya masafa marefu

kabla hajafyatuwa risasi bunduki ikapigwa teke na Mzee J Ikram

Akiwa kafura kwa hasira akamuuliza yule mjeshi.

“wee chizi kicha unataka kuniulia kijana wangu je unaweza kubeba mimba yangu ukanizalia mtoto shupavu kama yule,

Lilikuwa bonge la tusi kwa Mwanajeshi yule

Akatikisa kichwa hapana

“kama huwezi basi naitaji mumkamate akiwa mzima

Nendeni mkamshike

fanyeni haraka”.. basi gari na pikipiki kadhaa za Kijeshi zikatolewa kama vile wanaenda Vietnam kumbe ni kumkata mtu mmoja

kufika maeneo ya Mwenge

mwanaume kapotea katika mazingira ya utata haikujulikana kaingilia wapi kila sehemu polisi nao wakatanda

wakati kimuhemuhe kikiendelea

3Sisters kila mmoja alikuwa nyumbani kwake

Vivian akiwa amekaa kwenye sofa akitizama movie ya kibongo inaitwa Bado natafuta

“huyu jamaa hakika kaitendea haki hii falamu simu yake ikaita akaichukuwa

pasipo kuangalia mpigaji ni nani

Akaiweka sikioni na kusema

“Halloo”

“halloo kipenzi naona jinsi gani ulivyokuwa na furaha mama kijacho”

Kwanza Vivian hakuweza kuamini akauliza

“niwewe kipenzi changu Richard uko wapi my husband”

“Vivian punguza mzuka

Naomba utambuwe kitu kimoja wewe unanifahamu mimi kama Richard lakini Mimi ni Hafidhi

Nilitumia mbinu hii ya kukuteka kimapenzi ili niweze kupoozesha nguvu zako

Kwa mara yakwanza nilimpigia simu Yusra ajabu ukapokea wewe.

Nikaona sio mbaya nianze nawe nikajifanya nimetekwa huku viwanja vya Jangwani

nawe ukaja

Vivian I’m sorry kipenzi changu

niliweza kuwasoma 3Sisters kabla hamjakuja hapa nchini

kila mauwaji ninayo yatenda basi kuna sababu zake,

Vivian nitunzie simu yangu nishatoroka huku Lugalo nitunzie mwanangu

pia funguwa kwenye hiyo

Droo ya katikati utakuta Document

Nimeambatanisha na CD

waite wenzako muanze kuzipitia hizo

Document muiyangalie hiyo

CD kwa umakini sana kisha unipe majibu kwanini viongozi wetu wako hivi

Sio kila tajili ni tajili kuna siri nzito”…

Simu ikakatwa, Vivian akachoka hoi

Kijasho kilimvuja hakika

kama choo kaingia cha watoto na kukuta

Mapoti tu!”

Baada simu kukatwa bibiye Vivian ndio akachoka hoi

Akakaa chini kabisa kwani sofa aliliona kama vile kuna miba zinamchoma, akaweza kufikilia kitu kimoja kuwa

“kumbe Hafidhi ni mwanaume mjanja sana yani anaweza kutumia kila aina ya mbinu kumteka adui yake ili tu awe karibu yake….

Vivian akafikilia mambo mengi sana

kuanzia siku yakwanza wao

kuingia nchini

na kupokelewa kwa Hafidhi kufanya tukio la mauwaji kwa Kamanda wao, aliye

wapokea.

Pia akafikilia jinsi alivyoweza kukutana na Hafidhi kule Jangwani na kutoweza kumtambuwa kama ndio adui yake

na kujikuta akiangukia kwenye dimbwi la mapenzi, mpaka kufikia kupewa ujauzito

Vivian akabaki kucheka muda mwingine kulia akajisemea

“hakika wewe ni mwanaume wa shoka kumbe ulikuwa na uwezo wa kutuuwa hata sisi 3Sisters sema hukutaka kufanya hivyo,

Saruti kwako kipenzi,

Akaichukuwa simu yake na kuwapigia kina Yusra nao dakika si nyingi wakafika

“vipi Dada yetu umesikia kama yule muuwaji katoroka?”

Mariam akauliza kwa shahuku ya kutaka kudhibitisha je ni kweli

Hafidhi katoroka kule Lugalo,

“embu kaeni kwanza hapo chini tuweze kupanga plan (B) maana hii plan (A)

Wanajeshi wameitia mchanga yani heshima yote wanayopewa Jeshi wameshindwa kumdhibiti yule pimbi asitoroke ujinga huu”…

Yusra nae akang’aka kwa hasira

“Mariam na Yusra naomba mtambuwe kitu kimoja shemeji yenu Richard ndio

Hafidhi embu angalieni hizi picha kwenye simu”,,,,,

Basi wakaipokea na kuwa makini kuzitizama picha zile ambazo kapiga akiwa peke yake

Au na Vivian

zingine yupo na Mariam au wote kwa pamoja

“inawezekana vipi awe yeye mbona hatukuweza kumtambuwa inakuwaje

hii?”

Mariam akauliza, kila mmoja akabaki kimya akifikilia jambo kwenye kichwa chake

“ehee ok nimeweza kupata majibu kutoka na upeo wangu huyu

Mtu

Itakuwa sio yeye Richard

hizi picha kazifanyia edit baada kumuuwa Richard akaona ajipenyeze kwetu

huyu jamaa ni mjanja sana,

Wenzake wakaanza kumcheka hasa

Mariam akacheka sana

“ha!ha!ha!ha! Hivi Yusra

unaakili kweli? Yani kwa mawazo yako finyu unaweza kusema hizi picha zimefanyiwa edit embu ziangalie vizuri”…

Vivian alimuuliza swali huku akimpatia simu na kusema

“Rich ndio Hafidhi subiri niwape vitu vingine tujuwe sababu kwanini anauwa kwanini anatia watu ukilema,

Akafunguwa ndroo ya kabati na kuzitowa zile document na CD

Akaja nazo na kuwakabidhi kina Yusra waanze kuzipitia

“ndio nini hizi?”

Yusra akauliza,

“bwanaee embu zipitie acha kuuliza maswali au kusoma haujui tukusomee?”

Ikabidi kila mmoja awe makini kuzipitia kwa kupokezana karatasi,

Kimya kikatanda baina yao kisha CD ikawekwa jinsi ilivyoanza tu wakaanza kusikitika kwa jinsi walivyoweza kushuhudia mambo ya kishenzi unyama usio vumilika

“ohoo shit! kumbe viongozi wengine sio kabisa yani kujifanya waungwana wenye heshima na busara kumbe ndio magaidi

Number one hapa nchini, kwa mwendo huu ipo siku nchi itakuja kulipuka,

Embu mtizame bwana George Gwando

kitendo anachomtendea yule binti kisha anacheka eti,

sasa kupitia ushahidi huu tunaweza kuufikisha sehemu husika

kisha sheria ichukuwe mkondo wake”…

Kila mmoja aliumizwa kwa yale aliyoweza kuyasoma na kuangalia ile CD wakashindwa hata kumalizia na kujikuta wakizima TV

Tukija pande za Mbagala tunamuona

Hafidhi

akiwa yuko faster kutembea ghafla bin vuu akapigana kikumbo na binti mmoja hivi ukicheki binti hafya yenyewe matatizo matupu.

Akapepesuka na kudondoka chini,

Alikuwa kabeba beseni ndani yake kuna visheti vikamwagika vyote,

Binti akapiga kelele

“jamani mwizi!!! Sekunde si nyingi umati wawatu ukajitokeza wakiwa na siraha zao wakauliza

“yuko wapi huyo mwizi? Tuambie kakimbilia wapi?”

Binti akamuonyeshea kidole Hafidhi kwa kusema

“mwizi mwenyewe huyu hapa!”

wakati huo vijana kwa watoto wakigombania visheti ni vidude fulani vimetengenezwa kama vile number 8 vikawekwa sukari,

Hafidhi akabaki kushangaa imekuwaje huyu binti amwite yeye mwizi wakati wamegongana kwa bahati mbaya tu,

“wee bwege sana yani watu tumeacha kazi zetu kuja kumtafuta huyo

Mwizi wewe unatuletea upimbi sio

ole wako nikute nimeunguza mboga yangu

hichi kidude chako nitakinywa supu leo”…

Ilikuwa kauli ya mama mmoja mkononi kashika kisu.

“jamani ehee embu twenzetuni huyu atakuwa kavuta bange mbichi tena kavutia makalioni kudadeki zake

Nimeacha dili kule nije kumtumbuwa tumbuwa huyo mwizi kuja hapa unaonyesha kitu hewa wee nyau nini”…

Binti akaanza kulia huku akisema

“jamani!!! Nyie vipi mwizi mwenyewe si huyu hapa, mnamuogopa au

Binti akazidi kulia tu,

Kwa upande wake Hafidhi hata yeye akabaki kujiuliza maswali inamaana kikundi cha watu wale hawamuoni au wanafanya makusudi tu,

akaona isiwe shida wacha aondoke zake, safari yake ikampeleka mpaka Mbagala rangi tatu akafanya manunuzi ya vitu,

kama vile kitanda masofa godoro na baadhi ya vitu akakodi gari ya mizigo na kuelekea kwenye makazi yake mapya

kwa bahati nzuri akaweza kupata vijana wakamsaidia kushusha vitu na kumuingizia ndani akafanya malipo kati ya vijana hao mmoja ndio akabaki kumsaidia kufunga kitanda.

Na kupanga vitu hapa na pale,

“karibu sana ndugu yangu jisikie upo nyumbani hii ndio Mbagala kwajina naitwa

Jackson John ukipenda double J ni mmoja kati ya watoto wa mwenye nyumba hii sijui wewe brother unaitwa nani?”

kijana Jackson akajitamulisha hivyo huku akitaka kumfahamu Hafidhi anaitwa nani.

Mzee wa nyapu wakuhama mitaa vijiweni

yani akiona kaharibu tu anasepa,

“kwanza nashkuru kwa kuweza kukufahamu ewe ndugu yangu mimi naitwa Yasri kusema kweli sijawai kulisikia jina la baba kwani baba yangu alinikimbia angali nikiwa tumboni so shuleni nilikuwa natumia jina la babu mzaa mama”….

“dahaa pole sana kaka unajuwa sisi wanaume wengine sio kabisa

Sema bi mkubwa wako ana moyo wa kijasili sana maana angekuwa Mwanamke mwingine ushatupwa kitambo tu”…

Hafidhi akabaki kucheka maana Jackson anaongea balaa

“sasa Yasri mi natoka naona kila kitu kiko fresh so ukiwa na shida yeyote nicheki

Chumba cha nnje hapo kile cha katikati!”

Kisha Jackson akatoka zake na kumuwacha Hafidhi akikithaminisha chumba chake,

Baada hapo akatoka zake nnje

uzuri wa nyumba hiyo kuna umeme na bomba la maji

kusema kweli hakuwa na ndoo hata moja ikabidi amuombe Jackson akapatiwa ndoo kama tatu akakinga maji na kuziingiza ndoo chumbani kwake,

Ni siku mbili zimepita tokea mzee wa nyapu ahamie makazi mapya,

tukija pande za Kinondoni studio ndani ya nyumba moja wapo bibiye Vivian alikuwa kajilaza kitandani kihasara hasara huku akizitizama picha kwenye simu ya Hafidhi

“baby kwanini umenikimbia nimemiss joto lako wangu mahabuba

mwanao analia yuko wapi baba.

Richard tafadhali njoo unikumbatie, nasikia baridi my dear

Usiku silali nakuwaza wewe siku ya nne leo sijakutia machoni

Embu nijibu basi utakuja lini”…wakati anaongea ghafla akashtuka baada kuhisi kuna mtu dirishani kwake sijui anakata nyavu, akainuka kimya kimya na kuichukuwa bastora yake huku akijisemea

“hawa wapumbavu nina hakika nitawafundisha adabu, kama wamezoea kuvamia madirisha yawatu na kupulizia madawa ili waibe hapa wameingia anga sizo kabisa kwa mwendo wakunyata akaambaa na ukuta kisha akakishika kitasa cha mlango ile kufunguwa tu akajikuta anadakwa mkono

kwakuwa nae alikuwa Commando akajitowa na kujizungusha kisha akageuka bastora yake ikiwa mikononi kamuelekezea yule mtu

Ndani ya chumba hicho kulikuwa giza tu.

“wee nani unataka nini ndani ya chumba changu? Nijibu haraka kabla sijakumwaga ubongo”…

Vivian akawasha taa kwanza hakuweza kuamini kumuona kipenzi chake ambaye yeye anamuona kama Richard

sema alikuwa Hafidhi basi akaitupa bastora yake pembeni na kwenda kumrukia kwa kumkumbatia

hakika ilikuwa bonge la furaha kwa upande wake.

“Richard ni wewe kipenzi changu

opsiiiii,,,,,,asssssss,,,,ahaaaaaa,,,,Vivian aliuliza huku akianza kugugumia kwa utamu wa kunyonywa denda.

Denda likawa dendeka kila mmoja alikuwa na hamu na mwenzie

Hafidhi alilipenyeza dole lake lililoingia ndani kabisa ya kitumbua cha Vivian si unajuwa ndani hakuvaa kitu usiku huo bibiye alikuwa ameshaanza kulegea.

Dole la Mzee wa nyapu lilizama ndani ya kitumbua na kukisugua kile kiarage chake cha soya. Kilichosimama kwa hamu, basi kwa kupagawa na utamu aliamvuta Hafidhi na kuendelea kumpa zawadi ya denda,walinyonyana ndimi zao huku Dole likiendelea kuzama kwenye kitumbua kilichonona kwa kutuni mashavu yake ya pembeni

Vivian kwa kujiachia alijitanua mapaja yake ili kuruhusu Dole lipenye vyema kwenye kitumbua chake kinono kilichoanza kutoa mchozi wa utamu.

Mwanaume

hakukubali kunyonyana denda muda wote aliona kama atapoteza muda tu alijitoa ulimini na kuhamia kwenye ngome za masikio yake masafi yaliyokuwa na tundu.

Fulani dogo lililomwezesha kupenyeza ulimi wake alioukunja na kuwa mwembamba kisha akauingiza ndani ya masikio,,,,aaaaaaaaa­ah,,,aaaaaaaaaaaah,,,ooooooh,,,sssssssss­sssssss,alilalamika huku Mwanaume akiendelea na zoezi lake la kumsugua kiarage chake na dole lake mpaka kuna muda aliingiza viwili kabisa.

Mikono ya Vivian ikaanza kutafuta dudu lilipo ambapo alilitoa na kumvutia kitandani

Hafidhi aje amsugue,basi akajilaza huku mwanaume akimpandia kwa juu na kumwingiza dudu lake lililoingia kwa kuteleza kutokana na kuwepo kwa ute wa kutosha.

Ndani ya kitumbua chake,,,,,aaaaaaaaaa­h,,,,,aaaaaaaaaah,,,,ilikuwa ni kazi ya dakika kumi na tano ambapo Hafidhi alipokojoa naye Vivian alikuwa hoi.

Mtoto wa watu alilalamika wakati mchezo ukichezwa,hatimaye alimwaga bao lake dakika za mwanzoni kabisa na kumsubiria Hafidhi naye aachie bao lake,

Mtoto alipokuwa akikatika miuno kama feni hapo Ndipo ilimbidi Hafidhi amzibe mdomo, kwani hizo kelele alihisi sio zitawaamsha watu tu bali zinaweza kuwaleta watu kwa kudhani kuna mtu anapigwa vibaya,,,aaaaaaaaaaa­aaah,,,kojoaaaaaaa­aaaaaaaaaa,,babiiiiiii,tamuuuuuuuuuuu,,,dudu lakoooooooo tamuuuuuuuuu,,,kojoaaaaaaaaaaaaaaaaaaa­aaaaaaaaa,,aaaaaaaaaaah,,,alisikika hivyo Vivian akimpa mzuka Hafidhi aweze kukojowa ajabu akakojoa yeye la pili.

Ambapo mpaka yeye mwenyewe alijishingaa siku hiyo,bao lilikuwa jingi hasa mpaka kitanda kililowa pia,hapo Mpira haukuweza kuchezeka kwa raha kwani Mimaji ilikuwa pwa pwa pwa!

Kesho yako yake asubuhi yapata kama nne

Vivian akashtuka kutoka usingizini baada kusikia sauti ya mlango wake ukigongwa,

akajinyanyuwa kiuvivu kutizama pembeni yake Hafidhi hayupo.

Basi akaenda kufunguwa mlango

na kukutana na kina Mariam

“mmh! Mbona hivyo mwenzetu kulala gani mpaka saa hizi ushakuwa boss au!”

Yusra cha maswali akauliza kwanza

Vivian akamkata jicho huku akipiga miayo ya uchovu akamuuliza

“kwahiyo hiyo ndio salamu ehee?”

“I’m sorry za asubuhi Dada yangu?”

wakaingia ndani huku simu ya Vivian ikawa inaita akaipokea na kusikika akisema

“ehee ndio nimekuelewa nipo nao

ok! Tunakuja sasa hivi!” Akakata simu na kuitupa shuka kule akabaki uchi na kukimbilia bafuni huku wenzake wakibaki kucheka maana kiongozi wao full vituko.

Dakika si nyingi akatoka bafuni na kujifutafuta maji akajipaka Rosheni

Akiwa vilevile mtupu aogope nini wenyewe washazoeana ukichukulia wote wanawake

basi akavaa na kuchukuwa kila kitu chake huku akisema wanaitajika makao

makuu haraka sana kuna tatizo limetokea

“nani kaichukuwa bastora yangu?”

Vivian akauliza swali kila mmoja akakataa

“ohoo Mungu wangu wee Hafidhi

kaondoka na bastora yangu”

Vivian alisema hivyo huku akijishika kichwa kwa kukata tamaa

si Yusra wala Mariam wote wakashikwa na mshangao”…….

“Unataka kusema Hafidhi alikuwepo humu chumbani kwako? Alikuja muda gani na saa ngapi?”

Mariam aliuliza maswali mfurulizo akiwa kama na kawivu fulani ndani ya moyo wake,

“ndio maana yake alikuja usiku wa leo kama saa nane hivi tukala raha zetu

Mtoto wakike nikazidiwa na kulala sikuweza kufahamu sijui kaondoka muda gani, aisee!”

“sasa kama hivyo shost huo ni bonge la msala maana tambuwa kitu kimoja

yule ni muuwaji wa kutisha kama

kaondoka na siraha yako unategemea nini hapo utaingia matatizoni, kama hutofanya kitu cha kumzuia”

“sasa nitamzuia vipi wakati sifahamu kaenda nayo wapi ahaa kibaya zaidi zile

Document na ile CD kaondoka navyo”

“usijiulize utafanyaje cha umuhimu mpigie simu muombe chondechonde asiitumie”

Tukija pande za mbagala jilani na nyumba aliyokuwa kapanga Hafidhi kulikuwa na makelele ya binti akilia

sijui anapigwa au yupo kwenye mambo yetu

“niachee!!! Mi staki jamanii iiiiiiiiiiii,,,,opsiiiii

Sauti ilikuwa kubwa mpaka Hafidhi akaona kero.

Na kubaki kujiuliza “hivi huyo sister anapigwa au vipi’’ sema hakuweza kupata jibu la swali lake ikabidi

amuulize Jackson “hivi kaka huyo binti vipi mbona hivyo?’’ Jackson alikuwa anafuwa nguo zake akamjibu

“kaka wee acha tu huyu malaya sijui ana mizuka ya wapi’’….. yani ana mizuka mibaya kweli katika yale

mambo yetu usikute hapo kaingizwa kidole tu imekuwa shida tupu subiri achomekwe rungu hizo kelele

zake utasema anataka kuchinjwa vile kwa kifupi huyu binti shida tupu’’ Hafidhi akaanza kucheka si

kidogo maana katika maisha yake hakuwai kumuona mwanamke kama huyo na kujisemea hii mbona

balaa’’ basi akaendelea kusikilizia mapigo ya huyo binti na kujikuta Dudu lake linadinda pasipo

kutegemea

“osiiiii,,,,ahaaaa,,,,,ohooooo,,,uwiiiii,,,usiiiingize,,,,yote,,,mmmmmm,,,,uhuuuuu,,,babiiii,,kichwaaaa,,,hik

o” yani ilikuwa shida tupu.

Hafidhi akabeba ungo wake maana alikuwa akichambuwa dagaa akaingia nao ndani kwake, “vipi kaka

mbona unaniacha mwenyewe hapa nnje vipi tena?’’ Jackson akauliza swali huku nae akicheka baada

kugunduwa jamaa mambo yamekuwa magumu kwa upande wake.

Hafidhi baada kuingia chumbani kwake akaikuta simu yake ikiita akaichukuwa haraka na kuitizama

mpigaji alikuwa bibiye Vivian “halloo,, my dear niambie’’ sauti ya kama mtu akilia ikaweza kusikika

upande wa pili, Hafidhi akashtuka na kuuliza “halloo baby nini tatizo? Nini shida? Niambie please “

“Hafidhi, kipenzi changu kwanini unataka kuniangamiza mimi na mwanao kwanini unataka kufanya kitu

kama hicho’’ mpaka hapo mwanaume hakuweza kuelewa chochote kile wala hakuweza kufahamu Vivian

anamaanisha nini kuongea hivyo . Ikabidi aulize

“Vivian mbona sikuelewi unamaanisha nini kuongea hivyo nani amekwambia nataka kukuangamiza?’’

“Hafidhi wee hujui tu lakini kitendo cha kuondoka na siraha yangu tambuwa ukiitumia tu nitakamatwa

mimi’’

“hapana baby siraha yako sikuondoka nayo kabisa kwanza mimi katika mapambano yangu siwezi

kutumia hiyo kitu nilicho fanya ni kukuhifadhia kwenye hiyo droo ya kitanda baby angalia hapo

utaiyona’’ baada Hafidhi kusema hivyo.

Ikasikika saurti ya Vivian akipumua maana alishaingiwa na hofu si kidogo, kimya cha dakika kama mbili

hivi kikachukuwa nafasi kisha Vivian akasema “thank you my husband nimeweza kuiyona vipi baby

nikupikie chakula gani my dear’’

Hafidhi akakata simu, kwa upande wa bibiye Vivian aliweza kutambuwa kipenzi chake kachukia kuhusu

lile swala akajaribu kumpigia simu ikajibiwa haipatikani akaona sio mbaya akiacha ujumbe wa kuomba

msamaha. Aliandika hivi “nafahamu ni kwakiasi gani umechukia kipenzi changu tafadhali baby nisamehe

niliingiwa na hofu kuhusu mwanetu wala sio mimi kama kweli umenisamehe ujibu ujumbe huu’’ ilikuwa

siku ya Desember 1 siku hiyo kulikuwa na maadhimisho ya miaka 53 tokea Tanzania ipate uhuru wake

kutoka kwa wakoroni. Watu wengi sana kutoka mikoani na nnje ya nchi waliweza kufika ndani ya uwanja

wa taifa. Waweze kushuhudia maadhimisho hayo, muheshimiwa Raisi aliweza kufika akiwa kaongozana

na mkewe kipenzi , basi sherehe ikaanza kwa kupigwa ngoma za asiri kisha ngonjera wakaja wasanii wa

bongo fleva.

show ilikuwa babu kubwa kila mmoja akaenjoi vya kutosha kwenye jukwaa la wananchi tunamuona Hafidhi akishuka zile ngazi kwa kasi kisha akachumpa kulifata jukwaa ambalo Raisi alikuwa amekaa na mkewe,

Mzee J Ikram nae alikuwepo maeneo hayo kitendo cha kumuona mwanae akipiga hatua za haraka

kuelekea sehemu ambayo muheshimiwa Raisi amekaa na mkewe, kilimshtuwa sana, akakumbuka kauli ya mwanae kutaka

kumuuwa mke wa muheshimiwa akapaza sauti “walinzi!!! mlindeni mke wa muheshimiwa

sauti ilikuwa kali si yupo karibu na Mic basi vikosi vikajipanga kutaka kumzuia Hafidhi mwenzao akapiga

bomu la machozi na kupotea wakabaki kung’aa sharubu tu, na kujiuliza yuko wapi mwanaume

akatokezea kama nyau akiwa ameshachenji mavazi akaruka juu na kwenda kutuwa kwenye jukwaa

ambalo waheshimiwa wapo haikuchukuwa dakika nyingi kwake kuwafinya walinzi na kutupwa huku na

kule kisha akamuwekea jambiaa shingoni mke wa muheshimiwa bibiye Anna akabaki kutetemeka tu. Chezea kuchinjwa wewe utajamba,

“rudini nyuma yeyote atakaye thubutu kunisogelea basi kichwa cha huyu malaya ni halali yangu

kila mmoja akarudi nyuma kwa uwoga.

“skia nikwambie kitu wee nyau pusi naitaji uutangazie huu umati wote wewe ni nani kisha nitakuacha

mzima vinginevyo natowa kichwa chako’’ bibiye Anna huku akitetemeka ikabidi atii amri kwa kusema

“Ndugu Wananchi mimi sio mtu mzuri mimi ni muuwaji mtesaji muuza viungo vya watoto yatima kwa

matajili hata nnje ya nchi mimi ndio kabla hajaongea zaidi risasi ikatuwa kwenye paji la uso wake wake.

Hakika

alikuwa ni Snipe wa hatari sana kila mmoja akashtuka huku Hafidhi nae akipotea kwani ukatokea mkanyagano si kidogo

Vilema masikini ya Mungu wee mbona walijuta kwenda huko.

Kila mmoja alitaka kuiokowa nafsi yake baada kuona mke wa Raisi kapigwa risasi ya uso na kudondoka chini akiwa

chali,

Hafidhi kumbe hakuweza kwenda mbali na eneo hilo kwenye akili yake alikuwa akimtafuta huyo Shooter amejificha wapi yani akamsaka kila kona hakuweza kumuona wakati huo

Vikosi vinazidi kuongezeka sijui

Jwtz FBI yani kila kitengo vikafika muuwaji atafutwe popote alipo,

Hafidhi hakufanya mauwaji lakini nae atafutwe tu,

Nnje ya uwanja wa taifa kulikuwa hakupitika kabisa barabara zote zikafungwa huku

Raisi akipakizwa kwenye ndege ndogo na kuondoka zake,

“Copro William”

“naam mzee”

“naitaji yule kijana apatikane haraka sana, inaonekana ni jinsi gani anafahamu mambo mengi kuhusu watu kufanya mambo ya kishetani katika nchi him”…..

Muheshimiwa Raisi aliongea hivyo huku akijifuta jasho.

Yani huku taifa kulikuwa na kivumbi jasho wenye kuweza kukimbia walikimbia wasioweza ndio hivyo tena wakaishia kukanyagwa tu,

Wakati huohuo 3Sisters wanaingia kwa mbwembwe zote kila mmoja akiwa na pikipiki yake,

Yani muuwaji alitafutwa kila kona magari yalikaguliwa polisi hawakuweza kuona mtu

“itakuwa muuwaji kajichanganya na huu umati wawatu kisha akatoroka

maana kila kona, kila nyanja hakuna kitu”

“itakuwa hivyo maana haiwezekani kumtafuta kote huku tusiweze kumuona”…

Basi wakatoka nnje ya jengo huku wakitowa tangazo kila mtu akamatwe na kuchunguzwa

3Sisters baada kufika eneo la tukio cha kwanza kukifanya ni

Kuichunguza maiti ya bi Anna

wakapima ile risasi ilipotokea na kuweza kupata kitu kuwa muuwaji alikuwa amekaa wapi Yusra akatoka mbio kumuwai ni akili tu

za kukisia hisia zikaja

Nnje kidogo ya uwanja huo kuna kijana mmoja mwenye asiri ya kutoka sijui America au wapi alionekana akitembea kwa kujiamini sana huku akiwa kabeba begi

jeusi akashtukia sauti yakike ikimwambia

“wee simama hapohapo”

Kijana akasimama na kugeuka.

“je unaweza kuniambia ndani ya begi lako kuna nini ndani yake?”

Kabla ya kujibiwa angalia jamaa mchezo alioucheza utaipenda hii yani akafanya kumrushia lile begi Yusra ile anajianda kulidaka tu akapokea mateke ya double kick na kutupwa kule,

Jamaa akajizungusha na kulivaa begi lake juu kwa juu

Hakika anatisha vibaya mno”…….

Bibiye Yusra akaona wee usintanie kumbe unataka kuuwasha moto, wacha ukuwakie

Akamfata kwa kasi na kuanza kurusha makonde ya maana, wakati jamaa alikuwa akizitowa na kupanchi kwa dharau kama haitoshi akampa mgongo kabisa,

Basi bibiye kila akipiga zinatolewa na kupigwa yeye hakika

Agent alikutana na chuma cha puwa,

bibiye alipigwa teknick za chembe

Ghafla akakamata kichwa cha bibiye na na kumvunja shingo, yani kilikuwa kitendo cha faster

Bibiye kuanguka chini utasema mzigo wa kuni kisha jamaa akasema

“wasalimie kuzimu kitu chamoto kikapita karibu ya sikio lake ilikuwa risasi akatizama mbele kuna mabinti wawili wanakuja kwa kasi, akaona isiwe shida akaruka juu kwa kuchumpa na kupotea eneo hilo

“Yusra!!!

Vivian baada kufika hapo akafunga break huku akimuacha mariam akiendelea mbele zaidi

Akaita kwa sauti ya chini sana huku akiinama na kuushika mwili wa bibiye Yusra kwa wakati huo alikuwa tayari kaenda mbele ya haki.

“Yusra mpendwa wangu please inuka basi tuendelee na mapambano Yusra mdogo wangu huwezi kulala hapa

inuka!!! fumbuwa macho

Yusra utatuachaje katika kipindi hiki”…

Binafsi Vivian alilia si kidogo hata

Mariam aliporudi hakuweza kuamini nae akapiga goti chini wote walilia kwa pamoja hakika lilikuwa bonge la pigo kwa upande wao kumpoteza Commando mwenzao katika hatuwa za mwanzoni kabisa, polisi wakafika

mwili ukachukuliwa na kwenda kuhifadhiwa katika hospitali ya taifa Muhimbili,

“Yasri kaka”…..

“naam niambie ndugu yangu”…

“embu toka ndani njoo uwone matukio yaliyotokea uwanja wa taifa leo hii!”

Jackson alikuwa akimwambia Hafidhi aje kuangalia taarifa ya habari.

Nae akatoka chumbani kwake na kwenda kuangalia hiyo taarifa ijapokuwa anafahamu tukio zima jinsi lilivyo,

Akakodolea macho television ndogo yani nchi sijui kumi na nane,

Akapata mshtuko baada taarifa ya kifo cha bibiye Yusra kutangazwa hakika

akashindwa kuendelea kutizama akarudi chumbani kwake mchozi ukimtoka

“yani Yusra kauliwa

Hakutaka kupoteza muda akavaa nguo zake na kwenda kumuomba funguo ya pikipiki

Jackson,

“sema nini kaka chombo wese hamna kabisa kama vipi ukifika nayo pale Zakhiem nenda kaweke,

“usijali nipatie funguo”

Hafidhi hakuwa na raha tena kwenye akili yake aliwaza vitu tofauti kutokana na kifo cha Yusra baada kufika

Zakhiem na kujaza mafuta full tank akaendelea na safari mpaka ndani ya Hospitali ya Muhimbili hakupata shida kuulizia kwani ile anafika tu

akamuona Vivian akija mbio huku akilia na kumkumbatia,

sasa ilikuwa kazi ya kumbembeleza kipenzi chake,

Mariam nae alikuwa akibembelezwa na ndugu zake, binafsi ulikuwa msiba mzito wacha ule wamke wa Raisi

Hatimae siku ikafika Yusra Salimu wazazi wake na ndugu zake wakiwa wanaishi Ilala mtaa wa Lindi ndipo msiba ulipo fanyika hatimae akazikwa, huku baba yake

Marehemu akiwaomba kina Vivian kufanya kitu kizuri kwa ajili ya kulipa kisasi cha ndugu yao,

Hafidhi akiwa pembeni alikuwa makini kusikiliza maneno ya mzee

“Assalam alaykum kwa ndugu zangu Waislam

Na bwana Yesu asifiwe kwa wale wasiokuwa Waislam, kwanza kabisa nimesimama hapa kwa niaba ya mwanangu mpendwa binti yangu, ambaye leo hii hatuko nae,

Yusra ametutoka akiwa na umri mdogo sana ndio kwanza miaka ishillin na moja

Yusra siku zote ndoto yake ilikuwa aje kuwa

Commando mwenye kutumainiwa mwenye kutetea hali za wanyonge

Ndoto yake hii ikaweza kutimia baada kujiunga na chuo cha U.S.I kitengo ambacho kinajitegemea chenyewe hakifungamani na upande wowote si serikali wala nini

Leo hii akaweza kuchukuliwa na serikali mara ya mwisho alikuja nyumbani akiwa na furaha huku akisema kapata mchumba

siku si nyingi atamleta nimuone

Ndoto imekatika ghafla kama mshumaa

3Sisters haipo tena

Naomba kama huyo kijana ambaye ndio alitaka kutamburishwa na mwanangu

yupo hapa msibani basi asisite kujitokeza

niweze kumtambuwa mkwe wangu,

Yani mzee aliongea huku akilia,

Ajabu akajitokeza

Hafidhi na kwenda kumshika baba yake Yusra na kumwambia

“usijali mzee mkweo nipo hapa”

Vivian na Mariam wakabaki kushangaa inamaana hadi Yusra alikuwa mpenzi

wake.

Mmh! mbona balaa”….

Mariam akajiwazia hivyo,

“ohoo karibu sana kijana embu tuingie ndani, basi mtu na mkwewe wakaingia ndani sa sijui kweli au Hafidhi kazuga tu

maana hatukuwai kumuona

Akiwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu,

ilichukuwa kama nusu saa hivi

Mwanaume akatoka ndani ya nyumba hiyo akamsogelea Vivian na kumnong’oneza kitu akaenda kwa Mariam akafanya hivyo hivyo kisha akaondoka

safari yake ikampeleka hadi sehemu moja hivi kulikuwa na vijana wakicheza mpira wa basketball

Akapaki pikipiki yake na kupiga hatua kuingia ndani ya uwanja huo

akaingiza mkono wake kiunoni na kuchomoa kisu kidogo hivi, ilikuwa pande za

Don bosco mitaa ya Upanga

vijana nao walikuwa hawana hili wala lile wakiwa bize kucheza mpira ukarushwa juu

Mwanaume akaruka na kuudaka yeye kisha akautoboa kwa kisu

kitu puhuu ndio sauti iliyosikika baada mpira kupasuliwa,

Vijana wote wakabaki kutizamana pasipo kufahamu nini chanzo mpaka mshkaji kaupasusuwa mpira wao,

“wee kudadeki zako mtoto wa malaya umetumwa au? Ndio nini kutupasulia mpira wetu”…

mmoja kati ya vijana aliongea hivyo huku akimsogelea Hafidhi sema akasita na kusimama ghafla baada kuona mshkaji kashika kisu,

“Patrick vipi mbona unamchelewesha huyo pimbi?”

“njoo wewe jamaa kashika kisu sijui Zombie huyu au Vampire, mbona kasimama tu haongei kitu

Ghafla mwanaume anakuja,

Patrick akaanza kurudi nyuma kwa hofu sema alishachelewa

na kujikuta kisu kile kikituwa kifuani kwake, vijana wengine walianza kukimbizana huku na kule kwa kuruka senyenge

Maana sehemu ya mlango kulionekana hakutoshi

kumbe mwenzao shida yake ilikuwa ni Patrick si mtu mwingine baada kumkita kile kisu sehemu ya moyo

Patrick akabaki kupapatika tu huku damu nyingi zikimtoka,

Hafidhi akaushika mpini wakisu kile na kukichomoa akakifuta damu kupitia nguo za

Patrick kwa wakati huo roho yake

Ishaenda kwa Mungu baba baada kufanya mauwaji mwanaume bila kuwa na wasiwasi wowote akasogelea sehemu ya

Mabegi yalikuwa kama mabegi sita hivi, sema yeye akachukuwa moja

na kuondoka nalo,

Akiwa hatua kadhaa baada kutoka nnje ya uwanja ule akapishana na kijana vijana kama wawili wakiwa na pikipiki

sema hakutaka kuwajali sana akaishia zake,

Kati ya wale vijana wawili mmoja

alikuwa yule Shooter aliyefanya mauwaji kule

Uwanja wa taifa kwa kumuuwa bibiye Yusra na Mke wa Raisi bibiye Anna,

nao wakaingia eneo la tukio

Shooter akaruka kwenye pikipiki na kuukimbilia mwili wa Patrick huku akiita

“Patrick!!!…mdogo wangu

Patrick”…..inuka nani kakutendea hivi fumbuwa macho unitizame kaka yako niko hapa

binafsi jamaa akadata aisee alilia na kumbeba mdogo wake kwania ya kumuwahisha hospitali

hakujuwa kama roho tayari ishaacha mwili

Patrick hakuwa yeye tena zaidi ya kuitwa marehemu,

“Steven mwanangu nilikwambia mimi

kuhusu hayo makundi yanu ipo siku mtaingia njia mbaya,

leo hii umeona kaanza mdogo wako

Steven kwanini hutaki kunisikia mwanangu”..

Sauti yakilio ilisikika ikitokea kwa mama mmoja huku akimwambia maneno

hayo yule Shooter kumbe anaitwa

Steven,

“hapana mama kifo cha Patrick sababu sio hiyo ni ajali kazini,

Mama mdogo wangu ataamka muda gani please nijibu!”

Steven alizungumza kwa sauti ya ukali,

“halloo baba kama ulivyoweza kusikia taarifa ya kifo cha huyo kenge nishamuuwa”

Hafidhi akaongea kwa simu.

Sauti ikasikika upande wapili ikimpa pongezi

“vizuri sana kajana.

hakika wewe ni mwamba usiogopa kitu,

Kama ulivyoweza kuniahidi,

Shukrani kwa kazi nzuri”

“lakini mzee naona kama umeniacha njia panda kuhusu hili swala

Umejuwaje kama yule ndio muuwaji wa mwanao?”

Hafidhi akauliza swali,

Sauti ikasikika ikimjibu

“hapana yule sio muuwaji wa mwangu ila ni ndugu wa muuwaji”

“what!???

Kwanini sasa ukanituma kumuuwa mtu sio wakati unajuwa ni kosa kufanya hivyo”…

“kijana embu shusha presha nisikilize mimi

Baada kuangalia katika TV yangu ya asiri niliweza kuliona tukio zima jinsi mwanangu alivyoweza kuzidiwa

Mbinu za upambanaji hatimae akavunjwa shingo baada hapo muuwaji

Akakutana na huyu kijana na kumpa kazi

ya kumuuwa bibiye Vivian ni mmoja kati ya madada wanaounda kikundi cha

3Sisters imekuwa vizuri umemuwai

Subiri nikutumie video ya tukio zima na picha ya huyo

Muuwaji ndio nadawnload kwenye TV asilia hapa”

Simu ikakatwa.

Dakika si nyingi video na picha vikaingia kwenye simu ya Hafidhi kupitia

Whatsapp hakuweza kuamini baada kuweza kuiyona picha ya muuwaji akakumbuka alipishana nae ile jana wakati akitoka kufanya mauwaji.

Akaitizama hiyo video na kuona jinsi Yusra alivyopigwa kama mtoto, akabaki kusikitika tu na kutamani huyu jamaa angekuwa mbele yake mbona angejuta,

“Babu fanya mambo yawe mambo

Nichekie huyo mpumbavu ni nani”…

Steven baada kumzika mdogo wake hakukaa sana akaenda kwa mtaalamu akiomba atizamiwe huyo aliyemuuwa mdogo wake ni nani.

“kijana embu tulia kaa chini tambuwa hapa ndio mwisho wa matatizo

Huyo mdogo wako anaitwa nani? kafia wapi? na muda wa kifo chake umetokea saa ngapi?”

Mganga akauliza maswali matatu kwa mpigo Steven akakaa vizuri na kujibu

“anaitwa Patrick Maswe tukio limetokea maeneo ya upanga

saa kumi na moja jioni!”

“sawa tulia tuweke mambo kwenye TV

Mganga akafanya mambo ajabu TV iliwaka ila kulionekana kivuli tu mtu harisia

hakuweza kuonekana

Mganga akafanya kila namna mwishoe akasema

“kijana umeingia anga sizo”……

MWISHO

SEASON (II)

Ni miaka minne sasa imepita tokea vurugu za hapa na pale zitokee

Ndani ya kijiji kimoja hivi maeneo ya Mkuranga huko ndani ndani tunamuona kijana mmoja akicharanga kuni, huku kijasho kikimtoka yani mavazi yake yalikuwa yamechoka vibaya mno, kuanzia T-shirt yake pensi vyote vilikuwa na matobo na viraka vya hapa na pale

Pembeni kidogo kulikuwa na mtoto wa kiume mwenye umri wa kama miaka minne au mitatu hivi, akicheza ghafla yule mtoto akanyanyuka na kutoka mbio huku akiita

“mamaa”…..mamaa!!!

Jamaa aliyekuwa akichaanga kuni akasimamisha shukhuri yake na kuangalia kule ambapo yule mtoto kakimbilia kisha akatabasamu,

“whaoo mwanangu mpendwa huyoo

Mwanadada yule hakuwa mwingine ni bibiye Vivian, kama tunamkumbuka vyema kwenye mchakachaka wa season one.

“nakuona jinsi gani mume wangu mpendwa unavyo piga kazi,

jamaa mwenyewe alikuwa ni Hafidhi j Ikram hakika maisha yameenda sana

yani amebadirika kupita kiasi

Kwanza kafuga ndevu za kutosha utasema

Osama bin laden yani hizo ndevu zake mpaka mdomo umejificha,

“vipi mama Ikram huko utokako ni wazima kweli?”

“ndio ni wazima wacha kwanza nikae opsiii nimechoka wee acha tu”

Vivian akakaa kwenye kimkeka kimoja hivi kikuu kuu, Hafidhi nae akakaa karibu yake na kuanza kumkanda miguu, mkewe

“Ikram embu nenda kalete vile viazi umletee mama yako hapa”…

Ikram akaingia ndani baada kuagizwa na baba yake kwenda kuleta

Viazi hakika alikuwa mtoto makini sana kuelewa kitu

Akaingia ndani na kutoka na sufuria ya viazi

“hivi mume wangu tutaishi huku mpaka lini?”

“sikia nikwambie kitu mke wangu imebaki miezi michache tu tuweze kurudi mjini

Kwani bado sijamaliza mission ndio naifanya kimya kimya ni miaka mitano sasa imepita tokea sirikali inisake na kushindwa kunitia mikononi,

kingine bado nasakwa na wabaya wangu hakika hii ngoma bado mbichi kabisa kuicheza unaitajika ujasili wa hali ya juu”…

Wakati wakiwa wanaongea sauti ya mtoto wakike ikasikika akilia ndani ya nyumba hiyo, Vivian au Mama Ikram akainuka huku akisema

“Yusra atakuwa ameamka

Akaingia ndani.

“Ikram baba hivi ukikuwa mkubwa ungependa uwe nani?”

Hafidhi alimuuliza mwanae, nae akamtizama baba yake na kumjibu

“nataka niwe Mwanajeshi”

“kwanini umechaguwa kuwa mwanajeshi nawala sio kitu kingine?”

Ikram akachelewa kidogo kujibu sababu ya kutafuna kiazi baada kukimeza ndipo akajibu.

“nataka kutetea haki za wanyonge nipigane vita kuitetea nchi yangu

Nikamate wahalifu wote” Ikram ni mtoto mdogo sana sema ana upeo mkubwa wa kufikilia vitu,

Vivian akatoka ndani akiwa kambeba mtoto wakike mzuri hatari

“wee Ikram mbakishie na mdogo wako kiazi hata kimoja, mtoto unakula wewe kama baba yako”…

Hafidhi akacheka tu na kusema

“ha!ha!ha! Wife bwana sikweli kama mimi nakula sana nitake radhi”….

“hahaha kumbe ukweli unauma ehee…”

Sikutaki radhi wala nini usije ukawa kichaa bure” basi wakacheka wanandoa hao

“lakini baby ufanye mipango ukamgomboe mama yake Yusra kule Segerea, bwana”

“usijali kuhusu hilo

Unajuwa yule Mariam ni mbishi sana nilimwambia mi kuhusu wazo lake la kutaka kwenda mjini sio zuri

Akaniona mi mjinga hatimae kanaswa huku mwanae analia tu”

Basi wakaongea mambo mengi tu wakiwa katika nyumba yao hiyo ya udongo juu imeezekwa kwa nyasi,

Ndani ya chumba kidogo cha setro ndani ya gereza kulikuwa na sauti za kilio kutoka kwa mwanadada mmoja hivi akipatiwa mateso ya hatari, kwanza alikuwa kafungwa mikono juu

Na kuchapwa mijeredi

Huku akimwagiwa maji ya chumvi

basi na vile vidondo vilivyoko mwilini mwake hayo maumivu anayo

yapata usimpimie alipiga kelele kwa uchungu, alilia na kusaga meno,”

“mmh! Husna umemuona yule mkaka eti ananitaka”…

“yupi yule mwenye mindevu kama kichaka cha mavi au?”

“ndio huyo shost!

“hivi Neema shogaangu katika wanaume wote walioko ndani ya kijiji hiki hukuweza kuwaona mpaka utake kujipeleka

kwa chafu koga kama yule

Mindevu hiyo mpaka mdomo hauonekani

hivi sijui ukitaka kula nae denda utaanza vipi?”

“wewe nae sijui kabira gani

sijakwambia nimejipeleka nimekwambia kanitongoza so sijampa jibu, naona ushaanza kutokwa na povu sijui mindevu sijui mivuzi wee mwehu nini”

Vivian nae akaingia kisimani hapo akiwa kambeba Yusra mgongoni,

ikabidi wale wasichana wabadirishe story

lakini kuna binti mmoja kwa makusudi

Akaendeleza mada si kamuona mke wa jamaa kafika

“endeleeni kuongea sijui jamaa anakutaka sijui ananuka uvundo

sijui mindevu kama blash ya chooni”..

Yani kazi kukalia umbea tu mtu mwenyewe sura chachu kama umekamuliwa ndimu vile, Wanaume wangapi washakuchojoa

Kirungu kibamia mkono wa sweta nene nyembamba fupi ndefu zote zimesokonyowa hapo usemi kutongozwa na

Yule mkaka wawatu mnaanza kuongea pumba washenzi wakubwa nyie”….

Yani Dada huyo aliongea kwa jazba kama vile aliyesemwa ni mumewe.

“basi Dada yangu inatosha kama maneno washasikia wapotezee tu!”

Vivian akamsihi yule binti huku moyoni mwake akijisemea

“hakika binti umechezea bahati kama ulitongozwa na Hafidhi hujui tu

lakini siku ukija kutambuwa utakuwa ushachelewa”

“Assalam alaykum yaa Shekhe

Ahmed?

“waaleykum ssalam ewe kijana wangu vipi mbona unaonekana kama huko utokako umekimbizwa vipi tena?”

“wee acha tu Shekhe wangu hapa nilipo nina hofu si kidogo nilikuwa naomba kama una shilling Elfu mbili unisaidie niweze kukimbilia kijiji cha jilani

Shekhe”

“Marik kijana wangu embu punguza presha ondowa jazba niambie nini tatizo.

Hafidhi ukipenda muite Shekhe Ahmed kama anavyojulikana ndani ya kijiji hiko cha Msanga chore huko ndanindani,

Akamuuliza huyo kijana na kumshika mkono kwenda nae pembeni kidogo

“haya niambie usiogope

Kisha nitakupatia hiyo pesa ukimbie kama hautojali”…

“kijana huku akitweta akaanza kusema

“kule maeneo ya mashamba ya mkonge tumeweza kuvamiwa na kikundi cha wamasai na kuanza kumcharanga kila mtu na visu.

Sijui sime yani huko hali si nzuri kuna watu wengine wamechinjwa”,,,

Kichakani kukasikika chakal!!!

Jamaa akataka kutimuwa mbio

Hafidhi akamdaka mkono kwa kumrudisha

“sasa unakimbia nini je unaweza kunipeleka eneo la tukio embu shika hii”….

Hafidhi akaongea hivyo huku akimkabidhi kijana huyo noti ya shilling

Elfu kumi ile kuipokea tu akatimua mbio.

Huku sasa hali haikuwa nzuri kwa wanakijiji wanaoishi karibu na mashamba ya mikonge

Wamasai walikuwa wameharuka na kupandisha mori.

Yani sijui kisa cha ugomvi nini katikati ya vurugu

Upepo misili ya kimbunga ukavuma vumbi likatimka

Wamasai mishuka yao ikabaki kupeperushwa huku na kule kufumba na kufumbuwa Ninja short kaingia pande hizo Wamasai mori ikawa mdori.

Walianza kukimbizana uchi uchi baada kufinywa wale mikono ya sweta

Wakafanyiwa jando isiokuwa na dawa

Wala ganzi.

Hakika walitia huruma si kidogo

“mamuweee nafwaaaa!!! Arooooo tusamehe bwana mukubwa kitu kikasikika tihiii

Wanakijiji wakabaki kushangilia tu

Kichapo kilitembea mpaka ndani ya himaya yao.

Ikabidi mkuu wao apige magoti kuomba msamaha

“bwana mukubwa tuchamee wachamee mukubwa tupo muchini ya miguu yako

Awarudii tena,

Tafadhali tunakuomba, Ninja short akatikisa kichwa na kupotea

Maeneo yale hakika wakashukuru Mungu huku majeruhi wakipatiwa huduma,

“Baba Ikram ushaanza mambo yako ehee?”

Vivian aliuliza swali akiwa anamuogesha Yusra ni mtoto wa bibiye Mariam nae kazaa na

Hafidhi kampa jina la Yusra mwanae kama kumuenzi rafiki yake kipenzi Yusra aliepoteza maisha miaka mitano iliyopita

“Mambo gani tena?”

kabla ya kujibu swali Hafidhi nae akauliza swali ni kitu asichokipenda mama Ikram yani swali linajibiwa kwa swali

sema hakutaka kujionesha kama kachukia

“unajifanya hujui sio mpaka unauliza mambo gani, wakati umevamia kijiji cha

Masai na kuanza kuwatembezea kichapo huko”…

“mmh!”

Hafidhi kwanza akaguna maana hakupenda mkewe afahamu kitu hiko.

“wee guna tu ila tambuwa kitu kimoja kitendo ulichokitenda ni kuwalibisha

Polisi waje maeneo haya kisha ukamatwe hivi unadhani taarifa zikisambaa na kufika huko mjini itakuwaje

Vitu vingine fikiri kabla ya kutenda”…

Vivian aliongea akiwa yupo Sirius.

“Vivian mbona unaongea maneno mengi sana unahofia polisi au FBI

sasa basi kesho itabidi uwende kuishi mbali na hapa, kuanzia sasa nahitaji kuishi peke yangu niweze kuifanya hii kazi pasipo kuhofia kitu chochote kile”…

“tuende mbali wapi tena?”

“utaenda kuishi nchini

Denmark kwa Ankor Muhammed nisipoteze muda sana wacha nifanye mipango yakwenda kukata ticket,

Kesho Asubuhi na mapema muondoke”

Hafidhi akaingia ndani na kutoka

“sasa mume wangu safari yenyewe mbona imekuwa ya ghafla hivyo, yani kukwambia kuhusu kuanza mambo yako ndio umechukia na kuamuwa kutuondoa hapa nyumbani”

Vivian aliongea huku akitamani kulia binafsi hakupenda kuwa mbali na mumewe sema ndio hivyo mwanaume kashachukuwa maamuzi

Na safari ni lazima kwa wakati huo katoka kwenda kufanya mipango ya

Visa pamoja na passport.

Ndani ya buss ambalo Hafidhi alipanda kuelekea mjini kulikuwa na mjadala kuhusu

Serikali kutangaza kumuhitaji

kijana Hafidhi j Ikram aweze kuwafanyia kazi ya kuwakamata maharamia waliovamia nchini na kufanya vitendo vya kishenzi.

“hivi hii serikali yetu ni sikio la kufa ehee yani halisikii dawa kabisa”

“unamaanisha nini kusema hivyo?”

“namaanisha yakwamba inakuwaje wanataka kumpa kazi muuwaji wakati wanajuwa fika itakuwa kama kulidhalilisha taifa,

“wewe ndio unaakili fupi usifikili serikali ni wajinga kama uwazavyo wewe

wanamtaka huyo kijana kama anauwa watu wabaya basi na maharamia pia awauwe

kuepusha nchi kuteseka, “binafsi mimi naunga mkono kuhusu swala hilo,

“kama unaunga mkono kuhusu mauwaji ni kwamtu mwehu kama wewe’’ “nani mwehu?’’ “si wewe

unaeunga mkono mauwaji anayo yatenda Hafidhi, “wee boya jiangalie wewe huwezi kuniita mwehu

kihivyo mwehu mwenyewe.

Hivi unataka kusema wewe na serikali nani mwenye akili?’’ “kwani serikali ndio kina nani

si binadamu kama mimi tu nao wana mapungufu yao, “oyaa konda waache banana hapo’’ Sauti ya

abilia mwingine ikasikika akiomba kushuka kituo kinachoitwa Banana sijui ndizi basi gari ikasimama

hakushuka abilia mmoja pekee walishuka kama watu sita hivi,Hafidhi nae akashuka na kuvuka barabara

kisha akatembea hatua kadhaa mbele na kuingia kwenye duka moja wapo haikumchukuwa dakika nyingi

akatoka akiwa kavaa begi na kukodi bajaji. Safari yake ikampeleka mpaka Uwanja wa ndege maeneo ya

Kipawa akafanya taratibu Fulani kisha akatoka na kuitowa simu yake akampigia jamaa yake ambaye

anashukhurika na maswala ya Visa huko Ubarozini

“ehee halloo Wisse kaka vipi umzima ndugu’’,,, akaanza kuuliza hivyo sauti upande wapili ikasikika “mi

mzima wahafya sijui wewe nani mwenzangu?’’ “dogo acha bange yani unauliza nani mwenzangu hujui

kama unaongea na kaka yako Hafidhi hapa’’ “ohoo samahani kaka mkubwa kumbe ni wewe I’m sorry

niliibiwa simu kingine ni kitambo kidogo sikuweza kuisikia sauti yako’’ “ok! Tusipoteze muda ndugu

yangu nilikuwa naitaji Visa yani ndani ya usiku huu iwe tayari ‘’

“sawa kaka mkubwa nirushie document nianze mambo mpaka saa moja usiku kila kitu kitakuwa powa’’

“sawa ndugu nakuaminia’’ Basi usiku huo ulikuwa ni usiku wa kuagana baina ya mke na mume “baby

najuwa upo kwenye majukumu mazito sana kuhusu kulitetea taifa binafsi nakuomba ujichunge kipenzi

changu usije ukaingia kwenye mikono ya watu wabaya, “sawa nimekusikia mama watoto ondowa hofu

kuhusu mimi “mmh! Lazima niwe na hofu juu yako kumbuka tumeunganika na kuwa mwili mmoja baby

ukiumia wewe ndio kuumia kwangu sipendi nikupoteze baby kama vipi achana na kila kitu twende wote

huko Denmark’’ “nafahamu ni jinsi gani unavyojisikia vibaya kuhusu mimi labda nikwambie kitu hii ni

kazi tu ndio niliyoweza kuichaguwa maishani mwangu kitu kingine nitakuja kuandika historia mfano wa

kama MwalimuJurias Kambarage Nyerere lazima dunia initambuwe mimi ni nani’’,,,

“baby nasikia baridi’’ bibiye Vivian akaongea hivyo kwa sauti ya kunong’ona mwanaume nae akafahamu

mkewe nini anataka kwa wakati huo basi akaanza kumshikashika zile nido mchongoko kitu bado saa sita,

utasema Ikram hakunyonya assss,,,,ohoooo,,,,mmmm,,, Vivian akaanza kuhema kwa utamu

taratibu kwa kutumia ulimi wake uliokuwa na mate kwa mbali,alimnyonya Chuchu huku kuna muda akichanganya na kuing’ata japo sio kwa nguvu,,,,aaaaaaaaah,,,,aaaaaaa

aaaiiiiiiiiiiiiiisssssssssssss

,,,,oooooooooooooh,,,,,mmmmmmm

mh,,,alilalamika Vivian huku akijizuia hasa kutotoa sauti kubwa.

Watoto wasije kusikia bure na kuamka,

Basi alishuka zaidi mpaka kwenye kitovu kilichokuwa cheupe wawastani na kuanza kuingiza ulimi ndani yake,,,,mmmmmmh

,,,aaaaaaaaaaah,,,,ulimi ulirudi masikioni na kuanza kuuingiza ndani ambapo bibiye wa watu alikuwa akipandisha bega juu huku akifanya kama anamsukuma ile sitaki nataka,,,mmmmh,,aaaaaaisssssss

sss,aaaoooh,,alizidi kulalamika mtoto wawatu kwa sauti ya chini ambapo Hafidhi ni kama hakusikia sauti yeyote

Alimpandisha kwa juu kile kigauni cha kulalia na kumwacha akiwa na chupi yake nyeupe iliyokuwa na madoa ya njano,basi alimshusha na chupi kisha akaiva kichwani Vivian alitamani kucheka lakini alijikaza kwani utamu aliuhisi kweli basi alikishusha kichwa chake katikati ya mapaja ambapo Vivian mwenyewe alijua ni nini anatakiwa afanye alipanua mapaja yake vyema na kuruhusu ulimi upenye vizuri kwenye kitumbua chake laini kilichovimba mashavu yake kwa utamu,,,,,,,,aaaaaa

aaaaaaaaaassssssssssssssssssss

,,,,

ssss,,

mtoto alilalamika kwa utamu ambapo hakuchukau muda alirusha bao lake lililomwagikia usoni Hafidhi,,,aaaaaaa

aah,,,aaaaaaaah,,,,alimalizia kulia hivyo huku akimkumbatia aliyesitisha kumnyonya

Muda huo dudu la Mzee wa nyapu lilikuwa limesimama hasa kama askari anayeimba wimbo wa taifa,alivuwa bukta yake kisha akalitoa dudu lake lililokuwa kubwa,hakufanya ajizi,alilichomeka kwenye kitumbua mnato na kuanza kumsugua kwa kasi huku akiwa amemshika kiuno chake,,,,ulimi wake ulikuwa masikioni mwa bibiye wakati akimsugua kitumbua,,,,aaa

aaah,,,aaah,,ooooooooooh,,,Vivian alianza kuja tena ambapo alimg’angania Hafidhi na,

utamu ulizidi kunoga ambapo ile anakaribia kumwaga kumbe naye bao la pili ndilo lilikuwa linakuja,palikuwa patashika nguo kuchanika, Hafidhi alimsugua bibiye kama hana akili nzuri huku naye akijitahidi kuzungusha kiuno chake hapo juu ya kitanda mpaka wakamwaga wote,,,,baada ya kumwaga,waliinamiana wote vichwa vyao huku kila mmoja akiwa hoi.

“hasante sana mume wangu, hakika nitalimiss sana hili Dudu”….

baada

Mwanaume kuinyonya nido yake ya kushoto huku ile yakulia akiipigapiga kwa kidole , ndani ya usiku

huo wakati wanandowa wakipeana full burdani ndani ya gereza la Segerea kulikuwa na kivumbi jasho

baada mfungwa mmoja wapo kutoroka mfungwa mwenyewe hakuwa mwingine ni bibiye Mariam polisi

walishindwa kumdhibiti kabisa kabisa kwani alikuwa anapiga vibaya mno firimbi zilipurizwa ving’ora

viliwashwa Mbwa wakafunguliwa .

Yani ilikuwa ukisimama nchare ukikimbia nchare Mariam aliweza kujiamini kupita kiasi polisi walipigwa

na vifimbo vyao wakaamuwa kutumia bunduki za Smg kama kumtishia tu kumbe mwenzao mambo hayo

kacheza sana kipindi yupo nchini Urusi hakika ilikuwa kazi ngumu sana kwa polisi wakishirikiana na

Askari jela juu ya kumdhibiti bibiye huyo kwanza Mariam hakuwa mfungwa pekee mwenye kuhitaji

kutoroka ndani ya gereza hilo, wafungwa walikuwa wengi baada kuona mwenzao akiwapa jambajamba,

Maafande nao wakatoka kumpa kampani hakika ilikuwa kivumbi jasho ndani ya gereza hilo upande wa

Wanawake, bibiye Mariam kijasho kilimtoka si mchezo akachumpa na kuachia teknick za ajabu kwa

Mbwa wawili waliokuwa wakimkimbiza kisha akachumpa kwa kudank kwenye senyenge na kutokomea

gizani, kimbembe kikabaki kwa wenzangu na mimi kufata mkumbo tu kwani waliweza kunaswa na

kupigwa si kidogo wengine walipoteza maisha baa kushambuliwa na Mbwa wenye hasira, wakati

mwenzao kashafanikisha malengo yake, Wakati huo Hafidhi akiwa kapitiwa na usingizi mlio wa simu

yake ikiita ndio ikamshituwa kutokana na uchovu wa kipute alichotoka kukicheza kama masaa mawili

yaliyopita akaichukuwa simu yake ile kuipokea tu akasikia

“hallooo Mume wangu uko wapi please nahitaji msaada wako kwa usiku huu’’,,, kwanza Hafidhi

akashtuka na kuinuka kutoka kitandani na kusimama akauliza “Mariam kipenzi change ni wewe?’’ “ndio

mimi my baby nimeweza kutoroka kutoka jela’’ “ok! Uko wapi kwasasa baby?’’ Hafidhi akauliza swali

huku akijiandaa kutoka ndani ya usiku ule mzito yapatakama saa nane kwanza akajiuliza usafiri wa

kumpeleka mjini atautowa wapi, kasha akakumbuka ndani ya kijiji hiko kuna mzee mmoja ana gari yake

kibata mbuzi yani mgongo chura basi akajiambia wacha aichukuwe hiyo kasha usafiri wa maana

ataupata mbele ya safari, akafanya kutembea harakaharaka kuelekea kwa huyo mzee baada kufika, tu

kwakutumia mbinu zake za kijasusi akaondoka na gari hiyo.

“jamani mwizi!!! Ndio sauti iliyoweza kusikika kutoka kwa mwenye gari yeye na familia yake wakapiga

kelele kwani wakati gari inawashwa kama ujuavyo kibata mbuzi hakina siri kilianza kutowa mlio wa

kujamba lakini ndio jamaa kaondoka nayo

wallahi nitauwa mtu hivi huyu mwizi anijui ehee kama mimi natokea Sumbawanga subiri na muone’’

“kwani baba funguo uliiyacha ndani ya gari au?’’ “hapana funguo hii hapa sijui Yule mshenzi katumia

mbinu gani mamaye zake, Mzee akajikuta akitukana mbele ya wanae.

Hafidhi baada kupora gari basi akaichochea kwa speed zote kibata mbuzi kilijamba njia nzima na usiku

ule sauti ilikuwa kubwa

Mariam akiwa amesimama huku kajikunyata sababu ya baridi akashtukia kazungukwa na kikundi cha

mijibaba mziki mnene wakiwa wametinga mijacketi myeusi Mariam hofu kidogo ikamshika sema

akajiamini kama wataitaji kumfanyia vitendo vya kishenzi atapambana ghafla akapuliziwa kitu kama

paphumu bibiye akayumba na kuanza kuona maluweluwe akajitahidi kijizuia lakini hakuweza kuona

vizuri akakunja ngumi huku akirudi nyuma mmoja kati ya wale vijana akamfumua ngumi moja tu ya

tumbo mpaka hapo hakuwa na ujanja tena akacheuwa nyongo ukizingatia kule jela hakula kitu tokea

asubuhi “Nigger embu mbebe huyo malaya twen’zetuni vijana, basi bibiye akabebwa na kuanza

kuondoka nae wakati wanapiga hatua mbili tatu ghafla kuna pikipiki ikaja kwa kasi na kupaki mbele yao

“wee mtoto wa malaya towa huo uchafu wako wanaume tupite’’

“iwapo mtaweza kumuachia huyo binti naweza kuwaacha muende mukiwa wazima lakini kama mkikaidi

amri juwa la kesho hamtoweza kuliona’’,,,

“hahaha Nigger umemsikia huyu shoga anavyoongea kudadeki zake kwanza hii pikipiki naitaka’’

Kumbe hawakumjuwa ehee, kitendo cha kusogea kwa mmoja wao karibu na pikipiki akajikuta akirushwa hewani na kwenda kutuwa barabarani

Kama vile mzigo wa kuni puhuu

Damu zikaanza kumchuruzika.

“Heyiii Nigger

Wote kwa pamoja wakatamka hivyo na kwenda kumvamia bwana mkubwa”…

Mwanaume nae akajampu na kuruka juu kwa kuiyacha ile pikipiki

Akatuwa kwa nyuma yao huku majambazi yale wakikumba ile pikipiki.

Nao wakageuka kwa kutizama nyuma, hakuwa yule tena hapo yupo kivingine

yeye ndio akawafata na kuingia katikati akasema

“hakika mtajuta baada kufika kuzimu”

Akazunguka na kutembeza nyembe kwa kila mmoja nyembe zilikuwa zile siraha zake aina ya mundu.

Majambazi watatu double wakaenda chini

huku wawili kati yao wakibaki kushikwa na taharuki, wakaona isiwe shida kumbe

hiki kiumbe ni hatari tupu,

Wakaanza kukimbia wakati huo bibiye

Mariam yupo chini hajitambui kabisa.

Sema Ninja short hakutaka kuwaacha maharamia wale kwa kuogopa huwenda watakuja kusimulia,

Ikabidi awakimbize majambazi wale walikimbia kufika mbele kidogo mwanaume kawatokea,

“tusamehe brother, hatukujuwa kama ni wewe please

Tusamehe tupo tayari kufanya chochote juu yako ili mradi tuweze kuokoka,

(SEASON ONE TULIISHIA PALE STEVEN YUPO KWA MGANGA AKIITAJI KUONYESHWA NI NANI KAMUUWA MDOGO WAKE, MGANGA AKAANGALIA HAKUWEZA KUONA KITU ZAIDI YA KIVULI TU CHOMBEZEKA NAYO SASA)

“Kivipi mzee mpaka unasema nimeingia njia sio nini shida? Nini tatizo?”

Steven akamuuliza Mganga akiwa anaikodolea macho ile TV ya asiri,

“sikia nikwambie kitu kijana huyu mtu si wakawaida kama unavyofikilia wewe hiki ni kiumbe cha hatari sana

Wewe huwoni mpaka mambo yangu yote yameshindwa kufanya kazi, haijawai kutokea hii, hata siku moja”

Mganga aliongea huku kijasho kikimtoka

“kama umeshindwa kazi sema

sio kuanza kumfagilia huyo bwege mitunguri yako ime eksipaya tu, huna lolote

Steven akatamka hivyo huku akinyanyuka kujiandaa kuondoka kuonyesha jinsi gani kachukia

Baada mganga kumfagilia

Hafidhi,

“Steven tafadhali embu kaa chini usianze kunitusi hivi mambo yako mangapi

Nimeweza kuyafanya,

nitakugeuza kuku sasa hivi ohoo”….

Mganga aliongea kwa hasira

Steven mwenyewe akakaa chini.

“kwakuwa huyu kijana kashindwa kuonekana itabidi nimtumie Majini yaende kuifanya hii kazi, au unaonaje hapo?”

“sawa Mzee mimi nakuaminia wewe sina kimbilio jingine zaidi yako.

Maana huyu mshenzi kanipa pigo maumivu yasiowezekana kupowa leo wala kesho

Kaniulia mdogo wangu”..

Steven machozi yakaanza kumtoka

“Ha!ha!ha!”….

Mganga akaanza kucheka na kusema

“kijana usitake kunichekesha sana tambuwa kitu kimoja kuna msemo unasema

Akunyimae mbaazi kakupunguzia mishuzi.

Akuanzae kukuchokoza wewe mmalize, kama pigo wewe ndio umeanza kumpa baada kumuuwa kipenzi chake.

Kama ikatokea tukimuacha atazidi kufanya mauwaji kwa watu wako wa karibu!”

“dahaa sasa Mzee mi shida yangu kubwa ni picha yake na sehemu ambayo naweza kumpata naitaji nimuuwe kwa mikono yangu mimi mwenyewe”

Steven akakunja ngumi na kubana meno kwa hasira,

“biringe bayoyo,,,,biringe bayoyo,,,,tunamuomba Dada Asia aingie kati tumuone maringo yake bingilibingili mpaka chini!!!

Ni sauti nzuri za watoto wakike wakiimba na kucheza Asubuhi ile ndizo zilizoweza kumuamsha Hafidhi kutoka kitandani, basi akajinyanyuwa kwa uchovu huku akijinyoosha akalisogela dirisha na kuipandisha panzia kwa juu na kuangali kwa nnje.

Akaweza kukiona kikundi cha watoto wakicheza na kuimba akabaki kutabasamu tu, na kukumbuka mbaali

kipindi yupo mtoto akicheza na watoto wenzake

“kioo kioo alikivunja nani….”wamwisho akamatwe atiwe gerezani”….

“Hafidhi”

“naamu Azizi unasemaje?”

“embu jitemee mate tumboni”

“kwanini nijitemee mate tumboni?”

“wee umuoni yule Albino kapita hapa kama hukufanya hivyo nawe utakuwa kama yule,

Basi Hafidhi akaifunuwa T-shirt yake na kujitemea mate asije akawa Zeruzeru.

Yote yalikuwa mawazo yake wakati akiwa kasimama pale dirishani.

Akatabasamu na kurudi tena kitandani akakaa kama dakika tano hivi, kisha akaanza kupiga pushapu huku

Akifanya na mazoezi mengine kulainisha viungo, kijasho kilimtoka

Akaichukuwa ndoo ya maji na kutoka nayo nnje, kama ujuavyo vyoo vya uswazi ndio hali aliyokutana nayo

Bwana mkubwa ni foreni

“hivi huyu Meja anakunya kokoto au maana muda wote huo”…

“itakuwa anatafuta sehemu ya kutaga tu maana tokea aingie ni nusu saa hii”…

“wee Meja embu toka humo chooni pumbavu zako,

Ikabidi sister duu mmoja akapaza sauti kwa hasira,

Ndipo Meja akatoka huku kajishika

tumbo

“wee kaka embu ingia basi ukaoge”

ilikuwa ajabu mwenye zamu yake akimpisha Hafidhi nae hakuwa na jinsi zaidi ya kushkuru

Akaingia kwenda kuoga

“mmh! Mijitu mingine bwana kujifanya kimbelembele kama vile shipa”

Kuna mama mmoja wakikubwa akaongea hivyo,

“haikuhusu bibi wewe, ndio nishampa zamu yangu na akitoka tu naingia Mimi!”

“unasemaje wee Malaya yani umpishe yule boya kisha uingie wewe jiangalie nitakunasa makofi ohooo”…

Ilikuwa kauli ya jamaa mmoja akimchana live na kumtishia yule sister duu kuhusu kitendo chake cha

kumpisha Hafidhi aingie chooni arafu aseme akitoka eti ataingia yeye tena, binti ikabidi awe mpole tu

maana huyo kijana si mtu mzuri mbele ya jamii kwanza anasifika kwa tabia yake ya ukorofi kukutia

chongo au kukuchana na kiwembe kwake ni kitu cha kawaida tu, baada kupita kama dakika moja hivi

Mwanaume akatoka chooni na kusimama mlangoni,

“wee boya embu pisha hapo yani umepewa lift unataka kupiga na honi wee vipi’’ jamaa akaongea hivyo

huku akimpushi Hafidhi ajabu mwenzake hata hakuyumba wala kusogea zaidi ya kupepesuka yeye, si

akapandisha mori wa kimasai “wee!!! Bwege nini nakwambia nipishe puhuu akayumba na kudondoka

chini wakati anaongea kwa jaziba akapigwa ngumi ya uso moja tu kisha mwanaume akashuka kutoka juu

ya ngazi za choo huku yule jamaa nae akijiweka sawa si akarusha ngumi mbili tatu mwanaume kama

kawaida yakeakapanch na kumdaka mkono akafanya kuunyongorota hivi basi hizo kelele alizozitoa

jamaa shida tupu “jamani nakufa!!! Mkono wangu huku mamuweee’’,,,, kisha akamchota zinga la

mtama yani ilikuwa kama vile baba anamchapa mwanae wakati ugomvi wa yule jamaa ukiendelea kila

mmoja alikuwa bize kushuhudia mtanange huo

Jinsi mbabe akifinywa

Hakika kila mmoja akatamani hata kucheka lakini hawakufanya hivyo zaidi ya kuishia kuzomea tu

“hillooo leo umepatikana pigana sasa”..

Nae akajibu kwa kusema

“nyie mabwege si mnanicheka sio sasa nikitoka hapa mtaona yalaa!!!

Akazidi kupiga kelele kwa maumivu.

Baada mwanaume kuona kumbe jamaa mwenyewe hana lolote

Akaamuwa kuachana nae na kuingia zake ndani

“huyu boya tu mamaye zake si anajifanya mjanja ehee subiri ataona

Kudadeki zake atahama huu mtaa bila kupenda

Bwege tu, jamaa akazidi kupayuka na kutukana matusi wakati huo

Hafidhi akatoka ndani na kusepa zake,

“Fatuma shogaangu umemuona yule mkaka kwanza yuko smart!

Kingine inaonekana hapendi dharau”…

“nimemuona sema nini

Ngozi boy sikuzote hakubari kushindwa mi nahisi yule kijana anaweza kuvamiwa na kikundi cha watoto wambwa”…

“yani hapo ndio nina wasiwasi si kidogo kama ikitokea yule

Handsome akavamiwa sijui itakuwaje ukizingatia yeye ni mgeni hana

Kampani hata yamtu mmoja”

Walikuwa ni mabinti wawili wakiongelea swala zima la tukio hilo”

Kifo cha bibiye Yusra kiliweza kuwaasili

Wenzake kwa kiasi kikubwa tu si Vivian wala

Mariam wote wakabaki kuhudhunika na kuwa na mawazo mazito juu ya swala hilo.

Hata utendaji wa kazi haukuwa na maana juu yao,

Taarifa za kifo cha mke wa muheshimiwa Raisi ziliweza kuwashtuwa wengi

hasa mataifa mengine

na kusema ni uzembe wa jeshi la polisi kutokuwa makini katika kitengo kizima cha ulinzi

Wakati vyombo vya habari waliweza kuriport tukio zima jinsi

Mke wa muheshimiwa alivyotekwa na kuanza kuongea ukweli yeye ni nani

sasa kwaajili ya kutaka kuficha siri

ndio watuhumiwa wengine wakaamuwa kumuuwa,

sema huu ni mwanzo tu serikali itahakikisha washukiwa wote wakiingia kwenye mikono ya Dora,

Wakati muheshimiwa Raisi kilio chake kikubwa ni kuhusu yule Ninja yani alitamani akutane nae aweze kumuhoji mawili matatu

sema ni kitu kisichowezekana,

“halloo baby uko wapi kwa sasa?”

Vivian akauliza swali baada kumpigia simu

kipenzi chake upande wapili sauti ikasikika ikimjibu

“nipo mitaa ya Tandika hapa nimekuja kuchukuwa nguo, ghafla kuna jamaa akapita na kuikwapua ile simu,

Hafidhi kile kitendo hakuweza kukitegemea Aisee akaona akizubaa simu itapotea

Akaanza kumkimbiza kimya kimya hakuna cha kelele za mwizi wala

nini. Yule kibaka alionekana ni mwenyeji wa mitaa hiyo hakuweza kufahamu kama

Kanunuwa chumvi akijuwa sukari

Nyeupe kimbembe akaimimina kwenye sufuria ya shukhuri pasipo kuonja akagawa chai unafikilia nini kilitokea hapo,

ilikuwa mkimbize mkimbize

Mpaka Temeke mikoroshini

Jamaa kila akikimbia na kutizama nyuma mtu huyu hapa akaingia maeneo ya makaburi na kusimama si kuna masela wake walikuwa wakicheza kamari

Akajiamini yule jamaa hawezi kufika

“wee Chidy vipi mwamba mbona tunashtuana umekinukisha nini? Huko utokako?”

“nikinukishe wapi kuna bwege mmoja nimemchukulia hiki kimeo kule Tandika sokoni sasa kila nikila kona naye yupo.”

Baada kusema vile wenzake wakacheka kwa dharau na kusema

“ha!ha!ha! Achaga uboya wewe inamaana huyo jamaa alikuwa apigi kelele za mwizi au?”

Wakati wanaongea wote wakashtuka upepo ukivuma

maeneo hayo na kubaki kuulizana”…….

Kila mmoja akashtuka na kujiuliza huo upepo unatokea wapi mbona upo kasi kwa kiasi kikubwa, “oyii

washkaji bwege mwenyewe ni huyo hapo kafika hadi huku’’ yule kibaka akaongea hivyo baada

kumuona Hafidhi yupo mbele yao.

“wee bwege unataka nini katika pande za wanaume?’’ “naitaka simu yangu nipeni haraka sana niende

zangu ‘’ kumbe muda wote simu ilikuwa bado ipo on bibiye Vivian akabana meno na kujisemea si bora

mumpe tu mbona mnataka kujitafutia balaa nyie vijana, yani alitamani angekuwepo eneo hilo awaambie

kuwa mtu aliyekuwa mbele yao si mtu mzuri wampe tu simu yake kuepusha shari, sema ndio hivyo

ikashindikana akabaki kusikilizia tu, “ndugu yangu usitake kujichagulia kaburi katika maeneo haya cha

umuhimu nipatie hiyo simu niondoke zangu, “wee mtoto wa Malaya nini usitake kunitisha kama kaburi

utajichagulia wewe pumbavu zako, jamaa si akachomowa kisu na kumsogelea, kitendo cha kunyoosha

mkono tu kwa minajili ya kumchoma kisu cha tumbo akajikuta anavunjwa mkono baada mwanaume

kuzunguka na kuupiga ule mkono ulioshika kisu kwa kifuti kabla hajakaa sawa akaongezwa na ngumi ya

uso akadondoka chini kama mzigo, basi ilikuwa balaa ndani ya makaburi hayo.

Hafidhi aliwafinya kisha akaichukuwa simu yake na kuondoka kama vile sio yeye vibaka walijuta maana

wawili kati yao kavunja miguu wengine mikono wakazi wa maeneo hayo wakabaki kujiuliza maswali hivi

huyu ni Commando au’’… mbona kaweza kuwadhibiti vijana kama sita yeye peke yake hakika anatisha si

mchezo.

Baada Hafidhi kuipata simu yake akaitizama kwenye display na kuona jinsi sekunde na dakika zinavyokwenda akacheka na kusema

“baby achaga umbea ha!ha!ha akakata simu, kwa upande wa Vivian akacheka si kidogo,

Steven hakuweza kutulia kabisa usiku na mchana alikuwa akimsaka

Mbaya wake wakati .wenzie

Alikuwa yuko

Bize kukamirisha moja kati ya kazi zake.

“baby wee shida tupu!”

Vivian aliongea hivyo baada kumuona

Hafidhi amekuja,

“kwanini unasema hivyo baby shida yangu hiko wapi”….

“mmh yani umemkimbiza yule kibaka mpaka akajihisi anakimbizwa na kivuli chake

Maana dahaa”..

“hahaha baby wee acha tu unajuwa sikutaka kumuachia hii simu kama ujuavyo ina mambo mengi sana kimoja wapo ni number yako kipenzi changu,

Hafidhi akamshika kiuno na kumtekenya.

“asssss,,,,,baby mi staki bwana”

Wakaanza michezo yao,

Tukija pande za Mbagala kikundi cha Ngozi boy kijana aliyepigwa na Hafidhi asubuhi iliyopita walikuwa wamekusanyika kijiweni na kupanga mbinu za kuweza kumvamia

Hafidhi wampige ikiwezeka hata kumuuwa wamuuwe tu, haiwezekani amdhalilishe mwenzao mbele ya kadamnasi ya watu,

“Ngozi boy wee kausha mwanangu mwenyewe huo bwege atajuta kama kuvamia basi kaingia msikitini na kusema haleluyaa,,,,”

Kitakachomtokea Mungu mwenyewe anajuwa”..

Wakati vijana wakipanga mbinu na mikakati kabambe juu ya kumpoteza Hafidhi

kitaani hapo akijulikana kama Yasri, kumbe mwenzao alishaweza kufahamu nini kitatokea mbele yake

Kwahiyo hakutaka kujishukhurisha sana na kikundi cha mateja wasiokuwa na ishu,

ilikuwa yapata kama saa mbili usiku hivi

Jackson alimuomba Hafidhi watoke kidogo waende maeneo ya

Zakhiem kuna burudani kutoka kwa Sir Natule na kundi zima la WCB.

Basi wakatoka na kuingia ndani ya ukumbi huo ilikuwa siku ya J.mosi basi watu walikuwa wamejazana si kidogo,

wakatafuta sehemu nzuri ya kukaa kwenye kigizagiza hivi,

“Jackson kaka tambuwa kitu kimoja nimeweza kukupa kampani sema sitaki kuona pombe katika meza hii”….

“sawa kaka usijali wala nini, kila mmoja aliongea kwa sauti kubwa maana ndani ya ukumbi huo sauti ya mziki ilikuwa kubwa balaa

Watu wakazidi kumiminika wakaingia matozi wawili hivi yani kwajinsi walivyo, unaweza kusema ni waamerca basi

Malaya wapande hizo wakaanza kuwapapatikia sema hawakutaka kampani ya mwanamke yeyote wapo kimpango wao, kikundi cha mateja nao wakaingia

kwanza wakaangaza macho huku na kule kumsaka mbaya wao si washaambiwa kaingia humo

“oyaa Ngozi boy”

“niambiye mwanangu mwenyewe,

“umeyaona madini yale?”

“yako wapi?”

“angalia kule kuna mabitozi manyangema jinsi walivyotinga viwaro vile”

“ebwana nimeona

So tufanye mchongo tuvikombe vyote subiri nifanye mpango”…

Ngozi boy akajifanya kwenda chooni na kupita karibu ya mmoja wao

basi kwa makusudi akampiga kikumbo huku akiachia chupa yake ya

Bia ikaenda chini kwa bahati nzuri chupa haikupasuka, zaidi ya bia kumwagika.

“wee mwehu nini unatembea kama uhoni kudadeki zako unaona umenimwagia kinywaji changu,

Ngozi boy akaanza kufoka kwa hasira,

Ikabidi yule Bitozi aombe msamaha japokuwa sio yeye aliyefanya kosa

“samahani sana brother usijali kuhusu hiyo bia yako shika hii shilling Elfu kumi

ukanunuwe nyingine unywe ndani yako”

Sema Ngozi boy akakataa kwa kusema hiyo elfu kumi haitoshi na wala haitaki,

“sasa brother kwani bia moja shilling ngapi

Si elfu moja na mia tano tu

So hii elfu kumi nakupa yote. Unasema huitaki sasa unataka nini kaka yangu?”

“Naitaka hiyo simu”

Ngozi boy bila aibu wala haya akaongea hivyo, ni kauli iliyomfanya jamaa kwanza acheke,

“ha!ha!ha! Sasa kaka simu na bia wapi na wapi!”

Simu yangu Galaxy note

Nikupe kisa nimemwaga bia yako,

Ghafla wenzake Ngozi boy wakafika na kumzunguka yule Sharo

wakamuweka mtu kati, sema jamaa hakuogopa mwenzake nae akaingia kati na kusema

“hakika nyie mabwege mnatafuta matatizo yasio wahusu mmetuona sisi maboya ehee

Subiri tuwaonyeshe show

kwanza wakavuwa micheni yao na simu zao na kwenda kuziweka kaunta

kichapo kikaanza baina ya mateja wale na masharo bwenzi

Kuna teja aliishika chupa ya bia na kumpiga mmoja wao kichwani,

“kudadeki yani umenitowa damu

tokea nizaliwe sijawai kutolewa kitu kama hiki

Mamaye zako, hapo sasa ikawa balaa mateja walitembezewa kichapo na kujikuta wakikimbizana kutoka nnje ya ukumbi

Sherehe walinzi wakabaki pembeni

Maana ulikuwa mziki si wakitoto

Ilikuwa kila mwenye kutaka kuwashika wale matozi wanapokea kichapo yani walipiga yeyote yule

Mateja baada kuona kumbe majamaa hawafai wakatimua mbio, sema yule aliyetolewa damu hakutaka kuwaacha akawakimbiza huko huko

wakati yote yakiendelea Hafidhi alikuwa katulia kimyaa akinywa soda yake huku akicheki mpambano ule

kwanza aliweza kutambuwa kitu kimoja

kuwa wale sio matozi au Sharobalo

kama watu walivyoweza kuwaona

bali wanatokea kitengo fulani hivi

Usalama wa taifa ukipenda waite wazee wa suit kwakifupi ni kitengo hatari sana kuliko hata FBI

Au JWTZ kingine walikuja hapo kwa shukhuri maalumu ya kipelelezi

sema mateja wakaharibu shukhuri nzima,

“kaka umeona mambo yale’’ Jackson akamuuliza Hafidhi, “mambo gani ndugu?’’ “si ule mpambano

wawale majamaa yani yanapiga utasema lile adui kubwa kwenye movie ya Ip man, yani shida tupu’’

Jackson akatowa ufafanuzi huku akionyesha vitendo Hafidhi akabaki kucheka tu maana daha, wakati huo

walikuwa washatoka ndani ya ukumbi na kurudi nyumbani kwao ile kufika tu wakasikia kelele za yule

msichana akilia yote sababu ya utamu wa kukamuliwa. “sasa kaka unaonaje tukapige chabo,,,’’ Jackson

akamuomba Hafidhi wakapige chabo, sema ni kauli ambayo ilimshangaza kidogo hafidhi akamshika

mkono Jackson kama kumzuiya hivi kisha akamuuliza “ukishaenda kupiga chabo unapata faida gani

kaka?’’

“naangalia tu mwishoe naenda kupiga nyeto basi’’ “nyeto ndio kitu gani embu niweke wazi, “nyeto ni

kitendo cha kujipa raha mwenyewe yani kuusuguguwa uume wako kwa kutumia aidha sabuni au mafuta

ama kitambaa yani unafanya kitendo hiko huku ukivutia hisia upo na mwanamke furani katika uwanja

wa sita kwa sita,. Binafsi mwanaume akabaki kusikitika sana kutokana na maelezo ya Jackson akamuuliza

“mpaka unafikia kufanya kitendo cha kipumbavu kama hicho je Wanawake huwaoni au?’’ “sasa kaka

hizo dharau utaitaje starehe za watu ni kitu cha kipumbavu bwana’’,,,

“sikia nikwambie kitu Jackson inawezekana wewe tayari ushakuwa muasilika wa jambo hili, tambuwa

kuna madhara mengi kuliko faida uipatayo kwenye jambo hilo. Kwanza kabisa unapoteza nguvu za

kiume mishipa usinyaa haraka pindi ukikutana na mwanamke kimapenzi pili utashindwa kudhibiti mkojo

yani ukikuuma kidogo tu utatoka pasipo wewe mwenyewe kupenda, Jackson kuna mengi naitaji

nikueleze sema ni usiku sasa wacha nikalale siku nikipata muda nitakupeleka dhahanati ukapate ushauli

nasha jinsi ya kuacha hicho kitu’’,,, baada Hafidhi kuongea vile akaingia chumbani kwake huku

akimuacha Jackson akijiuliza maswali chungu nzima “bila shaka ni kweli maana sasa hivi Monarisa hataki

kufanya mapenzi nami kisa simeidhishi kingine najikojolea njian kabla ya kufika chooni kumbe itakuwa

hii nyeto ehee sasa nitaachaje kwangu imekuwa zaidi ya chakula’’,,,

Ndani ya usiku huo Mwanaume akatoka akiwa katika mavazi yake ya kazi yani kininja akapiga hatuwa za

haraka mpaka maeneo ya Mbagala kuu kuna kambi ya jeshi, kwenye ofisi moja wapo akaingia dakika si

nyingi akatoka akiwa na pikipiki kwa speed ya ajabu akapotea nayo, hakuna aliyeweza kushituka kama

wameweza kuvamiwa au lahaa.

“baada kuiba pikipiki safari yake ikampeleka mpaka maeneo ya Osterbay masaki akaanza kuzihesabu

nyumba kwa mwendo wa taratiibu akaipaki ile pikipiki kisha akachepuka kwenye Garden moja wapo na

kujificha kwenye mauwa, akaitowa simu yake na kuanza kuangalia Gps kama sehemu iliyomleta ni

penyewe au vipi.

Akainuka na kuruka juu ya fensi moja hivi kwa mwendo wa haraka akazunguka kwenye uzio wenye miba

hivi ndani ya usiku huo kulikuwa kimyaa sauti za mbwa pekee nsizo zilizoweza kusikika, wakibweka huku

na kule Mwanaume akaamba na ukuta ghafla akasimama na kutulia kimyaa baada kuona kama vivuli

vya watu hivi wakija usawa ambao yupo yeye “sasa Donny kama nilivyokwambia wewe kazi yako

itakuwa kuwazuga wale Mbwa, wakati Chici utamchinja yule mlinzi, tutambuwe kitu kimoja bosi kasema

hakuna kuacha mtu wote chinja tu, maana hii kesi atapewa yule muuwaji Hafidhi J Ikram mmenisikia

vijana?’’ “ndio mkuu’’ “haya Donny pita kusoto wewe Chichi ingia kule getini’’,,,,,

ITAENDELEA

Mtaa wa Tatu Sehemu ya Tano

Isikupite Hii: Dalili za Kuonyesha Mwanamke Anataka Umpeleke Chumbani

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment