Mtaa wa Tatu Sehemu ya Tano
CHOMBEZO

Ep 05: Mtaa wa Tano

SIMULIZI Mtaa wa Tatu
Mtaa wa Tatu Sehemu ya Tano

IMEANDIKWA NA : HAFIDHI J IKRAM


Chombezo : Mtaa Wa Tatu

Sehemu Ya Tano (5)

Hafidhi aliweza kuwasikia vyema, akatabasamu na kujisemea “kumbe kuna mabwege wanatafuta kiki

kupitia mimi sio sasa leo wameingia anga sizo, nae akaamba na ukuta kabla ya kuchumpa na kutokezea

kwenye dirisha fulani hivi akaweza kusikia sauti kwa mbaali

“ossss,,,,ahaaaa,,,hapooooo,,,,uwiiiii,,ingizaaa,,,yoooote,,,,mmmmm,,, Mwanaume akaweza kutambuwa

kuwa mlinzi kwa wakati huo hayupo getini yupo kwenye chumba kingine akifanya mapenzi na House girl,

wakati akiendelea kusikilizia nae akahisi kusimamiwa na kiumbe nyuma yake kupitia macho yake

akakitizama kwanza kivuli na kugunduwa kuwa kiumbe kilichopo nyuma yake si binadamu maana kina

mapembe na mkia basi akaona kile kiumbe kikijiandaa kumpiga sijui kofi au ngumi ile anarusha

mkono tu Hafidhi akachumpa na kuinama kwa chini mkono ukapita na kwenda kutuwa ukutani ukuta

wenyewe ukaweka alama ya mkono wa yule kiumbe.

Hakika alikuwa na gadhabu si mchezo, akageuka na kumuona Hafidhi akikimbia nae akaruka juu na

kumfata kwa speed wakati Hafidhi kwenye akili yake akijiuliza hiki kiumbe kimetokea wapi mbona kama

anataka kuniuwa.

“Ibnuwasi’’ “naam mama, “embu hamka mwanangu angalia kule kwenye TV jinsi mwanao

anavyokimbizwa na Makata, basi Ibnuwasi akatupa macho yake kuangalia TV hiyo spesho kwaajili ya

kufatilia maisha ya Hafidhi sijui hata akifanya mapenzi na wanawake wao wanaona au vipi.

“Pumbavu zake huyu Makata nahisi anijui vizuri wacha nikamuonyeshe kazi pumbavu zake’’,, Ibnuwasi

alitamka hivyo akijiandaa kuondoka lakini mama yake akamzuia kwa kumwambia embu tulia kwanza

umuone mjukuu wangu akimchezesha gwaride huyo Makata, Tukija maeneo ya kitimutimu Hafidhi

akazidi kumkimbia Makata na kumpeleka kule ambako wale wauwaji wengine wameingia, majambazi

nao wakiwa hawana hili wala lile wakashtuka baada kukiona kiumbe cha ajabu kikija mbele yao, na

kujikuta wakizikoki silaha zao na kuachia risasi mfurulizo kwenye mwili wa Yule kiumbe mpaka hapo

hakukuwa na siri tena wenye nyumba nao wakashtuka mlinzi na house girl wakaingia uvungu wa

kitanda, Bwana Peter Ally ndio baba mwenye nyumba hiyo baada kusikia milindimo ya risasi ndani ya

nyumba yake akapiga simu polisi wakati kituo cha polisi Osterbey washasikia kila kitu na wapo njiani kuja

eneo la tukio, Hafidhi baada kuona kawachomesha wale majambazi kwa yule kiumbe nae hakuwa na

budi kuondoka haraka ndani ya eneo hilo, basi akachumpa na kuruka juu ya ukuta na kutokezea upande

mwingine na kusepa zake. Kimbembe kikabaki kwa Majambazi na yule jini, Kwanza walijuta kummiminia

Risasi ilikuwa kama vile kutwanga maji kwenye kitu risasi zote zilizoweza kukita mwilini mwake kiumbe

hata hakijafa wala kutokwa na damu, Zaidi ya kubaki matobo kama vile driri imetobowa ndani ya mwili

wake. Jambazi mmoja akashikwa na kuchanwa chanwa tumboni utumbo na mabandama kule, mwingine

akashikwa na kuanza kunyonywa damu hakika Makata alikuwa anatisha, majambazi wengine wakaona

ehee tutakuja kufa kizembe maana tukisema tuzubae hiki kiumbe hakifai kabisa, kila mmoja akatimua

mbio si wakapitia getini na kujikuta risasi zikituwa maungoni mwao kwani polisi walikuwa washafika

kitambo tu na kutega targert yani wakitokeza tu, hakuna kuuliza ni kuwapiga shaba ndivyo ilivyokuwa.

Kwa upande wa Makata baada kugunduwa kuwa mlegwa wake kamkimbia akapiga mahesabu na kuona

kumbe hayupo mbali akatoka ndani ya nyumba hiyo kwa kupaa juu, polisi hawakuweza kuamini aisee

baada kukiona kiumbe hicho wakabaki kukodowa macho wasijuwe nini cha kufanya, kitu kama vile Popo

bawa, yupo angani

“ebwana hiki kitu sijawai kukiona tokea kuzaliwa kwangu, zaidi ya kuona

Movie tu.

“usiseme hujawai kukiona kiumbe kama kile tokea uzaliwe, si ndio ushakiona hapa au vipi!”

Afande mmoja akamuweka sawa mwenzie juu ya kauli yake kuwa haiko

sawa. Wakati katika mitaa ya Namanga kulikuwa na kitimtimu

Baina ya Makata na Hafidhi, wakikimbizana

Mwanaume akiwa juu ya pikipiki akizidi kuchanja mbuga wakati

Makata akiwa juu ya anga akimtemea cheche za moto, mpaka wanaingia maeneo ya Dry

Mwanaume hakuweza kufikiwa akazidi kuchanja mbuga, na kutokezea Mikocheni

(B) sijui kwanini kampeleka maeneo hayo

anajuwa yeye mwenyewe,

Kiumbe kiliunguruma njia nzima sauti yake kama mlio wa baruti

Tena usiku huo iliweza kupenya kwenye ngome za masikio ya watu wengi na kuwafanya waamke kutoka usingizini

“Mume wangu embu hamka bwana unasikia milio ya mabomu hayo,

Mwanaume baada kusikia mabomu akakurupuka na kutoka zake nnje mbio,

Sauti ya kiumbe kile iliweza kusambaa ndani ya jiji la Dar es salaam nzima,

Hafidhi baada kuona kamkimbia vya kutosha akaona sasa inatosha wacha apambane tu kama kumkimbia atamkimbia mpaka wapi

Akaingia kwenye Viwanja vya Tanganyika pale Pekasi,

akaisimamisha pikipiki kwa style ya pekee kabisa kwanza akachumpa kwa kwenda juu kisha

Akatuwa chini kama vile kizuka upepo ukavuma,

Makata nae akatuwa huku akicheka

“khakhakhakha! Hiyo sauti mbayaa kama vile mashine ya kuchana mbao,

Hafidhi hakuogopa kicheko chake wala sauti yake, ndio kwanza akazichomoa siraha zake na kuchumpa kuja kumfata

Makata lakini akakutana na kofi juu kwa juu na kutupwa mbali na pale.

Yani akadondokea nguzo moja ya goal lililopo Uwanjani hapo, kisha

Akanyanyuliwa na kuzungushwa juu kwa juu akatupwa tena,

Mwanaume alikuwa kapatikana, mbele ya kiumbe hicho hakuweza kufuwa dafu kabisa,

Akiwa chini amelala huku akiugulia maumivu, akajitahidi kujiinuwa akashindwa yani alihisi, kama miguu yake haiwezi

Kufanya kazi kwa wakati huo akashikwa kwa kukabwa na kuning’inizwa utasema kuku kishingo,

Makata akajiandaa kumtafuna

Ghafla bin vuu kijinga cha moto kikatupwa na kutuwa moja kwa moja mdomoni

Kwa Makata akayumba na kumuachia

Hafidhi akienda chini

Akatizama nani kampiga na moto,

Makata kwanza akashtuka baada kumuona

Ibnuwasi binafsi anamkumbuka vyema ni kiumbe hatari kushinda yeye

Akaona isiwe shida wacha asepe akakimbia

Ibnuwasi akamtizama mwanae pale chini

Akaonekana hajitambui kabisa,

Basi akamsogelea na kumbeba

na kuondoka nae.

Baada kupita siku kama tatu hivi tokea tukio la Hafidhi kupigwa na kiumbe cha kutisha

kinachoitwa

Makata, kwanza ilikuwa ni siku ya furaha kwa upande wa Steven kwani aliweza kupewa habari na mganga wake kuwa

yule muuwaji wa mdogo wake

ameshakuwa marehemu, hayupo tena duniani

“ni kweli Daktari au?”

“ndio ni ukweli mtupu uwamini au nikuitie

Makata aweze kudhibitishia”….

“hapana Mzee usimwite mimi nishaweza kuamini kwa asilimia mia moja

Hakika hapa nilipo nina furaha si kidogo, embu kamata hii,

Mganga au Daktari akapewa kiasi cha pesa sijui shilling ngapi.

Sema kilikuwa kibunda cha kutosha,

Wakati upande huu kukiwa na furaha upande mwingine kulikuwa na majonzi na vilio, haukuwa upande mwingine ni

Ujinini kikundi cha majini walikuwa wamekusanyika na kuombeleza sijui kulikuwa na msiba au vipi,

“sasa Ibnuwasi mwanangu kuanzia sasa unahitajika kupiga moyo konde

hutakiwi kulia tena kumbuka kila kitu kina mwanzo na mwisho,

Kila nafsi itaonja umauti muache mwanao apumzike kwa amani”….

Tobaa kumbe Hafidhi kafa mbona wanazungumzia msiba

mwanae gani huyo apumzike kwa amani.

“hapana mama kusema kweli yote umeyataka wewe laiti kama ningewai yote yasingetokea,

Hakika ulikuwa msiba mzito sana

“halloo baby mbona inapita wiki sasa hauji nyumbani kwani upo wapi?”

Vivian aliuliza baada kumpigia simu Hafidhi sasa sijui Hafidhi gani wakati inasemekana amekufa kule Ujinini,

“usijali my wife

nilisahau kukuaga kama nilipata safari ya ghafla sasa hivi nipo

Nchini Uganda muda si mrefu nitarudi my”

“mmh! Yani baby una safiri pasipo kuniaga kweli hunipendi”

“hapana mama watoto

Nakupenda sana tu sema ilikuwa ni safari ya kikazi tu kama ujuavyo kazi zenyewe za kuajiliwa Bosi akiamuwa kitu ndio hicho hicho ukisema ukatae utasikia

kazi hauna”…

“sawa my dear nimekuelewa ongea na mwanao”….Vivian akaweka simu tumboni kumsikilizishia mtoto kisha akairudisha sikioni na kumuuliza “si umemsikia ehee

Kasema anataka juice na Chocolate

Basi simu upande wapili ikasikika sauti ya Hafidhi akicheka na kusema Usijali

my dear vipi bi mdogo upo nae hapo?”

Vivian pasipo kujibu akampatia simu bibiye Mariam ambaye alikuwa bize kutizama television.

“halloo tumpase pahee chupke chumpke nyonga mkalia ini mambo vipi,

Mariam akabaki kutabasamu baada Hafidhi kuanza kuongea kihindi kwa kutaja majina ya Movie akijifanya ndio anaongea.

“nawe kujifanya ndio Sharkhan sijui

Ajey unachapia bwana”

“Ha!ha!ha!ha

Baby nachapia mimi huyo au wewe?”

“wewe ndio unachapia”..

Baada kuongea kwa kirefu kidogo simu ikakatwa kila mmoja akafarijika baada kupigiwa simu na kipenzi chao,

maana imepita takribani wiki moja

Hawakuweza kumtia machoni wala kuisikia sauti yake,

Tukija pande za Mbagala tunamuona

Hafidhi akiwa kavaa begi jeusi akifunguwa chumba chake na kuingia ndani

wakati tunaonyeshwa kule

Ujinini mwili wa Hafidhi ukiwa umelala kwenye moja kati ya sehemu za kuhifadhia miili ya Majini

pembeni akiwa kasimama

Ibnuwasi yani wiki nzima analia kumlilia mwanae

“Hafidhi kijana wangu umelala au?…kama umelala embu hamka basi

Mwanangu wa pekee,,,,inuka nikukabidhi nguvu simama upambane

Sauti ya Ibnuwasi ilikuwa kali na nzito,

Ghafla pasipo kutegemea hata

Ibnuwasi akashtuka baada

Hafidhi kupiga chafya akahisi labda masikio yake kasikia vibaya

Sema akajiaminisha baada kuona vidole vya

Hafidhi vikicheza akapaza sauti

Kuita “mwananguu!!!

Sauti ambayo iliwafanya baadhi ya Majini

waje mbiombio kutaka kufahamu kunani tena

Hakika kila mmoja akabaki kustaajabu baada kumkuta marehemu akiwa ni mzima amekaa kitako kwenye kitanda kile cha mauti.

“Hafidhi ni wewe kijana wangu? Yani siamini kabisa kama umeweza kurudi, tena duniani,

Hafidhi mwanangu”…

Ibnuwasi machozi ya damu yalimtoka

Na kwenda kumkumbatia

Hafidhi pale kitandani

“vipi Kaka ulikuwa wapi ndani ya siku mbili tatu hizi?”

Jackson akamuuliza swali

Hafidhi wakati huo alikuwa akiosha vyombo sema kimiujiza tu,

“nilienda kumtizama Bibi mzaa Baba huko kijijini, alikuwa anaumwa, sema sasa hivi kidogo ajambo,

“dahaa pole sana kaka

Juzi kati mwanangu mwenyewe yule demu mwenye kupiga mikelele si katia team

Mpaka magetoni kwangu

kushika kiuno tu mtoto akatoa sauti

Ayiiiiii,,,,,assssss,,,nikashika nido

Ndio nikammaliza kabisa, kitu ndembendembe”..

Basi wakacheka na kugongeana mikono

sema Jackson akahisi kama kupigwa short hivi baada kugusana na

Hafidhi ikabidi aulize

“wee jamaa mkononi mwako umeshika nini?”

Tukirudi Ujinini kulikuwa na shamrashamra juu ya kijana wao kurudi tena duniani

Kwa wakati huo alikuwa akifanyia tambiko la maana pamoja na kupewa nguvu zote

za Kijini

“Hafidhi mjukuu wangu ingia ndani ya chumba kile ukitoka humo hakika wewe ni mjeshi kamili

Hafidhi bila kusita akafanya hivyo

Akaingia

Vilio vya majini vikaweza kusikika ndani ya chumba hicho kisha Mwanaume akatoka akiwa katapakaa damu Minjino imetokeza utasema vile zombie

Au Vampire,

Ibnuwasi akamsogelea na kumshika kichwani akasema

“sina budi kukupa na nguvu zangu wewe ni damu yangu”,,,,kitu kama tetemeko la

Aridhi likatokea yote ilikuwa nguvu akipewa

Hafidhi na baba yake

Ilichukuwa dakika kama kumi kila kitu kutulia

Kauli moja tu akaitowa

Hafidhi

“namtaka Makata”

Kisha akapotea”…….

Zote zilikuwa ni hasira kutoka kwa bwana mkubwa Hafidhi kwa kusema anamtaka huyo Makata,

“sasa huko duniani kutakuwa hakutoshi,

maana ameshaweza kujitambuwa kwa upande wapili yeye ni nani,

itakuwa balaa juu ya balaa,”

Bibi yake akatamka hivyo huku akitabasamu

“lakini mama si ulisema mwanangu hatuko nae tena duniani imekuwaje kawa mzima?”

Ibnuwasi akauliza swali,

“kusema kweli hata mimi mwenyewe sijui nini kimetokea juu yake mpaka mapigo ya moyo yakarudi tena hewani

Maana yalikuwa kimyaa kabisa, kuonyesha amekufa”…

“basi utakuwa ni muujiza kwa upande wetu!”

Hafidhi baada kutoka upande wa

Majini akashika njia kuelekea kwa bibiye

Mariam hakika safari ilikuwa ndefu kidogo kwa upande wake akahitaji kuangalia

kuhusu watu wake wa karibu kwa muda huu wanafanya nini,

Basi akainama na kuchora kitu kama TV kisha akatemea mate na kutamka maneno fulani

TV ikawaka na kuleta picha kwanza kabisa akaweza kumuona

Mariam akiwa jikoni akipika wakati

Sebuleni kuna wageni kama watatu hivi

akawatasmini kwa haraka na kugunduwa ni ndugu zake Mariam

Akaigusa ile TV picha ikamuonyesha

Vivian akiwa kitandani amekaa huku akiongea na simu,

Akajiuliza anaongea na nani maana hakuweza kuyasikia yale mazungumzo, akaigusa aweze kumtazama sijui nani

Akashtuka baada kumuona

Jackson akiwa kashikwa na yeye huku akipuliziwa sijui nini,

“what? Huyu nani tena mbona kafanana na mimi katokea wapi huyu kiumbe kudadeki wacha nimuwai Jackson”…

Hafidhi akajiuliza maswali huku akikimbia kwa speed ya ajabu, ni kweli Jackson alikuwa katika hali mbaya baada kumuuliza

vipi mbona kama nikikugusa mwili wako una kama short.

Basi kiumbe kile kimuonekano kama Hafidhi mwenyewe kwa ghafla akamshika Jackson kichwani na kufanya kama anamsuka kumbe alikuwa akifanya vitu tofauti.

“mmh kumbe wee kaka unajuwa kusuka ehee?”

Kuna binti mmoja aliuliza hivyo baada kuona Jackson akisukwa kumbe sivyo,

“ndio Dada yangu vipi kwani unataka kuja kusuka?”

“ndio maana yake si unaweza kusuka kila aina ya mitindo?”

“ndio yani hapa ni mwisho wa matatizo ukitaka

Yeboyebo sijui kimasai vitunguu nywele tano

Kijogoo misuko yote nasuka”

Hafidhi alianza kujinadi hivyo.

“ohoo basi vizuri sana nahisi Mke mwenzangu hapati shida ya kwenda saloon, maana mume yupo na mitindo yote.

Anajiwekea kichwa tu”

Hafidhi akabaki kutabasamu huku Jackson akijichekesha kama vile zoba.

“sasa wacha mi niende nikajiandae nahisi mpaka ummalize huyo

Rasta Jackson nitakuwa nishafika,

”sawa mrembo wewe tu na roho yako,

Baada binti kuondoka Jackson akaingizwa chumbani kilichomtokea ni mateso juu ya mateso kwanza akalawitiwa na kiumbe hicho Jackson alilia kwa uchungu

Mpaka kufikia kupoteza fahamu kiumbe ana zinga la andunje utasema mguu wa tembo, fikilia umepita kwenye kitundu cha

Jackson kwanza alimchana damu zikamtoka,

Baada kukizi haja zake akambeba na kwenda kumbwaga katikati ya uwanja tena mchana kweupee,

Kiumbe kikacheka na kupotea eneo hilo,

Wapita njia waliweza kuona katikati ya uwanja mwili wa mtu umelala ikabidi wasogee kutaka kujuwa kunani.

Kila mmoja akashtuka baada kushuhudia mwili wa Jackson ukiwa unavuja damu kwa wingi ikabidi achukuliwe na kuwahishwa hospitali,

Vivian akiwa chumbani kwake akasikia mlango ukibishwa hodi

Akaenda kufunguwa kwanza hakuweza kuamini baada kumuona kipenzi chake .

Hafidhi amekuja akamkumbatia kwa furaha na kuanza kunyonyana denda,

,,,,aaaah,,aaaah,,,,mmmmh,,,,a

aaaaiishhhiiiiiii,,,aaaaaaiiiiiiiiiiiii,,,,,,

Vivian akaanza kutowa miguno baada Hafidhi kuipekenyuwa chupi ghafla Vivian akashtuka na kumsukumiza mpenzi wake pembeni

“vipi mpenzi mbona unanisukumiza?”

Hafidhi akauliza hivyo huku akimsogelea.

“please ishia hapo hapo wewe sio

Hafidhi ninaemjuwa mimi sio wewe tokaa

Kitendo bila kuchelewa

Hafidhi akajikuta anapigwa teke kwa nyuma akayumba kwa kupepesuka kugeuka

Hafidhi mwingine yupo mlangoni hakika Vivian hakuweza kuamini na kujikuta akipoteza fahamu,

Baada bibiye kuanguka chini na kupoteza fahamu kila mmoja akamtazama mwenzie na kuulizana wewe

nani. Hakika walikuwa wamefanana kila kitu, kuanzia sura umbo rangi na mavazi yao. Ilikuwa vigumu

kuweza kufahamu ni yupi Hafidhi original. Yule ambaye ndio alikuwa wakwanza kufika na kukumbatiwa

na bibiye Vivian kisha akasukumizwa akatoka mbio kwa kupitia dirishani, Hafidhi aliyebaki hakutaka

kufanya hivyo akamtizama bibiye pale chini, na kwenda kumbeba kisha akatoka nae nnje ilikuwa ni

kitendo cha haraka kumuwaisha hospitali.kwa bahati nzuri aliweza kupokelewa baada hapo akampigia

simu bibiye Mariam na kumuomba afike haraka sana katika hospitali ya Magomeni, Mwanaume akabaki

kukuna kichwa hakuweza kutulia kabisa yani alitembea huku na kule kwenye korido hiyo ya hospitali,

dakika si nyingi Mariam nae akafika kwanza wakakumbatiana “vipi tena baby kitu gani kimetokea?’’

Mariam akauliza kwa shahuku ya kutaka kujuwa, “sijui hata nisemeje maana dahaa nilimkuta kalala chini

hajitambui kabisa sijui nini kimemtokea aisee!

“kwani Daktari amesemaje?’’

“bado sijaweza kupata majibu yeyote yale kwakifupi hapa nilipo nimechanganyikiwa si kidogo, “basi pole

my dear cha umuhimu tuombe duwa Vivian aweze kupona’’ baada Mariam kusema vile maneno yenye

kutia faraja basi wakakaa kwenye benchi wakiongea hili na lile ndipo mlango wa wodi aliyofikishwa

bibiye ukafunguliwa kila mmoja akasimama na kwenda mbio waweze kufahamu kuhusu hali ya mgonjwa

wao, Daktari akatoka ndani ya chumba hicho huku akiweka miwani yake sawa, “vipi Daktari hali ya

mgonjwa wetu inaendeleaje?’’ Mariam alikuwa wa kwanza kuuliza swali, Daktari akatabasamu na

kusema “nifateni ofisini’’ basi wakaongozana mpaka ndani ya ofisi moja hivi wakaingia humo na

kukaribishwa kwenye vit.

Daktari kwa uso wenye kujawa na bashasha akawatizama kwa zamu na kuwauliza “nyinyi mna uhusiano

gani gani na mgonjwa?’’ Hafidhi akajibu kwa kusema “mimi ni mumewe huyu ni dada yake’’ “ok! Vizuri

sana sasa naweza kuwaambia kitu kimoja kuwa mgonjwa wenu yuko salama sema kuna tatizo moja

limeweza kujitokeza ndani ya mwili wake’’,,,

“Daktari tatizo gani tena,

Hafidhi akashikwa na kitete kijasho kikamtoka,

“kijana kwanza punguza jaziba tulia kwenye kiti niweze kukwambia nini tatizo”

Basi Hafidhi akarudi kukaa kwenye kiti maana alikuwa kasimama,

“naweza kukwambia yakwamba mkeo kipenzi amepoteza kumbukumbu zake zote,

“what? Unataka kusema hawezi kukumbuka chochote kuhusu maisha yake ya nyuma,

Mariam nae akauliza akiwa kama vile hajaweza kusikia chochote,

“ndio maana yake cha kushukuru

Yeye ni mzima mwanae kiumbe kilichopo tumboni kinaendelea salama,

Ninachowaomba mjitahidi kuwa karibu nae kwa kumkumbusha hiki na kile

Huwenda akarudisha kumbukumbu zake kidogo kidogo”

“Sawa Daktari tumeweza kukuelewa kila kitu vipi kuhusu malipo na je tunaweza kuondoka na mgonjwa wetu kwa wakati huu?”

“kuhusu malipo inaitajika shilling elfu ishillini tu mgonjwa hali yake bado haijatengemaa kivile itabidi abaki hapa kama wiki moja hivi akipatiwa huduma za hapa na pale,

Hafidhi akapiga mahesabu kichwani kwake na kuona kama akifanya uzembe kile kiumbe kitakuja tena,

Akajisemea moyoni mwake

wacha iwe habari akamshika mkono bibiye Mariam na kumnong’oneza kitu,

Kisha akaondoka kwa kasi baada kutoka nnje ya hospitali hiyo, akaingia ndani ya daladala inayokwenda Mbagala

hakika alikuwa na mawazo mengi sana kichwa kilimuuma,

“oyaa wee boya acha kuniegemea,

ilikuwa kauli ya jamaa fulani akimwambia

Hafidhi ambaye alikuwa anasinzia.

Hafidhi hakuweza kushituka jamaa akachukuwa hatua ya kumpiga kibao cha kichwa

“wee Malaya husikii nimekwambia usiniegemee kitu pahaa

Mpaka akayumba na kujigonga kwenye chuma cha gari

Akili ilikuwa haijakaa sawa kabisa

hakutaka kujiuliza sana nae akamfumua zinga kofi yule jamaa akayumba na kwenda kujigonga kwenye kioo cha gari

Kioo kikavunjika,

Dereva akasimamisha gari

yeye na konda wake walishikwa na ghadhabu baada kioo kuvunjwa, konda akamkunja

Hafidhi na kumvuta kwa nnje,

Hafidhi hakutaka kutoka ndani ya gari

Baada kuona konda anazidi kumvuta kama haitoshi akapigwa makofi

ya haraka haraka

Wakati yule aliyebamizwa mpaka akavunja kioo akiwa kashikwa na Dereva kule nnje.

Abilia wakaanza kushangilia

“ndio mchomoe nnje huyoo bwege tu,

Ghafla wakashtuka na kutulia kimya baada konda kufumuliwa ngumi sijui teke

Akaonekana akitupwa kupitia dirishani akatuwa nnje utasema mzigo wa kuni

Uso hautamaniki baada kuchanwa

Chanwa na vioo, dereva nae hakutaka kujiuliza akaitaji kuingia ndani ya gari.

Ile kufika tu mlangoni

Mwanaume akaruka kutoka kwenye gari utasema anaingia kwenye swimming pool

Mateke mawili double yakatuwa kifuani kwa

Dereva akatupwa kule,

Kisha Mwanaume akaibuka kwa nnje

si kuna baadhi ya abilia wakataka kujifanya kujuwa, kila aliyejalibu kumshika au kumsogelea

Wakaishia kupigwa teknik za maana

kuna jamaa mmoja alishikwa kisha kichwa chake kubamizwa kwenye

Bati sehemu ya mlango,

hakika ilikuwa balaa mpaka polisi wanafika maeneo hayo yeye kapotea kitambo

sijui kaelekea wapi na kuacha majeruhi.

Hafidhi kusema kweli hakuwa sawa kabisa,

“Tausi”…

“abee” “unamuona yule kaka anaekuja”

“yupi?”

“si yule mkaka mwenye T-shirt nyekundu,

“ahaa kumbe yule nimemuona”

“basi mara ya mwisho nilimuona akimsuka

Marehemu Jackson”…

“sasa kumsuka tu ndio unataka kumuhusisha na mauwaji au?”

“sio kama nataka kumuhusisha na mauwaji nimekwambia tu yule mkaka anajuwa kusuka balaa”..

Nyumbani kwa kina Jackson kulikuwa na msiba kijana wawatu kipenzi cha watu, Jackson alikuwa kapoteza maisha

Watu walilia wengine wakabaki kusikitika na kujiuliza hao wauwaji wametokea wapi.

Maana vijana wote wakitaa kile ni masela wake.

Hafidhi nae akajumuika kwenye msiba huo akaweza kutowa rambirambi zake na kujisemea moyoni mwake.

“nenda ndugu yangu nenda hakika kwahili

Nitakulipia, basi mziki ukaekwa kama ujuavyo misiba ya Kikristo

Watu walikunywa pombe na kusikiliza nyimbo za maombolezo, Yani kwaya, ndani ya

Usiku huo mwanaume akatoka na kwenda sehemu moja hivi

Ndani ya clab

Kulikuwa na zinga la part watu wakipari na kuchizika yote ni kupoteza stress,

Hafidhi akaingia na kwenda kukaa pembezoni kabisa na mlango wa kuelekea chooni,

“mambo vipi?”

Kuna binti mrembo wa haja yani kimuonekano tu unaweza kusema huyu ndio mshindi wa

Mashindano ya warembo duniani.

Sura yake ya duwara iliyopendezeshwa na macho yake makubwa kidogo puwa iliyochongoka kama vile msomari

Midomo mipana yani ongea yake utasema ni mvivu wa kuongea.

Kumbe walaa kifua chake kilichobeba vichuguu viwili viliweza kuchomoza vyema kwenye kitop chake.

Wakati kiuno utasema sijui nini

Binafsi alikuwa na kila sifa ya kuitwa miss dunia.

Ndio aliyemtolea salamu

Hafidhi, kwanza akamtizama yule binti juu chini pasipo kuitikia,

“samahani kaka yangu nilikuwa nakusalimia tu kama hautojali wacha mi niende”

Bibiye akaongea hivyo na kugeuza kurudi alipotoka,

Hafidhi akabaki kutabasamu tu, na kumsindikiza kwa macho

Binti yule mwenye mwendo kama twiga chini alikuwa kavaa sketi iliyo muishia

Mapajani, viatu vya mchuchumio yani kila hatuwa aipigayo vinatowa mlio fulani wenye kupendeza.

“vipi Mona Risa yule mkaka umeongea nae chochote?”

“hapana hakuweza kuitikia hata salamu yangu ndio kwanza kaninyamazia kimya, nikaona isiwe shida wacha niondoke asije akaniona

Malaya bure”

“duhuu yani shost!

Na urembo wote uliokuwa nao jamaa hakuitikia salamu kweli?”

“ndio hakuitikia,

Wakati wanaongea ghafla kuna washikaji wakaingia ndani ya ukumbi huo mmoja wapo alikuwa

Steven kama unamkumbuka ndio aliyemuuwa Yusra na mke wa Raisi,

“oyaa kaka Steven cheki totozi zile”..

Steven akatizama sehemu anayo

Onyeshewa hizo totozi na kusema

“ndio kaka nimeziona sema kama ujuavyo hiyo sio Starehe yangu

Kama vipi wee nenda tu”..

Basi wakagongesheana mikono na kujigawanya, jamaa kufika tu akamshika bibiye kiunoni,

“wee mkaka nini jamani embu niache”..

Mona Risa akahitaji kujitowa mikononi mwa yule kijana.

Sema jamaa alikuwa kamganda kama ruba,

“tulia bibiye tambuwa hapa upo kwenye mikono salama,

Ghafla jamaa kabla hajaongea sana kwa kujinadi akapigwa kifuti cha shavuni akayumba na kwenda chini

Aliyefanya kitendo hiko alikuwa mwenzake

Mona Risa, jamaa akainuka na kumuona binti mwingine kamsimamia mbele.

“nani kanipiga? Nauliza nani anatafuta matatizo?”

Kusema kweli ndani ya ukumbi huo sauti ya mziki ilikuwa kubwa sana kama sauti ya jamaa haikuweza kusikika kwa yeyote ilikuwa kama vile kanong’ona tu.

Jamaa baada kuona kila mtu yuko bize hakuna wakumjibu, akamsogelea yule binti

Aliyesimama mbele yake

“wee Malaya embu nipishe”

Akafanya kama kumuweka pembeni hivi kitendo bila kuchelewa vifuti na viwiko

vya harakaraka vikaanza kutuwa mwilini mwa jamaa

Hakika binti alikuwa akipiga style za Montai kutoka kule nchini Thailand utasema kazaliwa nazo.

Jamaa hakuweza kuhimili kipigo kile na kujikuta akitupwa kulee

Akaenda kudondokea kwenye meza.

Watu ukumbini wakashituka kumbe kuna ugomvi ahaa,

Wenzake na jamaa wakaja mbio na kumshika mwenzao

“Dick kuna nini kimekutokea?”

Ndio kauli aliyoulizwa yule jamaa akiwa chini hajiwezi hata kunyanyuka utasema mlevi wa chang’aa, akabaki kuonyeshea kidole

kisha akawa kimyaa,

“yani wewe binti ndio umempiga huyu

yani hujitakii mema kabisa, subiri tukufunze adabu japokuwa nyie ndio Mama zetu Dada zetu Shangazi zetu na Bibi zetu Wake zetu

sema kwahili haina jinsi tunakuchapa tu,

si akasogea mmoja wao na kufanya kumpiga kibao cha shavuni,

Binti akarudi nyuma kwa kukwepa huku akiruka juu kidogo na kumkita kifuti cha kifua yule jamaa

akayumba na kucheuwa damu,

wakaona isiwe shida kumbe binti anajifanya kujuwa wacha wamchangie wakaenda kumvamia kwa pamoja

hakika bibiye alikuwa fiti maana aliweza kuwatandika wote ndani ya dakika saba hakuna aliyeweza kuamka,

wakati yote yakifanyika

Steven alikuwa yupo kwenye chumba kimoja hivi akiongea biashara hakuweza kutambuwa kama huku nnje kimenuka kwa upande wa wenzake,

Hafidhi aliweza kushuhudia mwanzo mwisho na kuishia kutabasamu tu,

Steven nae ndio anatoka kwanza akabaki kushangaa na kwenda kumshika yule ambaye alikuwa akiugulia maumivu pale chini,

“Seif kitu gani kimetokea ndugu nani katenda haya?”

Basi kijana Seif akanyoosha kidole kumuonyeshea yule

binti kwanza Steven akatabasamu na kumfata bibiye

“wewe ndio umetenda vile?”

Wewe ndio umewapiga ndugu zangu? Nijibu mbona uko kimya”…

Steven akang’aka kwa sauti kubwa yenye kuchanganyika na hasira fulani sema maswali yake

yakajibiwa kwa kupigwa teke na kurudishwa nyuma kwa kuyumba,

Kwanza akacheka na kujifuta ile sehemu kwa dharau kisha akasema

“mtoto akililia wembe mpe achezee ukimkata ndio atajuwa basi akaja kwa speed

Na kuzunguka utasema kafungwa kamba ndio anavilingishwa kumbe ni moja

kati ya style

Binti akajikuta anakumbwa kwa kupigwa mateke ya haraka akarushwa na kwenda kudondokea Kaunta

Chupa na glass za vinywaji pengele

sema bibiye akainuka na kuitaji kujibu mapigo mbele ya Steven kijana mwenye dharau hakuweza kufuwa dafu alipiga style zake za Montai ndio kwanza

Mwanaume alizitowa kwa dharau na kumpiga ngumi za mbavu,

Binti akadebweda ghafla akaingia binti mwingine ambaye ni Mona Risa

Steven akatupwa kule baada tiknik za ajabu kutuwa usoni mwake.

Hakika kilikuwa ni kitendo cha ghafla sana kwa yeye kufanyiwa vile, akiwa bado kalala chini Mwanaume

akachumpa na kusimama juu kisha akacheka kwa dharau. Wakati mapigano yakiendelea huku ukumbini

kwa wakati huo Hafidhi alikuwa ameingia kwenye kile chumba ambacho kijana Steven alitoka “wee nani

umefata nini ndani ya chumba changu?’’ Aliuliza swali mzee wa makamo hivi, dakika chache zilizopita

alikuwa akizungumza na Steven, “tulia hivyohivyo nyau mweusi wee ukisema uneng’eneke nitakata

kichwa chako, sasa naitaji uniambie wenzako wameenda wapi?’’

“Shatapu wacha kunitisha wee mtoto wa kahaba mzoefu, hivi unatambuwa kama mama yako nilikuwa

nashika makalio yake na kuyafinyaaa ghaaa Mzee akashindwa kuendelea kuongea baada jambia kupita

shingoni mwake damu zikamchruzika kwa wingi na kudondokea kwenye meza.

“shenzi zako yani umtusi mama yangu kiboya hivi sasa wape salamu zao kuzimu, Mwanaume akaongea

hivyo huku akilifuta damu lile jambia kwenye suti ya Mzee kisha akabeba brifcasi na kutoka zake kama

vile sio yeye wakati huku ukumbini kulikuwa kumenoga balaa yani ilikuwa piga nikupige baina ya Steven

na bibiye Mona Risa watu wakabaki kushangilia tu, kusema kweli bibiye alikuwa yuko fiti si mchezo

Steven kijasho kilimtoka na kujiambia kapata mpizani wa kweli ilibidi Steven atumie ujanja fulani baada

kujisachi mfukoni na kutowa kichupa kidogo wakati bibiye Mona Risa kakunja ngumi akashitukia vitu

kama chembechembe za unga hivi vikituwa machoni kwake, sekunde si nyingi akapoteza uwezo wa

kuona Steven akaitumia nafasi hiyo kumpiga kama kawaida yake jamaa akizidiwa anakuwa na hasira

akakishika kichwa cha bibiye na kutaka kumnyonga kabla ya kufanya hivyo kuna Mwanaume wa shoka

akaja kuokowa jahazi kwa kuruka teknik ya maana yani kile kishindo cha mateke kutuwa kifuani kwake

kilimfanya Steven atupwe mbali na pale akaitaji kunyanyuka akashindwa na kuishia kujishika sehemu ya

moyo, na kucheuwa damu Mona Risa akaweza kufumbuwa macho baada kumwagiwa maji usoni si

akachenji kwa kutaka kupigana na Hafidhi pasipo kutambuwa ndio aliyeweza kumpatia msaada,

mwenzake akawai kumshika kwa kumwambia

“Mona embu tulia huyu mkaka ndio kakusaidia’’ Hafidhi hakutaka kuongea sana akalifata brifcase lake

na kuondoka zake, “Suzan mbona bosi hapokei simu?’’ mmoja kati ya wahudumu alimuuliza mwenzake

“kama vipi nenda kamtizame maana huku kushavurugika mwambie aje ajionee hali harisi’’ basi Suzan

akatoka na kuelekea chumbani kwa bosi wake, akabisha hodi baada kufika mlangoni hapo, sema kukawa

kimya hakuweza kuitikiwa richa ya kupaza sauti kuita akabaki kujiuliza sijui huyu bwege atakuwa yupo

na malaya gani kudadeki zake asitake kunifanya mimi kama mtoto mdogo. Si kaniambia mimi ndio wa

pekee juu yake. Baada bibiye kufikilia hivyo akakishika kitasa cha mlango na kugunduwa mlango upo

wazi akausukuma na kuingia ndani kitendo cha kuingia tu ghafla akajikuta akipiga mueleka wa nguvu na

kudondoka chini, baada kukanyaga dimbwi la damu pasipo yeye mwenyewe kuona .

Akapiga kelele zenye kuchanganyika na kitete mtoto wakike alipagawa si kidogo kelele zake ziliwafanya

watu wakimbilie chumbani mule.

Kila mmoja akabaki mdomo wazi baada kugunduwa bosi wa Clab hiyo kashauwawa kwa kuchinjwa polisi

wakafika na kufanya uchunguzi wao kisha mwili ukabebwa Steven hakuweza kuamini baada kuona Bosi

aliyeweza kumpa kazi kauwawa kinyama namna ile akavuta kumbukumbu zake na kumkumbuka yule

kijana aliyemtandika mateke kisha akaondoka akiwa kabeba brifcase ndani ya Clab kila mtu akaambiwa,

Hakukuwa na jinsi watu wakatoka

Clab ikafungwa kwa kuwekwa utepe mwekundu huku polisi

Wakichukuwa maelezo kwa baadhi ya watu,

Bibiye Mona Risa kwenye mawazo yake

aliweza kutambuwa wauwaji ni kile kikundi kilichoanzisha fujo ndani ya ukumbi ule,

Wakati Steven akimkumbuka vyema

Hafidhi basi akaitowa simu yake na kumpigia sijui nani akasikika akisema

“ehee! Ndio mwenyewe, hapana babu siwezi kumfananisha atakuwa ndio yeye,

Itakuwa Makata hakumuuwa bwana,

Ndani ya usiku huu kamuuwa bosi wangu”…

Steven aliongea kwa pupa akiwa ndani ya gari,

Wakati wakikata mitaa kumbe nyuma yao kuna pikipiki ikiwafatilia pasipo wao kutambuwa”..



Mariam hakuweza kuamini aiseee si kaambiwa Hafidhi yupo nyumbani kwake akifanya mauwaji inakuwaje tena akutane nae pale mlangoni, akabaki kutumbuwa macho kama vile mpiga chabo, akashituliwa na sauti ya Hafidhi ikimuuliza “Vipi baby mbona hivyo? Kuna tatizo au?’’ Mariam akabaki kimya tu ndipo simu yake ikaita tena kabla ya kuipokea Hafidhi akawai kumpola na kuipokea yeye maana kupitia macho ya bibiye aliweza kumsoma kila kitu, “Dada wahi shemeji ndio anavunja mlango huku please ndio nakufa mimi,’’ Mwanaume baada kuisikia sauti ile hakutaka kujiuliza sana akatoka mbio huku akimwambia Mariam “baby nifate,’’ Wakaingia ndani ya gari hiyo speed waliondoka nayo hapo utasema wapo kwenye mashindano ya olimpiki, “unajuwa mpaka sasa baby sielewi chochote inakuwaje Othman aseme ni wewe ndio umekuja nyumbani kwangu kufanya mauwaji?’’ “Baby tulia usiwe na presha tambuwa kitu kimoja ndani ya dunia hii kuna Copy na Past sasa kuna maboya fulani wanatafuta kiki kupitia mimi subiri tufike na uwone huyo Hafidhi j Ikram feki namnyonya mavi. Maana hadi facebook utakuta wanatumia hili jina la kipekee’’ wakati huo ndio wanaingia maeneo ya Sinza afrika sana, Mwanaume akakunja kulia kama unaenda makaburini kufika maeneo ya msikitini akakunja kushoto na kufunga bleaki mbele ya nyumba moja hivi kubwa yenye geti jeusi. Mariam akaitowa bastola yake na kushuka ndani ya gari akaanza kuambaa na ukuta akachuchumalia kuangalia kwa ndani akashtuka baada kushuhudia mtu kama kipenzi chake akimburuza mdogo wake kumtowa ndani na kumleta nnje, hakutaka kujiuliza sana akachumpa na kuruka juu ya ukuta akatuwa kwa kishindo “wee mshenzi naomba umuache haraka sana mdogo wangu, lasivyo nitakumwaga ubongo pumbavu zako’’,,, Mariam aliongea kwa hasira huku silaha yake akiwa kaishika vyema yani hakutaka kupepesa hata jicho, “ahaa baby mbona unakuwa mkali hivyo mimi nimekuja kuwasalimia tu’’ “Nyamaza wee nyau mweusi umekuja kuwasalimia ndio ufanye mauwaji sasa basi leo hutoki jino moja na utajitaja wewe ni nani mpaka ulitumie umbo langu ndivyo sivyo’’ ilikuwa kauli ya Hafidhi kile kiumbe kikaanza kucheka yani akacheka sana ghafla akaacha kucheka baada kitu chamoto kupenya mdomoni mwake kwanza akayumba na kurushwa mbali na pale alikuwa bibiye Mariam alifyatuwa risasi basi wakajuwa kiumbe yule ndio mwisho wake kumbe ilikuwa kama wamechokoza nyuki sema mbele ya Hafidhi anawasha moto , kiumbe si kikanyanyuka Mariam na Othman wakabaki kushangaa, inawezekana vipi mtu apigwe Risasi ya mdomo kisha awe mzima tena anacheka huyu bila shaka ni Jini, Mariam akaona isiwe shida akaanza kummiminia risasi nyingi nyingi zisizokuwa na idadi kiumbe kilianza kushekisheki utasema marehemu Michael Jackson au Zombie ghafla Risasi zikaisha kiumbe bado mzima akaja kwa kasi na kuwakumba utasema upepo wa kimbunga vile, wote wakarushwa kule na kwenda kujibamiza kwenye ukuta “kha!kha!kha! Nyie ni kama kuku wenye mdondo nawatafuna tu, ndio kauli aliyoitowa yule kiumbe “Baby mchukuwe Othmani nendeni ndani fanyeni haraka!!! Hafidhi akaongea kwa hasira nao wakaona ehee subili tuingie ndani sie mzee mkubwa anataka kufanya yake wakaingia ndani na kufunga mlango wakati yule kiumbe akiendelea kujinadi akashtukia vitu kama nyembe zikimtambaa mwilini mwake zikiambatana na maumivu makali sekunde si nyingi kichwa hana mikono ikaenda chini miguu nayo chali yani Mwanaume utasema mashine ya kukobowa kafanya yake faster hakuna cha kicheko wala heko, baada Hafidhi kumgawanyisha viungo yule kiumbe, kuna kitu akatowa mfukoni mwake kitu kama unga hivi na kumiminia vile viungo vya yule kiumbe mwili ukaanza kupotea kama vile kamwagiwa Asidi ile sehemu kukabaki kweupe “upo chini ya ulinzi hapohapo ulipo usitake kufanya ujanja wa aina yeyote ile’’ ilikuwa ni amri kutoka kwa Afande mmoja sijui wamekuja saa ngapi na kufika hapo maana hata ving’ora vya magari yao havikusikika< kabla ya kugeuka kuwatizama hao maafande Mwanaume akatabasamu na kupotea yani ilikuwa kitendo cha kufumba na kufumbuwa mtu hayupo mbele yao polisi wakadata si kidogo wakati Mariam akibaki kucheka maana Hafidhi ni nyoko, “Aisee Mwita huyu kiumbe sio wa kumuweka chini ya ulinzi huyu dawa yake ni kumtwanga Risasi tu’’ “kumbuka muheshimiwa anamtaka akiwa mzima si vinginevyo, kingine tambuwa ni mtoto wanani huyu kama ujitaki wewe na familia yako mchape hiyo Risasi tuone nini kitatokea’’ Basi miili ya marehemu ikachukuliwa na kwenda kuhifadhiwa katika hospitali ya taifa muhimbili mshukiwa wa mauwaji hayo ni Hafidhi sema Othman akapinga vikali kwa kusema muuwaji sio Hafidhi ni kiiumbe ambaye alikuja akiwa na sura ya Hafidhi na kufanya mauwaji hayo wakati ikiwa zamu yake kuuwawa ghafla Hafidhi mwenyewe akatokea na kumpatia msaada, kwahiyo Hafidhi si mtu mbaya kinacho tokea ni kuwaangamiza watu wabaya tu, “vizuri sana kijana kwa kutowa kauli kama hiyo hakika mwanangu sio muuwaji anachokifanya ni kuwatokomeza maharamia walioko ndani ya nchi hii ya amani’’ Mzee J Ikram akaongea hivyo huku akitabasamu, basi taarifa zikasambaa hafidhi si mtu mbaya kabisa, wengi wakabaki na maswali yasiokuwa na kichwa wala miguu “kama yeye si kiumbe mbaya wale polisi kawauwa kwa kosa gani hasa mbona anatuachia fumbo zito kuhusu watu hawa anao wauwa kwanini asiwaanike sheria iweze kuwachukulia hatua stahiki. Muheshimiwa Rais aliwaza hivyo akiwa chumbani kwake ndani ya Ikulu ghafla akashtuka baada kuona kama kuimbe kimemsimamia mbele yake, akataka kubonyeza sijui king’ora sema akakatazwa kufanya hivyo, “tafadhali muheshimiwa usifanye hivyo ni mimi kijana wako Hafidhi niliweza kupata ujumbe unanihitaji nimekuja sasa sihitaji kumuumiza mtu yeyote ndani ya kasri lako’’ Muheshimiwa Rais hakuweza kuamini ikambidi awashe taa maana ilikuwa usiku akabaki kumtizama na kuuliza “kijana ni wewe?’’ “ndio ni mimi’’ basi Raisi akainuka na kumkumbatia pasipo kuhofia chochote akaenda kwenye jokofu na kutowa box la juice akamimina.

“Yani na uheshimiwa wangu wote leo hii siamini kama nimeweza kukuona mtu kama wewe”….

Muheshimiwa akaongea hivyo huku akikaa vizuri kwenye kiti,

“hapana usiseme hivyo Muheshimiwa nimekuja hapa kwa kazi moja tu kukukabidhi baadhi ya Document uweze kuzipitia ikiwezeka uzifanyie kazi”,,,,

“Sawa kijana sema kabla ya kunikabidhi hizo

Document je unaweza kuniambia kwanini unauwa kitu gani kinapelekea wewe kufanya yote haya?”

Hafidhi akafikilia na kusema

“ndio kuna mengi naweza kukwambia sema nitaongea nawe kwa machache tu kisha nikupe hizi karatasi”

Labda nianze kwakusema

(DUNIA NI TAMBARA BOVU WALIOSEMA MSEMO HUU HAWAKUKOSEA HAKIKA WALIKUWA WAPO SAHIHI KABISA. MUHESHIMIWA KUNA WATU WANAISHI MAISHA MAZURI YENYE AMANI NA FURAHA WANA MAGARI NA MAJUMBA ACCOUNT ZAO BANK ZIKISOMA WANA MAMILION YA PESA

KUMBE MIONGONI MWAO, NI WAUWAJI WAKUBWA WANAJIFANYA KUFADHILI VITUO VYA KULELEA YATIMA KUMBE WANAWAUZA NNJE YA NCHI VIUNGO VYA WATOTO WASIOKUWA NA HATIA VINAUZWA PASIPO WATU KUTAMBUWA CHOCHOTE.

KUNA ORODHA NDEFU SANA TENA WANAFANYA MAMBO MENGI YA KISHENZI MIONGONI MWAO NI MAWAZIRI WAKO WAFANYA BIASHARA WAKUBWA TU”)

Baada Hafidhi kuongea machache akamkabidhi Raisi zile Document na kuitaji kuondoka,

“kijana naitaji kufahamu mengi sana juu yako, sema kwakuwa umeamuwa kuondoka subiri nikusindikize ili

Walinzi wasiweze kukusumbuwa”..

.

“Hapana Muheshimiwa wacha mimi niende ukinihitaji siku nyingine nitakuja kuhusu Walinzi hawatoweza kuniona”..

“Sawa kijana wangu nakutakia kila la kheri kwenye safari yako pia nakupa idhini fanya kazi usiogope chochote”

Mwanaume akatoka na kuambaa na korido kisha akapotea,

Muheshimiwa hakuweza kuamini kabisa kama kijana ataweza kuondoka salama, ikabidi

Atoke kumuangalia

“vipi muheshimiwa kuna tatizo lolote?”

Ni sauti kutoka kwa mlinzi wake akimuuliza.

Nae akatikisa kichwa kukataa hakuna tatizo, akarudi zake ndani,

Kesho yake kuna kikao cha dharula muheshimiwa akaitisha hakika kilikuwa kikao cha ghafla waandishi wa habari wakaitwa kisha Muheshimiwa Raisi akaanza kuongea.

Siku nyingine tena Mariam alipoenda kumtizama Vivian, mambo yakawa ndio yaleyale.

“Wee nani kwani mi sitaki uchokozi wako bwana!!! Alikuwa bibiye Vivian akimwambia shogaake Mariam kusema kweli ameweza kupoteza kumbukumbu mpaka anamuuliza mwenzake kila akimuona kaja hospitali wee nani’’,,, “mimi ni shost wako kwani , kwani hunikumbuki?’’

“ndio sikukumbuki kwanza naomba utoke mbele yangu kabla sijakuitia kelele za mwizi, jamani mwizi!!! Vivian akaanza kupiga kelele za kuita mwizi, ikabidi Mariam awai kumziba mdomo lakini akamng’ata na kujikuta akimuachia na Hafidhi nae ndio anaingia akiwa kabeba mifuko kama miwili sijui ndani yake kunani.

Vivian akainuka kutoka kitandani mbio na kwenda kumkumbatia Hafidhi huku akiita baba, “Baba yule anataka kuniibia pipi yangu’’ kwakifupi bibiye alikuwa kama chizi kichaa taira, “hivi Daktari si umesema kapoteza kumbukumbu zake tu, sasa mbona anaonekana kama chizi?’’ Hafidhi akamuuliza Daktari, “hiyo ndio hali harisi kijana mkeo kapoteza kumbukumbu na kuwa kama mtu aliyechanganyikiwa fulani hivi kumbuka kama nilivyoweza kukwambia kuanzia sasa anahitajika kuwa chini ya uwangalizi mkubwa sana mpaka pale atakapoweza kurudisha kumbukumbu zake vyema’’ hatimae wiki moja ikaweza kupita huku mauwaji yakizidi kuongezeka leo huyu kesho yule ni vifo vilivyo wakumba zaidi watu matajiri na watu kutoka serikalini.

“kudadeki pumbavu, nyambafu kabisa haiwezekani hili swala lizidi kutokea kila kukicha watu wanazidi kuchinjwa kwani jeshi la polisi wanafanya kazi gani hapa nchini huu ni ujinga wa kupitiliza sasa basi namtaka waziri wa ulinzi na usalama wa taifa wafike hapa mara moja

Muheshimiwa Raisi aliongea maneno yote hayo ilikuwa kama kuzuga tu wakati akifahamu vyema huyo

Muuwaji alikuwa nae usiku wa jana

Akaweza kupanga nae kila kitu,

Hakika muheshimiwa Rais aliongea kwa jazba sana yote ilikuwa kama kuzuga tu, kwani tunafahamu yeye na muuwaji wamekuwa kitu kimoja sema ilikuwa ni mbinu moja wapo ya kuwapoteza maboya mawaziri wake. “Vivian’’ “Abee baba’’ “Mimi sio baba yako ni mpenzi wako bwana’’,, “hapana wewe ni baba yangu siwezi kuwa na mapenzi na wewe!’’ basi Hafidhi akachoka hoi baada kuona bibiye akimwita yeye baba, na wala sio mpenzi tena, “ohoo! Shit! Mambo gani tena haya, wakati akiwa hapo sebuleni akikuna kichwa kwa kuwaza ghafla kwenye pembe ya ukuta, kuna kitu kama moshi hivi ukaanza kutokea mwishoe kuna kiumbe kikajitokeza na kuanza kucheka “hahaha Hafidhi kijana wangu hutakiwi kuumiza kichwa kutokana na jambo dogo kama hilo, kumbuka Yule kiumbe ni mtoto wa Makata kiumbe ambacho alitaka kukuangamiza wewe sasa Yule mtoto aliweza kumgusa huyo bibiye kwenye korodani za uzazi ndio maana unamuona hivyo. Sasa hapo dawa ni moja tu ufanye nae mapenzi kesho yake asubuhi atakuwa sawa fanya hivyo kijana’’,,, Baada Yule kiumbe kuongea hivyo akapotea na kumuacha Hafidhi akitumbua macho utasema fundi saa kapoteza nati.

“Aisee kumbe kazi yenyewe ni ndogo tu, pasipo kupoteza muda akambeba bibiye na kuingia nae chumbani kelele za Vivian zikaweza kusikika akisema “Baba niache bwana jamani!!! Anataka kunibaka hukuu niachee’’,,, mwishoe kukawa kimya hakuna kilichoweza kusikika tena, Tukija mitaa ya Yombo tunamuona kijana Steven akimpiga mwanadada mmoja hivi, umati wawatu wakajazana kutaka kushuhudia tukio hilo sijui binti wawatu kamkosea nini, yani alikuwa akimpiga na sijui nondo au kitu gani. Maana kila binti akichapwa kitu kinasikika kohoo, “wee niuwe tu Steven tafadhali nisamehe, sirudii tena’’ japokuwa binti alikuwa analia na kuomba msamaha Steven hakutaka kusikia chochote ilikuwa kama kaweka pamba masikioni. Basi kipigo kikaendelea kwa binti Yule mpaka akapoteza maisha umati wawatu wote hakuna hata mmoja aliyethubutu kusogea au kwenda kumtetea hii ndio bongo kila mtu na mambo yake “mmh! Yani kusema kweli Wanaume hawana utu kabisa binti mdogo kama Yule kamkosea kitu gani mpaka anampiga vile jamani’’ kuna mama mmoja aliongea kwa uchungu huku machozi yakimtoka , “yani ndani ya mtaa huu kuna wanaume sketi midudu yao kama nyoka wa kibisa tu wameshindwa kumtetea mototo wakike jamani!’’ Steven baada kuona bibiye yuko kimya akapanda kwenye pikipiki yake na kuondoka wananchi wakabaki kushangaa shangaa tu, wakati muuwaji ndio anaondoka “Janeth mwanangu nilikwambia mimi yule mwanaume si mtu mzuri unaona sasa kilichokutokea, ilikuwa sauti ya mama mmoja akilia bada kufika hapo na kukuta mwili wa mwanae umelala chini hautamaniki kwa kuutizama damu zikimtoka kila maeneo kumbe wakati Steven anaondoka ndugu zake huyo binti ndio wanafika. Wazee wa kuja mwishoni wa tukio nao wakafika , “tokeni nyie Mbwa mlikuwa wapi muda wote wakati mwanangu anapigwa mpaka kuuwawa, tokenii’’,,, mama nae akashikwa sijui na presha akadondoka chini na kuwa kimya, juhudi za kumuwahisha hospitali zikaanza kufanyika haraka haraka.

Taarifa zikatangazwa, kuhusu mauwaji hayo ya kinyama,

“Mmh! Baby unaona jinsi watu wanavyo uwawa.

Hovyo sijui kwanini wanafanya hivi”..

ilikuwa ni kauli kutoka kwa bibiye

Vivian, hakika alikuwa mzima wa hafya baada kitu kuzama na kuweka mambo sawa.

“Kuhusu hili swala wala lisikupe shaka my dear muda si mrefu kila kitu kitakuwa sawa”..

“lakini baby kwanini usiungane nasi yani uchukuwe nafasi ya

Yusra?”

Hafidhi akatabasamu baada kumsikia Vivian akimuomba wajiunge pamoja.

“sasa mbona unacheka hutaki au?”

“hapana baby sicheki kuhusu swala hilo najichekea tu,

Basi mtu na kipenzi chake wakapika na kupakuwa wakala na kwenda bafuni kuoga kisha wakalala,

“Ahaa baby wee kwani huchoki”…assssss,,,ohooooo,,,,hapooo,,,

Ilikuwa sauti yenye kutokea puani kwa bibiye Vivian baada

Mwanaume kuanza kukipekenyuwa kitumbuwa chake kwa kidole,

“Baby kuchaaa,,,,ahaaaaaaa,,,,,asssss,,,,

Hafidhi akiwa juu ya kifua cha Vivian alihakikisha anamkuna vyema ili kama dawa imkae vyema. baada kukipekenyuwa kitumbua vizuri na kuliingiza dudu lake Ni kama alikuwa kwenye mashindano ya usuguaji alipampu juu chini huku akikitafuta kipele G sport ambacho ndio kinampa Mwanamke raha utamu,aaaaaaaaa­aaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiii­iiisssssssssssssssss,,,,uuuuuuuuuwuuuuuu­uuu,,,,alilalamika Vivian huku akizungusha kiuno chake ambapo ya wakati huo ilikuwa big mechi au final ya wasuguanaji hodari, kila mmoja

alizunguka kitandani hapo kwa kukigeuza kiuno chake huku akimsugua kwa kuzungusha kiuno chake pia kilichokuwa kinatafuta kipele G-sport cha bibiye,aaaaaaaaaaaaaah,,,“baby una kitumbua kitamuuuuu”

Aliongea hivyo huku akizidi kupampu kwa kasi ndani nnje ndani,akaona mtindo huo hawezi kuipata kipele G-sport akamlaza kifudifudi kabisa na kumbananisha miguu yake,basi matako makubwa ya Vivian yaliyokuwa yametuna yalibaki juu kama macho ya kinyonga.

Mtoto alivyokatika sasa tako lilijitenga vyema na kiuno chake kama nyigu,mapaja yaliyonona yalisindikizwa na miguu mithili ya shampeni ambapo kumwangalia tu ilikuwa ni raha

Hafidhi alilishika dudu lake lililosimama hasa,kisha akamjia kwa juu bibiye aliyebinua matako yake kiuchokozi kabisa,akaitanua miguu yake na kumweka kati Mwanaume akalielekeza dudu lake katikati ya matako hayo yaliyobinuliwa kimakusudi kabisa,alichokifanya bibiye aliipitisha mikono yake miwili mmoja ukashika tako la kulia mkono mwingine ukashika tako la kushoto kisha ukayapenyua,kwa mbali mpododo wake ulionekana mpaka kitumbua,basi alichofanya Hafidhi alilishusha tu dudu lake refu na nene ambalo lilizama kwenye kitumbua lote kwa kuteleza,,,,aaaaaaaa­aaasssssssssssssssss­ssssssssss,,,,,aaaah,,,mtoto alilipokea na yowe laini lililomfanya Mwanaume naye kujibu kwa kuguna kwa sauti nzito ya mahaba

Walionekana kama Hafidhi amemlalia Vivian kwa juu.

Basi mikono ilipita kwenye makwapa na kuyashika mabega yake kisha kufanya kama anamvuta kwa chini, mdomo wake ulishamfikia kwenye lile eneo la shingo kwa chini yake kidogo,ulimi ulikuwa ukimnyonya huku hewa ya puani ikimtekenya na kumfanya apinde kidogo mgongo wake kama mtu anayeogopa kumwagiwa maji ya baridi mgongoni

Ilikuwa ni mwendo wa taratibu dudu baada kuingia na kutoka kwenye kitumbua cha Vivian ambapo kila alipopopampu alimvuta kwa chini kwani mikono yake ilikuwa na nguvu za kutosha, Vivian akiwa amegeuza kichwa pembeni huku mikono yake ikishika shuka kwa kulikunja alianza kuhema kwa nguvu huku akigugumia utamu wa dudu,,aaaaaaaa­aaah,,,yaaaaasssssss­ssssss,,aaaaaauuuyee­eeesssssssssssssss,,,babiiiiiiii,,,aaaaa­aaaaah,,,mwanume unajua kusugua weweeeeeeeee,,,,,aaaaaaah,,,linaingia vizuriiiii,,,nalisikia mpaka tumboniiiiiiii,,,aaaaaah,,utaniua jamaniiiiii,,,mmmmmmh,,,,,alimaliza maneno yote ambapo Hafidhi kwa upande wake hakuongea hata neno moja yeye alihakikisha dudu lake linamkuna kila kona ndani ya kitumbua chake kitamu,,,,,mamamamaa­aaaaaaaaaa,,,,uwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii­iiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,aaaaaaaaaaaah,,,,,hapohapooooooooooo­ooo,,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,, ni kama aliongezewa mwendo alipoambiwa hivyo,ile ile sehemu aliyoigusa ndiyo akaikazania kuisugua huku akizidi kumtekenya mgongoni na ulimi wake mpaka shingoni,,,,aaaaaaaa­aaaaaaaaaaah,,,,,aaa­aaaaaaaaaaaaaassssss­ssssssss,,,,,,mtoto wa watu alilia na kujikuta akimwaga bao lake kwa mara ya kwanza,,utamu ulinoga hasa ambapo Hafidhi alihesabu ni ushindi tu huku moyoni akijisemea kuwa Vivian kainywa dawa vyema.

Alikisugua hasa kipele G-sport chake mpaka akawa anatoa mchozi wa utamu kabisa,,,,niacheeeee,,,,aaaaaaaaaaah,,,,­ms****ngeeeeeee,,,wewee­eeeee,,,aaaah,,,,mam­aamaaaaaa,,,,,aaaaaa­aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,uuhuhuhwuiiiiiiiii­ii,,,,,yeyayayayayayaayaaaaa,,,aaaaaaaaa­aaah,,nyokoooooo,,,mimiiiiiiiiiii,,,aaaa­ah,,,alijikuta akipiga kelele hizo alipokuwa anakojoa bao la pili,,,alipokojoa alitulia kimya ambapo naye Mzee mzima alijizuia asimwage vya kutosha,aliiachia misuli ipitishe uji mtamu ambapo naye aligugumia hasa,,,,oooooooooooo­ooooooooooh,,,,aaaaa­aaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,,,alikuwa akimwaga bao lake ambapo hata nguvu za kutoa dudu amwagie nje maana Bibiye ni mjamzito so sijui haina madhara kwa mtoto au vipi mi sijui yani bao lote alilimwagia ndani na kumlalia Vivian juu ya mgongo.

Wakati mwanaume akiwa bado haja uchomoa mtarimbo wake simu iliyoko mezani ikaita

Hafidhi akaichukuwa pasipo kutizama mpigaji ni nani akaipokea sijui kitu gani alichoweza kukisikia maana akavaa nguo zake na kuondoka pasipo kumuaga Vivian,

Ndani ya usiku huo yapata majira ya kama saa Tisa hivi ndani ya

Mtaa wa Tatu kulikuwa kumevamiwa na kikosi cha kata funuwa kamua mavi,

“oyaa Agogo mshike huyo binti kudadeki zake anataka kuleta ujanja sio,

Alisikika mmoja wa Makamanda wa kikosi hicho, basi binti akashikwa na kufungwa kamba

“jamani kwani sisi tumefanya kosa gani mbona hivyo?”

Ankor wake Hafidhi akauliza swali, sema hakujibiwa chochote zaidi ya kupigwa zinga la kofi.

“Mzee tulia funga bakuri lako”

Ikabidi mzee awe mpole tu maana dahaa

Vijana hawataki utani.

Wakati kina Beatrice na wengineo wakiwa chini ya ulinzi wawatekaji hao

Kumbe bibiye

Salma yuko chooni bila shaka kampigia simu Hafidhi,

Hakika kikosi cha nyonya mavi kata funuwa hawakutaka maskhara kabisa, na wamekuja hapo kwa nia moja tu, kumpata Hafidhi si vinginevyo. “Nyie kenge blue mwenye number ya Hafidhi ampigie kisha mwambieni mmetekwa huku kwakuwa anawapenda bila shaka atakuja tu’’ Ilikuwa kauli ya mmoja kati ya vijana hao, sema hakuna hata mmoja aliye thubutu kuitowa simu yake aweze kumjurisha Hafidhi, “Naona mmekuwa wabishi hamtaki kufanya hivyo sio sasa basi tutawachinja wote nyau weusi nyie’’

Wakati mtaa wa tatu kumenuka tukija sehemu moja hivi kulikuwa na sauti nzito yenye kuogopesha ikisikika sauti yenyewe utasema radi au nini, ilikuwa sauti ya kiiio kutoka kwa kiumbe aitwae Makata, baada kutambuwa kumbe mwanae kipenzi ameuwawa katika mizunguko mizunguko yake ya kumtafuta mwanae akapita maeneo ya Sinza Africa sana na kuweza kushuhudia mwili wa mwanae ukiwa umegawanywa viungo yani kichwa kule miguu huku. Yalihitajika macho ya ziada kuweza kuona mwili wa mtoto huyo maana kwa macho ya kawaida huwezi kuona kitu, basi Makata akashuka kutoka angani na kutuwa chini huku akilia kwa sauti ileile, griiikhoookhaaa!!! Yote ilikuwa sauti ya Makata sauti ambayo iliwaogopesha wakazi wa maeneo hayo, wakati Makata akiwa na machungu moyoni mwake akaanza kunusanusa akatambua ndani ya nyumba hiyo kuna binadamu basi akausogelea mlango na kuanza kuupiga kwa nia ya kutaka kuuvunja. Japokuwa alikuwa na uwezo wa kupitia popote pale pasipo kuvunja chochote kile sema akili zake zikamtuma afanye hivyo, ni kweli ndani ya nyumba hiyo kulikuwa na mtu ambaye ni bibiye Mariam, nae akashtuka kutoka usingizini kutokana na sauti kali ya kiumbe hicho, akabaki kujiuliza “hicho ni kitu gani kwani, akakosa jibu, sauti ya mlango wake kugongwa kwa nguvvu yenye kuambatana na kishindo, ikamfanya aichukuwe Bastola yake kwanza akapiga simu na kuongea maneno machache tu, “tafadhali mpenzi msaada nimevamiwa huku sijui na kitu gani’’ Akakata simu, na kunyanyuka kutoka kitandani hakika kitumbo chake kiliweza kujionyesha vyema, kabla ya kufikiria nini cha kufanya ghafla mlango ukavunjwa na kuingia kiumbe ambaye hakuwai kukiona live katika maisha yake, hata kama alikiona basi kwenye movie tu. Mariam hofu ikamshika akaanza kutetemeka hata silaha yake hakuweza kuishika vyema akabaki kukodowa macho tu aliona kama vile ni ndoto tu, muda si mrefu atakuja kushituka kutoka usingizini hakutaka kuamini kama kile kiumbe kilichopo mbele yake ni Jini si akachukuwa maamuzi ya kumfyatulia risasi yani risasi mfurulizo zikatoka na kwenda kutuwa kifuani kwa Makata ajabu risasi zote zilidunda huku kiumbe kikizidi kumfata.

Mariam akarudi nyuma kwa uwoga. Makata kwanza alikuwa na hasira juu ya kifo cha mwanae na kitendo cha bibiye kumtwanga Risasi ilikuwa kama vile kajipalia makaa ya moto ikaonekana kama yeye ndio kahusika na mauwaji ya mwanae. Bibiye akazidi kubofya targert ya kufyatulia risasi na kuishia kusikika katahaa katahaa!!! Hamna kitu, ile Makata anamkaribia bibiye tu na kuandaa mikucha yake sijui kwa nia ya kutaka kumchinja akashtukia akipigwa mateke ya double kick tena lilikuwa pigo moja takatifu mpaka akayumba na kutupwa nnje , Mariam hakuweza kuamini aisee kidume cha shoka amefika hakuwa mwingine ni Hafidhi mi nilijuwa anaenda kule mtaa wa tatu kumbe kaja huku Sinza. Akageuka kumtizama bibiye na kumuuliza “vipi mama watoto umzima?’’ Mariam akaitikia “ndio baby niko salama’’ “ok! Kama umzima ingia chumbani ukalale nisubiri nakuja sasa hivi. Kumbe ilikuwa sebuleni baada bibiye kushtuka kutoka usingizini akatoka mpaka sebuleni na kukutana na Makata kiumbe hatari sana.

Mwanaume baada kumwambia hivyo bibiye akatoka nnje na kumkuta Makata ndio ananyanyuka akajitikisa kichwa kujiweka sawa binafsi ilikuwa kama vile kapigwa na kontena kichwani “Vizuri sana tena sana kwa kuweza kukutana nawe kwa mara nyingine teena,’’ ilikuwa kauli ya Hafidhi akimwambia Makata, Baada Makata akili yake kukaa sawa na kutambuwa kumbe yule aliyoko mbele yake ni Hafidhi, akaanza kucheka hicho kicheko sasa shida tupu, “kha!kha!kha!.. yani alicheka sijui nini kimemchekesha, Hafidhi akatamka kauli moja tu. “Wee nyau nifate’’,,,kisha akachumpa na kupotelea upande wa pili wa ukuta aliweza kufahamu ndani ya eneo hilo kwa mapambano yao patakuwa hapatoshi basi akakimbia huku Makata akimkimbiza na kujikuta wakitokea, kwenye uwanja mkubwa wa mpira ulioko maeneo ya shule ya msingi Sinza, mwanaume akasimama na kuvuta pumzi nzito kwa ndani. Makata nae akasimama na kubaki kutizamana utasema majogoo yanayo tamaniana kupigana, ghafla bini vuu Hafidhi akafutuka na kuwa kiumbe cha ajabu mfano wa Dragon, kwanza Makata mwenyewe richa ya umbo lake la kutisha akaingiwa na hofu juu ya umbo la Hafidhi akajiuliza “huyu kiumbe gani ? mbona kawa mkubwa wa kutisha hivi, wakati akijiuliza hivyo akajikuta anakumbwa kwa kudakwa shingoni kisha akatikiswa na kutupwa kule damu nyeusi zikaanza kumtoka kwa fujo sehemu ya shingo yake hakuchelewa kujiunganisha na kujipanga kwaajili ya kujibu mapigo wakavamiana na kuanza kuzichapa hakika Makata alizidiwa kila Nyanja na kuamuwa kukimbia akapaa juu, akimuacha Hafidhi akimkodolea macho yeye hakuweza kupaa sauti ikamuuliza kama umeweza kuwa Dragoni unashindwaje kupaa embu jaribu kufanya hivyo si akafanya kutest akaenda juu na kuanza kumfatilia mbaya wake, Katika aKili za Makata alijuwa Hafidhi hatoweza kumfatilia wala nini nae akasahau kama aliweza kuwa kiumbe cha ajabu tena mwenye nguvu kushinda yeye wakati akizidi kusonga mbele akahisi kitu kama upepo ukivuma kutokea nyuma yake wala si mbele tena.

Akageuka kutizama hakuweza kuamini baada kuona kumbe jamaa anamfata, tena akija kwa kasi ya kimbunga mwili mzima ukiwaka moto. Ikambidi Makata azidishe speed,

Tukija huku mtaa wa tatu hali haikuwa hali kabisa kumbe bibiye Salma kampigia simu basha wake ambaye ni Kessy baada Mwanaume kufika akaanza kupambana basi akawekwa mtu kati, kikosi kikamzunguka na kuhitaji kumvamia kwa pamoja, sema Kessy akasimama imara na kujibu mapigo, kabla ya kuzidiwa ujanja na kupigwa na kitu kizito kichwani, hakuweza kutegemea na kujishika kichwani akayumba na kudondoka chini akazimia,

“Sasa huyu bwege tukamle kiboga tumnyonye mavi kudadeki zake yani kanitowa jino mimi mamaye zake’’

“oyaa Sheby embu tulia ndugu kutolewa jino ni moja kati ya ajali kazini so kausha,’’

“wee bwege nini yani unataka nikaushe vipi wakati kanitowa jino huyu mwehu nishakuwa pengo kudadeki embu niache nikamle kiboga’’ binafsi Sheby alikuwa na hasira baada kupigwa ngumi ya mdomo mpaka jino lake moja likang’oka. “wee Sheby unataka kufanya nini embu muache huyo mtu nenda kachukuwe maji usukutuwe hizo damu’’ alikuwa kiongozi wao, basi Sheby akafanya kama alivyo ambiwa japokuwa kwa shingo upande, Kesho yake asubuhi na mapema nyumbani kwa bibiye Mariam Wananchi walijazana na kutaka kushuhudia jinsi geti na mlango ulivyo bomolewa kila mmoja akasema nyumba hiyo ilivamiwa na majambazi maana milio ya risasi iliweza kusikika usiku polisi wakachukuwa maelezo na kuondoka watu nao wakaanza kutawanyika,

Kumbe ile jana usiku baada Makata kukimbia akakimbilia kwenye utawala wao, Hafidhi nae akaingia huko huko kikundi cha Majini wakajipanga kutaka kumdhibiti Hafidhi ajabu kiongozi wao akawaambia “msifanye hivyo tambuweni kitu kimoja Makata katumiwa na binadamu kumchokoza huyu kiumbe sasa basi hii kesi ni yakwake peke yake hakuna kuingilia kaeni pembeni tuangalie mpambano ‘’ Unajuwa mpaka hapo Makata akachoka hoi yani kukimbia kote amekuja huku akitegemea kupata msaada matokeo yake kauli inatolewa hiyo kesi yake peke yake aimalize mwenyewe, kitendo bila kuchelewa Hafidhi akachenji umbo na kuwa kiumbe wa kawaida maana aliweza kufahamu katika umbo la Dragon atamuonea sana kidogo Makata akapumua na kuona kidogo afadhali kitu kingine kilicho mvunja moyo Makata kitendo cha kushangiliwa kwa mpinzani wake utasema yupo kwenye himaya yao. Akachukia si kidogo kumbe tayari Makata hakuwa sawa kisaikorojia na kujikuta akipigwa kama mtoto mdogo sekunde si nyingi akachinjwa damu zikaruka huku na kule Majini wakaanza kugombania nyama ya mwenzao kumbe furaha yote hiyo kutaka nyama,

“Ongera sana kijana kwa kuweza kutuondolea huyu chizi maana alikuwa mbishi asietaka kusikia chochote kile,’’ Hafidhi hakutaka kupoteza muda akaondoka zake, Wakati akikata mitaa kurudi nyumbani kwa Vivian akaitowa simu yake na kuitizama akashtuka baada kukuta sms ya Ankor wake ikimwambia

(HAFIDHI KIJANA WANGU NAKUOMBA KITU KIMOJA IWAPO MTU YEYOTE AKIKUPIGIA SIMU NA KUKWAMBIA HALI YETU KUWA TUMETEKWA NAKUOMBA USIJE KWANI HAWA VIUMBE HAWANA ROHO YA HURUMA HAT…) Kabla ajamalizia kusoma akaiweka mfukoni na kutoka mbio, ilikuwa kitendo cha kufumba na kufumbuwa akai kwapuwa moja kati ya pikipiki ambayo mwenyewe ndio alikuwa anaipaki akapigwa kiwiko na kutupwa kule kisha mwanaume akasepa na mchuma wenzake wakaona wee usitutanie yani uibe bodaboda mchana kweupe tena kijiweni wizi wawapi huo. Wakamuungia sema kufika maeneo ya Magomeni pale njia panda akawapiga chenga ya mwili wakabaki kuzubaa na kuulizia wakashindwa kupata jibu kamili, Mwanaume baada kuwatoka wale madereva bodaboda akaingia maeneo ya Tandale akifanya kama kuzunguka hivi aweze kutokea Mtaa wa Tatu,

“Yani inapendeza sana hii kitu yani kwa ubwege wenu mmeshindwa kumpigia simu huyo shujaa wenu sio embu Peter kusanya simu zao zote kisha kazitie chooni,’’ Jamaa akaanza kuzikusanya simu upepo si ukaanza kuvuma ukiona hivyo tu basi kimbia mapema vinginevyo utakuja kufa kizembe SIKU ZOTE UNAAMBIWA DALILI YA VUA MAWINGU SIJUI MANYUNYU SEMA MWANAUME NDIO KATIA TEAM. AKAANZA SIJUI NA Peter au pira kwa kuwa yeye alikuwa akizikusanya simu, akajikuta akipigwa na kiti cha uso baada Hafidhi kukibetuwa na kukipiga teke. Peter akatupwa kule kuja kutahamaki Mwanaume kawekwa mtu kati yani walitaka kufanya kama ilivyotokea kwa Kessy wakumbuke huyo sio Kessy wala fenesi ni Hafidhi a.k.a mzee wa nyapu.

Mwanaume alikuwa akipiga style ambazo hakuna hapa duniani kwanza unaweza kusema ana macho manne wakati yule mwenye gongo akimvizia kwa nyuma ili amtwange nalo, ile anapiga tu Hafidhi kama vile sumaku inavyo kinasa chuma nae akalidaka hilo gongo na kumkita kichwa kimoja tu jamaa akayumba ndani ya Mtaa wa Tatu shukhuri ilikuwa pevu Kessy nae akajiunga kupambana ikawa kata funuwa sijui nyonya mavi wananyonywa wao maana mziki wa hafidhi ni hatari tupu

“Halloo Mzee ndio mwanao amekuja anatuuwa huku’’ ghafla simu ya kijana Yule ikakatika sauti nzito yenye kuambatana na yowe ikasikika kijana akilia, “ohoo shit! Mama Hafidhi mwanao ananiulia vijana wangu wa kazi huko hivi huyu mtoto yukoje kwani?’’ Mzee J Ikram akaongea hivyo akiambatanisha na swali,

“Lakini mume wangu mambo mengine unajitakia mwenyewe,

Unafahamu fika kuwa mwanao hawezi kushikika hata kwa Supergrou leo unawaagiza watoto wawatu wajipeleke kwenye mdomo wa mamba kweli”….

Wakati mtu na mkewe wakiongea simu ya

Mkewe ikaita akipokea na kusikia sauti ya mwanae kipenzi akisema

“Assalam alaykum ewe mama yangu?”

Kabla hujaitikia salamu yangu naomba umwambie kitu kimoja mumeo

Akaweka loudspeaker kabisa haina cha kumwambia asikie mwenyewe

Mwambie namuheshimu kama Baba si vinginevyo tabia ya kunifatilia ipo siku itakuja kumgharimu maisha yake

Sasa mwambie aje kuokota mizoga ya watu wake

Nishachinja wote atajuwa mwenyewe kama atapika mchuzi au atawabanika hiyo mi sijui”…

“Hafidhi mwanangu kwanini unafanya hivyo ujui kama kuuwa ni dhambi kubwa sana.

Hafidhi achana na hayo mambo

Rudi nyumbani

Simu ikakatwa”……

Baada simu kukatwa Mama yake akajaribu kumpigia sema hakuweza kupatikana, akabaki kusikitika tu. Na kujisemea “sijui nimezaa binadamu au Jini maana mtoto gani asietaka kusikia la muadhini wala mkimu swala. “Mume wangu mtoto ndio tushampoteza huyu embu fikilia kizazi chenyewe ni yeye tu, sijui itakuwaje’’ Hakika mama Hafidhi aliongea kwa hisia huku mchozi ukimtoka, “hapana mke wangu usiongee hivyo tambuwa kitu kimoja mwanetu bado yupo hai na haiwezekani kumpoteza kizembe tumuache aifanye kazi ya serikali (One day) atarudi nyumbani,’’ basi wakakumbatiana kwa maneno ya kujipa faraja tu.

Mzee J Ikram hakutaka kupoteza muda si kaambiwa na mwanae aende kuichukuwa mizoga yake basi akajiandaa kwa safari na kuelekea jijini Dar es salaam, “Sasa bosi hapa zinahitajika kokoto kama debe kumi na cement mifuko mitatu kuhusu mchanga ule pale unafaa kingine nondo zenye sentimita nne’’ alikuwa fundi ujenzi akiongea na bibiye Mariam kuhusu matengenezo ya geti ambalo jana yake usiku lilivunjwa na Makata kiumbe cha ajabu. “Sawa nimekuelewa kwahiyo matengenezo yote haya mpaka yakamilike itakuwa shillingi ngapi?’’

“Ni elfu themanini tu’’ Mariam akafunguwa pochi na kutowa kiasi cha pesa na kumkabidhi huku akimwambia “shika hizi laki moja na nusu nahitaji unifanyie kazi nzuri sio utengeneze legelege yani hata mlevi akipiga teke kavunja,

“Ha!ha!ha! Hapana bibiye mimi nakuwekea kitu hata ije winji kuvuta kitu haking’oki!’’ ghafla simu ya Mariam ikawa inaita akaitowa kwenye kipochi na kuiangalia akaona mpigaji ni Vivian kwanza akajiuliza “Huyu chizi anataka kuongea kitu gani nami kwanza kawezaje kuishika simu na kuijuwa number yangu’’ Akaipokea kwa kuanza kujichekesha “Kitu gani kinachokuchekesha wee pimbi?’’ ilikuwa sauti ya bibiye Vivian akionekana yupo sirious, ikabidi Mariam anyamaze kimya baada kuisikia ile sauti, “Kabla sijakutolea salamu naomba unijibu kwanza, vipi Hafidhi yupo kwako?’’

“hivi ni wewe kweli au naota mie, Vivian shost! Umepona?’’ Mariam baada kujibu swali nae akauliza swali, “Siku zote napenda kukuita pimbi kwasababu ya ukweli wee pimbi yani nakuuliza swali kuhusu Hafidhi kuwepo huko wewe unaanza kuuliza ubwege embu nijibu’’

“Siwezi kukujibu kwenye simu nakuja hukuhuko’’ kisha akakata simu na kujiandaa kwenda kwa Vivian, Tukija maeneo ya Mtaa wa Tatu tunamuona muuwaji wa kutumainiwa Steven akiwa kwenye duka moja wapo akinywa soda aina ya fanta orange na kumuuliza maswali ya hapa na pale muuza bidhaa hapo dukani.

“Kwahiyo ndugu umesema huu ndio mtaa wawatukutu sio?’’

“ndio maana yake ndani ya mtaa huu ukijifanya mjuwaji utoki jino moja kama huamini nenda kwenye nyumba ilee yenye rangi ya blue bahari ukifika pale tukana uone kimbembe chake,’’ Siku zote kijana Steven anajiamini sana hilo ndio tatizo lake kujiona bora kuliko wengine na kaingia ndani ya Mtaa wa Tatu kwa kazi moja tu kuwafunza adabu, basi akainuka na kuiacha soda yake na kupiga hatua kadhaa kuisogelea nyumba ambayo aliambiwa akatukane,

Muuza bidhaa dukani akabaki kujisemea muache tu kama makalio yanamuasha atajuta, Steven baada kufika karibu ya nyumba hiyo akalitowa dudu lake kwa makusudi akakojolea kibalazani “Salmaa!!! Njoo uone huku’’ ilikuwa sauti ya binti mdogo hivi akimwita Salma baada kuona kitendo cha Steven kukojolea pale hakuja Salma peke yake alikuja na Beatrice na Kessy, “wee mshenzi unafanya nini hapo mpumbavu’’ Steven akageuka kwa dharau kabisa akauliza kama vile hajasikia. “Unasemaje wee malaya, unaniita mimi nani? Beatrice na kitumbo chake si akajifanya kusogea kwa nia ya kumpiga sijui kibao kitendo cha kumkaribia tu akajikuta akiwashwa makofi ya haraharaha na kusindikizwa na ngumi ya tumbo Steven hakujali cha ujauzito wala nini Beatrice akadondoka chini na kufikia tumbo masikini ya Mungu akadondokea tumbo. Kama haitoshi akataka kumkita palepale chini ikabidi Kessy amuwai kwa kumtandika kifuti cha kifuwa Steven akayumba na kukaa sawa, Salma akapaza sauti kuita msaada safari hii nyumba nzima wakaja miongoni mwa waliokuja Hafidhi nae yupo kumbe alikuwa ajaondoka bado mbona majanga kwa Steven, ikabidi bibiye Beatrice abebwe lakini kabla ya kupakizwa kwenye gari akamshika mkono Hafidhi na kuhitaji kumwambia kitu sema sauti yake haikuweza kusikika akamuinamia kwa kumsikiliza kitendo cha kuinuwa kichwa tu Mwanaume kavimba na kumtazama Steven aliyekuwa akipambana na Kessy siku zote akiwa na hasira hashikiki. Sijui kaambiwa nini. Kiukweli kamanda Kessy alikuwa bado kabisa kuweza kupambana na Steven yani kila akipiga mwenzake anazitowa na kumpa nzito Kessy akayumba na kucheuwa damu, ghafla Steven akajikuta anapokea mateke ya double na kutupwa kule nae akacheuwa damu kuinuka kutizama mbele yake Ninja short kwanza akacheka.

“Ha!ha!ha! Kumbe nawe mwanaharamu upo maeneo haya kudadeki zako nimeweza kukunasa leo”

Steven akaongea huku akijiweka sawa kwa mapambano yaliyoko mbele yake

Ninja short ambaye ni Hafidhi alikuwa kasimama tu akimcheki jamaa jinsi anavyo

neng’eneka.

Mapambano yakaanza ilikuwa piga nikupige

Kusema kweli Hafidhi alikuwa kapata mpinzani wa kweli,

wote walikuwa wakali wa Mashowart,

Steven alikuwa mwepesi zaidi wa kutumia mateke yani alikuwa akipiga kwa kuzunguka utasema panga boi.

Hafidhi alitandikwa mateke ya maana na kujikuta akidondoka chini akacheuwa damu ilikuwa ni mara yake ya kwanza kukutana na kisiki cha mpingo,

Watu walijazana kutaka kushuhudia show ile ya kibabe,

Hafidhi akachenji style na kutumia

Mapigo ya range of taikondo,

Ni style mpya kabisa kutoka kule nchini Japan, mpaka hapo Steven akaanza kupokea vikombe

yani alipigwa mpaka akaona ehee kumbe jamaa amekuja kivingine

Hafidhi akafanya kuvuwa yale mavazi yake sio kwa style ya kuchenji ghafla hapana, akatupa kila kitu pembeni na

Kukaa style nyingine kabisa

Ayan first

Steven nae akajiweka sawa kuja

Kumvamia ilikuwa balaa si kidogo,

Dakika si nyingi Steven akadebweda baada kupigwa konde moja la kwenye koromeo.

Wakati Steven akiwa kadebweda hajiwezi kwa lolote, akabaki kimya akisubilia hatima yake na Mwanaume nae ndio kakishika kichwa cha Steven kwa nia ya kumvunja shingo. Kabla ya kufanya hivyo ghafla bin vuu kitu chamoto kikakita kwenye bega lake kwa upande wa kushoto Hafidhi akarushwa na kutupwa mbali kidogo huku akimuachia Steven, watu wakaanza kukimbizana baada mlio wa Bastola kusikika na kumuona shujaa wao akianguka chini aliyefanya kitendo hicho hakuwa mwingine ni bibiye Mona Risa akiwa kwenye kombati za kikomando kumbe ni Agenti mpya aliye pandikizwa kwa siri, Bibiye akiwa makini zaidi na siraha yake mkononi akasogea eneo ambalo Hafidhi alikuwa kalala chini akiugulia maumivu huku kajishika begani.

“Hakika nimeweza kukunasa leo sasa basi huna budi kujisalimisha kwenye mikono ya sheria, nyanyuka na uwongoze njia mwenyewe’’ Wakati akiwa makini kumtaiti Hafidhi Steven akaanza kucheka “ha!ha!ha!,,,,bibiye Mona Risa akamtizama akaacha kumuelekezea Bastola Hafidhi na kumrenga Steven ghafla akamfyatulia risasi kama tatu zikatuwa mwilini mwa Steven kicheko kikazimika ghafla akadondoka chini na kuwa kimya, akamgeukia Hafidhi ajabu kapotea kaacha damu tu akageuka huku na kule mtu hayupo akajalibu kuingia kila nyumba na kukuta patupu, “huyu mtu mbona kanipotea kizembe hivi bora ningeanza nae kuliko kumuacha apumuwe shenzi zake kibaya zaidi kanitambuwa mimi ni nani si atanisaka huyu ohoo shit! Hakika bibiye akadata na kujiuliza maswali chungu nzima pasipo kupata majibu ghafla akaguswa begani si akageuka na kukutana uso kwa uso na mzee mzima akiwa kwenye vazi lake la Ninja short, kabla ya kufanya chochote silaha yake ipo mikononi mwa Ninja shorti yani kilikuwa kitendo cha haraka mno , nae hakuwa na jinsi zaidi ya kuinyanyuwa mikono yake juu ishara ya kusalimu amri. “Vizuri sana binti kwa ujasiri wako yani umethubutu kunitowa damu mimi nimependa sana kwa kumuuwa Yule kenge ndio muhusika mkuu wa kifo cha Agenti mwenzenu ambaye ni bibiye Yusra. Subiri nikwambie kitu kimoja bibiye mimi siuwi watu wasiokuwa na hatia siku zote naangalia haki iko wapi nitazidi kupambana na watu wabaya na wale wenye kuwakingia kifuwa haao watu wabaya siku zote nyie polisi siju maagenti fbi kazi yenu kupambana na wawatu kama sisi kumbe mnawapa mibichwa mafisadi waweze kufanya mambo yao kinachofatia ni kitu gani lazima na nyie mfe kwaajili ya kufagia njia shika silaha yako’’ Baada Hafidhi kuongea hivyo akampatia bibiye silaha yake na kupotea mbele ya macho ya bibiye kijasho cha kwapa kilimtoka asiweze kuamini kwa kuachwa hai aisee ilibidi akae chini na kujishika kwenye moyo wake maana ilikuwa balaa. Wakazi wa maeneo hayo muda tu wamejifungia kwenye majumba yao utasema kifaranga cha kuku kimeona mwewe na kukimbilia vichakani kujificha, kikosi cha jeshi la polisi wakafika na kufanya uchunguzi wa hapa na pale na kuondoka na mwili wa marehemu taarifa zikatangazwa juu ya kifo cha muuwaji wa mke wa Rais majeshi yakamiminika ndani ya Mtaa wa Tatu ulinzi ukawa taiti kwenye maeneo hayo wakimsaka muuwaji mwingine ambaye ni Hafidhi si wameambiwa alikuwepo pande hizo,

“Dahaa huyu mtoto mshenzi sana yani kutaka kunipa jamba jamba mzee wake ndio nini. Kumbe vijana wangu wote ni wazima nilijuwa kawauwa kweli’’ aliongea hivyo mzee J Ikram baada kuwakuta vijana wake wapo wazima sema wametiwa ngeu na kuwa na maumivu kila maeneo,

“Vizuri sana mkuu wetu umekuja hakika yule mwanao hafai kabisa yani kitu alicho tutendea wee acha tu’’,,,,

“poleni sana vijana wangu kwanza nashukuru kuwaona wote ni wazima vipi Kessy nawe upo pande hizi? Umeuwonaje moto wa Hafidhi ni uleule mliokuwa mkimpiga makonzi au?’’

“Mzee wee acha tu mwanao sasa hivi ni kama Jiniasi yani ana uwezo wa ajabu sana kwakifupi kawa kioja yani (Malver) mzee J akacheka na kuuliza “vipi mwalimu wako yuko wapi yani Deniss?’’

“mwalimu yeye kaenda nchini Hong kong kukusanya nguvu mpya kasema akirudi ndani ya jiji kutakuwa hapatoshi, zote ni hasira baada kuuliwa kwa Boyka’’ “ohoo! Shit! Unataka kusema Boyka kauliwa?”

“ndio kauwawa na muuwaji mwenyewe ni

Hafidhi yani kamchinja na kumning’iniza juu ya mti utasema mbuzi anataka kuchunwa ngozi.

Hakika amekufa kifo cha kinyama sana”…

“Pole sana Kessy kwa kuondokewa na rafiki yako kipenzi, sijui

Hafidhi ameingiwa na Ushetani wa aina gani yani anawauwa hadi wenzake kweli”….

Mzee J

akaongea hivyo kwa masikitiko makubwa sana,

“Ajabu”

Mariam akaanza kusema hivyo baada kufika kwa Vivian,

“kipi cha ajabu ulichokiona ndani ya nyumba yangu?”

Vivian akauliza swali,

“Si ulikuwa chizi wewe so nashangaa kukuona ukiwa mzima!”

“wee embu shika Adabu yako nani alikuwa chizi nitakutwanga ohoo!

Vivian akaongea hivyo huku akicheka siku zote katika maisha yao wamekuwa ni watu wa matani sana,

“Vivian

bwana si ulikuwa unaumwa wewe mpaka ukawa chizi?”

“haya basi tuachane na hayo kwasasa nishapona Niko fiti

Vipi Hafidhi alikuja kwako?”

“Mmh! Yani unavyo mchunga utasema mume wa peke yako’’ Mariam alikuwa mgumu kujibu swali ambalo kaulizwa zaidi ya mara mbili, “Sijasema ni mume wangu peke yangu nimekuuliza je alikuja kwako, maana usiku wa leo nikiwa nipo nae kitandani tukisubiri kipindi cha pili kianze ghafla nikamuona mwenzangu akikurupuka kutoka kitandani na kukimbia, ndio nakuuliza je alikuja kwako,’’ “Yani huyu mwanaume ni mtu mbaya sana yani tokea nifanye nae mapenzi kule chooni akanibebesha hichi kitumbo mpaka leo hajanigusa tena kila siku anajenga kwako tu, sijui mimi nani atanipanuwa au anataka nizae kwa operesion?’’ kwa mara nyingine tena Mariam hakujibu swali Vivian akabaki kusikitika tu, dakika si nyingi Hafidhi akaingia na kuwakuta mama vijacho wakipiga story “whaoo baby umerudi vipi kile kiumbe cha ajabu umekiangamiza au?’’

“Ndio baby nimeweza kukiteketeza hivi niongeavyo kipo kuzimu’’ basi Mariam akafurahi na kusema “hakika wewe kidume cha shoka yani umeweza kukiangamiza kile kiumbe hatari wakati nilimtandika risasi kama sita hivi zikadunda kama vile kavaa bulletpufu, sema nini baby bi mkubwa alikuwa akikuulizia,, ikabidi Vivian acheke na kusema,

“Kumbe wee ni nyoko yani kukuuliza kote kule ukajifanya kama hunisikii kumbe ulinipotezea tu, wee haya tu. Basi ikaandaliwa chai wakakaa na kupata kifunguwa kinywa, “ohoo shit! Yani Steven nae kauliwa mbona balaa dahaa’’ alikuwa mzee Khatibu baada kuzipata taarifa za kifo kuhusu Steven kutandikwa risasi tatu za kifua,

“inaonekana huyu binti ni hatari sana kuliko wale 3Sisters ehee?’’ Lilikuwa ni swali kutoka kwa konda mmoja hivi ndani ya Daladala itokayo Kimanga Kariakoo, kuna mwanamama akadakia kwa kujibu lile swali kwa kusema “Inawezekana ikawa hivyo sema huyo aliye fanikiwa kumuuwa ni kama kifaranga tu kuku na majogoo wenyewe wapo kimyaa’’ basi ndio ikawa mada kuu ndani ya coaster hiyo. “Hivi nasikia kijana anaefanya mauwaji sijui ndio Hafidhi ilitangazwa si mtu mbaya au sio?’’ “Ndio ilitangazwa hivyo na kila mmoja anaamini kijana sio mtu mbaya sema serikali inamsaka kwa kesi ya mauwaji na akikamatwa hukumu ni moja tu kunyongwa basi,’’

“Ahaa wapi haiwezekani kwa komando kama yule kunyongwa tambuwa kitu kimoja huyu dogo baba yake ni mkuu wa majeshi hivi wataanzaje kumnyonga?’’

Wakati huohuo ndani ya nyumba ya bibiye Vivian kulikuwa na kikao kizito baina ya Hafidhi na bibiye Mariam kwa wakati huo Vivian hakuwepo sijui kaenda wapi. “Baby kwanini umesema unataka kumuuwa muheshimiwa Rais hivi huwoni kama unafanya makosa makubwa sana? Nchi itakuwa katika hatihati ya kuanzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe please usifanye hivyo’’ Hafidhi aliongea hivyo kumsihi bibiye asiweze kumuuwa Rais,

“Baby wee hujui tu kitu gani aliweza kunitendea mimi na familia yangu kipindi hicho hakuwa Rais alikuwa ni Waziri wa michezo sanaa na utamaduni, kuna siku alikuja nyumbani kwetu na kuanza kumtandika makofi mama yangu mzazi kisa kitu kidogo tu baada mama kumfukuza mbuzi wake asile matembele ambayo mama kapanda katika bustani yake. Baba akahitaji kumtetea mkewe sema akaishia kupigwa na kurawitiwa na vijana wa kihuni aliokuja nao huyo Rais wako, kibaya zaidi yeye akambaka mama na dada yangu niliweza kushuhudia kila kitu kwa macho yangu, Baba yangu kutokana na fedheha kwa kuzalilishwa kule akaamuwa kujinyonga , hakika ulikuwa ni zaidi ya unyama siwezi kusahau hii mpaka nilipe kisasi, nilijiapia moyoni mwangu nitakuja kusoma kwa nguvu zote ili nije kuwa mwana sheria au mwanajeshi nijifunze mbinu za mauwaji na ndivyo ilivyokuwa nitamuuwa tu!”

“Kwanza pole sana my dear kwa yote yaliyo kutokea, embu nikuulize kitu utaanzaje anzaje kumuingia mtu kama yule na kumuuwa?”

“kuhusu hilo swala wewe niachie Mimi kwakuwa naaminika kama Agent responsible tena nimeletwa hapa nchini kwa niaba yake nitamuuwa tu”

Baada bibiye kuongea hivyo

Mwanaume kuna kitu akafilia na kusema,

“baby unaonaje hiyo kazi ukaniachia Mimi wewe ukapumzika tu!”

“Hapana hiki ni kisasi changu mimi kiache kama kilivyo,

Kwanza sitoweza kujisikia vyema iwapo huyu mshenzi atakufa bila mkono wangu kuhusika,”

Mariam alionekana ni mwenye hasira si kidogo,

Ikabidi Hafidhi ampe maneno ya kumfariji mpaka akaweza kutulia

kisha akapewa mdomo yani mtoto kuguswa chuchu tu akaruka

Utasema kaguswa na short ya umeme huku akiguna

Assssss,,,,ohooooo

“ahaa yani mikono yako kama ina umeme umenigusa tu nimesisimka kama nini”…

Bibiye Mariam akaongea hivyo kwa sauti ya kudeka,

Huo ndio ulikuwa mwanzo wa ruksa ya vitendo tupu kutumika hakuna kuremba kila mmoja alikuwa na hamu na mwenziye.

Basi

wakaendelea

Kupeana midomo na kuanza kubadilishana ndimi zao huku wakishambuliana kuvuana nguo mpaka wakabaki watupu kama walivyozaliwa ambapo haikuwa kazi ngumu kwani Hafidhi alivalia bukta fupi hata Mariam alivalia gauni ya kulalia sijui siku hiyo anataka kulala kwa Vivian au vipi.

Ulimi kwenye Chuchu laini ulifika na kuanza kuzimung’unya kama pipi kidonge mdomoni kwa mtoto mpenda pipi “mmmh,,aaah,,,mmmh,,aliguna bibiye huku mikono yake laini ikishikashika kichwa, Hafidhi aliganda kwenye kifua cha Mariam kama vile ruba, na kuzishughulikia ipasavyo Chuchu hizo kitendo kilichomfanya bibiye kunyanyuka hadi miguu juu na kumbana mgongoni Hafidhi aliyekuwa kama ruba kwenye Chuchu zake

,,aaaah,,,aaaaaaaiiiisssssssss

sssssss,,,,,oouusssshhh

aaah,,alizidi kulalamika bibiye kwa utamu baada ya Kidume kuongeza zoezi,ambapo alishusha kidole chake na kukiingiza kwenye kitumbua huku akikazana kukisugua kile kiarage chake kilichoanza kusimama baada kukutana na kidole,,,alipiga kelele za utamu ambapo wakati mwingine ilimlazimu Hafidhi kumziba mdomo

Alipoona uwanja umshakaa mkao wa kuchezwa mechi hakutaka kusubiri mpaka mashabiki wampige na makopo alimlaza kiubavu kisha akaibananisha miguu ya Mariam na kuikunja vyema kwa kuipandisha juu kidogo,kwa jinsi alivyokunjwa bibiye na kile kitumbo chake ilimfanya kitumbua chake kuonekana vyema kabisa

Hafidhi

alilishika dudu lake na kuliingiza taratibu kwenye kitumbua hicho mpaka kiarage chenyewe kikawa kinachezacheza kushangilia jinsi dudu hilo linavyoingia,,

“aaaah,,aaaah,,,,mmmmh,,,,a

aaaaiishhhiiiiiii,,,aaaaaaiiiiiiiiiiiii,,,mmm

mmmmh,,,aaaaah,,,ingiza yoteeeeee,,,,babiiiiiiiii,,,,,aaaaaah,,,mmh,,alilalamika bibiye huku akizungusha kiuno chake kwa hisia kufuatisha jinsi dudu hilo lilivyokuwa likiiingia na kutoka,Mwanaume alikazana kumsugua ambapo hakumpelekea dudu lote kuhofia asije akagusa utosi wa mtoto bure basi taratibu alianza kuliingiza mpaka likafika mahali Mariam mwenyewe alimshika kiuno ili asiendelee kuliingiza,,,basi alimsugua hasa kama alivyohitaji dozi ya mwezi mzima

Waligalagazana hapo kitandani ambapo kilichomshinda ni nguvu kutotaka kumuweka mikao ya ajabu ambaye hakuwa na nguvu ya kutosha kuweza kuhimili mikiki mikiki basi mtindo ukawa wa kubiringishana kila muda tayari kitanda kilionekana kama hakikutandikwa,ilikuwa goli baada ya jingine,mapumziko mafupi kisha mchezo uliendelea,

“Kama Steven ameuwawa basi tukae tukijuwa ya kwamba huyu mshenzi yupo njiani kutufikia muda si mrefu”…

Bwana Khatibu aliongea hivyo kuwaambia washilika wenzake,

“bwana Khatibu embu acha kudata kwa kiasi hicho yani unataka kusema kwenye kikosi chetu tulikuwa tukimtegemea Steven pekee.

Kwanza tambuwa kitu kimoja katika maisha yako umefanya kitendo kimoja cha ajabu sana!”

“Kitendo gani?”

Bwana Khatibu akauliza swali.

“Usijifanye haujui kitu gani hivi ni uchizi gani au akili gani iliyokutuma mpaka ukachukuwa maamuzi ya kumfanyia unyama mkubwa mwanao wa kumzaa?”

“Kwanza haikuhusu kitu kingine nilikuwa natimiza Sharti la Zondo mkuu wa mashetani”,,,

“Acha uwongo wako usitake kusema eti sharti kumbuka ulipewa masharti manne

Alisema ulale na mwanao lakini si kwanjia ya kumbaka mpaka ukapelekea kifo chake

Sharti la pili uliambiwa uingiliwe kinyume au

Ulete kichwa cha

Albino, au

Ulale na maiti yote ukayaona mazito ukaamuwa kubaka sio”,,,,

“Shaziri embu acha kunichimba namna hiyo kwanza tupo hapa kujadiri mustakabari mzima wa kikosi chetu si vinginevyo

Nimeuliza kama

Steven kauwawa itakuwaje

Ukajibu hatumtegemei yeye peke yake.

Si basi,”

Khatibu akawaka kwa hasira na kutopenda kukumbushwa kosa lake kuhusu kumbaka Habiba na kupoteza maisha.

Kikao kikafungwa pasipo suruhisho kupatikana, maana bwana

Shaziri kazuwa habari sizo.

Ndani ya jiji la

Florida nchini

Marekani kulikuwa na vurugu za hapa na pale

Polisi walitanda kila kona kuzuia vurugu hizo zilizoazishwa na wanafunzi wa chuo kikuu

State university kilichopo Michigan

Mabomu ya machozi yakapigwa maji ya upupu yakamwaga

Hakika katika jiji la Florida kulikuwa hapatoshi

Watu walikimbizana huku na kule, kuepuka kunaswa na polisi kati ya

Wanafunzi hao kulikuwa na kijana mmoja mwenye asiri ya Africa au Muamerca mweusi binafsi yeye hakuhofia mabomu ya machozi

Mbwa wala polisi

Ndio kwanza akazidi kusogea eneo la tukio polisi nao

Wakaona ehee kumbe dogo anajifanya sugu ehee wacha wamfundishe adabu.

Si wakamsogelea ghafla polisi mmoja akapigwa ngumi kitetemeshi yani

Polisi yule akarushwa mbali na pale akaenda kukita kwenye gari,

Hakuna aliyeweza kuamini Aisee mbona kihoja hiki,

Kitendo cha polisi kumzunguka kijana yule kilikuwa kama kichekesho fulani hivi kwani kijana akafanya kama kulala chini na kuseleleka utasema kwenye mgongo wake kuna matairi polisi wakavamiana wao kwa wao, kwa kupigana vikumbo kijana baada kuona kawatoka polisi akachumpa na kusimama kisha akatoka mbio kuja upande ambao polisi wametanda akaruka juu na kuachia mateke ya free kick kwa polisi kama watatu, Kisha kichapo kikaanza kutembea kwa maafande japokuwa walikuwa na virungu mbele ya kijana huyo mwenye kutumia style ya Wing chun kutoka kule nchini China havikuweza kufuwa dafu na kuishia kupigwa kama vile watoto wakatupwa huku na kule hakika kijana alionekana yuko fiti kupita kiasi, yani mtu mmoja mbele ya kikosi cha watu kama hamsini si balaa hili wanafunzi wenzake wakabaki kushangaa kwajinsi mwenzao akifanya mambo utasema wale wacheza movie kina Jet lee, Donny yenn, Scoty adkins, basi polisi walifinwa mpaka kufikia hatuwa ya kuomba msaada makao makuu vikosi vikazidi kuongezeka huku majeruhi wengine wakiwahishwa hospital

“Unamuonaje Michael mbona anafanya vitu vya ajabu kama vile yani anapiga polisi zaidi ya mia’’ mmoja kati ya wanafunzi aliongea hivyo, basi mwenzake akadakia kwa kusema

“Michael sijui huu uwezo kautolea wapi wakati mimi mwenyewe nilikuwa nampiga tu embu mcheki anavyo danki utasema Spider man. Wakati Michael akizidi kupambana ghafla akapotea na kuacha hali ya mshangao mbele ya maafande na watu ambao walikuwa wakiangalia mpambano huo hasa wanafunzi wenzake ndio wakashtushwa zaidi na kumuona kama vile mchawi, “hii mbona kapotea kama vile Monster imekuwaje’’,,,,, yakabaki maswali yaliyo kosa majibu lakini ndio hivyo Michael kapotea.

Nchini Tanzania,

“Nakuona leo umekuwa mwepesi”…

Vivian alianza kumtania Mariam baada kumkuta akiwa kajilaza kitandani, wakati huo

Hafidhi hakuwepo,

“Nawe ushaanza umbea wako mbona mimi sishobokei mambo yako”…

Mariam akawa mkali

“Basi yaishe naona ushaanza kuchukia mambo madogo tu, yani hutaniwi”

“Unitanie kwani mimi bibi yako wee vipi

embu jiheshimu sasa ushakuwa mtu mzima tuache mambo ya kitoto”

“Mmh! Yani leo hii Mariam umekuwa mtu mzima au sababu ya hiko kitambi cha uji”

Vivian akaongea hivyo huku akimpiga kikofi cha makalio.

“Vivian nimekwambia mi sitaki bwana”…

Akamrushia mto nae akamrudishia na kuanza kukimbizana ndani humo,

Ndani ya Hospitali ya

Amana iliyopo maeneo ya Ilala

kwenye wodi ya wazazi yani Reba ziliweza kusikika sauti za kina mama wakilia kwa uchungu wa kujifunguwa siku zote kuzaa sio kama kunya japokuwa kuna

wanawake wanazaa kama panya vile,

Utakuta mtoto ana umri wa mwaka mmoja

Au miezi sita tu anapata mdogo wake

Mtoto mwenye umri wa miaka kumi ana

wadogo zake kama saba,

Na sauti ya vitoto vichanga zikaweza kusikika na kufanya sauti zao kuchanganyika,

miongoni mwa walioweza kujifunguwa siku hiyo alikuwa bibiye Beatrice

hakika Mungu aliweza kumjaalia kujifunguwa watoto mapacha, Wakiume na Wakike.

walikuwa watoto wazuri wenye hafya tele,

kina Zay, Joyce, Salma na wengineo walikuja kumpa pongezi

“jamani baba watoto wangu nae amekuja au?”

Beatrice aliuliza hivyo akiwa amekaa kitandani,

“Hapana yeye bado hajaweza kufika nahisi anaweza kuja muda si mrefu”..

Zulfa alimjibu hivyo, na kweli dakika si nyingi Mwanaume akafika na kuingia wodini

kwa pupa.

“Vipi baby kwanza pole sana mtoto wangu yuko wapi?”

Hafidhi akauliza,

“Hasante sana my husband, usiseme

Mwanao sema watoto wako wapo wapi”…

Kwanza Hafidhi akashangaa na kuuliza

“Inamaana wapo wengi ehee kumi au

Elfu moja?”

“Baby bwana acha kunichekesha

Nizae watoto kumi au elfu umeambiwa hii mashine ya kukoboa.

Wanetu wale pale wamelala”…

Baada kuonyeshwa akasogea mpaka ile sehemu na kuwatizama kwa zamu

akaanza kuomba duwa

(MOLA WETU TUPE KUTOKANA NA WAKE ZETU NA WATOTO WETU PUMBAZO LA MACHO YETU FURAHA NA AMANI NA UWAFANYE KUWA WATOTO BORA WACHA MUNGU)

Ajabu hii yani huyu Beatrice sio mkewe watoto wenyewe kawapata nnje ya ndoa kisha anaomba duwa kama hiyo hivi huyu

jamaa mwehu au?

Baada kuomba duwa ile akambeba wakiume kisha na wakike

Binafsi alikuwa na furaha isiyokuwa na kifani akasema kumwambia

Beatrice

“Thank you my baby kwakuwa Mwanamke wakwanza kunipatia heshima, ndani ya dunia hii.

Sina cha kukulipa zaidi ya kukushukuru”…

Mwanaume akapiga goti na kuwabusu watoto wake kwa zamu kwenye mapaji yao

ya uso”,,,,,

Kisha akaaga na kuondoka, baada kutoka hapo

Akili ikamtuma

Kwenda kufanya tukio moja kwa wakati huo

Basi

Akakodi pikipik mpaka maeneo ya Makumbusho kisha akashuka na kumuomba dereva bodaboda amsubiri kama dakika tano hivi kisha akaingia ndani ya mgahawa uliopo maeneo hayo, baada kuingia akaangaza macho yake huku na kule na kuona kila mtu akiwa bize kuangalia television ikionyesha tukio la kijana anaeitwa Michael jinsi alivyo wachakaza polisi takribani mia moja sabini katika jiji la Florida nchini Marekani, binafsi yeye hakutaka kufatilia sana taarifa hizo na kilichomleta hapo si kingine ni kuuwa tu basi akapiga hatua za haraka kwa kupandisha ngazi dakika si nyingi akatoka kama vile sio yeye na kukuta mjadala umepamba moto pale mgaawani kuhu kijana Michael kufanya kitu cha ajabu.

“Wewe acha upimbi yani unataka kumfananisha Hafidhi na huyu dogo kwanza huyo dogo si chochote si lolote mbele ya kamanda wetu’’

“wee unaongea tu kwanza tambuwa yakwamba dogo kawatikisa askari wa dunia wakati huyo Hafidhi anawasumbua hawa kajamba nani pangu pakavu tia mchuzi kwakifupi Hafidhi hauwezi mziki wa dogo ni noma yulee’’,,, Hafidhi aliweza kusikia kila kitu basi akatoka mpaka nnje na kumwambia dereva wa bodaboda twenzetu. Safari yake ikampeleka mpaka Ubungo akashuka na kumlipa dereva yule kiasi cha pesa na kumtakia safari njema ni kauli ambayo ilimshangaza sana yule dereva na kubaki kujiuliza “Mbona huyu jamaa nimeshindwa kumsoma kabisa sijui kamaanisha nini kuniambia vile,’’

Sauti ya ving’ra vya magari ya polisi ndio ikamshituwa na kumfanya akae pembeni maana hicho kikosi kilichopita si mchezo,

“Umeona wee boya si nilikwambia mimi huyu jamaa anatisha kumbe wakati sisi tunabishana mwenzetu kaingia kafanya yake kasepa kimya kimya hataki shobo katika vidume wa nchi hiiHafidhi nae kidume anauwa anachinja anang’ata’’,,,,walikuwa wale vijana waliokuwa wakibishana kuhusu Hafidhi na Michael nani noma, basi mwenzake hakuwa na neno akabaki kimyaa,

Hafidhi baada kushukia Ubungo aliweza kuziona gari za polisi na zile za S.W.A.T zimeongozana kuelekea Makumbusho akatabasamu na kujisemea nahitaji kwenda nchini Marekani nina hakika baadhi ya washenzi watakuwa wamekimbilia huko popote walipo kifo kitawakuta wakae wakitambuwa roho zao natembea nazo kwenye viganja vya mikono yangu.

“Mmemuona kidume, mwanaume washoka huyu ndio Michael ni kijana wangu mimi kafanya kitu ambacho nchi ya Marekani na viunga vyake vyote hawatokaa kusahau kuhusu hili jambo na wiki ijayo atakuja hapa kwenye nchi ya wachovu nchi ambayo polisi wake wamebobea kupambana na watu wenye kufanya maandamano tu sio kupambana na waharifu’’

Mmoja kati ya wazee aliongea hivyo’’

“Sawa tumekusikia baba Michael kwanza tutashukuru sana kwa ujio wa mwanao maana huyu mjinga anatupa jamba jamba tu mpaka Khatibu na wengineo wameikimbia nchi hakika akija Michael walau tutaweza kutoka nnje kwenda kujamba,’’

Wakati kijana Michael ikisemekana anatafutwa kwa udi na uvumba kwani baada kupotea pale kwenye mapambano hakuweza kuonekana tena zaidi ya viso vya maaskari wale vikianza kushamiri yani leo huyu kachinjwa yule kukutwa kanyongwa wengine kukutwa wanaelea kwenye swimming pool, chanzo cha vifo vyote hivyo haikuweza kufahamika chanzo chake ni kitu gani

Nchi ya Marekani ikakaa na kutoa tamko moja tu huyo kijana atafutwe popote alipo maana yeye ndio chanzo cha vifo hivyo maana haiwezekani tokea litokee tukio la kupambana na polisi wale kila uchwao wanakufa hao hao tu, Makomando wakakabidhiwa kazi hiyo, basi upelelezi ukaanzia shuleni ambako alikuwa akisoma “Ukiwa kama mwalimu mkuu wa shule hii tunakuomba utupatie wasifu mzima wa mwanafunzi wako huyu’’ aliongea hivyo bwana Billy mmoja kati ya makomando wa kuaminika Nchini marekani kwa lugha ya kizungu, Mwalimu yule hakuwa na haraka wala pupa kwenye kutoa maelezo akaiweka miwani yake vizur na kuchukuwa glass ya juisi akainywa kidogo na kukohoa ishara ya kulaisha koho lake. Kisha akasema

“Nafahamu fika Michael ni kijana wangu mimi yani ni mmoja kati ya wanafunzi nilioweza kuwapokea miaka mitatu iliyopita nyuma,Michael si laiya wa nchi hii yeye ametokea africa sijui ni nchi gani wacha nipekuwe kwenye computer, baada kuongea hivyo akaishika mouse na kuanza kusachi kwenye computer yake na makomando wale kila mmoja akaitupia macho kioo cha computer ile wakitaka kufahamu huyo kijana katokea wapi. Sekunde si nyingi jibu likaja Tanzania wote kwa pamoja wakatizamana na kutoka zao nnje ya ofisi ya shule ile yani waliondoka pasipo kumuaga mwalimu yule wala kumshukuru,

“Pumbavu zao hawa kenge yani wamekuja hapa kwa heshima wameondoka kwa dharau kudadeki zao waache waende hivi wanafikilia huko Tanzania ni kama wanaingia chooni sio’’ aliongea hivyo mwalimu Dismass, na kuishia kusonya,

Tukija nyumbani yani nchini Tanzania maeneo ya jiji la Dar es salaam kulikuwa na pilikapilika za hapa na pale kutoka kwa vikosi vya FBI yote ilikuwa katika shukhuri ya kumnasa muuwaji wa kutumainiwa mwenye kuwapa jambajamba baadhi ya vibopa hapa nchini si mwingine ni Hafidhi j Ikram ndani ya mitaa ya Vingunguti kulikuwa hapatoshi risasi zikarindima huku na kule baada kusemekana mwanaume kaonekana pande hizo kitendo bila kuchelewa vikosi vikafika. Ni kweli alikuwepo maeneo hayo sijui kaenda kufata nini sema anajuwa mwenyewe, kwanza nyumba ambayo ilisemekana kaingia na hajatoka ikazingirwana vikosi kila mmoja akiwa makini na siraha yake maana mtu waliemfata si kiumbe cha mchezo amri ikatolewa kwa baadhi ya makomando wavamie ndani ile kuingia tu sauti ya vishindo ikasikika ikitokea ndani ya nyumba hiyo kufumba na kufumbuwa makomando wale kila mmoja akatupwa nnje kupia dirishani wengine mlangoni hapana chezea kisha mwanaume akachumpa kama vile nyani na kuanza kukimbia, polisi nao hawakutaka kuzubaa wakaanza kumkimbiza kwenye vichochoro vya mitaa hiyo mwanaume akaingia huku na kutokezeakule risasi zikawa zikimkosa basi baada kukimbia sana huku polisi wakiwa bado wapo akaingia kwenye nyumba moja wapo na kupotea kwa kuyeyuka kama vile vumbi kwajinsi alivyoweza kupotea hakuna mtu hata mmoja aliyeweza kuona tukio hilo, polisi wakaizunguka nyumba ile huku kiongozi wao akitoa amri watu wote waliomo ndani ya nyumba ile watoke nnje upesi kwani muuwaji wa hatari kaingia ndani ya nyumba hiyo. Basi wenye nyumba wakatoka wakiwa mikono juu polisi nao hawakutaka kupoteza muda wakavamia ndani hakika ilikuwa mtafute mtafute huku na kule kijana hakuweza kuonekana wakaingia kila chumba kila kichochoro mwanaume hayupo.

“Aisee mzee mwenzangu huyu kijana bila shaka si kiumbe cha kawaida’’ mmoja kati ya maafande alimwambia mwenzie huku kashika tama “Kumbe ulikuwa hujui kama tunakimbizana na vivuli vyetu wenyewe tambuwa huyu kijana kwa kifupi ni jiniasi’’,,,,Mwenzake nae akamwambia hivyo kutokana na mauwaji kuongezeka pasipo muheshimiwa Rais kutamka chochote kile kama alivyokuwa akiongea kipindi cha nyuma mpaka kufikia hatua ya kuwaleta maagent watatu waliounda team itwayo 3Sisters ajabu tokea mmoja wao aage dunia wale wengine sijui wamepotelea wapi? Ni maswali mazito yaliyo jijenga kwenye vichwa vya watu wengi wapo waliosema inawezeka Rais kazibwa mdomo na kikundi cha wauwaji, wengine wakadiliki kusema eti anaogopa kuongea chochote kwa kuhofia usalama wa maisha yake na familia yake, Hafidhi baada kuwapiga chenga za mwili polisi na kikosi ca ma FBI safari hii tunamuona akiwa maeneo ya Mbagala sehemu ambayo alipanga chumba sema tokea rafiki yake wa karibu ambaye ni Jackson afariki dunia nae kuonekana kwenye mitaa hiyo imekuwa kwa nadra sana.

“wee kaka mambo?’’ ilikuwa salamu kutoka kwa binti mmoja hivi akimsalimia Hafidhi

“Poa niambie dada yangu umzima weye?’’ Hafidhi akaitikia salamu sijui kwa kiswahili cha wapi na kuuliza swali. “mi mzima hofu kwako tu’’ binti nae akajibu, baada salamu kila mmoja akabaki kumtizama mwenzie kwa jicho la kiwiziwizi kabla ya simu ya Hafidhi kusikika ikiita ndani kwakuwa alikuwa akiosha vyombo akamuomba yule binti kwa kumwambia “Sister samahani kama hutojali je unaweza kwenda kuniletea simu yangu ipo mezani hapo’’ pasipo binti yule kuitikia akainuka na kuingia ndani kisha akatoka na kumkabidhi simu,

“Thank you my sister Hafidhi akashukuru kwa lugha ya kigeni binti akatabasamu tu “Halloo nani mwenzangu?’’ Hafidhi baada kupokea simu akauliza swali kwani number ilikuwa ngeni, sauti ikasikika ikicheka kwa dharau tena ilikuwa sauti ya kikebaada kucheka akakata simu pasipo kuongea chochote kile “halloo,,,halloo,,ohoo shit! Hivi duniani kuna watu wengine machizi ehee?’’ akasikika Hafidhi akiuliza hivyo, yule binti akamtazama na kuuliza “kwanini unasema hivyo?’’ “si huyu mtu kanipigia simu baada kuongea kaishia kucheka na kukata simu kama sio uchizi kitu gani’’,,,,”Mmh! Yani kacheka tu kakata simu kwani wakike au wakiume?’’ “Ni mwanamke kibaya zaidi nampigia hapa hapatikani sijui ndio nini’’

“Si ulimsevu jina lake?’’ “Hapana number yake ni ngeni’’ “basi usitake kuumiza kichwa sana chakufanya embu jaribu kucheki jina lake yani ufanye kama unamtumia pesa hivi iwe Tigo pesa au M-pesa utaliona jina lake’’ binti akatoa ushauri huo basi Hafidhi nae akafanya hivyo ghafla akashtuka na kuitupa simu chini sijui kaona nini “Vipi mbona umeshtuka kuna tatizo au, binti akauliza huku akiyokota simu na kuitazama “mmh! Kumbe mtu mwenyewe anaitwa Yusra Yasri yani double (Y) hakika lilikuwa jina la marehemu Hafidhi akabaki kujiuliza ni nani kasajili line kwa kutumia kitambulisho cha Yusra, hakutaka kujiuliza sana akaingia chumbani kwake sekunde si nyingi akatoka na kumwambia yule binti “nisuuzie vyombo vyangu mi natoka kidogo kisha akaondoka kwa mwendo wa haraka bila shaka kuna kengere ya hatari imeweza kugonga kichwani kwake isijekuwa kama yale mambo ya Chanduka Nusraty aliporudi kutoka kuzimu. Kumuachia chumba binti yule ilikuwa kama kumuachia marehemu Amina basi binti akaosha vyombo na kuingia zake chumbani mtoto wakike alikuwa akihishi nyumba ya jilani tu akavua dera lake na chupi kisha akajifunga upande wa kanga aliokuwa nao kisha akatoka kwenda kuoga waliomuona wakabaki kumshangaa tu.

“Huyu Saida kwa kujishauwa utasema mganga kaona jogoo yani kuambiwa asuuze vile vyombo ndio kaona ajiachie kabisa’’ mmoja kati ya wapangaji wa nyumba hiyo alimwambia mwenzake, “wee muache tu usikute jamaa kapigiwa simu na demu wake kuwa yupo stendi ndio kaenda kumfata hivyo mbona huyu mwehu atakoma, kila mmoja akaangua kicheko cha kishambenga, sauti zao ziliweza kumfikia vyema Saida ambaye alikuwa bafuni akijimwagia maji nae hakujali kama yuko chooni akaangua kicheko cha nguvu kwa kugonga gonga bati la choo “hahahaha,,,halloo,,,halloo ,,,,pyeee,,,nimepewa lift wacha nipige na honi kama limewauma kanyeni matikiti’’,,,, kauli ya Saida ikawafanya wale wamama wawe kimya siku zote Saida ni binti ambaye anajiamini sana kutokana na kaka zake wawili ni wacheza karate kwenye dojo la Mbagala kuu wakati kaka yake mwengine ni Mwanajeshi yani ikitokea siku ukampiga au kumchokoza mtu mmoja kutoka familia hiyo utajuta kuzaliwa yani kuanzia babu, bibi, baba, mama yani hadi virembwe wote watakuja mtapigwa nyumba nzima kwakifupi ni binti ambaye wanaume wengi wamemshindwa tabia, wakati Saida akiwa bado yupo chooni ghafla sauti ya kishindo ikaweza kusikika puhuu, zikifatiwa na kelele za mwiziii,,, jamani mwiziii sijui huyo mwizi kaingia muda gani chumbani kwa mzee wa nyapu yani wale wamama walishtukia mtu akitoka ndani mule kwa kuwaruka na kukimbia mbio mgongoni akiwa kabeba begi ndipo wakapaza sauti kwa kumuitia mwizi, bibiye Saida akatoka chooni mbio mbio akiwa na mapovu kichwani.

Sema akakuta watu washaingia vichochoroni kumkimbiza mwizi nae hakutaka kujiuliza akaingia ndani na kukuta mlango wa chumba alichoachiwa upo wazi binafsi hakuweza kufahamu mapema kama mwizi ndio kaingia ndani ya chumba hicho je kaiba kitu gani, akajipangusa mapovu na kuvaa nguo zake na kutoka kufika nnje akakutana na kikundi cha watu wakiwa wanarudi akauliza,

“Vipi jamani huyo mwizi kapatikana au?’’ hakuna aliye mjibu zaidi ya mwenye kubeba jiwe kutupa chini mwenye panga au sururu kuingia nalo chumbani kwake, “Yani Yule kijana anakimbia utasema kiberenge maana tumefika pale kwa mama Shego akaruka ule ukuta mrefu vijana kwa wazee tumeshindwa kuruka pale kwa dharau akatuonyeshea kidole cha kati na kupotelea upande wa pili’’ alisikika binti mmoja akisimulia hivyo mpaka hapo Saida akatambuwa kumbe mwizi kakosekana swali la kujiuliza kichwani kwake kaiba nini’’,,,,

“unataka kusema karuka ule ukuta wa pale!’’ “ndio maana yake sisi wakati tunamkimbiza tulipoona akikimbilia kule tukajuwa tunaweza kumshika tu kwasababu kule hakuna njia kumbe mwenzetu ndio anaenda kutuacha’’ “kwani kaiba nini?’’ Saida akauliza swali, “Hata sijui kaiba kitu gani sema mgongoni alikuwa kabeba begi bila shaka ndio mzigo aliouwiba,

Saida akavuta pumzi kwa ndani na kuzishusha hakika alitambuwa ni uzembe wa kuacha chumba cha mtu wazi ndio umepelekea kuibiwa je atamueleza kitu gani mwenyewe mpaka amuelewe sema akajipa moyo familia yake ipo, Hakuweza kufahamu kama familia yake si chochote si lolote mbele ya mwanaume huyo wa shoka.

Hafidhi nae baada kuondoka nyumbani kwake akapanda daladala mpaka Buguruni rozana na kushuka akavuka barabara na kuelekea maeneo ya kwa Madenge yani alikuwa anatembea haraka haraka sauti ya honi ndio ikamshtua na kumfanya akae pembeni kidogo

“Pisha njia mtoto wa malaya wewe yani unatembea njia nzima utafikili ya baba yako punga wee’’ alikuwa dereva bodaboda aina ya boxer akiongea hivyo na kumwita Hafidhi mtoto wa malaya yani bora wakati anaongea maneno hayo angeondoka si akasimama “Unasemaje wee jamaa mimi nani?’’ Hafidhi akauliza swali huku akimsogelea yule kijana ilikuwa kufumba na kufumbuwa kijana yule akirushwa hewani baada kutandikwa zinga la teke na kutupwa kule barabara kisha mwanaume akaondoka na pikipiki, yani kilikuwa kitendo cha haraka mno kijana akabaki kupiga kelele “jamani pikipiki yangu!’’

“pole sana kijana siku zote unaambiwa dawa ya kiburi jeuli hakika leo umeipata kiboko yako wewe ndio ulitaka kumgonga yule jamaa baada kumuomba samahani ndio kwanza ukamtusi sasa unaona kilichokutokea, kakupa teke moja tu kama vile Vann damme kwenye movie ya bloosport kamtandika Bolo younk pole ehee’’ Alikuwa mzee mmoja muuza kahawa na kashata katika maeneo hayo,

Unaweza kusema yupo kwenye mashindano au anafukuzwa na mapolisi kwajinsi alivyokuwa akiendesha ile pikipikki kwa kasi watu waliokuwepo maeneo ya sokoni wakabaki kutukana matusi na kulaani kitendo cha dereva yule kutokuwa mstaarabu yani watu walikoswa koswa kugongwa na pikipiki ile si akaingia nayo kwenye vichochoro vya Madenge mitaa ambayo kila wanaonyesha video show biashara za chipsi sambusa kachori ice cream zimejazana.

Mbele ya nyumba moja hivi ndipo akafunga bleak na kushuka akabisha hodi na kukaribishwa na mzee mmoja wa kiarabu kama tunamkumbuka ndio baba mzazi wa marehemu Yusra “Karibu sana mkwe bila shaka ujio wako ni wa neema kubwa sana kwetu’’

“Kwanza Assalam alaykum mzee wangu naona umeanza maneno kabla ya salamu’’

“Waaleykum ssalam kijana hivi unadhani hata salamu naweza kuikumbuka kweli maana kijana umetutenga kabisa yani sikuoni tena maana kile ambacho ulikuwa ukikifata hakipo tena’’ “Hapana mzee wangu si unajuwa mambo mengi kijana wako naangaika kila kukicha kumsaka muuwaji wa kipenzi changu’’

“ohoo basi vyema kijana kama bado unaendelea kufanya hizo harakati lakini naomba utambuwe kitu kimoja tu mpaka sasa muuwaji wa mwanangu nae yupo kuzimu. Ni kauli ambayo ilimshangaza sana Hafidhi na kujiuliza amejuwaje kama yule kijana kashauwawa tayari sema hakutaka kuonyesha mshangao wake wakaenda kukaa kwenye sofa dakika si nyingi kuna binti akaingia yani kitendo cha Hafidhi kumtia machoni tu moyo wake ukashtuka hakika binti alikuwa kafanana kila kitu na Yusra “Assalam alaykum ewe kaka yangu’’,,, yule binti akatoa salamu huku akimpatia kiganja cha mkono mwanaume akaitikia huku akiwa kashikana nae sema katikati yule binti aliweka kitambaa kama sheria ya dini ya kiislam inavyosema ni haramu kwa mwanamke na mwanaume kugusana nyama kwa nyama asiekuwa halali kwako,

“Waaleykum ssalam mzee wa nyapu akaitikia hivyo. Huku akikitumia kidole chake cha kati akimtekenya kwa style ya uchokozi bibiye akang’ata ripsi za midomo yake kuonyesha jinsi gani anajisikia msisimko wa ajabu yani kutekenywa kidole tu kwenye kiganja chake cha mkono mototo kapagawa

“Vipi mbona mmeshikana kwa muda mrefu hivyo?’’ Ikabidi baba aulize swali. “Ahaa hapana mzee unajuwa namfananisha huyu mwanao na Yusra hakika wanafanana sana’’ Hafidhi akazuga kwa kusema hivyo huku akimuachia mkono’’

“Ndio huyo ni mdogo wake anaitwa Sumaiya wamepishana mwaka mmoja na nusu tu,’’ “Duhuu yani wee mzee ni nom a sana mwaka mmoja na nusu ukawekeza kitu kipya hahahaha’’

Kila mmoja akacheka

“Sumaiya embu nenda kaandae chakula shemeji yako si unamuona ana maneno

Utasema yupo bungeni.

Sumaiya akaondoka mbavu hana kwa kicheko akaingia chumbani kwake na kujitazama mkononi na kujibusu

“kwa style hii siwezi kukukosa

Shemeji hakika wewe ni wangu, nichukuwe Mimi niwe kiburudisho chako kama alivyokuwa akikuburudisha Dada

Nami nitakufanyia hivyo hivyo”…….

Wakati bibiye Sumaiya akimuwazia kumpata shemeji yake kama usemi unavyosema

Sijui hainaga ushemeji tunakulaga, huku

Sebuleni mazungumzo baina ya

Hafidhi na mkwewe yalikuwa yanaendelea.

“sasa mzee wangu mimi nimekuja kuna tatizo kidogo linanitatiza”

“Tatizo gani tena kijana?”

“Dahaa sijui hata niseme nini kwakifupi leo

Nikiwa nyumbani kwangu simu yangu ikaita kuitizama number ngeni basi nikafanya kuipokea ajabu

Aliyepiga simu ile akaanza kucheka yani akacheka sana mwishoe akakata simu,

Nikajalibu kuiangalia ile number kwa tigo pesa ajabu jina limetokea

Yusra Yasri”

Baada Hafidhi kuongea vile hata mzee mwenyewe akaonekana kushtuka na kuuliza kwa mshangao,

“Unataka kusema kweli???

Hafidhi nae aliweza kugundua ni jinsi gani mzee kashtushwa

“Ndio mzee wangu na number yenyewe ni hiyo hapo”

Akampatia na simu, Mzee akaitazama ile number ambayo ilikuwa imeandikwa kwenye kijikaratasi kidogo hivi kisha akainuka na kumwambia

Hafidhi nifate.

Wakaongozana na kuingia kwenye chumba kimoja wapo iliwachukuwa kama nusu saa kuwepo ndani ya chumba hicho

kisha wakatoka huku Hafidhi akiaga

“Sawa mzee wangu kila kitu niachie mimi kuhusu huyu

Mtu nitadili nae wacha niende”

Kabla hajatoka bibiye Sumaiya akamuwai kwa kumwambia

“aii jamani shemeji unaondokaje hivyo wakati nimeandaa chakula kwaajili yako”…

Kwakuwa Hafidhi nae anamuhitaji huyo binti akaamua kukaa kwenye sofa huku akisema

lete msosi huo.

Basi chakula kikawekwa mezani mwanaume akaanza kukifakamia huku akikisifia kile chakula kitamu

Sumaiya kwa jicho la kiwiziwizi alikuwa akitazamana na shemeji yake.

Binafsi tunavyo fahamu sisi Yusra mpaka siku mauti yanamkuta hakuwai

kuwa na uhusiano wowote wa kimapenzi na

Hafidhi kwanza walikuwa ni maadui

sema kupitia bibiye Vivian akawa shemeji yake.

Baada kula na kutosheka mwanaume akaaga kwa kumuachia number ya simu bibiye

Sumaiya, akiwa na ile pikipiki aliyo ikwapua kwa yule jamaa wakati anakatiza pale Buguruni sokoni akashtukia akipungiwa mkono na polisi

Akataka kusimama lakini ghafla akaongeza speed baada kumuona yule jamaa aliyempola ile pikipiki

Akapita kwa kasi ya ajabu polisi nao walikuwa wapo Tayari wakamuungia kumkimbiza

Shukhuri ikaanzia hapo, kulikuwa na magari mawili ya polisi na pikipiki zenye mwendo kasi kama tatu

Mwanaume baada kuzidi kuchochea moto

Kufika maeneo ya njia panda kulia unaenda Tabata kushoto ndio Tazara basi akakunja kushoto na kuzidi kuchochea moto

watu wakabaki vinchwa wazi, na kusema kwa mwendo ule kijana kama ataweza kufika salama huko aendako basi

Akatoe kafara.

Njia panda ya Tazara

likatokea bonge la ajali baada

Mwanaume kuingia

Pikipiki za polisi kama mbili hivi zikapigwa mzinga wa maana huku polisi wenyewe wakitupwa kule

Sijui kama waliweza kupona mmoja kati ya

Maafande akafanikiwa kupita

Akaenda sambamba na

Hafidhi sema kufika maeneo ya

Vetenari speeda ya pikipiki ya Hafidhi ikazidi Mara dufu

Na kumuacha yule afande kwa mbali.

Wakati yale magari yakishindwa kupita eneo lile kutokana na msongamano mkubwa wa magari uliosababishwa na ajali ile mwanaume akazidi kusonga mbele na kuingia barabara ya Chang’ombe wakati kituo cha polisi kilichopo Chang’ombe washapokea taarifa juu ya mwizi aliyeiba pikipiki nao wakakaa tayari tayari kumsubiri kwa hamu, lakini nae kama vile aliweza kuishtukia plan yao akakunja kulia na kuingia kwenye barabara ya vumbi. Hakika alikuwa yupo shapu mno yule afande mwingine hakuweza kumuona kama mwenzake kakunja njia nyingine yeye akapitiliza moja kwa moja mpaka hapo wamepotezwa kwa mwendo uleule alikatiza vichochoro na kutokezea Temeke wairesi na kutokomea zake gizani,

“Vipi huyu jambazi hajapita maeneo haya?’’ yule afande baada kufika Chang’ombe akauliza swali, “Kwani wewe umemuacha wapi si ulikuwa nae beneti au?’’ “Ohoo shit! Hakika huyu mwizi ni wakimataifa yani katuacha hivi hivi’’ Alisikika mmoja kati ya maafande akisema hivyo sema siku zote jeshi la polisi sio watu wakukata tamaa mapema wakajalibu kuwasiliana na wenzao waliopo Mbagala na Mtoni mtongani wakataja number za pikipiki hiyo na rangi yake, basi kuanzia kwa Azizi ally mpaka Mbagala rangi tatu kulikuwa na msako wa maana,

Wakati polisi wakiwa katika mishemishe za kumtafuta yeye kumbe mwenzao kashafika maeneo anayoishi akapaki pikipiki na kuingia ndani kabla ya kuugusa mlango wa chumba chake kuna kitu kama picha hivi iliweza kupita kichwani kwake yani mwili ukavablet utasema kaguswa na shoti au kitete akakigusa kitasa na kuingia zake ndani

Ile anaingia tu hakuweza kuamini baada kumkuta yule binti akiwa kajilaza kitandani kajimanua manuu tena hana nguo hata

moja Mwanaume udenda ukamtoka na kujikuta akisimamisha Andunje wake.

Yani alituna mpaka zipu ya suruwali ikaanza kujiachia, akafunga mlango kwa mwendo wa kunyata akakisogelea kitanda,huku akiwa kakiandaa vyema kidole cha kati

si akakigusa kile kitumbua Saida akashtuka kwa kutoa mguno

“ahaaaa,,,,,asssss,,,Hafidhi akakitoa kidole chake na kuzuga kama vile sio yeye aliyetenda kile kitendo akaichukuwa shuka na kumfunika.

“ahaa bwana nini

Si umalizie tu”

Saida akaongea hivyo huku akijifunua ile shuka,

Mwanaume akatabasamu kumbe binti anataka wembe wacha umnyoe akavua nguo zake na kumpandia kwa juu denda likaanza

Kutawala

Hafidhi akiwa juu ya kifua cha bibiye alihakikisha anamkuna vyema ni kama alikuwa kwenye mashindano ya usuguaji, alipampu juu chini huku akiikwangua vyema g.sport ambayo kile kiarage mtuno,aaaaaaaaa­aaaaaaah,,,,,,,,,,,alilalamika Saida huku akizungusha kiuno chake ambapo kwa mwanaume huyo kwake aliona kama vile imekuwa ligi kuu ya wasuguanaji hodari, Hafidhi Alizunguka kitandani hapo kwa kukigeuza kiuno chake huku akimsugua kwa kuzungusha kiuno chake pia kilichokuwa kinaigusa G.sport Saida akazidi kucheza sebene wakati mchi ukiwa umeingia nusu kwenye kinu.

,,,aaaaaaaaaaaaaah,,,“Assssss,,,,weeee ,,,,una kitumbua kitamuuuuu,,,aaaaaah,,,aliongea hivyo Hafidhi huku akizidi kupampu kwa kasi ndani nje,nje ndani huku kidole chake akiuchezea mpododo kitu ambacho Saida alizidi kusisimka kwa utamu.

Basi akaona mtindo huo hawezi kupata kutwanga vizuri akamgeuza na kumlaza kifudifudi kabisa na kumbananisha miguu yake,basi makalio makubwa ya Saida yaliyokuwa yametuna yalibaki juu kama macho ya kinyonga mtoto alivyokatika sasa kalio lilijitenga vyema na kiuno chake kama dondora.

Mapaja yaliyonona yalisindikizwa na miguu mithili ya shampeni ambapo kumwangalia tu ilikuwa ni raha

Mwanaume alimshika Andunje wake aliye simama imara kisha akamjia kwa juu bibiye aliyebinua makalio yake kiuchokozi kabisa,akaitanua miguu yake na kumweka kati Saida,akamuelekeza Andunje katikati ya makalio hayo yaliyobinuliwa kimakusudi kabisa, alichokifanya aliipitisha mikono yake miwili mmoja ukashika kalio la kulia mkono mwingine ukashika kalio la kushoto kisha ukayapenyua,kwa mbali mpododo wake ulionekana mpaka kitumbua,basi alichofanya alimshusha tu Andunje wake mrefu na mnene ambapo alizama kwenye kitumbua wote kwa kuteleza,,,,aaaaaaaa­aaasssssssssssssssss­ssssssssss,,,,,aaaah,,,mtoto alilipokea na yowe laini lililomfanya Hafidhi naye kujibu kwa kuguna kwa sauti nzito ya mahaba

Walionekana kama amemlalia Saida kwa juu basi mikono ilipita kwenye makwapa na kuyashika mabega yake kisha kufanya kama anamvuta kwa chini.

Mdomo wake ulishamfikia kwenye lile eneo la shingo kwa chini yake kidogo,ulimi ulikuwa ukimnyonya huku hewa ya puani ikimtekenya na kumfanya apinde kidogo mgongo wake kama mtu anayeogopa kumwagiwa maji ya baridi mgongoni

Ilikuwa ni mwendo wa taratibu Andunje akiingia na kutoka kwenye kitumbua ambapo kila alipopopampu alimvuta Saida kwa chini kwani mikono yake ilikuwa na nguvu za kutosha,bibiye akiwa amegeuza kichwa pembeni huku mikono yake ikishika shuka kwa kulikunja alianza kuhema kwa nguvu huku akigugumia utamu wa Andunje,aaaaaaaa­aaah,,,yaaaaasssssss­ssssss,,,,,,,,aaaaa­aaaaah,,,mwanaume unajua kusugua weweeeeeeeee,,,,,aaaaaaah,,,linaingia vizuriiiii,,,nalisikia mpaka tumboniiiiiiii,,,aaaaaah,,utaniua jamaniiiiii,,,mmmmmmh,,,,,alimaliza maneno yote ambapo kwa upande wake hakuongea hata neno moja yeye alihakikisha dudu lake linamkuna kila kona ndani ya kitumbua chake kitamu,,,,,,,,,,,,,aaaaaaaaaaaah,,,,,hapohapooooooooooo­ooo,,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,Mwanaume ni kama aliongezewa mwendo alipoambiwa hivyo,ile ile sehemu aliyoigusa ndiyo akaikazania kuisugua huku akizidi kumtekenya mgongoni na ulimi wake mpaka shingoni,,,,aaaaaaaa­aaaaaaaaaaah,,,,,,,,,,,mtoto wa watu alilia na kujikuta akimwaga bao lake kwa mara ya kwanza,,utamu ulinoga hasa ambapo alihesabu ni ushindi tu huku moyoni akijisemea kuwa kaisha,alikisugua hasa kipele G chake mpaka bibiye.

Akawa anatoa mchozi wa utamu kabisa,,,,niacheeeee,,,,aaaaaaaaaaah,,,,­,,,wewee­eeeee,,,aaaah,,,,mam­aamaaaaaa,,,,,aaaaaa­aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,,,,,,,,,aaaaaaaaa­aaah,,nyokoooooo,,,mimiiiiiiiiiii,,,aaaa­ah,,,alijikuta akipiga kelele hizo alipokuwa anakojoa bao la pili,,,alipokojoa alitulia kimya ambapo naye Mzee mzima asimwage vya kutosha,aliiachia misuli ipitishe uji mtamu ambapo naye aligugumia hasa,,,,oooooooooooo­ooooooooooh,,,,aaaaa­aaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,,,alikuwa akimwaga bao lake ambapo hata nguvu za kumtoa Andunje amwagie nje alishindwa,bao lote alilimwagia ndani

“oyaa masela vipi mambo?”

“powa niambie mwanangu mwenyewe” “sina hata cha kuwaambia vichaa wangu embu nipatie msoto nipige pafu mbili tatu”

Alikuwa yule kijana aliyekwapua begi kule chumbani

Kwa Hafidhi, basi akapewa msokoto wa bange na kupiga kama pafu mbili kisha akalivua lile

Begi na kuhitaji kulifungua,

Akaifungua zipu ghafla bin vuu ndani ya

Bagi akatokea zinga la joka aina ya Anaconda

Kimbembe kikaanzia hapo kwanza bange zote walizovuta zikawatoka kichwani na kuanza kutetemeka wengine mpaka kuanza kujisaidia haja kubwa na ndogo

Hakika Anaconda yule alikuwa katanda kila eneo sehemu ya kukimbilia hakuna”…

Yule Anaconda wa ajabu haijulikani hata wapi katokea maana haingii akilini kabisa kuwa katokea mule kwenye kabegi kadogo, huku akiwa amevimba kwa hasira akageuza kichwa chake huku na kule na kuanza kucheka, Hahahaha sauti yake ilikuwa kali sana kisha akasema “Kijana usitake kujitafutia matatizo yasiokuwa na miguu wala kichwa sasa basi nakuomba ulirudishe hili bagi ulipo litoa una masaa machache sana ya kufanya hiki kitu vinginevyo mtakufa nyote’’,,, baada kuongea vile Anaconda akapotea huku akiacha hali ya taharuki kwa vijana wale kila mmoja akatoka mbio kwa njia anayo ijuwa yeye lakini hatua kadhaa mbele kila mmoja akakumbuka kauli ya yule Anaconda , ndipo wakatambua kama wakifanya mchezo watakuja kufa kweli “Wee bwege mamayo zako ushatutafutia msala embu chukuwa hilo bagi ulirudishe fanya upesi kabla sijakutumbua macho malaya wee’’,,, mmoja kati ya vijana akang’aka kwa hasira kwa kumtaka mwenzake afanye haraka kulipeleka hilo bagi. Kijana huku mikono ikimtetemeka akafanikiwa kulibeba bagi na kupiga hatua za haraka kuondoka ndani ya mjumba huo, njia nzima alikuwa akijiuliza yule jamaa anaeishi kwenye chumba kile ni nani na itakuwaje akifika maeneo yale kisha watu wakamuona si watamuuwa maana wengi wao walimtambua wakati aliporuka ule ukuta na kuwatukana sema akajipa moyo.

“Baby’’ bibiye Saida akaita hivyo “Naamu niambie king’asti changu’’ “sijui kama utaweza kunielewa mpenzi wangu kwahiki nitakacho kisema sijui hata nianzie wapi’’,,, Saida akazungumza huku akimshikashika Hafidhi kifuani na kuvichezea vinyweleo sijui wanaita garden love “Wee niambie tu usihofie chochote kwani nini tatizo?’’ “Basi wakati unatoka ukaniambia nikusuuzie vyombo vyako nami nikafanya hivyo baada kumaliza nikaingia bafuni kujimwagia maji kidogo mlango niliusindika tu kumbe huku nyuma si akaingia mwizi na kuiba lile bagi kelele za mwizi zikanifanya nikurupuke na mapovu yangu kichwani hadi usoni kuja kuuliza mwizi yuko wapi sikuweza kupewa jibu, baby mwenzako nina wasiwasi mkubwa sana,

Mpaka hapo mwanaume akaweza kutambua kwanini wakati anataka kuufungua mlango wake kuna kitu kama mwanga wa taa uliweza kummulika kwenye paji lake la uso kumbe ilikuwa ishara ya kumjurisha kwamba ndani ya chumba chake kuna tatizo basi hakutaka kupoteza muda akanyanyuka kutoka kitandani na kuvaa nguo zake huku akiuliza huyo mwizi kakimbilia wapi. Saida akamjibu kwa kumwambia mbona yamepita masaa mengi sana tokea tukio hilo litokee haitokuwa jambo jepesi kuweza kumpata huyo mwizi, “wewe niambie kakimbilia wapi kuhusu masaa sijui dakika niachie mimi ndio ninaejuwa nitampata vipi’’ Hafidhi akawa mkali kidogo Saida nae hakuwa na jinsi zaidi ya kumtajia mwanaume akatoka kwe mwendo wa haraka lakini kabla ya kuingia vichochoro kadhaa akaweza kukutana na huyo kijana ajabu kila mmoja akampita mwenzie sijui hawakujuana au vipi “Shenzi zake ana bahati karudisha mwenyewe vinginevyo ningemtengua kiuno leo’’ Hafidhi akajisemea hivyo kumbe aliweza kumtambua basi kijana akaweza kufanikisha kulirudisha lile begi baada kufika maeneo hayo akalitupia mlangoni na kukimbia zake kumbe Hafidhi alikuwa yupo nyuma yake kile kitendo cha kulitupa tu mwanaume akaliokota huku akicheka na kuingia nalo ndani,

Saida hakuweza kuamini aisee kumuona Hafidhi akiwa na lile bagi akauliza “umelipatia wapi hilo bagi tena?’’ Hafidhi akabaki kumtazama pasipo kumjibu chochote na kuliweka kwanza lile begi kabatini kisha akasema “baby ujuwe mi noma sana yani nilipotoka hapa nikaruka ule ukuta na kutokezea kwenye mjumba fulani hivi kwa mwendo wa kunyata nikaweza kuwaona vijana kama sita hivi wote wakiwa arosto basi nikajongea na kulichukuwa hili bagi kulaini kabisa pasipo wao kuniona kisha nikasepa zangu, “mmh baby wee muongo yani unataka kusema uliweza kupanda kwenye ule ukuta kwanza ulijuwaje kama mwizi atakuwa maeneo yale?’’ “Si niliulizia hapo nnje ndipo nikaambiwa mwizi wakati anakimbia aliruka ukuta wa maji matitu’’ “Sawa hapo nimekukubali wewe noma yani sijawai kumuona mwanaume mjanja kama wewe’’ ghafla mtoto wakike akaguna baada kutekenywa kwenye chuchu yake ya kushoto kwa kusema “asssss,,,ohoooo,,,mi sitaki bwana akadakwa mdomo na kuanza kunyonyana denda hakika lilikuwa denda hatimae andunje akapenya kwenye kitumbua.

Baada kutimia kama wiki moja hivi ndani ya uwanja wa ndege uliopo maeneo ya Kipawa siku hiyo kulikuwa na ugeni ulikuwa ujio wa kijana matata sana kijana ambaye aliweza kuipa jambajamba nchi ya Marekani ijapokuwa sio wa kulipua ubarozi au nini “ohoo karibu sana kijana wangu hatimae umeweza kurudi nyumbani ukiwa salama salimini’’ Alikuwa baba yake Michael akimwambia mwanae na kumkumbatia hawakutaka kupoteza muda wakaingia ndani ya gari na kuondoka eneo hilo, wakati huohuo ndani ya uwanja huo tunamuona mzee mzima akipandisha ngazi za ndege bila shaka safari yake ya kwenda nchini Marekani ilikuwa imewiva sijui anaenda kufanya nini sema ndio hivyo anaondoka. Yani ilikuwa kama vile wamepishana tu, “Baba unataka kusema ndani ya nchi hii kuna mpumbavu mmoja anawapa jambajamba’’ Michael akamuuliza swali baba yake. “Ndio mwanangu huyo kijana kwakifupi anatisha yani hivi tunavyoongea kauwa watu wengi sana polisi sijui FBI wanaangaika usiku na mchana kumsaka wanaishia kupigwa matobo tu hakika hakamatiki wala hashikiki’’

“mmh’’ Michael akaguna na kusema “Lakini baba tambua kitu kimoja hapa bongo hatuna vitengo vya maana kuweza kumshika kunguni kama huyo kitu kingine hii kesi ya panya huwezi kumpa mende ukitegemea mende atamkamata panya maadamu nimefika hii kazi niachie mimi nina hakika nitamshika siku si nyingi tena nitakuja kumuuwa mbele ya macho yako’’ Michael aliongea kwa ujasili sema mzee wake akaguna tu hakutaka kujipa matumaini ya aina yeyote kuhusu kijana wake kuja kumkamata Hafidhi j Ikram akajiseme moyoni mwake tusubiri na tuone asitukane mamba kabla ya kuvuka mto’’ Ndani ya hospitali ya Agakhani kulikuwa na pilika pilika za hapa juu ya bibiye Vivian baada kushikwa na uchungu wa kujifungua kwa mara ya kwanza tunaiona familia yake yani baba yake na mama yake na ndugu zake wengineo kama vile dada, kaka shangazi bibiye Mariam nae alikuwepo na kitumbo chake sijui yeye lini sema kuna kausemi fulani hivi ukimuona mwenzako akinyolewa naw tia kichwa chako maji sijui huu msemo unamaana gani “Mariam binti yangu yani mwenzako tokea arudi kutoka mafunzoni hakutaka kuja nyumbani kabisa yani hata kutupigia simu hakufanya hivyo tukaishia kumuona kwenye video tu. Sema nashukuru sana kwa kuweza kutujulisha hali yake’’ Alikuwa mama yake mzazi na Vivian akimwambia Mariam wakati wakiwa katika mazungumzo mlango wa wodini ukafunguliwa akatoka Daktari huku akiwaa na tabasamu mwanana akasema “ongereni sana hakika binti yenu ameweza kujifungua salama mtoto wakiume’’ kila mmoja akafurahi na kukumbatiana “vipi Daktari tunaweza kwenda kumuona?”

Mariam akauliza swali basi

Daktari akamjibu haina shida mnaweza kwenda kumuona basi wakaingia kwa pamoja binafsi ilikuwa bonge la furaha kwa bibiye Vivian kupata mtoto

Jamani huyu mtoto kafanana kila kitu na baba yake kuanzia unywele mpaka ukucha ni

Hafidhi mtupu sijui mwenyewe akirudi na kumuona mwanae atafurahi kwa namna gani”

Vivian alijisemea hivyo.

“Akirudi kutokea wapi tena?”

Mariam akauliza swali binafsi hakuweza kutambua kama kipenzi chake

Ameenda kwenye nchi za watu.

“Kwani wewe hajakuaga?”

Vivian nae akauliza swali

“Ndio hakuweza kuniaga kwani ameenda wapi?”

“Binafsi mimi kaniaga anaenda Marekani”

Mariam akashtuka nusra adondoke

sema akajizuia na kujishika kichwa palepale hali yake ikabadilika kwakuwa alikuwa yupo hospital ikawa rahisi kupatiwa msaada.

Hafidhi aliweza kupitia nchini Ufaransa na kutaka kuanzia upelelezi wake hapo katika jiji la Paris

Mwanaume akatafuta hotel yenye hadhi ya chini kidogo

Yote ilikuwa katika plan yake ya kutotaka kufahamika yeye ni nani kama ujuavyo nchi za barani ulaya kila kitu kinakwenda kutokana na tekenorajia. Akiwa ndani ya chumba chake alichoweza kukipata akawa akipanga ni jinsi gani ataweza kuwanasa wabaya wake kwa mara ya kwanza akafanya kitu cha ajabu baada kunyoosha kidole chake cha shahada kuelekezea ukutani ghafla kikatokea kitu kama zile tv za projekta akabaki kutabasamu huku akiikazia macho ile tv hakika uliweza kuonekana mji mzima wa jiji la Paris nchini ufaransa, akajiseme “yes! Wewe kenge nimeweza kukunasa na kuonyeshea picha ya baba mmoja hivi akiwa super markert, baada kuongea vile ile tv ikapotea na kubaki ukuta tu kama ilivyokuwa awali

Ni kesho yake asubuhi na mapema mwanaume akajihimu kuamka sema kulikuwa na baridi la maana akaingia kwenye mitaa na kujipatia jacket na kofia yake kisha akaingia kwenye mgahawa kwaajili ya kupata kifunguwa kinywa haikumchukuwa dakika nyingi akatoka na kujichanya na watu wa maeneo hayo watu wenye ngozi nyeusi walikuwa wanahisabika.

Kila hatua aliyokuwa akitembea akawa anajiangalia kwenye kiganja chake cha mkono unaweza kusema anacheki ramani safari yake ikampeleka mpaka kwenye hotel moja yenye hadhi ya nyota tatu kwanza maeneo hayo matajili pekee ndio wenye kuingia maeneo hayo mwenzangu na mimi pangu pakavu tia mchuzi hugusi kwanza kulikuwa na ulinzi mkali utasema analindwa Rais kumbe vibopa, kutokea nchi mbalimbali walioweza kufikia kwenye hotel hiyo ya kifahari.

Hafidhi akachekecha akili na kuona kama atatumia njia ya kawaida kuingia ndani ya mjengo huo itakuwa vigumu kwake yeye kufanikisha lengo lake akaona njia pekee ni kuchenji uharisia kutoka ubinadamu na kuwa Jini, hakupoteza muda papo hapo akabadilika na kuwa kiumbe kisichoweza kuonekana kwa macho ya kawaida akaingia ndani ya hotel bila tatizo lolote, aliweza kuwaona watu wengi sana wakiwa wamejichanganya katika vikundi mbalimbali wapo ambao walikuwa wapo bize kwenye kucheza kamali wengine wakiwatazama wanadada fulani waliokuwa wakicheza nusu uchi yani ndani ya hotel hiyo kulikuwa na full burudani, yeye hakutaka kupoteza muda kaja hapo kwa nia moja tu kumpeleka mtu kuzimu.

Akapiga hatua za haraka huku akipigana vikumbo na baadhi ya watu sema wenyewe hawakuweza kutambua chochote kama wamepigwa vikumbo, kwenye kona moja hivi ya hotel kulikuwa na kikundi cha mabinti wamemzunguka mzee mmoja wa kiafrika , bila shaka mabinti wale walikuwa ni malaya wa jiji hilo,

Hafidhi akatabasamu baada kuweza kumuona huyo mzee akamsogelea kwa ukaribu zaidi na kujitoa kwenye umbile la kutoonekana na kuwa binadamu wa kawaida akamkazia macho yule mzee nae baada kumuona Hafidhi akashtuka na kudondosha glass chini mabinti wote wakashangaa imekuwaje tena buzi lao kawa vile yani kama mtu aliyeshikwa na degedege,

Walinzi wakawai kufika haraka baada kugundua kwa yule mzee kuna tatizo Hafidhi akatoa kauli moja tu tena kaongea kwa lugha ya kifaransa sema mimi natafsiri “Tafadhali nawaomba mtoke nnje haraka sana”,,,,,Kila mmoja akashikwa na mshangao, wakati yule

Mzee akitafuta upenyo aweze kukimbia”

Kauli ya kuwaambia tokeni nnje basi watu wakapigana vikumbo katika kuugombea mlango, kila mmoja alitaka kuwa wakwanza kutoka. Walinzi wa ukumbi huo wenye asiri mchanganyiko yani kulikuwepo na Warusi, Wajapan, Wathailand hawakupoteza muda wakamvamia basi ulitembezwa mkono wa ajabu watu walitupwa huku na kule hakika Mwanaume hakutaka mchezo kabisa, basi vurugu mechi ikaendelea ndani ya hotel hiyo huku mrengwa yani aliefatwa akikimbia baada kupata upenyo sema mwanaume hakutaka kumuacha kizembe ijapokuwa walinzi walizidi kumzonga asiweze kumfikia huyo mzee “jamani mzuiyeni huyoo anataka kuniuwa,’’ mzee yule akapaza sauti kwa kupiga kelele akiwaomba walinzi waweze kumzuia Hafidhi sema ilikuwa kazi ngumu sana kwa walinzi hao kuweza kukizuia kiumbe hicho. Polisi wa jiji hilo nao wakafika mwanaume akawekwa chini ya ulinzi baada kuelekezewa bastola nae akatii amri kwa kunyoosha mikono yake juu lakini kabla ya polisi kumshika akapotea na kuacha hali ya mshangao kwa maafande wale mambo aliyokuwa akiwatendea maafande wa Tanzania sasa kahamishia Ufaransa.wakati maafande wakihaha kumtafuta ndipo zikasikika kelele za mtu “jamani nakufaa!!! Kelele zile zilisikika zikitokea gorofa ya pili kitendo bila kuchelewa wakapandisha ngazi haraka haraka kabla ya kufika kuna kitu kikatupwa chini kuja kuangalia ni mwili wa yule mzee akiwa na jina jipya marehemu, hakika polisi walidata si kidogo kwakuwa walijigawa wengine wakapandisha juu wengine wakabaki chini kivumbi jasho kiliwakuta wale waliopandisha juu wakakutana na kitu ambacho waliomba iwe movie au ndoto , Kwanza walifinywa na kunyongelewa mbali sauti zao tu ndizo zilizoweza kusikika mwishoe wakawa kimyaa hawakusikika tena, watu wakabaki katika hali kubwa ya sinto fahamu,

Wakati Hafidhi akifanya mauwaji ya kutisha katika nchi ya kigeni hali ilizidi kuwa tete ndani ya nchi hiyo kila kukicha watu wakazidi kuuwawa polisi wakazidi kumsaka muuwaji kila kona kulikuwa hola hatimae wiki miezi mitatu ikatimia huku takribani watu wapatao ishillini wakipoteza maisha kwenye matukio yenye kufanana “vizuri sana hakika kazi yangu imeweza kwenda vyema sasa wacha nirudi nyumbani,’’ ilikuwa kauli ya Hafidh,i tukirudi nchini Tanzania kijana Michael nae akaanza upelelezi wake wa kumsaka huyo kidudu mtu pasipo kutambua mwenzake hayupo nchini. “ohoo Mungu wangu yani huyu mshenzi kahamua kuwafungia safari ndugu zetu dahaa masikini bwana Sultan kauwawa,’’ alikuwa mzee Khatibu kama unamkumbuka ndio baba mzazi wa marehemu Habiba ni mtu ambaye amewekwa kama kiporo na Hafidhi kwanza hakuwa na haraka nae, hata yeye mwenyewe alitambuwa kitu kimoja ipo siku itafika zamu yake, wakati bibiye Vivian akijfungua mtoto wakiume mwenzake akajifungua mtoto wakike na kupewa jina la Yusra, wakiume akaitwa Ikram

Ilikuwa siku ya October 14 ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha baba wa taifa mwalimu Nyerere ndani ya uwanja wa taifa ndipo zilifanyika kumbukumbu hizo. Bibiye Mariam ukipenda muite Mama Yusra nae akapanga mipango yake ya kumuondoa hapa duniani muheshimiwa Rais hakika kumbukumbu ziliweza kupambwa kwa nyimbo za maomborezo kutoka kwa Kapten John Komba siku hiyo ulinzi ulikuwa taiti sana kila kona vikosi vya FBI vilitanda yote ilikuwa chochote kibaya kisitokee ukafika muda wa muheshimiwa Rais kupanda jukwaani kwaajili ya kuzungumza mawili matatu matarumbeta yakapulizwa kama kumkaribisha muheshimiwa nae akapanda jukwaani na kujiweka sawa, binafsi alikuwa ni Rais ambaye ni kipenzi cha wananchi yani tokea aingie madarakani kila kitu kiliweza kubadilika uchumi uliweza kupanda kwa asilimia tisini na tano. Ajila kwa vijana zilikuwa za kumwaga vitu viliweza kushuka bei sukari kilo shilling elfu moja unga kilo mia nane mchele bei ya juu kabisa mwisho kilo moja ni elfu moja na mia tatu, sasa wananchi watake nini tena ikiwa huduma mahospitalini ni sawa na bure. Baada kupanda jukwaani muheshimiwa akawapungia mkono wa salamu wananchi wake, nao wakasimama kwa kupiga vigeregere, ile anafungua mdomo tu aanze kuongea ghafla chuma cha moto kilikuja kwa kasi na kupenya kwenye paji lake la uso, kama alivyopigwa marehemu mkewe nae ikawa hivyohivyo akayumba na kudondoka chini puhuu, utasema mzigo wa kuni wananchi wakapigwa na butwaa wasiweze kuamini kwakile kilichoweza kutokea kwa mpendwa wao siku zote kuuwawa kwa Raisi inakuwa balaa walinzi wakatanda kila kona kwa kuuzunguka uwanja mzima ikiwemo na mijengo ya jilani yote ilikuwa katika kumsaka huyo mdunguaji wa masafa marefu siku ya sherehe za uhuru alimuuwa mke wa Rais leo hii kamuuwa mwenyewe hivi huyu muuwaji anania gani na nchi yetu. Ni maswali yaliojengeka kwenye vichwa vya watu wengi. Kwenye jengo moja hivi juu kabisa kama gorofa ya kumi na mbili hivi kuna kiumbe kimetinga mavazi meusi alikuwa akishuka kwa kamba kwa speed ya ajabu mmoja kati ya walinzi akaweza kumuona kitendo bila kuchelewa akawasiliana na wenzake kabla kile kiumbe hakijafika chini, vikosi vimetanda nae pasipo kutambua kama kaonekana akazidi kushuka.

Akiwa sijui gorofa ya tatu ile akashtuka baada kuangalia chini na kuona polisi wametanda kule chini wakimngojea yeye kwa hamu, kulekule juu kiumbe kikajibiduwa na kutaka kurudi alipotoka ghafla kamba aliyokuwa akishukia ikakatwa baada vua ya risasi kuanza kumiminiwa kule juu na kujikuta akidondoka kuja chini sema akatumia ujuzi aliokuwa nao. Asije kufa au kuumia kizembe akadank na kujiviringisha mpaka chini ile kutuwa chini tu akaanza kutembeza mkono kwa maafande binafsi alikuwa anapiga mapigo ya ajabu. Under cover agent bibiye Mona Risa nae akafika na kuwaomba polisi wakae pembeni hiyo ngoma hawaiwezi kabisa. Bila ubishi wakampisha bibiye hatari akaingia kwa mbwembwe za ajabu wote walikuwa wakali kwenye mapigo ya fighting wing chun, ikawa piga nikupige huku vikosi vya polisi wakizidi kuongezeka si akaingia bibiye Vivian sasa ikawa mtu mmoja kwa wawili sema muuwaji akasimama imara kwenye kupambana ikawa shida juu yake. Hakika akazidiwa uwezo na kujikuta akipigwa kama motto kibaya zaidi akaingia kiumbe mwingine anaekwenda kwa jina la Michael ghafla Vivian na bibiye Mona wakapigwa na butwaa baada muuwaji kuvuliwa mask sio wao tu hata baadhi ya polisi wakashtuka kumbe alikuwa bibiye Mariam kama tunakumbuka aliwai kumwambia kitu hiki Hafidhi kuwa ipo siku atakuja kumuuwa muheshimiwa Rais,

Mariam hakuwa na ujanja tena damu zikabaki kumtoka kichwani zingine mdomoni na puani hakika kitendo cha kumuuwa Rais ni kosa kubwa sana tena ukichukulia alikuwa ni kipenzi cha watu.

Utawaambia nini wananchi wakuelewe,

Michael akazidi kumtandika makofi

huku akimburuza kuingia nae ndani ya

Uwanja.

Vivian na Mona Risa roho zao ziliwauma Sema hawakuwa na chakufanya

“Mariam please nakuomba nisamehe kwa hiki nilichokutendea hakika sikuweza kufahamu kama ni

Wewe,

Vivian aliongea kimoyomoyo huku akishuhudia

Michael akichukuwa kipaza sauti na kusema

“ndugu Wananchi huyu ndio muuwaji mwenyewe tumefanikiwa kumnasa

sasa basi hukumu yake itolewe hapahapa,”

“ndioo nae auwawe!!! Auwawe”……

Wananchi wakapaza sauti kutaka bibiye auwawe

Undercover agent mmoja akachomoa jambia kwaajili ya kumchinja bibiye

Mariam akafumba macho kukingojea kifo chake,

Vivian nae akaangalia pembeni asiweze kuona jinsi mwenzake akifanyiwa kitendo hicho.

Wakati yule Undercover agent akiwa kainua jambia lake juu kabla ya kulishusha, ghafla kitu chenye ncha kali sijui kisu au nini

Kilirushwa na kwenda kukita mkononi mwake

Akalidondosha jambia chini

Upepo ukavuma aisee Ninja short huyo hapo mbele yao,

Vivian hakuweza kuamini, FBI wakafanya kumfata waweze kumdhibiti wakashindwa na kuishia kupokea maumivu,

Michael nae si alikuwa akimtafuta huyu kiumbe kwa muda sasa

Akachumpa kwa kupaa juu kabla ya kutua akajikuta akipokea mateke ya double double kulekule juu na kutupwa mbali na pale

Mwanaume alitumia dakika mbili tu kusafisha njia na kumsogelea kipenzi chake

Akambeba na kupotea nae,

Vivian na Mona wakabaki kucheka tu maana huyu kiumbe si wamchezo.

Michael akabaki kupiga kelele kwa maumivu ukichanganya na hasira imekuwaje yeye kapigwa kizembe vile.

Ikabidi nchi iwe mikononi mwa jeshi kwa muda mpaka pale

Madaraka atakapo kabidhiwa makamu wa Rais,

“ulimuona yule mshenzi jinsi alivyoweza kumtandika Michael?”

Mzee Khatibu akauliza swali wakiwa kwenye kikao chao cha siri.

“yani wee acha tu hakika yule kijana hawezekaniki kabisa

Itabidi Michael ajipange,”

“hapana yule bwege mimi hakunipiga kanibahatisha tu mbona alikimbia,”

Michael akapinga vikali kuwa yeye hakupigwa.

“Michael mwanangu usitake kutuona sisi hatuna akili

Yani tumeweza kukuona ukiruka kwa kumfata ukaishia kupigwa teknik za ajabu

Pole sana kijana wangu,”

“ohoo inamaana mnamsifia sana yule bwege sio subirini na muone,”

Michael akaongea hivyo na kuondoka zake.

Sijui anaenda wapi

Nchi ikaingiwa na simanzi watu walilia na kusaga meno hakika taifa liliingia kwenye msiba mzito sana ikafikia baadhi ya wananchi kupoteza maisha wengine kuzimia.

Hakika alikuwa Rais kipenzi cha wengi

Mikoa yote ikazizima,

Ni tukio ambalo haikutakiwa nchi zingine waweze kufahamu kuepusha nchi kuvamiwa kizembe ulinzi uliwekwa wa kutosha maeneo ya mpakani.

Nchi ikiwa mikononi mwa Jeshi kwa muda,

“Mona Risa imekuwaje mpaka nawe ukaletwa ndani ya nchi hii

wakati ulipelekwa Somalia kupambana na maharamia wa nchi hiyo?”

Lilikuwa swali kutoka kwa bibiye Vivian akimuuliza Mona.

“yani Dada wee acha tu wakati mimi napelekwa Somalia, nyie mkibaki kambini basi nikafika kule Somalia yani mambo niliyoweza kuyaona huko binafsi kuna

tisha si mchezo, watu wanauwana hovyo hovyo yani ukilala na kubahatika kuiyona kesho

Shukuru Mungu huko watu wanaishi kama kuku akija mgeni tu wanabaki roho juu.

Sema niliweza kuifanya kazi yangu vyema wakati nikiwa katika hatua za mwisho kumaliza mission ndipo nikapewa

Taarifa za kifo cha Yusra kwanza nilishtushwa na kuuliza alikuwa anaumwa au. Nikapewa maelezo ya kutosha nikaomba nije kuziba pengo lake.

lakini iwe kimya kimya uwongozi ukanikubalia basi nikaingia nchini kimya kimya na kuifanya kazi hii

Niliweza kumtwanga risasi yule muuwaji,”

Mona akamaliza kusimulia na kubaki kutizamana,

“vizuri sana mdogo wangu swali la kujiuliza kwanini Mariam katenda mauwaji haya nini tatizo nini shida,”

Vivian akasema hivyo.

“hata mimi najiuliza maswali hayo hayo sema kuna kitu nahisi ndani ya akili yangu lazima kunakitu kimeweza kutokea kabla ya mauwaji haya.

Lakini Dada mbona kile kiumbe ndio kaondoka na Mariam si ataenda kumdhuru?”

“hapana hawezi kufanya hivyo pale alipo

Yupo kwenye mikono salama kabisa,”

Hafidhi akiwa nchini Ufaransa

Aliweza kutambua kitu kimoja kama October 14 inakaribia basi

Bibiye Mariam anaweza kufanya kile ambacho aliwai kumueleza

Akaona kama kweli atakuwa na lengo hilo itakuwa vigumu kutoka salama kwenye uwanja huo

Ndipo akafunga safari kuja kumzuia asifanye kitendo hicho.

Sema akawa amechelewa kufika na kukuta mauwaji yashafanyika bibiye kanaswa.

Chakufanya ni kumkomboa tu, mwanaume akafanya mambo na kuondoka nae.

Baada kuondoka nae akampeleka sehemu ya mbali yani kijijini, huko

Kwenye kijumba cha udongo juu kimeezekwa nyasi sijui ilikuwa nyumba ya nani, akamlaza kitandani na kuanza kumpatia huduma ya kwanza

Mariam alikuwa hajiwezi kwa chochote,

Mwanaume akawasha moto na kuchukuwa sufulia akaweka maji akatoka nnje na kuchuma majani fulani hivi akainjika jikoni

Dakika si nyingi dawa ikawa tayari akaanza kumkanda nayo kila sehemu yenye

Majeraha nyingine akatwanga na kumpaka

Sehemu yenye vidonda

“aaaaaaah”

Mariam alitoa sauti ya kilio kwani maumivu aliyokuwa nayo si madogo na ile dawa ndio ilikuwa kama inamchoma hivi,

“baby umzima?”

Hafidhi akauliza swali baada kumuona kipenzi chake kafumbua macho.

“ndio baby ni mzima ijapokuwa nasikia maumivu makali sana upande huu,”

Mariam akajibu hivyo

Basi ikawa kazi ya Hafidhi kumuangalia mpenzi wake mama chanja

Akaanda chakula yani viazi vitamu akavichemsha tu wakala. Usiku ukafika na kulala,

“Sijui atakuwa kaenda nae wapi dahaa simu zao zote hazipatikani,”

Vivian akabaki kujisemea hivyo akiwa kitandani na mwanae kipenzi Ikram

Hivi mtoto atakuwa kamuachia nani? Embu subiri nimpigie simu Khamisi, akaichukuwa simu yake na kubofya bofya akaiweka sikioni

Simu ikawa inaita hatimae ikapokelewa,

“halloo Khamisi ujambo?”

“sijambo Dada hofu kwako tu vipi kuhusu Dada Mariam mbona mpaka sasa hivi hajarudi nyumbani mtoto analia huku

anamtaka mama yake,”

Khamisi akaongea hivyo

“Mariam kuna matatizo yameweza kumtokea na mpaka sasa sijui yupo wapi ninachokuomba mlete Yusra kesho asubuhi,”

“Sawa sister”

Simu ikakatwa pasipo Khamisi kutaka kudadisi matatizo gani yaliyoweza kumsibu Dada yake.

Kesho yake asubuhi na mapema Khamisi aliweza kufika nyumbani kwa Vivian akiwa na mtoto basi akapokelewa na kuambiwa kila kitu kilichoweza kutokea ndani ya uwanja wa taifa kuwa dada yake ndio muuwaji wa Rais, binafsi Khamisi akapinga vikali sana na kusema hapana dada yake hawezi kutenda kitu kama hiko itakuwa kasingiziwa tu aliongea hivyo huku akilia, ikabidi Vivian ambembeleze na kumwambia asijali kila kitu kitakuwa sawa hakuna chochote kibaya kitakachoweza kumtokea dada yake. Kikosi cha jeshi la polisi waliingia kila sehemu ambayo walihisi wanaweza kumpata bibiye Mariam, yani ilikuwa msako mpaka nyumbani kwa Vivian sema kila kona mtu hayupo picha zake zikabandikwa kila maeneo kuwa mtu huyu anatafutwa kwa yeyote atakayeweza kufanikisha kukamatwa kwake zawadi nono itatolewa. Mwezi mmoja ukaweza kutimia pasipo kuonekana kwa Mariam wala Hafidhi hakika lilikuwa pigo kwa bibiye Vivian asiweze kufahamu hawa watu watakuwa wapi, akajitahidi kila njia kuwatafuta mwishoe akakata tamaa na kungojea ipo siku watakuja kuonana nae, kwakuwa watoto walikuwa wapo wawili ikamuwia vigumu kwa yeye kuwaangalia ukizingatia kazini anahitajika basi akatafuta mfanyakazi za ndani, siku moja Vivian alikuwa anajiandaa kwenda kulala wakati huo house girl ameshaenda kulala zamani tu na kumuacha Vivian sebuleni akiangalia season ya I miss you usingizi nao ukaanza kumnyemelea akazima tv na kupiga hatua kadhaa kuelekea chumbani kwake ghafla taa zikazima akajuwa labda tanesco washafanya yao akajongea dirishani kuangalia nyumba za jilani umeme upo “ohoo shit! Yani umeme nimenunua juzi tu leo hii umeisha mambo gani tena haya ile anageuka akajikuta anakabwa na kuwekewa kitambaa mdomoni akajitahidi kujinasua kutoka kwa kiumbe hicho sema hakuweza mwishoe akanyong’onyea na kupoteza fahamu hakuweza kutambuwa kilichoendelea. Baada bibiye kupoteza fahamu kiumbe kile kikapiga hatua za kunyata na kuingia chumbani kwa house girl haikumchukuwa muda mwingi kuwepo ndani ya chumba hicho akatoka na kuingia chumba cha Vivian akatoka akiwa kawabeba watoto. Ni asubuhi nyingine nyumbani kwa bibiye Vivian polisi waliweza kufika baada kupewa taarifa kuwa Vivian na wanawe wametekwa jana yake usiku na haijulikani wamepelekwa wapi,

Mona akachekecha akili na kutoa kauli moja tu, “itakuwa ni Hafidhi ndio aliyetenda kitendo hiki,’’ ndani ya kijumba cha udongo tunamuona bibiye Vivian akiwa amelala pembeni yake yupo Ikram sema sauti ya Ikram akilia ndio ikamshtua kutoka kwenye usingizi mzito akakurupuka huku akihema kijasho kilimtoka akazidi kudata baada kujikuta ndani ya nyumba ambayo haifahamu. Akaangalia kushoto na kulia akamchukuwa mwanae na kumkumbatia kisha akashuka kitandani si akaliona panga akawai kulichukuwa kwa mwendo wa kunyata akawa anatoka huku Ikram kambeba mgongoni ile anatoka tu ghafla akajikuta akidakwa mkono na kupokonywa panga nae akajizungusha kugeuka akapigwa na butwaa baada kumuona kipenzi chake yani Hafidhi ndio aliyemfanyia hivyo akafahamu amekuja kumkomboa baada kutekwa akawai kumkumbatia kwa nguvu huku nae akilia. Sauti ya makofi ikipigwa ndio ikamfanya Vivian ageuke kungalia ni Mariam, “baby mbona sielewi mbona niko huku kunanini huku na nimefikaje?’’

Vivian akauliza maswali akitaka kufahamu sema aliweza kufarijika baada kuweza kuwaona watu wake wa karibu akaenda kumkumbatia Mariam na kumuomba msamaha kwa kile alichoweza kumtendea kule uwanja wa taifa pia akamwambia hata Mona anaomba umsamehe,

“Vivian na Mariam naomba niwaambie vitu vya msingi sana kwanza kabisa tambuweni kitu kimoja nyie kuanzia sasa ni wake zangu nitakuja na shekhe hapa atie ubani ndoa ipite kitu kingine Mariam hutakiwi kuonekana tena mjini mpaka pale kila kitu kitakapokuwa sawa hata wewe Vivian swala la kwenda mjini sahau tutaishi hapa madamu pesa tunazo kila mahitaji muhimu mkihitaji mimi nitawaletea,’’ Hafidhi akaongea hivyo na kuwafanya wake zake watizamane na kutabasamu “hii sio haki kabisa yani mimi katika umri huu wa miaka 22 maisha yangu nimalizie huku kijijini si kujizeesha huku,’’ Vivian akapinga wazo la kuambiwa mjini apasahau. “hata mimi siwezi kuishi huku mbwinde kama kusakwa na polisi wacha wanisake ila mjini nitaenda,’’ Mariam nae akaunga mkono kauli ya mwenzake. “sikieni nyie wanawake binafsi hakuna ambaye nimemshika miguu nikamfunga kamba kumzuiya kwenda huko mjini mnaweza kwenda ila jichungeni sana,’’ baada mwanaume kuongea hivyo akanyanyuka na kuchukuwa panga huyo akaingia zake mashambani. “Mariam kwani hii sehemu mmeuziwa au mbona mnaonekana wenyeji sana?’’ Vivian akauliza swali, “mie hata sijui nakumbuka tu ile siku ya tukio baada kunitowa kule nikajikuta niko hapa,’’

Kusema kweli ndowa ya mabinti hawa ilipita kimtindo tu yani

Shekhe akaitwa na kutia ubani

ndugu pekee aliyeweza kuhudhulia ni Hamisi kaka wa bibiye Mariam

kwa upande wa Vivian kuna familia ikamuwakilisha kama ndugu

Leo kaolewa Vivian

Kesho kutwa Mariam watu walikula na kusaza wakaomba jamaa aowe kila siku,

saba za mwanzo zikapigwa sasa sijui saba gani wakati kawafunua wee kawageuza wee

Mpaka kuwazalisha leo hii anapiga saba

Pumbavu,

maisha ya

kijijini yalizidi kusonga mbele huku Vivian akipata nafasi anaenda mjini hata kwa bibiye Mariam nae ikawa hivyohivyo lakini siku moja wakati akiwa kwenye super markert moja hivi camera ikaweza kumnasa basi muhudumu akapiga simu polisi wakafika bila kuchelewa bibiye akanaswa mbele ya Michael kijana ambaye kajiunga kwenye jeshi la polisi kwa nia moja tu kumnasa Hafidhi wakati wale Maagent kutoka nchini Marekani baada kufika nchini iliwawia vigumu kumtambuwa Michael na kuamuwa kurudi nchini kwao. Taarifa za kunaswa kwa bibiye Mariam zilisambaa kama moto kwenye nyasi kavu watu wakaomba anyongwe siku hiyo hiyo, Wananchi wakaandamana wakimtaka muuwaji na kusema serikali inamchelewesha tu kama vipi wapewe wao waweze kumaliza kazi.

“Mama Ikram,’’ “abee mume wangu kipenzi’’ “mbona mama Yusra mpaka saa hizi hajarudi tu,’’ Hafidhi akamuuliza swali Vivian maana kigiza kinaingia sasa pasipo Mariam kuonekana pasipo kutambuwa mwenzao kanaswa usiku ule hakuna aliyeweza kupata lepe la usingizi kizuri zaidi Yusra kamzoea Vivian ndio kama mama yake vile, kesho yake asubuhi mwanaume akatoka kwenda mjini akarudi na jibu kuwa Mariam yupo gerezani,

(NADHANI TUMEWEZA KUFAHAMU KILA KITU KUHUSU MAMBO YALIYOWEZA KUTOKEA NDANI YA MIAKA MINNE TUNAKUMBUKA TULIHISHIA PALE BIBIYE MARIA KATOROKA GEREZANI NA KUMPIGIA SIMU HAFIDHI AKIWA KITUO CHA DALADALA GHAFLA AKAVAMIWA NA KIKUNDI CHA MAJAMBAZI NA KUTAKA KUMBAKA LAKINI MZEE WA KAZI AKAWAI KUFIKA NA KUPAMBANA NA MAJAMBAZI WALE NINI KILIENDELEA BAADA YA HAPO TUWEMO SOTE)

“Mwanaume akachumpa na kuachia double kick za ajabu jambazi mmoja akarushwa kule na kuwa kimya huku damu zikimchuruzika kwa wingi kwenye kichwa chake wengine wakaona mmh hii sasa balaa wakaamua kutimua mbio, kwakuwa bibiye alikuwa kapoteza fahamu baada kupigwa na kitu kizito kichwani akambeba na kuondoka nae.

Ndani ya usiku ule bibiye Vivian hakuweza kulala kabisa baada Hafidhi kupigiwa simu na kuondoka nae akainuka toka kitandani na kuanza kuzunguka huku na kule

Ndani ya chumba kile

Dakika si nyingi akashtukia mlango

ukifunguliwa akaingia Hafidhi akiwa kambeba bibiye Mariam

“ohoo Mungu wangu,”

Aliongea hivyo Vivian huku akimpokea

Mariam na kumlaza kitandani,

“sasa sikia nikwambie kitu Vivian itabidi kesho uongozane na mwenzako kwenda nchini Denmark

kumbuka kitu kimoja mnatakiwa muishi huko mpaka pale nitakapo wasiliana nanyi muweze kurudi,”

Hafidhi akazungumza hivyo na kutoa begi

Uvungu wa kitanda akamkabidhi

Vivian kwa kumwambia hiki ni kiasi cha pesa zipatazo billion 15

Za kimarekani

Bila shaka hizi pesa zitaweza kuwatosha kwa muda ambao mtaishi huko

Vivian muangalie sana mwenzako nilindie watoto wangu,”

Hafidhi aliongea maneno hayo huku mchozi ukimtoka ni jambo ambalo lilimshangaza sana bibiye Vivian,

“baby unamaanisha nini kuzungumza hivi?”

Vivian akauliza swali,

Sema Hafidhi akujibu kitu zaidi ya kumbusu kwenye paji lake la uso

Akafanya hivyo kwa watoto na kumalizia kwa Mariam,

Kesho yake yapata saa nne Asubuhi ndani ya uwanja wa ndege maeneo ya Kipawa tunamuona Hafidhi akiwa na wake zake

ijapokuwa bibiye Mariam alikuwa akijificha mara kwa mara

Ondoa hofu bibiye kila kitu kipo sawa,’’ Hafidhi akajitahidi kumwambia bibiye Mariam asiwe na wasiwasi, baada kukamilisha taratibu zote hatimae Vivian akiwa kambeba mwanae na Mariam nae akiwa kambeba mtoto wake wakafanikiwa kuingia ndani ya ndege Hafidhi akabaki kuwaangalia tu na kuwapungia mkono wa kwaheli, nao wakampungia kila mmoja akitabasamu ndege ikaanza kuondoka na kuiacha aridhi ya Tanzania mwanaume akageuka na kusema sasa kazi moja tu kama familia yangu imeweza kuondoka wacha nikamilishe kazi kabla sijapotea katika dunia hii. Hafidhi aliongea hivyo huku akiondoka maeneo ya uwanja wa ndege lakini ghafla damu zikaanza kumtoka mdomoni na puani damu yake ilikuwa si yakawaida yani nyeusii utasema oil chafu, binafsi hakupenda kuonekana akakitoa kitambaa chake na kujiziba kuanzia puani hadi mdomoni kwa mwendo wa haraka akatoweka maeneo hayo. Siku baada siku hali ya Hafidhi ikazidi kuwa mbaya isijulikane tatizo ni kitu gani akawa ni mtu wa kushinda ndani amelala tu kwenye kijumba chake cha udongo.

“Hafidhi kijana wangu kwanza pole sana tambuwa kitu kimoja muda wako wa kuwepo hapa duniani umeshakwisha karibu kuzimu kwa maisha mengine mapya,’’ ilikuwa kauli kutoka kwa Ibnuwasi ambaye ndio baba yake upande wa majini. “baba mbona imekuwa mapema sana kwamie kuondoka kazi yangu bado sijaimaliza kingine nina watoto wadogo tu wataishi vipi bila mimi, nipeni muda niweze kucheza na wanangu nifurahi nao.’’ “sawa kijana tumeweza kukupa siku chache tu kuweza kukamilisha hiko ulichokiomba ikamilishe hiyo kazi haraka sana sisi tunakungojea kuzimu,’’ Ibnuwasi akapotea Ghafla mwanaume akaanza kujisikia yuko vyema, akainuka na kutoka nnje na kujisemea leo nitawafyeka wote kasha akapotea Siku hiyo ndani ya jumba moja hivi yalikuwa ndio makutano ya vingunge wote wenye kufanya mambo ya kishenzi katika nchi hii na nchi za jilani “sasa ndugu zanguni kwa mara nyingine tena tumeweza kukutania hapa kama ilivyo kawaida yetu kukutana kwetu basi ujuwe kuna jambo sasa basi tusitake kupoteza muda kwanza kabisa kila mmoja anatambuwa ndani ya dunia hii tuna adui mmoja tu na adui mwenyewe si mwingine ni kijana Hafidhi j Ikram tumefanya kila njia kila namna tuweze kumnyamazisha imeshindikana kila kukicha anazidi kutupukutisha sasa basi ghafla kuna kitu kilirushwa na kukita kwenye shingo yake akarushwa hewani alipotua chini yupo kimyaa damu tuu zinamtoka kwa wingi utasema kuku kishingo kachinjwa kila mtu akadata na kujiandaa kukimbia wakaangaza macho huku na kule kutaka kumuona huyo aliyekirusha kile kisu, si wakamuona Ninja short akiwa kasimama mlangoni huku kichwa kainamisha chini wote wakashtuka

Kila mmoja akabaki kushikwa na kitete vijasho vilianza kuwavuja kibaya zaidi Michael hakuwepo maana ndio mtu pekee atakayeweza kupambana na kiumbe hicho japo wanakumbuka vyema kule uwanja wa taifa nini kilitokea juu ya Michael. Walinzi wakaanza kumfata hakika ilikuwa ni sawa na kujiingiza mwenyewe kwenye tanuri la moto kitendo cha kumkalibia tu mwanaume akawa akicheza na shingo zao kwa kuwapitishia jambia na kufanya damu ziruke huku na kule hakika chumba kikawa ni kama bwawa la damu ndani ya dakika tano kila kitu kilikuwa kimekwisha kabaki mtu mmoja tu si mwingine ni Mzee Khatibu alikuwa kajikunyata akitetemeka utasema yule adui kubwa wa kihindi sema kwasasa hivi ni marehemu sijui anaitwa Amrish poor ni adui mwenye roho mbaya sema akidakwa na stering anakuwa mdogo kama vile kidonge cha pilitoni ndivyo ilivyokuwa kwa mzee Khatibu kifo kipo mbele yake atafanya nini tena zaidi akabaki kulia tu, baada Hafidhi kufanya mauwaji yale akapotea zake pasipo kufanya jambo lolote mzee Khatibu sijui kwanini labda atatuambia sababu ya kufanya hivyo wakati alikuwa na uwezo wa kummaliza. Binafsi mzee Khatibu hakuweza kuamini kama ameachwa hai kwa mara nyingine, akabaki palepale amejikunyata akiwa haamini kabisa akijuwa Hafidhi anaweza kumrudia kwa wakati ule. “hivi ni kweli nimeachwa mzima akaitoa simu yake na kumpigia Michael, “hallooo kijana, uko wapi wewe huku mambo yamekuwa sio mambo hivi ninavyoongea na wewe baba yako hatunae tena,’’ mzee Khatibu aliongea kwa pupa huku machozi yakimtoka. Hakika kijana Michael ndio akachanganyikiwa zaidi. Akaingia ndani ya gari yake aina ya suzuki njia nzima alikuwa analia na kuupigapiga usukani Hafidhi baada kupotea ndani ya mjengo ule safari yake ikampeleka mpaka kituo cha televisheni cha ITV kilichopo maeneo ya Mwenge hakika mwanaume alikuwa mnyonge sana hakuwa na uchangamfu wowote baada kufanya taratibu fulani hivi akaambiwa asubili kama masaa matatu nae hakuwa na kinyongo maana anafahamu fika siku zote vipindi vinaenda kwa muda tena vizuri zaidi kaambiwa angojee masaa matatu wakati wengine wanapewa wiki au siku. Baada kuvuta subira kwa muda kidogo kipindi chake kikawadia akaingia ndani na kukaa kwenye kiti huku camera kubwa ya kituo hiko ikiwa mbele yake. “sasa unaweza ukaanza kila kitu kipo sawa,’’ akaambiwa hivyo na mfanyakazi wa kituo hicho Mwanaume akakohoa kidogo na kuanza kusema.

(Maisha ni mzunguko siku zote siri ya mtu itabaki moyoni mwake usimuone mtu anacheka na kufurahi na wewe kumbe ndani ya moyo wake anakuwazia ndivyo sivyo leo hii nahitaji niuweke wazi ulimwengu kwa kutaja mabaya yote ya Vingunge wa nchi hii nchi ambayo wengi wanaiita nchi masikini. Kumbe sivyo wanavyo fikilia wao, unaweza ukajiuliza kwanini yule kawa jambazi au changudoa naweza kusema wapo watu ambao wameingia kwenye kazi hizo kwa kupenda wao wenyewe au kulazimishwa na watu fulani au mtu fulani. Muda mwingine unakuta wananchi wamemkamata mwizi pasipo kutaka kumuuliza sababu ya kuiba au kaiba nini wanampiga na kufikia hatua ya kumtia moto usikute kaiba chupa ya chai tu au kijiko. Binafs inatia uchungu sana hii kuona jinsi gani binadamu mwenzako akiuwawa kinyama namna hiyo ngoja niwaulize swali nyie Wananchi wakati mamillion ya pesa yakichotwa Richmond mlikuwa wapi? na kule Tegeta esco mlikuwa wapi? sijui kontena zimepotea bandalini mlikuwa wapi? Hamna majibu ya kunipa zaidi ya upimbi tu endeleeni kuuwana nyinyi kwa kwa nyinyi mkijiona wajanja kumbe wenye kukwapua kodi zenu wanazidi kuvimbisha vitambi. Sio kama wezi hamuwajui mnawajuwa sana tatizo ndani ya mioyo yenu mmejawa na uwoga kazi kuwaonea wanyonge. Au ndio mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, wakati Hafidhi akiongea maneno hayo kwenye kipindi kisichokuwa rasmi lakini ni kipindi ambacho kiliwafanya watu wengi wawe makini katika kufatilia kwa kumsikiliza kwakuwa ilikuwa ni siku ya wikiend yani jumapili wengi wawatu walikuwa majumbani mwao na kuweza kuangalia kipindi hiko hata wale wasiokuwa na wikiend walijazana kwenye viosk na mahoteli kuangalia taarifa hiyo kwenye baa napo kulifurika watu, wengi wakabaki kujiuliza maswali pasipo kupata majibu huyu kijana ni nani mbona anaongea maneno mazito namna hii si atasababisha kituo cha ITV kifungiwe maana nchi yetu hainaga jambo dogo,

“Msitake kujiuliza sana mimi ni nani mnaweza kuniita gaidi kutokana na hizi ndevu zangu kama wenye akili finyu mlivyoweza kukalili wenye kufuga ndevu na kuvaa kanzu na barakashia ni magaidi sio mbaya mkiniita hivyo mimi ndio Hafidhi j Ikram natokea Mtaa wa Tatu,’’ kitendo cha kulitaja jina lake tu wafanyakazi wakituo cha ITV wakaanza kushikwa na kitete maana wanafahamu fika huyo mtu si wamchezo kila mmoja akatoka nnje ya kituo wakimuacha yeye mwenyewe ndani akizidi kuongea kwanini niliuwa leo ndio nahitaji kuweka kila kitu wazi wakati nazaliwa mpaka kufikia hatua ya kujitambua sikuwai kufikilia kama nitakuja kuwa muuwaji. Leo hii Hafidhi mimi nimeuwa watu wengi sana, sijui nitaenda kujibu nini kwa Mungu baba kwa mara yakwanza nilimuuwa askari mmoja kwa bahati mbaya naweza kusema hivyo sababu nilikuwa katika hatua za kujitetea tu baada yeye kutaka kunipiga na fimbo yake nikafanya kumpushi ndipo akadondoka na kujibamiza kwenye nondo ya sero. Nilishtushwa sana kwa tukio lile nikaona sina jinsi ni kutoroka kwenye kituo cha polisi ili nisiweze kushitakiwa kwa mashitaka yale. Kuanzia hapo nikaja kukutana na msichana ambaye naweza kusema kwa namna moja au nyingine yeye ndio sababu ya mimi kutenda yote haya niliweza kupata document za siri nzito sana kuhusu watu kujitajilisha kupitia watoto yatima yani wanajifanya kusaidia na kuomba watoto wawili watatu waweze kwenda kuwalea kumbe sivyo wanachofanya wao ni kuwauwa kwa kuwatoa mioyo yao na kwenda kuiuza nnje ya nchi hakika niliumia sana nikajiuliza thamani ya watoto hawa iko wapi kutowa kwako sabuni au sukari ndio unajilipa kwa kuutoa moyo figo damu ya kiumbe kisichokuwa na hatia yoyote kisa upate pesa uwe tajili. Watoto wengine mnawachuna ngozi serikali iko wapi. Usiulize hivyo wakati serikali yenyewe inawalinda watu hawa laiti kama wangekuwa hawalindwi tungewatia moto kama tufanyavyo kwa mwizi wa jiko la mchina. Hakika risti ilikuwa ndefu sana mpaka mke wa muheshimiwa Rais alikuwepo naongea yote haya nikiwa na udhibitisho kamili kila kitu nimekuja kukikabidhisha leo nipo tayari kukamatwa mnifunge au mninyonge yote ni kheri kwangu ila nawaomba muweze kuyafanyia kazi yale yote niliowaeleza kuna vingunge sikutaka kuwauwa nimewaacha hai sheria ifuate mkondo wake. Habiba kazi uliyonipa nimeweza kuikamilisha. Wakati akizidi kuongea na kutoa siri nzito ambazo zilikuwa zimejificha nyuma ya panzia huku nnje polisi wasiokuwa na idadi waliweza kufika wakiwa na kikosi kizima cha FBI hawakutaka papala maana walifahamu kama watamuingilia kwa vurugu inaweza kuwaletea shida jamaa akagairisha kukamatwa na kusepa zake wakatulia nnje amalize kuongea na kutoka nnje kwa hiyali yake mwenyewe. Hafidhi aliongea maneno mengi sana yenye kuhuzunisha na kusikitisha wengi wawananchi walishindwa kujizuia na kuanza kulia hakika kuna kusamehe saba mara sabini lakini si kwa ushetani walioufanya watu hawa, kisha akasema kisa cha muheshimiwa Raisi kuuwawa na Undercover agent hapo sasa vilio vikazidi kuongezeka baadhi ya polisi walivua kofia zao na kujifuta machozi zikapita dakika kama ishillini na tano hivi wakimngojea ndipo akaweza kutoka ndani ya kituo hicho akiwa kaweka mikono yake mbele ishara yakwamba yupo tayari kukamatwa wamfunge pingu tu. Bibiye Mona ndio akaja kumfunga pingu ajabu wananchi walikuwepo maeneo hayo wakapinga vikali kitendo cha kukamatwa Hafidhi sio sahihi kabisa ikabidi polisi watumie mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi hao Hafidhi akapakizwa kwenye gari safari ya kupelekwa kituoni ikaanza bibiye Mona alikuwa yuko makini sana kumtazama Hafidhi usoni ijapokuwa bibiye machozi yalikuwa yakimtoka binafsi Hafidhi kapitia hatua nyingi sana kwa kuifanya hii kazi ambayo hata kama wangepewa POLISI, FBI, USALAMA WA TAIFA, JWTZ, UNDERCOVER AGENT Hata kama wangekuwepo wote kwenye kazi hiyo sidhani kama ingefanyika kama alivyoifanya mtu mmoja tu, taarifa za kujisalimisha kwa Hafidhi ziliweza kujulikana nchi nzima huku mzee J Ikram akisema kile alichokifanya mwanae ni sahihi kabisa siku zote jambazi akamatwi kwa kufungwa kazi ni kuwauwa tu ili iwe fundisho kwa wengine kwani akifungwa si atatoka na kuja kufanya uporaji kwa mara nyingine akifahamu nikikamatwa nitaenda kula ugali wa bure ndio maana mwanae akawafyeka tu kama ufisadi ujambazi kula rushwa wakafanyie huko kuzimu, “sasa mume wangu utafanyaje kuhusu mtoto wetu ndio hivyo tena kajisalimisha na hukumu pekee ni kunyongwa tu,’’ Mama yake Hafidhi akaongea hivyo kwa sauti yenye kukata tamaa, “hapana haiwezekani mwanangu anyongwe kizembe wakati mimi nipo hai nitafanya kila namna asipewe adhabu hiyo, “sasa utafanyaje mume wangu?’’ “mke wangu embu ondowa mashaka kila kitu kitakuwa sawa kuhusu mtoto wetu kama niliweza kuvipanga vikosi vyema mpaka tukafanikiwa kumng’oa Nduli Idd Amini Dada, nitashindwaje kumkomboa mwanangu kwanza hakimu atakaye jalibu kufunguwa mdomo wake na kutamka ujinga sijui Hafidhi unanyongwa kudadeki nitamlipua palepale mahakamani,’’

Kukamatwa kwa Hafidhi ulikuwa kama vile msiba mkubwa kwa watanzania hasa waliokuwa wanyonge watu wakaandamana nchi nzima wakishinikiza mtetezi wao shujaa wao aweze kuachiwa kama wao wanauwa vibaka kwa kuwatia moto mbona hakuna hata mwananchi mmoja aliyekamatwa kwa kufanya mauwaji hayo je polisi hawafahamu kama Manzese, Tandale, Tabata, Buguruni, Temeke, na sehemu zinginezo mwizi akikamatwa anavishwa pira na kutiwa moto, basi wakamatwe wenye kufanya vitendo vile “muacheni’’,,,,shujaa wetu,,,,muacheni’’,,,shujaa wetuu,,,, yani barabara zilifungwa kutokana na watu kutapakaa kila kona ya mji wakiishinikiza Serikali kuachiwa kwa Hafidhi muuwaji wa kutisha baada Hafidhi kukamatwa akapelekwa moja kwa moja kwenye kitengo maalumu na kufungiwa kwenye chumba kimoja wapo huku ulinzi ukiwekwa vya kutosha, yote ilikuwa katika kumdhibiti yeyote atakayejalibu kutaka kumtorosha mtuhumiwa ndio maana hakupelekwa kituo chochote cha polisi wala gerezani. Hafidhi akiwa kajiinamia ndani ya chumba hicho ghafla akasikia sauti ya mtu akiimba na kupiga makofi kwa kumpongeza kwa kazi nzuri aliyoweza kuifanya akanyanyuka kutoka kwenye kiti na kuangalia huku na kule hakuweza kuamini macho yake baada kumuona marehemu Habiba akiwa na bibiye Yusra wakimuimbia nyimbo nzuri embu tuisikilize

“Mtaa wa Tatu’’,,,,umetuacha gizani shujaa wetu yupo kifungoni’’,,,nasie tupo pembeni’’,,,hatuwezi kumuacha peke yake’’,,,hii kesi sio yake peke yake’’,,,niyetu sote’’,,hakika Mtaa wa Tatu usiwe na roho yakutu ukatutupia viatu,,,,Hafidhi’’,,,Hafidhi tunakupenda tunakujali tunakukubali japokuwa tupo mbali nawe shujaa wetu usipagawe hata kama Mtaa wa Tatu umekutengaaa’’,,,,,hakika ilikuwa nyimbo nzuri kutoka kwa mabinti hao ambao tayari washaenda mbele ya haki walikuja kimiujiza na kuondoka kimiujiza wakamuacha Hafidhi akiita na kupapasa ukuta “Yusra’’,,,,,Habiba,’’ akapaza sauti kuita sema sauti yake haikuweza kusikika popote pale zaidi ya kubaki humo humo ndani ya chumba “Hafidhi kijana wangu nini umefanya hiki? Yani kukupa muda wa kuimaliza kazi ndio ukaamua kuja kujisalimisha kwenye mikono ya wanadamu’’ ni sauti nyingine kutoka kwa Ibnuwasi ndio iliyomshitua Hafidhi na kufanya ageuke kumtazama baba yake kwa upande wa majini. “ndio baba yangu haya ni maamuzi yangu mimi natamani sana ninyongwe kama safari ya kuja kuzimu nije kwa style hii nahitaji kila mtu aweze kufahamu Hafidhi hayupo tena duniani,’’ “hahahaha’’ Ibnuwasi akacheka sana na kusema “Hafidhi wewe ni komando wa aina gani yani tulitaka kukupima tu uwezo wako uko vipi kwa kukulaza kitandani na kukuambia vile kumbe hakuna chochote kibaya kitakachoweza kukutokea kwanza tambua kitu kimoja vifo au kifo mpangaji wa yote ni Mwenyezi Mungu yeye ndio muweza wa kila kitu sasa basi fanya utoke’’,,,,,baada Ibnuwasi kusema hivyo akapotea “ha!ha!ha!,,,,tehe!tehe!tehe!,,,hahahaha’’ kwanza mwanaume alianza kucheka yani alicheka wee mwishoe akasema ndani ya usiku huu nawaacha soremba’’,,,,

“Ndani ya usiku huu sitoweza kubaki ndani ya chumba hiki, wacha niondoke lakini si nitakuwa nimevunja mkataba baina yangu na Serikali maana nimejisalimisha kwao kwa hiyali yangu mwenyewe kisha nikimbie. Hapana wacha nitulie nijuwe mustakabari mzima wa maisha yangu sijui nini kitanikuta katika kesi hii ya mauwaji ya haraiki ya watu. Hivi kwanini yule bibi akafanya kupandikiza mbegu ya kijini katika mwili wa mama yangu, mpaka nikazaliwa na homoni za aina mbili nusu Binadamu nusu Jini itakuwaje siku moja wazazi wangu wakaja kutambuwa hilo si nitatengwa mimi,’’ kitendo cha mimi kukamatwa bila shaka wazazi wangu washapata taarifa na wapo njiani kuja kuniona sijui itakuwaje kwa mzee J Ikram nahisi hatopenda kuona mwanae nikipatiwa hukumu ya kifo, sema itakuwa haina jinsi ni kukubali matokeo. Sasa kama mimi nusu Jini nusu Binadamu inamaana watoto wangu nao watakuwa ni hivyo hivyo,

Yote yalikuwa mawzo ya bwana mkubwa akiwa amekaa kwenye kiti kajiinamia akiwaza hili na lile kikomeo cha mlango kikawa kikitikiswa nae akainua kichwa chake kuangalia ni nani huyo anaekuja kumtazama kwa wakati huo. Mlango ukafunguliwa kwa taratibu akaingia kijana mmoja wakiume akiwakavalia mavazi ya kiuaskari ajabu alikuwa anatembea kwa mwendo wa kunyata kumsogelea Hafidhi pale alipokaa, nae hakutaka kuzubaa akamsoma yule afande na kumuona akichomoa kisu na kuja kwa kasi kwa nia moja tu ya kumchoma nacho cha shingo mwanaume akachumpa kutoka kwenye kiti na kukikanyanyua kile kiti akafanya kama ngao kisu kikaenda kukita kwenye kiti, ngreee,,,,ngwaaaa,,,ndio sauti iliyoweza kusikika ya kisu kile ikikikwanguwa kile kiti, Askari yule asieweza kufahamika ni nani na katokea wapi usoni alikuwa amevaa kitambaa cheusi kichwani amevaa kofia aina ya kapelo, viliweza kuiziba vyema sura yake asiweze kujulikana, basi ilikuwa akitaka kuchoma huku Hafidhi anazuiya kwa kutumia kile kiti yule afande akadanki kwa kuchumpa kwenye ukuta na kuachia mateke mawili double yaliyompata bwana mkubwa kifuani akayumba na kujibamiza ukutani huku kiti kikimponyoka mikononi mwake, nae akajiweka sawa baada kutambuwa kumbe huyu mtu si wamchezo kabisa, kwanza akahitaji kumfahamu huyu mtu ni nani. Njia pekee ni kumvua kile kitambaa jamaa akawa anakuja kwa kasi ya kimbunga mkononi kashikilia kile kisu barabara kitendo cha kufika tu nae akajikuta akipigwa teknik moja tu yani ngumi ya kumsukutua kidevu akarushwa hewani na kurudi alipokuwa kasimama awali huku kile kitambaa na kofia vikimvuka.

Dahaa kumbe alikuwa kijana Michael hapo sasa wamekutana mbona patamu, Hafidhi akatabasamu baada kuiona sura ya yule jamaa kisha akasema “ni kheri ungefanya kitu kimoja cha maana sana nacho si kingine ni kumzika baba yako kuliko kuja kulazimisha kifo chako sijui nani atamzika mwenzake,’’ “nyamaza mjinga mkubwa wee nawe tambuwa kitu kimoja huu ndio mwisho wa maisha yako, hivi unafikilia kitendo cha kujisalimisha kwenye mikono ya sheria ndio utasalimika sio,’’ Michael akaongea kwa hasira “sawa brother siwezi kuhukumiwa kwa hiki nitakacho kitenda leo hii juu yako siku zote mtoto akililia wembe mpe achezee ukimkata ndipo atakapo tambuwa kumbe hii ni hatari njoo sasa,’’ Hafidhi nae akaongea hivyo huku akimuonyeshea Michael ishara ya mkono asogee karibu yake. Binafsi Michael akaona kama vile anapoteza muda tu akamfata kwa kasi kisu kikiwa mkononi mwake kabla ya kumfikia upepo ukaanza kuvuma kwa kasi kitendo kilichomfanya Michael afunge bleak na kusimama huku akijitahidi kujizuia ule upepo usimyumbishe.

Kufumba na kufumbua Ninja short huyo hapo mbele yake yani Hafidhi akiwa kwenye mavazi hayo hakuna kinacho haribika juu yake nae mikononi kakamata zile silaha zake, sasa mchezo uanze Michael bila kusita wala kujiuliza akamfata na kuanza kupigana kwa kutumia silaha zao kila mmoja alikuwa mkali wa mapigo katika piga nikupige silaha ya Michael yani kisu chake kikamponyoka na kudondoka chini kibaya zaidi kimedondokea miguuni mwa mpinzani wake kila mmoja akabaki kumtazama mwenzake huku wakihema hakika vijasho viliwatoka maana ilikuwa piga nikupige. Hafidhi akaziangalia silaha zake na kuona haina haja ya yeye kuzitumia akazitupa pembeni na kukunja ngumi sasa ilikuwa kavukavu wanaume waonyeshane kazi wakati ndani ya chumba hiko mpambano ukiendelea kwenye chumba kingine kulikuwa na kikundi cha maafande na kikosi cha FBI mbele yao kukiwa na tv kubwa aina ya flat sicren nch 32 wakiangalia jinsi wanaume wa kazi wakionyeshana show kumbe ndani ya chumba alichofungiwa Hafidhi kuna camera.

Hafidhi alipigwa ngumi kama nne za haraka haraka akapanchi sema moja ikampata sawiwa kwenye korodani akayumba na kwenda chini kijana Michael alikuwa yuko shapu zaidi baada kumtandika ile ngumi bwana mkubwa kufumba na kufumbuwa kisu kikakita tumboni kwa Hafidhi yani Michael alichumpa na kuiwahi silaha yake ile Hafidhi ananyanyuka tu akakutana uso kwa uso na Michael kisu kikazama tumboni mwake. Michael akafanya kukishindilia kwa kukizungusha kisha akakichomoa na kutaka kumchoma tena Hafidhi akacheuwa damu ile jamaa anataka kumchoma tena tu akakidaka kile kisu kwa kushika kwenye makali. Ikawa huyu anakisukumiza mwengine anakizuiya japokuwa kilikuwa kikimkata mkononi mwake sema hakutaka kukiachia ghafla kisu kikavunjia kohooo’’,,,,

Michael akabaki na mpini huku bwana mkubwa akibaki na makali akatazama juu na kukirusha kile kipande kikaenda kutua kwenye camera na kuivunja mwanaume akazunguka kwa kasi kumfata Michael nae akajipanga kumpokea baada kumfikia akamwambia neno moja tu “kimbia huku yale majeraha yake yakijiunga, zile silaha zake zilikuja zenyewe kwenye mikono yake utasema sumaku na chuma

Michael macho yakamtoka pima asiweze kuamini kile akionacho mpaka hapo akaweza kutambuwa kwanini huyu mtu kashindanika kwa watu kibao kumbe ni Jini sema hakutaka kushindwa kwa uzoba wake akamfata na kurusha mateke ya double kick kwa wakati huo mwenzake hataki masikhara kabisa ile ananyanyua mguu tu mwanaume akacheza na kifundo kwa kumpiga kifuti Michael akayumba kwa kurudi nyuma akiwa anachechemea maana alijihisi kama vile mguu mmoja hana akashindwa kusimama vizuri akawa anapepesuka Hafidhi nae ndio anakuja kwa kasi kufumba na kufumbuwa viganja vya mikono vya Michael vikadondoka chini yani vyote viwili Michael akapiga mayowe ya uchungu “mamaaa’’,,,,uwiiiiiiiii,,,,,nakufaaaa’’,,,,,mlango ukafunguliwa kikosi cha maaskari wakavamia wakiwa na silaha zao na kumkuta Michael akiwa kapigishwa magoti akiwa hana mikono huku kawekewa mundu shingoni

“tafadhali Hafidhi usifanye hivyo tunakuomba usimuuwe muache kwani ukikaidi amri tunaweza kukutwanga risasi tupa siraha yako chini,’’ ile kauli kutoka kwa mmoja kati ya maafande ikamfanya Hafidhi acheke “hahahaha, wenye roho nyepesi ndio wataweza kuangalia hiki nitakacho kitenda mbele ya macho yenu na iwe funzo kwa wajinga wote wenye nia ya kutaka kushindana nami, na iwapo mtafyatuwa risasi hatotoka mtu hata mmoja ndani ya chumba hiki, “Hafidhi kijana wangu inatosha hii sasa imekuwa tou much muache huyo mtu please usimuuwe kama kakukosea adhabu uliyompa inatosha,’’ ile kauli ikamfanya kila mmoja ageuke na kuangalia kule inapotokea alikuwa mwanamama mmoja hivi wa makamo akiwa katinga kombati za kijeshi na mivyeo kibao, Hafidhi nae hakuweza kuamini na kujikuta akiita mama, akamuachia michael na kwenda kumkumbatia mama yake basi ni miaka takribani sita imeweza kupita tokea Hafidhi aagane na mama kutoka Iringa na kuja jijini Dar es salaam ndio ikawa mwisho wa kuonana mama na mwana, sasa leo mama kamuona mwanae na mtoto kamuona mama yani walikumbatiana huku machozi yakiwatoka kwa furaha na huzuni ndani yake polisi wao wakawai kumbeba kijana Michael na kumkimbiza hospital.

Kwanini lakini? ukaniacha mama yako niteseke Hafidhi nimeumia sana ndani ya moyo wangu, kwa matendo uliyoyatenda kwanini umekuwa hivi?

Mama yake akazidi kumuuliza maswali mwanae huku machozi yakimtoka

wakakumbatiana kwa muda kabla ya

Polisi kumuomba mama yule atoke ndani ya chumba kile kwani mtuhumiwa anahitajika kufungiwa

“hapana haiwezekani mumfungie mwanangu kwani yeye kuku au ng’ombe tambuweni yeye ni binadamu,”

Mama mtu akapinga vikali kufungiwa kwa mwanae na kusema kama kufungiwa basi wafungiwe wote

“Afande wee nenda tu haina haja ya kuufunga huo mlango kwani hata kama utaufunga sio suruhisho la kunizuia mimi nisitoke msikilize mama yangu nini anataka

Wee nenda,”

Hafidhi akaongea hivyo kumwambia yule Afande ambaye alitaka kuufunga mlango,

Nae hakuwa na jinsi ni kuondoka zake

“Inspector Emma mbona wakati wa mpambano tuliona Hafidhi kachomwa kisu cha tumbo

Ajabu tumemkuta hana jeraha hata moja,”

“Dahaa hata sijui niseme nini mimi mwenyewe nilikuwa najiuliza kuhusu hiko kitu, kumbe hata wewe umeona ehee binafsi Hafidhi hafai kabisa!”

“mama”

“abee mwanangu”

“kwani baba yuko wapi?”

“baba yako ameelekea kwa wakili wa kujitegemea bwana George Iron Mosenya aweze kuisimamia hii kesi yako”

“Mmh! Mama”

Hafidhi akaguna na kumwita mama yake.

“Abee mwanangu mbona unaguna tena?”

“ndio mama naguna kwa sababu katika kesi yangu sihitaji Wakili wala mashahidi

Sihitaji nyinyi mjihusishe kwa lolote lile.

Siku ya hukumu yangu kaeni nyumbani msije mahakamani nyumbani.

Nafahamu ni jinsi gani mnavyoumia mkiwa kama wazazi,”

Hafidhi akaongea hivyo huku akimfuta machonji mama yake

aliyekuwa akilia yani vazi alilovaa

Na heshima aliyokuwa nayo

Jeshini vyote akaviweka kando

Akiwa kama mwanamke aliyeingia Reba

ukizingatia huyo ndio mtoto wa pekee

Itakuwaje akipewa hukumu mbaya,

Iliwachukuwa takribani

Masaa mawili wakiongea mwishoe mama mtu akatoka ndani ya chumba hicho

Akiwa hajiwezi kwa kilio

Kuna vijana kama wawili hivi ndio aliokuja nao, baada kumuona mkuu wao

Akitoka ikabidi waende kumshika na kumsaidia kuingia ndani ya gari.

Nchini Tanzania kulikuwa hakuna habari nyingine zaidi ya kukamatwa kwa muuwaji wa kutisha, wakati

Wananchi wakipinga vikali kwa kudai sio muuwaji kwani

Serikali inataka kuficha mazambi yao

wakati kila kitu kimewekwa wazi.

Kuhusu ufisadi ubadhilifu

Mauwaji unyang’anyi uonevu

kwa wanyonge juu ya kuonewa na matajiri.

Ndani ya mahakama ya Kisutu

Umati wawatu ulifurika si mchezo kwa Mara ya kwanza mtuhumiwa Hafidhi j Ikram anafikishwa ndani ya mahakama hiyo

Juu ya kusomewa mashitaka yake.

Waandishi wa habari kuanzia wale wa television radio magaazeti

Walijazana kwa kutaka kupata habari nyeti zaidi

Mwandishi wa kutumainiwa bwana

Hussen de Molito akiwa shingoni ameivaa Digital camera.

Hakutaka kuwa nyuma kabisa katika kuzipata taarifa za moja kwa moja akapigana vikumbo na Wananchi pamoja na waandishi wenzake mpaka kufanikiwa kujipenyeza ndani kabisa ya mahakama hiyo,

Kwakuwa mlango wa mbele kulikuwa kumefurika watu

Na itakuwa vigumu kwa mtuhumiwa kupitishwa ikabidi Apitishwe mlango wa nyuma,

Molito akapiga picha za haraka kama tatu baada kumuona kumuona mtuhumiwa akiwa kaongozana na kikosi cha

Maafande

Mahakama ikawa kimyaa kelele pekee ziliweza kusikika nnje kutoka kwa wananchi.

Hafidhi akiwa kafungwa pingu akapanda kizimbani

Wakati wakili

Bwana Georg iron Mosenya akiwa ametulia kimyaa

Ni kesi ambayo ni baina ya Hafidhi na serikali si mtu mwingine,

Jaji bwana

Dominick Luis akapanda juu ya korti watu wote

wakasimama kisha wakakaa sehemu zao

Hafidhi akageuza kichwa chake huku na kule na kuweza kuwaona wazazi wake, Ankor wake, kina Salma na wengineo

Akashtuka baada kuweza kuwaona

Mamaster wake nao wapo mahakamani hapo

“Ndugu bwana Hafidhi j Ikram mahakama kabla ya kukusomea mashitaka yako na kutoa hukumu

Juu yako je una lolote la kuzungumza,”

Bwana Mosenya akaongea hivyo baada kesi kuanza kusikilizwa.

Hafidhi akatikisa kichwa kuwa hakuwa na chakuzungumza,

Basi kesi ikaendelea kwa kusomewa mashtaka yake

Kila kitu alikubari katenda hakuweza kupinga chochote.

Kesi ikasogezwa mbele kwani upande wa mashtaka haukuwa na mashahidi.

Upande wa mshitakiwa

Mashahidi kibao.

“jamani kumbe ni kijana mdogo hivi”

Binti mmoja alimwambia mwenzake baada kuweza kumuona live Hafidhi akipandishwa kwenye karandinga safari ya kupelekwa gerezani ikaanza

“ndio ni kijana mdogo ndio kwanza ana umri wa miaka 26 kaweza kufanya jambo ambalo atabaki kukumbukwa daima,”

Mwenzake akamwambia hivyo.

Mama yake Hafidhi na kina

Salma waliangua vilio kumlilia wakati hata hukumu haijatolewa

“embu acheni kumchulia mwanangu mnalia nini sasa.

Kwani amekufa au?!

Mzee J Ikram akang’aka kwa hasira, ndio kwaanza vilio vikazidi.

Wale

Walimu wake wakaongozana huku wakizungumza kuhusu kijana wao,

“Sasa Yuan Chen tumeweza kuafikiana kumtorosha huyu kijana wetu,”

Mmoja kati ya walimu akamwambia mwenzie kwa lugha ya kizungu

“haina shida chaumuhimu tufanye kwanza uchunguzi wa kina tuweze kufahamu. Gereza gani atakuwa kapelekwa kisha tuanze hiyo Operation,”

Kila mmoja akaafiki na kukubaliana kumkomboa

Hafidhi”……..

Ndani ya gereza la Segerea kwa mara yakwanza kijana Hafidhi akafikishwa Askari jela wote wakapewa tahadhali kuwa mtu huyo sio wa kumfosi au kumpiga kwa namna yeyote ile

Kwanza haitajiki kuwekwa pamoja na wafungwa watukutu kwani wakilikoroga tu watalinywa kuweni makini sana,”

Ilikuwa kauli kutoka kwa mkuu wa Magereza akiwaambia vijana wake.

Basi mwanaume akashushwa kutoka kwenye gari kwa hatua za kujivuta akaingia ndani ya mjengo huo, kula bure kulala bure

Wakati kuna kazi na suruba za kiume zinafanyika utakulaje bure,

“Mletee mrembo huyoo”,,,,,,wakwangu, mchumba”,,,,mlete humu,,,,,psiiii

ii,,,,”mrembo,

Zote zilikuwa kelele kutoka kwa wafungwa baada kuwaona Askari jela wakiingia na mfungwa mpya, hakuwa mwingine ni

Hafidhi.

“Peter unaonaje huyu jamaa tukamuingiza ndani ya chumba cha kina

Black Forest, afundishwe adabu,”

Askari mmoja akamwambia mwenzie hivyo,

“wewe embu acha ujinga ujamsikia mkuu kasemaje pale huyu kijana hafai.

Peter akasema hivyo,

Lakini mwenzake akasema kama ubabe sijui nini itakuwa hukohuko ulaiyani sio hapa kwa wagumu akamshika Hafidhi mkono na kumuongoza chumba cha

Black Forest,

“tunamtaka mke wetuu”,,,,mlete huyoo muingize huyoo”,,,,

Kikundi cha black forest wakaanza kushangilia na kuimba baada kuona huyo mfungwa mpya

Anaingizwa kwenye selo yao,

Geti likafunguliwa na Hafidhi akisukumiziwa ndani yake,

Wakati huo Afande Peter kaondoka haraka sana kwenda kutoa taarifa kwa mkuu wa gereza,

Baada Hafidhi kuingizwa ndani ya chumba hiko vijana wakamdaka na kuanza kumgombani huku mwingine akitaka kuivua

Suruwali ya Hafidhi

Mwanaume akachenji kwa kukata pingu kama vile kafungwa kamba ya mdizi.

Akafanya kumpushi yule aliyetaka kumvua nguo kisha akazunguka na kuachia mateke ya kuzunguka kila mmoja akatupwa kule

Sasa kilichowakuta

Black forest ni balaa

Kwanza aliwatembezea kichapo kisha akachukuwa kisu na kukata naniliu zao,

ndani ya dakika kumi selo nzima kulikuwa kume tapakaa damu

watu wamelaliana

“ohoo shit! Kwani huyu Mkude kashindwa kufata amri yangu shenzi sana huyu

Bwege embu tuwahi haraka sana kabla hajafanya mauwaji,”

Mkuu wa magereza akaongea kwa hasira na kutoka ndani ya ofisi yake.

Hakuweza kuamini kwa kile alichoweza kukiona baada kufika kwenye selo ya

Black forest na kukuta

vijana wote wapo uchi huku

Naniliu zao zimeondolewa

Afande Mkude alikuwa kakaa chini akilia maana aliweza kushuhudia kila kitu

jinsi Hafidhi akifanya ukatili huo.

Kwakuwa Mkude geti alikuwa ameshafunga kwa nnje ikabidi lifunguliwe

Askari wakaingia kwa tahadhali kubwa tena kwa heshima

Wakamshika Hafidhi na kumuomba aongozane nao.

Unaweza kusema jamaa kawa kama zezeta fulani hivi kwanza alikuwa mkimya sana

sio mtu wa kuongea yeye yuko kivitendo zaidi, basi akaongozana nao

mpaka kwenye chumba kimoja hivi wakamuomba aingie humo nae hakutaka kubisha akaingia mlango ukafungwa.

Mkuu wa gereza akataka jambo hilo iwe siri sema nikitu kisichowezekana kwani baadhi ya Askari jela

washa vujisha taarifa zote kwa kutumia

simu zao,

Video na picha zikasambazwa kwenye mitandao ya kijamii,

“mmh! Duhuu ebwana dahaa hakika huyu mtu hafai kabisa yani wafungwa walijuwa wakuja ehee

Wacha awaonyeshe kazi,”

Mmoja kati ya Askari akaongea hivyo.

Huku akisaidiana yeye na mwenzake

kuibeba miili ya vijana wale.

“Sasa vijana hili jambo nahitaji iwe siri yenu sitaki mtu yeyote afunguwe mdomo na kuzungumzia kitu hiki vinginevyo tutaonana wabaya,’’ Mkuu wa gereza akasema hivyo akiwa yupo sirius. “sawa mkuu tumekuelewa’’ askari wote wakaitikia na kutawanyika kwenda kuendelea na maswala mengine kesho yake asubuhi na mapema mkuu wa gereza akapokea ujumbe anahitajika makao makuu haraka sana iwezekanavyo afike huko nae hakuwa na hili wala lile akaingia ndani ya gari yake na kuelekea huko makao makuu. Akiwa njiani ndipo akaanza kujiuliza maswali mengi sana pasipo kupata majibu , “imekuwaje mbona nimeitwa kwa ghafla hivi au lile tukio la jana limeweza kujulikana nini? Sasa kama limeweza kufahamika nani kavujisha hii siri’’,,,Hafidhi mwenyewe au mmoja kati ya vijana wangu, haina shida wacha niende nitakuja kufahamu huko huko. Lakini kabla ya kufika makao makuu akapitia kwenye kibanda kimoja hivi aweze kununua gaazeti wakati akiwa kwenye kutupia macho vichwa vya habari vya siku hio akashtushwa na kuiona ile habari imetapakaa kwenye kurasa za mbele karibia magaazeti yote

“ohoo shiti upuuzi gani huu ulioweza kutokea nani kafanya hivi mkuu wa gereza akajikuta akiongea kwa hasira na kuupiga ngumi usukani wa gari na kuondoka eneo hilo hata kununua gaazeti hakutaka tena, akafika makao makuu kijasho kikimtoka “karibu sana bwana Msafiri’’ “asante sana mkuu nimeweza kukaribia naona asubuhi asubuhi tunaitana vipi kuna tatizo?’’ Bwana Msafiri akauliza swali huku akikaa kwenye kiti,

“hapana hakuna tatizo lolote kaka sema nimekuita hapa kutaka kukwambia yakwamba kuanzia sasa itabidi uamishwe gereza na kupelekwa kigoma,’’ mkuu wa kitengo akazungumza hivyo huku akiwa anatabasamu. “mkuu mbona umekuwa uwamisho wa ghafla hivyo na kwanini nahamishwa?’’

mkuu wa gereza akauliza kwa mshangao, “sikia nikwambie kitu bwana Msafiri siku zote usitake kuweka kila kitu wazi wakati wewe mwenyewe hukupenda kuliweka wazi cha umuhimu ni kujiandaa tu kwaajili ya safari kisha mengine yatafatia,’’ mpaka hapo Msafiri akawa keshaelewa kwanini anahamishwa kutoka gereza la segerea na kupelekwa sehemu nyingine, akainuka kwenye kiti na kuondoka zake hakukumbuka hata kuaga kibaya zaidi akajisahau kama alikuja na gari yake na kujikuta akielekea kituo cha daladala, “imekuwaje mbona bwana mkubwa kaiyacha gari yake hapa?’’ mmoja kati ya walinzi alimuuliza mwenzake, “labda itakuwa na hitirafu fulani au imeishiwa mafuta na ndio anaenda kufata,’’ nae akamjibu hivyo “hapana bwana kitu kama hiko hakiwezekani kwa mkuu kama yule lazima angeondoka na gari nyingine mara ngapi anakuja hapa hajawai kuacha gari!’’

Bwana Msafiri akiwa amekaa kwenye siti ndani ya daladala ndipo simu yake ikaita akaitowa na kuangalia mpigaji ni nani akaona jina la mkuu wa kitengo basi akaipokea na kusikika sauti ikimwambia “bwana Msafiri inamaana hili gari umeamua kutususia au?’’ nae akafadhaika si kidogo na kujiona kweli amedata yani amesahau gari yake na kupanda daladala,

“wee konda niache hapo’’ akapaza sauti kuomba ashuke, Yapata majira ya saa nne asubuhi ndani ya gereza la Segerea kwenye chumba kimoja wapo hivi kulisikika sauti ya kitu kikilia kwa kishindo kunzia Askari jela mpaka wafungwa wakabaki kushangazwa na kishindo hiko. Kwa mwendo wa kunyata baadhi ya askari wakajongea na kutaka kufahamu ni kishindo cha kitu gani, ile kufika tu hawakuweza kuamini baada kumkuta mwanaume wa shoka akipiga ngumi kwenye ukuta mpaka akatoboa tena akiwa yupo tumbo wazi mwili uliojengeka kimazoezi zaidi, “ebwana ehee huyu mtu au roboti mbona yuko hivi?’’ Askari mmoja akauliza swali sema hakuna aliyeweza kumjibu Mwanaume akaendelea na mazoezi yake japokuwa aliweza kuwaona watu wakimshangaa yeye hakujali kabisa, wakati walimu wake wakiwa katika harakati za kutaka kumgombowa ndani ya gereza mzee J Ikram akawaambia hivi Hafidhi sio kama anashindwa kutoroka anaweza sana sema hataki tu na yale ni maamuzi yake kwahiyo msijisumbuwe kabisa kwenda kumtowa muacheni. Kwakuwa ni kauli iliyotoka kwa baba yake na ni mkuu wa majeshi nao hawakuwa na jinsi ni kuachana na hilo swala’ kabla ya kufika siku ya hukumu watu wengi sana walienda kumtembelea “Hafidhi baba watoto wangu mbona unataka kuniacha mkiwa kwanini lakini umeamuwa kufanya hivi?’’ bibiye Beatrice aliongea hivyo huku akilia Hafidhi akamfuta machozi kwa kiganja chake cha mikono na kumwambia “siwezi kukuacha ukiwa mwenyewe siku zote nitakuwa nawe daima mwambie Sheira na Seiph baba yao nilikuwa nani naomba uwalee watoto wangu kwenye misingi iliyo bora,’’

“unaongeaje maneno hayo wakati umesema hutoniacha peke yangu tafadhali Hafidhi baki na mimi,’’ wakati wakiwa wanaongea wazazi wake Hafidhi na wao wamekuja kumuona mtoto wao sema walishangazwa kidogo kwa kumuona bibiye Beatrice akilia huku akiwa kawapakata watoto wawili baada salamu wakauliza basi Hafidhi akawaambia kila kitu binafsi wazazi wake wakafurahi na kuwabeba wajukuu zao. “Hakika nina furaha kubwa sana kwa kuitwa bibi kuonyesha jinsi gani furaha yangu imepitiliza huyu binti ambaye ni mkwe wangu nitaenda kuhishi nae pamoja kwani baba yako kanunua nyumba kubwa maeneo ya Mbezi beach,’’

Mama yake akaongea kwa furaha huku chozi likimdondoka, ni kesi iliyochukuwa takribani mwaka mmoja na nusu bwana mkubwa akiwa anasota ndani ya jera tokea afikishwe ndani ya jera hiyo hakihitaji kujenga urafiki na mtu yeyote yule muda mwingi aliutumia akiwa peke yake kesi ikawa ikisogezwa mbele tu hatimae siku ya hukumu ikafika ndani ya mahakama kulifurika watu kila mmoja akitaka kufahamu nini hatma ya Hafidhi j Ikram

“Baada kufanya safari ndefu yenye mirima na mabonde jangwa na makorongo, hatimae leo hii tumefika mwisho wa safari yetu, muheshimiwa hakimu ndio yalikuwa maneno yake yakwanza kuzungumza kisha akaendelea siku zote sheria ya nchi hairuhusu kitendo cha kuuwa iwe kwa bahati mbaya au makusudi. Sasa basi ndugu Hafidhi j Ikram yeye hakutaka kuiyacha sheria ifanye nini akajichukulia hatua kwenye mikono yake sasa basi ni kosa kisheria. Baada kuongea hivyo hakimu akanyamaza na kuweka miwani yake sawa, kabla mahakama haijakupatia hukumu je unalolote la kujitetea?’’ hakimu akamuuliza swali nae akatikisa kichwa kuashiria ndiyo analo la kusema, akaambiwa haya jitetee

“ndugu muheshimiwa hakimu kiukweli sina cha kujitetea isipokuwa nahitaji kuwaambia wazazi wangu wanitunzie watoto wangu,’’ baada kuongea hivyo akanyamaza na kumpa nafasi Hakimu atoe maamuzi “sawa kijana bila shaka wazazi wako wamekusikia ndugu Hafidhi j Ikram kutokana na kupatikana na kosa la kufanya mauwaji na kwenda kinyume na sheria ya mwaka 1961 kifungu number116 unahukumiwa kwenda jera miaka Nane,’’ watu wote mahakamani ahaa kila mmoja akajishika kichwa asiweze kuamini kwa ile hukumu hata Hafidhi mwenyewe akabaki kuduwaa mbona hukumu yenyewe imekuwa ndogo hivyo kila mmoja akamtazama hakimu nae machozi yalikuwa yakimtoka akavua miwani yake na kujifuta kwa kitambaa akanyanyuka na kushuka juu ya korti akapiga hatua kadhaa na kwa kusogea kizimbani ni kitu ambacho hakijawahi kutokea “nenda kijana katumikie adhabu yako nimefanya yote haya kwasababu mimi ndio mjomba ake marehemu Habiba nakumbuka vyema mke wangu alikufa kifo cha kinyama sana kwa kuitiwa kelele za mwizi’’

Yani aliuwawa mbele ya macho ya ndugu yake wa damu tena toka nitoke kisa kitu kidogo tu kumuuliza mbona siku hizi kaka yangu umebadilika mwanao wala humjali tena, unamuacha anapigwa bwana yule akamuitia kelele za mwizi. Mke wangu mpendwa akapigwa na kuvishwa pira hatimae wakamchoma moto mbele ya ndugu yake leo hii utasemaje damu nzito kuliko maji. Yani kauwawa haliyakuwa ana wiki sita tu tokea atoke kujifungua watoto wetu mapacha, akaniachia vichanga, Kijana nilitamani sana nikuachie huru sema nenda kijana utatoka tu,’’ baada kuongea vile muheshimiwa Hakimu akamshika Hafidhi begani na kuondoka zake akiwa anajifuta machozi, mpaka hapo kila mmoja akaweza kutambuwa kwanini hukumu imekuwa ndogo hivyo na kwanini alitoa hukumu ya kunyongwa kwa bwana Khatibu yeye na wenzake huku wengine wakihukumiwa kifungo cha maisha jela wapo baadhi ya watu wakasema kesi itakuwa imenunuliwa ile kwasababu baba yake ni mkuu wa majeshi haiwezekani aukumiwe miaka nane kwa mauwaji aliyoyafanya ni upuuzi mtupu. Ndani ya gereza watu hawakuacha kuja kumtembelea Hafidhi hasa wazazi wake na ndugu jamaa na marafiki kutokea mtaa wa tatu, “Hafidhi my baby ulisema utakuja kuniowa sasa upo gerezani je utaniowa kwa njia ipi?’’ alikuwa bibiye Smaiya mdogo ake marehemu Yusra akimuuliza Hafidhi siku ambayo alienda kumtembelea gerezani. Kabla ya kumjibu akamtazama na kumwambia “kama kweli unanipenda basi utaningojea kama ukiona miaka nane ni mingi chukuwa maamuzi mapema’’

“hapana sio mingi ningekusubiri hata ingekuwa miaka elfu na malaki,’’ Smaiya akaongea hivyo akiwa anatabasamu wakakutanisha ndimi zao na kupeana kitu roho inapenda siku zote Hafidhi hakuwai kumueleza yoyote kuhusu habari za wake zake bibiye Vivian na Mariam akabaki kimya tu wala hakuhitaji rafiki yeyote ndani ya gereza zaidi ya wale wanaokuja kumtembelea,

MWISHO***

Isikupite Hii: Dalili za Kuonyesha Mwanamke Anataka Umpeleke Chumbani

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment