Mtaa wa Tatu Sehemu ya Tatu
CHOMBEZO

Ep 03: Mtaa wa Tatu

SIMULIZI Mtaa wa Tatu
Mtaa wa Tatu Sehemu ya Tatu

IMEANDIKWA NA : HAFIDHI J IKRAM


Chombezo : Mtaa Wa Tatu

Sehemu Ya Tatu (3)

Kwanza kwake aliona kama ni ndoto hakuweza kuamini kabisa kama

Baba yake kipenzi kapoteza maisha

akakumbuka tukio zima la janaake usiku

kisha akazidi kulia na kusema CHANZO:

“hapana baba yangu hajafa mnamsingizia tu,

hii si kweli kabisa ni ndoto tu”

Kwa kifupi alidata ghafla akadondoka chini na kupoteza fahamu.

Ni msiba uliovuta hisia za watu wengi sana hasa kwa watu masikini

wasiojiweza

walijazana vilio vyao vikasikika kila kona

“hiiiiiiiiiihaaaa mkombozi wetu

umeondoka na kutuacha peke yetu ni nani wa kutusaidia baba

Yahaaaaaaaaa!!!

Hafidhi nae hakuwa mbali kwenye msiba huo ni mmoja kati ya watu waliokuja kutoka Keko

bwana Khatibu ambaye ndio

Baba yake Habiba alitoa gari zake kama nne aina ya Coaster ziwapeleke

Wakazi wa maeneo hayo kwenye msiba wa rafiki yake kipenzi

Hafidhi akaitumia nafasi hiyo kwenda.

“Mke wangu kipenzi mbona

Habiba sijamuona hapa nyumbani yapata wiki sasa, yuko wapi?”

“ehee tena imekuwa vizuri kumuulizia huyo mbwa wako, kwa kifupi tu kachoka

kulinda hapa kisa tunamlisha machicha

Matokeo yake kaenda kulinda kule kwa mama

Asia”

“unasemaje wee mwanamke inamaana

Habiba aishi hapa tena?”

“ndio maana yake”

“ok! wacha nikamfate mbwa wangu huyo mama atanitambuwa

tunataka kwenda msibani hakuna mbwa wa kulinda nyumba”….

bwana Khatibu akatoka njia nzima akitukana

kitendo cha kufika tu, akamkuta

Habiba anachambua mchele akaupiga teke ungo wenyewe kule mchele ukamwagika

Habiba akapiga kelele

“yalaaa!!! uwiiiiiii, nisaidieni

mama Asia akatoka ndani mbiombio na kumkuta

Habiba akipigwa mateke ngumi zilituwa kila maeneo”….

Akashindwa kufanya chochote baada kumuona yule ni baba yake.

Akarudi ndani na kuchukuwa simu ampigie

Hafidhi si kaenda msibani.

Simu ikawa haipatikani dahaa akatoka tena nnje na kukuta

Habiba kabebwa, akabaki kulia tu

na kurudi ndani”

siku hiyo Habiba alijuta kuzaliwa kwani alipigwa vibaya sana

mdomo ukapasuka damu zilimtoka huwezi kuamini kama anaye fanya yote hayo ni

Baba yake mzazi.

Salome akapaza sauti kwa kusema

“baba muache inatosha utampigaje hivyo kama mnyama, tambua nae ni binaadamu

anaumia”

Ni kauli iliyowashangaza familia nzima

hata Habiba mwenyewe akashangaa.

Maana katika watu waliokuwa wakishabikia pindi akipigwa Salome alikuwa number moja,

Kingine ashawai kumpiga na chupa ya chai kichwani.

Chai ya moto ikamuishia mwilini, kwa kifupi

Salome hakuwa na huruma hata kidogo, iweje leo

Awe hivi

“Wife imekuwaje mbona Salome leo kawa hivi?”

“mmh mi mwenyewe nashangaa yani Salome huyu mwanangu leo hii kamtetea huyu mbwa”

Baada Salome kusema vile akaingia chumbani kwake huku akilia hakika alitokea kuingiwa na huruma sana.

Siku zote mtu anaweza kubadilika ghafla

mtu mbaya akawa mtu mwema.

Akaichukuwa simu yake na kukumbuka tukio la jana yake usiku

“Salome hakika wewe ni binti mzuri sana tena sana.

Lakini uzuri wako unautumia vibaya, yani roho yako haifananii kabisa”…

“kwanini unasema hivyo my baby Chanduka?”

Hafidhi kama anavyojiita eti Chanduka akaendelea kumwambia

“nasikia una roho ya kinyama sana juu ya mtoto wa baba yako wa kambo.

Salome please nisikilize kwa umakini sana tambua kitu kimoja kile usichopenda kufanyiwa basi na wewe usimfanyie mwenzako. Hivi unapenda kupigwa au kuteswa kunyimwa chakula?”

“hapana baby sipendi kufanyiwa hivyo hata siku moja”….

“ok! kama hupendi hata Habiba hapendi anaumia kusema tu anashindwa hata akisema hakuna wa kumsikiliza, anabaki kuwa mnyonge kilio chake

Mungu pekee anakisikia.

Salome”….

“abee baby”

“je unanipenda?”

“ndio nakupenda japokuwa tumekutana ndani ya usiku huu nimetokea kukuamini kwa kila kitu, yani umenibadilisha kwa kiasi kikubwa nakuapia

Wallah tena kuanzia dakika hii nitakuwa mtu mwema”

Aliongea hivyo Salome akiwa kajiegemeza kifuani kwa Hafidhi

“baby nikuombe kitu je unaweza kunifanyia ndani ya usiku huu?”

“baby mi niko tayari kwa lolote bwana embu niambie kitu gani hicho? Au unataka nikalale kwako mpaka asubuhi?”

“hapana baby sio hicho nataka uwende ndani ya chunba chenu kuna picha sijui katokea Buraki yani kichwa cha mtu mwili wake wa farasi.

Naomba ukaniletee hiyo picha”…..

Salome akanyanyuka na kutoka mbio kuifata hiyo picha.

Akashtuka kutoka kwenye dimbwi la mawazo akajifuta machozi na kubofya simu yake.

Akaweka sioni kusikilizia simu ikawa inaita……..”

Na kupokelewa

Sauti ya Hafidhi ikasikika japokuwa sauti ya vilio nayo ikasikika

“halloo my dear my love my sweat mambo vipi niambie”…..

Salome akaangua kilio na kicheko

“hiiiiiiiiihaaa, hahahaha,

Hafidhi akabaki kushangaa na kuuliza

“vipi Salome huko sawa kweli?”

“Chanduka kipenzi changu nacheka kwa furaha kwa kuniita majina matamu kama hayo.

Nalia kwa hudhuni baada Habiba kukamatwa na kupigwa vibaya mno kabla hajaongea zaidi simu ikakatwa akaishia kusema

Halloo…..halloo

hakufahamu kama

Kutanuka dakika si nyingi kidume kitafika hapo.

Hafidhi baada kupigiwa simu na kuambiwa

Habiba kapigwa akajihisi kama vile kutoneshwa kidonda,

akamwita dereva bodaboda na kuongea nae kisha akapanda na kuondoka.

“sikia wewe mbwa siku ukitoroka tena

nitakata miguu yako mtoto

wa malaya wewe”

“kila muda najiuliza nilipi kosa langu ewe baba yangu, mara nyingi najiuliza hivi wewe ndio yule baba

uliyemkimbiza mzee Mkwanga na panga kisa alinichapa mimi, ni wewe

kweli ulikuwa ukimgombeza mama na kumwambia asithubutu kunitia hata singi.

Baba yangu ni kipi kimekubadilisha

leo hii unanichukia hivi

Kabla ya kuongea zaidi akapigwa teke la mdomo na yule mama

tena kavaa sukuna basi damu tu ajabu

Habiba akacheka na kusema

“ha!ha!ha! Baba hii ndio damu yako leo hii inamwagika mbele ya macho yako.

Umekaa tu”

“wee mwanamke embu kaletu pasi

tumfunge mdomo huyu mbwa yani kazidi kunichefua”,,

Yule mama akaenda mbiombio chumbani na kutoka na pasi ikachomekwa kwenye umeme

Kisha akaambiwa

“mshike hicho kichwa kisha upanuwe huo mdomo wake Salome akatoka chumbani kwa kasi ya ajabu akaenda kuibeba ile pasi na kukimbia nayo chumbani kwake,

Mama yake akamuacha

Habiba na kumkimbilia

“wee Salome embu lete hiyo pasi wee mtoto mbona umekuwa hivi”…

“kwanza napiga simu polisi kuwaambia mnafanya mauwaji humu ndani

kama unaona raha jichome wewe kwenye matako yako, huo ni uuwaji

kabisa”

Alisikika akisema hivyo Salome.

“Salome kumbuka mimi mama yako yani unanitusi sio”….

Salome akabaki kimya wakati

huo mmoja kati ya mabinti zake sijui ndio

Sikitu akaingia chumbani kwake na kutoka na pasi

“mama achana nae pasi nyingine hii hapa”

Basi ikachomekwa

Habiba akashikwa tena

Ghafla mwanaume ndio anaingia, wote wakashtuka”….

Walijuwa ni polisi,

“nani wewe?” yule Mzee akauliza hivyo kuja kutahamaki akaanza kuchezea

ngumi za haraka haraka,

Mkewe akaja mbio eti amshike

Hafidhi akapigwa teke na kwenda kudondokea kwenye

ile pasi kibaya zaidi akaikalia.

Kwanza ilimuunguza kingine akapigwa short ya umeme.

sikitu na mwenzake wakatoka mbio na kwenda kujifungia ndani.

Kimbembe kikabaki kwa mzee yani alifinywa akashikwa kichwa na kwenda kubamizwa kwenye

TV flat screen sijui inch32

kitu kule uso ukawa hautamaniki

Salome akatoka chumbani kwake hakuweza kuamini Aisee

“Habiba my sister huyu kweli ni baba yako?

kama ni baba yako kwanini kawachinja ndugu zako kwa tamaa ya utajili,

Kawatowa sadaka ndugu zako,

Mama yako amekufa kutokana na sononeko la moyo ameumia baada kugundua wanae

hawakupelekwa shule ya boarding kusoma.

Walienda kuchinjwa sasa basi

huu ni mwanzo tu ndani ya barua ile

kuna list nzito walioshiliki kufanya kitendo hicho sina budi kuwaondoa wote

Duniani wee mzee subiri na uwone”….

Baada kuongea hivyo

Hafidhi akaenda kumshika

Habiba na kumnyanyua kisha akasema

huku akimnyooshea kidole

“wewee

Salome akaita baby”….

na kwenda kumkumbatia mtoto akarembua macho akiitaji denda si akapewa mdomo

Asssssss,,,,,ohoooooooaaaaahhh,,,,

Baby twende chumbani”

Salome akatamka hivyo

“usijali baby nitakuja wacha nimpeleke

Wifi yako hospitali”

Kisha mwanaume akatoka

“Salome kafunge mlango haraka”

Mzee akatamka hivyo.

Salome akamtizama baba yake akamnyari na kumwambia

“wee Mzee embu punguza presha

ujasikia kama kasema atarudi

kuja kunitoa nyege zangu wee vipi”….

Salome hakujali kama mama yake

kalala chini hajitambui kabisa

Huyoo akaingia chumbani kwake.

Mzee Khatibu akatoka mbio kwenda kufunga mlango yani alikuwa na maumivu kila

ya mwili wake.

Akaenda kumshika mkewe na kuanza kumtikisa

“wife my baby hamka yule jamaa ameshaondoka tayari

Jamila hamka please baby inuka

vilio vikasikika kutoka kwa Sikitu na mwenzie sijui anaitwa nani, wakilia na kuita mama,

Hafidhi baada kumchukuwa

Habiba akampeleka kwanza hospital maana aliumia sana,

Ndani ya hospital ya Temeke

Habiba akaweza kupatiwa huduma kama vile kutundukiwa dripu na kutibiwa baadhi ya majeraha,

Hakika alimuona

Hafidhi ni kama mkombozi wake.

na kujisemea moyoni mwake

“sijui nikuite nani kaka Chanduka hakika siwezi”….mchozi ukaanza kumtoka,

Ndani ya mtaa wa tatu

kulikuwa kumenoga yani full raha

Salma alikuwa akicheza rede na kina

Sada Beatrice Joyce

yani ilikuwa full kuona vichupi tu.

“wewee rusha mpira huo,

Zulfa na Sharifa walikuwa ndio wazingaji

“kujimanua kote huku mwenzenu nasikia nyege zimenipanda balaa,

yani angekuwepo Hafidhi hapa sijui ingekuwaje”

ni kauli ya Zay akaenda kukaa chini

“hivi wewe miguru baja ushawai kutiwa muogo wa Hafidhi au unaongea tu?

Zulfa akamuuliza Zay nae akajibu

“nini kutiwa muhogo mwenzako hadi Dudu nimekalia

yani usiku kucha, sijui yuko wapi kipenzi changu nimelitamani

Dudu kubwa kitu kinataiti penyewe

sio hawa vibamia sijui vimbilimbi”…

“wee Zay achana na mada za kutiana nyege”

Wakiwa wanaongea simu ya

Joyce ikawa inaita akaichukuwa na

kuitizama akaona number

ngeni akajisemea

“sijui mijitu mingine ikoje inaingia kwenye walii yangu fb na kuchukuwa number yangu ya simu yani sipendi”

Akaamua kuipokea “halloo wee kaka naomba ukome kuchukuwa number yangu ya simu sitaki usumbufu”…

“wee mtoto acha mapepe mimi ni

Hafidhi j Ikram hapa

tusipoteze muda nakuomba uje

Temeke hospital, tafadhali usimwambie yeyote yule uje peke yako”

Simu ikakatwa unajuwa mpaka hapo

Joyce hakuamini aisee

yani kapigiwa simu na Hafidhi aliona kama ndoto vile muda si mrefu atashituka kutoka usingizini.

Zulfa akambabua na mpira ndio akashtuka

akatoka mbio

kwanza akaoga mtoto wakike akajikwatua vilivyo na kutoka zake

“hee vipi mwenzetu mbona ghafla hivyo, wapi tena?

Nae kwa upimbi wake akajibu

“Hafidhi j Ikram kanipigia simu ananiitaji akanisuguwe”….

“toka zako yani Hafidhi asinipigie simu mimi

akupigie wewe

Miguu kama kuku kishingo”

Beatrice akaongea hivyo na kutema mate chini, kama wangetilia maanani majibu yake basi wangemfatilia.

Sema wakapuuzia tu,

Joyce akiwa ndani ya daladala akaona kama gari haitembei vile wadudu walishaanza kumtambaa na kutamani gari hata ipae

“oyaa Thabit yule sister mbona hajatoa nauli mamaye zake wacha nimfate,

Kumbe gari ilipofika kituoni tu

Joyce akashuka na kuanza kukimbia mdogo mdogo kibaya zaidi akasahau kulipa nauli

Konda akamtuma mpiga debe

Amfate

Joyce kabla ajavuka geti tu akashikwa kwa nyuma kugeuka akakutana na sura chachuu

“wee Sister unajifanya tapeli sio”…

Hiyo sauti sasa utasema

kibata mbuzi.

“wee kaka vipi nimemtapeli nani?”

Joyce akauliza kwa mshangao

“unajifanya hujui sio si umeshuka kwenye gari bila kulipa nauli”

“ohoo I’m sorry kaka yangu nilipitiwa si unajuwa tena kuna mgonjwa nilikuwa ndio namuwai”….

Joyce akaongea hivyo na kufungua mkoba wake,

Jamaa si akaiyona simu na cheni ya dhahabu

Akaikwapua kabla hajapiga hatua moja

akimbie akajikuta anadakwa

na pandikizi la baba akiwa ndani ya Kombati ya kijeshi

wee inaitwa ukichimama nchale ukikimbia nchale, uchemeze uchiteme uchimung’unye

“haya rudisha hilo pochi haraka sana,

jamaa akawa mdogo

kama kudonge cha pilitoni akamrudishia

“samahani sana my sister”

ile kumkabidhi tu akaanza kupigwa ngumi miteke ya maana usiombe uwingie mikononi mwa Mjeshi ukiwa hujiwezi

utajuta kuzaliwa ndio kilichomkuta mpiga debe huyo akashikwa na kunyanyuliwa juu juu utasema ndoo ya maji vile.

Kisha akatupwa kwenye ukuta

“oyaa mbona kichaa wetu anapigwa kule si tumekaa tu hapa?

“wee nyau nini huwoni Kombati ile”

“kombati kitu gani bwana wakati nyumbani kwetu tunapigia deki chooni twendeni tukamsaidie kichaa wetu”…

Vijana wakahamasishana na kwenda kumvaa yule mjeshi

kiukweli alikuwa yuko fiti anapiga ngumi kwa kila atakaye sogea

Ghafla akapigwa na kitu kizoto kichwani

Mjeshi akaanza kuyumba huku na kule.

Hapo wakamuweza wakaanza kumpiga

Joyce akaingia hospital mbiombio

huku akipaza sauti kuita

“Hafiiiiidhi,,,,,Hafiiiiidhi!!!

Akashikwa na kuulizwa

“Joyce nini?”

Akaonyesha kule nnje,

Mwanaume hakuuliza sana akatoka,

Huku nnje mambo yalizidi kuwa mabaya kwa

Mwanajeshi yule, kwanza alipigwa na kuchaniwa mavazi yake,

kisha vijana wale wenye hasira

Mmoja wao akasema.

“oyaa tumtie moto nini?”

Wote kwa pamoja wakaitikia

“ndio maana yake”

“lete mafuta lete pira”……

Vijana wa kijiwe hiko sijui wamelishwa kitu gani yani bila hofu wanataka kumtia moto Mwanajeshi.

siku zote hakuna kitu kibaya kama kumpiga Mwanajeshi tena akiwa ndani ya vazi lake, ndio utampiga kwani sio kila mjeshi anajuwa ngumi

Kimbembe wakija wenzake utatamani ardhi ipasuke,

Basi

mafuta yakaletwa pira akaveshwa,

Hafidhi nae ndio anatoka hakuweza kuamini

Aisee macho yake yakatua moja kwa moja kwa jamaa

akiwa kachakazwa vibaya sana damu zikimtoka tena.

Kavishwa pira

wakati anashangaa na kujiuliza afanye nini,

Wazee wa kazi nao ndio wanaingia

kumbe mke wa

Mjeshi kapiga simu kuomba msaada

Team ikafika

yani wamekuja full mziki kitendo cha kufika tu wakaruka kutoka juu ya magari mawili waliyokuja nayo.

Hakuna cha kuuliza hiyo mwenzao si

washamuona.

Wakaanza kutembeza kichapo cha kufa mtu

yani vijana walijuta

kumpiga yule Mjeshi kama ujuavyo wanajeshi hawana dogo wala kubwa.

Basi ilikuwa piga yeyote yule

wengine wakaenda kumvua pira mwenzao na kumvisha yule aliyekuwa kashika kidumu cha mafuta.

Hafidhi akaona isiwe kesi wacha arudi ndani ya hospital kama msaada jamaa ameshapewa kelele za vilio

kutoka kwa vijana wale zilisikika.

Masikini ya Mungu kijana mmoja akachomwa moto alilia kwa maumivu, huku akikimbia huku na kule kuomba msaada

“jamanii”….nakufaa,,,motooo,,,

Mwishoe akadondoka chini na kuwa kimya

polisi nao wakafika, wakashindwa kufanya chochote

Wakabaki kutizama tu, wafanye nini kwenye ngoma ya kikubwa kama ile.

“Joyce vipi yule mtu nani yako mbona walikuwa wanataka kumchoma moto?”

Hafidhi akauliza baada kuingia ndani ya hospitali.

Joyce ikabidi amsimulie japo kwa ufupi tu,

“kumbe ni hivyo tu tuachane na hayo

twende wodini kwanza,

“sasa huko wodini kuna nini?”

Joyce akauliza, huku akimfata

Hafidhi nyuma nyuma, baada kufika wodini

Joyce akabaki kushangaa baada kumuona

Mwanamke akiwa kalala kwenye kitanda hajitambui dripu ya damu inashuka kuingia mwilini mwake

“Joyce

Karibu ukae hapa”..

Joyce akakaa pembeni ya kitanda ndipo

Hafidhi akaanza kumpa full story kuhusu binti yule na kumwambia kile alicho muitia.

“Joyce tambua kitu kimoja huyu ni

Mwanamke mwenzio ni binaadamu mwenzio anateseka kwa kiasi kikubwa please nakuomba mchukuwe ukaishi nae kule,

Sijamuona

Salma, Beatrice, Zay, wala Zulfa, nimekuona wewe tu msaidie nitakuwa nakuja kumuona kila nikipata nafasi

mchukuwe tu.

Joyce hakuwa na cha kuongea machozi yalimtoka tu kwa sauti ya

kwikwi akasema

“hapana Hafidhi huna haja ya kuniomba hivyo, niko tayali kwa chochote huyo binti nitaenda kuishi nae”

Hafidhi akanyanyuka pale alipokaa na kumsogelea Joyce akamfuta machozi kwa kiganja cha mkono, kisha akampa mdomo kama ilivyo kawaida ya wanawake wengi kufumba macho pindi wakipewa Romance.

Joyce nae ikawa hivyo mwanau akamnyonya denda

huku mkono wake uliokosa heshima ukitomasa na kuliminya ziwa la bibiye

Ahaaaaaa,,,,assssssssohoooo,,,

Basi akambeba na kuingia kwenye kichumba kimoja sijui choo au sehemu ya kunawia maji maana kulikuwa na sink kubwa tu.

Akamnyanyua juu

Basi mtoto wa kike

Akawekwa hapo na

kupewa tena mdomo kisha kuendelea kunyonyana denda,midomo minene ya

Joyce ilimfanya Hafidhi kusisimka hasa alifanya hivyo huku vidole vyake vikiwa masikioni mwa bibiye vikiingia na kutoka,,,aaah,,

mmmmh,

aaah,,,weweeeee,,,,aaaah,,oooh

,,,,alilalamika Joyce wawatu huku akijipindapinda juu ya Sink Hafidhi alitoa sketi na kumbakiza na chupi tu iliyolowa eneo la kitumbua. Hapana chezea nyege mpwito kwa kutumia meno yake aliipandisha kiblauzi ya Joyce

ambapo meno yalipogusana na chuchu Joyce alipata msisimko sana akazidi kutoa miguno ya kimahaba,aliipandisha blauzi mpaka juu kabisa na kuziacha wazi Chuchu zake zilizosimama kwa hamu

Basi Hafidhi alikivamia kifua hicho na kuzidi kuzinyonya Chuchu konzi zilizosimama na kumvutia mnyonyaji,,aaaah,,,oooooh,,,oo

oh,,,aaaammmh,,,aaaiiissssssss

sssssss,,,,aaaaaaa,,alilalamika mtoto wa watu huku akijinyonganyonga mwili wake kwa utamu aliouhisi,

Hafidhi

alizidi kuzinyonya taratibu Chuchu hizo,

Ndani ya wodi hiyo zilisikika sauti za nyegeshi na kufanya wagonjwa wengine waanze kutumbua macho

Wenye kudindisha

Midudu yao

wakadindisha.

Na kuitaji kunyanyuka watafute hiko chumba kiko wapi wakapige chabo, kwani

Joyce sijui kuzidiwa au vipi,

Hafidhi akafanya kuipekenyua chupi ya bibiye na kuingiza kidole cha matusi. Kwenye

kitumbua cha Joyce alikuta kuna unyevu uliozidi wastani.

Lakini hakuridhika nao akakisokomeza zaidi ndani. Alikipandisha kwa juu kidogo ili kiguse vyema kiarage cha Soya hapo ndipo alipoamsha majini mahaba kutoka kule moshi,,,,aaaah,,,,mmmaaaa

aaa,,,uuuuuuuh,,,oooooo

oooooh,,,sssssssssss

sssssss,,aaaaaah,,,aaah,

,mamaaaaaaaaa,,,,

tamuuuuuuu,,,aaah,,alilalamika mpaka Hafidhi

mwenye akabaki

kushangaa kama kidole kinamfanya alie hivi je.

Nikiingiza dudu itakuwaje”….

Alipotoa tu kidole,alipachika dudu lake,ambapo alipotaka kulazimisha liingie lote kwa mara moja,alimwona bibiye akirudisha kiuno nyuma huku mdomo wake akiupanua hasa,,,,aaah,,u

uuuuuuuuuuuuuuuuuuh,,,aaah,,,t

aratibuuuu,,,aaah,,,basi Hafidhi alianza kuingiza na kutoa

ili Joyce asipige kelele akafanya kumpa vidole

anyonye, yani ilikuwa balaa tupu,

Hafidhi

huku akiitafuta kasi ya kulizamisha dudu lake lote basi. Shughuli ilianzia hapo kwenye Sink ambapo Mwanaume alimvuta mtoto wa kike miguu yake na kumpanua mapaja kisha yeye alijiweka katikati yake,ndani nje nje ndani alizidi kumsugua,,,aaaah

,,,aaaaaah,,ssssssss,,,,aaaaaa

aah,,,alizidi kupiga kelele ambapo alijikunja na kumwaga.

Hafidhi akafanya

Kumgeuza bibiye kiubavu hapo kwenye juu ya Sink na kuendelea kumsugua ambapo kwa sasa aliingiza dudu lote,baada ya muda kidogo, naye alijivuta na kumwagia ndani ya kitumbua cha Joyce,

“ohoo thank you baby, kwa kunipa utamu,

Joyce aliongea hivyo, huku akijiramba midomo, macho yamekuwa mekundu.utasema mpuliza moto kwenye sufuri

Za mbege.

Basi wakatoka kwenye chumba hiko kwa kuongozana, ghafla wakashtuka

baada kumkuta

Habiba akiwa amekaa kitako pale kitandani, nae baada kuwaona akatabasamu

“vipi Dada naona umeamka?”

Hafidhi kwa kujibalaguza akauliza hivyo

“ndio kaka yangu kelele za wifi

zimenifanya nipone ghafla”

“mmh! Kelele gani tena?”

Joyce akaguna na kuuliza hivyo.

“kaka naona shukhuri ilikuwa pevu mpaka kijasho kinakuvuja zipu umesahau kufunga”

Habiba aliongea huku akicheka

Hafidhi akajitizama na kugeuka

haraka akampa mgongo

Habiba kisha akafunga zipu na kujisemea

“mbona majanga”

Joyce alikuwa hana mbavu kwa kicheko

“ha!ha!ha!

yani wifi wewe unajuwa kuchunguza kama mfuasi wa magaidi vile”…

Basi ikabidi Hafidhi akae kalibu

na Habiba akamshika begani na kumwambia

“Habiba”….

“abee kaka Chanduka”

“mmh!”

Joyce akaguna baada kusikia

Hafidhi anaitwa Chanduka, sema akanyamaza kimyaa,

“unamuona huyu binti?”

“ndio namuona kaka si ndio wifi yangu au”…

“ndio ni wifi yako huyu anaitwa Joyce Joseph, binafsi ndio atakuwa muangalizi wako kuanzia leo hii utaenda kuishi nae

huko mtaa wa tatu,

Hutoweza kupata shida yeyote”

“sawa kaka yangu mimi sina neno nakusikiliza wewe tu, nakutakia kila la

Kheri katika kazi nzito iliyoko mbele yako”.

“Joyce”

“abee baby”

“huyu ndio Habiba ni binti ambaye kama nilivyokwambia naomba umpende umthamini kuliko unavyo jithamini wewe mwenyewe yeyote atakaye thubutu

kumliza huyu japo mara moja tu, yeye atalia zaidi ya huyu,

Nakuomba tena sana muangalie Habiba!”

Hafidhi aliongea kwa hisia kubwa na kutoka zake nnje.

Joyce akamkimbilia na kumwita

“Hafidhi”…..

Nae akasimama baada kusikia anaitwa

“sasa baby si unajuwa mimi kwasasa sina kazi nitaishi nae vipi bila pesa

“usijali leo jioni kuna pesa nitakutumia

Hii number yako si umejiunga m-pesa?”

“ndio nimejiunga, kitu kingine utakuja kunisugua lini tena baby?”

Hafidhi akatabasamu na kumwambia

“siku yeyote nitakuja maana mtoto una kitu kitamu yani hapa kati kutamu”…

Akampiga kiss na kutoka zake nnje,

Joyce nae akajishauwa pale huku akimtupia jicho mwanaume mpaka akaishia zake.

Nae akarudi wodini,

Hafidhi baada kutoka nnje ya hospitali

na kukuta pilikapilia za kuwabeba

majeruhi kuwaahisha ndani

yani kila Daktari na manesi

walikuwa busy kufanya kazi hiyo.

Wanajeshi washaondoka kitambo tu,

polisi ndio waliokuwepo eneo la tukio

“hivi ilikuwaje mpaka vijana wakaingia kwenye mziki mnene kama ule?

“unajuwa tena vijana wetu siku zote hizi movie za kina

Arnold Schwarzenegger sijui Commando kipensi zinawaalibu

si walijifanya vidume kumpiga Mwanajeshi mmoja kumbe yule

jamaa alikuja kumleta mkewe krinik

wakati wanampiga, mkewe akapiga simu

sijui Lugalo au Gongo la mboto,

maana haikuchukuwa hata nusu saa washaingia”….

“nikwambie kitu Mpera”

“ehee niambie”

“nakumbuka kuna kipindi ilitokea ishu kama hii pande za segerea

Mwanajeshi alipigwa kipigo cha mbwa mwizi kisa sijui nini basi

Dareva na konda wake wakamchangia na kumpiga, wakamchania vazi lake

basi yule Mwanajeshi akaondoka akiwa hatamaniki

huku wapiga debe na wananchi wakimcheka kwa kusema kumbe depo kaenda kucheza rede tu.

Siku hiyo ikapita kimbembe kesho yake

yani walikuja Wanajeshi watatu tu

wanapiga hatari tupu”

Wakatembeza kichapo kwa kila konda kila dereva na wenye maduka,

Si walicheka chekeni na hii sasa

siku hiyo ilikuwa vilio tu, unapigwa ngumi

au teke kisha unashika kichwa kinabamizwa kwenye bodi ya gari.

Watu wengine wakakimbia maduka yao

Askari mageleza wakaja

wakashindwa kufanya kitu”….

“duhuu kumbe ilikuwa balaa ehee sasa aliyepigwa nae alikuwa mmoja wao au?

“aliepigwa hakuja wamekuja wapya”…

Alikuwa kijana mmoja anaefahamika kwa jina la mpera akiongea na mwenzake

kuhusu swala la

Wanajeshi waliotoa kibano huko

Segerea,

Hafidhi alikuwa kimya akiwasikiliza tu kisha akaondoka zake,

“wee mama toka mwenyewe nnje

lasivyo tutavunja mlango

tukuarest pumbavu zako”….

“nyie vunjeni mlango mnasubiri nini mimi namtaka mwanangu yupo humo ndani.

Mzee Khatibu akiwa

kajifunga

ban deg kichwani sehemu za usoni kaweka prasta aliongea hivyo.

Mlango ukaanza kuvunjwa

Ghafla mzee Khatibu akajikuta anashikwa kwa nyuma kuangalia

ni Hafidhi vijana wake wakajipanga kumvamia

akatoa kisu na kumuekea mzee Khatibu shingoni akasema

“dakika si nyingi nitamchinja huyu bata

Mzinga iwapo mta kaidi amri yangu

Damu zikaanza kuchuruzika

Shingoni kwa mzee.

“tupeni siraha zenu chini kisha muondoke haraka sana.

“vijana fanyeni hivyo ninakufa Aisee”…

Kwa sauti ya kilio Mzee Khatibu akaongea hivyo.

“nyie vijana hamsikii au? wekeni siraha zenu chini huyu jamaa ataniuwa kweli ohoo huwa hatanii. Aisee.

Yalaa”…..mzee Khatibu akapiga kelele za maumivu maana alikuwa tayali

ameazwa kukatwa.

Vijana wake wakaona ehee isiwe kesi

wakaweka siraha zao chini.

Yalikuwa mapanga na sime mpya kabisa bila shaka mzee Khatibu alitoka kuwanunulia.

Baada siraha kuwekwa chini

Hafidhi akaita

“baby”….

“abee mume kumbe usharudi”

“ndio embu fungua mlango basi”

Zuwena akafungua mlango na kutoka nnje

akabaki kushangaa tu

baada kuona mzee Khatibu kataitiwa kisawasawa,

“baby naomba ukusanye hayo mapanga yote

tutaenda kuyatoa swadaka kwa bibi huko kijijini, hivi wapi vilee?”

Hafidhi akauliza swali,

Zuwena akayakusanya mapanga yote na kujibu

“Msanga hiyo baby”

akaingia nayo ndani kitendo cha Zuwena kuingia ndani huku nnje mzee Khatibu akapigwa zinga la teke na kutupwa kule,

Kisha mwanaume akaruka samasoto

na mabeki ya kufa mtu

yani alikuwa anazunguka juu kwa juu

Vijana wakabaki kupokea mateke ya kushtukiza na kutupwa huku na kule.

mtu anapigwa teke na kujibamiza kwenye ukuta.

kichapo kilianza ukumbini, vijana wengine wakatoka mbio chezea

Hafidhi wewe, polisi wakafika ikawa kamata wote, kwa mara nyingine tena

Hafidhi nae akashikwa kwa kujumuishwa

na wahuni wale, uwezo wa kuwachapa polisi alikuwa nao

sema hakutaka kufanya hivyo.

Zuwena akabaki kulia kumlilia kipenzi chake,

ndani ya kituo cha polisi keko

Vijana wote wakafikishwa humo,

Mzee Khatibu akushikwa wala nini,

kufika kituoni dakika si nyingi vijana wote wakaachiwa siku zote

pesa inaongea mzee Khatibu keshafanya yake.

“afande nisikilize basi naitaji kumtolea dhamana yule kijana”

Zuwena aliongea hivyo,

“hapana huyu dhamana yake imefungwa mpaka afikishwe mahakamani hatimae afungwe”…

“haiwezekani afande mbona wale wenzake wametoka kwanini yeye asitoke?”

“wee Mwanamke unataka kunifundisha kazi sio nishakwambia dhamana yake imefungwa full stop!”

Zuwena hakuwa na jinsi zaidi ya kwenda kuongea na Hafidhi pale selo.

“baby wamekataa kukupa dhamana sijui itakuwaje”…Zuwena akaanza kudondosha mchozi,

“Sikia nikwambie kitu baby wee nenda

nyumbani kanipikie chakula nikipendacho kisha niandalie mezani

nitarudi ndani ya usiku huu usilie basi”..

Zuwena akauliza

“kweli baby au unanitania,

utatokaje sasa wakati dhamana imezuiwa?”

“wee nenda nyumbani kafanye kama nilivyokwambia niamini baby sijawai kukudanganya kamwe”…

Zuwena akaondoka kufika nnje ya kituo akakutana na mzee Khatibu yani kaumia mpaka mdomo umeenda upande eti akacheka

“hahahaha bibiye unajifanya mjanja sio na huyu kijana wako, kacheza vikarate vyake huko mbagala kisha anakuja kutupa jambajamba kwa taarifa yako nitamfunga

Milele daima hawezi kutoka kamwe”….

Zuwena hakuongea kitu akaondoka zake. Baada kufika nyumbani kwake

Akaanda chakula baada kisha akakitenga mezani

na kumngojea

Chanduka wake japokuwa ilikuwa kama ahadi ya kitoto sema akajipa moyo atakuja tu.

Hatimae ikatimia saa sita usiku

Hafidhi hakuweza kutokea akapanda kitandani na kulala japokuwa usingizi ulikuwa hauji

kwa kumuwaza kipenzi chake.

Sijui ilikuwa saa ngapi

Zuwena akashtuka kutoka usingizini baada kuhisi mtu akimpapasa maungoni mwake.

“wee nani?”

Akauliza kwa sauti ya yenye kuambatana na hofu kubwa sana.

“tulia baby ni mimi si nilikuahidi nitarudi nimetimiza ahadi yako”..

“whaoo baby siamini ni wewe kweli ohooo!,,,,asssssss,,,,ahaaaaaaaa Zuwena aliongea huku akitoa miguno baada

Hafidhi kuanza kukipekechua kitumbua chake.

Zuwena akageuka na kutizamana na kipenzi chake.

Basi wakakutanisha midomo yao

na kuanza kunyonyana denda

opssssss,,,asssss

Mwanaume akashuka mpaka kilipo kitumbua na kumpanua mapaja akauchovya ulimi wake wenye ncha kali.

Aliuzungusha ulimi huo ndani ya kitumbua kila kona aliufikisha,,,aaah,,,mmmmh,,,a

aaah,,ooooh,,oooh,,,,,ilikuwa ni raha utamu kwa Zuwena akapiga kelele za malalamiko ya utamu

iiiiiissssssssss,,,,aaaaaaa

aah,aaaaaah,,,,mmmm

mmmh,,,,ssssssss

,,,,oooh,

Mwanaume akazidi kukinyonya kiarage

Kelele

alizozitoa Zuwena zilimdatisha

Aisee akazidisha

kukishughulikia kiarage cha bibiye ambapo alikinyonya kwa ufundi huku midomo yake ikihusika kwenye kukibana na kukitekenya,,,,mmmmh,,,aaaiiii

iiiiiisssssssssssss,,,,aaaaaaa

aah,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,mmmm

mmmmmmmmh,,,,aaaisssssssssssss

,,,,oooooooooooh,,alilalamika kwa sauti ya chini ambayo waliamini haikusikika sana

Hafidhi alipoona kitumbua kimelowa vya kutosha ambapo hata yeye mwenyewe Zuwena alikuwa anataka kuingizwa dudu basi akajibidua na kubong’ na vile alivyokuwa na makalio makubwa yaliyojaa vizuri aliona mtindo unaomfaa ni mmoja.

Mbuzi kagoma au chuma mboga.

hiyo ndio style nzuri yani

umsugua huku unayaona makalio hayo yanavyotikisika

,tena makalio yakiwa yanampigapiga kwenye viazi mahaba ndio raha inaongezeka

Basi Hafidhi alimwinamisha ambapo wowowo lote lilikuwa mali ya yake.

Kwa makusudi bibiye alichukua remont na kuwasha sabufa akaweka mziki wa taarabu,basi akaanza kukatika kufutisha mziki huo ambapo makalio yake ndio yalikuwa kama yanataka kuanguka,yalitikisika na kumwongezea mzuka mwanaume.

Kiuno cha Zuwena kilikuwa kinazunguka vyema ambapo Hafidhi akaishika bakora yake na kuingiza kwenye kitumbua

Basi akawa anazungusha kiuno chake taratibu kwa minyato ambapo Hafidhi alichomeka dudu lake lililokuwa limesimam hasa,akalikandamiza na kuingia lote mpaka ndani kabisa,,,aaaaaa

h,,,,mmmmh,,waliguna hivyo wote ambapo bibiye hakuacha kukatika,ndio kwanza kama aliambiwa akishinda kukatika ataimiliki dunia nzima,alizungus

ha kiuno mtoto wa kike ambapo kasi ilimezwa kabisa na ufundi wa Jimama hilo aliyekuwa anakipeleka kushoto kulia mbele nyuma,kiukweli.

Hafidhi

alikuwa akihisi raha ya ajabu,kilichomshangaza Hafidhi siku hiyo

Zuwena

alikuwa akimtukana kabisa tena yale matusi ya nguoni huku akiongeza kasi ya kukatika,kumbe ndio alikuwa anakaribia kumwaga,,,mbona hajawai kunitusi vipi tena

Hafidhi akajiuliza katikati ya mchezo,

Basi

alijitahidi kuvuta hisia ili amwage lakini ikashindikana kwani hisia zilishahama,,,aaah,,,

sssssss,,,aaaisssssssssss,,,aa

aaaaaaaaaaah,,,ooooooooooooh,,

,oooiiiiii,,aaah,,alilalamika hivyo huku akimwaga uji wake ambapo hakuchomoa dudu akaliacha kwenye kitumbua wakiwa wamelaliana

“baby mbona ulikuwa unanitukana?”

“nisamehe my dear nilipitiwa tu”

Kesho yake Asubuhi na mapema Zuwena akakurupuka kutoka usingizini na kupapasa pembeni ya kitandana hakuweza kumuona Hafidhi akajuwa atakuwa nnje tu basi akajinyanyua kwa kujistiri vizuri shuka ya kujifunika kuangalia mezani ndio chakula kimeliwa kwa pembeni

Kuna barua akaisogelea na kuichukuwa akaanza kuisoma.

Kwako kipenzi uliekuwa ukinienzi nafahamu barua hii itakutia simanzi kwa kufa lako penzi

Dhumuni la barua hii ni kutaka kukwambia ya kwamba mimi siitwi Chanduka kama nilivyo jitamburisha kwako mimi

Ndio Hafidhi j Ikram.

Ninae tafutwa na kwa kosa la mauwaji sijui ilikuwaje mkashindwa kunitambua na jana usiku nimeuwa polisi watano kisha nikatoroka na kuja kutimiza ahadi yangu.

Mapenzi tuliyofanya ilikuwa kama mwisho wa penzi letu.

Ndani ya kiganja changu kuna rist la watu hamsini. Lazima wauwawe

idadi itaongezeka iwapo yeyote

atakaye thubutu kuingilia

Ishu hii.

Zuwena pole sana nafanya yote haya kwa ajili ya kufuta machozi ya

Habiba, ndani ya watu hao

Baba watoto wako nae yumo.

Kama polisi wakifika hapo kunitafuta wape hiyo barua by Hafidhi j Ikram sekunde si nyingi Zuwena akashtuka baada

mlango wa chumba chake kupigwa teke

Polisi wakavamia mikononi wakiwa wamekamata mitutu. Mwenye

Bastora mwenye SMG

na kumuamrisha upo chini ya ulinzi

hakupewa nafasi hata ya kuvaa kitu.

Wakamtoa nnje akiwa kajifunga lile shuka tu,

“Afande Ngogo embu soma hii barua”

mmoja kati ya maafande alimwambia mwenzie na kumkabidhi hiyo

Barua, nae akaipokea akaanza kuisoma kwa sauti kubwa kila mmoja asikie

baada kumaliza kuisoma

polisi wakachoka hoi maana dahaa kumbe mtu wanaemtafuta wamemkamata

kauwa tena mbona balaa

“Mbona hafananii

Hafidhi ni muafrika huyu mbona yupo kama mpemba inakuwaje hapa”..

Afande Ngogo akauliza hivyo.

“itakuwa alivaa sura ya bandia tu”

“sasa kama hivyo kijana atakuja kuuwa watu wengi Aisee cha umuhimu tuweke ulinzi wa kutosha atafutwe kila kona ya nchi hii.

Akipatikana sheria ichukuwe mkondo

wake haijalishi kama ni mtoto

wa general, au bridged

hapa kazi tu twendeni vijana”…

Mkuu wa msafala aliongea hivyo kwa hasira.

“sasa mkuu huyu Mama tumfanye nini?”

Ngogo akauliza huku akimtikisa

Zuwena sijui nia yake shuka ijiachie aone

Mautamu.

“huyo achana nae hausiki kwa

lolote lile”….

Basi polisi wakaondoka zao

Kidevu akamsogelea mama Asia na kumwambia

“nakupa heshima kubwa sana mama yangu

hakika ulikuwa ukiishi na kiumbe hatari sana”…

Zuwena hakutaka kuongea chochote

akaingia zake ndani

kuingia tu akakuta simu yake inaita akaichukuwa haraka kuitizama mpigaji

My love ndio jina alilo msevu

Hafidhi akaipoke huku akiwa na kitete akauliza

“halloo baby uko wapi? polisi wamekuja sasa hivi na mitutu”….

Zuwena akauliza kwa shahuku ya kutaka kufahamu kipenzi chake yuko wapi.

Sauti ya kicheko ikasikika

“ha!ha!ha!ha!”

“khaa baby unacheka unajuwa maskhara ehee ni kweli sikutanii wamekuja,”

“njoo hapa makaburini utanikuta baby”

Kisha simu ikakatwa

Zuwena hakutaka kuchelewa akavaa haraka na kutoka huku akikimbia mbiombio kufika eneo la makaburi

hakuweza kuamini kwa kile

Alichokiona

Aiseee”…..

Zuwena hakuweza kuamini macho yakamtoka pima

Baada kukuta miili ya maafande imelaliana hovyo

wakiwa hawana tena uhai

si afande Ngogo wala nani wote wamechinjwa,

Wananchi walijazana na kuanza kuulizana

“hii imekuwaje polisi wote hawa wameuwawa”…

“yani sijui nisemeje

Polisi walikuwa sijui wanatokea wapi,

Sasa wakati wanapita hapa kuna kijana mmoja hivi shalobaro tu akapishana nao

Ghafla bin vuu yule sharo akaanza kutembeza kichapo kwa maafande wale. Mi nilijuwa bongo movie kumbe wanapigana kweli yule sharo alikuwa na visu kama viwili.

Basi akatumia hivyo kuwachinja,

Nikaitoa simu yangu kushort video nikashort,

”embu tuone hiyo video”

Mimi nitumie whatsapp kaka”

Baada jamaa kusema kashort tukio zima kila mmoja akata aone mwingine atumiwe

Jamaa akasema

“ningewatumia tena mngeona tatizo yule sharo kasepa na simu yangu

kudadeki zake kanipiga zinga la mtama, na kuniambia

“lete simu lasivyo nitakuuwa.

Nikaona mmh!

Nisije kuchinjwa bure nikampa mwenyewe”

Zuwena hakuwa na jinsi zaidi ya kuitoa simu yake na kumpigia

Hafidhi majibu yakaja simu ya

mteja unaempigia haipatikani kwa sasa

jalibu tena baadae.

Zuwena akachoka hoi akamuuliza yule kijana aliyekuwa akisimulia tukio zima

“wee kaka umesema huyo

muuwaji kaondoka na simu yako?”

“ndio Dada yangu yani dahaa

simu nimeinunua juzi tu shilling laki

nane jamaa kaibeba”

jamaa akaongea hivyo huku machozi yakianza kumtoka,

“basi usilie nipe number ya simu yako

niweze kumpigia”

Jamaa akataja number za simu

Zuwena akapiga kwa bahati nzuri simu inaita.

Zuwena akaenda mbali kidogo na pale

huku akisikilizia kama simu itapokelewa

ni kweli simu ikapokelewa

na wakati huohuo defender za polisi

kama sita hivi zinaingia polisi

wakaruka kutoka kwenye magari yao

na kulizunguka eneo zima,

Afande mmoja akainama ulipolala mwili wa afande Ngogo na kuokota kitu kama

kikaratasi hivi,

Akakifungua kilikuwa kidogo sana sema kikawa kikubwa baada kukikunjua

“nafahamu fika ni jinsi gani

mtakuwa na simanzi baada kuwauwa panya wenzenu. Naomba mtambuwe kitu kimoja

mwisho wa mchezo huu

mtakuja kupata matokeo. Nyie endeleeni

kukamata vibaka wezi

pigeni watu wenye kufanya maandamano

Msitake kuingia kwenye mkono

wa Mtaa wa tatu mimi ni zaidi ya chatu

nang’ata natafuna nameza.

Yeyote atakae nifatilia lazima auwawe”…

Barua ikaisha hivyo

“Aisee afande Agnes

inaonekana huyu jamaa anajiamini sana mpaka anafikia hatua ya kuitisha serikali”

“ndio maana yake sema muache aneng’eneke (One day) ipo siku moja tutamnasa tu ndio atajuwa kuwa serikali ina mkono mrefu

pumbavu zake”

Afande Agnes akaongea kwa hasira.

Zuwena nae akaisikilizia simu mpaka ikakata.

Na kuamua kupiga tena hatimae ikapokelewa

“Zuwena nini shida? nini tatizo?

Unataka kitu gani kwangu please tulia nyumbani usinipigie simu wala usitake kufahamu wapi nilipo

ukidadisi sana nawe utauwawa!”

Hafidhi aliongea hivyo kwa sauti ya ukali kisha akakata simu,

Habari zikatangazwa kila kona ya nchi

baada muuwaji kufanya

mauwaji mengine tena safari hii ya kutisha

Zaidi kauwa maafande kumi

watano kituoni

watano waliotoka kumtafuta wakakutana nae njiani akawachinja wote

kijana mwenyewe picha yake ni hii.

Ni kijana mdogo sana sema mambo yake ni hatari tupu”

“Toba”…nini hiki (Why)?

mama Hafidhi nini mwanao anafanya, hii ndio kazi aliyopewa na Ankor wake sio?

Niambie mke wangu kwanini mwanetu anauwa kipi kimemsibu?”

Mzee J Ikram aliongea kwa jazba kubwa baada kuona taarifa ya habari kuwa mwanae ameuwa tena polisi kumi.

Mkewe hakujibu kitu akabaki kulia tu

maana Hafidhi ndio mtoto

wa pekee leo hii kageuka kuwa muuwaji

itakuwaje kama akikamatwa hukumu yake ni kunyongwa au kufungwa kifungo cha

Maisha jela.

“hapana siwezi kumuacha mwanangu

ateketee kwa mambo kama haya

lazima nifanye kitu aisee”…

Akaitoa simu yake na kumpigia sijui nani

sauti upande wa pili ikasikika

“halloo mzee shikamoo vipi wazima huko?”

“marhabaa kijana wangu

Dennis kiupande wetu si wazima ila kwa upande wa kijana wako

Mambo si mambo kabisa”

“nani? Hafidhi au”….

Dennis akauliza hivyo,

“ndio ni Hafidhi binafsi amegeuka kuwa gaidi mpaka sasa kauwa polisi kumi na moja.

Dennis nakuomba please naitaji msaada wako uje kumzuia mwanafunzi

Wako asiendelee kufanya ugaidi”

“usijali baba yangu kesho

Nitakuja na vijana kama watatu ni wakali zaidi yake tutamzuia tu,

Ondoa shaka kabisa kila kitu kitakwisha”

“nitashukuru sana kijana wangu

kama kazi ikienda vizuri nitakupa cheo kikubwa sana”

Mzee J Ikram akakata simu

kabla hajaiweka mfukoni simu ikaita

akaipokea

“halloo Assalamu alaykum?

“waaleykum ssalamu

Ewe baba yangu”

Mzee J Ikram akashtuka na kuuliza

“wewe ni Hafidhi? please mwanangu rudi nyumbani uje kuniambia hao watu wamekufanyia kitu gani, tutawakamata kwa mbinu za Kijeshi

kisha wajaze pipa kwa kisoda

au wale embe na kokwa lake,

Hafidhi mwanangu si unazifahamu vyema adhabu zetu ehee

basi njoo nyumbani Baba”,,,,

yani aliongea huku kijasho kikimtoka kuonyesha ni jinsi gani anaitaji mwanae

arudi nyumbani.

Anampenda kuliko kitu chochote.

Mkewe akamnyang’anya simu

na kuongea yeye,

“Hafidhi baba uko wapi mwanangu?

Mama yako kila sekunde nalia nashindwa kula wala kulala”

“pole sana mama yangu”

Kisha akakata simu huku wakaishia kusema

halloo,,,,halloo,,,

Simu ishakatwa kibaya zaidi katumia simu ya mezani.

Ndani ya Yombo vituka tunamuona

Hafidhi akiwa anaongea na mama mmoja hivi.

“sawa kijana chumba umepata sema

ndani ya nyumba hii kuna mashart machache tu.

Utakiwi kutumia kilevi cha aina yeyote ile yani kuvuta bange sijui sigara”..

“usijali mama yangu yani hivyo vitu situmii kabisa”

“basi sawa subiri nikuandikie mkataba wako si umesema unahamia leo ehee?

“ndio nahamia leo maana ndio kwanza nimetoka kijijini nisije kulala stendi bure”

“inamaana hapa mjini huna ndugu

kabisa?”

“ndio sina ndugu

Nimekuja mjini kusaka maisha si naweza kupata kazi mama yangu ehee”..

“ndio kazi unaweza kupata ni uwezo wako tu na elimu yako, ehee unaitwa nani?”

Mwanaume akachekecha akili haraka akajibu

“naitwa Eddy Smith”

Basi yule mama akaandika

baadhi ya maneno kwenye karatasi ya mkataba kisha akamkabidhi

na funguo

“hizi ndio funguo za chumba chako

Kuhusu ratiba ya kufagia uwanja au kudeki choo utaenda kusoma pale chooni.

Kila chumba kina number imeandikwa kwenye mkataba”…

“sawa mama yangu nitafanya hivyo”

Hafidhi akaitikia na kuondoka zake,

Mwanaume akakodi pikipiki mpaka Ubungo kisha akaingia kwenye buss ya mwendo kasi

“kusema kweli dunia imekwisha zama zilizotabiriwa kuja ndio hizi yani kuna watu wanajiita manabii sijui mitume

Wakati mtume wa mwisho ameshakufa na hakuna tena mwinginewe mzuri kama yeye”…

Ni mzee mmoja hivi alikuwa akiongea maneno hayo ndani ya buss

“wee mzee embu tunyamazie bwana naona unatupigia kelele tu”,,,,

Ndani ya gari ikawa fujo mzee akatoka kwenye kuhubiri dini kaingia kwenye

Siasa

“unajuwa watanzaina walio wengi ni mambumbu inawezekana vipi kutaka kuwapa nchi wachaga,

Kwanza wachaga kwa hela wee wakipewa hii nchi hampati hata shilling kumi

Utasikia mama mia taka hogo”

Kuna kijana mmoja ambae ni mchaga akanyanyuka na kumkunja yule mzee

“wee mzee kama ulitaka kuvunjiwa heshima

Mimi nakuvunjia

heshima kudadeki zako unaleta dharau na makabira ya watu sio?”

Hakika kijana yule aliongea povu likimtoka ikionyesha kachukia kuambiwa wao wachaga wanapenda pesa.

“tafadhali kijana niachie kabla sijaakurukia kichwa ohoo niachie nasema”..

Askari wa usalama aliyoko ndani ya gari hiyo akaja na kutuliza ghasia zile

Askari akamsihi yule kijana kwa kumwambia,

“wewe embu muachie kwanza huyu mzee”

Kijana hakukubari

“nitamuachaje bwana wakati kanitusi”

gari ikafika kituo kimoja ikasimama ikabidi wote wapigwe pingu na kushushwa safari kituoni wataenda kujibu mashitaka yao.

Ndani ya gari kukawa kimyaa mpaka inafika Kariakoo

Hafidhi akashuka na kuanza kukatiza mitaa

sijui kapajuwaje yani kila mtaa kila kichochoro akaingia,

Ndani ya gorofa moja hivi mwanaume akaingia na kupandisha ngazi

ndani ya chumba kimoja kulikuwa na watu wawili wakibishana

mmoja ni mzee wa makamo kwa kukadilia umri wake miaka kama hamsini au stini.

mwingine ni binti mdogo tu

Mwenye umri wa miaka kama ishillini

“kusema kweli binti yangu huyo kijana mimi simuhitaji kabisa na siku nikimuona amekanyaga hapa nitampasua kichwa”

“lakini baba yule ndio mpenzi wangu chaguo la moyo wangu”

“shatapu funga bakuri lako mwana izaya mkubwa wee mtoto huna hata haya, eti chaguo langu”

wakati wanaongea ghafla wakashtuka mlango ukipigwa teke akaingia kiumbe usoni amevaa maski nyeusi juu kavaa kofia aina ya pama,

“wee nani?

Yule mzee akaongea kwa kubabaika huku akifunua mto bila shaka alitaka kuitoa bastora, yake

Kiumbe chenyewe hakuwa mwingine ni

Hafidhi j Ikram kwa kasi ya kimbunga akamuwai yule mzee na kumuwekea kisu shingoni.

Binti yake akataka kukimbia kikarushwa kisu na kwenda kukita mlangoni.

“binti tulia tafadhali rudi hapa vinginevyo utamkosa Baba yako kuja hapa”….

Kwa sauti ya ukali

Mwanaume akaongea hivyo.

Yule binti akarudi kwa mwendo wa kutetemeka”

Hafidhi akaingiza mkono kwenye mto na kuichomoa bastora

“wee nani kwani?

Unataka nini kwangu?”

“usiwe na haraka ya kutaka kunijuwa mimi nani cha umuhimu naitaji zile pesa kiasi cha shilling million mia saba ziletwe hapa kisha utafahamu mimi ni nani”…

Hafidhi aliongea hivyo sijui hizo pesa kazijuwaje na huyu mzee kamfahamu vipi itakuwa barua ina siri nzito.

“pesa gani mbona mimi sina kitu”

Hafidhi akamshika yule binti na kufanya kama anataka kulikata ziwa la binti yule

Kwa kisu.

“hapana kijana usifanye hivyo

huyo ni binti yangu ndio kila kitu kwangu please muache hizo

Pesa

nakupatia sasa hivi”….

Yule mzee akaongea hivyo huku akinyanyuka na kuingia kwenye chumba kimoja hivi na kutoka akiwa na begi,

“haya bibiye pokea hilo bag

Kisha fungua hiyo zipu nione”

Basi binti akafanya kama alivyo ambiwa

Hafidhi baada kuridhika akalivaa lile bagi mgongoni na kuivua mask yake

Hakika mzee akashituka na kutamani hata kukimbia

“sikia nikwambie kitu mzee leo sijaja hapa kwa nia ya kuchukuwa roho yako.

Nimefata huu mzigo tu.

Sema una binti mzuri sana”

Hafidhi akamsogelea yule binti na kumpa mdomo

Ajabu binti akafumba macho na kuachia rips za midomo yake wazi.

Basi mwanaume akafanya aramba

Ahaaaaaa,,,ohooooooo binti akagugumia kwa raha

“binti unaitwa nani?

“naitwa Subira”

Mtoto kwa sauti tamu yenye kumtoa nyoka pangoni akajibu hivyo.

“basi chukuwa businesse card yangu hii nipigie baada nusu saa”

Subira akaipokea na kusema

“sawa mpenzi

Ving’ora vya magari ya polisi vikasikika kwa mbaali

Hafidhi kutizama hivi yule mzee hayupo kwenda kufungua mlango haufunguki umefungwa kwa nnje si kaleta mapenzi kwenye

kazi

Mwanaume akadata aisee

Hafidhi akadata aisee na kujiuliza nitatokaje humu ndani? Kudadeki”

Subira akamshika mkono kwa kumwambia

“embu

nifate.

Ikabidi amfate wakaongozana mpaka kwenye kile chumba.

Baada kuingia humu subira akainama na kufunua kapeti, kisha akamwambia

“baby embu funua huu mfuniko.

Hafidhi akafanya haraka na kuutoa ni kweli

Kulikuwa na kamba imejinyongorota.

Hafidhi akuamini

Aisee,,,,,

akamshika bibiye na kuanza kumnyonya denda kwa pupa

Asssssss,,,,ohoooo,,,,mmmmm,,,,babiiii nenda bwana mi nitakuja baada hiyo nusu saa ujuwe

wanakuja!”

Mwanaume akachumpa kwenye shimo na kutambaa na kamba.

Subira akafunika ile sehemu kisha akajibamiza kwenye kabati kwa kujirusha na kujikuta akijikata sehemu

Akakaa chini analia

Dakika si nyingi mlango ukavunjwa polisi wakavamia,

Na kuanza kumtafuta kila kona kumbe mwenzao ndio anashuka na kamba.

Ikabidi Subira apatiwe huduma huku

Askari wengine wakishuka chini kwa kasi

baada kuambiwa jamaa anashuka na kamba

Hafidhi alikuwa yuko faster mwepesi zaidi,

Akadanki gorofa moja na kutokea kwenye kichumba fulani akamkuta binti yuko busy kufanya mapenzi kwa kutumia

kifaa cha bandia

Ahaaaaaa,,,,,ohooooo,,,,opsiiiiiiii

Binti alikuwa analalamika baada kujiingiza dudu la bandia

Hafidhi akanyata na kwenda kumshika miguu binti akashituka na kupiga kelele

mwanaume akamuwai kwa kumziba mdomo

“shiiii nyamaza usipige kelele ukikaidi nitakuchinja”..

Binti nyege zote zikaondoka akabaki kutumbua macho tu tena akiwa uchi wa mnyama,

“sikia nikwambie kitu mimi huko nnje natafutwa na polisi

sasa nakuomba kitu kimoja unisaidie kunionyesha njia za siri.

Niweze kutoka salama,

Hafidhi akamuomba yule binti akiwa kamkazia macho

Mkononi mwanaume ana bastora.

“kuse,,,ma kw,,,,,eli,, s,,,s,,,ijui

Binti kwa sauti ya kukata kata akaongea hivyo.

Hafidhi akavua bag na kuliweka pembeni

Bastora akaweka pembeni na kusema

“bibiye huna haja ya kutumia vitu vya bandia wakati original tupo”

Akafungua zipu na kumwambia bibiye anyonye koni original.

huku nnje polisi wakazidi kuongezeka

FBI nao wakafika,

“tunawaomba tafadhali watu wote mlioko ndani ya gorofa number Tisa

mtoke nnje haraka sana

fanyeni haraka, ilikuwa ni amri kutoka kwa mkuu wa kitengo cha FBI

vijana wakaamrishwa wapandishe juu

ilikuwa msako gorofa hadi gorofa chumba hadi chumba.

Wakati polisi na FBI wakiwa kwenye mikakati ya kumsaka yeye,

Mwenzao yuko busy kula kitumbua

Basi Hafidhi baada kunyonywa dudu lake nae alianza kuyashikashika matako ya binti huyo.

Kwa kuyaminyaminya kwa kuyapanua vizuri akaipandisha mikono yake mpaka kwenye kiuno cha binti kilichojikata vyema na matako yake. Akawa kama anakifanyia masagi wakati mikono yake ikiwa kwenye kiuno aliipandisha juu kidogo kwenye mgongo na kufanya kama anamshikashika vile vinundu viwili vya mgongoni.

Hapo mdomo wake ulikuwa kwenye matako makubwa

ya binti akiyanyonya kwa kuzunguka matako hayo mpaka juu ya kiuno na kufanya kama anayang’ata kimtindo,,,,aaaaaaaaaaa­aaaaaaaah,,,,,,aiiiiiiuuu,unaniteke­nyaaaaaaaaaaaaaaa,,,uwiiiiiiiiiiiiii,,,a­aaaaaaaaaaah,,wewe­ooooooo,,,mmh,,,Binti alihisi mtekenyo ambao ulimsisimua na kumtia nyege.

Akawa anayabinua matako yake ili yanyonywe vyema,

Mwanaume nae

hakuremba sura yake ilionekana kama inazama katikati ya matako aliuzamisha mdomo wake ambapo alitoa ulimi wenye kihelehele na kuanza kuunyonya mpododo uliokuwa mweupe bila hata kinyoleo kama ujuavyo njia ipitiwayo na watu kila muda lazima iwe safi ulimi uliingia kabisa kwenye mpododo huo bila kuona kinyaaa ambapo binti huo ndio ulikuwa udhaifu wake sijui mzee wa nyapu kajuwaje,,,,, aaaaaaaaah,aaaaaaaaasss­ssssssssss­sss,,aaa­aaah,,,ooh,,,,babiiiiiiiiiiii­iii,,,aaaaaaaaaah,,,,alijikuta akipiga kelele za utamu ambapo Hafidhi ni kama aliweka pamba masikioni,aliendelea na zoezi hilo mpaka Binti anaomba dudu. Hafidhi alimnyanyua kabisa na kumwinamisha ambapo mpododo na kitumbua vilionekana vyema,ulimi bado ulikuwa na kihelehele ambapo ulikivamia kitumbua cha bibiye kilichotuna kwa hamu.

Akaanza kukinyonya kiarage,,aaaaaaaaaass­ssssssssssss,,,,aaaa­aaaaaaaaaaaah,,,,nis­ugueeeeeeeeeeeeee,,,­aaaaaaaaaaaaah,,,,,n­isugueeeeeeeeeeee,,,,,alisisitiza sana bibiye.

Basi Hafidhi alilichukua dudu lake lililosimama vyema na kulichomeka kwenye mpododo wa uliolegea kama mdomo ulioachwa wazi.

Dudu hilo liliingia taratibu kwenye mpododo huo uliokuwa mnato hasa, kilianza kichwa kisha lote likazama kama nyoka aingiavyo shimoni mwake,,,,aaaaaaaaaaa­aaaaaaaaaaaaaah,,nis­ugueeee,,mpeeenziiiiiiiiiiiiiiiii,,Mwanaume alianza kupampu taratibu huku mikono yake ikimchezea matako yake manene,mikono ilitembelea mpaka kiunoni huku akipampu kwenye mpododo Binti alizungusha kiuno cha kikahaba ambacho mwanaume ukizungushiwa,hata kama ulikuwa na mia umeibana utaitoa tu na kumpa mwanamke,au kama una siri unaficha ndani ya nyumba basi lazima utazitoa na kuzianika kwa mkeo.

Kiuno mithili ya Kisicho na mfupa binti alikizungusha kwa ufundi ambapo aliambatanisha na kumtingishia matako yake manene ili kumsisimua zaidi,kwa upande wake Hafidhi alikuwa akisisimka mpaka kuna wakati alijikuta akitegea na bibiye alipogundua hilo ndio aliongeza kukizungusha kiuno chake huku akitoa maneno machafu yaliyomwongezea nyege,,,una dudu tamuuuuuu,,,aaaaah,,,unasugua vizuriiii,,,dudu lako tamu kama asaliii mpenziiiii,,aaaaaaaa­aaaaa,,,ssssssssssssssss,,,,,mtoto unajua kusuguaaaaa,,,,,,,,,,uwiiiiiiiiiii,,aaaa­aaaaaa,,,aliongea hivyo huku akikizungusha kiuno chake kama hatokuja kuzungusha tena,,,, hakuchelewa Hafidhi aliyechemka mwili kwa utamu na kuanza kupampu kwa kasi kama amechapwa bakora ya matakoni,aliongeza pia kasi ya kuyashikashika makalio yake manono yaliyotuna kwa utamu,,,aaaaaaaaaaaa­aaaaaaaaaaaaaaaaaaaa­aaaah,,,,,,sssssssss­ssssssssssss,,,aaaaa­aaaaaaaaaaaaaa,,,,,alilalamika na kumwagia humo ndani ya mpododo uliobana hasa

Sauti ya mlango kugongwa ikamfanya

Hafidhi avae nguo zake haraka akachukuwa begi na bastora yake.

Yule binti akanyanyuka na kuisogelea dressing table akachukuwa funguo na kumpatia Hafidhi,

“baby chukuwa hii funguo kama ukifanikiwa kutoka hapo chini kuna Honda yenye,,,

Kishindo kizito kikasikika mlango ukivunjwa

FBI washaingia ndani mwanaume kwa kasi ya ajabu

Akaruka na kupiga mateke ya double

FBI kama watatu wakaenda chini

Kisha akatoka kwa kuchumpa dirishani

Vioo pengereee

Mwanaume huyoo anashuka

kabla ajatua chini akajizungusha na kuingia gorofa

Nyingine ni miujiza kwa mtu kama yeye kufanya vitendo kama hivyo.

Yani ilikuwa mkimbize kimbize baadhi ya watu walioweza kuliona tukio hilo,

Wakasema

“ehee bongo movie imefika penyewe wanafanya vitu vya ukweli.

Kumbe sio movie hiyo, polisi walipita huku na kule.

Hafidhi alikuwa akiwachezea polisi

yani alikuwa akitokea chumba hiki na kutokea kile.

Baada kuona kawachenga vya kutosha akajiachia kutoka gorofa ya tatu na kutua chini,

Kitendo cha kutua tu, FBI wamemzunguka hapo sasa mbona patamu kama ujuavyo FBI hawana maskhara hata kidogo.

Akatakiwa kuweka mikono juu nae hakubisha akainuka na kuweka mikono juu.

Ajabu akachumpa na kuruka juu utasema kavutwa na kamba vile.

Kumbe ni uwezo tu aliokuwa nao,

Kwa mbele kidogo,

FBI wakaona wee usitutanie wakaamua kupiga risasi sasa kimbembe kwa laiya wenye kujitia kimbelembele kutaka kufahamu kuna nini

Mwanaume akiwa anakwepa risasi kwa kudank kwenye magari

Akaibofya fungua pikipiki nyekundu aina ya Honda

Ikaita kuwa ndio yeye

Kwa speed ileile akaidandia akaizungusha kwa kuchora

Kisha akaondoka kwa kasi ya ajabu

Kusema kweli mambo aliyokuwa akiyatenda hakuna anaeweza kufanya

Kuna nguvu za ziada zinaitajika hapo.

FBI wenyewe wakabaki hoi washauwa

Laiya kama saba wengine tisa majeruhi.

Sema hawakutaka kuachwa kizembe ilikuwa mkimbize mkimbize mpaka hospitali ya muhimbili.

Hafidhi nae alikuwa makini katika kuwakimbia FBI

ghafla

Mwanaume akapotea kwenye mazingira ya kutatanisha, polisi wakabaki kuzunguka kila kona mtu hayupo,

“huyu mtu au jini aisee mbona huku hakuna njia kabisa kapitia wapi

huyu nyau?”

Afande mmoja akauliza na kupiga ngumi ukuta.

“dahaa huyu kijana kusema kweli sio wa kawaida kabisa, yani hafananii na mambo anayo

yafanya kudadeki”

Afande mwingine akasema hivyo

ikawa ni kumtafuta huku na kule,

Ndani ya Yombo vituka tunamuona mwanaume akiwa anakata mitaa

Hana pikipiki sijui kaiyacha wapi.

“shit! Kudadeki kumbe hii nchi ina wakuda kishenzi yani hawajui kama wanauchokoza moto nitawachinja wote.

Hafidhi akaongea kwa hasira na kutokea balazani,

“wee kaka mambo?”

Kuna binti alikuwa akikaanga sambusa baada kumuona Hafidhi akampa hi

“powa tu mrembo niambie”…..

Hafidhi akachukuwa sambusa moja na kuila,

“vipi shilling ngapi hizi sambusa?”

“mmh ushaanza kula ndio unaulizia bei haya shilling mia moja tu kaka yangu”

“ok! Isiwe kesi naomba niwekee kwenye sahani sambusa kama kumi kisha niletee chumba kile pale.

Nipo ndani nasubiri mchumba”…

Hafidhi huyoo akaongoza chumbani kwake

“sawa nakuletea sasa hivi usifunge mlango basi”

“Wee Nuiya yule kaka humjui akujui leo hii ushaanza kujipendekeza shauri yako usije ukavamia majini bule”….

“bwanaee haikuhusu fata yako nifate yangu kwanza ni mteja tu”…

“Ukisikia umbea ndio huo mtu kasema nimpelekee sambusa chumbani kwake ushaanza kuleta shobo,

kama vipi peleka wewe basi”

Nuiya akaongea kwa hasira kumwambia yule shogaake.

“sijakwambia nashoboka wala nini kumbuka

Mimi na wewe ni marafiki wakubwa tu, penye ukweli lazima niseme.

Yule kaka ndio kwanza kaja kutafuta chumba leo, tena kahamia bila kitu chochote ndani zaidi ya

Bagi tu!”

“bwanaee embu nitokee hapa kumbe ulitaka ahamie na wewe au?

Ndio maana nimekwambia haya kuhusu”

Nuiya akachukuwa sambusa na kumwambia yule shogaake,

“embu Rahma niangalizie hapo napeleka mzigo wawatu narudi sasa hivi”

Kisha huyo akaingia mpaka ukumbini na kubisha hodi chumbani kwa Hafidhi.

“hodii kaka yangu”..

“karibu Dada sukuma uingie mlango upo wazi tu”

Nuiya akaingia na kumkuta

Mwanaeme yuko kifua wazi kajilaza kwenye sakafu kichwa kaegemea kwenye bagi.

“nakuona umelala

mbona hakuna godoro au kitanda?”

“godoro na kitanda naenda kununua kesho si unajuwa ndio kwanza nimetoka kijijini huko

Msanga chole sina hata kijiko”..

Hafidhi akaongea uwongo tu.

“usijali kaka yangu kuna godoro nitakupa ulalie usiku huu maana Mimi silitumii lipo tu”

“nitashukuru sana Dada yangu”

Basi Nuiya akatoka dakika si nyingi akaingia akiwa kabeba godoro

Hafidhi akalipokea na kuliweka vizuri akapewa na shuka mbili mto wa kulalia na neti

“shukrani sana Dada yangu kwa kunipatia msaada”

Nuiya akatoka bila kuongea chochote.

Kufika ukumbini akajisemea

“duhuu huyu kaka ni handsome ana kifua kipana mwili uliojengeka kimazoezi yani mpaka raha kumuangalia,

sauti ya Rahma ndio akamshtua akimwambia

“wee Nuiya

Gube anachukuwa sambusa huku ataki kulipa”

Akaenda mbio na kufikia kumkunja huyo

Gube, “kudadeki zako nipe pesa yangu”….hivi unafikilia hizi sambusa nagawa bule sio?”

“sikia nikwambie kitu wewe Malaya hizi sambusa nakula na kulipa silipi kama polisi sijui kwa mjumbe nenda kashitaki bwege mkubwa wewe”..

Nuiya akasukumizwa na kudondoka chini. Kisha Gube akabeba deri la sambusa na kuondoka nalo.

Rahma akamuinua shost wake

na kumpa pole

“achana nae si anajiona mbabe sio kutudhurumu wanyonge.

Kwanza mimavi hiyo utakula utaenda kunya, hilloo,,,pyeee

Nuiya akaishia kuzomea tu.

Wakazima jiko na kuingiza vyombo ndani,

“huyu mamaye ni siku ya tatu hii ananitia hasara juzi kabeba jana kabeba leo tena ahaa siuzi tena”

Ghafla kuna kishindo kikasikika nnje akatoka mbiombio

Alikuwa ni Gube kavimba jicho na mdomo nguo zimechanika chanika,

“vipi tena mbabe kitu gani kimekusibu?”

Gube akaanza kuongea huku akiangalia kule alipotokea na kutetemeka vibaya mno.

“nisamehe Dada yangu shika hizi pesa zako na sambusa hizi hapa sijala hata moja wallahi tena,

Nisamehe basi mwenzako nisije kuuliwa Mimi.

Gube akazidi kuongea kama haitoshi akatambaa na kwenda kumshika miguu

Nuiya

“Rahma hivi unamuelewa huyu pimbi si mbabe yeye mbona analia kama mtoto”

Wakati huo

Hafidhi anatokea njia ile ile akiwa kashika chupa ya soda.

Akauliza

“vipi Dada kuna nini hapo?”

“si huyu jamaa kila siku anakuja kula sambusa bure anajifanya mbabe.

Nashangaa leo yuko hivi”

Nuiya akamjibu Hafidhi

“inawezekana kuna kitu kimemtokea embu muulize vizuri”

“sasa Gube niambie nini tatizo kitu gani kimekutokea?”

Gube akaanza kusimulia huku akilia maana maumivu mpaka kwenye nonino,

“huwezi kuamini aisee wakati naondoka na sambusa ile nakatiza pale kichochoroni kwa mpemba tu, ghafla nikakutana

Na yule kijana anaetafutwa na polisi

kwa kosa la mauwaji

Kabla sijakaa vizuri nikashtukia nakunjwa na kuanza kupigwa.

Nilijitahidi kupambana nae kumbe ndio nazidi kujichochea kuni kwani alikuwa anapiga vibaya mno

tizama jicho langu pua yangu.

mdomo wangu pia

jamaa kasema usipo nisamehe ataniuwa please Dada yangu nisamehee”

Hakika jamaa alijutia kitendo cha kujifanya yeye ni mbabe.

Nuiya akaona hiyo ndio nafasi ya kumaliza hasira zake kingine akajiuliza kwanini huyo Hafidhi j Ikram, amekuja kumsaidia amelijuwaje tatizo lake.

Akabaki kujiuliza maswali pasipo kupata majibu.

“sasa sikia wewe kifaurongo hizi pesa ulizonipa hazitoshi kabisa, maana juzi ulichukuwa sambusa za shilling elfu

Saba jana elfu sita leo hata kama hujazila.

Ni shilling elfu tisa

Jumla nakudai elfu hamsini, ajabu unanilipa shilling elfu kumi na tano tu!”

“sio hivyo Dada yangu hiyo ndio niliyokuwa nayo, nikipata nyingine nitakupa tu”

Ghafla Gube akaanza kupigwa vibao vya haraka haraka na

Nuiya zote hasira tu mpaka shogaake akaja kumshika kwa kumwambia,

“basi inatosha shost msamehe tu.

Samehe saba mara sabini”…..

“mshenzi sana huyu kujifanya kutuonea watoto wa kike ndio nini inuka sasa upigane bwege mkubwa wewe.

Sasa nimekusamehe ole wako urudie tena potea haraka sana kabla sijabarisha maamuzi!!!

Gube akatoka mbio akiwa haamini.

Huku nyuma vicheko vya kishambenga vikasikika

“hahahaha hallooo

Ohooo,,,

“sasa shost! Itabidi umtafute huyo jamaa umpe zawadi yake kwa kazi nzuri aliyoifanya”

“ndio maana yake nitamkabidhi huu mwili na kumwambia wote wako ufanye unavyotaka.

Embu twende huko kitaa tunaweza kumuona”

Basi mtu na shogaake wakaongozana kwenda kumtizama

Hafidhi j Ikram

wakati mwenzao yupo hapohapo

sijui ana badilika vipi yani wee acha tu.

Ikiwa imepita wiki moja tokea Hafidhi afanye tukio la ajabu kule

Kaliakoo kusema kweli hali haikuwa shwali kabisa kwa mzee Khatibu

Akaagiza kikosi kutoka nchini Thailand kupitia.

kwa rafiki yake kipenzi bwana

Mark Henry

na siku hiyo ndani ya ukumbi wa Victory for

Kulikuwa na kikao kizito.

Ajenda kuu iliyokuwa ikijadiliwa na kupewa nafasi kubwa ni kuhusu kidudu mtu kuingilia kazi zao.

“nadhani wote tumekutana hapa kwa ajili ya kitu kimoja tu nakitu chenyewe si kingine ni kuhusu huyu

Mjinga

Hafidhi j Ikram kuingilia anga zetu

sasa basi haina budi atafutwe popote alipo ndani ya dunia hii au hata nnje ya dunia.

Apotezwe haraka sana, wengi walijalibu kutufatilia na kuishia pabaya”

Kiongozi wa mkutano huo akaongea kwa hasira,

“lakini mkuu huyu kijana yuko tofauti na watu wengine!”

“kivipi awe tofauti na wengine yeye ni mnyama au binaadamu?”

“hapana mkuu sijamaanisha kama yeye ni mnyama,

Tofauti ya huyu kijana

kwanza ni mkali wa mapambano kingine anajiamini kupita kiasi, embu fikilia mpaka anafikia kuuwa polisi

Kumi na moja si kitu kidogo hiko”

“Ha!ha!ha!ha

Bwana Joseph usitake kunichekesha kabisa

mbona mambo madogo tu hayo,

au kwasababu kakuvamia nyumbani

kwako na kuondoka na million mia saba

kumbuka kikosi chetu kinaweza kufanya yote hayo.

Cha umuhimu ni kujipanga tuweze kupambana nae sio kutaja sifa zake”

Muda wote bwana Khatibu ambaye ndio baba yake Habiba alikuwa kimya tu.

Akanyoosha mkono juu akiashilia kuna kitu anataka kuzungumza basi akapewa.

Ruhusa

“kwanza kila mmoja atambuwe ya kwamba huyu kijana si wamchezo kabisa

kama alivyosema bwana Joseph

kwanza tujiulize ametujuwaje

sisi mpaka kufikia hatua ya kumuuwa mwenzetu bwana

Jacob kisha akaondoka na Do comment za siri ambazo zina taarifa zetu zote

kwa kifupi kijana anafahamu kila kitu kuhusu sisi tofauti na sisi kutokufahamu chochote kuhusu yeye.

Mkuu naomba nikwambie kitu kimoja

tukusanye vikosi vyote

kwanza tuitafute familia yake ikiwezekana tuiteke.

Kabla ya kuendelea kuzungumza zaidi mwenzake akamkatisha kwa kumwambia

“wewe wee embu ishia hapohapo

unataka kusema tuingie vitani

na mkuu wa majeshi sio?

tutajificha wapi ni bora angekuwa mtoto wa Rais kweli tambua kitu kimoja hivi vita ni

Vya mtoto sio Baba yake huko mimi simo kabisa”

Kila mmoja akabaki kuduwaa baada kusikia kumbe Hafidhi j Ikram ni mtoto wa mkuu wa majeshi, ila mkuu wa kikao akasema

“tukumbuke tushajitoa sadaka bila kuhofia chochote sasa basi kijana atafutwe

Tukimpata tumchinje hadhalani

jamii nzima itutambuwe sisi ni kina nani”….

Wakati kikao kikiendelea

upande mwingine tunamuona

Hafidhi akiwa na ndoo ya maji akienda bombani kama ujuavyo uswazi maji yenyewe ya Shida basi bombani kulikuwa na foreni si mchezo,

Mwanaume akafika na kuweka ndoo zake mbili kwenye foreni, kama sio yeye vile

“Yusra umemuona mkaka yule ni bonge la handsome jamanii anavutia yule

kama”…

“Hivi Amina shogaangu kila mwanaume kwako handsome embu acha upimbi

bwana”

“lini nilikwambia kila mwanaume handsome

ushaanza kuleta nyege zako

utaniudhi ohoo!!!

“basi yaishe shogaangu haya yule kaka ni

Handsome ehee”…

Katika maeneo hayo watu walijazana waume kwa wanawake watoto kwa wazee,

Kuna vijana kama wawili hivi wakaja

Mmoja kati yao akaitoa ndoo iliyokuwa ikijaa maji na kuweka yakwake,

“wee kaka vipi utatoaje ndoo yangu,

wakati umenikuta”…

binti aliyotolewa ndoo yake akaanza kulalamika,

“binti embu kausha basi siku zote kutangulia sio kufika, wacha wanaume tuchukuwe maji tusepe zetu,

Kuna mama mmoja akaja na kuipiga teke ile ndoo ya jamaa ikaenda kule maji yakamwagika

yule mama akaanza kubwata

“wee mtoto shika adabu yako kabisa umetuona sisi mazuzu sio tumekuja hapa muda tu tupo kwenye foreni

wewe unakujakuja na p***mbu zako hizo eti uwai kukinga

Kama una simamisha hata sisi wanawake tunadindisha pia au nikuonyeshe kama nimesimamisha”

Watu wakaanza kucheka

Hahahahaha

Jamaa si akapaniki na kujiroga kwenda kumkunja yule mama ikawa balaa

yani wanawake wote waliokuwa bombani wakamchangia ilikuwa piga

Hafidhi nae alikuwa kashajianda kwenda kumfunza adabu sema ikabidi

Akaushe baada kuona jamaa wanawake tu wanamtoa jasho,

Basi alipigwa vibaya mno mpaka mjumbe wa nyumba kumi akaja kumuokoa

Jamaa yuko hio.

“jamani basi inatosha msameheni”

Mjumbe akaingia kati kuwasihi waache kumpiga ndipo wakamuacha.

Jamaa akaondoka kwa aibu huku akizomewa na watoto hilloo

Bichwa bayaa kama boga hiloo limepigwa pyee!!!

Dakika si nyingi akarudi mkononi akiwa kashika panga

Basi kila mmoja alikimbia kimpango wake,

“simameni sasa niwaone si

Mmesema mnasimamisha nyie sasa hizi ndoo zenu nazikatakata kisha naenda

kuuza prastik

kwa Yohana

Malaya wakubwa nyie jamaa akaishika ndoo ya kwanza akaicharanga kama kuni

Hafidhi akapaza sauti kumwambia yule jamaa

“achaa”……..ilikuwa imeshikwa ndoo yake jamaa akaiyacha na kumfata

“wee Malaya unasemaje kudadeki zako.

Hafidhi akaanza kutetemeka na kupiga magoti chini.

“nisamehe kaka yangu ile ndoo ninayo moja tu sasa ukiikata nitapata wapi nyingine, nisamehe kwa kukukalipia brother”…

Yani Hafidhi akawa mdogo kama kidonge cha pilitoni mbona ajabu hii.

Yule jamaa akampigapiga na panga mgongoni kama kumgusa hivi,

“sawa nimekuelewa dogo nyanyuka ukakinge ndoo yako kisha upotee haraka sana!!!

Hafidhi akaenda kukinga maji na kuondoka

akiwa anaondoka akapishana na

Mgambo kutoka serikali za mitaa

“vipi kijana huyo mpumbavu bado yupo hapo bombani?”

Mmoja kati ya wagambo akamuuliza

Hafidhi nae akajibu

“ndio yupo yani nimekinga baada kumpigia magoti”

“pole sana kijana wacha tukampe kisago hevi”

Mgambo hao wakaondoka zao.

Hafidhi nae hakutaka umbea wala nini akaendelea na safari ya kwenda kwake

Ndani ya mtaa wa tatu

Joyce akaja na mgeni mgeni mwenyewe ni bibiye Habiba

“mmh! Beatrice shogaangu mbona yamekuwa makubwa si madogo”…

“kivipi tena Zulfa?

“si Joyce kaja sijui na kibwengo sijui kamuokota wapi kibaya zaidi tulale nae”

“tulia nikwambie kitu

Zulfa huyo kibwengo sijui bundi

Tutamuundia team tumtese tumpige mpaka aondoke ndani ya mtaa huu wee subiri na uwone

Atakoma kuingia kwa wajanja,

“mama yangu wee mbona ndani kunanuka

kuna nini kwani?”

Salma nae akatoka ndani mbio na kuuliza hivyo.

“tena afadhali umekuja

Shost! humu ndani Joyce katuletea mtu

(Malver) yani kioja sura mbayaa kama uchi wa Zay bichwa kama kipapa cha mzee kwa kifupi ni mzoga”

Beatrice akabaki kubwabwaja tu.

Gafla simu ya Salma ikawa inaita

Akaenda pembeni kupokea

Akasikika akisema

“ehee ndio nimemuona kaka ndio huyu ehee,

Sawa nitafanya hivyo kaka yangu wala usijali.

Chochote kibaya kikitaka kumtokea nitapambana nikishindwa nitakujulisha haraka sana”…

Akakata simu na kurudi kwa kina

Beatrice akasema

“nimesikia sijui mnataka kuandaa teamu

sijui ndimu mumtese huyo

Dada kwa kifupi tu kaka

Hafidhi kanipigia simu na kuniambia nisaidiane na Joyce kumtunza huyo

Binti kwani ana matatizo makubwa sana na

sasa nyie kaeni vikao sijui team

Mimi ndio bodyguard, nitawapa vidochi

Ohoo”

“mi simo kabisa hayo maneno kasema Beatrice”…

Zulfa akajitoa kwa kusema yeye ayumo kabisa

“ehee Zulfa koma tena unikome kabisa hivi unataka kunigombanisha na

Mume wangu Hafidhi j Ikram tena ushindwe kila kitu umeongea wewe

subiri niende kumtizama shost!

Wangu mie,

Wote wakaingia ndani moja kwa moja mpaka chumbani.

“bila kubisha hodi wala nini wote watatu wakaingia chumbani kwa Joyce na kumkuta

Habiba amelala chini ya sakafu,

“wee Zulfa imekuwaje mgonjwa amelala chini?”

Salma aliuliza hivyo.

“mi sijui maana nilimuacha kalala kitandani labda yeye mwenyewe kashuka tu”

“ashuke wapi sema umemshusha ukatoka nnje huko na kuanza kuongea umbea

lione kwanza bichwa kama baba ubaya”

Beatrice akaongea hivyo na kumtia singi

Zulfa.

Kwa sauti ya chini sana

Habiba akazungumza

“wala msijali Dada zangu niacheni tu nilale hapahapa maana kitandani nitachafua”…

“hapana huwezi kulala kwenye sakafu hata kama kusafi kuna kapeti

unatakiwa ulale kitandani, ukizingatia wewe ni mgonjwa Dada”

Beatrice akaongea huku akisaidiana na

Salma kumnyanyua Habiba pale chini

kisha wakamlaza kitandani,

Na kumfunika vizuri wakatoka zao nnje.

“kaka mambo?”

“powa tu niambie binti”

“nilikuwa naomba msaada wako kama hautojali ukanibebee lile

Box pale”

Alikuwa ni binti mmoja mrembo wa haja akimuomba Hafidhi akambebee box kubwa la TV flat screen, mwanaume akanyanyuka kutoka pale kijiweni kwa fundi viatu,

“oyaa kaka usisahau

kuniletea pesa yangu basi”

Fundi viatu alipaza sauti kumwambia Hafidhi kuhusu kuletewa pesa yake. Si kamuona anaenda kupiga kazi,

“powa usijali kaka nitaangalia salio”

Nae akamjibu.

“basi wakaongozana na yule binti mpaka lilipo hilo box

“vipi Dada yangu ndio hili au?”

“ndio hilo sema nini usiniite Dada maana katika maisha yangu sijawai kuwa na kaka zaidi ya Dada tu.

Napenda uniite Asia ukipenda Queen,

“sawa nimekusikia Dada yangu,

Hafidhi akarudia kauli yake akaibeba ile TV

na kwenda kuipakiza kwenye gari

“ndio shilling ngapi kaka yangu?”

Asia au Queen akauliza hivyo huku akifungua pochi lake.

“ni elfu moja tu Dada yangu”

“hivi wewe kiziwi ehee?”

“kivipi yani?”

“nimekwambia usiniite Dada niite Asia au Queen wewe umeng’ang’ania kuniita Dada tu haya shika hii,

Hafidhi akakabidhiwa shilling elfu kumi,

“duhuu Dada yangu pesa yote hii chenji nitaitolea wapi?

Asia hakuongea sana akaingia kwenye gari yake na kuondoka

Hafidhi akabaki kuduwaa tu na kugeuza kurudi maskani.

“oyaa shika wekundu wa msimbazi huo

kata mia tano yako unipe chenji

yangu”….

“ahaa Eddy mambo gani tena yani nikate jero tu, mi nakata elfu mbili”

“ukate buku mbili kivipi embu acha zako

Kwanza umeniabisha mbele ya mtoto mzuri kwa kunipigia kelele eti unanidai”…

“Eddy bwana kwahiyo unataka kusema yule demu ulikuwa una taka au?”

“sio kama namtaka kule kuabishana tu

yani nimekumaindi kinoma yani”…

“basi nisamehe kichaa wangu nikate buku mbili au ndio umemaindi zaidi!!!

“wee kata tu sema michongo mingine sio”

Hafidhi akapewa chenji yake

Na kuondoka

“sasa wapi hiyo kaka naona ushajaa unaondoka kimya kimya”

“naingia kati hapo kumcheki

Amina Nyegeshi”

Haya bwana sema nini kaka”

“ehee niambie!”

“na Mimi niitie Sada Kivuzi”

“ha!ha!ha!

Sio mpendu bwawa”

“ahaa huyo simtaki kudadeki zake atanipwelepweta bule”

Hakika yalikuwa matani baina ya Hafidhi anayejulikana kama Eddy ndani ya kitaa hicho akitaniana na fundi viatu.

Mwanaume akaendelea na safari yake mpaka kwenye nyumba moja hivi kwa kifupi nyumba hiyo unaweza kusema ni danguro kwa jinsi ilivyo

kuna mabinti kama kumi na tano walio pevuka na kunona ni warembo haswa uwezi kuamini ukiambiwa ni watoto wa baba mmoja sijui wazazi wao walizaa kama panya au kutozingatia uzazi wa mpango.

Maana hawakupishana miaka mingi

Wengine miezi tu,

Ndani ya nyumba hiyo kulikuwa na biashara nyingi kama vile chakula cha mchana hadi usiku. Nazungumzia ubwabwa-ugali-chipsi

Kwa upande mwingine kuna zile pombe haramu kama Gongo-chibuku-wanzuki

Pia wanauza bange- madawa ya kulevya-

“whaoo shemeji umekuja karibu ndani basi”

Mmoja kati ya mabinti akampokea Hafidhi kwa kumkumbatia na kumpiga kiss

Mwanaume akapapasa kiunoni na kugusa vitu fulani hivi akauliza.

“Mwajuma nini hii?”

Mtoto wakike akarembua macho na kujibu

“shemeji bwana kwani hujui hizi nini au

Amina humuonagi nazo nini?”

“ndio sijawai kumuona nazo ndio maana nikauliza shemeji,

“ok! Usijali twende chumbani nikakuonyeshe kazi yake”

Mwajuma kwa sauti ya chini akamnong’oneza sikioni Mr Eddy wa bandia,

si wakaingia chumbani,

mlango ukafungwa

Mwajuma akamsukumiza Hafidhi kitandani,

kwa mwendo wa minyato akamsogelea pale kitandani na kumkalia

Sasa hainaga ushemeji tuna kulaga

“shemejii nishike kiuno”…

Mwanaume akafanya hivyo,

kisha Mwajuma aliinuka na kwenda kwenye jokofu kumchukulia Juisi Shemeji yake huo mwendo sasa,mtoto alikuwa anatingisha makusudi.

Ndani sijui hakuvaa

Chupi mguu wa bia ulio na rangi nzuri ya kung’aa

ilionekana vyema.

Mtoto sasa kile cha nyuma ya magoti kilionekana vyema kabisa na mwanzo wa mapaja jinsi matako na hipsi vilivyopanuka na kutaiti dera hilo sijui alienda kulishepu kwa fundi cherehani au vipi maana dahaa! basi ndio alizidi kudatisha

mbona unaniangalia jamani?”

Alichokoza kwa makusudi Mwajuma na kuchukua Juice

“una makusudi wewe mtoto”…

hivi ulikuwa ulikuwa wapi?“ siku zote mpaka nikawa na Amina? alipoulizwa hivyo basi Mwajuma kwa makusudi akaamua kumwonyesha alivyokuwa hapo ndo utamu ulianza,mtoto akalifunua dera ambapo lile paja lake lilionekana mpaka juu kabisa kwenye kiuno

Hafidhi hakuwa na hali dudu lilisimama hasa

“ha!” umesimamisha

Shemeji

Aliongea kwa makusudi huku akimwangalia Hafidhi kwa jicho la kulegea, masikini Mwanaume. alishindwa hata kujibu alibaki akihema kama bata aliyenyimwa uroda na mkewe baada ya kumfukuza sana,akawa anaipishanisha miguu yake ili kulizuia dudu lisionekane.

“jamani wanaume mna shida nyie” kidogo tu, alizidi kujiachia na maneno yake ya kichokozi.

yaliyoiteka akili ya Hafidhi kwa muda huo kama Amina Minyege atamsahau leo.

“aaah wapi wewe”,aliposema hivyo kwa kujitumua

Mwajuma

alimjia kwa mbele na kumpa Juice kimahaba tena alipiga magoti kabisa karibu na miguu ya Shemeji yake,

Unafikiri Juisi ilishuka basi. Itashuka iende wapi, kwanza hiyo mikono ilikuwa inatetemeka,

Nyege zilimpanda,dudu lake lilisimama hasa, na mtoto alivyokuwa mbele yake ndo kabisa Mwajuma alianza uchokozi,kwa sababu alijua anachokitaka,macho yake yakawa yanaangalia sana zipu iliyotuna

“jamaa ana hasira,ila unambania”

Mwajuma akaongea hivyo

Hafidhi

alisimka mpaka kichwani kwa maneno hayo. Aliongea hivyo huku akiangalia Zipu kwa kulegea hasa uso wake

“mmh una maneno wewe”…alijikaza huku glasi ya juice akiiweka pembeni

“sio maneno kwani nadanganya jamani.

Ila hiki kidude chako kimetuna” hapo uchokozi mtamu ndio ulianza. Kila mmoja Alimsifia mwenzake ule mstari ulionyooka kwa kupigwa pasi kwenye suruali yake huku akiushikilia,alipanda nao mpaka kwenye mapaja huku akiubana mdomo wake kimahaba

“hata mstari huu jamani umekaa vizuri”….mstari uliousemea sasa ni wa Zipu.

Basi alianza kuikuna zipu kama anakuna ngozi ya mtu kushuka mpaka chini na kupandisha juu,hapo Hafidhi aliisoma namba,alisisimka mpaka kwenye kiuno,alijihisi kama kuna mtu anamrusha juu na kumrudisha chini

“pametuna jamani,sijui umeficha nini? kitamu,kwasababu watu wanafichaga vitamu tu Mwajuma akasema hivyo. Kwa sauti ya kimahaba ambayo hata ungekuwa nje ya Mlango wa chumba hicho ungesikia, ungejua tu kuna mtu anaelekea kusuguliwa.

Maana maneno ya Bibiye yalikuwa utamu raha. Matendo yalikuwa utamu

Akaanza kukitafuta kile kidude cha kufungulia zipu,ambapo alipokipata,tar

atibu aliishusha mpaka chini na kukutana na Boksa,akiwa katika harakati hizo naye akalivuwa dera lake ,hii sehemu yake ya matiti ikawa wazi,mtoto alichukua na matiti madogo ambayo vile vichuchu vyake vilivimba kwa nyege

Hafidhi aliingizwa katika dunia nyingine kabisa,tena Chuchu za mtoto huyo ndio zilimtia muwashawasha hasa.

Alijitoa ufahamu sio kwa kupenda bali nyege,alifungua mkanda wa suruali yake na kukishusha huku bibiye akimsaidia,tena Mwajuma alionekana kama mwenye hamu iliyopitiliza ,hiyo Boksa alivyokuwa anaivua ilibaki kidogo aichane,dudu liliachwa huru ambapo tayari ule ute ulishamtoka

Mwajuma aliutoa ulimi wake na kuanza kumlamba Hafidhi dudu lake kuanza chini kwenda juu,kama mtu anayelamba utamu wa ice cream ule urojo unaochurizika pembeni,kuna namna alicheza na ulimi wake akiupandisha juu chini kushoto kulia haraka haraka huku akipandisha juu,alipofika kwenye kichwa cha dudu,alikinyonya ipasavyo mtoto kama amesomea vile.

Alibaki mdomo juu akilalamika utamu kwani utamu hapo ndio ulipo,alicheza na kile kitobo cha mkojo mpaka Hafidhi mwenyewe akambeba Mwajuma na kumbwaga kitandani.

“Fundi mambo vipi?”

“powa tu niambie shemu langu”

“ahaa safi tu vipi Eddy ajafika leo?”

“kafika tokea Asubuhi alikuwepo hapa akapata zali la kwenda kubeba box na kupewa mshiko”

“wacha wee umeona kapewa shilling ngapi?”

“kapewa elfu kumi Mimi kanitowa elfu mbili nyingine kasema anakuja kula bata kwako,

“wewee usintanie embu nishonee hiki kiatu haraka sana nimuwai kipenzi changu”…

“hivi Amina yule Eddy umempendea kitu gani hasa kwanza hana kazi kutwa kucha yupo kijiweni tu,

Leo hii una shangilia elfu nane tu!”

“sikia nikwambie kitu Pengo siku zote kitu usichokijuwa ni sawa na usiku wa Giza kwanza Eddy ni zaidi ya birigeti

Mwanaume anajuwa nini mwanamke anataka kitandani,

Ananikojoza namna atakavyo, ukitaka kuona show za kibabe mpe mkeo

Ndio utajuwa

kwanini

Eddy ndio kila kitu.

Embu nishonee kiatu changu nimuwai,

Basi Pengo akashona kiatu na kumpatia Amina huku akimwambia

“powa safari njema bibiye”…

“nawe pia kazi njema ujitoboe na misindano hapo”

Amina akafanya kutembea haraka haraka”

“mmh! Jamani mcheki mtoto jinsi anavyo yatingisha makalio dahaa yani kwa mfano ndio niwe nimeyashikilia namsokomeza

Dudu mamayee”,,,,,

Fundi viatu akabaki kula kwa macho tu

Akimsindikiza Amina mpaka akapotea kwenye upeo wa macho

yake,

“pseee oyiii mrembo mambo vipi?

Ikabidi Amina apunguze mwendo na kusimama je anaesalimiwa ni yeye au?

“ohoo Ashirafu powa tu niambie HB”….

Amina akaitikia huku akimfata, basi wakakumbatiana,

“vipi mrembo nakuona uko speed unawai wapi tena?”

“nawai nyumbani kuna tatizo kidogo wacha niende mida basi”

Amina akasema hivyo na kujiandaa kuondoka,

Ghafla akashikwa mkono na kuvutwa.

“Ashirafu nini bwana embu niache huko”…si akabebwa na kuingizwa ndani

Ashirafu alikuwa ni mwanaume wa shoka mbavu aliyekakamaa misuri

Kufika ndani ikawa kukurukakala

Amina hakuwa na ujanja tena kama zake zilichanwa sio kuvuliwa tena.

Mwanamu

Akavuwa nguo zake na kubaki uchi kabisa,

“Ashirafu kwanini unifanyie hivyo lakini wakati nishakwambia nawai nyumbani kuna matatizo.

Niache niende nitakuja kukupa unacho kitaka”

Kwa sauti yenye kuambatana na kilio Amina akaomba hivyo.

“ha!ha!ha!ha!

Amina usitake kunifanya Mimi bwege kama siku ile pale Dar west umekunywa bia zangu sita ukala chipsi mayai na kuku mzima kisha ukanitoroka kwa kisingizio cha kwenda kuongea na simu pembeni

Kudadeki zako tanua mapaja”..

Pahaa

Amina akapigwa kofi la makalio mwenyewe akaachia huku akisema

“usiingize yote paka mate basi…..ahaaaaaa,,,,mmmmmmm,,,,,,assssssssuwiiiiiiiiii,,,,,taratibuuuuuu,,,basi!!!,,,,,,

Ashirafu alizidi kupampu huku akivutia hisia yupo

Gym akinyanyua vyuma”…

Wakati bibiye Amina akiwa katika kazi nzito kutoka kwa jibaba mziki mnene.

Kwa upande mwingine kulikuwa na mechi ya kikubwa zaidi baina ya mashemeji.

Baada

Mwanaume kumlaza bibiye kitandani akautoa ulimi wake wenye ncha kali utasema sindano na kuupitisha kwenye.

Kitumbua kitamu cha Mwajuma na kuanza kukichezea kiarage na ulimi wake,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

shiiiiiiiiiiiiii ooooouhhhhh shemejiiiiiiiii

iiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaa,,,,mtoto wa watu alilalamika na kumwaga bao lake lililoruka juu kabisa.

Nyege zilimpanda hasa,alikuwa hajielewi kabisa

Basi Hafidhi baada kuona bibiye ulimi tu mtoto wakike kakojoa akalishika dudu la nguvu analoliaminia kwenye shughuli ya maangamizi.

kama hayo.

Liliikuwa limedinda hasa mpaka mishipa ilijitokeza, kitu sijui nchi ngapi ,alijaaliwa (dudu) kubwa na nene kwa afya ya mwanamke

“shemeji ingi,,,zaaaaaaa,,,,,aaaaaaaaaa

aaaaaaaaaaaaaah,,,,mtoto alikuwa moto hasa,alichokifanya Mwanaume akalipaka mate kidogo kufanya kitu kiteleze japokuwa kitumbua kilikuwa na utelezi wa kutosha bibiye si kakojoa. Basi hakuchelewa,alimweka sawa na kulishika dudu lake,kile kichwa alikilengesha vyema kwenye mpododo kilipogusa kichwa tu

Mwajuma akashtuka kwa kukipeleka kiuno chake mbele

Ahaaaaassssss

“shemejiiiii sio huko bwanaaa”…..

Basi mwanaume akalipigisha dudu kwenye tako na kuliingiza kwenye

kitumbua na kuanza kukandamiza taratibu ili dudu lizame,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssss

ssssssssssssssssss,,,aaaaaaaaa

aaaaaaaah,,,,oooooshiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Alilalamika huku dudu la shemeji likizama taratibu kwenye kitumbua chake tena liliteleza vyema hasa.

Hapo ndipo alizidi kuchanganyikiwa,kwanza hakuamini kama anasuguliwa na mzigo wa shemeji maana ulibana vyema kwenye kitumbua chake

Taratibu nje ndani,mchezo juu ya Kitanda ulimi ulikuwa kifuani ukimnyonya dodo zake ya kulia na ya kushoto kwa zamu.Hapo ndio alimchanganya hasa utamu ulizidi mpaka akawa anaongea maneno yasio eleweka kabisa

“ueeeeeeeeyaaaaa,,,,taraaaaaa,,,hapoooo kiasi

ambacho kilimfanya Hafidhi akipampu kwa kasi,,,,aaaaaa

aaaaaaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiii

ii,,,,amamamaaaaaaaaaaaa,,,,oo

oousssssssssssssssssssssssss,,

,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,aliendelea kukolezwa na utamu Mwajuma ambapo kasi ilizidi kuongezeka.

Mwajuma alikuwa akipaza sauti pale ambapo alikaribia kumwaga mpaka muda huo tayari alishamwaga bao mbili mfululizo Hafidhi ni kama alikuwa anamwotea,aliunyanyua mguu wa bibiye na kuushikilia kwa juu.

Kama vile kampigisha msamba.

Ambapo aliendelea kumsugua kwa kasi mpaka akakojoa,nakupendaaaaaaaaaaaaa shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaa

aaaaa yangu mzaziiiiiiiiiiiiiiiii uwiiiiiiiiiiiii

iiiiiiii

Hafidhi nae aaaaaaaghaaaaaaaaaaah,,,,alilalamika hivyo

na kumwaga bao lake hakuchomoa dudu lake walibaki wakiangaliana huku kila mmoja kijasho kikimtoka

“nakupenda Eddy” Alisema hivyo

Mwajuma,

“nakupenda pia”,alijibu Hafidhi

“we siku zote ulikuwa unampa raha Amina tu”

“jamani sasa wewe haukuwepo karibu yangu mtoto una kitumbua kitamu” basi akaanza kudeka kwa kulia kiuwongo na kweli kwamba Amina alisuguliwa vyema,hivyo hakutaka

Amina asuguliwe tena Hafidhi akaanza kumbembeleza huku akimbusu taratibu kwa hisia mpaka wakaanza kunyonyana denda tena denda.

Likazaa tenda, tenda ikazaa tende tende si ikatoa utamu.

Dudu likasimama tena likiwa ndani ya kitumbua cha Mwajuma.

wakiwa katika kipute cha round ya pili ndipo wakasikia sauti ya vilio kutoka nnje.

“shemeji endelea bwana ukojoe huyo Amina atakuwa amerudi”…

Hafidhi akafanya kuendelea kumsugua huku mawazo yake yakiwa nnje akisikilizia jinsi Amina anavyo lia.

“nini tena mwanangu mbona huvyo sura imevimba umepigwa au?”

Mama yake alimuuliza, lakini Amina hakujibu kitu akabaki kulia tu “wee Amina si useme nini tatizo sasa ukilia ndio suruhisho au?”

Mama huyu atakuwa kabakwa tu wee uwoni hata chupi yenyewe imechanwa kaivaa hivyo hivyo”

Mmoja kati ya Dada zake aliongea hivyo kumwambia mama yao,

“uwiii ni kweli Amina umebakwa mwanangu?”

Amina hakujibu kitu zaidi ya kunyanyuka na kuingia chumbani kwake,

Dakika si nyingi Hafidhi akatoka chumbani kwa Mwajuma, na kusepa zake

waliomuona wakabaki midomo wazi,

“huyu mtoto shenzi zake yani kumbe kachukuwa bwana wa mwenzie ndio maana

Amina analia”….wee

Mwajumaa!” Mama yao akasema huku akiita kumwita Mwajuma.

Nae akatoka chumbani akiwa hoi

macho yamemuiva nywele zimetimka si kidogo

“abee mama”

“sio abee mama mtoto huna hata huruma, huwoni haya ndio nini kutembea na

Mwanaume wa mwenzio ujui kama ni

Shemeji yako yule?”

“mama bwana mi nilijuwa unaniitia ishu ya maana kumbe umbea tu.

Kwanza siku hizi hainaga ushemeji tunakulaga subiri nikapumzike mie”..

Mwajuma akarudi chumbani kwake

na kumuacha Mama yake akisikitika tu,

“Hafidhi mjukuu wangu!!!

“hapana mimi sio mjukuu wako staki uniite hivyo”

“sikia nikwambie kitu kimoja mjukuu wangu utake usitake wewe ni wakwetu sisi

Sasa basi tambua yakwamba

Kazi unayotaka kuifanya usingoje muda ujao.

Kwani muda hausubiri mtu fanya kazi

iwe kazi, kama utaendelea na mwenendo wa kufanya mapenzi hovyo utakuja kufa mapema sana,

Jiulize mpaka sasa umetoka kimapenzi na wanawake wangapi”…..

Miongoni mwao ni wenye virusi vya Ukimwi

sisi majini hatuwezi kupata maambukizi hayo, kutokana na bakteria,

Zetu kuwa na nguvu, embu jiulize

Si unatafutwa wewe mbona watu wanashindwa kukutambua, tumeifanya sura yako iwe tofauti kwenye macho ya watu wengine, wewe ni Jini

Utakufa kijini acha kufanya mapenzi hovyo vinginevyo utakufa!!!

Umesikiaa”…..hakika sauti ilikuwa kali sana mpaka Hafidhi akajiziba masikio kwa viganja vyake vya mkono,

na kushtuka kutoka usingizini kumbe yote ilikuwa ni ndoto tu.

Mwanaume mwili ulimchemka kijasho kilimvuja,

Binafsi akaanza kuifikilia ile ndoto na kuona kama kuna ukweli ndani yake.

Maana ni kweli hajaweza kuchenji sura mbona hawamtambui,

Na kama kweli yeye ni Jini anaishi vipi kibinaadamu je Jini hawezi kupata ukimwi

Binafsi akaumiza kichwa kwa kuwaza

kisha akanyanyuka kutoka kitandani

na kufungua kabati lake dogo

Hata sijui hivyo vitu kanunua muda gani

Akatoa mavazi meusi na kuvaa kisha akafungua begi na kutoa visu na star

Yani zile nyota kisha akatoka nnje sijui usiku ule wa manane mwanaume anaenda wapi

Kwanza alikuwa yuko faster

kwa kutembea akafika sehemu

moja hivi parking ya magari kama kawaida yake akaiba pikipiki na kuondoka kwa speed

huku akiacha vilio kwa walinzi,

Ndoto ilikuwa imemzindua

Mwanaume na hiyo safari ndio mwanzo wa kuuwa tu,

Njia panda ya Ubungo yeye akiwa anatokea

Mabibo hostel akakunja kuifata barabara ya Mwenge

Usiku huo magari na pikipiki sijui bajaji zilionekana moja moja tu, kufika

Mwenge akakunja kushoto kuingia

Lugalo, ndani ya makongo

Mwanaume akazama kwenye vichaka fulani

Taa ya pikipiki kaizima tokea

Mwenge akashuka kutoka kwenye pikipiki na kuanza kukimbia kwa kasi kuzisogelea baadhi ya nyumba,

Kama vile nyau akaruka samasoti na kwenda kutua kwenye moja ya nyumba,

Zote mbinu za kininja ogopa sana

Mwanaume kuvamia kambi ya Jeshi.

Kwa uwangalifu zaidi akafungua mlango kwa kutumia funguo malaya akaingia ndani

Dakika kama tano akatoka na kuondoka eneo hilo.

“oyaa Bonge hii pikipiki si ndio iliibiwa ile jana usiku au sio hii?”

“ndio kaka mwenyewe si

Suma”…

“sasa imekuwaje imerudishwa au mwizi kaogopa kurogwa nini!”

“ina wezekana maana Suma kwao Tanga yule”….

“ehee umenikumbusha kitu kaka unajuwa kuna jamaa yangu mmoja anaitwa Shaha

Sasa huyu jamaa yangu yeye ishu

zake ni uchomaji mkaa na kubeba mbao.

Basi ikawa kila akisafirisha kuzipeleka jijini

Dar kama sio pale Kibaha basi popote anadakwa na maafande wale

Maliasiri,

Anapigwa faini kubwa tu.

Sasa siku moja akaenda kwa babu yake kufanyiwa mambo

yani hivi ninavyokwambia jamaa anasafirisha hadi mizigo ya watu magunia ya mkaa mbao polisi wakimdaka kufungua

Kontena wanaona mikungu ya ndizi tu”

“ha!ha!ha!ha!

Ebwana noma yani baada kuona magunia ya mkaa na mbao wanaona

Ndizi?”

“ndio maana yake huko Tanga ni noma

Asikwambie mtu”

Wakati walinzi wale wakipiga story

Asubuhi ile wakisubiri kukabidhi

vitu vya watu kwa wenyewe

Ndipo wakasikia taarifa ya habari ikitangaza tukio la mauwaji

“bwana Franck ambae ni Kostebo

katika kikosi cha JWTZ amekutwa ameuwawa kwa kuchinjwa

Ni tukio ambalo limetokea jana usiku

Chanzo cha mauwaji hayo bado hakija fahamika”,,,

Hakika lilikuwa ni bonge la pigo kupitia kwa kikosi kizima cha Jeshi ukizingati

marehemu alikuwa ni mmoja kati ya

Makamanda wenye kutoa mafunzo kwa vijana wote

“hakika tumepata pigo kubwa sana kwa kuondokewa na Kamanda

wetu sijui kawakosea nini walimwengu mpaka wameamua kumuuwa kikatili namna hii!”

Yani kachinjwa kama kuku kusema kweli hatutoweza kukaa kimya katika swala hili

huyo muuwaji au wauwaji

Lazima tuwasake popote walipo.

Mmoja kati ya makamanda

Aliongea hivyo kwa hasira

Asubuhi ile

Hafidhi alikuwa akiosha vyombo taarifa za mauwaji zikisambaa kama umeme.

“mambo vipi my dear?

Naona unajipa tabu baby wangu hutakiwi kuosha vyombo wakati Mimi nipo”

Amina aliongea hivyo baada kufika na kumkuta Hafidhi akiosha vyombo

“wala usijali baby mbona kawaida tu,

Hivi jana ulikuwa wapi?”

Ni swali ambalo lilimfanya Amina ainamishe kichwa chini ni aibu kumwambia mpenzi wako kwamba umebakwa.

“Amina si nakuuliza wewe inamaana unatunga uwongo wa kunidanganya sio?”

Amina mchozi ukaanza kumtoka

Hakupenda kuongea uwongo

Akaogopa kuongea ukweli akihofia kuachwa.

Hafidhi akainuka na kujifuta mikono

Na kumshika kipenzi chake

“niambie nini tatizo mbona unalia?”

“sina budi kukwambia ukweli Eddy sijawai kukudanganya kamwe

Ile jana nilikuja mpaka pale maskani na kukuulizia kwa Pengo

akaniambia umekuja nyumbani nikatoka mbio kukuwai kufika

pale kisimani nikaitwa na Ashirafu nikaenda kumsikiliza ajabu kufika tu akanikamata kinguvu na kwenda kunibaka”….

(What!) nini?…..

“Eddy please usiniache”

Hafidhi akamfuta machozi na kumwambia

“usijali kipenzi changu siwezi kukuacha

Naomba uoshe hivyo vyombo kisha utanipikia kitu mseto wacha mi nikaoge naitaji kwenda town kucheki

Michongo ya kazi”

Basi Amina akatabasamu na kuanza kuosha vyombo,

Mwanaume hakuchukuwa dakika nyingi akatoka na kwenda zake town

baada kupita mitaa miwili mitatu kuna maneno akaongea

“kama unyama wacha uwe unyama tu huyu bwege nae aende kubakwa huko kuzimu

Akaingia ndani ya Gym moja haiko mbali na kitaa hiko.

“ohoo karibu sana kijana naona umekuja kupasha sio”…..

Ashirafu baada kumuona

Hafidhi kaingia humo akaanza kumshobokea

Mwanaume akafanya kama anataka kuondoka hivi yani kumpa mgongo Ashirafu

“vipi tena dogo mbona unaondoka

Ghafla

Ashirafu akashtuka baada kuona jamaa kachenji mavazi faster yani kufumba na kufumbua kawa Ninja

ndani ya Gym kila mmoja akashikwa na kiwewe,

Sema wanaume wakajipa moyo na kuitaji kupambana nae wee

Ilikuwa hatali ndani ya Gym kichapo kikaanza kutembea Ashirafu alipigwa kifuti cha kifua na kwenda kudondokea kwenye chuma kimoja kikafyatuka na kumkita tumboni, basi alicheuwa kila kitu mpaka nyongo vioo vilivunjika watu walitupwa huku na kule,

Mwanaume alikuwa hashikiki kabisa utasema Ninja mask au

Ninja suit, akaenda kukamata chuma kimoja akachomoa yale mataili ya train

Akabaki kaishika nondo

Ashirafu hakuweza kuinuka tena akabaki kutambaa tu mara nondo ikakita mgongoni mwake na kutokea tumboni

Damu hadi utumbo ukamtoka na kuwa kimya wasalimie kuzimu”

Ndio kauli aliyoitoa Hafidhi ile anageuka tu

sauti ya ving’ora ikasikika”……

Kabla mwanaume ajajiuliza sana gari za polisi hizo hapo nnje tena kwa speed yote wakafunga break tangazo likatolewa

“Kijana usitake kushindana na mikono ya sheria utakuja kuumia

Tunakuomba ujisalimishe mwenyewe

hii ni amri”

Baada agizo lile kutoka kwa kiongozi wa msafala. Mwanaume akatoka akiwa kaweka mikono juu, kufika nnje polisi walikuwa ni wengi kila mmoja yupo makini na siraha yake.

Basi akaambiwa apige magoti chini.

Ajabu upepo ukaanza kuvuma vumbi likatimka mpaka polisi wengine wakafumba macho ndani ya dakika mbili upepo ulivuma, kuja kutulia

Mwanaume hayupo kashapotea mbele ya upeo wa macho yao.

Sema hawakutaka kukata tamaa wakatawanyika kumtafuta huku na kule hawakuweza kumuona.

Upande mwingine tunamuona.

Amina baada kuosha vyombo akajiandaa kupika kabla ya kufanya hivyo akafagia mule chumbani akatandika kitanda na kukusanya nguo chafu.

Sema kuna begi akaweza kuliona na kujiuliza kuna nini humu kama ujuavyo

siku zote kitu ukikitilia shaka utaitaji kukichunguza.

Basi Amina akafanya kulibeba na kuliweka kitandani

Na kufungua zipu laa haula hakuweza kuamini macho yake kwa kile alichokiona ndani yake yalikuwa maburungutu ya pesa

Akabaki kukodoa macho tu

Wazo likamjia akimbie nazo, akashikwa na kiwewe si mchezo.

Ni zile million mia saba Hafidhi kaziweka ndani akalifunga bagi na kulivaa mgongoni ile anafungua mlango tu kuna kitu kikamgonga kichwani, na kuanza kuona kizunguzungu bibiye akaenda chini na kuwa kimya.

Mlango ukajifunga huku Amina akibaki chumbani kalala chini hajitambui,

Kwa upande huu ndani ya uwanja wa ndege kuna mabinti watatu matata yani kwa jinsi wanavyoonekana tu wapo kikazi zaidi.

Basi wakapokelewa na wenyeji wao wakaingia ndani ya gari aina ya Vogue

safari kwenda makao makuu ya Jeshi ikaanza

“Yusra unakumbuka nini baada kurudi nchini Tanzania?”

“nakumbuka vitu vingi sana mkuu”..

“kama vipi embu vitaje!”

“nakumbuka siku ambayo mgombea wa Uraisi alidondoka wakati wa kampeni kwenye viwanja vya jangwani.

Kingine nakumbuka siku ambayo mabomu yalilipuka kule mbagala kuu,

“kumbe una kumbukumbu nzuri sana Yusra,

Je Vivian nawe unakumbuka kitu gani?”

binti anaekwenda kwa jina la Vivian hakujibu kitu zaidi ya kukaa kimya tu,

Binafsi alikuwa yuko mbali kimawazo akiwaza kuhusu jukumu zito walilo kabidhiwa na muheshimiwa Raisi juu ya kumsaka muuwaji wa kutisha

Anae wapa jambajamba jeshi la polisi nchini.

Moyoni mwake akajiambia ni kazi ndogo tu kwani washafanya kazi nyingi na nzito kama hizo.

Hawajawai kufeli.

“Wee Vivian!!!

Mwenzake akamshtua kutoka kwenye dimbwi zito la mawazo, akaitikia

“abee unasemaje Mariam?”

“mkuu amekuuliza unakumbuka nini baada kuiyona nchi yetu ya Tanzania maana tuliondoka tokea tukiwa wadogo?”

Basi akajiweka sawa na kusema,

“kiukweli sina kumbukumbu yeyote ile kwa kifupi nawaza kuhusu hicho kikundi cha watu wenye kufanya mauwaji tu”…

Mkuu wa msafara akatabasamu na kumwambia

“Vivian binti yangu naona ushaanza kuingiwa na hofu kubwa ndani ya moyo wako.

Binafsi hicho sio kikundi cha watu huyo ni mtu mmoja tu, kibaya zaidi ni mtoto wa mkuu wa majeshi bwana J Ikram

Sema amri imetoka kwa Muheshimiwa Raisi kijana atafutwe popote alipo

Akamatwe akiwa mzima”

“ha!ha!ha!ha! Kila mmoja akaanza kucheka si

Mariam wala Vivian na Yusra wote

wakabaki kucheka, mpaka mkuu wao akabaki kushangaa na kuuliza

“vipi mbona mnacheka?”

Vivian kwa sauti ya kicheko akasema

“unajuwa nini mkuu sisi tulidhani tunakuja kupambana na kikosi kikubwa cha

watu kama elfu kumi hivi tukajiandaa kibabe zaidi. Kumbe kijitu chenyewe ni kimoja

tu, mi naona hii kazi niachiwe mimi peke yangu”

“Vivian tambua kitu kimoja usimdharau

mtu usiemjuwa kwa kifupi jamaa ni hatali kuweni makini”

Gari ikaingia ndani ya jengo moja hivi lipo nnje kidogo ya jiji kisha dereva akapaki

Na wao kushuka

ile wanapiga hatua kadhaa tu

Kwenda mbele ghafla kikatokea kitu ambacho hakuna aliyeweza kukitegemea baada kuibuka kiumbe kimoja kutokea kwenye vichaka siku zote mdharau mwiba

mguu huota tende

Mwanaume alikuwa akimfatilia mkuu wa msafara tokea uwanja wa ndege

Akachumpa na kwenda kumshika kwa nyuma huku siraha yake aina ya

Mundu ile ya kukatia majani ikiwa shingoni kwa mkuu, yule

Akajifanya mjanja kutaka kuitoa

Mwanaume akacheza na shingo,

Yusra akaruka na kupiga mateke

ya haraka haraka mwanaume akapanchi

Kisha akamdaka na kumuwekea mundu shingoni

Wenzake vijasho viliwatoka na kubaki kutetemeka.

“tulieni mabinti tulizo la moyo wangu, naomba niwaambie kitu kimoja hii ngoma sio yakitoto kama mnavyo fikilia nyinyi sasa basi nawaomba mrudi mliko toka

Msije mkafa kizembe sipendi kuuwa

Wanawake mkikaidi amri itabidi nifanye hivyo, ukiona mtu anafanya kitu kama hiki

Basi tambueni kuna jambo nyuma ya panzia”…

Baada kuongea vile akamzungusha tena Yusra na kumsukumiza kwa wenzake kisha akapotea kwa kuchumpa kwenye

Majani.

Mabinti nao wakaingia kwenye gari

Vivian akakamata usukani na kuizungusha gari kwa kasi

Mariam akifungua briefcase na kutoa siraha zake

Yusra nae akafanya hivyo ndio kwaanza wanaingia nchini na kukalibishwa kwa chai ya kikubwa, ndani ya nnje kidogo ya jiji ikawa balaa

Hafidhi akiwa ndani ya pikipiki

Akicheki nyuma kuna gari aina ya Vogue inakuja kwa speed ya ajabu.

Nae hakuwa na jinsi ni kuzidisha kasi ya pikipiki sema ilikuwa cha mtoto tu sema

Mwanaume akakaza

tu ilikuwa mkimbize mkimbize mpaka wanaingia pande za Kimara suka

“Yusra mpige kitu cha moto huyo kenge”

Yusra nae akachomoza kichwa kabla ajafyatua risasi

Hafidhi akakunja na kuingia kwenye mitaa fulani hivi akienda kijiweni

kwa speed ileile akaingia nayo

Ghafla Vivian akaizungusha gari ilikuwa bado kidogo tu agongane uso kwa uso na Buss ya Abood

Akafunga break, hakutaka kuzubaa akaingia kwenye ile barabara ya vumbi.

Watu wakabaki kushika vichwa tu maana dahaa ilikuwa ni bonge la dhoruba si kidogo

Hafidhi akaipaki pikipiki kwa madereva bodaboda

Kisha akanyuti pembeni

Kama kuzuga tu sekunde si nyingi kina

Vivian wakapita kwa kasi na kuacha vumbi,

“duhuu watakuwa majambazi nini? Mbona wako speed vile”..

Itakuwa maana mwendo waliotoka nao huko si mchezo mnaonaje tuwaungie tunaweza kupata chochote kitu”

“wee acha upimbi yani uwafatilie majambazi wanakuwasha shaba faster tu”

Walikuwa madereva bodaboda wakiongea kuhusu jambo hilo

mmoja akamuuliza Hafidhi

“oyaa wee jamaa ni member mpya nini hapa kijiweni kwetu ushapitia kwa msimamizi

Embu tuonyeshe risiti”….

Hafidhi akujibu kitu akapanda kwenye pikipiki yake na kuondoka eneo lile

Mpaka hapo kina Yusra washapotezwa maboya.

Hafidhi akiwa maeneo ya kimara baruti akaweza kupishana na gari za polisi kama sita hivi zikiwa mwendo kasi ving’ora vikilia gari zote zikapaki pembeni kupisha njia nae akapaki, pembeni.

Kwa upande mwingine tunamuona bwana J Ikram akiongea na simu,

“ndio Wilbert

niambie mmefikia wapi kijana?”

Akauliza hivyo

sauti ikasikika upande wa pili ikimjibu

“kusema kweli mkuu kazi inaenda vyema siku si nyingi tutaweza kumfikia mwanao

maana baada kufanya uchunguzi mara ya mwisho tuliambiwa alionekana maeneo

ya Mabibo hostel akifanya mauwaji”

(What)?”

Unataka kusema kauwa tena?”

“ndio mkuu ilikuwa ndani ya gym moja hivi kamuuwa mwalimu wa mazoezi sijui imekuwaje aisee”…

Hakika mzee J Ikram akakata simu huku akisikitika

Mlango ukagongwa kuashilia kuna mtu anabisha hodi.

“karibu pita tu mlango upo wazi”

Basi mgongaji akaingia hakuwa peke yake walikuwa vijana kama watatu na mtu mzima wa makamo kidogo.

“ahaa Dennis kijana wangu naona umekuja kalibu sana”

“asante sana mzee wangu tushakalibia, kwanza samahani sana kwa kutoweza kutimiza ahadi baada kuongea na simu siku ile.

Nilikwambia nitakuja kesho yake sema imepita wiki ndio nimekuja

Kwa kifupi nilikuwa nawasaka hawa vijana.

Sasa nimekuja na nguvu kamili”….

Dennis akaongea hivyo basi wageni wakapewa vinywaji

Na kuanza kunywa

“Dennis tambua kitu kimoja wewe ni kijana wangu kuhusu kuchelewa kwako usijali kabisa maana nilitambua unawasaka wababe wa Hafidhi kalibuni sana vijana”….

Dennis akacheka kidogo na kuanza utambulisho kwa kusema

“ha!ha!ha! Sasa mzee wangu huyu anaitwa Kessy

Ukipenda Scot, ni mmoja kati ya vijana wangu hatali sana kwenye mapigo ya taikondo short kani, alikuwa anampiga makonzi Hafidhi kwa kifupi

Hafidhi mbele ya huyu asimami dakika tano anaomba pohoo”…

“mmh!”

Mzee J Ikram akaghuna kwa sifa za yule kijana Kessy

“tukija kwa huyu

Anaitwa Muna mwenyewe anapenda kuitwa

Boyka, kwa upande wake kafunzu kila kitu kusema kweli

Hafidhi alikuwa anaogopa kufanya na sparring kwa kisingizio anapiga kweli, na

Huyo uliekaa nae hapo ndio mwisho wa matatizo

Yeye alikuwa msimamizi wa mazoezi vijana wote yeye ni fighting with machine muite

Taqawa au Takeda”

“vizuri sana Dennis binafsi nimefurahishwa na sifa za vijana wako

Naomba nikwambie kitu kimoja kuhusu

Hafidhi unaemfahamu wewe sio huyu wa sasa.

Kumbuka wakati namleta kwako alikuwa hajui kurusha hata ngumi moja tuseme ndipo alipoanzia kingine alikuwa mdogo sana.

Baada kufunzu kwako akaenda nchini Thailand akakaa huko miaka saba kwa kifupi kapitia mikononi mwa mamaster sita”..

“Duhuu kumbe alienda hadi nnje ya nchi kujiendeleza?”

“ndio maana yake ndio maana nataka kukwambia mapema vijana wako wawe makini Hafidhi sio yule”

Basi mikakati ikawekwa na kupewa ramani nzima ya jiji la Dar es salaam.

“ohoo shit! Kumbe huyu muuwaji anatisha hivi mbele yetu kamuuwa mkuu wetu wa kazi na kutoweka shenzi zake tutamnasa tu

Ilikuwa kauli ya bibiye

Mariam baada kutomuona muuwaji kule Kimara wakarudi zao makao makuu, hakika ulikuwa msiba mwingine mkubwa wa kushtusha hata yule mwanajeshi ajazikwa kauwawa mwingine.

Muheshimiwa Raisi akavimba kwa hasira na kuomba aitiwe mkuu wa majeshi bwana J Ikram, kitendo bila kuchelewa akapigiwa simu na kupewa maagizo ya kuitajika Ikulu haraka sana anaitajika. Akajibu yuko busy atakuja kesho kutwa,

Hafidhi baada kufanya mambo yake alikuwa anarudi kwake.

Kufika kichochoro kimoja hivi akakutana na

Mpendu Bwawa.

”shemu mambo vipi?”

Mpendu akaanza kujishauwa kwa kutoa salamu, basi akaitikiwa,

”powa tu niambie shemu wangu”..

“nina msemo basi nilikuwa nakupa hi tu unipe umatemate nikanywe hata bia moja nilainishe kohoo langu”

“usijali shemu wangu twende ukachukuwe ghetto”

Wakaongozana mpaka kwa Hafidhi akafungua mlango na kumkuta

Amina kalala chini ya sakafu huku kavaa lile bagi

Mwanaume akashtuka na kumwita

Mpendu si ndio Dada wa Amina

“Mpenduu!!!

“abee unasemaje shemu?

”embu njoo”….

Mpendu akaja mbio hakuweza kuamini kumkuta mdogo wake hajitambui kabisa akaita

“Aminaa!!! Amka tafadhali fanya hivyo

Mwanaume hakutaka kuzubaa akambeba na kutoka nae nnje wakakodi bajaji na kumuwahisha hospitali.

“kwani imekuwaje shemu mbona Amina yuko vile?”

“mimi hata sijui kabisa nilimuacha akiosha vyombo nikatoka zangu kuingia kwenye mishemishe na muda ule ndio narudi nakutana nawe kuingia chumbani ndio namkuta kalala chini

Sijui nini kimemkuta”

Ghafla sauti ya kilio ikasikika kutoka wodini

wote wakashtuka

Niachee nakufaa!!! Huyoo anakuja”….huyoo mshikeni nakufaa”….

Zote zilikuwa kelele za Amina yani alipiga kelele na kuitaji kukimbia. Ikabidi Madaktari wajitahidi kumshika kwa kumzuia asiweze kuondoka,

Sema ikashindikana hakika alikuwa na nguvu za ajabu,

Hafidhi akiwa na Mpendu wakaingia wodini humo na kupishana na Amina akitoka mbio

Mpendu akapigwa kipushi na kudondoka chini, ikabidi

Hafidhi amnyanyuwe na kuanza kumkimbilia Amina kelele za mshike mshike mkamate huyo ndizo zilizosikika nnje ya hospitali hiyo

Amina akizidi kukimbia na kuvuwa nguo moja baada ya nyingine.

Binafsi tayari amekuwa chizi sijui aligongwa na kitu gani.

Mwanaume ikabidi atumie akili na kuongeza kasi ya kumkimbiza.

Lakini kabla hajamfikia ghafla bin vuu Amina akagongwa na gari.

Dahaa ilikuwa ajali mbaya sana maana baada kupigwa mzinga akarushwa hewani huku kichwa kikipasuka, hakuwa tena Amina zaidi ya kuwa marehemu,

Mpendu akabaki kulia tu huku watu walioweza kushuhudia tukio lile wakibaki kujishika vichwa na kuacha vinywa wazi,

Hafidhi nae hakuweza kuamini aisee Dereva wa gari hakusimama akaondoka kwa speed ya ajabu.

Basi ilikuwa ni siku ya hudhuni kwa familia ya marehemu ndugu jamaa na marafiki walifika,

Ikiwa imepita kama wiki moja hivi tokea kifo cha

Amina kitokee siku hiyo

Hafidhi alikuwa yupo chumbani kwake akitafakali mustakabari mzima kuhusu kipenzi chake, kwanza alimkuta kalala sakafuni hajitambui kabisa, kingine kalivaa hili bag sasa nini kilitokea juu yake.

Akazidi kuumiza kichwa akashtuka baada kuhisi kuguswa begani na kitu kama cha moto hivi, kitendo cha kuangalia tu ndio akashtuka zaidi baada macho yake kugongana na sura ya kiumbe cha ajabu alikuwa ni kiumbe cha kutisha yani sura yake imebaki fuvu tu haina ngozi.

Hayo macho yake kama vile makaa ya moto yanawaka na kufuka moshi.

Hiyo pua yake kama vile shimo la choo

Mdomo wake una minjino miwili imechongoka na kuwa mikubwa

Ulimi kama mjusi kenge,

Hafidhi akarudi nyuma kwa uwoga kile kiumbe kikaanza kucheka kwa kusema

“hahahaha kijana hutakiwi kuogopa kabisa tambua kitu kimoja mimi ndio

Surtani wa makata niliyetumwa na

Baba yako kukulinda wewe.

Ndio ninaefanya kazi ya kuibadirisha sura yako watu wasikutambuwe.

Sasa basi yule binti amekufa kutokana na kuingiwa na tamaa tu”….

Hafidhi akabaki kimyaa kijasho kikimtoka na kupiga mahesabu ya kukimbia kwanza aliona kama ndoto tu anazootaga kila siku atakuja kushtuka muda si mrefu.

Kiumbe kikaendelea kusema

“usikimbie wala usiogope mimi ndio bodyguard wako mkuu”

Ghafla akatoweka ndipo Hafidhi akakurupuka na kukimbia.

Ndani ya mtaa wa tatu tunamuona bwana Dennis akiwa na vijana wake wapo katika mawindo ya kumsaka Hafidhi moja kwa moja wakafikia kwa Ankor wake”

“Kessy kijana wangu wewe itabidi uishi ndani ya nyumba hii ipo siku Hafidhi atakuja hapa”

“sawa mkuu usijari kabisa maadam nimepata chumba sio mbaya nitaishi hapa,

Basi taratibu zikafanyika Kessy akahamia hapo wakati Muna au Boyka akipata chumba maeneo ya mtaa wa kwanza,

“Boyka kuwa makini kama jina lako lilivyo tambua ya kwamba tumekuja kufanya kazi si kingine”

“sawa mkuu nimekuelewa kuhusu hilo swala nitalifanyia kazi vilivyo,

Basi bwana Dennis akaondoka na yule kijana mwingine mpaka maeneo ya

Mabibo hostel kijana yule anaekwenda kwa jina la Taqawa nae akapanda chumba kwenye nyumba ya kina Amina

maana baada

Amina kufariki chumba kilikuwa hakina mtu wa kukaa ikabidi wapangishe tu,

“hivi mama ni upuuzi wa kiasi gani mnaufanya huu”

“upuuzi gani tena?

“yani hata arobaini ya marehemu bado watu tukiwa na machungu ya kufiwa leo hii mnakipangisha chumba chake”…

Hafidhi akauliza hivyo.

“sasa wewe ulitakaje inamaana unauchungu sana kuliko mimi niliyembeba Amina tumboni miezi tisa nikaenda Reba

Wewe unaongea tu hujui jinsi moyo wangu unavyojisikia”….

“hata kama ulimbeba ulimtema kitendo cha kupangisha chumba chake sio kabisa

Sasa natoa amri huyu mpangaji

Mwambie atoke ndani ya chumba kile”

“sasa utoe amri hiyo wewe kama nani ndani ya nyumba hii ujachangia hata shilling kumi

Kingine sikutambui kama ni mkwe wangu”

Hafidhi baada kuambiwa vile akasema

“thamani ya Amina kwangu ilikuwa kubwa sana sasa basi

Kama hutaki kumtoa yule mpangaji ndani ya kile chumba subiri na uwone”

Hafidhi akaondoka zake akimuacha mama mkwe wake akiduwaa tu.

“huyu kijana mwehu nini naona anataka kunipanda kichwani hanijui ehee haya tutaona.

Taqawa siku hiyo alikuwa anafua nguo zake watoto wa mama mwenye nyumba kina

Asha-Aisha- Mpendu washaanza shobo za kumshobokea kidume

“hendsome mambo vipi?”

Alikuwa Aisha kwa sauti ya kichokozi akatoa salamu.

“ahaa powa tu sister niambie”

“nikwambie nini tena nawe mmbea nakuona unafua mwenyewe”….

“ha!ha!ha!ha!

Nani mmbea tena?

“si wewe hapo nakuona unafua mwenyewe kwani wifi yuko wapi?”

“ahaa wifi yako atokee wapi usawa wenyewe huu pangu pakavu tia mchuzi,

Yani tutabanana hapahapa ukijikuna unanuka kwapa!”

“ha!ha!ha!ha!

Una maneno wee mkaka unaonaje nikufulie, wakati huo bibiye ameshainama na kuishika nguo moja wapo na kuanza kuifua.

“hapana sister usifanye hivyo nitafua tu mwenyewe”

Sema bibiye akang’ang’nia kufua basi akamuachia kisha

Taqawa akaingia chumbani kwake

Huku nnje ghafla beseni likapigwa teke nguo na mimaji kule,

Aisha akapiga kelele

“jamani nakufaa!!! Taqawa akatoka ndani faster na kukuta kikundi cha watu kama nane hivi wameshika dhana mwenye nondo mwenye panga,

Aisha asikimbilie chumbani mchezo

“vizuri sana wewe bwege umetoka mwenyewe kwa taarifa yako

Itabidi uchaguwe vitu viwili tu

Uhame au tukuuwe jibu faster”…

Taqawa akacheka kwa dharau na kusema

“hahahaha nanyie jichagulieni vitu viwili niwachape au muwe wake zangu?”

Masela baada na wao kuulizwa hivyo wakaona usitutanie wee nyau mmoja kati yao akaenda mbio kwa nia ya kumpiga nondo ya kichwa kitendo cha kukaribia tu akajikuta akipigwa teke na kurushwa kule

Ukawa mwendo wa mateke yani

Taqawa alikuwa yuko fiti kwenye kupiga mateke ya hatali

“ndio baby wapige hao watoto wa mama tu!!!

Yani Aisha akashangilia mpaka aita baby ni kauli iliyomchefua Mpendu kwani yeye mwenyewe anamuwinda Taqawa.

Na vile anaonekana mkali wa mapigo mbona balaa, haikuchukuwa dakika nyingi

Vijana nane kwa mtu mmoja wako chali

“bila shaka huyu atakuwa Eddy ndio kawatuma hawa”

Mama mwenye nyumba akasema hivyo.

Taqawa akauliza

“huyo Eddy ndio nani na kwanini kawatuma hawa vijana?”

“Eddy alikuwa mpenzi wa mwanangu ambae kwa sasa ni marehemu amefariki kwa ajali ya gari baada kugongwa huyo

Eddy hakutaka hiki chumba nikipangishe ndio akaniapia kufanya kitu.

Nahisi ndio hiki”

Yani mama mwenye nyumba kwa umbea akaongea hivyo,

“kwasasa yuko wapi huyo Eddy?”

“mi sijui labda uwaulize hao kuku wake,

Taqawa akashika mmoja sikio akafanya kumfinya na kumuuliza

“huyo aliewatuma yuko wapi?”

Kijana yule kwa sauti ya kubabaika akataja

“yuko kulee kwa fundi viatu”

“haya ongoza njia unipeleke,

Safari ya kwenda kumfata Hafidhi ikaanza.

Assss,,,,,,ahaaaaaa,,,,,uwiiiiiiiii,,,,

Ammmmmmm

Ilikuwa sauti ya raha utamu baina ya

Salma na kijana Kessy yani ana wiki tu tokea ahamie ndani ya nyumba hiyo

Ameshachukuwa demu,

ITAENDELEA

Mtaa wa Tatu Sehemu ya Nne

Isikupite Hii: Dalili za Kuonyesha Mwanamke Anataka Umpeleke Chumbani

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment