Aslay – Hauna Lyrics
LYRICS

Aslay – Hauna Lyrics

DOWNLOAD MP3 Aslay – Hauna
Aslay – Hauna Lyrics

Top-rated Tanzanian young star and Natamba hit song maker, Aslay is back with a brand new banger titled Hauna.

SIMILAR: Aslay – Kwa Raha

Hauna Lyrics by Aslay

Iyeee ye ye ye
Iye ye ye
Wo wo wo
Ilikuwa inakuumaga ukiniona nae
Ilikuwa inakuchomaga mwanaume wewe
Ulitamani wewe ndo uwage mie
Ndo maana nilivyo muacha ukaamua umuoe
We hauna, we hauna

Hauna moyo kabisa hauna
We hauna, we hauna
Ulumagiki hata kulika
Hauna wewe

Alivopika chakula ulikuwa wakaa jikoni sikujua ni kwanini
Nilijua ushemeji tu
Kumbe kule mlikua mnayapanga ya kwenu nyinyi
Mpaka umemteka umekua gaidi juu uuh

Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji oh
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji
Aah
Shemeji eeh
Shemeji shemeji eeeh
Kiroho upande
Shemeji eeh shemeji shemeji eeh
Kishingo upande

Mara oh tunaendana unaomba tusije kuachana
Eti Unatupendaga sana kumbe we nichora
Kumbe nyuki mwenye laana
Kaniacha manundu ya machana nilivyo beep
Kapiga tu mapema ukasepa na sinyora

Kama masihara umemvisha na shela
We mbona ni mbaya oh Ni mbaya
Sijui ulimpa dawa au ndo hela
Ila yote sawa mi Nasema inshallah mungu atalipa

Alivyopika chakula ulikuwa wakaa jikoni sikujua ni kwanini
Nilijua ushemeji tu
Kumbe kule mlikua mnayapanga ya
Kwenu nyinyi mpaka umemteka umekua gaidi juu

Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji oh
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji

Aah
Shemeji eeh
Shemeji shemeji eeeh
Kiroho upande shemeji eeh shemeji shemeji eeh
Kishingo upande
Nimekubali nimekubali nimekubali nitamwita shemeji oh
Nimekubali nimekubali nimekubali nitamwita shemeji

Aslay – Hauna Mp3 Download

More hit songs from Aslay;

Leave a Comment