LYRICS

Ben Pol Ft Harmonize – Why Lyrics

Ben Pol Ft Harmonize - Why Lyrics
Ben Pol Ft Harmonize – Why Lyrics

The Tanzanian King of RnB and multiple award-winner, Ben Pol teams up with High rated Tanzania recording artist and Konde Music WorldWide Boss, Harmonize returns with a new single titled Why.

SIMILARBen Pol X Tamimu – Hiyo Ndio Mbaya

Why Lyrics by Ben Pol Ft Harmonize

Ndugu zangu napata malipo ya usariti
Yakupendwa lakini nikawa sipendeki
Sikujua machungu makali kiasi hiki
Hii dozi inatibu vilivyoni me sitaki
Whoaaa… amenifanya nawaza

Wangapi niliowatenda
Kila nikikumbuka najiona mshamba
Nguvu zinaniisha siwezi hata kusimama
Kinacho nisikitisha nastahili hayaa

Nguvu zinaniisha
Siwezi hata kusimama
Kinacho nisikitisha
Nastahili hayaa

Nguvu zinaniisha
Siwezi hata kusimama
Kinacho nisikitisha
Nastahili hayaa

Why why why why why oooh
Why why why why why oooh
Why why why why why oooh
Why why why why why oooh
Silali silali silali (fofofoo)
Silali silali silali (fofofoo)

Ona hayaniishi mawazo (aaaaaah)
Nyingi zinajirudia (aaaaah)
Penzi lake ndo chanzo (aaaaaah)

Mmmmh malipo ni duniani
Ahela kuhesabiwaa
Me nipo bado lehanii
Nimejitela mwana mkiwaa eeh

Mmmh zile heshima kuninyenyekea
Nikamwona si chochote kwangu (Hahaa)
Eti mazima nikampotezea
Nilivyo maliza tu shida zangu (Hahaaa)

Ukimuona mwambieni najiuguza najutia
Tena najiona limbukeni
Yamenifunza ya dunia

Yale machozi yasiyo na hatia
Yananisubulubuu machozii (Mmmmh)
Upweke najiinamia
Nishatubu nisameehe

Why why why why why oooh
Najiuliza kwa nini
Why why why why why oooh
Why why why why why oooh
Why why why why why oooh
Aaaah mwenzenu silali

Silali (eeh), silali (eeh), silali (fofofoo)
Silali (eeh), silali (eeh), silali (fofofoo)

Ona hayaniishi mawazo (heheeeh)
Penzi lake ndo chanzo (aaaaaah)
Mmmh, haaaaaah…

Nguvu zinaniisha
Siwezi hata kusimama
Kinacho nisikitisha
Nastahili hayaa

Sheddy Clever on the beat

Ben Pol Ft Harmonize – Why Mp3 Download

More hit song from Ben Pol;

Leave a Comment