SIMULIZI YA NANII TAMU SEHEMU YA KWANZA
CHOMBEZO

Nanii Tamu Sehemu ya Kwanza

SIMULIZI NZIMA YA NANII TAMU
SIMULIZI YA NANII TAMU SEHEMU YA KWANZA

*********************************************************************************

Chombezo : Nanii Tamu
Sehemu Ya : Kwanza (1)

Nikiwa chumbani mara mlango uligongwa kwa kasi sana huku anayegonga akiniita kwa sauti ya mahaba, ‘David nifungulie basi nimekuja leo hii kukupa jibu zuri’. Niliposikia ilo neno niling’atuka kwa kasi sana na kutoka kitandani na kwenda kwenye mlango na kufungua cha ajabu binti aliyekuwa akisema hivyo baada ya kufungua tu alinikumbatia kwa fujo na kunipiga madenda yasiyokuwa na mpangilio. Binti huyo alinisukumizia kwa ndani na kisha alifunga mlango,baada ya kufunga mlango alianza kunipapasa kila sehemu ya mwili wangu na mara muogo wangu ulisimama kana kwamba ni bendera inapandishwa kwenye mlingoti, nilijawa na chachandu sana ya kufanya mapenzi na binti yoyote yule kwamaana nilikuwa sijawai kufanya mapenzi, hivyo baada ya kuona binti huyu kajiingiza mwenyewe kwenye kete niliona nimesaidiwa sana.
Kutoka kwenye kujipiga punyeto kila siku nikiwa bafuni. ‘We David mbona unaonekana utaki’. Ilikuwa ni sauti ya huyo binti akiwa yuko ananipapasa kwenye sehemu zangu za siri huku akionekana wazi kuwa ni fundi wa mambo hayo.
‘Hapana hakuna’. Ilinibidi nimuogopee huyo binti.
Nilianza kutomasa machungwa yake yaliyokuwa yamesimama niliyatomasa sana huku nikiyabinyabinya kwa nguvu na huku binti nilianza kumsikia akigugumia mate ambayo yalisikika wazi kuwa yameshindwa kupita kwenye koo lake na huku akisema kwa shida sana. ‘Jamani naaaumia matiti ukiyabinya kwa sana’!?. Binti huyo aliongea kwa shida sana na sauti yake ilionekana kuwa ni ya kudeka sana.
Sikujali kusikia hayo niliendelea kumpapasa kila sehemu ya mwili wake na kisha nilifika kwenye kum* yake nilianza kutarihi kwa kupapasa binti alionekana wazi kupagawa kwamaana kasi ya kuhema ilibadilika sana,alianza kuhema kwa harakaharaka huku akisema kwa taabu sana, ‘Unataka kunikojolesha mapema hivi’. Ilibidi nimtazame usoni kwa kumuibia alionekana wazi kuwa anataka dudu langu limuingie kwani alikuwa akilipapasa kwa mikono yake.
Sikumjari yeye nilijari kuwa mpaka hanikome kwa ubishi wake wa kuzarau watu kuwa hawamuwezi katika suala ili la kufanya mapenzi, nilishika mdomo wangu na kuupeleka mpaka kwenye kum* yake na kuanza kunyonya,Binti wa watu alionekana kukata roho maana kwa jinsi nilivyokuwa nikinyonya ndivyo macho yake yaliendelea kusinzia.
‘Jamani nani alikufundisha haya yote maana sijawai kumpata mtu ambaye anajua shughuli kama wewe’?. Binti huyo aliongea kwa shida sana huku akiwa anabetua midomo yake na kutaka denda.
Nilitosheka kunyonya kum* yake,nilimsogelea mpaka kwenye midomo yake na kuanza kumpiga denda na kisha niliweka mbo* yangu na kuanza kupampu kwa kasi sana nilianza kusikia miguno ya huyo binti akigugumia huku akiwa ananitazama
‘Oooooohhhh opppssssiiiii ishiiiiiii oohhhhhh fuck’!?. Binti huyo aliendelea kuongea maneno ambayo nilikuwa siyafahamu kabisa. Nilimweka staili ya chuma mboga nilianza kwanza nikapaka mate kwenye mbo* yangu na kisha nilichomeka kwa taratibu sana,binti wa watu alianza kuongea maneno ambayp sijawai kuyasikia sehemu yoyote ile huku akinipa sifa kemkem.
‘David,david uamke uende shule ujui leo ni mtihani wa taifa au’!?. Ilikuwa ni sauti ya mdogo wangu Filipo akiniamsha.
Nilijihisi kuchukia baada ya kujua ilikuwa ni ndoto na ndoto sikuweza kuimalizia nilijaribu kujifunika gubigubi ili niimalizie hiyo ndoto lakini haikuwa hivyo maana sikupata hata lepe la usingizi, nilipojitazama kwenye kitanda changu nilikuta shahawa zikiwa zimetapakaa kila sehemu ya kitanda changu nilijionea aibu sana baada ya kuota mtu ambaye akuwa na muda na mimi. Ilinbidi niamke na kujiandaa kwenda shule kwamaana nilikuwa nikifanya mtihani wa taifa wa kidato cha nne na hiyo siku ndo ilikuwa ya kwanza kwenda kufanya mtihani. Baada ya kumaliza kujiandaa nilikunywa chai ambayo ilikuwa imeishandaliwa na mdogo wangu Filipo.
Baada ya kunywa chai nilienda kuwaaga wazazi wangu wote walionekana kuwa na furaha sana na hatimae waliniombea kuhusu kufanya vema mtihani wa kuhitimu kidato cha nne,baada ya maombi mafupi nilipewa hela ya kutumia siku hiyo.
Nilitoka nyumbani na kupanda bodaboda mpaka shule ilipokuwa niliweza kumshukuru Mungu sana baada ya kuwai kwamaana sikuweza kuwakuta wanafunzi wengi na pia wasimamizi sikuweza kuwakuta. Nikiwa bado na mawazo hayo naa mara yalifutika ghafla baada ya kumuona binti ambaye nilimuota akiwa ananipita na kunipa mkono wake. Macho yalinitoka sana baada ya kuona mkono wake kwamaana alikuwa ni binti mwenye malingo mengi sana kwa wavulana.
‘Vipi leo umekuaje mbona unaonekana mwenye mawazo mengi sana’!?. Binti huyo aliongea huku akiwa bado amenioneshea mkono wangu kwake.
‘Amna Suzi maana leo hii nashang’aa kunipa mkono wako’. Nilimjibu huku nikijua wazi kuwa nimempasha ukweli mtupu.
‘Kwahiyo utaki kupokea mkono wangu kwa hilo ulilosema au’!?. Suzi alijibu akionekana kuchukizwa na ilo jibu ambalo nilikuwa nimempa.
‘Hapana suzi si…’!?. Kabla sijamalizia sentensi hiyo kengele ililia na kila mtu alikimbia mpaka msitarini,baada ya kufika msitarini mwalimu mkuu alianza kututambulisha wasimamizi waliokuwa wanasimamia na kisha baada ya kututambulisha, tulienda kwenye hall ambalo tungefanyia mtihani na hall hilo tulichanganywa sote wavulana na wasichana.
Baada ya kuingia kwenye hall hilo tulikaa kwenye siti zetu ambazo tulikuwa tumeshapanga na mara walikuja wasimamizi na kuanza kutugawia karatasi za mitihani na kisha kutupa kijidaftari cha kujibia. Wasimamizi walitusimamisha kuwa tuombe na baada ya kuomba,msimamizi mmoja alisema
‘Jamani wanafunzi samahani kwa usumbufu tumesahau kuwakagua hivyo tunaomba kwanza mtoke nje ili tuweze kuwakagua’. Kitendo cha kusema hivyo tulitoka kwenye hall sote na kwenda nje na kisha tulijipanga msitari.
Wasimamizi walianza kukagua, wasimamizi wanaume walikagua wavulana na wasimamizi wa kike walikagua wasichana.
Wasimamizi wakiwa bado wanaendelea kukagua mara mwanafunzi mmoja wa kiume alitupa kitu fulani pembeni ya msimamizi, Msimamizi baada ya kuona kitu hicho alianza kuulizia kuwa ni nani aliyekitupa na alionekana kuchukizwa sana
Msimamizi aliendelea kuuliza pasipokujibiwa bali macho tu, ndo yalimtazama
‘Hivi nyie wanafunzi mlishawai kusikia shule fulani imefungia kufanya mtihani au’. Msimamizi aliongea huku akiwa anaonekana wazi kuchukizwa na kitendo cha kuuliza pasipokujibiwa na mtu na wasimamizi wengine walidakia na kuanza kutuuliza kwa ukali sana.
Mkuu wa shule alikuja na baada ya kuja alielezewa na wale wasimamizi kuhusu kitu kilichokuwa kimetupwa pembeni ya msimamizi.
‘Jamani wanafunzi haya ndo mnakuja kufanya tamati yaani ya kumrushia msimamizi kondomu eheee’. Mkuu wa shule aliongea huku akiwa ametutazama kwa ukali sana. Kila mwanafunzi alionekana wazi kuwa mgumu kutaja.
‘Sikia wanafunzi ni nani ambaye amefanya hivi na mtu akijitokeza nitamsamehe’. Mkuu wa shule safari hii aliongea kwa ukarimu sana. Lakini hakuna mtu aliyejitoa kuwa ni yeye kuwa amerusha hiyo kondomu. Kwamaana kila mwanafunzi alimfahamu mwalimu mkuu jinsi ya kumpata mtu huwa anabadilika na kujifanya kuwa hakuna kilichotokea na hatimae baada ya kukiri kosa,mkuu wa shule hakuwa na huruma kwani alikuwa akifuza wanafunzi wanaokiri makosa yao, hivyo safari hii hakuna aliyejitokeza alisisitiza kipindi akiendelea kusisitiza mmoja wa maaskari aliwasogelea wasimamizi na kutuombea msamaha na kweli wasimamizi walilidhia japokuwa kama nusu saa ilikuwa imetuacha ya kufanya mtihani na unajua kuwa mtihani wa taifa ni lazima kwenda na wakati. Baada ya kuingia kwenye mtihani huo wa hisabati sikuwa najua kitu hivyo nilimshukuru sana Mungu kwa mkasa huo uliotokea na kuchukua muda.
Baada ya dakika kuisha msimamizi alisimama na kusema kuwa dakika zimeisha hivyo tulikusanya, kidaftari ambacho tulikuwa tumejibia. ‘Vijana mnaona mlivyochezea muda mpaka wengine amjamaliza’!?. Msimamizi aliongea huku anatazama mitihani yetu kwa baadhi ya wanafunzi waliokuwa wakileta mitihani yao huku wakionekana wazi kuwa na hawajamaliza kazi na wengine kama wakina sisi ambao hisabati ilikuwa mafuta na maji tulimshukuru sana Mungu kwa hilo.
Na hatimae mtihani wa kwanza tuliweza kumaliza,hivyo baada ya kutoka nje kila mwanafunzi alionekana kuwa bize na kusoma kipindi ambacho kilikuwa kinafuata,
kipindi ambacho kilikuwa kinafuata ni kiswahili somo ambalo nilikuwa nalipenda sana na pia katika mitihani ya kawaida ya shule nilikuwa nawabuluza darasa zima.
‘David naomba unielekeze jinsi ya kupanga sentensi hizi na pia unipe pointi za wajerumani walivyokuja Tanganyika walikuja na dhana gani au sera gani’?. Nilimtazana nani aliyekuwa akiniuliza uso ulisinyaa na mwili ulijawa na msisiko baada ya kumuona Suzi akiwa mbele yangu huku akiwa ameshikilia daftari fulani.
‘Ahaaaamna shida kaa basi nikuelekeze au huko tayari nikuelekeze umesimama au’?. Nilimjibu kwa taabu sana maana mapigo ya moyo yalienda kwa kasi sana kuzidi spidi yake ya mwanzo.
Nilimwelekeza na kumpa majibu yote na kisha Suzi baada ya kumuelekeza alinitazama na kisha alinishukuru na kwenda zake.
Nilibaki domo wazi baada ya kuona suzi akiondoka ‘David we domo zege kila siku huyo demu anajileta harafu wewe unajifanya huoni’. Alikuwa ni rafiki yangu tulieshibana sana Frank.
‘Frank sasa leo ndo unataka nimwambie au maana na mimi nimedata akyamungu nikimaliza lazima nionje hiyo nanii yake kama ni tamu’?. Niliongea huku nimemtazama Frank na huku nikitupia macho kwa kuibia alipo suzi.
Suzi alikuwa ni msichana ambaye kila mvulana wa pale shuleni alikuwa akitamani kuduu nae na pia hata walimu nao walitaka kutoka nae, kwamaana alikuwa ni msichana mwenye umbo zuri sana na pia sura yake ilivutia sana. Mpaka katika shule yetu tuliweza kumtunuku jina la ‘Mrembo wa shule’. Mazoea ya mimi na Suzi yalianza kama masihala baada ya Mwalimu wa kiswahili kupanga makundi na kundi ambalo aliniweka ndo sehemu ambayo suzi alikuwa amewekwa, hivyo mwalimu wa kiswahili alivyokuwa akitupa kazi nilikuwa nikifanya hiyo kazi kwa kushirikiana na Suzi sana. Lakini niliweza kuzama kwenye mapenzi baada ya siku moja kugusana kwa bahati mbaya kwenye midomo yake baada ya dawati moja tulilokuwa tumekalia kusumizwa na mwanafunzi. Kitendo cha kugusana midomo Moyo ulinilipuka sana na pia ulidunda pasipo kawaida yake.
Nikiwa bado niko nawaza hayo mara kengele iligongwa nilitoka hapo kwa haraka na kwenda mpaka kwenye mstari, baada ya kufika mkuu wa shule alipiga makofi kuashilia kuwa tuache kelele
‘Wanafunzi wangu leo mmenihudhi sana, na pia sasa ni muda wa kula hivyo nenda kwenye sehemu ya kulia na baada ya kula mtaingia kwenye hall ili muendelee na mtihani’. Mkuu wa shule baada ya kusema hivyo alirudi ofisini kwake.
Wanafunzj sote tulienda mpaka kwenye sehemu ambayo tulikuwa tunaitumia kulia, tulikula baada ya kula tulienda kwenye hall ili tuweze kuendelea na kufanya mtihani. Na kweli baada ya wasimamizi nao kula walikuja kwenye hall na kuanza kutugawia karatasi ya mtihani na kijidaftari cha kufanyia mtihani. Niliweza kubahatika kufanya mtihani vema huo na kuweza kujiesabia ushindi wa mtihani huo. Na kisha sote tulirusiwa kurudi nyumbani baada ya kumaliza mtihani huku tukisisitizwa kuwa tuwai, nikiwa njiani naelekea barabarani ili niweze kupanda pikipiki,
‘Davi, davi,davi,’!?. Sikuweza kujua ni nani maana wanafunzi walikuwa wengi mbele yangu na nyuma yangu hivyo ilinibidi nimsubilie huyo aliyekuwa akiniita. Baada ya kumsubilia kitendo cha dakika kama dakika ishirini sikuweza kuona mtu bali niliona wanafunzi wakiisha katika safari hiyo. Nilianza safari ya kuondoka baada ya kuona mtu aliyekuwa akiniita simuoni
‘Davi, mbona wewe si mvumilivu hivyo’?. Nilishutuka sana baada ya kusikia sauti ya kudeka ikiwa inaongea. Niligeuka mara macho kwa macho na Suzi na safari hii tulikuwa wawili njiani, Suzi alikuja kwa kasi sana na kunikumbatia.
‘Hivi mtihani wa kiswahili umeuonaje na pia umeniona nilivyohotea’. Suzi alijinadi baada ya kuniuliza maswali na maswali kuletwa kwenye mtihani.
‘Mtihani ulikuwa poa sana ila unaposibo maana ulivyoniuliza ndivyo vimekuja’?. Nilimjibu huku nikimtazama usoni kwa umakini sana.
‘Kweli ninayo ila nimekuibia siri kwamaana Nakupenda nitakupa ila kuna karatasi fulani hiko kwenye peipa ambalo kesho tutafanya hivyo isome kabla ya kupitia hizo peipa’?. Suzi aliongea huku akibetubetua midomo kwa kuonekana wazi kuwa anadeko.
‘Asante sana na mimi Nakupenda ila sasa wewe umeishaikopi au’?. Ilinibidi nimuulizie hivyo kwamaana alionekana kuwa na karatasi moja ya mtihani. ‘Hapana usiwe na shaka nimeishatoa kopi hii ilikuwa kwa ajiri yako’?. Suzi aliongea huku akiwa ananikabidhi hizo karatasi na kisha baada ya kunikabidhi alipanda pikipiki na kuondoka.
Na mimi ilinibidi nisimamishe pikipiki baada ya kuisimamisha nilipanda pikipiki,mpaka iliponifikisha nyumbani baada ya kunifikisha nyumbani niliweka begi langu chini baada ya kuweka nilienda kuoga, baada ya kumaliza kuoga niliweza kumkuta mdogo wangu Filipo akiwa na kibarua fulani huku akicheka
Nilimfuata mdogo wangu huku nikiwa nimechukia baada ya kuchukua barua yangu iliyokuwa kwenye begi langu, ‘Nani amekwambia unikague’?. Nilimuuliza Filipo huku nikiwa nimechukia sana.
‘Samahani nilikuwa na….!?’. Kabla ya kumaliza kuongea nilikuwa nimeshampiga kofi kali sana, Filipo alipepesuka mpaka chini na kuanza kulaani kwa kitendo nilichomfanyia.
‘Ngoja Mama na Baba waje lazima nikushitaki kuwa unapenda wasichana wakati wewe unajua wazi kuwa unatakiwa usomee upadri!?. Filipo aliongea huku akiwa ameshika shavu lake.
Na kweli wazazi wangu walikuwa wananipendea kuwa Padri kwamaana,mama angu na baba angu walikuwa wanjilisti wa kanisa la romani hivyo walidiriki kuniambia wazi kuwa ni lazima kuwa nisomee upadri nitake nisitake. Niliwaogomea lakini mzazi ni mzazi hususani mama maana mama alinishawishi mpaka nikafikia hatua ya kukubari kwa kuwa padri. Na pia wazazi wangu waliahidi kuwa nikimaliza kidato cha nne,kidato cha tano wananipeleka seminary ili niweze kusomea huko na kuwa padri.
‘Sikia basi naomba unisamehe usiwambie basi!?. Nilimwomba radhi mdogo wangu na hatimae aliweza kuelewa na kunisamehe kuwa hatawaambia wazazi wangu.
Ilinibidi niichukue hiyo barua na kuisoma ‘UNAJUA DAVID JANA NILIKUOTA’. Kijibarua kilihishia hapo na hakikuendelea na neno lolote lile. Ilinibidi nianze kujiuliza hivi kumbe na mabinti uwa wanahota kama sisi.
Nikiwa bado nawaza hivyo mara wazazi wangu waliingia ndani nilificha kijibarua hicho, niliwakaribisha wazazi wangu na wao walinipongeza kufanya mtihani. Baada ya kusalimiana ilinibidi nichukue peipa ambazo nilikuwa nimepewa na Suzi, nilizisoma zote na kisha kesho yake nilienda shule kama kawaida ili kufanya mtihani. Niliweza kukuta maswali yaleyale yaliyokuwa kwenye peipa ambazo nilikuwa nimepewa na Suzi.
Nilifanya mtihani kwa kujiamini maana majibu nilikuwa nayo mpaka mtihani wa mwisho baada ya suzi kunifuata na kutaka niende nae kwao. Ilinibidi nimuogopee maana wazazi wake walikuwa wakali sana kwa jinsi nilivyokuwa nasikia kwa wanafunzi wenzangu na pia Baba ake na Suzi alikuwa ni msitaafu wa askari wa jeshi la polisi.
Baada ya kumuogopea Suzi hakudhubuti hata kuniuliza lolote lile alinywea na kuondoka.
‘Suzi, suziiiii’. Nilimwita suzi kwa ukali kidogo lakini hakuonekana kuitika bali aligeuka tu na kunitazama tu.
‘Suzi njoo uchukue namba angu harafu jumapili baada ya kutoka kanisani tukutane white lodge’. Nilimwambia huku nikiwa namsogelea na pia nikimtazama kimahaba zaidi. Kitendo cha kusema hivyo Suzi alitabasamu na kutega mkono wake, hivyo nilitoa peni yangu na kuanza kuandika kwenye kiganja chake. Nikiwa bado naandika mara Suzi alinivutia kwake na kunitazama kana kwamba anataka kulia kwani alikua akifumba na kufumbua huku akionekana wazj kuwa ana uwezo wa kutazama vizuri.
‘Nina zawadi yako David kabla ya kusafiri’!?. Suzi aliongea huku akiwa anabetua midomo yake na huku akiongea maneno ambayo yalikuwa hayasikiki vizuri.
Nilianza kutekenya kiganja chake huku nikiwa namtazama usoni alionekana wazi kuwa amedata sana.
‘Jamani Davi, mbona huko hivyo unataka kuniumiza hivyo yaani unanifanya hivi barabarani je nikisema unitimizie utaweza au?’. Suzi aliongea huku macho yake yakiwa yanaoneka kuishiwa nguvu.
Nilimwachia kiganja chake baada ya kumwachia nilianza kukimbia na kumuacha Suzi akiwa ananitazama nilienda moja kwa moja mpaka barabarani na kupanda pikipiki ambayo ilinipeleka mpaka nyumbani. Baada ya kufika wazazi wangu walikuwa wameniwekea sherehe ndogo ya kumaliza mtihani wa kidato cha nne.
‘Mwanangu nazani unakumbuka ahadi yetu kuwa ukimaliza kidato cha nne tunakupeleka wapi’?. Ilikuwa ni sauti ya Baba.
‘Ndio Baba najua kwani kuna tatizo gani?’. Ilinibidi na mimi nimurudishie swali Baba la kumjaribu.
‘Hapana mwanangu nakupa taarifa maana kwasasa ndo unaelekea ujana kamili hivyo naomba ujiheshimu na kumbuka ahadi yetu mwanangu’?. Baba aliongea huku akiwa amenishika kichwani na huku mdogo wangu Filipo akiwa ananitazama kanakwamba ananiibia.
‘Ndio Baba amna shida tuko pamoja’!?. Ilinibidi nimuogopee Baba maana nilimjua sana Baba alivyomkorofi sana. Nilimtazama mama, mama alionekana wazi kufurahishwa sana na majibu yangu ya kukubari na pia alinipa sifa kemkem sana.
Na hatimae siku ya jumapili nilienda kusali baada ya kutoka kusali ilinibidi kutazama simu yangu kama nitaweza kuona sms yoyote kutoka kwa Suzi na kweli niliweza kukuta ujumbe uliokuwa umeandikwa ‘Tukutane saa tisa kamili’.
Baada ya kuona ujumbe huo sikujibu bali nilisubili mpaka saa tisa na kwenda mpaka kwenye Guest iliyoitwa White lodge baada ya kufika niliweza kumkuta suzi akiwa amenisubilia. Ilinibidi nilipie chumba kwa muda baada ya kulipia tuliangia katika chumba hicho.
Kitendo cha kufunga mlango tu, Suzi alinirukia na kuanza kunipiga madenda ya maana na mimi sikutaka kuwa kanyaboya nilianza kumpagawisha baada ya kuanza kutomasa kwenye chuchu zake, nikiwa nampapasa mara mlango ulianza kugongwa kwa kasi sana.
JE;
Ni nani aliyekuwa akigonga kwa kasi sana na pia nini hatima yangu na Suzi!!?
ITAENDELEA

SIMULIZI YA NANII TAMU SEHEMU YA PILI

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment