Kitonga Yaanza Kupanuliwa Njia 4
E NEWS

Kitonga Yaanza Kupanuliwa Njia 4

Kitonga Yaanza Kupanuliwa Njia 4
Kitonga Yaanza Kupanuliwa Njia 4

Hatimaye kilio cha muda mrefu cha Watumiaji wa barabara kuu ya TANZAM kutokea Ruaha Mbuyuni hususani eneo la mlima Kitonga kimeanza kufanyiwa kazi kwa kupanua barabara hiyo kuifanya ya njia nne ili kuepusha foleni za mara mara na kuufanya mlima huo kupitika kiurahisi.

SIMILAR: Treyzah Kuitambulisha Bongo Rnb

Meneja wa TANROADS Iringa Mhandisi Yudas Msangi amesema ujenzi wa mradi huu utagharimu shilingi bilioni 6.4 hadi kukamilika na itajengwa barabara ya kiwango ya njia nne ambayo itakuwa na mifereji mikubwa ya kuongoza maji na kufungwa vioo vikubwa kwenye kila kona ili kusaidia upishano mzuri wa magari nyakati zote.

Check more LIFESTYLE articles;

Leave a Comment