Phina – Sisi ni Wale Lyrics
A Tanzanian artist, singer and songwriter, Phina has continued to impress fans with her powerful vocals and unique style. Over the years, she has released several hits that showcase her versatility and artistry. Her latest release titled Sisi ni Wale blends catchy melodies and vibrant rhythms, further cementing her position as one of the rising stars in Bongo Fleva.
SIMILAR: Saraphina – Upo Nyonyo
Sisi ni Wale Lyrics by Phina
The Melanin Queen
Chorus
Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
Sisi ni wale tuliosaidiwa, ah na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
Verse 1
Sina hela, sina pesa, sina doh
Sina nyumba, sina gari, sina ooh
Kila kukikucha mi naiwaza kesho
Napiga moyo Konde nitafika ooh
Wanaokudharau leo,
Watakusalimia kesho (kwa heshima)
Wanaokusema sema,
Watakusifia kesho
Unaokula nao
Na kucheka nao (oh)
Kesho ukidondoka
Hutakuwa nao
Piga moyo Konde
Wakati wa Mungu
Wakati sahihi hi hi
Piga moyo Konde
Wakati wa baba
Wakati sahihi hi hi
Chorus
Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
Sisi ni wale tuliosaidiwa, ah na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
Verse 2
Jana niliumwa
Nikadhani nitakufa
Leo niko fiti ukinicheki
Nadundika
Nilipoachishwa kazi
Walidhani nitasota
Leo nipo juu ile kibosi
Nadundika
Kama unaamini
Umesaidiwa na Mungu
Piga kelele, kelele moja (eh)
Kelele mbili (eh, eh)
(Eh, eh)
Kama unaamini
Umesaidiwa na Mungu eeh
Piga kelele, kelele moja (eh)
Kelele mbili (eh, eh)
(Eh, eh)
Chorus
Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
Sisi ni wale tuliosaidiwa, ah na Mungu
Sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba