E NEWS

Ratiba ya Mitihani ya Kidato cha Nne (CSEE) 2025

Ratiba ya Mitihani ya Kidato cha Nne (CSEE) 2025
Ratiba ya Mitihani ya Kidato cha Nne (CSEE) 2025

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi ratiba ya mitihani ya Kidato cha Nne (CSEE) kwa mwaka 2025. Mitihani itaanza tarehe 10 Novemba 2025 na kumalizika tarehe 28 Novemba 2025. Mitihani itafanyika katika vituo vya watahiniwa kama ilivyoainishwa kwenye ratiba rasmi.

SIMILAR: Walioitwa kwenye Usaili Tume ya Utumishi Wa Mahakama JSC – PDF

Download Pdf

Check more LIFESTYLE articles;

Leave a Comment