Mtaa wa Tatu Sehemu ya Kwanza
CHOMBEZO

Ep 01: Mtaa wa Tatu

SIMULIZI Mtaa wa Tatu
Mtaa wa Tatu Sehemu ya Kwanza

IMEANDIKWA NA : HAFIDHI J IKRAM


Chombezo : Mtaa Wa Tatu

Sehemu Ya Kwanza (1)

Ndani ya nyumba moja hivi, kuna kelele ziliweza kusikika.

kelele ambazo bila shaka mpigaji atakuwa kapandisha mashetani.

“niachee”……uuwiiiiiiii huyu mchawi

Nimesema tokaa!!!…

ndani ya nyumba hiyo milango yote ilifungwa si uwani wala barazani,

Wakati nyumba hii kelele za Binti aliyepandisha mashetani zikisikika,

Nyumba nyingine kulikuwa na sauti ya vicheko,

sijui wanacheka nini,

nyumba nyingine kulikuwa na sauti ya vilio sijui wanalia nini.

Nyumba nyingine kulikuwa na ugomvi baina ya vijana wawili kila mmoja akisema

“Matrida ni wangu mimi”

Katika purukushani kukuru kakala

baina ya vijana wale mmoja kati yao akadondoka chini huku akipaza sauti jamani….”

Nakufaa”…..kumbe mwenzake alitoa kisu na kuanza kumchanachana.

Yote yanatokea ndani ya kitongoji kimoja,

kitongoji ambacho kipo nchini Tanzania jijini

Dar es salaam, kinaitwa Mtaa wa tatu

Mtaa ambao

Ni zaidi ya sodoma na gomora watu wanaishi kama wanyama,

Wengi wa vijana wanaoishi pande hizo wamepinda sijui kunyongorota,

Katika mitaa yote hiyo

kuna mtaa wa kwanza kisha mtaa wa pili na huo mtaa wa tatu hakika usiiguse kabisa moto wa mitaa hiyo ni hatari tupu.

Mwizi akikamatwa atajuta kuzaliwa

ni zaidi ya Manzese au Tandale,

“Hivi mume wangu unataka

Hafidhi aje kuishi hapa nyumbani hivi uoni kama utamsababishia matatizo, bure”

“kuhusu hilo wala usitie shaka mke wangu, kumbuka

Hafidhi namfahamu vizuri sana, ndio kiboko ya wajinga wote na nimemwita makusudi

Aje kuishi nasi

yani kama moto ule auzimiki hata kwa faya”……

“mmh wee msifie tu sio akija hapa

mtoto wawatu ageuzwe shoga

au akatwe ile naniliu yake”

“Ahaa sasa hizo dharau Ankor wangu Mimi hawezi kugeuzwa shoga kwanza nitake radhi kwa niaba yake”

“haya nisamehe mume wangu”…..

Yalikuwa mazungumzo baina ya wanandoa wawili kuhusu swala la kijana anaesemekana anakuja kuishi hapo,

Tukija ndani ya

Mkowa wa Iringa tunamuona kijana mmoja akiwa kifua wazi akifanya mazoezi ya Wushu akipiga zile style za

hayati

Brandon Lee

hakika alikuwa yuko faster mwepesi mno yani alidank huku na kule kijasho kilimvuja,

siku zote mazoezi ndio muhimili wa hafya ya binaadamu,

“ongera sana mwanangu binafsi inaonyesha ni jinsi gani Mwalimu wako amekufunza vyema”….

Ilikuwa kauli ya pongezi kutoka kwa

Baba mmoja hivi yani mtu mzima kiasi,

Kijana yule

akatabasamu na kusema,

“ndio Baba yangu Master Santos kanifunza vyema hakika najihisi niko

Dunia ya wapambanaji,

na niko tayali kwenda jijini Dar es salaam nikafanye kazi aliyoniitia

Ankor”……

“Hafidhi mwanangu kuna mengi naitaji kuongea nawe kabla hujaondoka nikiwa kama mzazi.

Kwanza kabisa ukifika huko usipende kujionesha wewe ni nani

usimpige au kupigana na mtu yeyote yule pasipo

Chanzo chochote jalibu kutatua matatizo yako au ya wengine kwa maneno ya busara”

kingine kaa mbali na Wanawake kumbuka wewe ni kijana mdogo sana

nafahamu fika kuna vishawishi vingi sana utakutana navyo

huko uendako”….

Wakati wakiwa wanaongea

Sauti ikasikika ikiita

“Hafidhi j Ikram”..

nae akaitikia

“naam Mama”

“embu njoo kila kitu tayali huku,

Bila kupoteza muda akaingia ndani yeye na

Baba yake kumbe

Mama yake kamuandalia kila kitu kwa ajili ya safari

na siku hiyo ndio alikuwa anasafiri.

basi akajiandaa kwa ajili ya safari

yapata saa tatu

Asubuhi ndani ya Bus

Hafidhi j ikram alikuwa ndani yake na kuwapungia mkono wa kwaheli wazazi wake,

Anaiyacha Iringa, na kwenda jijini

Dar es salaam

hakika safari ilikuwa ndefu kidogo

“wee konda mwambie dereva wako apunguze mwendo kasi

Maana hakubeba magunia humu ohoo”….

“mwambie mwenyewe kwani hauna mdomo au?”

“mimi nishamwambia zaidi ya mara tatu hasikii tu,

Tena anaongea na simu huku akiendeesha kwa mkono mmoja si dharau hizi”

Wakati abilia wote wapo kimya

ni mtu mmoja tu tena mwanamama ndio aliyekuwa akikemea kitendo

cha dereva kuendeesha gari kwa speed.

Kibaya zaidi anaongea na simu,

Japokuwa mama yule aliongea hivyo.

Ikawa kama vile kamwambia ongeza mwendo Baba

dereva hakujali mashimo wala matuta

Alikanyaga tu

wenye roho nyepesi wakapiga kelele za tunakufaa!!!

Hafidhi j Ikram akiwa amekaa kwenye siti ya katikati nae alishtuka kutoka

usingizini kumbe alikuwa kalala.

Akacheki mbele

na kutamka neno moja tu

“Mungu wangu”…..

Bus ilikuwa uso kwa uso na scania kama hakika

Mungu akawapigania kwani dereva alikunja kushoto na kuweza kupishana na ile Scani ikiwa nyuma imebeba makontena.

Kila mmoja kiroho kilimdunda.

Mpaka gari inafika pande za Ubungo

yule mama akatapika kabisa

“wee mama embu njoo uzoe matapishi yako”

“wee mshenzi nini nani azoe utazoa mwenyewe aliyekwambia utuweke roho juu nani?

Dereva baada kuona

kajibiwa vile kwa hasira akamfata yule mama na kutaka kumpiga kibao

Ghafla mkono ukadakwa na

Hafidhi kwa sauti ya upole akasema,

“tafadhali kaka yangu hutakiwi kufanya hivyo, tambua kitu kimoja

huyu ni kama mama yako tu”….

Dereva akautoa mkono wake na kumkunja

Hafidhi huku akiwa kamkazia sura

“wee dogo unajifanya unajuwa sio.

Kwanza nani amekuruhusu unidake

mkono?”

kabla

Hafidhi ajataka kuongea chochote yule mama akatoa kitamburisho chake,

Huku akisema

“sikia wewe nyau mimi ni afisa wa jeshi la polisi kuanzia

Sasa upo chini ya ulinzi

Ghafla dereva akawa mdogo kama vile kidonge cha pilitoni

Kitendo bila kuchelewa akafungwa pingu na makofi juu

“haya ongoza njia twende kituoni

Nyie ndio madereva ambao mnasababisha ajali kila kukicha

kitu kingine nimegundua kumbe

Abilia nao wazembe baada ya kukemea wapo kimya tu wacha wafe pumbavu zao embu twende,,,,,,”

“samahani afande, sirudii tena”

Hafidhi j Ikram akabaki kutabasamu tu maana dahaa,

hakika mwanamama yule kacheza kama Pele

ina maana alitapika makusudi akifahamu fika kama si konda

basi dereva atamfata tu.

Kudadeki zake anabahati alivyonikunja nilishaandaa kumpa zinga la

kombora”……

wakati anajisemea hivyo akasikia

anaitwa

“ahaaa Ankor Hafidhi huyoo”

kuangalia ni mjombaake

nae akaenda mbio kumkumbatia kisha wakaingia ndani ya gari safari ya kwenda Mtaa wa tatu ikaanza

“yani siamini kabisa kama mtoto wa Dada yangu mpendwa umekuja”

“kwanini usiamini Ankor ndio nimefika hivi yani hapa kazi tu”…

“ha!ha!ha! kumbe msemo wa muheshimiwa Raisi mpaka Iringa umefika duhuu”…

“Ankor bwana kwanini usifike umefika tena hilo neno wakwanza kulisikia ni sisi hapa kazi tu,

Wacha sukari ipande bei hapa kazi tu kama hamtaki kunyweni uji”

Ndani ya Tax ilikuwa full vicheko mpaka dereva tax

nae akacheka na kuuliza

“hivi mzee huyu kijana wako katokea njombe nini”

Hafidhi akadakia kujibu

“hapana sitokei njombe mimi ni Muhehe original kabisa natokea Iringa yenyewe”

“kwani njombe si ipo ndani ya mkoa wa Iringa au”

“ndio ilikuwepo kipindi hiko sema baada kutanuka sana sasa hivi njombe ipo mkowa wa Makete

kumbuka zote zilikuwa ndani ya Iringa”

“ok! Nimekupata kaka yani inamaana hata hii wilaya ya kinondoni ikitokea siku ikazidi kutanuka itakuwa sio wilaya tena utaitwa mkoa

Au sio?”

“ndio maana yake”

Mpaka wanafika kwenye mtaa mmoja hivi tax ikasimama

kama ujuavyo uswazi watu wambea wakabaki kukodoa

Macho kuangalia nani kina nani wanashuka,

“hii jamani muoneni yule kaka ni handsome balaa”

“wee tulia na nyege zako kila mtu kwako handsome muone kwanza miziwa imekushuka kama vile

Kandambili”…

“toka zako ndio maana unanuka kikwapa”,,,,

Yalikuwa mazungumzo baina ya wamama wa kikubwa wakiwa wamekaa kwenye kibaraza cha nyumba moja

hivi.

Inayotizamana na nyumba ambayo

Hafidhi j Ikram ndio kafikia

“karibu sana Mjomba jisikie upo nyumbani hiki ndicho kitakuwa chumba chako”…

Wakati Mjomba yake anamwambia hivyo, yeye ndio

Kwaanza anashanga shangaa jinsi

alivyo waona mabinti kuanzia ukumbini

kuna wasichana wawili mmoja anakuna nazi

Mwingine anasonga ugali.

Kule uwani ndio usiseme

kuna anaefua anaemsuka mwenzake

sijui anafuma kitambaa kila mmoja

yuko busy

“mmh! Shost umekiona chombo hiko?”

“nimekiona sijui katoka America au South maana mwanaume anang’aa

si mchezo”….

“sasa sikia nikwambie kitu Zulfa huyu kijana lazima awe wetu sote yani tumuwai kabla kina

Zainabu hawaja mchukuwa, au unasemaje”……

“ndio penyewe hapo kwa ushenzi nitaanza kumtega leo hii hii

tusije kusubilia embe iive wakati wenzetu wamle kwa chumvi”….

Vicheko vya kimbea vikaweza kusikika kutoka kwa mabinti wale

“ha!ha!ha!

Hallo,,,,hallo,,,utanifunuaa,,,manuu”…..

ukishindwa funika,,,,

Hafidhi mwili ukamsisimka kwa yale maneno.

Baada kuelekezwa kila kitu

Mjomba yake akatoka kuelekea kazini maana aliomba ruhusa mara moja tu.

Akatoka mpaka ukumbini na kuongea na mmoja kati ya mabinti wale wawili

“Joyce”…

“abee baba”

“embu shika hii pesa kwanza samahani sana kwa usumbufu kama umeniona nimekuja na mgeni.

Ni kijana wangu naomba umuandalie chakula”,,,,,,

“hapana Baba wala haina haja ya kuniomba samahani wala kunipa hii pesa nitamuandalia kila kitu

Atakacho hitaji wala usijali”

Baada Joyce kusema vile Mjomba mtu akatoka

Joyce akamgeukia Zulfa na kugongeana mikono

“wewee dili limetiki

Mulemule”……

“Sasa Joyce tumuandalie chakula gani mgeni wetu, tusije kubugi hapa tukaandaa mataputapu tukaonekana washamba”

“mimi naona tumpikie ubwabwa na nyama ya kuku au unaonaje hapo,

Hakika mabinti hao walikuwa wakijiuliza

chakula gani atakacho kipenda Hafidhi j Ikram

basi wakaanza kukarangiza,

yapata saa kumi alasir

Hafidhi akiwa bado kajifungia chumbani kwa wakati huo alikuwa yuko busy na

Laptop yake kama ujuavyo yeye ni mtunzi wa story,

na story aliyokuwa akiiyandika ni Chanduka

wakati akiwa busy kuumiza kichwa,

Akashtuliwa na sauti ya mlango kupishwa hodi.

Akaiweka laptop yake pembeni na kwenda kufungua

Mlango

akashangaa baada macho yake

kugongana na sura ya binti mrembo mwenye kila sifa ya kuitwa hivyo.

Akapagawa zaidi

baada sauti

tamu kupenya kwenye ngome ya masikio

yake,

“mambo vipi kaka yangu?”

ilikuwa salamu kutoka kwa binti yule si mwingine ni

Zulfa mtoto kajikwatua mpaka kwenye unyayo,

kwa sauti

ya kubabaika

Mwanaume akaitikia

“ahaa po…aa”

Zulfa alianza kucheka na kusema

“ha!ha!ha!

Kumbe una kigugumizi kaka yangu pole sana”….

“hapana sina kigugumizi mbona naongea vizuri tu”

Hafidhi akakaza face na kuongea hivyo,

“ok! Sasa baba kabla hajatoka kaniachia maagizo nikuandalie chakula

sijui unapendelea chakula gani?”

“niandalie chochote kinacholiwa”

“hata kama ugali wa muhogo?”

Zulfa akauliza hivyo

Mpaka Hafidhi akaguna

“mmh ugali wa muhogo tena

Zulfa akaondoka kumbe msosi ulikuwa tayali kila kitu chakula kikabebwa

mtoto wakike

Kabla ya kukipeleka akajiangalia mara mbilimbili kwenye kioo

kikubwa kilichopo kwenye

Kabati la nguo.

Akaona kama vile hajapendeza

Akavua mavazi yake

kisha akajifunga kanga iliyomkaa kisawasawa.

Kwa juu akajitanda mtandio mwepesi wenye kuonyesha

Maungo yake kwa ndani

akajitingisha makalio yake kisha huyo akapeleka msosi

Wakati anatoka chumbani kwake

kufika ukumbuni,

akapishana na binti mwingine

kila mmoja akamnyali

mwenzake na kuachia msonyo

Zulfa akaenda kubisha hodi

Sekunde si

nyingi mwanaume akafungua

na kumkaribisha

apite tu ndani

Mlango ukafungwa.

“kalibu sana kaka yangu”,,,

Zulfa baada kumkaribisha Hafidhi kile chakula akataka kutoka.

“mbona chakula kingi namna hii kwanini tusile wote”…..

“hapana wewe kula tu mimi teyali nishakula,

Aliongea hivyo

Zulfa akiwa amesimama mlangoni,

Mwanaume akainuka

kutoka kwenye sofa dogo na kumsogelea

Zulfa binti mapigo ya moyo yakaanza kwenda kasi.

Akashikwa mkono na kukalishwa kwenye kitanda

kisha

Mwanaume akazunguka kwenye meza

Na kukaa kwenye sofa.

kila mmoja akabaki kumtizama mwenzie

Mtoto wa kike aibu ikamshika na kujing’ata kidole

“mbona aunzi kula unaniangalia tu”…

“si nasubili unipakulie”

“mmh nawe mpaka nikupakulie tena.

Zulfa akatoa sahani na kuanza kupakuwa chakula

japokuwa kwa macho ya kiwiziwizi kila mmoja alikuwa akimchabo mwenzie.

“haya mi naenda chakula hiko hapo tayali

kabla ajapiga hatua zaidi

Akashikwa tena mkono na kuvutwa mtoto wakike

akapepesuka na kuja kuangukia kifuani kwa Hafidhi mtandio ukiwa tayali ushaachia chuchu

konzi zilikuwa zimesimama wima

wote wakabaki kuhema kama vile majogoo yanayo tamaniana kupigana.

Mtoto wa kiume akatesti zali kama kupeleka mdomo wake hivi.

Zulfa akafumba

macho na kuachia kinywa wazi.

Ishara ya kwamba nipe baba”….

Ndimi zao zilianza kugombana huku kila mmoja akionyesha nia dhahiri ya kuvunja amri ya sita, hasa Zulfa ndio alikuwa ana nyege na, muwashawasha mkubwa kiasi kwamba hata kabla hajashikwa sana alianza kutoa miguno ya kimahaba,

Assssssss,,,,,ohooooo

Hafidhi

hakutaka kuremba,kwa kutumia mkono wake

wa kushoto

Akaupitisha mpaka ilipo ikulu ya

Zulfa na kukiingiza

kidole chake cha kati alimsugua kiarage chake Zulfa aliyekuwa anaweuka kwa raha. alijilaza chali kitandani ambapo ni muda walibakizana kama walivyozaliwa,alijipanua mapaja yake manono na kukiachia wazi kitumbua chake kilichoanza kumwaga chozi wito,,,,chozi wito ni majimaji ambayo yalijitengeza tayari kwenye kitumbua cha Zulfa yaliitwa wito kwasababu ukiyaona yametoka ujue yanaitaji. Mtarimbo

wakati huo

Jogoo wa Hafidhi alikuwa amedinda kisawasawa hakukuwa na haja ya kupoteza muda,alimlaza chali na kutaka kumwingiza jogoo wake Zulfa ambaye japo alikuwa amezidiwa kimahaba lakini hakutaka mtindo huo,kabla hata hajaingiza dudu lake , alimpindua na kumweka chini.

Ambapo

yeye Zulfa alikuwa juu,,,na kusema

“leo nitakukatikia mpaka umsahau demu wako uliemuacha huko utokako”……,aliongea kimahaba huku akiwa ameilegeza midomo yake na macho nayo kama akiyafumba na kuyafumbua.

Tayari mkono wake ulikuwa umeshashika dudu la Hafidhi lililosimama wima,akajipanua mapaja yake vyema.

Kisha

akajibinua kidogo kiuno chake kwa kuyapeleka makalio yake nyuma kidogo, akaanza kujiingiza dudu hilo taratibu kwenye kitumbua chake,,,,aaah,,,aaaaiiiissssssssss,,,,,o­oooh,,,aliugulia utamu hivyo kunoga huku dudu likizama taratibu kwenye kitumbua chake kilichokuwa na joto liliilompa msisimko Hafidhi ambaye naye kwa upande wake wakati dudu lake linazama taratibu kwenye kitumbua alihisi raha

ya ajabu.

Jotojoto la ndani ya kitumbua lilimfanya ajisikie tofauti

,,,,,aaaahm,,,,sssssss,,,shhhhhhhh,,,aaa­aaaaaaa,,,,aaaaiissssssssss,,,ooooh,,,su­guaaaaa,,,,ingizaaaaaa mpakaaaa mwiiii,,,iiii,,,shhhhhhiiiooooooooo,,,,,­aaaah,,,alijikuta akiongea hivyo Zulfa huku akilalamika kwa utamu aliouhisi,nafasi ya kukaa juu ya mwili

ilimshinda,alizidiwa sana na hamu hivyo ilimbidi Hafidhi

kumsugua hasa,Akiwa yupo chini aliipitisha mikono yake na kukikamata kiuno chembamba cha Zulfa kisha akawa anakishusha chini wakati akiwa anamwingiza dudu lote na kukipandisha wakati yeye akiwa anashusha dudu lake chini,ilikuwa ni utamu zidisha utamu ambapo jibu lake ni utamu kipeo cha pili

kila mmoja alifika mshindo

Baada kipute hicho cha kushtukiza kila mmoja akiwa hoi

Zulfa akajinyanyua kwa mwendo wa kivivu akatoka nnje

na kumuacha

Hafidhi j ikram akitabasamu

tu, ndio kwaanza kafika kaonjeshwa tunda siku zote mgeni karibu

wenyeji tufurahi

Nae akajinyanyua na kuisogelea meza

Aweze kula japokuwa chakula kilikuwa kimepoa.

Kitendo cha Zulfa kutoka chumbani

mule akakutana na yule binti

akaitwa

“wee Zulfa”……

nae kwa dharau akaitikia

“Abee unasemaje?”

“sio nasemaje hivi kwanini unakuwa Malaya kwa kiasi hiki, yani kaka wawatu ndio kwaanza kafika leo umeenda kumpa kitumbua chako kilicho chacha hiko”

Zulfa akasonya na kubetua makalio yake kitu tetemente akasema

“utajiju” kisha akaingia chumbani

kwake vicheko vya kishambenga

vikasikika

“Ha!ha!ha!ha!

kashamanua manuu”……

Ni sauti ya Zulfa na shogaake Joyce

wote wanaishi chumba kimoja.

Baada kupata msosi

Hafidhi akaitaji kwenda kuoga

kwakuwa sebuleni kulikuwa na ndoo za maji akachukuwa moja wapo

na kutoka zake

Uwani akawakuta Vijana kama watatu hivi wakimpa pole mwenzao

ambaye alikuwa analia.

“pole sana kaka Issa mi nilikwambia yule demu sio kabisa, ukabisha sasa unaona kilicho

kutokea wangekuuwa ohoo”

Yale maneno na kile kilio cha jamaa yule

Hafidhi alisikia kila kitu, akaweka ndoo chini kisha akasogea mpaka pale

Vijana wale walipokaa na kusalimia

“mambo vipi ndugu zangu”

kila mmoja akainua uso wake na kumtizama yeye,

Wakaitikia powa huku akipeana nao tano,

Akauliza

“vipi mbona mshikaji analia?”

hakuna aliyemjibu kila mmoja akabaki kimya, akaona isiwe shida

wacha akaoge.

Mpaka inatimia saa nne usiku hakuweza kumuona mjomba yake wala shangazi, akabaki kujiuliza

“mbona mpaka saa hizi

Ankor hajarudi tu, akajalibu kumpigia simu,

“halloo,,,,Ankor mbona mpaka sasa hivi hujarudi?”

Sauti ikasikika ikimjibu upande wa pili

“samahani sana Ankor kwa leo

sitoweza kurudi mimi wala Shangazi yako,

Ukiwa na shida yeyote mwambie huyo binti aliyekuletea chakula

anaitwa Joyce”……

Hafidhi akaguna kidogo na kukata simu huku akijiuliza

“kumbe yule binti kaniongopea jina lake anaitwa Zulfa kumbe ni Joyce ehee!!!

hakutaka kujiuliza sana akapanda kitandani na kulala.

sijui ilikuwa ndoto au nini hapa tunamuona Hafidhi akiwa kazungukwa na kikundi cha majini, wakiwa wanawaka moto

kwenye macho yao

kupitia tundu za pua na masikio yao ukifuka moshi mzito.

Hafidhi akiwa kawekwa kati

akatizama kushoto na kulia, asijuwe afanye nini,

Majini wale hakika walikuwa wengi mno

kila mmoja akatoa minjino yake

mirefu.

Na mikucha mfano wa reki.

Ghafla Hafidhi nae akafutuka na kuwa kiumbe cha ajabu tena

anatisha zaidi yao. Vile viumbe vikaogopa na kuanza kurudi nyuma kwa uwoga.

Sauti nzito mfano wa radi ikasikika

kutoka kwa kiumbe kisichoonekana akisema

“msiogope mvamieni”……

Mkamateni

mshikeni fanyeni haraka!!!

kitendo bila kuchelewa Hafidhi akavamiwa nae hakuwa na budi ni kupambana tu,

yalikuwa mapambano makali sana baina yake na viumbe vile.

Ghafla akashtuka kutoka usingizini na kupaza sauti akiita

Mamaa!!!…….

kumbe ilikuwa ni ndoto tu,

Mwanaume akiwa anahema pale kitandani utasema mwanariadha wa mbio za kiromita mia mbili.

Wakati huo kulikuwa kumeshakucha tayari,

basi akaitaji kufanya mazoezi

tatizo likaja je atafanyia wapi, akaona sio mbaya akifanya yale yatakayo

wezekana mule chumbani kwake.

akiwa anaendelea na mazoezi

akasikia mlango wake kugongwa akafahamu bila shaka atakuwa ni

Ankor wake, akajifuta jasho na kwenda kufungua,

tofauti na alivyojiwazia hakuwa Ankor wake

Alikuwa ni binti mmoja hivi

kila mmoja akabaki kumtizama mwenzie pasipo kuongea chochote

“za Asubuhi kaka yangu?

Binti yule akavunja ukimya kwa kusalimia,

“nzuri tu Dada yangu hofu kwako!”

“ahaa mi mzima ndio maana nikaja kukujulia hali

vipi mbona kijasho kinakuvuja kuna wifi nini unampa cha

Asubuhi asubuhi?”

“hamna bwana nipo tu nafanya mazoezi”

“mmh mazoezi yanafanyika ndani si ungeenda hapo mbele kuna uwanja mkubwa tu,

Vijana wengi wanacheza mpira

Au beach maana hatupo mbali nayo

Ni hatua kadhaa tu”…..

Kwanza

Hafidhi akatabasamu kusikia kumbe kuna

Uwanja wa mpira

pande hizi kingine hadi

Beach ipo dahaa mbona raha

“kwanza nashukuru sana Dada yangu kwa kunifahamisha kuhusu ilo.

Si unajuwa mi mgeni”…..

“mgeni unakamba mguuni au?”

Hafidhi akacheka

“ha!ha!ha!”

“sema nini kaka yangu nilikuja kukujulia hali tu kwajina naitwa

Beatrice ukipenda niite Bite

Naishi chumba kile pale upande wa kushoto”

“Nashukuru kwa kuweza kukufahamu mimi naitwa Hafidhi j Ikram ndio kwanza jana nimetokea

Iringa”…..

“ahaha kumbe unakula Dog sio?”

Hafidhi mbavu hana kwa kicheko maana huyu binti anaongea hatari

“hapana bwana sili mbwa

hizo ni zilipendwa unaweza kusema

Wakristo ndio wanakula nguruwe kumbe si wote wanaokula hiko kitu

Hata Waislamu wapo wanaokula nguruwe japo si wote.

Utasikia Wamakonde wanakula panya

kumbe ni baadhi tu na itabaki zilipendwa”…..

“hapo nimekupata kaka yangu

Sasa ningependa uje chumbani kwangu tupate chai pamoja au unaonaje?

Hafidhi akaguna

Mmh!”………

“mbona unaguna”

Beatrice aliuliza hivyo,

“naguna kwasababu inaonyesha unitakii mema yani nije chumbani

kwako nikipigwa je?”

“wewe nawe atakaye kupiga ni nani wakati Mimi nipo”…

“si shemeji”

“mmh shemeji yako huyo atokee wapi naishi mwenyewe kwa kifupi nipo singer”

Hafidhi akaitikia

ok! nitakuja,

Beatrice akafurahi huku akisema

“nitashukuru sana ukija sema usije ukakosea chumba. Nishakuonyesha kile

chenye panzia ya kijeshi”

Basi wakaagana Hafidhi akafunga mlango na kuanza kujiuliza,

inakuwaje mabinti wanaanza kumzoea hivi tena ghafla kwani ana nini”…..

Akaona sio mbaya wacha wajilete wenyewe,

akatoka na kwenda kuoga pamoja na kupiga mswaki

“wee kaka mbona ujapiga deki huko chooni?”

ilikuwa sauti kutoka kwa binti mmoja hivi akimwambia Hafidhi baada kutoka

bafuni kuoga.

Nae akauliza

“unasemaa”…….

“inamaana hujanisikia au dharau tu nakuuliza hivi mbona haujapiga deki huko chooni?”

Mara kuna binti akaingilia kati si mwingine ni

Joyce

“hivi wewe hujui kama huyu ndio

Baba mwenye nyumba, kwanza tokea

lini mtoto wa kiume akapiga

deki.

Wakati basha wako hata kulenga shimo la choo hawezi mikimba inaenda pembeni.

muone kwanza

pua imemkauka kama kikwapa cha mbuzi”

ndani ya nyumba hiyo

kuna mabinti wanaongea hatari tupu mmoja wapo ni Joyce

kisha kuna Beatrice. tisa kumi

kuna Zainabu hakika huyo ni kiboko

ana mdogo wake anaitwa Amina

kama bange basi wanavuta zile mbichi moshi wanatolea makalioni.

Watoto wamedata vibaya mno yani wakasahau kama kuna kufa, baada

Joyce kumchamba yule binti akamgeukia

Hafidhi na kumwambia

“hata usijali kaka yangu wee nenda kaendelee na

mambo yako. Kama kudeki

atadeki yeye kishankupe”

Hafidhi akatabasamu tu na kuingia ndani

Akiwa anakatiza ukumbini

kuna binti akapigana nae kikumbo bila shaka mmoja kati yao

kafanya makusudi

Hafidhi akamtizama yule binti hakika mtoto maishaallah

binti kaumbika si mchezo.

“Mijitu mingine bwana sijui ikoje inatembea macho juu kama vile kabeba jeneza”

Aliongea hivyo huyo binti huku akitoka zake nnje.

Hafidhi nae akamshiti

yapata saa nne Asubuhi ilimkuta

Hafidhi akiwa chumbani kwa bibiye

Beatrice akinywa chai

katika kupiga piga story za hapa na pale

“kwanza asante sana Dada yangu kwa

chai ni watu wachache sana wenye mioyo ya kujitolea kama yako”

“usijali kabisa kaka yangu wee jisikie uhuru tu”

Hafidhi akasema

“kuna story moja hivi naikumbuka kipindi nipo nyumbani kwetu Iringa”….

Beatrice akakaa vizuri na kuomba asimuliwe hiyo story

Ndipo Hafidhi akaanza kwa kusema,

Sauti ya kilio kutoka kwa Binti mdogo iliweza kunishitua kutoka usingizini.

Hakika sauti yake ilikuwa kali sana, binafsi alilia kwa kulalamika msinipige jamani nioneeni huruma”…….

Nikabaki kujiuliza huyu binti kafanya kosa gani.

Sikutaka kujiuliza sana zaidi ya kuinuka kitandani na kutoka zangu nnje,

Nilipiga hatua kadhaa na kufika kwenye nyumba moja wapo, nilikuta umati wawatu umejaa

huku msichana mdogo akiwa kabeba mtoto mgongoni, akilia kwa kuomba msaada.

Kuanzia mama mwenye nyumba na watoto wake kama watatu

Wakimtukana na kumpiga masingi yule binti,

Nikataka kufahamu nini chanzo

nini tatizo, nikamsogelea yule

binti na kumuuliza

“Khadija nini tatizo mbona unakifurushi cha nguo umekataa kufua au?”

Hakika binti huyu namfahamu tokea tukiwa wadogo tunasoma shule ya msingi.

Akanitizama huku machozi yakimtoka

kama vile bomba la vua, akaniambia

“Hafidhi kaka yangu tafadhali nisaidie”…..

kwa sauti ya huruma yenye kuambatana na kwikwi ya kilio

Khadija aliongea nikamtizama mtoto wake aliyekuwa amelala

mmoja kati ya Mabinti wa mama mwenye nyumba ni Demu wangu.

Akaja na kuanza kubwata

“baby haya mambo hayakuhusu kabisa tuachie mbwa koko wetu”…….

Hakika niliumia sana moyoni mwangu kwa binaadamu huyu kumwita mwenzie Mbwa koko.

Kama haitoshi akataka kumpiga kofi kama nisingewai kuudaka mkono wake angeshampiga,

akapaza sauti huku akiruka ruka

“niachee!!!

Sikutaka kumuacha nikamkazia macho nikiwa nina hasira macho yangu yamekuwa mekundu.

Ndipo Khadija akaaza kusimulia”……

“Kwa jina naitwa Khadija Saidi ni mzaliwa kutoka Arusha, wazazi wangu wote walifariki kwa ajali ya gari.

Hakika nilibaki kuwa mtoto yatima tu,

mpaka mzee Kitwana alipotokea kunichukuwa na kuja kunilea

maana yeye alikuwa ni rafiki kipenzi na marehemu baba yangu.

Akanilea na kunisomesha hakika alinipenda na kunithamini kama mwanae wa kunizaa.

Hatimae nimekuwa mtu mzima akaniomba niweze kuolewa na mwanae,

sikutaka kukataa ijapokuwa aliyeniowa nilikuwa namuheshimu kama kaka.

Hatimae nikaolewa

siku si nyingi nikashika ujauzito, na kujifungua mtoto huyu unaemuona,

Hakika baba mlezi alifurahi sana kwa kuitwa babu,

Hafidhi kaka yangu kama ujuavyo juzijuzi tumetoka kumzika mzee wetu,

leo hii nafukuzwa ndani ya nyumba hii.

Nitaenda wapi Mimi”…..

hakika history ya Khadija ilinifanya nidondoshe chozi.

Wakati anauliza ataenda wapi yule

mama akapaza sauti kwa kumjibu

“uwende kaburini kwani hujui aliyekufadhiri yuko huko”….

Hafidhi nikafanya tukio ambalo kila mmoja akabaki kinywa wazi,

kwani nilianza kumtandika makofi yule

Mama hakuna aliyesubutu kuingilia kwani nikikasirika nakuwa sishikiki”…

Wakati

Hafidhi anasimulia hivyo

Beatrice akawa anatetemeka mpaka

Hafidhi mwenyewe akashangaa na kumuuliza

“Beatrice vipi mbona hivyo”

Kwa sauti ya uwoga

Beatrice akajibu

“hapana hamna kitu, ehee ikawaje baada kumtandika makofi huyo mama, maana kama ni hivyo mbona mtaani

kwetu tutakoma”……

Hafidhi kuna kitu aliweza kuhisi sema akutaka kuongea zaidi

Nae akauliza

“mtakoma vipi kwani huu mtaa una nini?”

“wee acha tu kaka yangu

sitaki kukwambia chochote wewe mwenyewe utajionea”….

Beatrice alisema hivyo na

kumuacha njia panda Hafidhi j ikram

Kwakuwa chai alishakunywa hakutaka kuendelea na story zaidi ya

kusema ataendelea siku nyingine.

Akatoka mpaka ukumbini na kukutana

uso kwa uso na bibiye

Zulfa

“wee Mwanaume umetoka kufanya nini ndani ya chumba cha ngedere?”

kumbe lile swali

Beatrice akalisikia akatoka na kusema

“ngedere Baba yako mwanaizaya mkubwa wewe,

yani kujipeleka chumbani kwake ile

jana leo hii unajiona ndio

Mother house sio”……

Zulfa hakutaka kuongea sana mziki anaupeleka kwa Joyce

wakati

Beatrice tegemeo lake Zay mbona balaa

yapata saa saba mchana

Hafidhi akiwa chumbani kwake akichezea

Laptop yake sijui anaandika story ya

Chanduka akashtuka

baada kusikia kelele za kama ugomvi hivi

zikitokea nnje,

Siku zote Hafidhi si mtu wa kupenda kufatilia mambo ya watu.

Au kudadisi, sema zile kelele zikamfanya atoke nnje ya Idea,

Akaona si vyema yeye kuendelea kukaa ndani, akaamua kutoka mpaka kibarazani hakuweza kuamini

baada kuona watu

wamejazana pande hizo utasema kuna mechi ya mpira wa miguu.

Au rusha roho kumbe kulikuwa na ngumi baina ya wasichana wawili

“nishakwambia huniambii chochote wee Malaya tu unagawa nyuma na mbele”

“Anaegawa nyuma Mama yako

M****nge wewe

na ukoo wenu wote”……

Sauti za watu zikasikika zikisema

Piganenii”,,,,,heshima iwepo

Asha mautupu piga huyoo…….”

Ni kauli ambazo zilimshangaza sana

Hafidhi na kuona ni mambo ya kitoto.

Mwanaume akajitosa kati kwenda

kuamulia.

“tafadhalini Dada zangu acheni kutukanana ugomvi sio ishu tumlaani Shetani”

Hafidhi baada kufika pale akaongea hivyo.

Watu wakaanza kumzomea

hiloo,,,,,huyooo,,,,umetokea wapi wewe wa mbwinde nini waache waonyeshane

Kudadeki zako, yule binti mwingine akataka kumvamia mwenzake

Hafidhi akamzuia kwa kumdaka

“wee kaka niachie usinishike wee shoga nini

K***ko zako”

Masikini ya Mungu binti hakuweza kufahamu kama anafanya kosa kubwa sana kumtukania

Hafidhi mama yake kwa kasi ya ajabu binti alijikuta akipigwa kibao na kwenda chini.

Hafidhi nae akashtukia akichotwa zinga la mtama akaenda hewani kimo cha mbuzi.

Akadondoka chini puhuu

kabla hajakaa sawa akiwa pale chini. Akapigwa teke la mbavu mpaka akahisi kutapika damu

hakika mwanaume kimbelembele kilimpoza

Alipigwa vibaya mno,

Watu wakabaki kushangilia tu,

“pigaa huyoo”,,,,

ilibidi kina Joyce waingilie kati kuja kumuokoa

“Tafadhali kaka yangu Cholo msamehe

ni mgeni huyu hajui chochote”

Aliongea hivyo

Beatrice kumwambia huyo jamaa aliyekuwa akimpiga Hafidhi,

“pumbavu zake kama mgeni ndio ampige demu wangu sio?”

Akamshindilia na teke la tumbo kisha akamshika demu wake hao wakaondoka huku kila mtu akisema

Lake kumwambia Hafidhi

“karibu sana dogo kwenye mitaa ya

jahannam unabahati

Aisee angekuuwa yule,

Hafidhi akainuka huku akipaza sauti kumwita Cholo “wee bwege nyau kuja hapa”…..

na kusema kuwaambia kina Beatrice msinishike

Binafsi Hafidhi akasahau kauli ya Baba yake asijionyeshe yeye ni nani alichokihitaji ni

heshima atapigwaje mbele ya

Mademu ujinga huu”….

“Kaka yangu punguza hasira yule jamaa atakuuwa huwa atanii”

Cholo baada kusikia anaitwa bwege nyau

Akageuka na kuja kumaliza kazi.

Hafidhi kama nyau akatoka mbio tena speed akaruka juu na kuachia

mateke mawili double

yaliyompata Cholo

moja kifuani lingine usoni kidume kikayumba na kwenda chini,

Hafidhi akakunja ngumi

na kumwambia Cholo

“inuka mtoto wa Mama njoo kwa baba yako”….ni kauli ambayo ilimfanya Cholo awe na hasira akajizoazoa pale

chini na kuitaji

kumvamia Hafidhi siku zote ngumi ni mipango sio kuwa na mwili mkubwa ndio kujuwa ngumi

Mcheki yule mchina sijui Jet le jinsi anavyo

wakalisha watu.

Wakati Cholo anakuja kama vile nguruwe pori

Hafidhi aliuvuta mguu wake wa kushoto kwa nyuma kidogo kitendo bila

kuchelewa Cholo akakutana na kifuti cha pua.

Huku ngumi double double zikitua mwilini mwake,

Mwanaume akafanywa Basin beg akapigwa kama mtoto binafsi

Cholo akadebweda hakuna aliyeweza kuamini

Kidume kama Cholo kupigwa na mtu kutoka bush

Kibaya zaidi mbele ya demu wake.

Hakuna kitu kibaya kama kupigwa mbele ya demu wako,

ni aibu kubwa aisee!

kina Beatrice wakaja kumshika

Hafidhi wakimuomba aache

“kaka inatosha basi muache”…..

Hafidhi akaona isiwe shida akaingia ndani moja kwa moja chumbani kwake huku akijilaumu kwanini kafanya

vile

Akakumbuka kauli ya Baba yake

na kujiona tayari ni mkosaje.

Kama mwanamke kalala nae tu siku aliyofika, leo hii kashindwa kuzidhibiti hasira

zake mpaka kapigana

(Why”…….??

“yani hata siamini kabisa”

“huamini nini Dada Beatrice?”

“yani Cholo ninaemfahamu mimi leo hii kapigwa kama mtoto vile”

“ndio kapigwa siku zote mmbabe anapata

Mmbabe mwezie, kwahiyo sishangai kwa Cholo kupigwa

Alikuwa ni

Beatrice Zulfa Joyce wakiwa na baadhi ya wasichana wengine wakiongelea swala la Cholo kupigwa siku hiyo

“naona mabinti kazi kukalia umbea tu,

Kumdisi Cholo sasa kwa taarifa yenu

mwambieni huyo bwege wenu ajipange.

Kama moto kauwasha ajuwe na kuuzima”…

Ilikuwa kauli kutoka kwa kijana mmoja hivi aliongea hivyo, huku akiingia chumbani kwake.

Nae anaishi nyumba hiyo hiyo,

Beatrice na

wenzake wakaangua vicheko vya kishambenga

“hahahahaa,,,,,utanibeba mieeee ukishindwa nilazeee”……

Zulfa akasema

“eti mwambieni ajipange

Wakati wewe mwenyewe kulenga shimo la choo tu huwezi,

Matokeo yake kila ukinya kitu kinaenda pembeni.

Bila shaka

Malaya wako anapata shida kukuonyesha

sehemu

ya kipochi manyoya kulenga hujui”….

Vicheko vikazidi kusikika

Jamaa akakunja ndita na kusema

“wewe Zulfa ipo siku yako”

“bwanaee embu nenda zako tutamwita mchina mweusi akufinyange kama

Cholo ohoo”….

“muiteni hivi mnafikilia nani atamuogopa kwanza Cholo mwenyewe ni boya tu ndio maana kapigwa na wabush”

wakati wanaongea

Ghafla yule kijana akakunjwa

“hivi wewe Bulongo ushaniona mimi wa kunitapeli sio,

yani unishike makalio yangu uingize vidole vyako kwenye kitumbua changu kisha ukaniahidi kunipa shilling elfu

Kumi tokea siku ile mpaka leo unanikimbia

Sasa leo nimekunasa nipe changu”….

Bulongo akabaki kubabaika tu

Ukicheki

mkewe yuko hapohapo tatizo ni binti mpole sana.

“Zay usifanye

hivyo umuoni wife yupo hapa bwana”..

“ahaaa kumbe unamke ehee sasa kisa kilichokutoa kwa mkeo ukaja chumbani kwangu kunichezea

Ulitegemea nini

sasa kwa taarifa yako radha ni ileile nipe changu nijikatae

Maana patanuka sasa hivi”…..

Mke wa Bulongo akainuka na kuingia chumbani kwake,

sekunde si nyingi akatoka na pesa akamkabidhi

Zay iyo shilling elfu kumi, nae akaipokea huku akisema

“una bahati kudadeki zako.

malaya wako

kakulipia,

Yani usingenipa leo ningekubaka mbele ya bwege wako

Shenzi zako

Malaya wa kiume wee!!!

Zay binti mtukutu akaondoka zake huku akiyatikisa Matako yake

makubwa

yaliyonona.

Kina Beatrice wakaangua vicheko tu na kumzomea

Bulongo

yani mpaka aibu dahaa,

“hillooo,,,,pyeeee,,,,leo ange kubaka na kukupa mimba usifikilie wanawake

hatudindishi tunasimamisha”….

Zulfa akauliza

“hivi kaka yangu Bulongo kitu gani umekosa kwa mkeo.

Mpaka uwende kwa Zay au umedata na ile mitako mikubwa mbona

Mkeo anakitu cha

maana tu mcheki

kitu kipotabo’

Zulfa kuonyesha msisitizo

akayashika kabisa na kusema

kwa taarifa yako Zay mitako yake ni

Mchina ule,

Bulongo akapaza sauti kwa kusema

“Embu achana na mimi bwege wewe”

Hatimae usiku ukaingia

Hafidhi akiwa kajifungia chumbani kwake hakutaka mtu yeyote kwa wakati huo amsumbuwe

Akiwa amelala yapata majira ya saa mbili usiku hivi akasikia mlango wake

unagongwa.

Akauliza

“nani wewe”… anaegonga hakujibu kitu

akazidi kugonga tu, kitendo

kilichomuuzi Hafidhi na kujisemea

huyu malaya nitamnasa makofi Ohoo

Akainuka na kwenda kufungua mlango laa haula macho yake yakagongana na binti mrembo

kila mmoja akabaki kumtizama mwenzie,

Binti akakata ukimya

“za saa hizi kaka yangu?”

Hiyo sauti sasa

mbona balaa Hafidhi akabaki kukodoa macho tu pale mlangoni

Maana. Mtoto uongeaji wake tu kama anasinzia hivi. Kudeka sio kudeka

yani sijui

yukoje”……

Rangi ya ngozi yake ni.

Weupe uliofifia ilimfanya kuonekana mzuri sana, umbo lake.

Number

nane yaani shepu yake kama chupa ya soda. Coka cola

kwanza

mtoto hakuwa mnene wala mwembamba yupo

saizi ya kati,

ila alijaaliwa matako makubwa

ya

wastani. Tena matako yake yalikuwa malainii kama nimeyashika vile. Hiyo tembea yake aliacha lawama nyuma kwa waliokuwa wakimtazama.Hapo kati sasa maeneo ya hipsi na kiuno jinsi palivyo hata kama hukuwa na wazo ukimwona utajua kuwa ana nyege.

Kwa mbali alikuwa na mwanya uliompendeza hasa

hata kama alinyimwa dimpozi lakini haikumpunguzia chochote.Huo mguu kama chupa ya shampeni.

ambao kwa mbali tu ulionekana haujazoea kazi ngumu.

Amini nakuambia ungemuona laivu ungetamani kuoa kumbe ni Student tu kutoka shule

fulani hivi ndio kwanza katoka kumaliza kufanya mitihani ya

Form 4

Sifa kubwa ya mtoto huyu aliyepewa jina la Salma wengi hupenda

kumwita

Salma mitako maana kama vile kasusiwa.

Alikuwa na Chuchu nzuri ambapo hata yeye mwenyewe alijijua,mbali na sifa zote alizobarikiwa,hii ndio ilikuwa kiboko ujuaji wake wa kuwa ana Chuchu nzuri ulimfanya. Kuzitengenezea mazingira mazuri sana. Na aliamini hiyo ndo silaha yake kwa mwanaume yeyote.

Rijali

Huyo ndio Salma kwa wakati huo yuko face two face

na Hafidhi,

“mbona unaniangalia hivyo salamu yangu hujaisikia au wewe ni kiziwi”……

Salma akaukata ukimya baada kuona

Mwanaume kapagawa na umbo

lake.

Hafidhi akagutuka na kujibu

“ahaaa hapana binti si

unajuwa tena mtoto mzuri kama wewe

lazima utupumbaze wanaume kama sisi”,,,,,

“mmh tusiongee sana nimekuja kukuita unaitwa na baba yupo hapo sebuleni”

“Baba yako wewe ananiita Mimi

kwanza anaitwa nani huyo mzee wako?”

Hafidhi akauliza hivyo

maana ni ajabu kwa yeye kuitwa usiku ule

Akajiuliza au atakuwa Baba yake yule jamaa nini”

Wakati anajiuliza Salma akamshika mkono na kumwambia

“embu twende yani unataka kusema hata Ankor wako ushamsahau sio”……

Ndipo Hafidhi akatambu

kumbe anaitwa na Ankor wake

Akasindika mlango wake na kuongozana na

Salma kwenda sebuleni

mtihani ukaja kuhusu utembeaji wa

Salma maana yeye alikuwa mbele

Hafidhi nyuma kitu kikatutumuka

vibaya mno.

Baada ya kufika sebuleni akapokelewa na sauti ya Ankor wake

Akimwambia

“karibu sana Ankor wangu, kwanza pole kwa kukuacha peke yako tokea jana”

Hafidhi kama vile hakusikia kile ambacho Ankor wake anamwambia muda wote macho yake yapo

kwa Salma hakika alitokea kumpenda ghafla,

Sauti ya Ankor wake ikamshtua baada kuanza utamburisho.

“Kwanza napenda kukutamburisha huyu

ni Dada yako anaitwa Salma, kama unakumbuka vyema

nilishawai kuja nae kipindi kile akiwa mdogo kabisa. Yani alikuwa yeye pamoja na Sada na Husna”

Hafidhi likamshuka shuu kumbe Dada yake

akajiambia moyoni mwake

Dada binamu hata hivyo tunakulaga”…….

“Salma mwanangu huyu ndio kaka yako

niliekwambia juzi kuwa atakuja kuishi nasi hapa kama unakumbuka alitaka kukuchinja baada

kubomoa tundu lake la ndege ukamrushia ndege wake sijui chiriku tongwa”

Kila mmoja akaanza kucheka

Hafidhi akauliza

“Kumbe Ankor huyu ndio Salma ehee mbona atanilipa ndege wangu “…….

Salma nae akadakia kwa kusema

“usijali baba watoto nitakulipa tu hiyo sauti sasa

Hafidhi akakunja nne maana kitu

kinazidi kucheza.

Shangazi mtu nae akauliza swali

“Hafidhi nasikia leo umepigana?”

ni swali ambalo Hafidhi alichelewa kujibu binafsi alitambua ni moja kati ya sifa mbaya kwa mgeni kama yeye

kufanya kitendo kama hicho.

“Hafidhi nijibu mwanangu je leo umepigana”…….

“ndio shangazi hata hivyo mnisamehe tu

Shetani alinipitia nikashindwa kudhibiti hasira zangu”

Ajabu Ankor wake akashangilia na kusema

“vizuri sana Ankor wangu hakika wewe ni mwanaume wa shoka piga wapuuzi wote.

Kwanza huu mtaa umezidi mambo ya kipuuzi.

subiri nikwambie kitu

Mwanangu au Shangazi yako atakusimulia kila kitu kwakuwa yeye ndio kakuuliza swali”…….

Basi ikabidi Hafidhi apewe full story

“Hafidhi mwanangu sijakuuliza kwa mabaya hapana

nataka ukae utambuwe kitu

kimoja tu ndani ya kitongoji hiki kuna mitaa mitatu.

Kuna mtaa wa kwanza huo mtaa umejaa laana kubwa tena sana uvutaji wa bange kubwia madawa ya kulevya.

Mabinti kubakwa au kuuliwa ni jambo la kawaida kwa kifupi tunaishi kama vile tuko

Afghanistan au Iraq

kisha unakuja mtaa wa pili nao baala tu dada yako Sada alishawai kubakwa hadhalani.

tukaenda kutowa taarifa kituo cha polisi

watuhumiwa wakashikwa leo kesho wapo ulaiyani kwa kifupi tu hatuna polisi wote ndio haohao.

Tisa kumi unakuja huu mtaa wa tatu sijui nisemeje

Mwanangu unielewe usioni watu tunalala tunaenda makazini au watu wanauza vitu madukani

kwa kjfupi wengi wetu mishahara ikitoka tunagawana pasu kwa pasu na wababe wa mtaa huu.

Yani wao hawafanyi kazi yeyote ile, wanakaa tu kusubiri pesa

usione

Ankor wako kajenga nyumba kubwa hivi hii nyumba kubwa ina vyumba nane na kule uwani

Mabanda yenye vyumba saba ukihesabu vyumba kumi na tano

kwa taarifa tu wapangaji watano ndio wanalipa kodi wengine wote wanaishi kibabe”………

Kabla shangazi yake ajaendelea zaidi

Hafidhi akanyoosha mkono na kusema

“baasi inatosha usiendelee kusimulia tena

Ankor orodhesha majina ya watu wote hiyo kazi niachieni mimi nipo tayari kufa.

Nitatetea haki za wanyonge wote Salma kalete daftari na peni”…..

kalete nasema!!!

“Hafidhi tulia kwanza kumbuka nilichokuitia hapa ni kukutafutia kazi si kitu kingine kuhusu ilo swala wachilia mbali kama serikali imeshindwa kulifanya.

Achana nalo please nakuomba kaa chini”

Japokuwa kwa shingo upande mwanaume

Akarudi kukaa kwenye sofa

binafsi alishapaniki.

Mazungumzo mengine yakafata kabla ya

Salma kusema

“Mama mi nasikia njaa”

“wee mtoto mwehu kweli kama unasikia njaa na sisi tusikie nini, kwanza ndio kwanza saa mbili na nusu inuka hapo uingie jikoni”

Salma kwa sauti ya kudeka

sijui ndio sauti yake akasema

“Mama bwana mimi nimechoka siwezi kupika muda huu”…….

“sasa kama huwezi kupika si ukale mavi chooni,

hivi unafikilia utakula nini na kupika umechoka!!!

“nataka chipsi na mayai”

“Baba Salma umeona mambo ya boarding hayo mtoto kupika hataki. Yani anataka chipsi yai

sijui sisi tule nini”…….

Hafidhi akasema

“Shangazi embu mpeni tu hiyo pesa akanunue hizo chipsi akila yeye usiku huu hamna shida.

Kwanza mimi nishakula yangu mihogo nimeshushia na kombe kubwa la maji kitumbo ndii”…….

Kila mmoja akacheka baada Hafidhi kusema kitumbo ndii…ndii

Sijui mimba au

Salma akapewa pesa shilling elfu kumi na kumuomba

Hafidhi amsindikize.

“Mume wangu nisindikize basi usiku huu”

“usijali mke wangu nipo kwa ajili yako twenzetu mamaa”……

Hafidhi akaitwa na Ankora wake

“Hafidhi”…..

“naamu Ankor”

“naona mshaanza kuitana mke na mume sasa mahali iko wapi?”

Hafidhi akacheka kidogo na kumjibu

“mahali wale ndege”…….

Basi wakacheeka Ankor akasema

“embu tokeni zenu huko!!!

mtu na Dada binamu wakaongozana kwenda kununua chipsi.

Hafidhi hakuacha kumsaminisha dada yake

kufika sehemu moja hivi kwenye kichochoro

tena kuna kigiza fulani

Salma akasema

“kaka kuna kitu nataka nikunong’oneze”

Hafidhi akatega sikio ajabu

Salma akaudaka mdomo wa Hafidhi na kumnyonya denda

kumbe hata

Salma kamtamani Kaka yake binamu kinyama cha hamu

huliwa kwa awamu siku zote akiishi hamu

Hafidhi akakamatia dodo na kumbambanisha ukutane

Binamu yake.

Basi kila mmoja akiwa na mzuka na mwezie, wakaingia kwenye mjumba mbovu

Salma akaivua kanga yake na kuitandika chini.

Yani ilikuwa full mamzuka kama ndege atalipwa leo,

Hafidhi

Alimlaza binamu yake chali na kuanza kuzinyonya zile Chuchu alizozitamani tangu alipoziona. Kama ujuavyo urafiki wa Chuchu na ncha ya ulimi,basi

Hafidhi

alianza tu kumnyonya mtoto naye alianza balaa lake vidole vyake vyenye kucha ndogo vilianza kumtekenya masikioni huku akiguna kwa utamu wa kunyonywa Chuchu

Hafidhi akabarizi mpaka kwenye kitovu huku akitia mbwembwe zake,aliwasili mpaka ikulu na kukuta mandhari mazuri inayofaa kufanywa chochote. Mtoto alikuwa msafi hasa,hakukunukia harufu yeyote zaidi ya ute,

Hafidhi hakutaka

kuremba. Alianza kunyonya kiarage cha Salma,,,aaaaaaaa

aaaaaaashiiiiiiiiiiiii,,,masiiiiiiiiiiiiiiiii

iiiii,,,aaaaaaaaaaahsiiiiiiii,

,,,mmmmh,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,

,,,,mmmmmmmh,,,,,yani hizo kelele utasema wapo chumbani kumbe kwenye mjumba

“Mume wangu

unasikia mambo hayo”….

Ilikuwa kauli ya mama mmoja wa kikubwa akimwambia mumewe.

Baada kuisikia sauti ya

Salma akilalamika

Mumewe akaitikia

”ndio nimesikia haswaa mpaka

Mkomboti wangu

umetutumuka.

Vua basi tufatishe mapigo”…….

huku

Hafidhi akatumia mkono kumziba

mdomo Salma

maana hana siri

mtoto kawehuka kwa utamu.

Wa kunyonywa

Kiarage chake.

Hafidhi

aliendeleza zoezi hilo la kumnyonya kitumbua chake mpaka Salma alilegea kabisa na kujipiga bao moja.

Hapo ndipo mwanaume alimjia kwa juu kama kawaida kwa mtindo wa watu wengi. Salma akiwa amelala chali vile vile akaishika miguu yake na kuanza kumpanua mapaja manono yaliyoshiba utamu kisha akamwingiza dudu lake lenye afya,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam

mmmmmmmmmmmmmmm

mh,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,alilalamika kwa utamu Salma huku Hafidhi naye akiunguruma. Wote walipagawa kwenye dimbwi la mapenzi ambapo mwanaume alimsugua hasa Salma aliyekuwa akimshikashika Chuchu zake kama anazifuta hivi

,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,nakupendaaaaa kakaaaaaaaa,,,aaaaaaaaaaaa

aaaaah,,,alipoambiwa hivyo Hafidhi naye alijibu kuwa anampenda,aliahidi vitu vingi ambapo

kitumbua cha Salma kilikuwa mnato hasa,misuli yake ya kitumbua ilikuwa imara

yote sababu

ya kutopata dudu muda mrefu.

Kutokana na shule

anayosoma ni yawasichana tu.

Hafidhi alianza kumsugua kwa

kasi. Kwani kojo lilikuwa linakaribia,Salma naye

alianza kumshikashika mgongoni mpaka matakoni mwake na kuzidi kumsisimua hasa,,aaaaaaaaa

aaaaaah,,,,aaaaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiii binamuuuuuu,,,,aaaaaaaaaaaah,,

wote wakamwaga

Salma alihisi

raha ya ajabu

“Thank you mume wangu”….

Kila mmoja akavaa nguo zake safari ya kwenda kununua chipsi ikawa nyepesi

“ahaaa wee

Mwanaume gani bwana hata dakika moja bado ushakojoa kitu kimelala

Sasa nani atanitoa nyege zangu”…..

“nisamehe Mke wangu nilipitiwa tu

si unajuwa sauti ya huyo binti imenitamanisha mpaka nakojoa mapema”

“Embu toka zako huko Mwanaume wewe ninavyo kuchukukia

sijui kwanini nilikubari kuolewa nawe”…..

“si ulikubari sababu ya kutaka dudu”

“toka zako hivi dudu au kidudu yani ukiingiza hata sishtuki kabisa ndio kwaanza nakunywa maji”…..

“Ahaa mke wangu dharau hizo inamaana tupo ndani ya ndoa miaka kumi sasa hujawai kushtuka

mbona unaliaga ohoooo,,,,,,,,, assssss,,,,,naumia

kumbe unaigiza tu”

“Ndio naigiza basi mwenyewe unavimba bichwa hilo kwa kujiona mwanaume wa shoka kumbe kimbirimbi

Ha!ha!ha!

Yani yalikuwa mazungumzo baina ya mume na mke waliotaka kufatisha mapigo ya

Salma na Hafidhi

ajabu mume akamwaga kabla wenzao hawajamaliza ingwe.

Mke akachukia na kuamua kumpa makavu mumewe.

Wakati

Salma anakalibia kwenye kibanda cha chipsi

ghafla kuna kijana wa kiume akaja kwa kasi na kumshika makalio

huku akisema iny’e”

Hafidhi akakunja ndita”…..

“ahaa Salma mbona unakuwa mkali wakati kipindi kile ulikuwa unapenda kushikwa kila muda”

Aliongea hivyo huyo kijana na kuitaji kuyashika tena.

Kabla hajafanya hivyo akajikuta anashikwa mkono.

Alikuwa Hafidhi akamuuliza yule

jamaa

“unapenda kushika matako sio”…..

Jamaa kwa hasira akautoa mkono wake huku akisema

“niachie wewe boya nini,

kwanza wewe kama nani mpaka uniulize hivyo?”

Salma ndio akajibu

“huyu ndio Mume wangu ana haki ya kuuliza mjibu na umuombe msamaha kabla

hajakupiga makofi sasa hivi”…….

Kauli ya Salma ikamfanya jamaa acheke kwa dharau

“ha!ha!ha!….yani nimuombe msamaha huyu basha wako mbona ni mtoto wa mama tu,

wewe Salma naweza kukufanya chochote kile tena mbele ya macho yake na asifanye kitu,

Kuonyesha msisitizo jamaa akamshika

Salma usoni na kuitaji kumnyonya denda.

Wee hapo ndipo pabaya,

Hafidhi kama nyau akamsukutua ngumi ya kidevu yule jamaa, maana akapepesuka kama mlevi wa gongo

kabla hajakaa sawa,

Hafidhi akadank kwenye nguzo moja hivi ya umeme na kuachia mateke mawili double

na kumpata yule jamaa kifuani

akarushwa hewani na kwenda chini puhuu”…

“hivi Ashura yule jamaa si ndio kampiga Cholo leo mchana au sio?”

“ndio yeye yani ukiwa na Mwanaume kama yule nitatembea kifua mbele

mitaa yote hii”

“mmh Aziza usiseme hivyo kumbuka kuna

kikundi cha

Black ninja na wale

Sneak finger ni makundi hatari sana huyu mbona atakufa mapema tu,

Mungu wangu Thabiti anakufa leo,

yalikuwa mazungumzo baina ya mabinti wawili nao walikuwepo pande hizo.

Wanapouza chipsi.

Wakati huo

Hafidhi kamkaba roba yule jamaa sijui anaitwa Thabiti kisha akakibamiza kichwa chake kwenye mstimu

yani nguzo ya umeme Thabiti damu zilimtoka puani na mdomoni.

Hakika amekutana na chuma cha pua.

Salma ikabidi aingilie kati kumuokoa

Thabiti,

“kaka basi muache achana nae

Please nakuomba muachee”……

Siku zote

Hafidhi akipigana kuna kama kitu hivi kinaingia ndani ya mwili wake, yani anabadirika nakuwa kama vile sio yeye.

Hatimae jitihada za

Salma zikazaa matunda baada

Thabiti kuachiwa akiwa hoi”……

“mmh! mbona balaa mtu wa pili huyo anapigwa na mtu mmoja tu”

“yani hata siamini itakuwa anawapiga mabwege wenzake ikitokea siku akakutana na Vidume vya shoka atajamba”

Alikuwa Beatrice na shosti wake Zay nao walikuja mbiombio baada kusikia kuna ugomvi.

Ankor wake nae akafika na kuuliza

“kuna nini hapa?”

Hafidhi alikuwa kimya hakutaka kuongea chochote,

Ankor wake baada kuona ajibiwi kitu

Akasema kumwambia muuza chipsi

“embu wapatie hizo chipsi haraka

sana tuondoke!”

Chipsi zikafungwa sijui hata kama aliambiwa za shilling ngapi.

Thabiti alikuwa kalala chini ajitambui kabisa.

Baada

Hafidhi kuondoka ndipo

Thabiti akabebwa na kupelekwa kwao,

mpaka wanafika nyumbani

Hafidhi hakuongea chochote akapitiliza moja kwa moja chumbani kwake.

Kama kawaida yake mwanaume akaanza kujiraumu kwanini kapigana.

Akaichukuwa simu yake na kubofya bofya kisha akaiweka sikioni

sekunde si nyingi siku ikapokelewa akasema kwa kuanza salamu

“Assalam alaykum ewe baba yangu”…..

“Waaleykum ssalam vipi hali yako mbona unanishtua kwa kupiga simu usiku huu kuna tatizo au?”

Baba yake alisikia akiuliza maswali mfurulizo.

Hafidhi akavuta pumzi kwa ndani na kuzishusha

“opsii…hapana baba yangu naomba utambuwe kitu kimoja tu,

Mwanao nimeshindwa kuufata ushauri wako leo hii baba yangu, nimepigana mara mbili”…

Sauti ikasikika ikiuliza

“kwanini umefanya hivyo mwanangu

Ngoja nikwambie kitu sijakwambia usipigane, wewe pigana tu huo ndio uwanamume,

Hafidhi mwanangu kumbuka umeanza kujifunza mapigano tokea angali una

miaka sita tu umepitia kila aina ya mafunzo, nikakuchukuwa na kukupeleka

Depo huku ukafunzwa style zote za kicommando kwa kifupi

pambana wala usiwe na mawazo ukishindwa niambie nije na kikosi cha kata funua kamua mavi”…..

Hafidhi akacheka baada

Baba yake kutaja kikosi cha kata funua kamua mavi,

Ni moja kati ya kikundi hatari sana kule Iringa na kipo ndani ya Jeshi

huku baba yake akiwa kama mkuu wa majeshi

Hafidhi atake nini tena akose.

Baada kuongea na baba yake akatoka chumbani kwake kwa mwendo wa kunyata mpaka sebuleni,

Akachungulia na kumuona Salma akiwa busy kula chipsi basi akamsogelea na kumtekenya

Salma akashtuka na kutoa mguno bila shaka wadudu washamtambaa

akageuka kumtizama aliyemtekenya

kwa sauti iliyotokea puani

akasema.

“ohoo kumbe wewe bwana”……

Mtoto kalegeza macho

utasema yanataka kuanguka,

Hafidhi baada kuona binamu yuko hoi

ikabidi akae kwenye sofa na kumuuliza.

“vipi Ankor yuko wapi?”

“Baba ameenda kulala vipi kwani”……

Kwa sauti ya chini mwanaume akauliza

“sasa je?”

Mpaka hapo Salma akaelewa binamu anataka tena, mtoto wakike akainuka kwa mwendo wa minyato

huku akitikisa makalio yake akapiga hatua saba misili ya mtu anaetaka kukaba.

Na kumwita Hafidhi kwa ishara ya

Kidole cha shahada.

Mwanaume akabaki kujiramba midomo maana mtoto ana makusudi huyu.

Salma akaingia chumbani kwake,

Hafidhi akatizama kushoto na kulia huku na kule

Baada kuona hakuna mtu yeyote anaemuona haraka akajitoma chumbani

kwa Salma, embu nasie

tukapige chabo watoto fumbeni macho

mtapofuka ohoo”………

Kitendo cha Hafidhi kuingia tu

akajikuta anavamiwa kwa fujo mtoto anataka denda yani ilikuwa kama ugomvi vile

Kukuru kakara kwenye mpaka kwenye

Sofa,

waliangukia

hapo

ambapo mtoto wa watu tayari mvua ilishanyesha kwenye kitumbua chake.

Alilowa hasa lakini Hafidhi alijifanya akama hajaona.

Na vile Salma alivyokuwa hajavaa kitu chochote ndani

Kumbe

mtoto wa kike

ameshavua chupi

zamani akabaki na

kanga tu.

Nayo ikaenda chini.

Ndio ikawa kazi mbonyeo kwa Hafidhi

aliyemweka hapo kwenye sofa kama anataka kumvalisha mtoto pampasi.

Yeye akapiga magoti sakafuni.

Alimpanua mapaja

Salma

aliyekuwa amepagawa kwa nyege, mwanaume kwa makusudi kumnyegesha aliupeleka ulimi wake uliokuwa na mate kidogo mpaka kwenye kitumbua kitamu cha Salma na kuanza kukichezea kiarage na ulimi wake,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

shiiiiiiiiiiiiii ooooo

iiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaa,,,,mtoto wa watu alilalamika na kumwaga bao lake lililoruka juu kabisa,,,,Nyege zilimpanda hasa,alikuwa hajielewi kabisa

Basi Hafidhi sasa aliufungulia

huru Mtutu wake wa nguvu anaouaminia kwenye shughuli za maangamizi kama hayo. Ulikuwa umedinda

hasa mpaka mishipa ilijitokeza. Hakuwa haba maumbile yake,alijaaliwa Dudu kubwa nchi kama

Kumi hivi

mkubwa na mnene kwa afya ya mwanamke.

“babiiiiiii ingi,,,zaaaaaaa,,,,,aaaaaaaaaa

aaaaaaaaaaaaaah,,,,mtoto alikuwa moto hasa,alichokifanya hakuchelewa,alimweka sawa na kulishika dudu lake,kile kichwa alikilengesha vyema kwenye kitumbua

huku kidole chake cha kati kikichezea

Mpododo kitendo kilichozidi

kumsisimua

Salma,

na kuanza kukandamiza taratibu ili dudu lizame

,,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssss

ssssssss,,aaaaaaaaa

aaaaaaaah,,,,oooshiiiiiiii……..

Alilalamika Salma huku dudu likizama taratibu kwenye kitumbua chake.

Tena liliteleza vyema hasa,hapo ndipo alizidi kuchanganyikiwa,kwanza hakuamini kama anasuguliwa

kwa mara ya pili.

Kwani ni muda mrefu sana umepita,na mzigo wa Hafidhi ulibana vyema kwenye kitumbua chake

Taratibu nje ndani,mchezo juu ya Sofa ulimi ulikuwa kifuani mwa Salma ukimnyonya Chuchu zake,

ya kulia na ya kushoto kwa zamu.Hapo ndio alimchanganya hasa, utamu ulizidi mpaka akawa anamkumbatia kwa nguvu kiasi ambacho Hafidhi alikuwa akipampu kwa shida,,,,aaaaaa

aaaaaaaaashiiiiiiiiii,amamamaaaaaa,,,,oo

oousssssssssssss,,

,aaaaaaaa,,aliendelea kukolezwa na utamu ambapo Mwanaume aliongeza kasi kidogo.Salma alikuwa akipaza sauti pale ambapo alikaribia kumwaga Uzuri wa nyumba hiyo sauti ya chumbani ni chumbani tu kwanza juu Gpsamu ya uwakika madirisha ya vioo tofauti na vyumba vya uwani.

Salma akajiamini,

mpaka muda huo tayari alishamwaga bao mbili mfululizo,

wakati

Kidume

ni kama alikuwa anamwotea,aliunyanyua mguu wake na kuushikilia kwa juu ambapo aliendelea kumsugua kwa kasi mpaka akakojoa tena,,,,“nakupendaaaaaaaaaaaaa babiiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaa

aa yangu mzaziiiiiiiiiiiiiiiii uwiiiiiiiiiiiii

iiiiiiii aaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,alilalamika hivyo wakati akimwaga bao lake la tatu Mwanaume sasa ndio akaanza kujikongoja akilitafuta bao lake.

Maana kina

Pepe wamekaba kila kona mpaka dakika ya kumi na tano

winga teleza hajatikisa, nyavu

ukicheki

huku

Pepe kule Ramos

kati Marcelo

utapita wapi ukafunge”……..

Hafidhi.

alikuwa akimsugua huku mawazo yako sehemu nyingine,alicholinda ni uimara wa dudu lake tu.

Hakutaka kumwaga haraka,ila alipoona mtoto mwenyewe ameshakojoa mara nyingi,

naye aliona ni muda muafaka,ndani ya dakika kumi na saba,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

aaah,,,ooooghaaaa,aaaaaaaah,,,,,alilalamika hivyo na kumwaga bao lake,hakuchomoa dudu lake,walibaki wakiangaliana huku kila mmoja kijasho kikimtoka”……

Hatimae kesho yake

Asubuhi na mapema Hafidhi akaamka na kuitaji kwenda beach kufanya mazoezi.

akavaa track suit yake na Rana

juu akatinga kikoti fulani chenye kofia

kisha mwanaume akatoka

Na kukufana na

Salma nae anaenda mazoezini kila

mmoja akatabasamu

Salma akasema

“haya twenzetu”

mdogo mdogo wakatrokti safari ya kwenda beach.

kila sehemu waliyopita watu walioweza kuwaona wakabaki kuona gere.

Hakika walipendezana mtu na binamu yake

wakafika beach na kuanza kufanya mazoezi

ya hapa na pale, ghafla

Hafidhi akaweza kuona kikundi cha watu

kama sita hivi wakija eneo hilo

kibaya zaidi wamekamata siraha

mwenye nondo

mwenye chupa sijui panga

kisu yani bila shaka wanamfata yeye akasema

“Salma kimbia”…

Kwa sauti ya ukali Hafidhi akazungumza hivyo.

Salma nae huku akianza kulia akasema

“tafadhali kaka yangu tukimbie wote

watakuuwa wale”….

Ikabidi mwanaume atumie hasira kwanza

akampiga kibao cha shavuni

na kumsukumiza

“kimbia nimesema fanya haraka”

Salma akaona ehee isiwe shida wacha niondoke,

Kumbe wakati wanabishana wale majamaa washafika.

Na kusimama mbele yao kidogo.

Kisha mmoja wao akasema

“naona ni jinsi gani kijana unavyo jiamini kupita kiasi,

baada ya kukimbia wewe unataka binti ndio akimbie.

Sasa kwa taarifa yako tu roho yako ni yakwetu”….

Mwingine akasema

“kijana tambua umeingia anga sizo kabisa sasa basi cbagua moja

ukubali uwe Demu wetu au tukuuwe?”

Hafidhi akawatizama na kuwajibu

“acheni kuongea saana embu njooni kwa baba yenu, mabinti zangu mshakuwa

(Come on)

Njooni watoto wazuri ehee”…..

Kauli ya Hafidhi ikawachefua kabisa yani waitwe warembo kudadeki mmoja kati yao akawaambia wenzake.

“nyie tulieni hii kazi nitaifanya peke yangu”

Akaja na kurusha ngumi kama tatu double

Hafidhi akapanchi na kuachia ngumi moja tu iliyompata mdomoni

jamaa maji akaita mma, kwanza aliyumba na kwenda chini, wenzake wakabaki kutizamana tu wote kwa pamoja wakaja na kumzunguka.

Hafidhi akawekwa mtu kati

watu sita kwa mmoja ajabu

Hafidhi akaanza kufuka moshi (Why?…….

“oyaa jamaa kawasha bange”

kwa kutumia siraha zao wakaanza kumshambulia

Mwanaume akawa ana wakwepa tu akiruka huku na kule na kuwapa ngumi na mateke ya maana.

Jamaa mmoja akajiandaa kumpiga

Hafidhi chupa ya kichwa ile anapiga tu

Mwanaume kwa kasi ya ajabu akaishika shingo ya jamaa mwingine na kumzungusha akamleta kwa mbele,

Chupa ikatua usoni kwa mwenzake

yani akamchanachana vibaya sana kitendo bila kuchelewa

Hafidhi akafutuka na zinga la take kumpiga yule aliyepiga chupa.

Akarushwa hewani na kutua chini kichwa kikadidimia chini ya mchanga.

Mwingine akapiga panga

Mwanaume akadaka ikawa jamaa kashika mpini Hafidhi kashika kwenye makali.

Kila mmoja akavuta

mkono wa Hafidhi ukawa unatoa damu si kashika kwenye makali, kwa kasi ya ajabu akafanya kama kuliachia hivi na kuzunguka

yule jamaa akajikuta anapigwa kiwiko

cha taya, mpaka panga akaliachia.

Mwanaume akakamata panga ndio ikawa balaa tupu.

Salma baada kuambiwa akimbia akatoka mbiombio kurudi nyumbani kwao

kutoa taarifa

wakati anakatiza kichochoro fulani hivi

akasikia anaitwa

“Salma”

Akasimama na kumuangalia huyo anaemwita ni nani,

“whao Devid kipenzi changu umerudi kumbe?”

Akauliza hivyo huku akienda kumkumbatia

basi Devid akamtekenya kidogo mtoto akatoa mguno

“ahaaa,,,,,opsiiiiiii,,,,,

Wakakutanisha midomo yao na kuanza kupata denda, yani

Salma kashajisahau kabisa kama kule binamu yake yupo katika hali ya hatari.

Huku sasa mwanaume akatembeza kichapo kwa kutumia lile

Panga alikuwa akipiga kwa kutumia ubapa.

ndani ya dakika kumi kila mmoja alikuwa kalala chini

Akiugulia maumivu tu huyu kichwa

yule mguu mwingine kiuno.

Hafidhi baada kuona kamaliza kazi akaichana T-shirt ya jamaa mmoja na kujifunga mkononi

pale alipojikata na panga kisha akaondoka zake kufika home

Beatrice akamfata kwa nia ya kumkumbatia

sema Zulfa akawai yeye.

Kitendo cha Zulfa kuja kumkumbatia Hafidhi

Beatrice akachukia vibaya mno,

yani akatamani hata kumtia ngumi.

Zulfa nae kwa makusudi tena kwa sauti kubwa akasema

“whaoo baby wamie huyo ametoka mazoezini”

ajabu

Hafidhi kwa sauti ya ukali kidogo akasema

“niache usinishike”

Kisha akamtoa mwilini mwake na kumuweka pembeni.

Zulfa binafsi

hakutambua kama mwenzake kavurugwa huko alipotoka.

Basi kina Beatrice wakaangua vicheko

“ha!ha!ha!ha! kujifanya kimbelembele kama

shipa la kunguni hillooo”…..

Zulfa akabaki kujiuliza

huyu mwanaume vipi juzi tu nimemvulia chupi leo hii

anitaki, kumkatikia kote kule”…….

akamkata jicho la hasira

Beatrice akijuwa huyu ndio mchawi wake baada

Hafidhi kuingia ndani dakika si nyingi akatoka na kuuliza

“jamani Salma yuko wapi?”

wakati huo Zay alikuwa anakaanga chapati za maji, sauti yake ya kusonya ndio iliyosikika kisha akasema

“hivi wewe mwehu kweli kwanza umetupita hapa bila kutoa salamu

ukaingia zako ndani.

Kisha utoke uanze kumuulizia malaya wako

inahusu”

Hafidhi akamtizama yule binti akauliza tena

“jamani Salma yuko wapi”……

Beatrice akajibu

“mimi sijamuona tokea niamke kamcheki chumbani kwake”

Zay akaendelea kusema

“bwana wewe embu usitupigie makelele kama

Malaya wako kamtafute huko”…….

Hafidhi kwa kasi akaenda na kukipiga teke kikaango na ile sahani ya chapati kisha akamshika Zay shingoni

utasema kuku kishingo.

Yani akazivuta zile nywele sijui wigi au kashonea.

Akapiga kelele niachee wee m***nge”…..

Akanaswa kibao akayumba kabla hajaenda chini akadakwa na kukaziwa face kitendo cha kutizamana macho kwa macho na

Hafidhi

Zay akaanza kutetemeka kwa sauti yenye kuunguruma akaulizwa

“nani malaya?”

Akajibu

“ni mimi ndio malaya” yani kulia alitaka kujamba akajamba

“haya unaweza kunijibu Salma yuko wapi”……

“mi sijui’

“ok! hayo ndio majibu sio kuanza kutukana watu pasipo sababu kama kusalimia ungeanza wewe kuna ubaya

gani”….pumbavu zako,

Hafidhi kama haitoshi akamuwasha kofi na kumuacha binti wawatu akienda chini.

Kisha mwanaume akatoka zake kuingia kitaa, ile anatoka tu kuna vijana kama wawili hivi wakaingia wakiwa wanahema,

Zay baada kupigwa kibao na kudondoka chini

akabaki kulia na kutukana matusi

“hiiiiiiii nyau wewe mshenzi malaya mkubwa wee nipige tu hunijui ehee kama mimi ndio commando”…..

wakati analia na kuongea hivyo alipowaona wale vijana tu

akanyanyuka huku akisema.

“afadhali Sheby umekuja mwenzako nimepigwa”…..

Mmoja kati ya wale vijana akauliza

“nani kakupiga baby, niambie haraka nikamtoe utumbo”

“ni yule jamaa mgeni”

Sheby kusikia jamaa mgeni akauliza

“unataka kusema yule aliyempiga Cholo jana au sio huyo?”

“ndio yeye baby, yani kanipiga huku na hapa”……

Sheby akamtizama hizo sehemu alizopigwa mpenzi wake na kumpa pole kwa kumwambia

“pole sana baby sema nini angalia na watu wa kuwachokoza yule

Jamaa hafai kabisa,

asubuhi hii hii kakunikisha huko beach,

Cholo si kamtumia kikundi cha Nyonya mavi kwa urimi,

Kufika kule beach jamaa kawafinya wote sita, hivi ninavyoongea

Cholo anajiandaa kuukimbia mtaa,

sijui huyu jamaa Commando au jini maana watu sita walioshiba tena wana siraha kawafyeka fyuu”……

Wakati Sheby anaongea hivyo kikundi cha wapangaji wa nyumba ile wakawa wamejikusanya kusikiliza tu

Bulongo akajisemea

“kama mambo yenyewe ndio haya tujiandae kulipa kodi kulala saa moja”…..

Hafidhi akiwa kavurugwa akaingia kichochoro hiki na kutokea kile

Ghafla akaweza kumuona

Salma amebambanishwa ukutani akiliwa denda huku akishikwa shikwa maziwa yake mtoto wakati huo yuko

ndembendembe,

Hafidhi akasogea ile sehemu na kuuliza

“nyie mnafanya nini hapo?”

Salma akashtuka baada kugundua ni kaka yake akabaki kubabaika tu,

David akatema mate chini na kusema

“wee boya potea faster watu tujilie vyetu, kama chabo kapige kwa wazazi wako”…..

Hafidhi hakutaka kuongea sana akamshika mkono Salma na kumpiga kofi huku akimwambia nikukute nyumbani”

David akajifanya kujuwa eti amzuie wee

akachotwa zinga la mtama na kwenda chini.

David akaishia kusema

“mamaa kiuno changu wakati Salma akatoka mbio.

“sikia nikwambie kitu wewe bwege, siku zote usitake kumdharau mtu usiemjuwa kingine ukiulizwa swali jibu kama inavyotakiwa.

Sasa basi yule binti ni

Dada yangu ole wako nikukute nae nitakata shingo yako”

Hafidhi akachimba mkwala kisha huyoo akaondoka na kumuacha

David akisema dahaa”…..

Wakati Sheby akitoa maelezo kwa kusema

Hafidhi hafai hata kidogo

Ghafla kila mmoja akashtuka na kuitaji kukimbia baada Salma kupita pale uwani mbiombio,

“vipi mbona Salma yuko vile”…..Bulongo akauliza hivyo

Joyce akajibu

“wee umuoni analia kama ajapigwa zinga la mbao atakuwa kapigwa dole”

“wee Joyce acha matusi yako kidole unakijuwa au unasema tu”

“ndio nakijuwa si hiki ndio kidole au nini”

Joyce akaongea hivyo huku akimuonyeshea Bulongo kidole cha kati, wengi hupenda kukiita cha matusi

Bulongo akakasirika na kutaka kumvamia

Joyce kisa kamtukana

“Bulongo embu tulia kwanza wenzako tuko hapa kudiskasi jinsi ya kujiunga na Mchina mweusi wewe unaleta nyege zako

nitakutwanga ohoo”……

Sheby akiwa na hasira akaongea hivyo na

kumkunja Bulongo kidogo hali ikatulia

Hafidhi baada kuachana na David akawa anatafuta kibanda cha mama ntilie kama wanauza supu akanywe

akiwa anatizama huku na kule akasikia anaitwa

“wee kijana”

Akageuka kutizama je anaitwa yeye akamuona mama mmoja wa kikubwa

hivi kwa ishara ya mkono akaitwa. Basi akasogea mpaka pale kibarazani yule mama alikuwa akiuza vitumbua na chapati.

“Shikamoo mama yangu”

“marhabaa kijana vipi hujambo?”

“mimi sijambo tu nilikuwa naulizia sehemu hii hakuna sehemu yeyote wanapouza supu”

“sehemu ipo hapo kwa mbele kidogo sema nimekwita hapa nikwambie kitu hivi wewe ni mgeni ehee”…..

“Ndio mama yangu sema sina kamba mguuni”

yule mama akacheka na kusema

“ndio hauna kamba mguuni. Nimekwita hapa nikwambie

kitu kimoja mwanangu’

nilikuona jana kwa jinsi ukimpiga Cholo

kwa kifupi tu yule kijana wazazi wake ni wachawi wakubwa sana

kama usipofanya jambo watakupoteza.

Mimi nafahamu kila kitu kuhusu Cholo

usione mtu anajiamini kufanya mambo ya ajabu basi tambua kitu kimoja ana siri nzito ndani ya moyo wake”…..

Hafidhi akatabasamu na kusema

“wala usijali mama yangu kuhusu mimi kila kitu kitakuwa sawa wala usiohofie

Wacha mimi niwai kunywa supu si umesema kwa nyuma hapo”……

“ndio kwa nyuma ukipita kichochoro kile tu

Sasa mbona unaondoka hata kuniungisha vitumbua au chapati hutaki ehee”

Ikabidi Hafidhi anunuwe chapati kama tatu

Chenji akamwambia abaki nayo tu maana alitoa elfu tano

ndani ya kibanda kulikuwa na vijana kwa

wazee wakipata supu wengine chai

Hafidhi akaingia kila mmoja akashtuka

kama vile kaingia simba hata story walizokuwa wakipiga

zikanyamaza ghafla kama vile tanesco washafanya yao

Hafidhi akatafuta sehemu na kukaa.

Kuna binti kashombe shombe akaja

na kuuliza nikusaidie nini kaka yangu” kabla ya kujibu mwanaume akatamani zigo yani

Mtoto kajazia si mchezo hapo kifuani sasa”

Akaulizwa tena

“nakuuliza wewe kaka yangu nikusaidie nini?”

“Ohoo samahani sana mrembo niletee supu

na chapati nne”…

yani Hafidhi kadata mpaka kajisahau kama kaja na chapati.

Basi akaandaliwa na kuanza kunywa supu yake wakati wote macho yapo kwa binti,

“duhuu kumbe nimekuja na chapati kudadeki mawazo mengine mabaya sana”

yule binti akaitwa na kijana mmoja hivyo

“Mwajuma ehee”

“abee Musa niambie mpenzi”

Kusikia neno mpenzi Hafidhi akakunja ndita wivu ukamshika kama vile tayali amekuwa demu wake.

Basi

Mwajuma akatoka nnje kwenda kumsikiliza

Musa wakati

Hafidhi kakodoa macho tu

“vipi niambie kipenzi changu”

“unakosea kuniita kipenzi chako bwana umemuona yule jamaa aliyeingia sasa hivi?”

“ndio nimemuona kwani kafanyaje?”

“sikia nikwambie kitu yule jamaa ndio habari ya mtaa wa tatu ndio aliyemfumua

Cholo na Thabiti jana

na leo asubuhi

kakupiga kikundi cha

Nyonya mavi kwa urimi

kwa kifupi jamaa ni

Jinnias

anatisha kama njaa

sasa tufanye kitu nimeona kama kakupenda hivi.

Sasa wewe jilengeshe tupate shemeji

Mashine”……

“umejuwaje kama kanipenda?”

“si nimeona fanya hivyo sister dada binamu nitakutowa mshiko maana akiwa shemeji yetu

kuanzia

Mtaa wa kwanza hadi wa pili tutafunga ile”…….

Mtoto wa kike baada kuambiwa vile, kwa mwendo wa mapozi akarudi kibandani.

Tena kwa makusudi zaidi akiyatikisa makalio yake.

Hafidhi akabaki kutoa macho kama mjusi kabanwa na mlango,

Ndani ya kibanda kile wateja wengi walishaanza

kuondoka hatimae akabaki

Mzee wa nyapu na Mwajuma

“samahani Dada yangu supu ndio shilling ngapi?”

Hafidhi akauliza huku

akitowa wallet yake

“ayiii wee kaka yani umekunywa

supu yote

kisha unauliza bei je kama ukitajiwa pesa ambayo

hauna hapo itakuwaje?”

“si nitaacha smart phone yangu hii”….

“yani uache simu kisa supu mbona vituko”

“sio vituko si umesema kwa mfano

au”……

Basi bibiye akasogea na kuitaji kutoa vyombo

kitendo cha kuinama tu

Hafidhi akacheki kushoto na kulia baada kuona hakuna soo

Kwa kutumia mkono wake wa kushoto

akalishika tako la mtoto wakike

“mmmmm,,,,,hooooo,,,,wee kaka mbona mchokozi”…

Kwa sauti yenye kutia huruma

Mwajuma akaongea hivyo na kujikuta akimkalia Hafidhi mapajani

Kumbuka mtoto amepewa ishu,

“vipi unataka au?”

Mwajuma akauliza kwa macho ya aibu akimtizama

Mwanaume usoni

“ndio nataka hakika wewe ni binti mrembo sijawai kuona kama wewe katika dunia hii”…..

“Mmh wee kaka acha uwongo bwana hivi katika warembo wakiambiwa watoke mimi nitatoka kweli”

“ndio utatoka tena utashika number moja

Samahani unaitwa nani?”

“naitwa Mwajuma ukipenda niite Mwajey

sijui wewe waitwa nani?”

“mimi naitwa Hafidhi j ikram

Ukipenda Dhifiha j.

Ndani ya utamburisho mwanaume akiwa anaitomasa chuchu ya

Mwajuma na kumfanya atatalike kwa nyege.

sauti kama katoka usingizini vile

Mwajuma akatamka

“mmh tuingie mule basi”

Mwanaume hakutaka kuzubaa mtoto si kakubali mwenyewe.

basi akamshika na kuingia kwenye kichumba fulani kidogo hivi sijui ni

Store ile

kitendo cha kufika tu wakaanza kunyonyana denda

Assssssssss,,,,,,,ahaaaaaaaaaa,,,,,

Opsssssssss,,,,,,,,ohooooooo,,,,,,babiiiiii

Aaaaaaa,,,,,

Hafidhi akiwa kaivamia chuchu moja wapo na kuinyonya yani akafanya kama anaing’ata hivi

“haaa babi una Condomu?,,,

Mwajuma akaulizia condomu wakati huo

Hafidhi akajifanya kama ajasikia vile.

Ndio kwanza akakipekenyua kitumbua na kuingiza dudu lake”……

Ndani ya mtaa wa kwanza siku hiyo kulikuwa na kigodoro vijana wa mtaa huo

Wenye kujiamini kuliko mitaa yote

wakaanza kupanga mikakati ya kuweka ulinzi kila kona.

Yani wakataka kuhakikisha hakuna kukatiza hata N’zi hakika walijipanga vilivyo.

Kuna binti mmoja hivi kutoka mtaa huo

alikuwa ni rafiki kipenzi na

Salma basi akaongea na kaka yake.

“kaka mimi nataka kwenda kumfata rafiki yangu tuje kusheherekea wote”…..

“huyo rafiki yako anaitwa nani na anaishi wapi?”

Yani hiyo sauti tu inatisha

utasema mlio wa mgongo chura”

Binti akajibu japokuwa kashaanza kuingiwa na hofu

“anaitwa Salma anaishi kule mtaa wa tatu”

“ok! Sasa fanya kitu kimoja kabla hujaenda kule vaa ile T-shirt ya team

Kisha nenda yani kila mtu akiona lile

Chata tu atafahamu wewe nani”………

Binti akaingia ndani na kutoka akiwa katinga T-shirt moja matata kisha huyo akaondoka zake

“Sharifa wapi hiyo shogaangu?”

Kumbe yule binti anaitwa Sharifa basi akamjibu

“naingia hapo mtaa wa tatu kumcheki

Salma mitako”…..

“haya bwana jiangalie tu

Usije kufanywa asusa tu usifikilie kama hiyo

T-shirt itakulinda”

Sharifa hakutaka kuongea zaidi akaendelea na safari yake hatimae akaingia mtaa wa tatu

“oyaa cheki demu yule”

“Ebwanaee zinga la demu subiri nimfate”

“wee tuliza kitobo hiko embu angalia chata lile ni

Black sneak kama ujitaki kamguse”

ni moja kati ya vijana waliokuwa wakicheza

Draft pande hizo baada kumuona

Sharifa akikatiza mmoja kati yao akataka kumfata.

Baada kutambua ni binti kutoka mtaa wa kwanza

Ikabidi wawe wapole tu

Sharifa nae akatembea kifua mbele mpaka nyumbani kwa kina

Salma ile anafika tu akakutana na

Mzee wa nyapu sijui kule kwa muuza supu katoka saa ngapi.

Hafidhi kitendo cha kumuona

Sharifa tu akahisi mapigo yake ya moyo kwenda kasi

Sijui anatatizo gani yani asione kichaka

anataka kwenda haja.

Ndioo maana kwao Iringa kunaongoza kwa ukimwi

Sauti tamu na nyororo ikamshtua katika mawazo yake ya kishetani yani kama Shahrkhan akiona

demu mawazo

yana mpeleka mbaali.

“za sahizi kaka yangu”……

Hafidhi akashtuka na kuitikia

“ahaaa powa tu sijui hali yako”…..

“mi mzima nilikuwa namuulizia Salma sijui nimemkuta au?”

“ahaaa unamtaka Salma mitako”..

Sharifa akacheka hiko kicheko chake sasa

Hafidhi hoi mtoto akicheka ana

Mwanya hapana chezea

Salma nae akatoka nnje kitendo cha kumuona

Sharifa basi akaja kumkumbatia kwa furaha

“whao shost huyoo baada kupeana

Salamu wakapiga story mbili tatu,

Kisha

Sharifa akaaga anaondoka huku akimsisitia

Salma asikose kuja”…..

Wakati Sharifa anaondoka

Mwanaume akazunguka kwa nyuma na kumkimbilia,

Sharifa hatua si nyingi akamfikia na kumwita

“Sharifa”

Si kalisikia jina la binti akitajwa na binamu yake.

Kwanza bibiye akashtuka kuitwa jina lake

katika maeneo hayo,

akageuka kumtizama anaemwita na kusema

“haaa Kumbe wewe yani umenifata hadi huku

haya niambie unataka nini?

Siku zote Hafidhi ni mtu wa kupenda madsmu na tabia yake ishaanza kujionesha kipindi anaingia tu

kwenye nyumba ya Ankor wake.

Kama tulivyo muona akiwatizama Zulfa na Joyce pale ukumbini

japokuwa ni mkali wa mapigo

huyu jamaa ni kama yule Jean claud Vann damme

Au wale wazee wa Spartacus, yani ni balaa tupu

Baada kuulizwa nikusaidie nini,

Mwanaume akasema

“Sharifa kuna kitu kimoja naitaji kuongea nawe kama hutojali, nikusindikize mpaka home

kwenu huku tukiongea

mawili matatu”…….

Sharifa akaguna

“Mmh!”

“mbona waguna vipi kuna tatizo au?”

Ikabidi Sharifa amwambie ukweli

“Sikia nikwambie kitu kaka yangu mimi unionavyo si msichana wa kawaida kabisa kwa kifupi nakuomba urudi nyumbani

achana na mimi”

Hafidhi kuonyesha katokea kumpenda akamshika kiuno na kumvutia kalibu yake.

Sharifa akajitahidi kujitoa kwa kusema

“wee kaka niache mbona usikii nitapiga kelele unanibaka ohoo”…..

Hafidhi hakujali hilo akamtizama

mtoto usoni kuna kitu kama kilitokea kutoka machoni kwa

Hafidhi na kumuingia

Sharifa basi mtoto akalegea na kuacha kichwa wazi ni nafasi hiyo

Mwanaume akaitumia kumnyonya denda

Sharifa nae akaonyesha ushilikiano kwa kujilaza kifuani kwa

Hafidhi wakati wakiwa wamekumbatiana

Si akapita

Cholo akiwa kabeba begi lake bila shaka anakimbia mtaa wa tatu.

Hafidhi akamuona na kumwita

“oyaa wee jamaa vipi”…..

Cholo kukimbia alitaka tatizo hatua alizokuwa si mbali na alipo Hafidhi,

Ikabidi asimame tu na kujiandaa na chochote kitakacho tokea kwa wakati huo.

“Sharifa unaweza kwenda nyumbani nitakucheki baadae”

Hafidhi akamwambia hivyo

bibiye

Sharifa macho yakiwa mekundu bila shaka wadudu wa nyege washaanza kumtambaa mwilini akaitikia

“sawa my dear”

yani kirahisi tu jamaa kapata demu.

Basi akamsogelea Cholo pale alipo na kumuuliza kwa sauti ya chini kidogo

“vipi kaka mbona una mabegi

unaenda wapi tena?”

Cholo hakujuwa ajibu nini

Zaidi ya kubaki kubabaika yani kama ungefanikiwa kuwaona

kwa jinsi walivyo

Cholo ni zinga la jitu mbavu nene wakati

Hafidhi ana mwili wa kawaida uliojengeka kimazoezi.

Sasa Cholo kawa mdogo mbele ya jamaa

“mbona haunijibu ok!

tusipoteze muda nafahamu fika unanikimbia mimi subiri nikwambie

kitu kimoja siku zote dawa ya tatizo si kulikimbia.

Suruhisho pekee ni kutafuta

ni jinsi

gani utalitatua tatizo

hilo maana

ukilikimbia utaacha madhara kwa watu wengine wenye kutaka kuwa

na tabia kama yako.

Nikwambie kitu

mimi sina bifu nawe

kabisa na

kilichotokea baina yetu mimi na wewe ni

kama heshima tu nakuomba usiondoke tuungane tuwe kitu kimoja tuweze kuulinda mtaa wa tatu”…….

Hafidhi akazungumza kwa hisia kubwa sana,

Cholo akatikisa kichwa kuashilia ni kweli akiongeacho.

Wakapeana mikono kutakiana

Amani

Cholo akasema

“shukrani sana ndugu yangu hakika nilikuwa mkosaji sana kwa kufanya vitendo vya kishenzi

kwa wakazi wa mtaa huu sikujali chochote kile

Niliiba nikabaka nikauwa

yote ndani ya wakazi wa hapahapa

wakija wababe kutoka mtaa wa kwanza au wapili tunakuwa wanyonge”…..

Hafidhi akauliza

“Inamaana mtaa wa kwanza ni zaidi ya huu mtaa wetu?”

“ndio kaka sisi tupo doro kabisa japokuwa ubabe wetu ni wenyewe kwa wenyewe

Kuna kipindi vijana wa kiume walibakwa mbele ya hadhara tukashindwa kufanya chochote kile.

Yani tukajifungia kwenye majumba yetu tukichungulia madirishani,

hakika ulikuwa unyama wa aina yake

kubakwa mbele ya mkeo au demu wako,

Kuna vijana wawili kukwepa aibu ile wakajinyonga”…..

Cholo machozi yakamtoka maana inauma sana hii

“usijali kaka yangu mimi nipo twenzetu nyumbani

Basi

Hafidhi akabeba bage moja

Cholo lingine wakaongozana kurudi kwa kina Cholo njia nzima wakipiga story za hapa na pale’

“Ebwanaee

Cholo kanaswa nini mbona yupo na yule mchina mweusi?”

“Duhuu majanga nilimwambia mimi pitia huku boda akabisha, sasa leo inaitwa ukikimbia nchare ukisimama nchare.

Uchimung’unye uchiteme wala uchimeze

sijui itakuwaje kwa jamaa yetu Cholo”…….

ni wale vijana waliokuwa wakicheza draft kwenye

Camp lao.

“sijuI mwanaume ndio anaenda kuliwa mzigo au vipi?”

“Embu acheni uboya wale washapatana na kuwa kitu kimoja”

mmoja kati yao akasema hivyo na kuwaacha wenzie midomo wazi,

“embu rudia tena unasemaje

Issa”………

“Kwani hujasikia au vipi kama masikio yako yapo matakoni bong’oa usikie vizuri bwege wee”

Kitendo cha Issa kumwambia mwenzie vile kikamuuzi yule jamaa kuonyesha kachukia

akalinyanyua

Draft juu na kumpiga nalo kichwani.

Draft lenyewe kwa juu liliwekwa kioo

Issa akapiga kelele za nakufaaa!!!

Kioo kilimchana kichwani na vile kanyowa para.

Shida tupu

yani kitu kidogo tu.

Wanaumizana ikabidi

Issa awahishwe hospitali,

Kila aliyemuona

Hafidhi na

Cholo wakikatiza pande hizo wakabaki na maswali ya kujiuliza

mpaka wanafika nyumbani

kwa kina Cholo kuna mama mmoja akaja mbio

na kumpigia magoti

Hafidhi huku

akisema

“tafadhali nakuomba baba msamehe mwenzio,

Msamehe tu,

Hafidhi akabaki kusikitika tu maana hakuna kitu kibaya kama kupigiwa

magoti na mzazi wako au mzazi wa mwenzako

ni laana ilioje

leo hii si ajabu mama au baba kumpigia magoti mwanae.

Kisa kamkosea siku zote mzazi hata akukosee vipi muombe msamaha wewe sio yeye.

Hafidhi akamnyanyua yule mama na kumwambia

“Mama inuka hutakiwi kufanya hivyo mimi na

Cholo tushakuwa kitu

kimoja sasa”……

yule mama hakuamini na kumuuliza

Cholo

“Eti ni kweli mwanangu”

“ndio mama niko pamoja nae.

Ghafla Hafidhi macho yake yakatua kwa binti mmoja hivi alikuwa anatoka chooni kuoga yani kajifunga kanga moko tu

Ndani hakuvaa chochote kutokana na ile kanga kushikana na maji

Basi mtoto akipiga hatua moja

kitu kinatingishika kama vile mpiga manyanga anavyo yatikisa manyanga yake,

Sijui kwanini dada zetu wakitoka kuoga chupi wanaweka kwenye kopo

na kujifunga kanga tu.

Si kutegana huku

Mtoto akaanza kusugua

Gaga”…..

Hafidhi akashtuka baada kuguswa begani na

Cholo kwa kumwambia

“Master karibu ndani”

Hafidhi akacheka kidogo na kusema

“ahaha mimi si master bwana unanipaisha tu,

Cholo akaita

“wee Latifa naona fanya haraka hapo uje kuandaa chakula”….

yule binti akaitikia huku akimalizia kusugua mguu wa kushoto

“Sawa kaka naona umerudi humuogopi tena yule jamaa ehee?”

Binafsi

Latifa tokea atoke chooni hakuweza kumuona

Hafidhi maana alimpa mgongo na kumfanya mwanaume afaidi kucheki zigo na kula kwa

macho.

Mwanaume akaingia ndani na kuanza kupanga mikakati kwanza kabisa ni kuwakusanya vijana wote wa mtaa huu na kuwaunganisha wawe kitu kimoja.

Baada kujiunga na kuwa kitu kimoja

Itabidi tuwape mafunzo ya

Kutosha kuweza kupambana na wajinga wote.

Kingine tujengeane heshima sisi kwa sisi tuwe kitu kimoja.

Yani

Tupendane

Tushikamane

Tusiachane

Tusitengane tukifanya hivyo hakika tutakuwa na umoja wa nguvu, kingine tusisahau masnich yani wasaliti.

Inawezekana hiyo mitaa wakatuma watu wao kuja kutupeleleza nini tunafanya sasa basi tuwe makini”….

Yani Hafidhi akatoa maelekezo ya maana mpaka

Cholo akajiuliza

“huyu jamaa ni Commando nini mbona ana mipango hatari kama vile yupo

Vitani”

Hafidhi akatoka kidogo kwenda chooni

Latifa alukuwa yupo jikoni akipika si akamuona

Hafidhi anamtambua vyema ni adui wa kaka yake

Akapaza sauti kusema

“kakaa….Cholo kimbiaa”…..

Huku akienda ndani

Cholo nae akatoka ndani mbio kufika mlangoni wakapigana vikumbo na Dada yake.

Latifa akadondoka chini sema hakujali kama kaumia au laa akajiinua haraka kutaka kuingia ndani.

Cholo akamshika na kumuuliza

“wee Latifa nini kwani?”

Huku akibabaika akajibu

“nimemuona yule jamaa kaingia chooni”…

Hafidhi nae akatoka chooni na kuuliza vipi kuna nini?”

Chollo akabaki kusikitika na kusema

“dahaa wee acha tu ndugu huyu Dada yangu ana Mashetani”

Hafidhi akasogea na kumshika

Latifa kichwa huku akimkazia macho kisha akamwambia

“binti tulia kuanzia sasa nipo pamoja nanyi

Latifa presha ikashuka”…..

Salma baada kutimia saa kumi na mbili jioni mtoto wa kike akajiandaa kutoka

Kama walivyo aihidiana yeye na

Sharifa ndani ya saa moja usiku mtoto wakike alikuwa kwenye mduara, akiyakata mauno

“oyaa cheki mitako ile kudadeki nimeitamani kinoma yani”…..

“sio peke yako hata mimi kama vipi tumchukuwe tukamfanye asusa”.

“si binti kutoka mitaa hii au vipi”

“hapana katokea mtaa wa tatu kwa maboya tu”

Kitendo bila kuchelewa vijana wakaingia kati na kumbeba Salma juu kwa juu na kusepa nae gizani

Salma akajitahidi

kupiga kelele kuomba msaada “jamanii nakufaa nisaidieni”…

Hakuna aliyeshtuka zaidi ya rafiki yake kipenzi

Sharifa akatoka mbio kuwafata na kuwaomba wamuache mtoto wawatu.

“jamani Magoma tafadhali nawaomba muacheni huyo ni rafiki yangu”….

Sharifa aluongea hivyo huku akilia

“sikia nikwambie kitu Dada,

huyu binti ndio kipoozeo chetu ndani ya usiku huu.

Wewe nenda kaendelee kucheza mziki tukimaliza kazi yetu tutamrudisha,

Potea haraka sana tusije tukakujumuisha na wewe”……

Sharifa hakuwa na jinsi zaidi ya kukimbia mbio na kumuacha

Salma akilia wakati huo washamchani dera lake akabaki na Tait tu,

Sharifa akaenda kuomba msaada kwa kaka yake.

“kaka”….

Sharifa akaita kwa sauti

“mbona hivyo sister nini tatizo”

“Salmaa!!!

yani kwa jinsi alivyochoka akaishia kusema Salma,

“kafanyaje huyo Salma sema basi haraka”

“kina Magoma wamemchukuwa na kwenda nae kwenye mjumba kule”….

Ajabu jamaa akacheka kumbe nae ni walewale.

Akasema

“Sharifa Dada yangu wee nenda kacheze mziki hakuna kitu kibaya kitakacho

Mtokea rafiki yako.

Kaenda kuwa starehesha tu”

Sharifa akaona kesi ya mbuzi kaleta kwa kondoo.

Akatoka mbio huku akisema

“hapana kaka”…..

Binafsi alidata hakuweza kufahamu ni nani atakaye msaidia rafiki yake

Katika kukimbia akapita kwenye ule mjumba na kusikia jinsi rafiki yake akilia,

Huku washikaji wakisema mtoto mtamu, ingiza mbele niingize nyuma

tufanye kwa pamoja.

Sharifa akili za kutaka kwenda Mtaa wa tatu kutoa taarifa hakuwa nazo

Maana alifahamu fika watu wote wanauwogopa huu mtaa,

Akili ikamjia wacha akajalibu kutoa taarifa,

akatoka mbiombio na kufika nyumbani kwa kina

Salma na kuwakuta kina Beatrice Zay

Bulongo na wengineo

Hafidhi hakuwepo sijui yuko wapi.

Baada kufika hapo akiwa analia

Akasema

“jamani msaada please Salma anabakwa kulee”

hakuna hata mmoja aliyeshituka kwa kutaka kwenda kutoa msaada.

Ndio kwanza kila mtu akaingia chumbani kwake

chezea mtaa wa kwanza wewe

Sharifa akachoka kabisa na kukaa chini huku akilia.

Ghafla akashtuka baada kuguswa begani

Akainua sura yake kumtizama aliyemgusa ni

Hafidhi kwa sauti ya upole akamuuliza

“nini tatizo binti mbona usiku huu upo hapa

Unalia nini?”

Sharifa akajiuliza hata huyu nikimwambia atatoa msaada gani.

Akajitoa mikononi mwa Hafidhi na kuitaji kuondoka

Hafidhi nae hakuwa na jinsi akamuacha aende zake,

Akaingia ndani kufika ukumbini tu

Beatrice akatoka chumbani kwake na kumwita,

“Hafidhi kaka”….

Akageuka na kuitikia

“naamu”

“wakati unaingia humu ndani hujakutana na binti hapo nnje?”

“nimemuona si yule rafiki yake

Salma nimemkuta analia nikamuuliza analilia nini hakunijibu”

“khaa!!! yani ajakujibu chochote, basi kaja hapa na kusema

Salma anabakwa huko”

“What?????

Hafidhi kwa speed kama kiberenge vile akatoka mbio kumkimbilia

Sharifa kwa bahati nzuri akamkuta ajafika mbali akapaza sauti kumwita

“Sharifa!!!….yani sauti yake ile kitu kama upepo hivi ukavuma kuonyesha ana hasira si kidogo

“niambie Salma yuko wapi?”

Sharifa akashindwa kujibu akabaki kimya

Akashtukia akipigwa kibao kimoja tu cha kerbu

yani hakutegemea kupigwa hata siku moja.

“nakuuliza tena Salma yuko wapi”…

Sharifa japokuwa mdomo ulikuwa mzito kujibu na kile kibao alichopigwa

ikawa kama kameza zege

“yuuuu—-po….kulee”

Hafidhi akamshika mkono na kumwambia twende unipeleke’

Safari ya kwenda huko ikaanza.

Baada kufika kwenye maeneo hayo

Hafidhi kwa masikio yake akasikia jinsi Dada binamu anavyolia.

Akamuachia

Sharifa na kuzama kwenye mjumba huo

kumbe washikaji washajilia vyao na kusepa

Salma akabaki kajikunyata tu analia dahaa”…..

Hafidhi akamsogelea na kumshika

Salma akapiga kelele

“niachenii si mshanibaka kama vipi niuweni kabisa unyama gani mmeniingilia hadi kinyume na maumbile”……

Mwanaume hayo maumivu aliyokuwa nayo moyoni sijui nisemeje yani macho yakawa mekundu kama

Simba, na kumtuliza Dada yake kwa kumwambia

“Salma tulia ni mimi kaka yako nisamehe kwa kuchelewa kufika.

Akamgeukia

Sharifa na kumuuliza

“wee Malaya wako wapi hao kenge blue?”

tukumbuke huyu demu anamtaka kwa hasira zake kampiga kofi kule na sasa hivi anamwita Malaya

Akiwa na hasira

anakuwa yupo Sirius hataki mchezo macho yake tu

yakamtisha

Sharifa na kujibu

“wapo kule kwenye kigodoro”

“twende unipeleke

Sharifa akaongoza njia

Hafidhi akavua jacket lake akabaki na vest kisha akamvisha Salma

huku kigodoro kimenoga balaa

“ebwaee demu mtamu yule

Kitu mnato usipime.

“Kumbe mwanangu mwenyewe umeona ehee”….yani niliingiza kidole kwanza kitu cha motoo”

Vijana wale wenye tabia za kishenzi wakaendelea kupiga story zao

za kijinga tu.

Huku wakivuta misokoto yao ya bange.

Wakati huo mwanaume ndio anaingia.

Kitendo cha kuonyeshwa tu wale pale.

Hafidhi akutaka kuuliza cha nini wala maini

Akaruka kama nyani na kwenda kuachia mateke matatu double,

si

Magoma wala Jimmy wote wakaenda chini, kitendo cha kuinuka kuuliza vipi ngumi za faster faster zikatua usoni mwao.

Ikawa sasa disco kaingia mmasai

Hafidhi alikuwa anapiga yeyote yule

Magoma akapigwa teke moja na kwenda kudondokea

Speaker za mziki.

“oyaa huyu Billy blanks katokea wapi mbona anapiga hivi”….

Vijana wakaanza kuulizana

masikini ya Mungu

kijana Jimmy kilichomkuta balaa

Yani alishikwa na Hafidhi na kubebwa juu kwa pembeni kidogo kulikuwa na nondo

Imechongoka hivi

Hafidhi kama

Shetani akaenda kumkalisha Jimmy kwenye ile nondo.

Yani akapiga kelele moja tu

“nakufaa!!!

Kisha akawa kimya nondo imezama sehemu ya haja kubwa si balaa hili

Sijui kama mzima

Nahata akiwa mzima sijui kama ataweza kunya tena.

kimbembe kikaja kwa

Magoma kujifanya anajuwa kujibu mapigo

akarusha ngumi mbili tatu,

Mwanaume akakwepa na kumshika kichwa

akamzungusha kama mpira na kwenda kumbamiza kwenye mashine ya Dj

mtaa wa kwanza pakawa hapatoshi

Shukhuri ilikuwa nzito

wamechokoza chuma cha pua,

Wakajikusanya na kumzunguka

Hafidhi akawekwa mtu kati Kaka yake

Sharifa akapiga makofi ya pongezi na kusema

“vizuri sana kijana kwa kuja kututetemesha

Wanaume wa mtaa huu lakini tambua kitu kimoja

Huwezi kutoka mzima

Lazima ufe”…….

Wakati anaongea hivyo mwenzake hapendi kuongea sana yeye yuko kivitendo zaidi

Akazidi kutembeza kichapo

Kaka yake Sharifa akashikwa mkono

Kitu kikasikika kohoo

Mwanaume kavunja mkono

wakati huo

Sharifa akabaki kujiuliza na kushangaa tu kumbe huyu kaka ni hatari hivi.

Salma ndio kwanza akaanza kushangilia na kukatika viuno yani maumivu ya kubakwa ameshasahau

Siku zote msichana wa

Kihindi akibakwa kukwepa aibu anajiuwa.

Msichana wa kibongo akibakwa ndio kwanza anadunda mtaani

kuna msemo wao wenyewe

Kwani kaondoka nacho, si kakiacha palepale

tena atadunda mtaani kama hakubakwa vile

Big up madada wa bongo.

Salma akazidi kushangilia

“wewe ndio kaka wapige hao

Piga”…… .

ndani ya nusu saa hakuna aliyesimama zaidi ya

Mwanaume wa shoka siku zote kama ipo basi ipo tu.

Hafidhi akasema

“siku zote number moja haiwezi kuwa kubwa zaidi ya tatu japokuwa hiyo number moja ni yaushindi

Lakini si kwa makenge kama nyie

sasa basi jipangeni upya nitarudi tena

Kisha

Akamshika mkono

Sharifa na kutamka twenzetu mpenzi”…..

Unafikili Sharifa akatae

wapi nae huyoo akaondoka nae kufika sehemu wakakutana na kikundi cha vijana wakiongozwa na

Cholo nao wakija kutoa

Msaada

Hafidhi akacheka na kusema

“Nyie bwana mmekuwa kama

Askari wa kibongo majambazi washafanya yao na kuondoka nyie ndio mnakuja

Hahahahaha

Basi wote wakacheka

Cholo akasema

“Tusamehe bwana mkubwa tumechelewa kupewa taarifa”…..

“Duhuu hakika wee jamaa ni jinnias yani umewakamua wote ukiwa peke yako”….

Bulongo akauliza hivyo kwa mshangao.

“mbona kazi ndogo tu

nimefunika nikafunua

njia nzima ikawa vicheko tu,

Mpaka wanafika

kwenye makazi yao,

Salma akaenda kuoga yani yuko fiti kabisa

japokuwa kabakwa na wanaume watano.

Siku zote wazazi wa Salma sio watu wa kushinda nyumbani

Baba akiwa ni Daktari mama nae ni DaktarI pia wote wapo katika hospitali moja iliyopo

Maeneo ya Msasani jijini

Dar es salaam,

mara nyingi nyumba inatawaliwa na wapangaji.

“Hafidhi mpenzi tokea siku ile ndio hautaki tena”…

Zulfa alimuuliza

Hafidhi wakiwa wamekaa uwani wakipiga story

Mwanaume hakujibu kitu akamtekenya na kumbeba kwenda nae chumbani.

“kubabeki sikubari kila siku anapewa yeye tu

mbona mimi sipewi

au nina kasoro

Joyce akachukia

baada kuona shogaake

Zulfa anaenda kupewa kitu kitamu.

Beatrice akacheka na kusema

“hahahaha utasubili sana

mwaka huu”…..yani mpaka upate wenzako tushamanua mara ishillini kidogo

huyoo,

Joyce akachukia kuambiwa vile na kuuliza

“wewe malaya unasemaje?”

“kwani wewe umesikiaje kwanza malaya wazazi wako ndio maana baba yako ni shoga”……

Beatrice vs Joyce siku wakiamua kuchambana inakuwa balaa tupu yote sababu ya kulilia penzi la

Hafidhi

“wee ushawai kumpanulia baba yangu akashindwa kuchomeka mpaka umwite shoga muone kwanza

Miguu imeenda upande utasema yote ya kushoto.

Pua kama mpuliza moto kwenye sufuria ya

Gongo”……

“Eti miguu imeenda upande kwa taarifa yako

Matege yangu ni style tosha ya kupanua mwanaume apati shida kunipanua nikikaa tu kitu hiko.

Sio wewe miguu kama fito

Bwege wewe”……

“Ana ugonjwa wa kutetemekaaaaaaa????

ana wadudu mwilini wananyevuanyevua????

Tucheze disco dancer disco dancer

Wahuni disco dancer disco dancer????

Zay akaingia kati na kuanza kuimba huku akikatika viuno

na kujitia vidole

Joyce na Beatrice

wakaanza kucheka kama chizi kaingilia ugomvi wao

Zay akanyamaza kuimba na kuwaambia

“Siku zote huu mchezo

hauhitaji hasira sasa tupo kwenye mchezo

mimi mwenyewe nataka kusuguliwa na

Hafidhi na siku akiingia tu hapa kifuani

kwangu vikaragosi

vyote atawasahau nitampa kitu kutoka tanga kama mnasema sijui

Mapenzi tanga yalikuwa zamani

sasa hivi imebaki

zilipendwa mtaona achomoki jino moja

Tena nitampa kotekote

Hahahahaha nyie gombaneni tafunaneni

piganeni mwenzenu natulia kama Van der sar

Ukija tu naudaka kisha nauficha kwapani”….

Zay baada kuongea hivyo akaondoka zake

Huku akiendelea kuimba na kucheza”……

Tukija chumbani sasa

hali ilikuwa tete.

Hafidhi

aliupeleka mdomo wake kwa bibiye ambapo ulipokeleka na ulimi mtamu wa Zulfa, ulionyesha kuwa na hamu ya kunyonya denda. Wakaanza kunyonyana ndimi zao,

nafasi hiyo kwa Hafidhi (A.K.A)

Mzee wa nyapu

aliutumia vizuri kwani wakiwa wanaendelea na kunyonyana ndimi zao.

Aliupitisha mkono wake na kukiandaa kidole chake mpaka kwenye chuchu za Zulfa zilizojitokeza kwenye blauzi yake ya kulalia akaanza

kuziminya na vidole hasa ile ncha ya chuchu. Mmmm,,,, Zulfa aliguna huku mwili wake ukisisimka kwa kuguswa chuchu zake. Kumbe naye sehemu hiyo ukicheza nayo vizuri anaweza akamwaga hata mara mbili kwa mfululizo.

Basi kwa kutumia mikono yake iliyokuwa kama ina shoti kwenye mwili wa Zulfa ikaanza akamlaza kitandani na kumpandia kwa juu. Akamvua blauzi ambapo ndani yake hakuvaa kitu.

Akazifuata chuchu za Zulfa ambaye kabla hata ulimi haujazifikia chuchu hizo akawa amefumba macho huku akitoa miguno ya kimahaba,,,mmmh

,,,aaaaah,,,aaaah,,,ooooh,,,,alilalamika Bibiye huku miguu yake akiirusharusha kitandani Hafidhi hakuacha alizizdi kuzinyonya chuchu kwa ulimi wake ambapo Zulfa alikuwa akikibinua kifua chake kuufata ulimi wa Mkali wa mapigo kumbe hadi kitandani ni hatari tupu,,,ooooo,,,ooooh,,,aaaaah,,,,alizidi kulalamika Zulfa

Zulfa akiwa anagugumia kwa raha.

Hafidhi

akaona hiyo aitoshi wakati ananyonya chuchu aliushusha mkono wake na kuuwingiza ndani ya nguo ya ndani, mpaka kwenye kitumbua,kisha akaanza kuingiza kile kidole cha matusi huku akihakikisha kinaingia na kutoka kwa kuisugua ile sehemu yenye maraha. Zulfa alizidi kupagawa kwa utamu aliousikia,,,aaaaah,,aaaaah,,,

,mamaaaa,,,,,nakufaaaaaa,,,,,n

akupendaaaaa mchinaaaaa,,,weweeeeee,mume wanguuuuu,,,,alizidi kupiga kelele za utamu mpaka akamwaga,,,,,ambapo Hafidhi alijitupa pembeni na kujilaza chali,,,

hazikupita dakika tano,,,Zulfa aliamka huku akiwa kama alivyozaliwa,,,akaja juu ya Mwanaume ambaye alikuwa amesimamisha mtalimbo wake uliotuna ndani ya bukta yake,,akamvua boxer kisha akambakiza na Vesti,,,akajipanua mapaja na kuanza kujiingiza Dudu mpaka lote likazama.

Aaaaah,,,ooooh,,,zilikuwa ni kelele za wote wakifurahia tendo hilo,,,,

Baada ya kuona utendaji kazi wa Zulfa akiwa juu haumridhishi.

Alichokifanya Hafidhi alimgeuza bibiye akawa chini yeye juu,,akaushika mguu mmoja na kuunyanyua juu kisha akawa anapampu,,,,aaaah,,,aaaah,,,aa

aaah,,,oooooh,,,alilalamika Zulfa kwa nguvu huku akizungusha kiuno,,,aliende

lea kupampu mpaka akamwaga,,,,alipomwaga tu,,,akataka aunganishe na mzunguko wa pili,,

Ndani ya usiku huo ilikuwa ni mwendo wa biringe biringe bayoyo

tunamuomba Dada Zulfa tumuoni maringo yake bingilibingili mpaka chini,

Wakati mtaa wa tatu wakifurahi

mtaa wa kwanza kulikuwa na vilio”…..

Kesho yake Asubuhi na

mapema Hafidhi akatoka kwenda mazoezini kama kawaida yake,

akafanya mazoezi ya hapa na

pale wakati anarudi akasikia anaitwa jina lake

“wee Hafidhi j Ikram

Ikabidi ageuke kwa kumtizama anaemwita

akashangaa kumuona bibi mmoja kikongwe saana.

Akajiuliza huyu bibi kalijuwaje jina langu yani hadi la Baba atakuwa nani huyu”…..

Wakati anajiuliza hivyo tayari alikuwa kamfikia yule bibi na kumuamkia

“shikamoo bibi”

Nae akaitikia

“marhabaa mjukuu wangu naona hujambo baba”…

“mi sijambo hofu kwako tu”

Basi Hafidhi akakalibishwa ndani na kufikia kukaa kwenye mkeka chakavu

Ndipo bibi yule akaanza kusema

“nafahamu ni jinsi gani umeshangaa kwa Mimi kukuita jina lako.

Kwa kifupi tu mjukuu wangu

mimi nakufahamu vyema”

wakati yule bibi

anaongea hivyo

Hafidhi akabaki kujiuliza maswali ndani ya kichwa chake asiweze kupata

jibu akamkatisha bibi na kumuuliza

“wewe ni nani mpaka unalifahamu jina langu?”

“mimi ni bibi yako mzaa baba yako kwa upande mwingine”

“unamaanisha nini kusema upande mwingine.

Mbona bibi yangu mzaa baba ameshakufa tokea nikiwa na umri wa miaka saba tu”……

“sikia nikwambie kitu

Hafidhi siku zote kitu usichokijuwa ni sawa na usiku wa giza, naomba utambuwe kitu kimoja ndani ya dunia hii wewe una

Baba wawili

mmoja ni binaadamu mwingine ni Jinni”

ITAENDELEA

Mtaa wa Tatu Sehemu ya pili

Isikupite Hii: Dalili za Kuonyesha Mwanamke Anataka Umpeleke Chumbani

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment