SIMULIZI Balaa La Mchungaji Episode 03
CHOMBEZO

Ep 03: Balaa La Mchungaji

BALAA LA MCHUNGAJI FULL EPISODE
SIMULIZI Balaa La Mchungaji Episode 03

IMEANDIKWA NA: UNKOWN

*********************************************************************************

Chombezo : Balaa La Mchungaji

Sehemu Ya Tatu (3)

” Kwanini Halima adanganye ile damu ya bridi wakati sio ya bridi? Kuna nini anaficha?” Alijiuliza maswali . Hakuondoka,alibaki mlangoni kwa nje.

” Shem twende” Chale alimuita.

” Aaah hapana shem,siwezi kuondoka,Shoga yangu anamatatizo ni lazima nimsaidie kwanza” Aliongea mama mchungaji.

” Sasa utamsaidiaje wakati amesema tuondoke?” Aliuliza chale.

” Hasira ndio zilizomfanya atufukuze,ila sio busara kuondoka, nakuomba na wewe usiondoke ,tumsaidie” Aliongea mama mchungaji. Chale alikubaliana na maneno yale,alirudi.

” Shoga yako tangu nianze kuishi naye sijawahi kumuona akiwa kama alivyo leo.Sijui anatatizo gani?” Aliongea Chale

Mama mchungaji hakumjibu alimtazama bila kusema lolote. Kichwa chake kiliwaza mengi. Wivu pia ulimshika. Gafla,ujumbe uliingia kwenye simu ya mumewe aliyoishika mkononi.

” Tniiii tniiiiii tniiiiiii” Sauti ya ujumbe ilisikika.

Aliufungua ujumbe ili ausome. Alikutana na PIN,ilibidi aweke PIN namba ndipo aweze kuusoma.

” Huyu mwanaume sio mwaminifu kabisa,anawekaje PIN kwenye simu?” Alijiuliza.

Alikisia PIN,Aliingiza mwaka wa kuzaliwa mchungaji ,iligoma,haikufunguka.Aliugeuza mwaka na kuingiza tena,ilikataa pia.

” Mmmmh namba ya PIN ni ipi?” Alijiuliza tena. Alibuni tena,aliingiza namba moja mpaka nne,haikufunguka.

Alifikiria kwa dakika kadhaa ,aliingiza mwaka wake wa kuzaliwa,ikafungika. Haraka akaingia kwenye sms,akasoma ujumbe uliongia.

” Habari mchungaji!, mimi mama sele,nina shida na huduma yako,kama hutojali naomba tukutane sehemu” Ulisomeka ujumbe.

” Mmmmh” Aliguna mama mchungaji. Aliutazama ule ujumbe hakupata majibu.Kichwani alijiuliza mengi.

” Huduma gani hii ya kukutana sehemu?, kama anataka huduma si aje kanisani?” Alijiuliza Moyoni. Akiwa anawaza hayo alishikwa bega na Chale.

” Shem ngoja mimi niingie ndani nimuangalie rafiki yako,uenda akawa katulia sasa” Aliongea  huku kasimama.

………

Chumbani kwa Halima,mchungaji alikuwa uvunguni,aliyasikia yote ya barazani ,Hofu ilimshika na alitetemeka kwa woga.

Aliwaza mengi.

” Hivi mama mchungaji akinifumania hapa si ndio basi,ndoa yangu itakuwa imekufa. Mungu nisaidie lisitokee hilo,nampenda sana,sipo tayari kuachana naye” Aliomba kimya kimya mchungaji.

Akiwa anaomba alisikia mlango wa chumba ukifunguliwa.Alitulia tuli.

Halima aliinama .

” Toka haraka,mkeo kaondoka” Aliongea

” Kweli?” Aliuliza mchungaji.

” Ndio ni kweli” 

“_Asante ” Alijibu mchungaji huku akijivuta kutoka uvunguni.

Akiwa anakaribia kutoka mlango wa chumbani ulisukumwa .

Balaa la mchungaji- 10

” Eeeeeh!” Alishtuka mchungaji. Haraka akarudi uvunguni .

Mlango ulisukumwa wote ,aliingia chale.

” Unajua mpaka sasa sijakuelewa mke wangu ,unatatizo gani? ” Aliuliza chale.

” Hata mwenyewe sijielewi” Alijibu Halima, woga ulimwingia,alihisi kufumaniwa.

” Tangu tufahamiane sijawahi kuona hata siku moja ukimjibu vibaya shoga yako. Leo nimeshuhudia kwa macho yangu. Kuna nini?” Aliuliza tena chale.

” Mmmmh yaani hata mwenyewe sijielewi,sifahamu ilikuwaje,labda kwasababu ya bridi,unajua nikiwa na bridi uwa nakuwa na hasira sana.”

” Hivi ni kweli unabridi? Mbona ulimaliza juzi tu”

” Ndio nilimaliza juzi,ila imeanza upya ,hata sielewi kwanini.”

” Hili litakuwa tatizo,basi yatupasa kwenda hospitali .”

” Sawa”

” Twende saizi,haina haja ya kupoteza muda” Aliongea chale.

” Sawa basi kanivutie maji nje” Aliongea Halima,chale alisimama kwenda nje. Akiwa nje alimkuta mama mchungaji akiwa kasimama maeneo ya mlangoni. Akili yake haikuwa sawa.

” shem inabidi nimuwaishe hospital Halima,hali yake sio nzuri kabisa” Aliongea Chale.

” Sawa,kwahiyo ile damu umethibitisha ni bridi?”

” Ndio ni bridi”

” Ok sawa,basi mimi nawahi nyumbani,inawezekana mchungaji tulipishana,ngoja nimuwahi nyumbani” Aliongea mama mchungaji. Alipiga hatua kuondoka.

” Sawa shem,baadae ” Alijibu Chale.

” Mama mchungaji anawivu sana, yaaani hamuamini kabisa mchungaji, sasa sijui alidhani anatembea na mke wangu.” Aliwaza Chale.

” Kama angekuwa anatembea na Mke wangu bila shaka mimi ningegundua mapema, na hakika ningepata kesi ya mauaji, mtu yeyote kutembea na mke wangu ni kutafuta kifo,” Aliwaza chale huku akichota maji kisimani,kisima kilikuwa nje ya nyumba yao.

” Katika wanaume wote,mchungaji Hans hawezi kufanya upumbavu wa kutoka na mke wangu, kwa jinsi tunavyoheshimiana hawezi kuleta dharau kama hizo,kwanz ni mtu mwema sana yule” Aliwaza Chale, alibeba ndoo na kuelekea nalo ndani.

………… …….

Njia nzima, mama mchungaji kichwa kilimuuma, aliwaza huduma ambayo mama sele anaitaka ni ipi. Alijiuliza ni kwanini ameomba wakutane sehemu nyingine na sio kanisani.

Aliiangalia ile namba ,akaamua kuipiga.

Simu iliita bila kupokelewa.

Aliipiga tena,iliita kidogo ikapokelewa.

Aliiweka sikioni bila kuongea lolote.

” Halo baby, babyiiii, aaaah samahani halo mchungajiiii,hansiiii” Ilisikika sauti upande wa pili,ilikuwa ni sauti nyororo iliojaa mahaba yote.

Haraka mama mchungaji aliikata cm, alihema kwa nguvu.

” Huyu shetani anataka kumjaribu mchungaji,huduma gani ya kuongea kwa mahaba hivi?” Aliwaza , alipiga hatua ya kurudi nyumbani kwake.

” Na huyu mchungaji atakuwa wapi ? Kwanini asahau simu ?” Alijiuliza .Alijiuliza mengi,akihisi kusalitiwa,moyo wake ulijaa wivu.

…………

Kule uvunguni,hali ya mchungaji ilikuwa mbaya , alishachoka kulala chini,alitamani kutoka, hofu aliyokuwa nayo na uwoga vilimfanya atatemeke,hakujua chakufanya.

” Mungu nisaidie, Nisaidie niweze kumshinda shetani,nisaidie niweze kuiokoa huduma yangu!,” Aliomba kimya kimya mchungaji.

Chale baada ya kufika chumbani aliyapeleka maji bafuni,chumba chao kilikuwa self.

” Maji tayari love,kaoge tuondoke” Aliongea chale.

” Nikienda bafuni mimi nikamuacha peke yake hapa anaweza chungulia uvunguni,dawa hapa yeye aende kuoga mimi nibaki kwanza,akienda tu,nitamtoa mchungaji uvunguni” Aliwaza Halima.

” Naomba kaoge kwanza wewe,mimi nitaoga baada ya kumaliza wewe” Halima alimwambia chale. chale hakubisha,alivua nguo na kujifunga taulo kiunoni.

Alipiga hatua kadhaa kuelekea bafuni.

” Hivi ndala za bafuni ziko wapi? Mbona sizioni?” Aliuliza Chale huku akiinama uvunguni.

Akili ya Halima ilifanya kazi haraka, bila kujiuliza alimuwahi mumewe.Alimshika na kumzuia kuinama.

” Supu ya pweza umepata? Ulisema unaenda kuitafuta.” aliongea Halima. 

” Nimepata ndio,ila mchezo umeharibika,si unabridi wangu” Aliongea Chale,huku akisimama vizuri.

” Ok sawa” Alijibu Halima,aliinama yeye haraka na kuchukua ndala zilizokuwa uvunguni.

” basi ndala zako hizi hapa, wahi kaoge” 

Bila kuhisi lolote,chale alichukua ndala na kuelekea bafuni. Alivua nguo na kuanza kuoga.

Baada ya mumewe kuingia bafuni,haraka Halima alimtoa Mchungaji uvunguni. Alikurupuka na kutoka nje bila kuongea lolote.

” Wahi haraka,ondoka” Aliongea Halima.

Mchungaji hakujibu kitu,alitokomea.

Akiwa chooni,Chale alihisi kitu, kitendo cha Mkewe kumuwahi alipotaka kuinama uvunguni kilimjia. 

” Kwanini alinizuia haraka vile?, mbona kama kuna kitu alikuwa anazuia nisikione?” Alijiuliza. Aliacha kuoga ,alitoka bafuni povu likiwa chumbani.

” eeeeh mbona na mapovu kichwani?” Halima alimuuliza mumewe.

” Uvunguni kuna mtu?” Aliuliza chale.

” Aaaah huyo mtu nani?,na atoke wapi saizi.”

” Kwanini ulinizuia kutazama?”

” Aaaah! Aliyekuzuia nani?, kama unahisi kuna mtu angalia” Aliongea Halima kwakujiamini.

Chale aliinama uvunguni, hakukuta mtu.

” umeona nini?” Halima aliuliza.

” Hamna kitu”

” tatizo lako hauniamini, mapenzi yakutoaminiana mimi siyawezi kabisa”

” Sio kwamba sikuamini,nakuamini sana mke wangu,sema upendo wangu kwako ni mkubwa sana na kamwe sitakubali nishare na mtu penzi letu” 

” Eeeeh siku mkishare itakuwaje?” 

” mmmmh sijui itakuwaje? Ila nina uhakika itakuwa balaa sana,labda huyo mpumbavu nisimjue” Aliongea chale.

” Usiwe na mawazo hayo mume wangu,kwanza niamini,kamwe siwezi kuruhusu mwanaume yeyote afaidi unachofaidi wewe, cha msingi ni wewe kutafuta dawa,tatizo lako ni moja tu,hunifikishi.” 

” Usijali,nalifanyia kazi hilo” Aliongea chale huku akielekea bafuni.

………………………..

Mama mchungaji akiwa njiani,aliwaza mengi.

” nisipokuwa mjanja mchungaji nitamkosa, bila shaka wanawake wengi wanamtaka baada ya kusikia anauboo mkubwa. Hapa ni mimi kutafuta dawa,nikiendelea kusubiri wiki mbili tulizopewa naweza kumkosa” Aliwaza mama mchungaji.

” Dokta alisema ndani ya wiki mbili mchungaji asifanye mapenzi ili dawa zifanye kazi,lakini kwa hali ilivyo haitawezekana,nitamkosa mchungaji wangu,acha niende hospital nikashauriane na dokta” Aliwaza mama mchungaji. 

Alibadili uelekeo na kuelekea hospitali.

Alifika,alimkuta Dokta, aliingia ofisin kwake.

” Dokta shida yangu mimi ni moja,nataka unipe mbinu ya kufanya mapenzi na mchungaji bila madhara, naona wiki mbili ni nyingi,mimi naweza vumilia,ila mitego anayotegewa na wanawake wengine ni mkubwa ,najua anaweza kuingia majaribuni” Aliongea Mama mchungaji.

” mmmmh kama anajaribiwa na wanawake wengine dawa ni moja tu, ni wewe kufanya naye mapenzi hadi hamu yake yote iishe,tena ufanye naye mara nyingi,ukifanya hivyo hawezi ingia majaribuni.” 

” Yaa nalijua hilo,ila sasa tatizo ni uboo wake, si bado unarefuka na kutanuka kupita maelezo”

” Ndio ni bado,na ukifanya naye sasa anaweza kukuua na kuuchana uke wako vibaya sana” 

” kwahiyo tunafanyaje?”

” Dawa ni kusubiri tu ,itakubidi usubiri hizi wiki mbili”

” Hapaba dokta,kusubiri sitaweza.”

” kama hautaweza kusubiri nitakupa njia nyingine,lakini hiyo njia sina uhakika nayo sana,inaweza kuwa mbaya au nzuri, inaweza kukusaidia au kukupa madhara zaidi”

” Ipi hiyo dokta nikajaribu”

” Ukiwa unashirikiana naye,ukiona uume wake umefikia saizi unayoitaka wewe unamuingiza kidole mkunduni,ukifanya hivyo uboo wake utaacha kuongezeka hata kama anahisia kali”

” Maneno si hayo. Ubarikiwe dokta” Aliongea mama mchungaji,alisimama na kutaka kutoka.

” Aaah usiondoke bado sijamaliza kukuelezea hatari yake”

” sema nakusikiliza” 

” Ni hivi hiyo mbinu kwa wanaume wengine inaongeza uboo badala ya kuupunguza, sijajua kwa mchungaji itakuwaje,kama itauongeza badala ya kuupunguza anaweza kukuua hivyo kuwa makini” Aliongea Dokta.

” Usijali dokta,nitakuwa makini” Aliongea mama mchungaji na kuaga.

……………..

Mama mchungaji alifika nyumbani, alimkuta mchungaji katulia barazani.

” Ulienda wapi mke wangu?” Alimuuliza.

Mama mchungaji hakujibu kitu,alimsogelea mchungaji na kuanza kumnyonya mate, alimnyonya kwa dakika kadhaa,mchungaji alimsukuma pembeni.

” Ni hatari baby” Aliongea Mchungaji.

” Hapana,mimi nataka” Aliongea mama mchungaji, alimsogelea mchungaji na kuanza kumnyonya mate tena, aliingia mkono wake ikulu ya mchungaji, aliuchezea uboo wa mchungaji kwa manjonjo.

Taratibu ulianza kusimama, alimvua suruali mchungaji, akimvua shati akabaki mtupu, alimsogelea kifuani na kuanza kunyonya kifua chake, alikiramba kwa ulimi, mwili wa mchungaji ulisisimka,damu ikawa inaenda kwa spidi kwenye uboo.

Uboo Ukawa unasimama kwa kasi, kabla haujawa mkubwa ,mama mchungaji aliukaria.

” Yaaah hii ndio saizi,usiongezeke zaidi ya hapa” Alijiambia, alimshika matako mchungaji,aliyapapasa na kumtia kidole mkunduni.

” oooooh” Mchungaji alilalamika, alikuwa kama amepandishwa mashetani. 

Ajabu,uboo baada ya kutoongezeka ulianza kuongezeka, Mama mchungaji alihisi anachanika utumbo.

BALAA LA MCHUNGAJI 12

Uboo ulizidi kutanuka,ulichana vidonda vya mama mchungaji ambavyo vilikuwa havijapona vizuri.Maumivu yasiyostahimilika aliyasikia.Moyoni alijuta.

” Tamaa yangu inataka kuniua” Aliwaza mama mchungaji. Alijaribu kumtuliza mchungaji alishindwa.

Mchungaji alishikwa na wendawazimu,aliendelea kumtomba kwa spidi ya supersonic.

” Aaa….eeeee….aaaaa….aaaaaa” Alilalamika mama mchungaji.

” Nikiendekea hivi nitakufa” Aliwaza mama mchungaji. Alimsukuma kwa nguvu mchungaji na kukimbilia mbele, akiwa hajafika popote alishikwa tena na mchungaji.Aliinamishwa chini na kuingizwa uboo.

” Pyuuuuuuui” Uliingia

” Ma…..aaaaa…..aaaaa.eeeeee……” Alilalama mama mchungaji.

Kuma iliwaka moto,damu zilichuruzika,mchungaji alitomba kama hana akili nzuri,jasho lilimtoka,uboo ulizidi kuwa mkubwa.

Mama mchungaji Alijitutumua tena, alimsukuma mchungaji pembeni. Alichukua sturi iliyokuwa mbele yake na kumpiga nayo kichwani.

” paaaaah! ” stuli ilitua kichwani. Pale pale mchungaji alianguka chini,Akili yake ilitulia,japo bado misuri ya uboo wake ilikaza.

Aligumia kwa maumivu, kichwa kilimuuma na uboo wake ulimuuma,bado ulitaka kuma.

Haraka alikumbuka tukio alilofanyiwa na daktari.

” Lete sabuni na maji,leta haraka” Alimwambia mkewe.

Haraka mama mchungaji aliwahi kuchukua sabuni na maji, alijipaka mikononi na kuuchua uboo wa mchungaji, alimpigisha nyeto.

” ooo. …..ooooooo……ooooo . ..aaa.    ….eeeeee” Alilalama mchungaji.

” Na….ko…….jo……a…..aaaa.    …..eee” Alipiga bao . Alinyongonyea na kukaa chini.

” uuuuuiii ……..uuuuuuuuiii ……..uuuuuuuuuiii…” Alihema kwa nguvu mchungaji. Aligeuka kumtazama mama mchungaji, naye alikuwa kajilaza chini anahema kwa nguvu.

” uuuuuuu……. Uuuuiuii…uuu…..” Alihema mama mchungaji,bado maumivu yalikuwa makali ukeni.

Damu zilikuwa zinachuruzika chini.

” Pole sana mke wangu” 

” Asante , ila usijali ni changamoto za kawaida” Alijibu mama mchungaji.Alisimama ili atembee alishindwa,aliteleza na kuanguka,mchungaji alimuwahi na kumdaka.

” Hauna nguvu kabisa” Aliongea mchungaji,alimbeba na kumpeleka bafuni, alimvua nguo taratibu na kuanza kumuogesha, alimuogesha mwili wote kwa mahaba makubwa.

Alimbeba tena na kwenda naye kitandani,alichukua taulo na kumfuta maji yote. Kabla hajampaka mafuta alienda jikoni,alichukua maji ya moto na kurudi nayo chumbani.

Alidumbukiza leso kwenye maji ya moto.Aliitoa na kuikamua kidogo,,alimtanua miguu mke wake na kuanza kumkanda ukeni,alimkanda taratibu huku akipuliza kwa mdomo.

” Hizi ni changamoto tu. Zitaisha mke wangu,uboo wangu utakaa sawa na tutafanya mapenzi bila tatizo” Aliongea Mchungaji.

” Ni kweli mume wangu,Asante kwakunijali” 

………….

Baada ya chale kuoga na kujiandaa, Halima aligoma kwenda hospitali.

” Hili tatizo litapona lenyewe ,siendi hospital” Aliongea Halima.

” Sasa kwanini umenisumbua hivi? Umeniacha nimeoga na kujiandaa” 

” Aaaah kwani ukioga unakufa”

” Hapana sifi,ila sikupanga nioge saizi, nimeoga saiz kwasababu yako,”

” Nimeshahamua,siendi hospitali” Aliongea Halima.

” Huyu mwanamke anataka kunipanda kichwani,nisipokuwa makini yeye atakuwa kama baba mwenye nyumba” Aliwaza Chale. Alichukia sana,alihisi kudharauliwa.

Alitoka chumbani bila kuaga, alikaa barazani na kuwasha tv.

” Mmmmh chaneli zote hakuna kipindi cha maaana” Aliwaza Chale. Alijaribu kendelea kutafuta kipindi akipendacho hakukiona. Alisonya na kutoka nje.

Alienda kwenye vibanda vya kuuza movie.

” Unaseason ya prison breaker?” Alimuuliza muuza Movie.

” Ndio naniyo,lakini broo hii mbona ulishaiangalia”

” Yaaani nilishaiangalia,ila bado naipenda sana,yaaani uwa nikimuona scofield na ile mipango yake huwa najisikia raha sana”

” Yule jamaa yupo vizuri sana,ila jana nimepata taarifa zake,”

” Taarifa zipi”

” Kuhusu maisha ya scofield,yule jamaa kumbe ni shoga aisee”

” Mmmh acha masihara”

” Ni kweli kaka chale,scofield ni shoga,tena yeye mwenyewe amekiri hadharani”

” Tuuuuu” Alitema mate chini Chale. ” Nipe movie nyingine yoyote,hii siitaki tena,” 

” Aah aaah aaah yaani umegairi kisa jamaa ni shoga?”

” Ndio ,nipe hiyo Season ya JUMONG niondoke” Aliongea Chale,alipewa ,akalipa na kuondoka.

Dakika tano mbele alikuwa amefika nyumbani kwake, aliweka CD na kukaa kwenye kochi kuitazama.

Halima alitoka chumbani ,naye akaja barazani, Chale wakati anamtazma mkewe,macho yake yalitua kwenye chupi ya kiume iliyokuwa chini ya meza. Alistaajabu,aliinama kuichukua.

Halima aliona,moyo wake ulipiga Paaaaaah.

” Mchungaji ameacha chupi yake.” Alijisemea moyoni Halima. Gafla alihisi joto,jasho lilimtoka,alianza kutetemeka.

ITAENDELEA

SIMULIZI Balaa La Mchungaji Episode 04

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment